HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU
D’Salaam Christian Workers
25 Agosti, 2011
Mwl. Mgisa Mtebe0713 497 654
ROHO MTAKATIFU NI NANI
Roho Mtakatifu ni;
1. Ni Mungu Mwenyezi2. Ni Nguvu ya Mungu3. Roho Mtakatifu ni Mtu
UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Siri ya Ushindi wetuUpo katika Kumtambua Roho Mtakatifu, katika Nafasi zake;1.Yeye ni Mungu2.Yeye ni Nguvu ya Mungu3.Yeye ni Mtu - Nafsi hai
UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Kumtambua Roho Mtakatifu,
Kama Mtu – Kumshirikisha yote Nguvu ya Mungu – Kumtegemea Kama Mungu – Kumtii 100%
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Kutokana na uthamani wa Roho Mtakatifu (delicate) na tabia yake ya
umakini (sensitive) na Mwitikio wake (response); Yesu alijua,
asipomtambulisha Roho Mtakaifu vizuri kwa kanisa, watamdharau na kumpuuza, eti kwasababu anatajwa
namba tatu.
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Matokeo yake ni kwamba, Roho Mtakatifu ataumia sana na
kuhuzunishwa sana; kwahiyo, na yeye atazificha nguvu zake na
atazima uwezo wake na msaada wake, aliokuja nao kwa kanisa.
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Kwa tabia za Roho Mtakatifu, Yaani, • Kwa jinsi alivyo mtulivu, • Kwa jinsi alivyo mtaratibu,• Kwa jinsi alivyo mkimya,• Kwa jinsi alivyo mpole, na • Kwa jinsi anavyoumia haraka• Kwa vile alivyo ‘delicate’ (kama glass ya thamani, lakini rahisi kuvunjika,)
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Ndio maana, Bwana Yesu alichukua muda mrefu sana,
kumtambulisha Roho mtakatifu kwa kanisa, ili kanisa lisije
kufanya kosa hilo, la kumtompa Roho heshima yake.
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Pamoja na upole wake, Bwana Yesu pia alijua jinsi Roho Mtakatifu alivyo ‘very strict’ (jinsi alivyo na msimamo mkali sana), yaani yuko ‘very strict’
kuliko Mungu Baba na ni ‘strict’ kuliko Mungu Mwana Bwana Yesu
mwenyewe.
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Pamoja na upole wake, Roho Mtakatifu yuko ‘very strict’ kuliko
Baba na Mwana.
Soma mwenyewe uone, Mathayo 12:22-32
SIRI YA KANISA LA LEO
Siri ya Kanisa la leo, ipo katika;1. Kumtambua Roho Mtakatifu 2. Kumthamini Roho Mtakatifu 3. Kumshirikisha Roho Mtakatifu4. Kumsikiliza Roho Mtakatifu5. Kumtii Roho Mtakatifu
SIRI YA KANISA LA LEO
Bwana Yesu alisema; ‘Ulimwengu hauwezi kumpokea kwasababu haumtambui, bali ninyi mnamtambua, kwahiyo
atakaa kwenu na kuwa ndani yenu’
(Yohana 14:17).
SIRI YA KANISA LA LEO
Siri ya Kanisa la leo, ipo katika; Kumbe siri ya ushindi na nguvu za Mungu maishani mwako, ni kumjua au kumtambua na kumheshimu tu Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu akipata heshima yake, anafungulia mito ya Baraka na nguvu za Mungu kwako.
ROHO MTAKATIFU
ROHO MTAKATIFU YUKO WAPI?
ROHO MTAKATIFU
ROHO MTAKATIFU YUKO WAPI?Yohana 16:7
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 16:7“Lakini amin nawaambia, yafaa
Mimi niondoke kwa kuwa nisipoondoka, huyo Msaidizi (Roho Mtakatifu) hatakuja
kwenu, lakini nikienda nitamtuma kwenu.”
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 7:37-39
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 7:37-3937 Siku ile ya mwisho ya Sikukuu,
siku ile kuu, wakati Yesu akiwa amesimama huko, akapaza sauti
Yake akasema, “Kama mtu ye yote anaona kiu na aje Kwangu
anywe.
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 7:37-3939 Yesu aliposema haya alimaanisha
Roho Mtakatifu ambaye wote waliomwamini wangempokea,
kwani mpaka wakati huo, kwasababu …
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 7:37-3939 Roho alikuwa hajaletwa,
kwa kuwa Yesu alikuwa bado hajatukuzwa (hajaondoka
kwenda katika Utukufu).
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-17
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-1712 Amin, amin, nawaambia, ye yote
aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya, naam na kubwa
kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda kwa Baba...
16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae
nanyi milele.
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-1717 Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi
kumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumjui. Ninyi mnamjua kwa
kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaa ndani yenu. 18 Sitawaacha
ninyi yatima, naja kwenu.
ROHO MTAKATIFU
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI?
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-171. Yupo Pamoja Nawe
(He is with you)
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yoel 2:28 ‘Katika siku za mwisho,
asema Bwana, nitamwaga Roho wangu juu ya wote
wenye mwili’.i.e. Kila mwenye mwili, Roho Mtakatifu yupo pamoja naye
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-171. Yupo Pamoja Nawe
(He is with you)Kazi yake:
Kukushuhudia(Yoh 16:8)
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yoh 16:8 “Huyo Roho atakapokuja, atashuhudia ulimwengu
kwa habari ya dhambi, haki na hukumu.”
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-172. Yupo Ndani yako
(He is in you)
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yoh 14:17Kwasasa, Roho Yupo nanyi, (lakini baadaye) atakuwa
ndani yenu.
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Rum 8:9Yeye asiye naye Roho, huyo si mali ya Kristo.
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yoh 3:3-6 Amini amini nakwambia, mtu
asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuona Ufalme wa Mungu. Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili, kilichozaliwa
kwa Roho ni Roho.
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Yohana 14:12-172. Yupo Ndani yako
(He is in you)Kazi yake:
Kutuzaa mara ya pilikatika Uzima wa milele.
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
3. Huwa anakuja juu yako(He is upon you)
Matendo 1:8Luka 24:49
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Matendo 1:8“Lakini mtapokea nguvu akiisha
kuwajilia Roho Mtakatifu juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu …
hadi miisho ya dunia.’’
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Luka 24:49 “Tazama nawaletea juu yenu ahadi ya Baba Yangu (RohoMtakatifu), lakini kaeni (subirini) humu mjini
Yerusalemu mpaka mtakapovikwa uwezo utokao juu.”
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Matendo 1:83. Huwa anakuja juu yako
(He is upon you)Kazi yake:
Kutupa uwezo (upako) waKuifanya kazi ya Mungu.
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
1Petro 4:11 “ …Ye yote ahudumuye maneno hana budi kuhudumu kwa nguvu zile apewazo na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo…”
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.
Matendo 10:38 “ … Jinsi Mungu alivyompaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho Mtakatifu na Nguvu; naye akawa akizunguka katika miji na vijiji, akiwaponya watu na kuwafungua wote walioonewa na ibilisi…”
ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGU
Kumbe basi;Pasipo nguvu za Mungu,
(UTUKUFU) mtu wa Mungu huwezi kufanikiwa katika
maisha yako hapa duniani.
ROHO MTAKATIFU
Kazi za Roho Mtakatifu
Yohana 14:26Yohana 16:13
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
1.Kutushuhudia kuhusu
Dhambi, Haki na Hukumu(Conviction)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
1. Kutushuhudia na Kutushawishi Yohana 16:7-8, Warumi 8:16,
Mfano;Matendo 2:37-41
‘wakachomwa mioyo yao’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
2.Kutuzaa mara ya Pili na
Kuumba Wokovu Ndani yetu(Salvation)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
2. Kutuzaa ktk Maisha Mapya (Wokovu/Kuokoka)
Yohana 1:12-13, Yohana 3:3-6, 1Wakorintho 12:3
Mfano;Matendo 2:37-41
‘wakachomwa mioyo yao’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
3.Kutujaza Nguvu za Mungu
Ndani yetu na Juu yetu(Power)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
3. Kutujaza Nguvu za Mungu Luka 24:49, Matendo 1:8
Mfano;Luka 4:1,14, 18-19
‘Akatembea kwa Nguvu za Roho na kuwa mtu maarufu ktk Uyahudi’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
4.Kutuongoza katika Maisha
ya Kila siku(Guide)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
4. Kutuongoza na Kutupasha habari Yohana 16:13, Warumi 8:14
Mfano;Matendo 16:6;
‘Wakakatazwa na Roho kwenda kuhubiri Asia, nao wakatii!’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
5.Kutufundisha Neno la Mungu kwa Ufunuo
(Revelation)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
5. Kutufundisha na Kutufunulia Siri za Neno la Mungu
Yohana 14:26, 1Wakor 2:9-12
Mfano;Luka 24:44-49;
‘Akawafunulia akili zao, wapate kuelewa maandiko!’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
6.Kutusaidia katika Kuomba
na Kutuombea(Intercession)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
6. Kutuwezesha Kuomba sawa na Mapenzi ya Mungu
Warumi 8:26-27, 1Wakor 2:9-11
Mfano;Matendo 12:1-5-17;
Kanisa linatiwa nguvu na Roho, ili kuomba kwa ajili ya Petro gerezani.
