KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI
-
Upload
jaime-sandoval -
Category
Documents
-
view
1.172 -
download
96
description
Transcript of KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI
KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA
NGUVU YA MAOMBIMarafiki Huru Prayer Night
13th October, 2010.At
VICTORIA CHRISTIAN CENTRE
By Teacher,Mgisa Mtebe0713 497 654
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika) kuliko yote tunayo-yawaza au tunayoyaomba, kwa kadiri (kwa kiwango au kipimo) cha nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu
maishani mwako, unategemea sana kiwango
cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo … Kuna baadhi ya mambo
maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, ikiwa hatutengeneza
au hatutazalisha Nguvu za Mungu za kutosha, ndani yetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …***… ikiwa tutatengeneza au
tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,
tutauwezesha mkono wa Mungu, kufanya mambo mengi
na makubwa, aliyokusudia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Lakini …***… ikiwa tutatengeneza au
tutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, basi
tutauzuia mkono wa Mungu, kufanya mambo mengi na
makubwa aliyokusudia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mfano (1);Kifo cha Yakobo na
Ukombozi wa Petro gerezaniMatendo 12:1-19
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani
Kwa maombi ya Musa MlimaniKutoka 17:8-15
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Maombi ni njia mojawapo
inayofungulia nguvu za Mungu katika maisha ya mtu wa
Mungu, ili kumwezesha mtu huyo kuishi maisha ya ushindi na mafanikio katika maisha.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
***… ikiwa tutaongeza kiwango cha maombi maishani mwetu, tutatengeneza au tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani
yetu, na kuuwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi
maishani mwetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
***… tukipunguza kiwango cha maombi maishani mwetu,
tutashindwa kutengeneza au kuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu, na kuuzuia mkono wa
Mungu kufanya mambo mengi maishani mwetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni Kwasababu …Kwahiyo Utendaji wa mkono wa
Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda
kazi ndani yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya,
ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu za
kutosha, ndani yetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kuna mambo mengi sana maishani mwetu, tumeyabatiza kwamba ni
mapenzi ya Mungu, kumbe hayakuwa mapenzi ya Mungu, lakini ukweli ni kwamba, sisi
binadamu ndio tunaohusika katika kusababisha mambo hayo kufanyika au kutofanyika.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …Kuna mambo mengi sana maishani
mwetu, tumemsingizia Mungu, wakati kumbe sisi binadamu, ndio tunaohusika katika kusababisha
mambo hayo kufanyika au kutofanyika.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mfano (3);Maombi ya Musa katika
kumruhusu Mungu kufungua bahari ya ShamuKutoka 14:15-28
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
‘Musa usinililie mimi; si kazi yangu kufungua bahari, bali ni yako; mimi nipo tu kukuwezesha;
nyoosha fimbo yako baharini, ndipo nguvu zangu zitaingia kazini
kukusaidia na kukuwezesha’.Kutoka 14:15-28
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-1919 Kwa maana nitawapa funguo za
Ufalme, na mambo mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa
(mbinguni), na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa
yamefunguliwa (mbinguni)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu
pasipo msaada wa binadamu, lakini alichagua tu, kufanya kazi kwa
ushirika na binadamu; kwahiyo, kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na
binadamu katika kutawala dunia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Wakorintho 3:99 Kwa maana sisi tu watenda kazi
pamoja na Mungu. (kwa ushindi na mafanikio)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 8:28-3028 Na kwahiyo basi, katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja
na wale wampendao, katika kuwapatia mema.
(ushindi, faida na mafanikio)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26,1826 Tufanye mtu kwa sura yetu na
kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso
wa dunia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26-1828 Mungu akaumba Mwanaume na
Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia,
zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana, bali
nchi amewapa wanadamu
Isaya 45:11… kwa habari ya kazi za mikono
yangu, haya niagizeni (niamuruni)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-1919 Kwa maana nitawapa funguo za
Ufalme, na mambo mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa
(mbinguni), na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa
yamefunguliwa (mbinguni)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-1918 Na milango ya kuzimu
haitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga (kwa mfumo huu).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maombi Ni njia mojawapo inayofungulia
nguvu za Mungu katika maisha ya mtu wa Mungu, ili
kumwezesha mtu huyo kuishi maisha ya ushindi na mafanikio
katika mambo yake yote.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …***… ikiwa tutaongeza kiwango
cha maombi maishani mwetu, tutatengeneza au tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani
yetu, na kuuwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Lakini pia …***… tukipunguza kiwango cha
maombi maishani mwetu, tutashindwa kutengeneza au
kuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu, na kuuzuia mkono wa
Mungu kufanya mambo mengi.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea
sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako,
yaani kiwango cha maombi unachofanya maishani mwako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Maombi Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Maombi Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Maombi Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Maombi Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kiwango cha = Kiwango cha Maombi Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea
sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako,
yaani kiwango cha maombi unachofanya maishani mwako.
