KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI

Post on 31-Dec-2015

1.173 views 96 download

description

KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI. Marafiki Huru Prayer Night 13 th October, 2010. At VICTORIA CHRISTIAN CENTRE By Teacher, Mgisa Mtebe 0713 497 654. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU. WAEFESO 3:2O - PowerPoint PPT Presentation

Transcript of KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA NGUVU YA MAOMBI

KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO KWA

NGUVU YA MAOMBIMarafiki Huru Prayer Night

13th October, 2010.At

VICTORIA CHRISTIAN CENTRE

By Teacher,Mgisa Mtebe0713 497 654

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika) kuliko yote tunayo-yawaza au tunayoyaomba, kwa kadiri (kwa kiwango au kipimo) cha nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu

maishani mwako, unategemea sana kiwango

cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo … Kuna baadhi ya mambo

maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, ikiwa hatutengeneza

au hatutazalisha Nguvu za Mungu za kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …***… ikiwa tutatengeneza au

tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungu, kufanya mambo mengi

na makubwa, aliyokusudia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …***… ikiwa tutatengeneza au

tutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, basi

tutauzuia mkono wa Mungu, kufanya mambo mengi na

makubwa aliyokusudia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (1);Kifo cha Yakobo na

Ukombozi wa Petro gerezaniMatendo 12:1-19

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani

Kwa maombi ya Musa MlimaniKutoka 17:8-15

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Maombi ni njia mojawapo

inayofungulia nguvu za Mungu katika maisha ya mtu wa

Mungu, ili kumwezesha mtu huyo kuishi maisha ya ushindi na mafanikio katika maisha.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

***… ikiwa tutaongeza kiwango cha maombi maishani mwetu, tutatengeneza au tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani

yetu, na kuuwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi

maishani mwetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

***… tukipunguza kiwango cha maombi maishani mwetu,

tutashindwa kutengeneza au kuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu, na kuuzuia mkono wa

Mungu kufanya mambo mengi maishani mwetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Kwasababu …Kwahiyo Utendaji wa mkono wa

Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda

kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya,

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu za

kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kuna mambo mengi sana maishani mwetu, tumeyabatiza kwamba ni

mapenzi ya Mungu, kumbe hayakuwa mapenzi ya Mungu, lakini ukweli ni kwamba, sisi

binadamu ndio tunaohusika katika kusababisha mambo hayo kufanyika au kutofanyika.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …Kuna mambo mengi sana maishani

mwetu, tumemsingizia Mungu, wakati kumbe sisi binadamu, ndio tunaohusika katika kusababisha

mambo hayo kufanyika au kutofanyika.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (3);Maombi ya Musa katika

kumruhusu Mungu kufungua bahari ya ShamuKutoka 14:15-28

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

‘Musa usinililie mimi; si kazi yangu kufungua bahari, bali ni yako; mimi nipo tu kukuwezesha;

nyoosha fimbo yako baharini, ndipo nguvu zangu zitaingia kazini

kukusaidia na kukuwezesha’.Kutoka 14:15-28

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-1919 Kwa maana nitawapa funguo za

Ufalme, na mambo mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa

(mbinguni), na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa

yamefunguliwa (mbinguni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu

pasipo msaada wa binadamu, lakini alichagua tu, kufanya kazi kwa

ushirika na binadamu; kwahiyo, kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na

binadamu katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 3:99 Kwa maana sisi tu watenda kazi

pamoja na Mungu. (kwa ushindi na mafanikio)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28-3028 Na kwahiyo basi, katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja

na wale wampendao, katika kuwapatia mema.

(ushindi, faida na mafanikio)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26,1826 Tufanye mtu kwa sura yetu na

kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso

wa dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26-1828 Mungu akaumba Mwanaume na

Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia,

zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana, bali

nchi amewapa wanadamu

Isaya 45:11… kwa habari ya kazi za mikono

yangu, haya niagizeni (niamuruni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-1919 Kwa maana nitawapa funguo za

Ufalme, na mambo mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa

(mbinguni), na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa

yamefunguliwa (mbinguni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-1918 Na milango ya kuzimu

haitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga (kwa mfumo huu).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi Ni njia mojawapo inayofungulia

nguvu za Mungu katika maisha ya mtu wa Mungu, ili

kumwezesha mtu huyo kuishi maisha ya ushindi na mafanikio

katika mambo yake yote.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …***… ikiwa tutaongeza kiwango

cha maombi maishani mwetu, tutatengeneza au tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani

yetu, na kuuwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini pia …***… tukipunguza kiwango cha

maombi maishani mwetu, tutashindwa kutengeneza au

kuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu, na kuuzuia mkono wa

Mungu kufanya mambo mengi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea

sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako,

yaani kiwango cha maombi unachofanya maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Maombi Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Maombi Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Maombi Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Maombi Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Maombi Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea

sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako,

yaani kiwango cha maombi unachofanya maishani mwako.