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
7.Kutusaidia katika
Kuamwabudu Mungu katika Roho na Kweli
(Spiritual Worship)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU7. Kutuwezesha Kumwabudu Mungu
katika Roho na Kweli Yohana 4:23-24,
Mfano;Matendo 2:1-13-18;
Walipojazwa Roho Mtakatifu, waliweza kumwadhimisha Mungu
kwa matendo yake makuu.
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
8.Kuusulubisha Mwili na
Tamaa zake(Crucify the Flesh)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU8. Kutuwezesha Kuusulubisha mwili
pamoja na tamaa zake. 1Wathes 4:1-4-7, Wagalt 5:16-24
Mfano;Warumi 7:15-25, Warumi 8:5-12
Paulo: Mambo mabaya nisiyotaka, nilijikuta ninayafanya, Yesu kwa Roho wake, akampa kuyashinda.
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
9.Kuvunja Pingu na Vifungo
(Deliverance)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU9. Kuvunja Vifungo na Vizuizi
maishani mwetu. 2Wakor 3:17, Luk 4:18-19
Isaya 10:27, Mathayo 12:28Mfano;
Luka 11:201Samweli 16:17-23Matendo 9:17-19,.
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
10.Kutuwezesha Kukua Kiroho
(Spiritual Growth)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU10. Kutuwezesha Kukua Kiroho. 2Wakor 3:6, 17-18, 2Petro 3:18
Waefes 4:11-15Mfano;
1Wakorintho 3:6-9Mimi nilipanda, Apolo akatia
maji, bali akuzae ni Mungu
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
11.Kuchipusha Karama na
Vipawa vya Kiroho(Spiritual Gifts)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU11. Kutupa Karama na Vipawa vya
Kiroho. 1Wakor 12:4-11, Warumi 12:6-13
1Wakorintho 14:1-5Mfano;
Kutoka 31:1-11Nimempa Bezaleli Upako (Roho) wa
kuchonga na kuchora kwa ustadi vitu vya nyumba ya Mungu
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
12.Kutunyakua kwenda
Mbinguni(Kutubadilisha Asili)(Change of Nature)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU12. Kubadilisha asili yetu na kutunyakua kwenda Mbinguni.Luka 1:30-38, Mdo 1:1-2,9
Mfano;Matendo 8:38-40
Walipomaliza ubatizo, Roho wa Mungu akamyakua Filipo kutoka Samaria mpaka Azoto bila usafiri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Pasipo, Nguvu za Mungu, (nguvu za kiroho)
mwanadamu hataweza kutawala mazingira yake kwa ukamilifu; hataweza kuwa na
ushindi kamili maishani.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya mwanadamu, duniani.
(‘It’s a necessity’)
KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, Bwana Yesu
Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja
ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za
Roho Mtakatifu”.
KWANINI ROHO MTAKATIFUNdio maana, na Bwana Yesu, aliwakataza wanafunzi wake
kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja
ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za
Roho Mtakatifu”.
KAZI YA ROHO MTAKATIFU
Kusudi kubwa mojawapo ambalo Mungu amemleta
Roho Mtakatifu kwalo, ni kuwa Kiongozi wa Kanisa katika nafasi ile ya Bwana Yesu
alipokuwa na kanisa siku zile za mwili wake.
KAZI YA ROHO MTAKATIFU
UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU
ROHO MTAKATIFU Yohana 14:12-29
“16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi
mwingine akae nanyi milele.
ROHO MTAKATIFU
Yohana 14:12-29‘’17 Huyo ndiye Roho wa kweli
ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu
haumwoni wala haumtambui.
ROHO MTAKATIFU
Yohana 14:12-29‘’17 … Ninyi mnamjua kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaa
ndani yenu.
SIRI YA KANISA LA LEO
“Msaidizi Mwingine”Ina maana ni
“Kama Yesu”(Katika Nafai ya Yesu).
Si mpungufu
SIRI YA KANISA LA LEO
Siri ya Kutembea na Nguvu za Mungu ipo katika utii wa
uongozi wa Roho Mtakatifu maishani mwako.
SIRI YA KANISA LA LEO
Kiwango cha nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea
kiwango cha utii unaompa Roho Mtakatifu, ambaye ni
Msaidizi wako.
SIRI YA KANISA LA LEO
Kiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu wako ktk • kuitambua sauti yake (signal)• kuisikia sauti yake (kuelewa) • kuitii sauti yake (kutenda)
SIRI YA KANISA LA LEO
Kiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu ulionao
kwa uongozi wa Msaidizi wako, Roho Mtakatifu.
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
NAMNA YA KUSIKIA SAUTI YA MUNGU NA
UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
A.Namna za KAWAIDAB.Namba ZISIZO KAWAIDA
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
A. NAMNA ZA KAWAIDA
A. Namna za KAWAIDA
1. Kwa Neno lake (Logos);
(Zab 119:105, 2Tim 3;16-17)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA
2. Kwa Ushuhuda wa moyoni (Sauti ya Ndani – ‘Rhema’) Isaya 55:8-11, Yer 29: 11
(1Kor 2:16, Rum 8:16) (2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA
3. Kwa Amani ya rohoni (Furaha/Uhuru)
(Isa 55:12, Kol 3:15)(Fil 4:6-7, Efe 4:1-3)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
A. Namna za KAWAIDA
4. Kwa njia ya Ndoto
(Math 1:18-25 Math 2;19-21)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
A. Namna za KAWAIDA
5. Kwa kutumia watu wengine.
(Math18:16, Mdo 6:3-6)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
B. NAMNA ZISIZO
ZA KAWAIDA
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA
6. Kwa njia ya Maono
(Mdo 10:1-19, Mdo 9:10-12)
(Mdo 16:9-10)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA
7. Kwa Neno la Maarifa
(1Kor 12:4-8; Mdo 5:1-11)(Math 12:22-28)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA
8. Kwa Neno la Hekima
(1Kor 12:4-8; 2Fal 2:19-21)(Yoh 9:1-7)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
B. Namna ZISIZO KAWAIDA
9. Kwa njia ya Unabii.
(1Kor 12;7-10, 1Kor 14:10) (Mdo 13:1-3)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
B. Namna ZISIZO KAWAIDA
10. Kwa Sauti ya Nje
(Mk 9:1-8, Mdo 9:1-9)(Yoh 12:28-30)
KUONGOZWA NA ROHO
KUONGEZA USIKIVU KWA SAUTI YA
ROHO MTAKATIFU
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
1. Maisha ya Utakatifu (Yoh 9:31, 2Wakor 6:14-18)
(1Pet 1:15-16, Isa 57:17)
VITA YA MWILI NA ROHO
(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
2. Kusifu na Kuabudu (Yoh 4:23-24, Zab 22:3)
(2Nyak 5:13-14)
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
3. Kusoma Neno kwa Bidii (Waebr 4:12, Wakol 3:16-17)
(2Tim 3:16-17)
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
4. Maombi ya Muda Mrefu (Wakol 4:2, 1Thes 5:17)
(Luka 6:12/18:1)
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
5. Kukusanyika katika Ibada (Math 18:19-20, Waebr 10:25)
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
6. Kuenenda kiroho(Katika Roho)
Wagal 5:16-25, Warum 8:5-121Wakor 1:1-9
KIROHO NA KIMWILI
Rohoni Mwilini
Tabia za rohoni Tabia za mwilini Upendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo, Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, Ulevi Utoaji, Kuhudumia, n.k. Uchawi, Mila mbaya, n.k.
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
7. Kutembea katika kiwango
Waebrania 5:11-14Wagalatia 4:1
Mathayo 17:1-9
KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;
7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge)
(1Sam 16:13, Zab 23:5) (Matendo 4:31)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kujaa Nguvu za Mungu
Kiwango, Kipimo, Ujazo
KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;
7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho
(Kutoka 24:1-8, Luka 6:13-16) Waebr 5:11-14, Waef 4:11-15)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUJAZWA ROHO Mt.
Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi
katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi
katika viwango vyake maalum.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.
Kutoka 24:1-18
7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18
^ 1st Class
^^^ 2nd Class
^^^^^^^^^^ 3rd Class
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.