Lakini lengo letu ni kujifunzaNAMNA YA KWENDA
MBELE ZA MUNGUAU
NAMNA YA KUOMBASAWA SAWA
NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBAKwasababu,
Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24)
Hii ina maana kwamba,
Mungu anaishi katika ulimwengu wa roho.
NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu …
Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’
(Waebrania 11:6)“Kila mtu amwendeaye Mungu,
inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote
wamtafutao”
NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika uwepo wa Mungu,
(katika ulimwengu wa roho)…
NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,
… ili kuongea na Mungu …
NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,
… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …
NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,
… itasababisha na kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBA
Mabadiliko gani hayo?
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NAMNA YA KUOMBA
Bwana Yesu anasema;
“Ombeni nanyi mtapewa, Kwa maana kila aombaye
Hupokea (hupewa) …(Mathayo 7:7-11)
NAMNA YA KUOMBA
Na wachache wanaoombaBiblia anasema;
“Mnaomba na hata hampati, Kwasababu mnaomba vibaya”
(Yakobo 4:3)
NAMNA YA KUOMBA
Bwana Yesu anasema;
“Hata mpaka sasa hamjaomba ombeni (vizuri) basi, ili furaha
yenu, iwe timilifu” (Yohana 16:24)
NGUVU YA MAOMBI
NAMNA YA KUOMBA KWA USAHIHI
HATA KULETA MABADILIKO DUNIANI.
NAMNA YA KUOMBA
Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua;
NAMNA YA KUOMBA IPASAVYO
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni Namna ya Kuathiri rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni Namna ya Kuathiri rohoni (Nguvu ya Maombi)
NAMNA YA KUOMBAKwahiyo
Hebu tujifunze sasa;
1. KUUFAHAMU ULIMWENGU WA ROHO.
NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili
kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika
namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBAKwasababu,
Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24)
Hii ina maana kwamba,
Mungu anaishi katika ulimwengu wa roho.
NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu …
Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’
(Waebrania 11:6)“Kila mtu amwendeaye Mungu,
inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote
wamtafutao”
NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika uwepo wa Mungu,
(katika ulimwengu wa roho)…
NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,
… ili kuongea na Mungu …
NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,
… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …
NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,
… itasababisha na kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.
NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,
Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika
katika Ulimwengu wa roho ...
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho ni nini?
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w
Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu
visivyoonekana na kushikika lakini ni vitu halisi kabisa;
Ni vitu vilivyopo kabisaila hatuvioni tu.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu visivyoonekana na
• Vitu vinavyoonekana
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu visivyoonekana (Vitu vya Kiroho)
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);
• Vitu vinavyoonekana(Vitu vya Kimwili)
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu
(vinavyotawala vya kimwili).
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu halisi kabisa,
lakini hatuvioni tu kwa macho haya ya kawaida
(macho ya kimwili).
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
1.Kwa Mfano wa
Nabii Elisha na Gehazi.2 Wafalme 6:8-17
Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 6:8-17Malaika wanaoneka hapa,
hawakuja baada ya Elisha kufanya maombi, bali walikuwepo siku
zote, ila wapo katika ulimwengu wa roho ambao macho yetu
hayaruhusiwa kuuona.
Ulimwengu wa Roho
2 Wafalme 6:8-17Gehazi hakuwa amewezeshwa
kuchungulia rohoni, ndio maana hakuweza kuwaona malaika wa
mbinguni, japo walikuwepo hapo pamoja nao, siku zote, ila ni katika ulimwengu wa roho ambao macho
yetu hayajaruhusiwa kuuona.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
2.Kwa Mfano wa
Nabii Eliya na Elisha.2 Wafalme 2:7-15
Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 2:7-10-12-15Kama Eliya angetoweka ghafla
mbele ya macho ya Elisha, angekuwa ametoka katika ulimwengu wa mwili tu na
kupenya katika ulimwengu wa roho ambao hatuuoni.
Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 2:7-10-12-15Kwa mtu ambaye si mwonaji (Nabii) asingeona mambo ya
rohoni, mwanzo wala mwisho wa kuondoka kwa Eliya; bali
angeona, Eliya ametoweka tu ghafla mbele ya macho yake.