Lakini lengo letu ni kujifunzaNAMNA YA KWENDA

MBELE ZA MUNGUAU

NAMNA YA KUOMBASAWA SAWA

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBAKwasababu,

Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24)

Hii ina maana kwamba,

Mungu anaishi katika ulimwengu wa roho.

NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu …

Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’

(Waebrania 11:6)“Kila mtu amwendeaye Mungu,

inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote

wamtafutao”

NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika uwepo wa Mungu,

(katika ulimwengu wa roho)…

NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,

… ili kuongea na Mungu …

NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,

… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …

NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,

… itasababisha na kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NAMNA YA KUOMBA

Bwana Yesu anasema;

“Ombeni nanyi mtapewa, Kwa maana kila aombaye

Hupokea (hupewa) …(Mathayo 7:7-11)

NAMNA YA KUOMBA

Na wachache wanaoombaBiblia anasema;

“Mnaomba na hata hampati, Kwasababu mnaomba vibaya”

(Yakobo 4:3)

NAMNA YA KUOMBA

Bwana Yesu anasema;

“Hata mpaka sasa hamjaomba ombeni (vizuri) basi, ili furaha

yenu, iwe timilifu” (Yohana 16:24)

NGUVU YA MAOMBI

NAMNA YA KUOMBA KWA USAHIHI

HATA KULETA MABADILIKO DUNIANI.

NAMNA YA KUOMBA

Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua;

NAMNA YA KUOMBA IPASAVYO

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni Namna ya Kuathiri rohoni

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni Namna ya Kuathiri rohoni (Nguvu ya Maombi)

NAMNA YA KUOMBAKwahiyo

Hebu tujifunze sasa;

1. KUUFAHAMU ULIMWENGU WA ROHO.

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBAKwasababu,

Mungu ni Roho, (Yohana 4:23-24)

Hii ina maana kwamba,

Mungu anaishi katika ulimwengu wa roho.

NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu …

Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’

(Waebrania 11:6)“Kila mtu amwendeaye Mungu,

inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote

wamtafutao”

NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika uwepo wa Mungu,

(katika ulimwengu wa roho)…

NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,

… ili kuongea na Mungu …

NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,

… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo …

NINI MAANA YA KUOMBA Tafsiri,

… itasababisha na kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA Kwahiyo,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda au kuingia katika

katika Ulimwengu wa roho ...

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ni nini?

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu

visivyoonekana na kushikika lakini ni vitu halisi kabisa;

Ni vitu vilivyopo kabisaila hatuvioni tu.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana na

• Vitu vinavyoonekana

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana (Vitu vya Kiroho)

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu vinavyoonekana(Vitu vya Kimwili)

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu

(vinavyotawala vya kimwili).

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu halisi kabisa,

lakini hatuvioni tu kwa macho haya ya kawaida

(macho ya kimwili).

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1.Kwa Mfano wa

Nabii Elisha na Gehazi.2 Wafalme 6:8-17

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 6:8-17Malaika wanaoneka hapa,

hawakuja baada ya Elisha kufanya maombi, bali walikuwepo siku

zote, ila wapo katika ulimwengu wa roho ambao macho yetu

hayaruhusiwa kuuona.

Ulimwengu wa Roho

2 Wafalme 6:8-17Gehazi hakuwa amewezeshwa

kuchungulia rohoni, ndio maana hakuweza kuwaona malaika wa

mbinguni, japo walikuwepo hapo pamoja nao, siku zote, ila ni katika ulimwengu wa roho ambao macho

yetu hayajaruhusiwa kuuona.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

2.Kwa Mfano wa

Nabii Eliya na Elisha.2 Wafalme 2:7-15

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 2:7-10-12-15Kama Eliya angetoweka ghafla

mbele ya macho ya Elisha, angekuwa ametoka katika ulimwengu wa mwili tu na

kupenya katika ulimwengu wa roho ambao hatuuoni.

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 2:7-10-12-15Kwa mtu ambaye si mwonaji (Nabii) asingeona mambo ya

rohoni, mwanzo wala mwisho wa kuondoka kwa Eliya; bali

angeona, Eliya ametoweka tu ghafla mbele ya macho yake.