Luka 6:13-16
NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU 1
3 122 70
3 120 500
1 (Yoh 21:19-24)
3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)
2 70 (Luka 10:1,17)
3 120 (Mdo 1:15)
500 (1Kor 15:3-8)
NGUVU YA SADAKA
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGAZI YA IMANILuka 6:13-16
Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu, bali tafuta kuongezeka katika
ngazi yako ndani ya Mungu
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Kuongozwa/Usikivu;
1. Utakatifu (1Pet 1:15-16, Isa 57:17)2. Kuabudu (John 4:23-24, Psa 22:3) 3. Maombi (Exo 24:12-18, Luk6:1219)4. Neno (Heb 4:12, Col 3:16)5. Ibada (Math 18:19-20)6. Kiroho (Wag 5:16, War 8:5-8)7. Kiwango (Efes 4:11-15, Ebr 5:11-14)
KUONGOZWA NA ROHO
VIZUIZI VYA KUSIKIA UONGOZI WA
ROHO MTAKATIFU
VIZUIZI VYA KUONGOZWA Maisha ya Kinyume cha Masharti;
1. Kuishi katika Dhambi na Uasi.2. Kukosa kuabudu kirefu (binafsi).3. Kukosa maombi ya kutosha.4. Kukosa mafundisho ya Neno la Mungu5. Kukosa ibada (za pamoja).6. Kuenenda kimwili (Tabia za kimwili). 7. Kukosa Ujazo na Kiwango cha kiroho.
SIRI YA KANISA LA LEO
SIRI YA USHINDI WA
KANISA LA LEO
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA LEO;Ipo katika …
Kumtambua na kumpokea Roho Mtakatifu katika maisha yetu, sisi
kama kanisa la Kristo, na kumfanya Roho Mtakatifu kama mwenzetu au
mwenza wetu (partner)
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
SIRI YA KANISA LA LEO;Ipo katika …
Kumtambua na kumpokea Roho Mtakatifu katika maisha yetu, sisi
kama kanisa la Kristo, na kumfanya Roho Mtakatifu kama mwenzetu au
mwenza wetu (partner)
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Kwasababu …
ROHO MTAKATIFU
Roho Mtakatifu ni;
1. Ni Mungu Mwenyezi2. Ni Nguvu ya Mungu3. Roho Mtakatifu ni Mtu
(Nafsi iliyo hai)
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Huduma na Karama za
Roho MtakatifuKatika Kanisa.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
KUSUDI LA KANISANi Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira
yake, ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo
kizuri cha kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima katika maisha, ili kumwezesha mwanadamu, kumshinda adui
shetani na vizuizi vyake na kumwezesha kutawala maisha
yake na mazingira yake. (Mwanzo 1:26-28; Zaburi 8:4-8)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha
mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, na
kumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada,
(Mwanzo 1:26-28)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda
wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maisha
yako (inayotoka duniani).(Yohana 4:23)
VITA VYA ROHONI
Ni kwamba, kuna mapambano, kuna vita na upinzani
(mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu (kanisa la
Bwana Yesu Kristo).”(Mathayo 16:18-19)
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Summary KUSUDI LA KANISA – AWALI
1.KUMILIKI NA KUTAWALA2.KUSTAWI NA KUONGEZEKA3.KUMSIFU NA KUMWABUDU (KUMFANYIA IBADA)
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
KWANINI IBADA ?
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Ni Kwasababu, IDABA ndio kitu cha
kwanza kabisa katika moyo wa Mungu.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza
kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu
MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
UFUNUO 4:9-11/5:11-14
Mbinguni kuna malaika elfu elfu, wanaomsifu na
kumwabudu Mungu, usiku na mchana wakisema …
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
UFUNUO 4:9-11/5:11-14
… Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu, Bwana Mungu mwenyezi, mbingu na nchi
zimejaa utukufu wako …
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
UFUNUO 4:9-11/5:11-14
… Kwa maana wewe ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na
kwasababu ya mapenzi yako (matakwa yako na mahitaji
yako), vitu vyote vimeumbwa na vimekuwepo.…
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Yohana 4:23 Kwa maana Baba anawatafuta watu kama hao, ili wamwabudu;Na saa ipo na sasa saa imefika,
ambapo waabuduo halisi, watamwabudu Baba katika roho na
kweli;
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe
“UNAKETI” juu ya sifa za Israel
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe
“UNAKETI” juu ya sifa za Israel
“Inhabit” “Unaishi”
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza
kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu
MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Kumnyima Mungu ibada Ni kama kumnyima • Samaki maji• Mimea udongo• Binadamu hewa
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
“Kwa maana, Baba anawatafuta watu wa aina hiyo ili wamwabudu.” (Yohana 4: 23)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka
katik maisha yako.(Yohana 4:23)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha
mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, na
kumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada,
(Mwanzo 1:26-28)
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza
kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu
MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Malaika Ufunuo 4:9-11
Ufunuo 5:11-14
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Malaika Mwanzo 1:26-28
Zaburi 148 na 150
Adam
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Malaika
Kwasababu ya asili yetu na uhusiano tuliyonayo Adam na Mungu …
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Malaika … sisi binadamu tunaweza kumsifu na kumwabudu Adam Mungu, vizuri zaidi kuliko malaika wa mbinguni
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Malaika Ibada Nchi Adam
8/24=1/3
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Kwahiyo, kusudi la Mungu ni kumwezesha mwanadamu
kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, kwasababu ana maisha
mazuri duniani …(Mwanzo 1:26-28)
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Kwasababu, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira yake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka duniani
(kwa watoto wa Mungu).(Ufunuo 12:17)
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa
sana na mazingira mazuri.Kumbukumbu 8:6-18
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Mazingira yakitibuka, maisha yanatibuka, na maisha yakitibuka, ibada kwa Mungu pia, inatibuka.
Hivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira
yake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka duniani.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Kwahiyo, kusudi la Mungu ni kumwezesha mwanadamu
kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, kwasababu ana maisha
mazuri duniani …(Mwanzo 1:26-28)
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ndio maana tunapokumbuka kuzaliwa kwa Bwana Yesu
duniani, (kama Adam wa pili), tunakumbushwa kwamba,
alizaliwa kwanza kama Mfalme na sio Kuhani, ili kurudisha
mamlaka ya Mungu duniani.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Kusudi la kanisa, ni Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira yake, ili
binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo kizuri
cha kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Nguvu za Mungu ni za lazima katika kumwezesha mwanadamu
kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, kwasababu ana maisha
mazuri duniani …(Mwanzo 1:26-28)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ili kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu,
Mungu alimuumbia mfumo wa uungu katika utu wake wa ndani, ili
atende kazi duniani kwa kutumia Nguvu za Mungu.(Mwanzo 1:26-28)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kumbe basi; (Zaburi 8:4-8)Pasipo kuwa na Sura ya Mungu
na Mfano wa Mungu (yaani UTUKUFU au Nguvu za Mungu), mtu wa Mungu huwezi kumiliki
na kuitawala dunia yake. (mambo yake)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
• Biashara Zaburi 8:4-8• Shamba• Mifugo • Masomo • Familia • Kazi • Afya• Mipango
Haiwezekani kuitawala Dunia
pasipo nguvu (utukufu) wa
Mungu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda
wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katik maisha
yako.(Yohana 4:23)
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3 MUNGU ANAISHI KATIKA
IBADA na SIFA.Kwahiyo, Ibada ndio kitu cha
kwanza kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu
Neno;
Yohana 4:23 Kwa maana saa ipo na sasa saa imefika, ambapo waabuduo halisi,
watamwabudu Baba katika roho na kweli; kwa maana Baba anawatafuta
watu kama hao, ili wamwabudu.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Na ndio maana hata Mfalme Daudi anaandika kutukumbusha akisema;
“… Kila mwenye pumzi Na amsifu Bwana. ”
(Zaburi 150:1,6)
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Viumbe wote tumeumbwa kama vyombo vya ibada kwa Mungu.
Kumsifu na Kumwabudu Mungu ndio sababu kuu na ya kwanza
kwanini sisi viumbe wote tumeumba na Mungu.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
IBADA NA SADAKAYohana 4:23-24
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Yohana 4:23-24 Na saa ipo na sasa saa imefika,
ambapo waabuduo halisi, watamwabudu Baba katika roho na kweli; Kwa maana
Baba anawatafuta watu kama hao, ili wamwabudu;
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe
“UNAKETI” juu ya sifa za Israel
NGAZI (LEVELS) ZA KANISA
WEWE BINAFSI NI HEKALU 1Wakorintho 6:19-20 ‘Mwili wako ni Hekalu (Nyumba ya Ibada) ya Roho
Mtakatifu; kwa ajili ya kumsifu na kumtukuza Mungu aliyekuumba.