Ulimwengu wa Roho
2Wafalme 2:7-10-12-15Lakini kwa mtu ambaye ni mwonaji (Nabii), angeona mwanzo wala mwisho wa
kuondoka kwa Eliya; kwasababu anaruhusiwa (anawezeshwa)
kuchungulia rohoni.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
3.Kwa Mfano wa
Bwana Yesu na WanafunziWawili wa Emmaus.
Luka 24:13-52
Ulimwengu wa Roho
Luka 24:13-52Kama wangeruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa roho, hawa ndugu 2, wasingeona Yesu akitoweka mbele yao, bali
wangeona mwanzo mpaka mwisho wa kuondoka kwa Bwana Yesu,
mbele ya macho yao.
Ulimwengu wa Roho
Luka 24:13-52Kwasababu kutoweka ghafla kwa
Bwana Yesu, mbele ya macho yao, kulikuwa ni hali ya Bwana Yesu kutoka tu katika ulimwengu wa
mwili, na kupenya (kuingia) katika ulimwengu wa roho ambao macho
yetu hayauoni tu.
Ulimwengu wa Roho
Luka 24:13-52Lakini kwa kuwa hawakuruhusiwa
(hawakuwezeshwa) kuchungulia rohoni, ndio maana hawakuweza kuona, mwanzo wala mwisho wa
kuondoka kwa Bwana Yesu. Katika macho yao Yesu alitoweka.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
4.Kwa Mfano wa
Bwana Yesu na WanafunziWaliomwona akipaa Mbinguni.
Matendo 1:9-11
Ulimwengu wa Roho
Matendo 1:9-11Kwakuwa waliruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa
roho, hawa wanafunzi wa Yesu, waliona jinsi Bwana Yesu akipaa juu kwenda mbinguni, (tangu mwanzo
kuondoka kwake mpaka mwisho wa upeo wa macho yao).
Ulimwengu wa RohoMatendo 1:9-11
Kwasababu waliruhusiwa kuchungulia rohoni, hivyo katika
kutazama kwao, Bwana Yesu hakutoweka ghafla katika macho
yao, bali waliona mwondoko mzima wa Bwana Yesu kutoka mwilini na kupenya kwake (kuingia) rohoni.
Ulimwengu wa Roho
Matendo 1:9-11
Lakini kama angekuwepo mtu miongoni mwao ambaye si
mwanafunzi wa Yesu, yamkini asingeona kuondoka kwa Bwana
Yesu, bali yeye angeona Yesu ametoweka tu mbele yao.
Ulimwengu wa RohoMatendo 1:9-11
Hii ingefanyika hivyo, kama tu mtu huyo (ambaye si mwanafunzi),
hajapewa ruhusa (hajawezeshwa) kuona mambo ya ulimwengu wa roho;
huyo, angeshitukia tu Yesu ametoweka mbele yao, lakini kumbe wakati wenzake wote wanamwona
Bwana Yesu akiondoka juu na mawingu.
Ulimwengu wa Roho
Ukweli muhimu kuhusu Ulimwengu wa roho
Waebrania 11:3An Important Fact about
The Spiritual Realm (world) Hebrews 11:3
Ulimwengu wa Roho
Hii ni kwasababuUlimwengu wa roho ndio
ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu
akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu
wa roho. Waebrania 11:3
Ulimwengu wa roho
Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili.
KwahiyoHakuna kitu kinafanyka katika
mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika roho.
Waebrania 11:3
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili)
havikuumbwa kwa vitu vilivyo dhahiri (wazi wazi)’
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu
visivyo dhahiri (wazi wazi)’- (vitu vya kiroho) -
Ulimwengu wa Roho
Kwahiyo;Ulimwengu wa roho ndio
ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu
akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu
wa roho. Waebrania 11:3
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake
1 Wakorintho 15:44
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho
1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana
(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu
(vinavyotawala vya kimwili).
NGUVU YA MAOMBI
Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta
mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu
vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBI
Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa
mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,
mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4
Injili Kanisa Dhiki 33 7 30 3 ½ 3 ½ 3 ½
Milele
Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4
Injili Kanisa Dhiki 33 7 30 3 ½ 3 ½ 3 ½
Ulimwengu wa Roho
Ulimwengu wa Mwili Torati na Manabii Kuzaliwa Kalvari Neema
Injili 33
30 3 ½
Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo
Milele
Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4
Injili Kanisa Dhiki 33 7 30 3 ½ 3 ½ 3 ½
600 2000 Ulimwengu wa Roho 700
Ulimwengu wa Mwili (5) Yohana (Ufu 21:11-15)
(4) Daniel 7:13, 14, 27 (3) Isaya 9:6 Sasa
Neema Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo
Milele
NGUVU YA MAOMBI
Kwahiyo, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili;
Na hii ina maana kwamba,
hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,
mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,
wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”- Photocopy -
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko
kama kivuli”- Photocopy -
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita.