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 2:7-10-12-15Lakini kwa mtu ambaye ni mwonaji (Nabii), angeona mwanzo wala mwisho wa

kuondoka kwa Eliya; kwasababu anaruhusiwa (anawezeshwa)

kuchungulia rohoni.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

3.Kwa Mfano wa

Bwana Yesu na WanafunziWawili wa Emmaus.

Luka 24:13-52

Ulimwengu wa Roho

Luka 24:13-52Kama wangeruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa roho, hawa ndugu 2, wasingeona Yesu akitoweka mbele yao, bali

wangeona mwanzo mpaka mwisho wa kuondoka kwa Bwana Yesu,

mbele ya macho yao.

Ulimwengu wa Roho

Luka 24:13-52Kwasababu kutoweka ghafla kwa

Bwana Yesu, mbele ya macho yao, kulikuwa ni hali ya Bwana Yesu kutoka tu katika ulimwengu wa

mwili, na kupenya (kuingia) katika ulimwengu wa roho ambao macho

yetu hayauoni tu.

Ulimwengu wa Roho

Luka 24:13-52Lakini kwa kuwa hawakuruhusiwa

(hawakuwezeshwa) kuchungulia rohoni, ndio maana hawakuweza kuona, mwanzo wala mwisho wa

kuondoka kwa Bwana Yesu. Katika macho yao Yesu alitoweka.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

4.Kwa Mfano wa

Bwana Yesu na WanafunziWaliomwona akipaa Mbinguni.

Matendo 1:9-11

Ulimwengu wa Roho

Matendo 1:9-11Kwakuwa waliruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa

roho, hawa wanafunzi wa Yesu, waliona jinsi Bwana Yesu akipaa juu kwenda mbinguni, (tangu mwanzo

kuondoka kwake mpaka mwisho wa upeo wa macho yao).

Ulimwengu wa RohoMatendo 1:9-11

Kwasababu waliruhusiwa kuchungulia rohoni, hivyo katika

kutazama kwao, Bwana Yesu hakutoweka ghafla katika macho

yao, bali waliona mwondoko mzima wa Bwana Yesu kutoka mwilini na kupenya kwake (kuingia) rohoni.

Ulimwengu wa Roho

Matendo 1:9-11

Lakini kama angekuwepo mtu miongoni mwao ambaye si

mwanafunzi wa Yesu, yamkini asingeona kuondoka kwa Bwana

Yesu, bali yeye angeona Yesu ametoweka tu mbele yao.

Ulimwengu wa RohoMatendo 1:9-11

Hii ingefanyika hivyo, kama tu mtu huyo (ambaye si mwanafunzi),

hajapewa ruhusa (hajawezeshwa) kuona mambo ya ulimwengu wa roho;

huyo, angeshitukia tu Yesu ametoweka mbele yao, lakini kumbe wakati wenzake wote wanamwona

Bwana Yesu akiondoka juu na mawingu.

Ulimwengu wa Roho

Ukweli muhimu kuhusu Ulimwengu wa roho

Waebrania 11:3An Important Fact about

The Spiritual Realm (world) Hebrews 11:3

Ulimwengu wa Roho

Hii ni kwasababuUlimwengu wa roho ndio

ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu

akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu

wa roho. Waebrania 11:3

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili.

KwahiyoHakuna kitu kinafanyka katika

mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika roho.

Waebrania 11:3

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili)

havikuumbwa kwa vitu vilivyo dhahiri (wazi wazi)’

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu

visivyo dhahiri (wazi wazi)’- (vitu vya kiroho) -

Ulimwengu wa Roho

Kwahiyo;Ulimwengu wa roho ndio

ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa, ndipo Mungu

akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka katika ulimwengu

wa roho. Waebrania 11:3

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,

Basi na mwili wa roho pia, upo”

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu

(vinavyotawala vya kimwili).

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta

mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu

vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko

katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa

mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4

Injili Kanisa Dhiki 33 7 30 3 ½ 3 ½ 3 ½

Milele

Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4

Injili Kanisa Dhiki 33 7 30 3 ½ 3 ½ 3 ½

Ulimwengu wa Roho

Ulimwengu wa Mwili Torati na Manabii Kuzaliwa Kalvari Neema

Injili 33

30 3 ½

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

Milele

Ulimwengu wa roho Neema Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 (1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4

Injili Kanisa Dhiki 33 7 30 3 ½ 3 ½ 3 ½

600 2000 Ulimwengu wa Roho 700

Ulimwengu wa Mwili (5) Yohana (Ufu 21:11-15)

(4) Daniel 7:13, 14, 27 (3) Isaya 9:6 Sasa

Neema Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

Milele

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili;

Na hii ina maana kwamba,

hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,

wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”- Photocopy -

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko

kama kivuli”- Photocopy -

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo

hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita.

