Uchaguzi wa Amani na wa Kuaminika Viongozi Waadilifu · nchi yetu ili watu wake wote waishi kwa...
Transcript of Uchaguzi wa Amani na wa Kuaminika Viongozi Waadilifu · nchi yetu ili watu wake wote waishi kwa...
1
Uchaguzi wa Amani na wa Kuaminika ...Viongozi Waadilifu
KAMPENI YA KWARESIMA 2017
2
© KCCB-Tume ya Kikatoliki ya Haki na AmaniMwaka wa kuchapishwa 2017
Afisi Kuu ya Baraza la Maaskofu Wakatoliki wa KenyaTume ya Kikatoliki ya Haki na AmaniWaumini House, WestlandsS.L.P. 13475-00800, NairobiSimu: (+254) 20 444112/4443906 au 722 457114Barua pepe: [email protected]: www.kccb.or.kewww.cjpckenya.org
Wahariri/Tafsiri: Wainainah Kiganya na Martin OmwangeMchoraji: Elijah NjorogeUsanifu na upambaji wa kurasa: Monicah Nyambura
Kimechapishwa na Acken Media Services, S.L.P 29276 Kangemi 00625 (Kenya); Simu +254 72233801Barua pepe: [email protected]
Ubunifu na utayarishajiKCCB-Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani
3
E Mungu, ulimpa mtumishi wako, Maurice Kadinali Otunga, neema ya kuwa mchungaji wa kipekee katika utumishi wa Kanisa; ukamfanya kuwa ishara ya unyenyekevu na mapenzi kwa maskini
na wasiobahatika katika jamii, huku akijinyima na kujitenga na anasa za dunia hii. Twakusihi utupe nasi uwezo wa kuzingatia imani kamili katika kutekeleza matakwa yote ya utumishi wa Kikristo, huku ukizibadili kila
nyakati na hali za maisha yetu kuwa nafasi za kukupenda wewe na majirani zetu kwa furaha na ukarimu, na kuutumikia ufalme wa Mungu kwa
unyenyekevu.
Tunakuomba kwa unyenyekevu umpe mtumishi wako, Kadinali Otunga, nafasi kwenye makao yako takatifu mbinguni, nafasi ambayo imeahidiwa waliokutumikia vyema duniani. Kwa maombi yake, libariki Kanisa lako,
nchi yetu, familia zetu na pia watoto, na ututimizie yote tunayokuomba ... (ongeza maombi na nia zenu).
Kupitia kwa Yesu, mwokozi wetu.Amina.
Sala ya Kumtakia Mtumishi wa MunguKutangazwa Kuwa Mtakatifu
4
SALA YA KUOMBEA UCHAGUZI WA AMANI
Mungu mwenye rehema na huruma, umetuzawadia nchi yetu ya Kenya na pia uraia wake. Tukiwa Wakenya na watu wenye
mapenzi mema, umetukabidhi jukumu la kujenga na kustawisha nchi yetu ili watu wake wote waishi kwa hadhi. Tukiendelea kulitumikia
taifa letu, tunakusihi utujaze zawadi za Roho Mtakatifu ili atuongoze kuamua tukifuata nuru ya Roho Mtakatifu na mafunzo ya Injili, hasa wakati
wa Uchaguzi Mkuu wa 2017.Tukipiga kura mwaka huu, wabariki Wakenya wote ili wajitwike jukumu lao la kijamii la kujiandikisha kupiga kura, kusali, kuchunguza masuala na pia wagombeaji uchaguzi, kisha kupiga kura wakiongozwa na dhamiri zao, bila
woga, kutishika wala kupendelea.Tunaomba, tukipiga kura katika Uchaguzi Mkuu, tuwakumbuke maskini,
wasiobahatika na kutilia maanani manufaa ya wote katika nchi yetu. Tunawaombea wawakilishi wetu wa kuchaguliwa ili wahudumu kwa busara na uangalifu, na kuchukua maamuzi ya haki na yanayozingatia kikamilifu
lengo la Katiba.Tunaomba kwamba viongozi wetu waliopo na watakaoshika nyadhifa za
uongozi siku zijazo wajitolee kwa manufaa ya wote nchini na kwa ufanisi wa taifa; ili++ haki iwe ngao yetu na mlinzi.
Tunaomba hayo kupitia kwa Yesu Kristo, Bwana wetu. Amina.