KANISA LA MTU BINAFSI1Wakorintho 6:19-20
19 Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho
Mtakatifu, akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe;
KANISA LA MTU BINAFSI1Wakorintho 6:19-20
20 kwa maana mmenunuliwa kwa gharama. Kwa hiyo
mtukuzeni Mungu katika miili yenu na katika roho zenu
ambazo ni mali ya Mungu.
KANISA LA MTU BINAFSIZABURI 150:1-6
6 Kila mwenye pumzi amsifu Bwana, kwa sauti kuu, kwa
zeze, kwa filimbi, kwa zomari, kwa matari, kwa vinubi na kwa
matoazi yavumayo sana.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
SummaryKUSUDI LA KANISA – AWALI
1.KUMILIKI NA KUTAWALA2.KUSTAWI NA KUONGEZEKA3.KUMSIFU NA KUMWABUDU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26,2826 Tufanye mtu kwa sura yetu na
kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso
wa dunia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26-1828 Mungu akaumba Mwanaume na
Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia,
zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.
KUSUDI LA KANISA
Ufunuo 5:9-109 Wewe Mungu … unastahili
heshima zote, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako
ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa.
(yaani kanisa).
KUSUDI LA KANISA
Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa
wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao
wanamiliki dunia.’’
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ufunuo 5:8-10
Ufalme Makuhani
Kutawala Ibada
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ndio maana tunapokumbuka kuzaliwa kwa Bwana Yesu
duniani, (kama Adam wa pili), tunakumbushwa kwamba,
alizaliwa kwanza kama Mfalme na sio Kuhani, ili kurudisha
mamlaka ya Mungu duniani.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha
mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili
mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa
chombo kizuri cha ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 8:4-8Mwanadamu ni nani hata
umemwangalia hivi? Umemfanya mdogo
kidogo tu kuliko Mungu,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 8:4-8ukamvika taji ya Utukufu na
heshima, ukamtawaza juu ya kazi za mikono yako, ukavitia vitu vyote chini
ya miguu yake…
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 8:4-8Hilo neno “juu ya” = (Over All)
= Mkuu = Mtawala
“Mashal” = Mfalme (Kiebrania) = Mwakilishi
= Mungu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-19
18 Na milango ya kuzimu haitaweza kulishinda kanisa
langu nitakalolijenga (kwa mfumo huu).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-19
19 Kwa maana nitawapa funguo za Ufalme, na mambo
mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa
(mbinguni);
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-19
19 … na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa
(mbinguni)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana,
bali nchi amewapa wanadamu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha
mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili
mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa
chombo kizuri cha ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ili kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu,
Mungu alimuumbia mfumo wa uungu katika utu wake wa ndani, ili
atende kazi duniani kwa kutumia Nguvu za Mungu.(Mwanzo 1:26-28)
1. WOKOVU - KUOKOKA
Mwanzo 1:26-28/Zaburi 8:4-8Mungu aliitengeneza dunia katika
namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka
ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.
1. WOKOVU - KUOKOKA
Mtu wa Mungu, hataweza kuuathiri na kuutawala
Ulimwengu wa roho na kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa
mwili, kama hajaketishwa na kumilikishwa Ulimwengu wa
roho kupitia Wokovu wa Bwana Yesu.
1. WOKOVU - KUOKOKAWaefeso 1:18-23/2:1-6
Mungu hawezi kukurithisha mamlaka ya Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika
ulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili kwa njia
ya Wokovu wa Bwana Yesu.
1. WOKOVU - KUOKOKA
Warumi 3:23/Warumi 5:12-19Mwanadamu alipofanya dhambi,
alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na
kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,
ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KABLA YA DHAMBI UTARATIBU ULIKUWA HIVI
KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)
Msaada Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Zaburi 8:4-8
‘Mwanadamu ni nani hata umejalia kiasi hiki? Umemfanya mdogo
kidogo kuliko Mungu; ukamvika taji ya Utukufu na heshima,
ukamtawaza juu ya kazi za mikono yako; ukavitia vitu vyote chini ya
miguu yake’
MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”
Zab 8:4-8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
BAADA YA DHAMBI MAMBO YAKAWA HIVI
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 3:23“Watu wote wamefanya dhambi
na kupungukiwa na utukufu wa Mungu”
BAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
MUNGU
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Shetani akakaa katika nafasi ya Adam na
akavaa vyeo vyote vya Adam
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 5:12, 14Kwa kosa la mtu mmoja, mauti ilitawala wanadamu, hata wale
ambao hawakufanya kosa la Adam.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 2:14, 15“Kwa njia ya mauti, Yesu alimharibu
yule adui, aliyekuwa na nguvu ya mauti, yaani shetani”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
BAADA YA WOKOVU MAMBO YAKAWA HIVI
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1-6
1 Kwa habari zenu, mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu, 2 ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za
yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi
ndani ya wale wasiotii.
MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1-6
3 Sisi sote pia tuliishi katikati yao hapo zamani, tukifuata tamaa za
mwili na mawazo yake. Nasi kwa asili tulikuwa wana wa
ghadhabu, kama mtu mwingine ye yote.
MAMLAKA YA MKRISTO
Waefeso 2:1-64 Lakini Mungu, kwa upendo
Wake mwingi kwetu sisi, ambaye ni mwingi wa rehema,
MAMLAKA YA MKRISTO
Waefeso 2:1-65 hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu, alitufanya tuwe
hai pamoja na Kristo Yesu, yaani, mmeokolewa kwa
neema.
MAMLAKA YA MKRISTO
Waefeso 2:1-66 Mungu alitufufua pamoja na
Kristo na kutuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho
katika Kristo Yesu,
MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:12-13
12 kumbukeni kwamba wakati ule mlikuwa hamna Kristo,
mkiwa wageni katika jumuiya ya watu wa Mungu … mliishi
duniani mkiwa hamna tumaini wala Mungu.
MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:12-13
13 Lakini sasa katika Kristo Yesu, ninyi ambao hapo kwanza
mlikuwa mbali na Mungu, sasa mmeletwa karibu kwa njia ya
damu ya Kristo.
MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:22
22 Katika Yeye ninyi nanyi nyote mnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu
anaishi ndani yake kwa njia ya Roho Wake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, na wokovu wake, anaunganishwa
tena na Mungu, katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo
ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule katika bustani ya Eden.
MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:22
22 Katika Yeye ninyi nanyi nyote mnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu
anaishi ndani yake kwa njia ya Roho Wake.
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1-6
5 hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu, kwa
neema ya wokovu wake.
MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1-6
6 Mungu ali- tufufua pamoja na Kristo na kutu- ketisha pamoja
naye (juu sana) katika ulimwengu wa roho.
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU
Waefeso 1:18-23 Waefeso 2:6
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM 1
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU + ADAM 2
MAMLAKA YA MKRISTO
BAADA YA WOKOVU
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM - 1
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU + ADAM - 2
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yohana 17:22Ndio maana Bwana Yesu analisema…
“Baba, utukufu ule ulionipa, nimewapa wao (kanisa)”
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-109 Wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa
damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na
kila taifa (kanisa).
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa
wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao
wanamiliki dunia.’’
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ufunuo 5:8-10
Ufalme Makuhani
Kutawala Ibada
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha
mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili
mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa
chombo kizuri cha ibada.
1. WOKOVU - KUOKOKA
Waefeso 1:18-23/2:1-6Mtu wa Mungu, hataweza
kuuathiri Ulimwengu wa roho na kuleta mabadiliko katika
ulimwengu wa mwili, kama hajaketishwa na kumilikishwa
Ulimwengu wa roho kwa njia ya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.
1. WOKOVU - KUOKOKA
Mwanzo 1:26-28/Zaburi 8:4-8Mungu aliitengeneza dunia katika
namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka
ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.
1. WOKOVU - KUOKOKA
Warumi 3:23/Warumi 5:12-19Mwanadamu alipofanya dhambi,
alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na
kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,
ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.
1. WOKOVU - KUOKOKA
Waefeso 2:1-6/Ufunuo 5:8-10Lakini Mtu anapotubu dhambi zake
na kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena na Mungu na kupewa mamlaka
makuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Eva
katika bustani ya Eden.
1. WOKOVU - KUOKOKAWaefeso 1:18-23/2:1-6
Mungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka ya Ulimwengu wa roho ili
uweze kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili, kama
hajazaliwa mara ya pili. kwa njia ya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, na wokovu wake, anaunganishwa
tena na Mungu, katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo
ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule katika bustani ya Eden.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Huduma na Karama za
Roho MtakatifuKatika Kanisa.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Moja ya kanuni muhimu katika kanisa, inayoweza kusababisha
Kanisa kulitimiza kusudi la Mungu duniani, na kutembea na Nguvu za Mungu, ni watu
kuuheshimu Huduma na Karama za Roho Mtakatifu.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa
vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa
kulitimiza kusudi la Mungu.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Wakorintho 4:1-21 Basi, watu na watuhesabu sisi
ni watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za Mungu. 2 Zaidi ya hayo, litakiwalo ni
watumishi na mawakili waonekane kuwa waaminifu.