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili

kuifunga mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki-mwilini) haikunyesha juu ya nchi,

kwa muda wa miaka 3 na nusu.

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na

misitu yote imepukutika; kwahiyo hakukuwa na kanuni za kutosha

kuruhusu mvua kunyesha.

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Eliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katika uliwengu wa roho, na Mungu

alimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki-mwilini) ikanyesha na

nchi ikazaa matunda yake.

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya1Wafalme 18:41-44;

Angalia hilo neno, “nasikia sauti ya mvua tele” (mst.41)

Hiyo haikuwa mvua ya mwilini, bali rohoni, kwasababu ni Eliya peke yake

aliyeisikia, na kutoa tangazo.

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Kabla ya Toba (Kumb 28:15-24)

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho Kabla ya Toba Baada ya Toba Baada ya Maombi

/ / / / / / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / / / / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / / Mvua ya rohoni /

/ / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / / / / / / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / /

/ / (mstari 44-45) / / / / Mvua ya Mwilini / / / / / / / / / / / /

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30‘Mungu ameshatubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa

roho; kama alivyotuchagua katika yeye, kabla ya kuwekwa misingi ya

ulimwengu, tuwe watakatifu’.

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo,

Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu

wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho hata kuleta mabadiliko

katika ulimwengu wa mwilini.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani, watu wa Mungu wengi wangeishi maisha magumu; na kumbe wa ni wenye baraka nyingi sana rohoni.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30Na sisi tusipoomba, baraka hizi zote,

zitabaki tu rohoni, wakati wewe unateseka huku duniani, kwa maisha

magumu; na kumbe sisi ni wenye baraka nyingi kutoka kwa Mungu.

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili;

Na hii ina maana kwamba,

hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo,

Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu

wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho hata kuleta mabadiliko

katika ulimwengu wa mwilini.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa

mwili; kwahiyo, hakuna kitu kitakachofanyika katika

U/mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika U/roho.

NAMNA YA KUOMBA

Mambo Muhimu ya Kufahamu, ili kujua;

NAMNA YA KUOMBA IPASAVYO

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho2. Namna ya kwenda rohoni

NAMNA YA KUOMBA

2. NAMNA YA KUMWENDEA MUNGU.

Namna ya kuingia rohoni.

NAMNA YA KUOMBANdio maana Biblia inasema;

“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”

(Waebrania 11:6)

MUNGU YUKO WAPI?

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!‘Mtu akinipenda, Mimi na Baba

tutampenda, na kuja kufanya makao ndani yake na kujifunua

(kujidhihirisha) kwake’Yohana 14:21,23

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwanzo 2:7 ‘Bwana Mungu akafanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akapuliza puani pumzi iliyo hai, mtu akawa nafsi hai’.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwili Nafsi Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Sehemu Kuu za Mwanadamu

Roho Nafsi Mwili

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, kumbe dirisha (tundu)

la kuingilia katika ulimwengu wa roho, haliko mbali nasi, liko

ndani yetu (rohoni).

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine

Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Kwahiyo, mtu wa Mungu akitaka kwenda rohoni,

kukutana na Ulimwengu wa roho, anaweza kwenda kwa njia

zifuatazo;

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1.Kwa njia ya Maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1.Kwa njia ya Maombi2.Kwa njia ya Ibada

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1.Kwa njia ya Maombi2.Kwa njia ya Ibada3.Kwa njia ya Ndoto

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1.Kwa njia ya Maombi2.Kwa njia ya Ibada3.Kwa njia ya Ndoto4.Kwa njia ya Maono

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1.Kwa njia ya Maombi2.Kwa njia ya Ibada3.Kwa njia ya Ndoto4.Kwa njia ya Maono

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1. Kwa njia ya Maombi

“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba

Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao” (Waebrania 11:6)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1. Kwa njia ya Maombi Mtu wa Mungu anapoingia katika, maombi, huwa anahamisha fikra zake

na hisia zake, kutoka katika mwili (ambako ndiko ameishi zaidi ktk siku nzima) na kuziweka katika roho yake,

mahali Mungu alipo (anaishi) ili kuwasiliana naye.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1. Kwa njia ya MaombiKwa njia ya maombi, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

2. Kwa njia ya Ibada

“Ingieni malangoni mwake kwa Kushukuru, ingieni nyuani mwake kwa kusifu” (Zaburi 100:1-5)

MUNGU ANAKAA WAPI?