5
Yaliyomo
Dibaji Uchaguzi wa Amani na wa Kuaminika Viongozi Waadilifu..................................................................................................5
Utangulizi Kwaresima katika Kanisa Katoliki.........................................................................9
Juma la Kwanza Usalama..................................................................................................................10
Juma la Pili Vijana na Jamii.......................................................................................................13
Juma la Tatu Kuhifadhi na Kulinda Mazingira........................................................................17
Juma la Nne Uchaguzi ...............................................................................................................21
Juma la Tano Ukabila na Upendeleo wa Kiukoo.......................................................................25
Kiambatisho Michango ya Kampeni ya Kwaresima ya 2016..................................................29
6
Mwaka huu wa 2017 ni maalumu kwa Wakenya. Ni mwaka wa uchaguzi. Tunataka kushiriki kwenye uchaguzi tukiyafahamu kikamilifu yote yanayohitajika ili kuwachagua viongozi wema.
Ufahamu huo ni muhimu kwa sababu tumeshayaonja matunda ya mfumo wa ugatuzi na kutambua jinsi ya kuziimarisha serikali za majimbo.
Katika miaka minne iliyopita, kumekuwa na maombi na miito mingi ya kuwataka walio na majukumu ya uongozi kuimarisha juhudi na uwajibikaji katika nyadhifa mbali mbali wanazoshikilia. Kumekuwa na majaribio kadha ya kuwang’oa mamlakani baadhi ya magavana na mawaziri, kesi zimewasilishwa mahakamani dhidi ya wanaoshukiwa utumiaji mbaya na wizi wa pesa za umma, na mengineyo mengi. Ndiposa mada ya msimu huu kuhusu uchaguzi wa amani na wa kuaminika katika juhudi za kutafuta viongozi waadilifu ni muhimu. Ni lazima tuwe raia wanaotekeleza majukumu yao kikamilifu kwa kuwachagua viongozi watakaojali ipasavyo majukumu yao na wawe pia waadilifu.
Tunapaswa kutilia maanani umuhimu wa kuwachagua viongozi bila kujali makabila yao au mali walizo nazo, kama ilivyo sasa na siku zilizopita. Ni lazima tubadilishe kabisa jinsi tunavyowachagua viongozi. Wakati wa Kampeni ya Kwaresima ya mwaka huu, tungependa kuwahimiza watu wote wenye mapenzi mema kuwachagua viongozi kuzingatia maadili yao. Tunahitaji viongozi wanaojali kikamilifu majukumu yao, viongozi watakaotimiza ahadi wanazotupatia, watakaoshughulikia maslahi ya watu na kujali maadili na uwajibikaji.
Ili kutimiza lengo hilo, tunapaswa kuongozwa na mafunzo ya kijamii ya Kanisa. Ingawa Kanisa hutufunza tusikubali kamwe kuabudu pesa, kuna wengi ambao hushawishiwa kwa pesa ili kuwapigia kura watu fulani. Tunapaswa kuchunguza nia za wanaojitokeza kugombea uchaguzi na tupige kura kwa busara bila kuongozwa na tamaa ya pesa. (Tazama waraka wa Baba
Uchaguzi wa Amani na wa Kuaminika ...Viongozi Waadilifu
Dibaji
7
Mtakatifu Fransisko, Evangelium Gaudium 56)Kila mmoja wetu anapaswa kumwona jirani yake kama binadamu
mwenzake. Sheria haziwezi kutuondolea hofu, chuki au upendeleo bila sababu, na ubinafsi, mambo ambayo huharibu jamii. Tiba pekee ya maovu hayo ni upendo na kuwaona wengine kuwa majirani.
Kuwa jirani ni jambo la dharura, hasa kwa maskini na wenye shida mbali mbali. “Kila kitu mlichomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu wadogo, mlinitendea mimi” (Mathayo 25:40).
Tunapaswa kuwapenda hata na wale walio na mawazo tofauti nasi na hata maadui zetu. Injili haiwezi kutukomboa tukiwa bado tunawachukia maadui, hata kama tunachukizwa na matendo yao.
