Tutaishije

1
TUTAISHIJE? Mazingira mazuri kama yetu Kitu gani kinatufanya twaribu? Elimu tunayo ya kutosha Rasilimali zetu kuhifadhi Naam! Wakati umefika Wa sisi kuchukua hatua Kwa ajili ya ulimwengu wetu Na kuutnza utajiri wetu Ni wasaa wa kusema kweli Kuhusu mabadiliko ya tabia nchi Na kamwe kutorudi nyuma Vita hivi kuviendeleza Tutaishije dunia yetu ikigeuka? Tutaishije miti ikikatwa na mito kukauka? Tutaishije hewa yet ikichafuliwa? Tutaishije mimea na wanyama wakiathirika? Nina imani Kwa mazingira yenye ubora wa kudumu Kwa maendeleo yakuboresha maisha kikamilifu Na kwa ulimweng wenye ufanisi Jukumu ni letu sisi Kuchukua hatua sasa Kulinda ulimwengu tunaouenzi Kwa ajili yetu na vizazi vijavyo Lau sivyo, sijui tutaishije? Shairi limetungwa na Nelson Ochieng Opany (Al-Ustadh Weledi)

description

 

Transcript of Tutaishije

Page 1: Tutaishije

TUTAISHIJE?

Mazingira mazuri kama yetu

Kitu gani kinatufanya twaribu?

Elimu tunayo ya kutosha

Rasilimali zetu kuhifadhi

Naam! Wakati umefika

Wa sisi kuchukua hatua

Kwa ajili ya ulimwengu wetu

Na kuutnza utajiri wetu

Ni wasaa wa kusema kweli

Kuhusu mabadiliko ya tabia nchi

Na kamwe kutorudi nyuma

Vita hivi kuviendeleza

Tutaishije dunia yetu ikigeuka? Tutaishije miti ikikatwa na mito kukauka?

Tutaishije hewa yet ikichafuliwa?

Tutaishije mimea na wanyama wakiathirika?

Nina imani

Kwa mazingira yenye ubora wa kudumu

Kwa maendeleo yakuboresha maisha kikamilifu

Na kwa ulimweng wenye ufanisi

Jukumu ni letu sisi

Kuchukua hatua sasa

Kulinda ulimwengu tunaouenzi Kwa ajili yetu na vizazi vijavyo

Lau sivyo, sijui tutaishije?

Shairi limetungwa na

Nelson Ochieng Opany (Al-Ustadh Weledi)