KUSUDI LA MUNGU – AGANO JIPYA
Marko 16:15-2015 Akawaambia, “Enendeni
ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16 Ye yote aaminiye na kubatizwa ataokoka.
Lakini ye yote asiyeamini atahukumiwa.
KUSUDI LA MUNGU – AGANO JIPYA
Marko 16:15-2017 “Nazo ishara hizi zitafuatana
na wale waaminio: Kwa Jina Langu watatoa pepo wachafu, watasema kwa lugha mpya …
KUSUDI LA MUNGU – AGANO JIPYA
Marko 16:15-2018 watashika nyoka kwa mikono yao na hata wakinywa kitu cho chote cha kuua, hakitawadhuru kamwe, wataweka mikono yao
juu ya wagonjwa, nao watapona.”
KUSUDI LA MUNGU – AGANO JIPYA
Marko 16:15-2019 Baada ya Bwana Yesu kusema nao, alichukuliwa juu mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa
Mungu.
KUSUDI LA MUNGU – AGANO JIPYA
Marko 16:15-2020 Kisha wanafunzi Wake wakatoka, wakahubiri kila
mahali, naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha
neno Lake kwa ishara zilizofuatana nao.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa
vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa
kulitimiza kusudi la Mungu.
Huduma na Karama
10. Huduma na Karama za Roho Mtakatifu
(1Wakorintho 12:4-11)
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-114 Basi kuna aina mbali mbali za
karama, lakini Roho ni yule yule. 5 Pia kuna huduma za
aina mbali mbali, lakini Bwana ni yule yule.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-116 Kisha kuna tofauti za kutenda
kazi, lakini ni Mungu yule yule atendaye kazi zote kwa watu
wote.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-117 Basi kila mmoja hupewa
ufunuo wa Roho kwa faida ya wote.
8 Maana mtu mmoja kwa Roho hupewa neno la hekima na
mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-119 Mtu mwingine imani kwa huyo
Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Kwa mwingine
matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa
mwingine kupambanua roho;
Misingi ya Kanisa
1Wakorintho 12:4-1110 … kwa mwingine aina mbali
mbali za lugha, kwa mwingine tafsiri za lugha. 11 Haya yote
hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia
kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa
vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa
kulitimiza kusudi la Mungu.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31Huduma na Karama katika kanisa, ni kama viungo katika mwili wa binadamu. Ili mwili
ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika
nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa.
Huduma na Karama
Lakini katika Kanisa la leo, maswala ya Karama na
huduma yamechanganwa sana na yamechakachuliwa sana
kiasi cha kuleta mvurugano na matatizo makubwa katika
utendaji wa kazi ya Mungu.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31Na kuna waumini wengi sana
katika kanisa, hawajui wito wao, karama zao na huduma
zao katika kanisa la Yesu, japo wana miaka mingi kanisani.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31Na kuna baadhi ya karama na
huduma katika Kanisa, zimefutwa au kuzimwa kabisa, eti kwa madai kwamba wakati wake ulikwisha kupita tangu enzi za mitume wa kwanza.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31 Na baadhi ya karama na huduma
katika Kanisa, zimefutwa au kuzimwa kabisa, eti kwa madai kwamba karama hizo zinaleta
vurugu katika Kanisa.(1Wathesalonike 5:19-23)
Huduma na Karama1Wathesalonike 5:19-23
19 Msimzimishe Roho (msiuzime moto au karama za Roho Mtakatifu), 20 msidharau
maneno ya nabii. 21 Jaribuni mambo yote. (halafu) Yashikeni yaliyo mema. 22 Jiepusheni na
lililo ovu (uovu wa kila namna).
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa
vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa
kulitimiza kusudi la Mungu.
Karama na huduma
Mathayo 16:18-19, Lakini katika Kanisa la leo,
nguvu za Kanisa zimepungua sana kwasababu kanisa
limesimamia misingi (misimamo) tofauti na ile aliyoiweka Bwana
Yesu katika Kanisa lake.
Karama na huduma
Mathayo 16:18-19, Na ndio maana, kanisa la leo,
halijaweza kuishi na kutembea katika mamlaka ya Mungu kama ilivyokusudiwa, kwamba Kanisa
limiliki na kuitawala dunia, ili watu waishi maisha mazuri.
Karama na huduma
Kanisa la leo limetegemea zaidi vyeti vya elimu za kibinadamu katika kuifanya kazi ya Mungu kuliko karama na uwezesho wa
Roho Mtakatifu.(Matendo 4:13)
Karama na huduma
Matendo 4:13-1413 Wale viongozi na wazee
walipoona ujasiri wa Petro na Yohana na kujua ya kuwa
walikuwa watu wa kawaida, wasio na elimu, walishangaa
sana, kumwona yule …
Karama na huduma
Matendo 4:13-1414 … aliyekuwa kiwete, ameponywa kabisa na
amesimama pale pale pamoja nao (kama uthibitisho); hivyo hawakuweza kusema lo lote
kuwapinga.
Karama na huduma
Matendo 4:13-1413 Wale viongozi na wazee
walipoona haya, walitambua kwamba, Petro na Yohana, japo
hawana elimu (ya dunia hii), lakini walikuwa pamoja na Yesu.
(imefafanuliwa)
Karama na huduma
Matendo 4:13-14Si kwamba, natetea ujinga (au
watu kutokwenda shule), Hapana, ila tu ninaonya
kwamba, elimu zetu, zisiwe juu ya elimu au maarifa ya Mungu,
(karama za Roho Mtakatifu).
Karama na huduma
Nguvu za Mungu zimepungua sana leo, kwasababu Kanisa la leo limetegemea zaidi vyeti vya
elimu za kibinadamu zaidi, katika kuifanya kazi ya Mungu kuliko karama na uwezesho wa
Roho Mtakatifu.
Karama na huduma
Mathayo 16:18-19, kwahiyo, Kanisa la leo, limekuwa dhaifu sana
kwasababu, kanisa limechakachua misingi sahihi
kama hii kutoka katika utaratibu na mpango wa Mungu juu ua
Kanisa lake;
Karama na huduma
Lakini kanisa la Kwanza, waliheshimu sana huduma na
vipawa vya mtu; Na ndio maana kanisa la kwanza, lilitembea katika nguvu kubwa sana za Mungu, enzi za huduma yao.
(Matendo 8:5-17)
Karama na huduma
Matendo 8:5-175 Filipo akateremkia mji mmoja
wa Samaria akawahubiria habari za Kristo. 6 Watu walipomsikia
Filipo na kuona ishara na miujiza aliyofanya, wakasikiliza kwa bidii
yale aliyosema.
Karama na huduma
Matendo 8:5-177 Pepo wachafu wakawa
wakiwatoka watu wengi, huku wakipiga kelele na wengi
waliopooza na viwete, wakaponywa. 8 Hivyo pakawa na furaha kuu katika mji huo.
Karama na huduma
Matendo 8:5-1714 Basi mitume waliokuwa
Yerusalemu waliposikia kuwa Samaria walipokea neno la
Mungu, wakawatuma Petro na Yohana waende huko.
Karama na huduma
Matendo 8:5-1715 Nao walipofika wakawaombea
ili wampokee Roho Mtakatifu, 16 kwa sababu Roho Mtakatifu
alikuwa bado hajawashukia hata mmoja ila wamebatizwa tu katika
jina la Bwana Yesu.
Karama na huduma
Matendo 8:5-1717 Ndipo Petro na Yohana
wakaweka mikono yao juu ya wale waliobatizwa, nao
wakapokea Roho Mtakatifu.
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Japo Filipo anakarama za miujiza na uponyaji, lakini aliheshi zaidi
huduma na karama ya Petro katika kuwaombea watu Ujazo
wa Roho Mtakatifu.
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Filipo aliwakaribisha akina Petro
kwa moyo mweupe ili kuja kuifanya huduma ya Bwana, bila
wivu wala kinyongo. (Hii ni tofauti sana na utendaji wa
kanisa la leo).
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Kanisa la leo lina mgongano na
vurugu na vinyongo na magomvi mengi na viburi vingi sana katika utendaji wa karama zake, kiasi
cha kuondoa kabisa utukufu wa Mungu kanisa.
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Karama na huduma hizi zimaleta
balaa badala ya baraka katika jamii za watu wa Mungu;
kwasababu zinafanywa kwa nia tofauti na kulijenga kanisa na
ufalme wa Mungu duniani.
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Karama na huduma hizi
zimekuwa zikifanyika kwa nia ya mashindano, kujinufaisha, na
kujitafutia utukufu binafsi na sio utukufu wa Mungu.