Usalama umeendelea kuwa mojawapo ya changamoto zinazokumba nchi hii. Tutaangazia suala hilo katika juma la kwanza la msimu wa Kampeni ya Kwaresima. Ili kuhakikishiwa usalama, tunapaswa kuwajibika katika matendo na mienendo yetu na wakati huo huo kuwataka viongozi wote tuliowachagua kuwajibika ipasavyo. Usalama ni muhimu katika nyanja nyingi za maisha yetu na ndiposa tunapaswa kujiuliza: Je, watoto ambao hawajazaliwa wako salama? Watoto wetu wako salama kutokana na mashirika, madhehebu na makundi ya watu wapendao sana vitu na mitindo ya kisasa, watumiaji na walanguzi wa dawa za kulevya? Je, mitandao ya kijamii ni salama kwa watoto wetu? Tunazo sera za kuwalinda watoto na hata watu wazima walio katika hatari ya kuathirika kwa urahisi? Tumehakikishiwa usalama katika maeneo yetu ya kazi? Biashara zetu zimelindwa? Orodha ya masuala yanayohusiana na usalama haina mwisho.
Mada ya juma la pili itakuwa ni Vijana na Jamii. Jamii yetu ina udhaifu mkubwa: kutoyapatia kipa umbele masuala ya vijana. Ni lazima tujiulize iwapo tunazo taratibu na mipango ya kuwasaidia vijana kujenga tabia na mienendo ifaayo, kuhakikisha wanakomaa katika misingi ya Kikristo na kujihusisha na anasa, starehe na raha za maana.
Kuhifadhi na kukinga mazingira ndiyo maudhui ya juma la tatu. Tunaarifiwa kuwa vifo vinavyosababishwa na saratani duniani vinazidi kuongezeka kila kukicha. Chanzo cha hali hiyo ni utumiaji mbaya wa rasilmali tulizofadhiliwa. Tumezoea kuchafua mito, kutumia kemikali hatari mashambani na kwenye nyumba za vioo na plastiki laini za kuhifadhia mimea, na kutupa ovyo takataka. Yote haya yameathiri afya zetu. Mabadiliko makubwa ya hali ya anga yameathiri jinsi tunaendesha shughuli zetu.
8
Tutajadili Uchaguzi katika juma la nne. Ni muhimu kufahamu kwamba hatuna budi kushiriki kikamilifu katika kutekeleza haki yetu ya kupiga kura. Hatuwezi kamwe kutarajia kupata viongozi waadilifu iwapo hatutajitokeza kupiga kura na kwa busara. Ni muhimu kwa wagombeaji uchaguzi kukubali matokea wakishindwa iwapo uchaguzi ni wa kuaminika, ni huru na wa haki. Yeyote aliye na malalamishi anafaa kufuata taratibu za kisheria na za amani kutafuta suluhu. Tunatambua kuwa upinzani hutekeleza jukumu muhimu, sawa tu na serikali. Lazima tuelewe kwamba bila upinzani thabiti, huenda viongozi wetu wasiwajibike ipasavyo. Tukumbuke pia kwamba umuhimu wa uchaguzi sio kushinda ama kujipatia fedha nyingi; ni utaratibu wa kuhakikisha kuwa nchi inapata maendeleo kuzingatia mkondo ufaao.
Tutaliangazia suala la Ukabila na Upendeleo wa Kiukoo mnamo juma la tano. Makabila yetu ni hali halisi ya maisha ambayo haiwezi kuepukika. Hata hivyo, makundi hayo ya kijamii hayafai kuwa kiini cha mzozo. Tunapaswa kufurahia wingi tulio nao wa makabila katika nchi yetu na kutafuta jinsi ya kuwashirikisha wengine katika kujivunia tamaduni zetu mbali mbali za kiasili zenye mengi ya thamani kubwa. Ndiposa hatupaswi kuitumia vibaya dhana ya ukabila kudunisha watu wa jamii nyingine, huku tukijidai kuwa kabila letu ndilo bora zaidi kuliko mengine yote nchini. Ukabila ni kinyume na mafunzo ya Kristo. Katika Wagalatia 3:27-28, Paulo anatukumbusha kwamba hakuna tena tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki, mtumwa na mtu huru, mwanamume na mwanamke. Sote tumeumbwa kwa mfano wa Mungu. Ndiposa ni lazima tuwatambue na kuwaheshimu wengine iwapo tunataka kuwa wana wa Mungu.