Mungu anaishi ndani yetu!

Au hamjui ya kuwa miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu, na kwamba Mungu anaishi ndani yenu? (1Wakorintho 3: 9, 16)

Wewe ni HEKALU la Mungu

Patakatifu pa

Patakatifu Patakatifu

Uwanda wa Nje

UTUKUFU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwili Nafsi Roho

Nje Ptf PPP

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguUkitaka kukutana na Mungu

(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako

kutoka katika mwili na kwa njia ya maombi, na kuielekeza

rohoni mwako.

NAMNA YA KUINGIA ROHONINi muhimu tujue kwamba;

“Kusifu na kuabudu pia, kuna namna yake ya ajabu sana, ya

kukuingiza katika ulimwengu wa roho unapotaka kuomba, na

kukukutanisha utukufu wa Mungu kule ndani katika roho yako,”

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na

kuingia ndani yako (rohoni mwako), kwa njia ya maombi,

utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala

ulimwengu wa mwili

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

2. Kwa njia ya IbadaKwa njia ya ibada, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya Maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKwa kuwa ndoto si kitu mtu

anaweza kupanga, basi hawezi kuki-control. Ndoto ni kitu

ambacho utasubiri kikutokee.(Mungu akupe mwenyewe)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto20 Yusufu alitokewa na malaika wa

Bwana katika ndoto na kusema, “usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni

kwa uweza wa Roho Mtakatifu”.(Mathayo 1:20-25)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto

21 “Naye atamzaa mwana , nawe utamwita jina lake Yesu, kwa maana

yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”

(Mathayo 1:20-25)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini,

akamchukua Maria kuwa mke wake 25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka

Maria alipojifungua mwanaye wa kwanza na akamwita jina lake Yesu.

(Mathayo 1:20-25)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoMara nyingi unapokwenda kulala na ukaota ndoto, roho yako huwa inakwenda katika ulimwengu wa

roho na kukutana na mambo mengi sana.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKuamka usingizini na kuzinduka kutoka katika ndoto, kwa uhalisi ina maana kwamba, umerudi tu

mwilini kutoka katika ulimwengu wa kiroho ulikokuwa umekwenda

kwa njia ya ndoto.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKwa njia ya ndoto, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya Maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ndoto

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoKama ndoto, maono pia si kitu mtu

anaweza kupanga, basi hawezi pia kuki-control. Kama ndoto, maono ni kitu ambacho mtu

atasubiri kimtokee.(Mungu akupe mwenyewe)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoMaono ni kama ndoto, ni taswira

au maono ayaonayo mtu yakimtokea akiwa hajalala.

Mfano; Anaomba, Anatembea, Amekaa, Anafanya shughuli

zake, n.k.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono9 Mimi Yohana, ninayeshiriki

pamoja nanyi mateso kwa ajili ya Yesu, nilikuwa katika kisiwa

kiitwacho Patmo kwa ajili ya neno la Mungu na ushuhuda wa

Bwana Yesu. (Ufunuo 1:9-10)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono10 Nilikuwa katika Roho siku ya

Bwana (jumapili), nami nikasikia sauti kubwa ikisema, “Andika kwenye kitabu haya

yote unayoyaona, kisha ukipeleke kwa makanisa saba.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono‘Kisha nikaona, kiti cha enzi; mauti

na kuzimu zikawatoa wafu wake; wote, wakasimamishwa mbele za kiti cha enzi; vitabu

vikafunguliwa;’ (Ufunuo 20:11-15)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono‘na mtu yeyote ambaye hakuonekana ameandikwa

katika kitabu cha uzima, alitupwa katika ziwa la moto’

(Ufunuo 20:11-15)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoKwa njia ya maono, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu

visivyoonekana na kushikika lakini ni vitu halisi kabisa;

Ni vitu vilivyopo kabisaila hatuvioni tu.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, njia ya kuingilia katika

ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu.

(rohoni)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na

kuingia ndani yake (rohoni mwake), kwa njia ya maombi,

atakuwa amekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala

ulimwengu wa mwili

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni3. Nafasi/Mamlaka yako rohoni

NAMNA YA KUOMBA

3. MAMLAKA YA ROHONINafasi yako katika

Ulimwengu wa roho

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Tumeshajifunza kwamba Ulimwengu wa roho ndio unaotawala

ulimwengu wa mwili. Na hakuna kitu kinachoweza kufanyika katika ulimwengu wa kimwili mpaka

kwanza kimefanyika katika ulimwengu wa roho.

MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”

Zab 8:4-8

ADAM

MALAIKA

DUNIA

SHETANI

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Shetani akiijua siri hii, na akitaka kuwa mungu wa dunia, baada ya

kumwangusha Adam katika nafasi yake, alikwenda kuushika

ulimwengu wa roho na akawekeza majeshi yake yote katika ulimwengu wa roho ili atawale ulimwengu wa

mwili.

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

MUNGU

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15

Yohana 16:11

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1-2

1Yohana 5:19

Luka 4:5-8

2Korintho 4:3-4

MUNGU

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Warumi 5:14 Kwahiyo, mauti ikatawala (shetani) tangu wakati wa

Adamu hadi wakati wa Musa; mauti iliwatawala watu wote

hata wale ambao hawakuvunja amri kama alivyofanya Adamu

BAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:6/1:20-23 Akatufufua pamoja naye,

akatuketisha pamoja naye, katika Ulimwengu wa roho; aliomketisha Kristo Yesu siku aliyomfufua, juu

sana kuliko falme zote na mamlaka zote za mwilini na rohoni pia.

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:6 Waefeso 1:18-23

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM 1

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU + ADAM 2

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Ufunuo 5:8-10 Watu walionunuliwa kwa damu ya

Mwana-kondoo Yesu Kristo, wanafanyika Wafalme na

Makuhani; nao wanapewa kumiliki na kutawala juu ya nchi.

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni4. Namna ya Kupiga Vita rohoni

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONIMapambano yaliyopo katika

Ulimwengu wa roho

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONI

Rejea habari ya

Maombi ya DanielDaniel 10:1-14, 20

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Siku 21

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Siku 21

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Vita ya Siku 3

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

mfalmemfalme mfalme

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Siku 21

Uyahudi Uajemi Uyunani Siku 3

Ulimwengu wa Mwili

Siku 24

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

mfalme mfalme mfalme

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Siku 21

Uyahudi Uajemi Uyunani Siku 3

Ulimwengu wa Mwili

Siku 24

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

mfalmemfalme mfalme

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio

unaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, hakuna kitu

kitakachofanyika katika U/mwilini, mpaka kwanza

kimefanyika katika U/roho.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo

hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya

damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya

mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa

mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko

falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za

shetani duniani.

NGUVU YA MAOMBI

Na ndio maana Mungu anatuambia katika Neno lake kwamba,

‘tusijisumbue kwa jambo lolote maishani, bali katika kila jambo,

tusali na kuomba na kushukuru...’ (Wafilipi 4:6-7)

VITA VYA KIROHO

Matendo 19:18-20Inatufundisha kwamba, Usijaribu kupigana vita vya kiroho, kama

huna mamlaka ya kiroho.

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita Vyetu

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Kwahiyo;Mtu wa mungu anapokwenda

rohoni, ni lazima ajue kwamba, atakutana na adui shetani

anayetawala eneo lake (eneo linaloombewa)

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Hivyo basi, inampasa mtu wa Mungu anayetaka kuleta mabadiliko, ajue namna ya kupigana na adui shetani

juu ya maeneo anayoyaombea.Waefeso 6:12, 10-11,13

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Aina kuu 2 za silaha

1. Silaha za Ulinzi (mst.11)2. Silaha za Kupiga (mst.13)

Waefeso 6:12, 10-11,13

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za Ulinzi(Kujilinda) (Waefeso 6:13)

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)a) Kofia ya Chuma kichwani

(WOKOVU)Kwenda rohoni / vitani wakati

hujaokoka, ni kama kwenda vitani bila kofia ya chuma

(Warumi 10:9-10, Mdo 19:8-20)

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)

b) Gamba la chuma kifuani (UTAKATIFU)

Kwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, ni

kama kwenda vitani ulinzi kifuani. (1Pet 1:15-16, Kumb 23:14)

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)c) Mkanda wa Kweli kiunoni

(NENO LA KUIMARISHA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna

maneno ya kukuimarisha, ni kama kuvaa gwanda bila mkanda. (Yohana 17:17, Kolosai 3:16)

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)

d) Mabuti ya Utayari Miguuni (UTAYARI + UJASIRI)

Kwenda rohoni / vitani wakati huna ujasiri, ni kama kwenda vitani bila

mabuti ya jeshi/kazi. (2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7)

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)e) Ngao ya Imani mkononi

(UHAKIKA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna

uhakika (imani), ni kama kwenda vitani bila ngao mkononi.

(Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20-24)

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kupiga(Kushambulia)

(Waefeso 6:13)

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

a) JINA LA YESU Wafilipi 2:9-10, Marko 16:16-20Jina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo

Jina kuu zaidi, jina la Baba.Yoh 17:6,11

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

b) NENO LA YESU Waebrania 4:12, Waefeso 6:17Neno la Yesu lina nguvu zote na

mamlaka yote kwasababu, Neno ni Bwana Yesu mwenyewe.

Yoh 1:1-4

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

c) DAMU YA YESU Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7

Damu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu

ya Yesu ina Roho wa Yesu.Walawi 17:14

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

d) ROHO WA YESU 2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1Roho wa Yesu ana nguvu zote na

mamlaka yote kwasababu, Roho wa Yesu ni Uhai wa Mungu1 Wakorintho 2:11-12

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

e) JESHI LA MALAIKA WA YESU Ufunuo 19:10, Mathayo 26:52-53Malaika wa Yesu wana nguvu na

mamlkaka juu ya mashetani, ikiwa tu watapewa maagizo

Ufunuo 12:7-10, Zab 34:7, Zab 91

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni Namna ya Kupiga Vita rohoni 5. Namna ya Kuathiri rohoni (Nguvu ya Maombi)

NAMNA YA KUOMBA

5. NGUVU YA MAOMBINamna unavyoweza

Kuuathiri Ulimwengu wa Roho

NGUVU YA MAOMBI

Maombi yana nguvu ya ajabu sana ya kuuagiza Mkono wa Mungu au

Kuuingiza kazini Mkono wa Mungu

Isaya 45:11

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA MAOMBI

Isaya 45:11 Kwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya niamuruni

NGUVU YA MAOMBIMathayo 16:18-19

Mambo mtakayoyafunga ninyi duniani, ndipo yatakuwa

yamefungwa mbinguni; na mambo mtakayoyafungua

ninyi duniani, yatafunguliwa mbinguni

NAMNA YA KUOMBA

Daniel 4:17Vijana 4 waliojua namna ya

kuuathiri ulimwengu wa roho, walisabababisha Mfalme wa nchi

kuwa kichaa kwa muda.

NAMNA YA KUOMBADaniel 4:17

Hukumu hii (juu yako Mfalme, kukufanya kichaa kwa muda) imekuja kwa agizo la Walinzi

(Waombaji) Isaya 62:7-11

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kutembea juu ya maji, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Mathayo 14:22-33Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kugeuza maji kuwa divai (bila maabara), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 2:1-11Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kumponya aliyekuwa na upofu, bila kumfanyia operation ya macho, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Marko 8:23-25Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kumfufua mtu aliyekufa na kuoza, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 11:17-53Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa bila

kupita mlangoni wala dirishani, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 20:19-25/Luka 24:36-43Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kuinuliwa na kupaa juu kwenda mbinguni,

(bila baloon) kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za

kawaida za kimwili.Matendo 1:6-11

Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Na huu ndio utaratibu ambao Mungu alikusudia tuweze

kuutawala ulimwengu, pale kanuni za kimwili zinapotuzuia au

zinapokataa kufanya kazi kama tulivyotarajia (zinapotugomea).

Ulimwengu wa Roho

‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,

hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba

kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.

Yohana 14:12/16:7-8

Ulimwengu wa Roho

Kwahiyo, si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,

waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio

duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8

Ulimwengu wa RohoNdio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2

wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida

za kimwili.Kutoka 14:1-31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Ulimwengu wa RohoNdio maana Musa aliweza kutoa maji

kutoka kwenye mwamba na watu millioni 2 na wanyama wao, wote

wakanywa na kutosheka kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Kutoka 17:1-7Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Ulimwengu wa RohoNdio maana Joshua aliweza

kusimamisha mzunguko wa dunia hata jua likasimama mpaka

walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Ulimwengu wa RohoNdio maana Eliya aliweza kuzuia

mvua kwa miaka mitatu japo kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya

kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Ulimwengu wa RohoNa ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na

kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Ulimwengu wa RohoNdio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Matendo 3:1-16Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Ulimwengu wa RohoNdio maana Filipo aliweza kusafiri

kwa kupaa na kunyakuliwa (kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho

ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Matendo 8:26-40Kanuni za kimwili hazikumzuia.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Shetani akijua siri hii, alimwangusha Adam, kisha akaketi katika nafasi ya

kuitawala dunia rohoni, na akaviweka vikosi vya majeshi yake yote katika

ulimwengu wa roho, ili aweze kuitawala dunia.