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Ndio maana Kanisa la leo lina
upungufu au ukavu wa nguvu za Mungu kwasababu ya
migongano ya karama na huduma za Roho Mtakatifu
katika kanisa.
Karama na huduma
Lakini kanisa la Kwanza, waliheshimu sana huduma na
vipawa vya mtu; Na ndio maana kanisa la kwanza, lilitembea katika nguvu kubwa sana za
Mungu.(Matendo 8:5-17)
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Kanisa la kwanza lilishirikiana vipawa na huduma kwa moyo mweupe bila vinyongo, choyo,
chuki, kiburi, mashindano, dharau, na wivu wa aina yoyote.
NGUVU YA KANISA
Ndio maana kanisa la kwanza waliweza kutembea na Nguvu
nyingi sana za Mungu, na kuwa na heshima katika jamii zao,
kwasababu walizingatia misingi ya kanisa la Mungu;
Mf; kuheshimu huduma+karama
UMOJA WA KANISA LA MUNGU
Moja ya kanuni muhimu katika kanisa, inayoweza kusababisha
(kuzalisha) Nguvu za Mungu ziletazo baraka za Mungu
katika maisha yetu, ni kuuheshimu Huduma na
Karama za Roho Mtakatifu.
Karama na huduma
Mathayo 16:18-19, kwahiyo, Nguvu ya Kanisa la leo
imepungua sana kwasababu, kanisa limechakachua misingi
kama hii kutoka katika vile viwango alivyoweka Roho
Mtakatifu katika Kanisa lake;
VIWANGO VYA MUNGU
Ili Mungu alitimize kusudi lake duniani kupitia kanisa lake, ni
lazima basi, kanisa lake litengeneze viwango na
mazingira fulani vya lazima (necessary conditions and
standards) vinavyotakiwa, ili lifanye kazi na Mungu duniani.
VIWANGO VYA MUNGU
Kukosekana au kupungua kwa viwango hivi muhimu katika
misingi/nguzo za kanisa, ndiko kumesababisha kupungua kwa utendaji wa mkono wa Mungu
katika kanisa la leo.
Misingi ya Kanisa
Kama Kanisa la leo litarudi katika kuumiliki ulimwengu, basi lazima
Kanisa lihakikishe watu wake tunazijua karama zao na
wanatembea katika huduma zao kwa nia ya kumtukuza Mungu tu
na kumshinda shetani.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Huduma na Karama za
Roho MtakatifuKatika Kanisa.
(1Wakorintho 12:4-11)
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-114 Basi kuna aina mbali mbali za
karama, lakini Roho ni yule yule. 5 Pia kuna huduma za
aina mbali mbali, lakini Bwana ni yule yule.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-116 Kisha kuna tofauti za kutenda
kazi, lakini ni Mungu yule yule atendaye kazi zote kwa watu
wote.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-117 Basi kila mmoja hupewa
ufunuo wa Roho kwa faida ya wote.
8 Maana mtu mmoja kwa Roho hupewa neno la hekima na
mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-119 Mtu mwingine imani kwa huyo
Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Kwa mwingine
matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa
mwingine kupambanua roho;
Misingi ya Kanisa
1Wakorintho 12:4-1110 … kwa mwingine aina mbali
mbali za lugha, kwa mwingine tafsiri za lugha. 11 Haya yote
hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia
kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa
vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa
kulitimiza kusudi la Mungu.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31Huduma na Karama katika kanisa, ni kama viungo katika mwili wa binadamu. Ili mwili
ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika
nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Wakorintho 12:4-6
Aina za Wito(Type of Ministry)
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Makundi Makuu (3)ya Wito/Utumishi
A. Huduma Kuu Tano (5)B. Karama Kuu Tisa (9)C. Masaidiano/Utenda-kazi 1Wakorintho 12:4-6
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Makundi Makuu (3)ya Wito/Utumishi
A. Huduma 5 - YesuB. Karama 9 - RohoC. Utenda-kazi - Baba 1Wakorintho 12:4-6
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
HUDUMA KUU TANO (5)ZA KANISA
1Wakorintho 12:28Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1. Mitume
Kuweka Misingi ya Imani
1Wakorintho 12:28Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
2. Manabii
Kupeleka Ujumbe kwa Kanisa
1Wakorintho 12:28Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
3. Waalimu
Kufundisha Neno kwa Kanisa
1Wakorintho 12:28Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
4. Wainjilisti
Kuleta Waumini Wapya (Kondoo) Kanisani (Kundini)1Wakorintho 12:28
Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
5. Wachungaji
Kulisha na Kulinda Waumini(Kondoo)
1Wakorintho 12:28Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
KARAMA KUU TISA (9)ZA KANISA
1Wakorintho 12:4-11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Makundi Makuu (3)ya Karama
A. Karama za UfunuoB. Karama za UsemiC. Karama za Udhihirisho
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
A. Karama za Ufunuo1. Neno la Maarifa2. Neno la Hekima3. Kupambanua roho
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
B. Karama za Usemi4. Karama ya Unabii5. Aina za Lugha6. Tafsiri za Lugha
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
C. Karama za Nguvu7. Karama ya Imani8. Karama ya Kuponya9. Karama ya Miujiza
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
HUDUMA ZA MASAIDIANO(Karama za Utendaji Kazi)
1Wakorintho 12:4-11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Karama za Utendaji Kazi1Wakorintho 12:4-11
• Maombezi Uratibu• Uimbaji Usimamizi• Utoaji Ukarimu• Ujuzi Uhudumu• Ufundi Kuonya
AINA YA WITO
MASAIDIANOMaombeziUimbajiUtoajiUjuziUfundiUratibu UsimamiziUkarimuUhudumu
KARAMANeno MaarifaNeno HekimaKupambanuaKarama UnabiiAina za LughaTafsiri LughaKarama ImaniKaram KuponyaKarama Miujiza
HUDUMAMitumeManabiiWaalimuWachungajiWainjilisti
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Vipimo au Viashiria (Specifications za)
Wito wa mtu.(Huduma na Karama)
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake
(huduma/karama)
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake
(huduma/karama) 2. Wito wa mtu (Huduma na
Karama yake) ni maalumu sana (Very Specific)
Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la Wito2. Mpango wa Wito3. Uwezo na Nguvu (Matokeo)4. Ngazi au Kiwango cha Wito5. Eneo la Wito 6. Kipimo au Kiasi cha Wito7. Muda wa Wito
Viashiria vya Wito wa Mtu
1.
Kusudi la Wito
Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la WitoKila kiungo katika Kanisa (Mwili
wa Kristo ) Kinafanya kazi duniani ili kutimiza Kusudi
moja Kuu la Mungu, la Kuujunga Ufalme wa Mungu
duniani.
Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la Wito
Kusudi Kuu la Mungu duniani lina sura Kuu Nne (4).
Viashiria vya Wito wa Mtu
Sura Nne za Kusudi la Mungu.1.Kumiliki na Kutawala Dunia2.Kumsifu + Kumwabudu Mungu3.Kufanikiwa na Kuongezeka4.Kuwatafuta na Kuwaleta Ndani
Watoto wa Mungu Walio Nje.
Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la WitoKila kiungo katika Kanisa (Mwili
wa Kristo ) Kinafanya kazi duniani ili kutimiza Kusudi
moja Kuu la Mungu, la Kuujunga Ufalme wa Mungu
duniani.
Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la Wito
Matendo 26:12-18Yohana 4:23-24
Mwanzo 1:26-28Marko 16:15-20
Viashiria vya Wito wa Mtu
2.
Mpango wa Wito
Viashiria vya Wito wa Mtu
2. Mpango wa WitoKila kiungo katika Kanisa (Mwili
wa Kristo ) Kimetengenezewa na Mungu, Mpango wake
maalum wa kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu duniani.
Viashiria vya Wito wa Mtu
2. Mpango wa WitoMpango wake maalum wa
kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu duniani, ni Mungu kuweka
Huduma na Karama mbalimbali katika Waumini wa Kanisa lake (Viungo vya Mwili wa Kristo).
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-114 Basi kuna aina mbali mbali za
karama, lakini Roho ni yule yule. 5 Pia kuna huduma za
aina mbali mbali, lakini Bwana ni yule yule.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-116 Kisha kuna tofauti za kutenda
kazi, lakini ni Mungu yule yule atendaye kazi zote kwa watu
wote.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-117 Basi kila mmoja hupewa
ufunuo wa Roho kwa faida ya wote.
8 Maana mtu mmoja kwa Roho hupewa neno la hekima na
mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:4-119 Mtu mwingine imani kwa huyo
Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Kwa mwingine
matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa
mwingine kupambanua roho;
Misingi ya Kanisa
1Wakorintho 12:4-1110 … kwa mwingine aina mbali
mbali za lugha, kwa mwingine tafsiri za lugha. 11 Haya yote
hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia
kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa
vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa
kulitimiza kusudi la Mungu.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31Huduma na Karama katika kanisa, ni kama viungo katika mwili wa binadamu. Ili mwili
ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika
nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa.