Katika msimu huu wa Kwaresima, tunahimizwa kufunga na kusali ili tupate viongozi wenye kuzingatia majukumu yao ipasavyo na kwamba hata nasi tutakuwa raia wazingatiao majukumu yao kikamilifu. Ninawahimiza mdumishe amani kabla ya uchaguzi, mnapopiga kura na baada ya kupiga kura kwa kujiepusha na fujo au misukosuko ya aina yoyote.
Mhashamu Askofu Cornelius arap Korir wa Jimbo la EldoretMwenyekiti, Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani
9
Kwaresima katika Kanisa Katoliki
Kwaresima ni kipindi cha siku 40 cha kufunga na kujinyima, kusali na kutubu kabla ya Pasaka. Kulingana na utamaduni wa Kikristo, msimu huu katika mwaka wa kiliturjia huanza Jumatano ya Majivu na kumalizika Jumapili ya Matawi. Ni adhimisho la kila
mwaka ambalo huwatayarisha waumini — kupitia sala, toba, kutoa zaka na kujinyima — kwa matukio yanayohusiana na mateso ya Yesu msalabani, na maadhimisho ya ufufuko wake. Wakatukumeni hubatizwa Jumapili ya Pasaka.
Kwa nini siku 40?
Nambari 40 ni muhimu katika maisha ya Wakristo. Musa na wana wa Israeli, kwa mfano, walitanga jangwani kwa miaka 40 wakijiandaa kwenda katika nchi waliyoahidiwa na Mungu. Musa alikaa juu ya
Mlima Sinai kwa siku 40 bila kula wala kunywa alipokuwa ameenda kupokea vibao vya mkataba ambao Mungu aliwawekea Waisraeli. Nyakati za Nuhu, gharika iliendelea kwa siku 40 mchana na usiku. Eliya alikaa siku 40 mchana na usiku juu ya Mlima Horebu bila chakula. Yesu naye alienda jangwani na kufunga kula na kunywa kwa siku 40 mchana na usiku.
Asili ya Kampeni ya Kwaresima Kenya
Kuzingatia wito wa kiroho wa msimu wa Kwaresima, Kanisa Katoliki katika Kenya liliazimia kuwapasha wananchi habari kuhusu matatizo yanayokumba jamii na kushirikiana nao kutetea mabadiliko. Kupitia
kwa Kampeni ya Kwaresima, Maaskofu wa Kanisa Katoliki huwaita Wakristo wote na watu wa mapenzi mema kuungana na kukabiliana na matatizo hayo, huku wakitetea mabadiliko. Kwa kuungana na maaskofu katika utetezi huo wa mageuzi, juhudi za kila mtu binafsi pamoja na sauti ndogo ya kila mmoja ikiunganishwa na ya wengine husikika mbali, nayo matendo ya kila mmoja huongezeka yakijumuishwa na ya wengine.
Utangulizi
10
Juma la KwanzaU
SALA
MA
11
Tazama: Simulizi
Katika kijiji cha Shauri Yako, paliishi watu ambao hawakuwa na maadili sawa. Hakuna aliyemjali mwingine, kwani kila mtu alikuwa na shughuli zake binafsi. Wazazi na walezi waliwaacha watoto wao
kuchungwa na vijakazi kwa sababu mbali mbali. Ubinafsi ndio ulikuwa kawaida miongoni mwa wanakijiji.
Usalama ulizorota na watu wakaanza kuumizwa na kutekwa nyara. Ikawa ni kawaida kwa nyumba kuvunjwa na mali kuibwa. Kukabiliana na tatizo hilo, kila mwanakijiji aliajiri walinzi zaidi, wakajizungushia nyua za stima na kuchukua hatua nyingine za kuimarisha usalama wa binafsi. Lakini hatua hizo hazikusaidia kuimarisha usalama kijijini.
Visa vya uhalifu vilivyozidi kuongezeka na tatizo la kuzorota kwa usalama likamgusa kila mwanakijiji, ndivyo wanakijiji waliendelea kutambua haja ya kushirikiana na kufanya kazi kwa pamoja. Walitambua umuhimu wa kumshirikisha chifu wao na wazee wa kijiji katika kujadili kuzorota kwa usalama na changamoto nyingi walizokumbana nazo.