Waefeso 6:12

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya

damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya

mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Na ndio maana, Mungu alipomfufua Yesu kutoka katika wafu, naye pia

alimketisha katika ulimwengu wa roho ili aweze kuitawala dunia ya mwilini.

Waefeso 1:18-21

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Na sio Yesu tu, bali Mungu akatufufua na sisi pia kutoka katika wafu, na

ktuketisha na sisi pia katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na

mamlaka za giza, ili tuweze kuitawala dunia ya mwilini.

Waefeso 1:18-21 / Waefeso2:6

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ni kutokana na kanuni ya uumbaji wa dunia; kwamba, ulimwengu wa

roho ndio ulioumbwa kwanza, kisha ukauzaa ulimwengu wa mwili; kwahiyo,

mtu akishika ulimwengu wa roho, anakuwa na uwezo wa kuutawala

ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili;

kwahiyo, Hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Utendaji kazi wa Mungu duniani, huanzia katika ulimwengu wa roho

kwanza. Mambo yakikamilika rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo

katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, siku yako/yetu ya kesho (future) ipo kamili kabisa katika

ulimwengu wa roho, na una uwezo wa kwenda rohoni kuirekebisha,

kabla haijazaliwa katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:20-21Bwana Yesu alipofufuka, alitufufua

na sisi kutoka katika mauti (dhambi), na akatuketisha mahali

alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa

mahali alipoketishwa yeye, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko

falme na mamlaka za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za

shetani duniani.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kupitia siri hii, tunaweza kutawala mambo yote ya mwili (physical

creation) kama tutaijua siri hii kuu ya ulimwengu wa roho na kama

tutajua namna ya kwenda na kuutawala ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI Namna ya Kuuathiri

Ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi.

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

1.Kufunga Mambo unayotaka yafungike

Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

2. Kufungua Mambo unayotaka yafunguke

Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka yafe kabisa

Marko 11:12-14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’

(Kuanzia leo Ufe kabisa)

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

4. Kuhuisha / Kufufua Mambo unayotaka yafufuke

Yohana 11:11-15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’

Ezekieli 37:1-14

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

5. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14-19

‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’Yohana 2:1-11, Isaya 38:1-5

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13-14,17)

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja

1Wakorintho 5:3-4Ingawa sipo nanyi kimwili, lakini mjue kwamba nipo nanyi kiroho

Wafalme 5:14-27

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

Tukijua siri hii ya maombi, jinsi yanavyoweza kubadilisha

ulimwengu wa roho, tutajibidiisha kuomba, ili kuleta

mabadiliko tunayotamani kuyaona katika maisha yetu,

duniani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu, Bidii na Nidhamu ya

kimaombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa MusaKut 24:1-18

Kut 34:29-35

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa JoshuaKut 24:1-18/32:9-19

Kut 33:7-11

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika

uwepo wa MunguKutoka 24:1-18/32:9-19

Wazee walishindwa kumsubiri Musa katika maombi, lakini Joshua aliweza kukaa siku zote 40.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo

wa MunguKutoka 33:7-11

Mzee Musa alichoka kuomba, akaondoka katika hema, lakini Joshua alikaa katika uwepo wa

Mungu hata kwa muda wa ziada .

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika

uwepo wa Mungu

Bidii na Nidhamu katika mambo ya Mungu, inalipa.

(Inakupa kibali mbele za Mungu)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua 3:77 Ndipo BWANA akamwambia

Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli

yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa

pamoja na Mose. (Nitafungua maji ya mto Jordan mbele yako)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Mfalme DaudiZab 63:1-3Zab 27:4

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Bwana Yesu alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa

katika uwepo wa MunguNa ndio maana, bidii yake na

nidhamu katika mambo ya Mungu, ilikuwa inamlipa.

(Inampa kibali mbele za Mungu)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Bwana YesuMath 14:22-23Luka 6:12,17-19

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia-kimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu

ajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Wengi wana Kiu, lakini hawana;Nguvu za kuomba muda mrefu.

Hebu tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba

kwa muda mrefu. Luka 22:40-46

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Bwana Yesu alipochoka kuomba, Mungu alimtia nguvu mpya ili azidi

kuomba mpaka kuvuka jaribu alilokuwa nalo. Hebu nasisi

tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba kwa muda

mrefu, ili tuvuke na kushinda. Luka 22:40-46

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu

maishani mwako, unategemea sana kiwango

cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:20Atukuzwe Mungu, awezaye

kutenda mambo ya ajabu mno, kuliko yote tuyaombayo au

tuyawazayo, kwa kadri ya nguvu zake zitendazo kazi ndani yetu.