Viashiria vya Wito wa Mtu
2. Mpango wa WitoMpango wake maalum wa
kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu duniani, ni Mungu kuweka
Huduma na Karama mbalimbali katika Waumini wa Kanisa lake (Viungo vya Mwili wa Kristo).
UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2714 Basi mwili si kiungo kimoja,
bali ni viungo vingi. 15 Kama mguu ungesema, “Kwa kuwa
mimi si mkono basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya huo
mguu usiwe sehemu ya mwili.
UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2716 Na kama sikio lingesema, “Kwa kuwa mimi si jicho, basi
mimi si la mwili,” hiyo isingefanya hilo sikio lisiwe
sehemu ya mwili.
UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2717 Kama mwili wote ungelikuwa
jicho, kusikia kungekuwa wapi? Au kama mwili wote
ungelikuwa sikio, kunusa kungekuwa wapi?
UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2718 Lakini kama ilivyo, Mungu ameweka viungo katika mwili, kila kimoja kama alivyopenda.
19 Kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa
wapi?
UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2720 Kama ulivyo, kuna viungo
vingi, lakini mwili ni mmoja. 21 Jicho haliwezi kuuambia
mkono, “Sina haja nawe!” Wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu, “Sina haja na ninyi!”
UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-27
22 Lakini badala yake, vile viungo vya mwili
vinavyoonekana kuwa dhaifu, ndivyo ambavyo ni vya muhimu
sana.
UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2723 Navyo vile viungo vya mwili tunavyoviona havina heshima,
ndivyo tunavipa heshima maalum. Vile viungo vya mwili
ambavyo havina uzuri, tunavipa heshima ya pekee.
UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2724 Wakati vile viungo vyenye
uzuri havihitaji utunzaji wa pekee. Lakini Mungu
ameviweka pamoja viungo vya mwili na akavipa heshima zaidi
vile vilivyopungukiwa
UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-27
25 ili pasiwe na mafarakano katika mwili, bali viungo vyote vihudumiane usawa kila kimoja
na mwenzake.
UMOJA WA KANISA LA MUNGU
1 Wakorintho 12:14-2726 Kama kiungo kimoja kikiumia,
viungo vyote huumia pamoja nacho, kama kiungo kimoja kikipewa heshima, viungo
vyote hufurahi pamoja nacho.
Viashiria vya Wito wa Mtu
2. Mpango wa WitoKila kiungo katika Mwili wa Yesu
(Kanisa), kina uwezo binafsi ambao kimeumbiwa (kimejaliwa) na Mungu, kwa makusudi kamili
ya kutenda kazi kwa kutimiza kusudi maalumu.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake
(huduma/karama) 2. Wito wa mtu (Huduma na
Karama yake) ni maalumu sana (Very Specific)
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Timotheo 2:7Nami kwa kusudi hili
nimewekwa niwe Mhubiri na Mtume na Mwalimu wa watu
wa Mataifa katika imani na kweli.
Viashiria vya Wito wa Mtu
3.
Uwezo na Nguvu(Matokeo)
Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8
Yohana 20:21-22Luka 24:49Luka 4:1,14
Matendo 10:38
Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8
‘Naye Stephano, akijaa Neema na Nguvu za Mungu, alifanya
ishara na miujiza mikubwa miongoni mwa watu’
Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuYohana 20:21-22
‘Kama Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi; pokeeni
Roho Mtakatifu’ (Kwa kazi hiyo)
Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuMatendo 6:8
Yohana 20:21-22Luka 24:49Luka 4:1,14
Matendo 10:38
Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuLuka 24:49
‘Tazama nawaletea ahadi ya Baba; Lakini msitoke mjini
mpaka mtakapovikwa uweza utokao juu.’
Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuLuka 4:1,14
‘Baada ya Yesu kujazwa na Roho Mtakatifu, aliingia katika maombi ya siku 40; naye
akarudi katika nguvu za Roho’
Viashiria vya Wito wa Mtu
3. Uwezo na NguvuMatendo 10:38
‘Naye Mungu alimpaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho
Mtakatifu na Nguvu, naye akawafungua wote
walioonewa na ibilisi shetani ’
Viashiria vya Wito wa Mtu
4.
Eneo la Wito(Location + Group)
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1Timotheo 2:7Nami kwa kusudi hili
nimewekwa niwe Mhubiri na Mtume na Mwalimu wa watu
wa Mataifa katika imani na kweli.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Wagalatia 2:8Aliyemwezesha Petro kuwa
mhubiri wa Wayahudi, ndiye aliyeniwezesha mimi kuwa
mhubiri wa Mataifa.
Viashiria vya Wito wa Mtu
4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12
7 Walipofika kwenye mpaka wa Misia, wakajaribu kuingia
Bithinia lakini Roho wa Yesu hakuwaruhusu.
Viashiria vya Wito wa Mtu
4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12
8 Kwa hiyo wakapita Misia, wakafika Troa. 9 Wakati wa usiku Paulo akaona maono,
mtu wa Makedonia amesimama akimsihi akisema,
Viashiria vya Wito wa Mtu
4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12
9 … “Vuka uje huku Makedonia ukatusaidie.” 10 Baada ya Paulo kuona maono haya, mara tulijiandaa kuondoka
kwenda Makedonia…
Viashiria vya Wito wa Mtu
4. Eneo la WitoMatendo 16:6-12
10 … tukiwa tumesadiki kwa sababu tuliona kwa hakika kwamba Mungu ametuita
kuhubiri habari njema huko.
Viashiria vya Wito wa Mtu
4. Eneo la WitoWagalatia 2:8
Yeremia 1:9-10Matendo 16:6-12
Viashiria vya Wito wa Mtu
5.
Muda wa Wito
Viashiria vya Wito wa Mtu
5. Muda wa WitoYohana 7:37-39
Wafilipi 3:12 2Timotheo 4:6-82Petro 1:12-15
Wagalatia 4:1-2
Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi
(Measure/Length) and
(Standard/Quality)
Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha KaziLuka 12:48
Wafilipi 3:13-142Timotheo 4:6-8
2Wakorintho 3:10-15Yohana 17:12
Viashiria vya Wito wa Mtu
7.
Ngazi ya Wito(Level)
Viashiria vya Wito wa Mtu
7. Kutembea katika kiwango
Waebrania 5:11-14Wagalatia 4:1
Mathayo 17:1-9
Viashiria vya Wito wa Mtu
7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge)
(1Sam 16:13, Zab 23:5) (Matendo 4:31)
Viashiria vya Wito wa Mtu
Kujaa Nguvu za Mungu
Kiwango, Kipimo, Ujazo
Viashiria vya Wito wa Mtu
7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho
(Kutoka 24:1-8, Luka 6:13-16) Waebr 5:11-14, Waef 4:11-15)
Viashiria vya Wito wa Mtu
Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi
katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi
katika viwango vyake maalum.
Viashiria vya Wito wa Mtu
Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.
Kutoka 24:1-18
Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18
^ 1st Class
^^^ 2nd Class
^^^^^^^^^^ 3rd Class
Viashiria vya Wito wa Mtu
KIWANGO CHA WITO WAKO
Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.
Luka 6:13-16
NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU 1
3 122 70
3 120 500
1 (Yoh 21:19-24)
3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)
2 70 (Luka 10:1,17)
3 120 (Mdo 1:15)
500 (1Kor 15:3-8)
NGUVU YA SADAKA
Viashiria vya Wito wa Mtu
NGAZI YA WITO WAKO
Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu tu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi ya utumishi wako
ndani ya Mungu, katika wito ambao Mungu amekupa.
Viashiria vya Wito wa Mtu
7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18
Luka 6:12/10:1-2,17-20Matendo 5:12-13Matendo 15:1-22
Wagalatia 1:18-19/2:11-12
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
Huduma na Karama za Roho Mtakatifu ni uwezo na vipawa
vya Mungu ndani ya watu wake, vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa
kulitimiza kusudi la Mungu.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31Huduma na Karama katika kanisa, ni kama viungo katika mwili wa binadamu. Ili mwili
ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika
nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa.
Huduma na Karama
Lakini katika Kanisa la leo, maswala ya Karama na
huduma yamechanganwa sana na yamechakachuliwa sana
kiasi cha kuleta mvurugano na matatizo makubwa katika
utendaji wa kazi ya Mungu.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31Na kuna waumini wengi sana
katika kanisa, hawajui wito wao, karama zao na huduma
zao katika kanisa la Yesu, japo wana miaka mingi kanisani.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31Na kuna baadhi ya karama na
huduma katika Kanisa, zimefutwa au kuzimwa kabisa, eti kwa madai kwamba wakati wake ulikwisha kupita tangu enzi za mitume wa kwanza.