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili
kuifunga mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki-mwilini) haikunyesha juu ya nchi,
kwa muda wa miaka 3 na nusu.
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na
misitu yote imepukutika; kwahiyo hakukuwa na kanuni za kutosha
kuruhusu mvua kunyesha.
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Eliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katika uliwengu wa roho, na Mungu
alimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki-mwilini) ikanyesha na
nchi ikazaa matunda yake.
NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa Nabii Eliya1Wafalme 18:41-44;
Angalia hilo neno, “nasikia sauti ya mvua tele” (mst.41)
Hiyo haikuwa mvua ya mwilini, bali rohoni, kwasababu ni Eliya peke yake
aliyeisikia, na kutoa tangazo.
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Kabla ya Toba (Kumb 28:15-24)
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Kabla ya Toba Baada ya Toba Baada ya Maombi
/ / / / / / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / / / / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / / Mvua ya rohoni /
/ / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / / / / / / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / /
/ / (mstari 44-45) / / / / Mvua ya Mwilini / / / / / / / / / / / /
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30‘Mungu ameshatubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa
roho; kama alivyotuchagua katika yeye, kabla ya kuwekwa misingi ya
ulimwengu, tuwe watakatifu’.
NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo,
Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu
wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho hata kuleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwilini.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani, watu wa Mungu wengi wangeishi maisha magumu; na kumbe wa ni wenye baraka nyingi sana rohoni.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Na sisi tusipoomba, baraka hizi zote,
zitabaki tu rohoni, wakati wewe unateseka huku duniani, kwa maisha
magumu; na kumbe sisi ni wenye baraka nyingi kutoka kwa Mungu.
NGUVU YA MAOMBI
Kwahiyo, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili;
Na hii ina maana kwamba,
hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,
mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo,
Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu
wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho hata kuleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwilini.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa
mwili; kwahiyo, hakuna kitu kitakachofanyika katika
U/mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika U/roho.
NAMNA YA KUOMBA
Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua;
NAMNA YA KUOMBA IPASAVYO
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho2. Namna ya kwenda rohoni
NAMNA YA KUOMBA
2. NAMNA YA KUMWENDEA MUNGU.
Namna ya kuingia rohoni.
NAMNA YA KUOMBANdio maana Biblia inasema;
“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”
(Waebrania 11:6)
MUNGU YUKO WAPI?
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!‘Mtu akinipenda, Mimi na Baba
tutampenda, na kuja kufanya makao ndani yake na kujifunua
(kujidhihirisha) kwake’Yohana 14:21,23
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Mwanzo 2:7 ‘Bwana Mungu akafanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akapuliza puani pumzi iliyo hai, mtu akawa nafsi hai’.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwili Nafsi Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Sehemu Kuu za Mwanadamu
Roho Nafsi Mwili
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, kumbe dirisha (tundu)
la kuingilia katika ulimwengu wa roho, haliko mbali nasi, liko
ndani yetu (rohoni).
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine
Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana
na ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Kwahiyo, mtu wa Mungu akitaka kwenda rohoni,
kukutana na Ulimwengu wa roho, anaweza kwenda kwa njia
zifuatazo;
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
1.Kwa njia ya Maombi
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
1.Kwa njia ya Maombi2.Kwa njia ya Ibada
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
1.Kwa njia ya Maombi2.Kwa njia ya Ibada3.Kwa njia ya Ndoto
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
1.Kwa njia ya Maombi2.Kwa njia ya Ibada3.Kwa njia ya Ndoto4.Kwa njia ya Maono
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
1.Kwa njia ya Maombi2.Kwa njia ya Ibada3.Kwa njia ya Ndoto4.Kwa njia ya Maono
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
1. Kwa njia ya Maombi
“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba
Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao” (Waebrania 11:6)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
1. Kwa njia ya Maombi Mtu wa Mungu anapoingia katika, maombi, huwa anahamisha fikra zake
na hisia zake, kutoka katika mwili (ambako ndiko ameishi zaidi ktk siku nzima) na kuziweka katika roho yake,
mahali Mungu alipo (anaishi) ili kuwasiliana naye.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
1. Kwa njia ya MaombiKwa njia ya maombi, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
2. Kwa njia ya Ibada
“Ingieni malangoni mwake kwa Kushukuru, ingieni nyuani mwake kwa kusifu” (Zaburi 100:1-5)
MUNGU ANAKAA WAPI?
Mungu anaishi ndani yetu!