Kwenye mkutano wa pamoja, walitambua kwamba kila mmoja alipuuza wajibu wake wa kumchunga jirani yake. Wakaazimia kubadili jinsi walivyoishi na kushirikiana katika kutafuta suluhu ya matatizo ya pamoja yaliyowakumba. Wakabuni taratibu za kuunganisha kila boma 10 na kukutana kila mara ili kuangazia masuala yaliyokumba maeneo yao. Kadhalika, waliwasilisha ripoti kila wiki kwa utawala. Utaratibu huo ulihakikishia wanakijiji wa Shauri Yako utendaji kazi kwa pamoja na kwa manufaa ya wote.
Amua: Uchunguzi wa hali halisiUsalama ni muhimu kwa maendeleo ya jamii. Mojawapo ya chanzo cha kuzorota kwa usalama, kama tulivyoona kwenye simulizi la leo, ni ubinafsi wa wanakijiji, kupuuzwa kwa vijana na kutowapa vijana mafunzo muhimu kwa maisha. Ugawaji usio sawa na haki wa rasilmali unaweza kuzusha fujo na kusababisha uhaba wa chakula. Kila mmoja wetu ana jukumu la kuhakikisha anatekeleza wajibu wake binafsi katika kukabiliana na umaskini na masuala mengine yawezayo kusababisha kuzorota kwa usalama.
Kwa kuzingatia kauli mbiu kwamba usalama unaanza nami, tunapaswa kushirikiana kikamilifu na maajenti wote wa usalama, kama vile polisi na maafisa wa upelelezi (CID). Hatuna budi kuyatupilia mbali mazoea ya kusema
12
‘hainihusu mimi’, hali ambayo hatimaye humwumiza kila mmoja wetu, kwani huwa hakuna anayemjali ndugu au dada yake. Hali hii inatukumbusha hadithi ya mkulima na mtego wa panya. Panya alimwendea jogoo akiomba msaada. Jogoo alimjibu kwamba mtego haukumhusu yeye kamwe. Jibu likawa lilo hilo kutoka kwa kondoo na ng’ombe. Hatimaye, mtego ukamnasa nyoka. Mkewe mkulima alipoenda kukagua kilichanaswa, akaumwa na nyoka na kufa. Waombolezaji walipofika kuungana na jamaa iliyofiwa, jogoo akawa wa kwanza kuchinjwa. Siku ya pili, kondoo akageuzwa kitoweo na wakati wa mazishi, ng’ombe akachinjwa ili kuwalisha waombolezaji.
Kila mmoja wetu na awe mlinzi wa ndugu yake kwa kuzingatia filosofia ya mwanafalsafa na mtaalamu wa masuala ya dini John S. Mbiti kwamba: “Nipo kwa sababu tupo na tupo kwa sababu nipo.”
Masomo Mwanzo 2:7-9; 3:1-7Zaburi 51Warumi 5:12-19Mathayo 4:1-11
Tafakari ya kiroho Mungu alimuumba mwanadamu, akampa chakula cha kutosha na utulivu wa akili mpaka wakati ambapo aliasi na kutenda dhambi. Ndiposa akatimuliwa kutoka kwenye shamba la Edeni na ikawa ni lazima atoe jasho milele ili kujilisha na kujivisha, na pia kumtafuta Mungu. Aliupoteza ule wema wa asili.Tunapotubu, kama tunavyoshauriwa katika Zaburi 51, Mungu atakuwa tayari kutusamehe. Ni kawaida kushawishiwa na mali na anasa za dunia lakini tunapaswa kumwomba Mungu atuepushe na vishawishi. Yesu alilitumia neno la Mungu kuweka mbali majaribu. Kukaa karibu na Mungu ndilo jambo pekee ambalo litatusaidia kumshinda yule mwovu. Adamu na Hawa waliingiwa na ulafi na wakafukuzwa kutoka bustani salama ya Edeni. Matendo ya mmoja huathiri wengine. Asili ya kuzorota kwa usalama ni tamaa ya uongozi, mali na kujitafutia sifa.
Tenda: Maswali ya kutafakari1. Ni matatizo gani ya usalama yanayokumba eneo lako?2. Ni mambo gani miongoni mwetu yasababishayo kuzorota kwa usalama?
13
3. Tukiwa Jumuia Ndogo ya Wakristo, ni hatua gani tunafaa kuchukua kudumisha usalama kwenye jamii yetu?4. Je, tumechangiaje katika kuzorota kwa usalama?5. Je, ni hatua gani thabiti tunaweza kuchukua kuimarisha usalama katika maeneo yetu? Kujichunguza1) Nimesoma Biblia?2) Ninasali kila siku?3) Nimesoma kitabu chochote cha masuala ya kiroho ama mambo ya dini?4) Nimetambua kwamba ninamhitaji Yesu katika maisha yangu?