Huduma na Karama
1Wakorintho 12:12-31 Na baadhi ya karama na huduma
katika Kanisa, zimefutwa au kuzimwa kabisa, eti kwa madai kwamba karama hizo zinaleta
vurugu katika Kanisa.(1Wathesalonike 5:19-23)
Karama na huduma
Mathayo 16:18-19, Ndio maana, Kanisa la leo,
limekuwa dhaifu sana kwasababu, kanisa
limechakachua misingi sahihi kama hii kutoka katika utaratibu
na mpango wa Mungu.
Karama na huduma
Lakini kanisa la Kwanza, waliheshimu sana huduma na
vipawa vya mtu; Na ndio maana kanisa la kwanza, lilitembea katika nguvu kubwa sana za Mungu, enzi za huduma yao.
(Matendo 8:5-17)
Karama na huduma
Matendo 8:5-175 Filipo akateremkia mji mmoja
wa Samaria akawahubiria habari za Kristo. 6 Watu walipomsikia
Filipo na kuona ishara na miujiza aliyofanya, wakasikiliza kwa bidii
yale aliyosema.
Karama na huduma
Matendo 8:5-177 Pepo wachafu wakawa
wakiwatoka watu wengi, huku wakipiga kelele na wengi
waliopooza na viwete, wakaponywa. 8 Hivyo pakawa na furaha kuu katika mji huo.
Karama na huduma
Matendo 8:5-1714 Basi mitume waliokuwa
Yerusalemu waliposikia kuwa Samaria walipokea neno la
Mungu, wakawatuma Petro na Yohana waende huko.
Karama na huduma
Matendo 8:5-1715 Nao walipofika wakawaombea
ili wampokee Roho Mtakatifu, 16 kwa sababu Roho Mtakatifu
alikuwa bado hajawashukia hata mmoja ila wamebatizwa tu katika
jina la Bwana Yesu.
Karama na huduma
Matendo 8:5-1717 Ndipo Petro na Yohana
wakaweka mikono yao juu ya wale waliobatizwa, nao
wakapokea Roho Mtakatifu.
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Japo Filipo anakarama za miujiza na uponyaji, lakini aliheshi zaidi
huduma na karama ya Petro katika kuwaombea watu Ujazo
wa Roho Mtakatifu.
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Filipo aliwakaribisha akina Petro
kwa moyo mweupe ili kuja kuifanya huduma ya Bwana, bila
wivu wala kinyongo. (Hii ni tofauti sana na utendaji wa
kanisa la leo).
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Kanisa la leo lina mgongano na
vurugu na vinyongo na magomvi mengi na viburi vingi sana katika utendaji wa karama zake, kiasi
cha kuondoa kabisa utukufu wa Mungu kanisa.
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Karama na huduma hizi zimaleta
balaa badala ya baraka katika jamii za watu wa Mungu;
kwasababu zinafanywa kwa nia tofauti na kulijenga kanisa na
ufalme wa Mungu duniani.
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Karama na huduma hizi
zimekuwa zikifanyika kwa nia ya mashindano, kujinufaisha, na
kujitafutia utukufu binafsi na sio utukufu wa Mungu.
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Ndio maana Kanisa la leo lina
upungufu au ukavu wa nguvu za Mungu kwasababu ya
migongano ya karama na huduma za Roho Mtakatifu
katika kanisa.
Karama na huduma
Lakini kanisa la Kwanza, waliheshimu sana huduma na
vipawa vya mtu; Na ndio maana kanisa la kwanza, lilitembea katika nguvu kubwa sana za
Mungu.(Matendo 8:5-17)
Karama na huduma
Matendo 8:5-17Kanisa la kwanza lilishirikiana vipawa na huduma kwa moyo mweupe bila vinyongo, choyo,
chuki, kiburi, mashindano, dharau, na wivu wa aina yoyote.
NGUVU YA KANISA
Ndio maana kanisa la kwanza waliweza kutembea na Nguvu
nyingi sana za Mungu, na kuwa na heshima katika jamii zao,
kwasababu walizingatia misingi ya kanisa la Mungu;
Mf; kuheshimu huduma+karama
UMOJA WA KANISA LA MUNGU
Moja ya kanuni muhimu katika kanisa, inayoweza kusababisha
(kuzalisha) Nguvu za Mungu ziletazo baraka za Mungu
katika maisha yetu, ni kuuheshimu Huduma na
Karama za Roho Mtakatifu.
Karama na huduma
Mathayo 16:18-19, kwahiyo, Nguvu ya Kanisa la leo
imepungua sana kwasababu, kanisa limechakachua misingi
kama hii kutoka katika vile viwango alivyoweka Roho
Mtakatifu katika Kanisa lake;
VIWANGO VYA MUNGU
Ili Mungu alitimize kusudi lake duniani kupitia kanisa lake, ni
lazima basi, kanisa lake litengeneze viwango na
mazingira fulani vya lazima (necessary conditions and
standards) vinavyotakiwa, ili lifanye kazi na Mungu duniani.
VIWANGO VYA MUNGU
Kukosekana au kupungua kwa viwango hivi muhimu katika
misingi/nguzo za kanisa, ndiko kumesababisha kupungua kwa utendaji wa mkono wa Mungu
katika kanisa la leo.
Misingi ya Kanisa
Kama Kanisa la leo litarudi katika kuumiliki ulimwengu, basi lazima
Kanisa lihakikishe watu wake tunazijua karama zao na
wanatembea katika huduma zao kwa nia ya kumtukuza Mungu tu
na kumshinda shetani.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
Kutambua Huduma na Karama
Kutambua Huduma na Karama yako katika Kanisa
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
1. Kila mtu (mmoja mmoja) katika Kanisa ana wito wake
(huduma/karama/utendaji) 2. Wito wa mtu (Huduma na
Karama yake) ni maalumu sana (Very Specific)
Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la Wito2. Mpango wa Wito3. Uwezo na Nguvu (Matokeo)4. Ngazi au Kiwango cha Wito5. Eneo la Wito 6. Kipimo au Kiasicha Wito7. Muda wa Wito
Huduma na Karama
Kutambua Huduma na Karama
yako
Kutambua Huduma na Karama
1. Mwombe Mungu (Omba)Fanya Maombi ya Muda mrefu
Yeremia 29:11-13Isaya 43:26
Wafilipi 4:6-7Zaburi 32:8
Kutambua Huduma na Karama
2. Tumika katika Kazi ya Mungu bila mipaka.
Panda mbegu asubuhi na jioni, hujui ni ipi itakayoota
Mhubiri 11:6
Kutambua Huduma na Karama
3. Sikiliza Sauti ya Mungu (Uongozi wa Mungu) na Uangalie Uwezo Binafsi
ulionao (Neema).Chunguza Eneo unalotumika
vizuri zaidi kuliko mengine.Matendo 6:8
Kutambua Huduma na KaramaUwezo Binafsi (Neema).
Chunguza eneo unalotumika vizuri zaidi kuliko mengine (matokeo mazuri
zaidi).
Matendo 6:8‘Filipo akijaa Neema na Nguvu,
alifanya maajabu na ishara kubwa kati ya watu’
Kutambua Huduma na Karama
4. Mwombe Mungu Tena akupe Uthibitisho.(Comfirmation)
Fanya Maombi ya Muda mrefuLuka 4:1-14,18-19
Luka 6:12-19
Kutambua Huduma na Karama
5. Sikiliza ushauri (Uliza) Sikiliza ushauri kutoka kwa watendakazi na walezi wako
wa kiroho au kihuduma.
Kuthibitisha Wito wako
Kuthibitisha Wito Wako (Comfirmation)
Kuthibitisha Wito wako
Uthibitisho (Comfirmation)1. Amani na Furaha ya moyoni2. Kuridhika Kikusudi3. Uwezo mkubwa 4. Ushuhuda wa Wengine5. Matokeo Mazuri (Mafanikio)
Kuthibitisha Wito wako
Kuthibitisha Wito Wako (Comfirmation)
Isa 55:12/ Wafil 4:6-7/Kut 33:11-14Mk 16:15-20/Ebr 2:3-4/Yoh 5:31-36
Mathayo 18:16/Matendo 6:1-8
KANUNI ZA KIROHOHuu ndio Utaratibu wa Mungu
katika kuitawala dunia; kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza
katika ulimwengu wa kiroho, kwa msaada wa nguvu za kiroho
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani
mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi
ndani yako.
Mafundisho Mengine
Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa
Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la
Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive
Dar es Salaam.
Kwa mawasiliano zaidi,
Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)
P. O. Box 837,Dar es Salaam, Tanzania.
+255 713 497 654+255 783 497 654
Top Related