Au hamjui ya kuwa miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu, na kwamba Mungu anaishi ndani yenu? (1Wakorintho 3: 9, 16)
Wewe ni HEKALU la Mungu
Patakatifu pa
Patakatifu Patakatifu
Uwanda wa Nje
UTUKUFU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwili Nafsi Roho
Nje Ptf PPP
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwenendo Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwenendo Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la MunguUkitaka kukutana na Mungu
(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako
kutoka katika mwili na kwa njia ya maombi, na kuielekeza
rohoni mwako.
NAMNA YA KUINGIA ROHONINi muhimu tujue kwamba;
“Kusifu na kuabudu pia, kuna namna yake ya ajabu sana, ya
kukuingiza katika ulimwengu wa roho unapotaka kuomba, na
kukukutanisha utukufu wa Mungu kule ndani katika roho yako,”
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na
kuingia ndani yako (rohoni mwako), kwa njia ya maombi,
utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala
ulimwengu wa mwili
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwenendo Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
2. Kwa njia ya IbadaKwa njia ya ibada, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya Maombi
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKwa kuwa ndoto si kitu mtu
anaweza kupanga, basi hawezi kuki-control. Ndoto ni kitu
ambacho utasubiri kikutokee.(Mungu akupe mwenyewe)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya Ndoto20 Yusufu alitokewa na malaika wa
Bwana katika ndoto na kusema, “usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni
kwa uweza wa Roho Mtakatifu”.(Mathayo 1:20-25)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya Ndoto
21 “Naye atamzaa mwana , nawe utamwita jina lake Yesu, kwa maana
yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”
(Mathayo 1:20-25)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya Ndoto24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini,
akamchukua Maria kuwa mke wake 25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka
Maria alipojifungua mwanaye wa kwanza na akamwita jina lake Yesu.
(Mathayo 1:20-25)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoMara nyingi unapokwenda kulala na ukaota ndoto, roho yako huwa inakwenda katika ulimwengu wa
roho na kukutana na mambo mengi sana.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKuamka usingizini na kuzinduka kutoka katika ndoto, kwa uhalisi ina maana kwamba, umerudi tu
mwilini kutoka katika ulimwengu wa kiroho ulikokuwa umekwenda
kwa njia ya ndoto.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKwa njia ya ndoto, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya Maombi
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ndoto
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoKama ndoto, maono pia si kitu mtu
anaweza kupanga, basi hawezi pia kuki-control. Kama ndoto, maono ni kitu ambacho mtu
atasubiri kimtokee.(Mungu akupe mwenyewe)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoMaono ni kama ndoto, ni taswira
au maono ayaonayo mtu yakimtokea akiwa hajalala.
Mfano; Anaomba, Anatembea, Amekaa, Anafanya shughuli
zake, n.k.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya Maono9 Mimi Yohana, ninayeshiriki
pamoja nanyi mateso kwa ajili ya Yesu, nilikuwa katika kisiwa
kiitwacho Patmo kwa ajili ya neno la Mungu na ushuhuda wa
Bwana Yesu. (Ufunuo 1:9-10)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya Maono10 Nilikuwa katika Roho siku ya
Bwana (jumapili), nami nikasikia sauti kubwa ikisema, “Andika kwenye kitabu haya
yote unayoyaona, kisha ukipeleke kwa makanisa saba.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya Maono‘Kisha nikaona, kiti cha enzi; mauti
na kuzimu zikawatoa wafu wake; wote, wakasimamishwa mbele za kiti cha enzi; vitabu
vikafunguliwa;’ (Ufunuo 20:11-15)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya Maono‘na mtu yeyote ambaye hakuonekana ameandikwa
katika kitabu cha uzima, alitupwa katika ziwa la moto’
(Ufunuo 20:11-15)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoKwa njia ya maono, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w
Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu
visivyoonekana na kushikika lakini ni vitu halisi kabisa;
Ni vitu vilivyopo kabisaila hatuvioni tu.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, njia ya kuingilia katika
ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu.
(rohoni)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na
kuingia ndani yake (rohoni mwake), kwa njia ya maombi,
atakuwa amekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala
ulimwengu wa mwili
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni3. Nafasi/Mamlaka yako rohoni
NAMNA YA KUOMBA
3. MAMLAKA YA ROHONINafasi yako katika
Ulimwengu wa roho
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Tumeshajifunza kwamba Ulimwengu wa roho ndio unaotawala
ulimwengu wa mwili. Na hakuna kitu kinachoweza kufanyika katika ulimwengu wa kimwili mpaka
kwanza kimefanyika katika ulimwengu wa roho.
MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”
Zab 8:4-8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Shetani akiijua siri hii, na akitaka kuwa mungu wa dunia, baada ya
kumwangusha Adam katika nafasi yake, alikwenda kuushika
ulimwengu wa roho na akawekeza majeshi yake yote katika ulimwengu wa roho ili atawale ulimwengu wa
mwili.
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
MUNGU
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Warumi 5:14 Kwahiyo, mauti ikatawala (shetani) tangu wakati wa
Adamu hadi wakati wa Musa; mauti iliwatawala watu wote
hata wale ambao hawakuvunja amri kama alivyofanya Adamu
BAADA YA WOKOVU
Waefeso 2:6/1:20-23 Akatufufua pamoja naye,
akatuketisha pamoja naye, katika Ulimwengu wa roho; aliomketisha Kristo Yesu siku aliyomfufua, juu
sana kuliko falme zote na mamlaka zote za mwilini na rohoni pia.
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU
Waefeso 2:6 Waefeso 1:18-23
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM 1
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU + ADAM 2
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Ufunuo 5:8-10 Watu walionunuliwa kwa damu ya
Mwana-kondoo Yesu Kristo, wanafanyika Wafalme na
Makuhani; nao wanapewa kumiliki na kutawala juu ya nchi.
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni4. Namna ya Kupiga Vita rohoni
NAMNA YA KUOMBA
4. VITA VYA ROHONIMapambano yaliyopo katika
Ulimwengu wa roho
NAMNA YA KUOMBA
4. VITA VYA ROHONI
Rejea habari ya
Maombi ya DanielDaniel 10:1-14, 20
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Siku 21
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Siku 21
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Vita ya Siku 3
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
mfalmemfalme mfalme
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Siku 21
Uyahudi Uajemi Uyunani Siku 3
Ulimwengu wa Mwili
Siku 24
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
mfalme mfalme mfalme
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Siku 21
Uyahudi Uajemi Uyunani Siku 3
Ulimwengu wa Mwili
Siku 24
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
mfalmemfalme mfalme
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho ndio
unaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, hakuna kitu
kitakachofanyika katika U/mwilini, mpaka kwanza
kimefanyika katika U/roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya
mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa
mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko
falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za
shetani duniani.
NGUVU YA MAOMBI
Na ndio maana Mungu anatuambia katika Neno lake kwamba,
‘tusijisumbue kwa jambo lolote maishani, bali katika kila jambo,
tusali na kuomba na kushukuru...’ (Wafilipi 4:6-7)
VITA VYA KIROHO
Matendo 19:18-20Inatufundisha kwamba, Usijaribu kupigana vita vya kiroho, kama
huna mamlaka ya kiroho.
NAMNA YA KUOMBA
Silaha za Vita Vyetu
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Kwahiyo;Mtu wa mungu anapokwenda
rohoni, ni lazima ajue kwamba, atakutana na adui shetani
anayetawala eneo lake (eneo linaloombewa)
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Hivyo basi, inampasa mtu wa Mungu anayetaka kuleta mabadiliko, ajue namna ya kupigana na adui shetani
juu ya maeneo anayoyaombea.Waefeso 6:12, 10-11,13
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Aina kuu 2 za silaha
1. Silaha za Ulinzi (mst.11)2. Silaha za Kupiga (mst.13)
Waefeso 6:12, 10-11,13
NAMNA YA KUOMBA
1. Silaha za Ulinzi(Kujilinda) (Waefeso 6:13)
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)a) Kofia ya Chuma kichwani
(WOKOVU)Kwenda rohoni / vitani wakati
hujaokoka, ni kama kwenda vitani bila kofia ya chuma
(Warumi 10:9-10, Mdo 19:8-20)
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)
b) Gamba la chuma kifuani (UTAKATIFU)
Kwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, ni
kama kwenda vitani ulinzi kifuani. (1Pet 1:15-16, Kumb 23:14)
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)c) Mkanda wa Kweli kiunoni
(NENO LA KUIMARISHA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna
maneno ya kukuimarisha, ni kama kuvaa gwanda bila mkanda. (Yohana 17:17, Kolosai 3:16)
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)
d) Mabuti ya Utayari Miguuni (UTAYARI + UJASIRI)
Kwenda rohoni / vitani wakati huna ujasiri, ni kama kwenda vitani bila
mabuti ya jeshi/kazi. (2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7)
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)e) Ngao ya Imani mkononi
(UHAKIKA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna
uhakika (imani), ni kama kwenda vitani bila ngao mkononi.
(Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20-24)
NAMNA YA KUOMBA
2. Silaha za Kupiga(Kushambulia)
(Waefeso 6:13)
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
a) JINA LA YESU Wafilipi 2:9-10, Marko 16:16-20Jina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo
Jina kuu zaidi, jina la Baba.Yoh 17:6,11
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
b) NENO LA YESU Waebrania 4:12, Waefeso 6:17Neno la Yesu lina nguvu zote na
mamlaka yote kwasababu, Neno ni Bwana Yesu mwenyewe.
Yoh 1:1-4
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
c) DAMU YA YESU Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7
Damu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu
ya Yesu ina Roho wa Yesu.Walawi 17:14
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
d) ROHO WA YESU 2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1Roho wa Yesu ana nguvu zote na
mamlaka yote kwasababu, Roho wa Yesu ni Uhai wa Mungu1 Wakorintho 2:11-12
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
e) JESHI LA MALAIKA WA YESU Ufunuo 19:10, Mathayo 26:52-53Malaika wa Yesu wana nguvu na
mamlkaka juu ya mashetani, ikiwa tu watapewa maagizo
Ufunuo 12:7-10, Zab 34:7, Zab 91
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni 5. Namna ya Kuathiri rohoni (Nguvu ya Maombi)
NAMNA YA KUOMBA
5. NGUVU YA MAOMBINamna unavyoweza
Kuuathiri Ulimwengu wa Roho
NGUVU YA MAOMBI
Maombi yana nguvu ya ajabu sana ya kuuagiza Mkono wa Mungu au
Kuuingiza kazini Mkono wa Mungu
Isaya 45:11
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
NGUVU YA MAOMBI
Isaya 45:11 Kwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya niamuruni
NGUVU YA MAOMBIMathayo 16:18-19
Mambo mtakayoyafunga ninyi duniani, ndipo yatakuwa
yamefungwa mbinguni; na mambo mtakayoyafungua
ninyi duniani, yatafunguliwa mbinguni
NAMNA YA KUOMBA
Daniel 4:17Vijana 4 waliojua namna ya
kuuathiri ulimwengu wa roho, walisabababisha Mfalme wa nchi
kuwa kichaa kwa muda.
NAMNA YA KUOMBADaniel 4:17
Hukumu hii (juu yako Mfalme, kukufanya kichaa kwa muda) imekuja kwa agizo la Walinzi
(Waombaji) Isaya 62:7-11
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kutembea juu ya maji, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Mathayo 14:22-33Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kugeuza maji kuwa divai (bila maabara), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yohana 2:1-11Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kumponya aliyekuwa na upofu, bila kumfanyia operation ya macho, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Marko 8:23-25Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kumfufua mtu aliyekufa na kuoza, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yohana 11:17-53Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa bila
kupita mlangoni wala dirishani, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yohana 20:19-25/Luka 24:36-43Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kuinuliwa na kupaa juu kwenda mbinguni,
(bila baloon) kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za
kawaida za kimwili.Matendo 1:6-11
Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Na huu ndio utaratibu ambao Mungu alikusudia tuweze
kuutawala ulimwengu, pale kanuni za kimwili zinapotuzuia au
zinapokataa kufanya kazi kama tulivyotarajia (zinapotugomea).
Ulimwengu wa Roho
‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,
hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba
kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.
Yohana 14:12/16:7-8
Ulimwengu wa Roho
Kwahiyo, si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,
waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio
duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8
Ulimwengu wa RohoNdio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2
wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida
za kimwili.Kutoka 14:1-31
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Ulimwengu wa RohoNdio maana Musa aliweza kutoa maji
kutoka kwenye mwamba na watu millioni 2 na wanyama wao, wote
wakanywa na kutosheka kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Kutoka 17:1-7Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Ulimwengu wa RohoNdio maana Joshua aliweza
kusimamisha mzunguko wa dunia hata jua likasimama mpaka
walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Ulimwengu wa RohoNdio maana Eliya aliweza kuzuia
mvua kwa miaka mitatu japo kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya
kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Ulimwengu wa RohoNa ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na
kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Ulimwengu wa RohoNdio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Matendo 3:1-16Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Ulimwengu wa RohoNdio maana Filipo aliweza kusafiri
kwa kupaa na kunyakuliwa (kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho
ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Matendo 8:26-40Kanuni za kimwili hazikumzuia.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Shetani akijua siri hii, alimwangusha Adam, kisha akaketi katika nafasi ya
kuitawala dunia rohoni, na akaviweka vikosi vya majeshi yake yote katika
ulimwengu wa roho, ili aweze kuitawala dunia.