14
Juma la PiliVI
JAN
A N
A JA
MII
15
Tazama: Simulizi
Kijiji cha Kambi Mawe kilisifika kote katika maeneo jirani kwa sababu ya kiwango cha juu cha masomo katika shule zake na mfumo wake bora wa elimu. Kwa sababu hiyo, wazazi wengi kutoka vijiji majirani
walipeleka watoto wao kusomea Kambi Mawe. Lakini hali imebadilika na mnamo siku za karibuni, kijiji hicho kimeanza kushuhudia viwango vya juu na vya kutia wasiwasi vya kuzorota kwa maadili. Mfumo bora wa elimu ambao Kambi Mawe ilijivunia umeanza kuzorota na matokeo yamekuwa ni ongezeko la visa vya fujo shuleni na katika jamii yote kwa jumla. Vyuo kadha vimeteketezwa na wanafunzi wengi kujeruhiwa.
Madhara ya misukosuko ya kijamii katika Kambi Mawe yaliwalazimu wanakijiji kuitisha mkutano uliowashirikisha maafisa wa utawala na viongozi wengine, ili kusaidia kuchunguza na kupanga mikakati ya kukabiliana na matatizo hayo. Mkutano huo ulikuwa umetangaziwa wanakijiji wote na walihudhuria kwa wingi. Waliorodhesha matatizo makubwa yaliyowakabili vijana kijijini na kusababisha misukosuko ya jamii, yakiwemo dawa za kulevya, itikadi kali, magenge yaliyojihami na madhehebu yenye mafunzo yasiyo ya kawaida, visa vya fujo shuleni na mahusiano ya kimapenzi ya waume kwa waume na wanawake kwa wanawake. Wote walikubaliana kuwa maovu yote hayo yalitokana na kuzorota kwa maadili kwenye jamii. Wazee wa kijiji walielezea wasiwasi wao kuhusu familia na wazazi ambao hawakuwa wanafanya juhudi za kutosha kuhakikisha wanawafunza watoto wao maadili mema.
“Hata wazee siku hizi wanawanajisi vijana na kuwachafua watoto,” akasema mzee mmoja kwa huzuni. Waliazimia kwamba ni muhimu kuwapa vijana fursa ya kutoa malalamiko yao. Kiongozi wa vijana alisisitiza haja ya viongozi wa jamii kuyatilia maanani malalamiko kuhusu matatizo waliyokumbana nayo na kukubaliana juu ya mbinu muafaka za kukabili tabia zilizoenda kinyume na maadili bora ya jamii, hasa katika shule. Alisema ingawa viongozi hawakukoma kusisitiza kuwa vijana ndio viongozi wa kesho, ukweli ni kwamba walikuwa wametengwa katika masuala ya maendeleo. Alilalamika kuwa vijana hukumbukwa tu wakati viongozi wanahitaji kuwatumia vibaya kwa uhuni wa kisiasa ama miradi mingine ya binafsi.
Wanakijiji pamoja na chifu wao waliazimia kwamba kukabiliana na misukosuko iliyokumba jamii yao, wazazi walipaswa kuimarisha uzingatiaji
16
wa maadili mema ya kijamii na kuhakikisha wanawashauri na kuwaongoza watoto wao kufuata tabia na mienendo ifaayo kila mara. Watawala nao wakishirikiana na viongozi wa jamii walikubaliana kushirikisha zaidi vijana katika masuala ya maendeleo, kujiamulia na kutekeleza mipango kijijini kwa lengo la kukabiliana na dhana ya vijana kutengwa. Kadhalika, mfumo huo mpya ungepatia baadhi ya vijana nafasi za kujipatia mapato.
Tatizo la athari za vyombo vya habari na baadhi ya mashirika ya kimataifa kwa vijana liliangaziwa pia. Ikaafikiwa kwamba mikakati iwekwe kuchunguza na hata kuzima baadhi ya shughuli za mashirika hayo, hata kama baadhi yake yanaleta maendeleo katika jamii.