Waefeso 6:12
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya
mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Na ndio maana, Mungu alipomfufua Yesu kutoka katika wafu, naye pia
alimketisha katika ulimwengu wa roho ili aweze kuitawala dunia ya mwilini.
Waefeso 1:18-21
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Na sio Yesu tu, bali Mungu akatufufua na sisi pia kutoka katika wafu, na
ktuketisha na sisi pia katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na
mamlaka za giza, ili tuweze kuitawala dunia ya mwilini.
Waefeso 1:18-21 / Waefeso2:6
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii ni kutokana na kanuni ya uumbaji wa dunia; kwamba, ulimwengu wa
roho ndio ulioumbwa kwanza, kisha ukauzaa ulimwengu wa mwili; kwahiyo,
mtu akishika ulimwengu wa roho, anakuwa na uwezo wa kuutawala
ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili;
kwahiyo, Hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,
mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Utendaji kazi wa Mungu duniani, huanzia katika ulimwengu wa roho
kwanza. Mambo yakikamilika rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo
katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, siku yako/yetu ya kesho (future) ipo kamili kabisa katika
ulimwengu wa roho, na una uwezo wa kwenda rohoni kuirekebisha,
kabla haijazaliwa katika ulimwengu wa mwili.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:20-21Bwana Yesu alipofufuka, alitufufua
na sisi kutoka katika mauti (dhambi), na akatuketisha mahali
alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho.
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa
mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko
falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za
shetani duniani.
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kupitia siri hii, tunaweza kutawala mambo yote ya mwili (physical
creation) kama tutaijua siri hii kuu ya ulimwengu wa roho na kama
tutajua namna ya kwenda na kuutawala ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KUOMBA
NGUVU YA MAOMBI Namna ya Kuuathiri
Ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi.
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
1.Kufunga Mambo unayotaka yafungike
Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
2. Kufungua Mambo unayotaka yafunguke
Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka yafe kabisa
Marko 11:12-14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’
(Kuanzia leo Ufe kabisa)
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
4. Kuhuisha / Kufufua Mambo unayotaka yafufuke
Yohana 11:11-15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’
Ezekieli 37:1-14
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
5. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14-19
‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’Yohana 2:1-11, Isaya 38:1-5
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13-14,17)
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja
1Wakorintho 5:3-4Ingawa sipo nanyi kimwili, lakini mjue kwamba nipo nanyi kiroho
Wafalme 5:14-27
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
Tukijua siri hii ya maombi, jinsi yanavyoweza kubadilisha
ulimwengu wa roho, tutajibidiisha kuomba, ili kuleta
mabadiliko tunayotamani kuyaona katika maisha yetu,
duniani.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu, Bidii na Nidhamu ya
kimaombi
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa MusaKut 24:1-18
Kut 34:29-35
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa JoshuaKut 24:1-18/32:9-19
Kut 33:7-11
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika
uwepo wa MunguKutoka 24:1-18/32:9-19
Wazee walishindwa kumsubiri Musa katika maombi, lakini Joshua aliweza kukaa siku zote 40.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo
wa MunguKutoka 33:7-11
Mzee Musa alichoka kuomba, akaondoka katika hema, lakini Joshua alikaa katika uwepo wa
Mungu hata kwa muda wa ziada .
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika
uwepo wa Mungu
Bidii na Nidhamu katika mambo ya Mungu, inalipa.
(Inakupa kibali mbele za Mungu)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua 3:77 Ndipo BWANA akamwambia
Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli
yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa
pamoja na Mose. (Nitafungua maji ya mto Jordan mbele yako)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa Mfalme DaudiZab 63:1-3Zab 27:4
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Bwana Yesu alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa
katika uwepo wa MunguNa ndio maana, bidii yake na
nidhamu katika mambo ya Mungu, ilikuwa inamlipa.
(Inampa kibali mbele za Mungu)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa Bwana YesuMath 14:22-23Luka 6:12,17-19
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
2Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia-kimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu
ajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Wengi wana Kiu, lakini hawana;Nguvu za kuomba muda mrefu.
Hebu tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba
kwa muda mrefu. Luka 22:40-46
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Bwana Yesu alipochoka kuomba, Mungu alimtia nguvu mpya ili azidi
kuomba mpaka kuvuka jaribu alilokuwa nalo. Hebu nasisi
tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba kwa muda
mrefu, ili tuvuke na kushinda. Luka 22:40-46
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu
maishani mwako, unategemea sana kiwango
cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 3:20Atukuzwe Mungu, awezaye
kutenda mambo ya ajabu mno, kuliko yote tuyaombayo au
tuyawazayo, kwa kadri ya nguvu zake zitendazo kazi ndani yetu.