Kamati iliundwa kushughulikia baadhi ya maswala yaliyowasilishwa na vijana na ambayo yaliangaziwa ipasavyo na hivyo basi kupunguza uhasama
Amua: Uchunguzi wa hali halisiVijana siku hizi wanakumbana na shida nyingi, na hasa kubaguliwa na jamii na pia kuenea kwa fikira na mawazo finyu kuwahusu. Mara nyingi huwa wanakosolewa na hata kulaumiwa kwa matatizo yanayowakumba. Ni kama kwamba jamii imesahau haiwezi kuwatenga watoto na vijana kwani makundi hayo mawili ni sehemu na nguzo muhimu ya jamii. Yaelekea tumesahau kuwa yanayotokea kwenye jamii, yawe ni ya kijamii, kiuchumi na kiroho, huathiri au hufaidi moja kwa moja maisha ya watoto na vijana miongoni mwetu.
Tukiwa wazazi, walezi na wazee waheshimika katika jamii, tumefanya mazoea ya kuwaacha watoto na vijana kujitawala wakiwa bado na umri mdogo ambapo bado wanahitaji malezi na mashauri yetu. Ulimwengu wa kisasa una changamoto nyingi; kuna mambo mengi yanayotendeka na yaliyo kinyume na mapenzi ya Mungu ambayo hushawishi watoto na vijana kuingilia maovu katika kujitafutia utajiri wa haraka na mengineyo. Tunapaswa kuendelea kuhimiza vijana wetu kuwa na matumaini na kufanya kazi kwa bidii.
Tunapaswa kutengea watoto wetu na vijana wakati ili kuwapa nafasi ya kujieleza bayana kwetu kuhusu yanayowaletea furaha na kuwatia hofu. Ilivyo sasa, tumejitenga na kuwaacha watoto na vijana kushughulikia wawezavyo na wajuavyo masuala yanayowakumba.
Matokeo yamekuwa ni ongezeko la vijana wanaotumia vibaya dawa za kulevya, watoto kuchafuliwa na kuteswa, misukosuko shuleni, mahusiano ya kimapenzi ya waume kwa waume na wanawake kwa wanawake, kushawishiwa kwa urahisi na wenye imani misimamo kali za kidini na kisiasa na hata
17
kuingizwa kwenye magenge ya wapiganaji haramu.Sote hatuna budi kulibeba jukumu la uzazi na malezi kwa upendo na
kujenga familia bora, kanisa bora na nchi nzuri ya Kenya. Tuwafunze watoto wetu kumcha Mungu, kuheshimu wengine na kujenga imani kwao. Wazazi hawana budi kuhakikisha watoto wao wana nidhamu ili wawe watu wazima wanaozingatia nyendo zinazokubalika na watakaoifaidi nchi. Miaka ya hapo awali, wazazi wengi ambao hawakujua kusoma wala kuandika walilea watoto wao wakawa madaktari, wahandisi, wanasayansi, wahasibu, mawakili, wachora ramani za mijengo na maprofesa. Wataalamu wote hao ni vijana ambapo walijikaza kadiri ya uwezo wao kuhitimu masomo ya msingi. Wengi walikuwa wakitembea mbali kwenda shule. Ilikuwa ni kawaida kwao kufanya kazi ngumu nyumbani, kama vile kulima, kuchota maji mtoni na kutafuta kuni misituni. Cha kushangaza ni kwamba kundi hili ndilo wazazi wa watoto waliodekezwa ambao hawafanyi kazi zozote nyumbani na kubembelezwa shuleni na hata vyuoni. Wanapakuliwa chakula wakiwa wameketi raha mustarehe, na wazazi na vijakazi huwaondolea vyombo chafu mezani na kuviosha.
Tuwapatie watoto wetu nafasi wakue kwa busara, maarifa na nguvu za mwili kwa kuhakikisha wanakabiliana na ukweli na hali halisi maishani.
MasomoMwanzo 12:1-4 (a)2 Timotheo 1:8-10Mathayo 17:1-9
Tafakari ya kiroho Vijana wetu ni rasilmali muhimu. Mara nyingi, wazazi husahau kwamba wanaweza kuilea na kuijenga imani ya vijana. Tunalohitaji ni kubadili mawazo yetu kwao. Lazima tuandamane katika safari ya kulea na kujenga imani. Lakini hilo litafaulu tu endapo tutapanga taratibu za kuwashirikisha, kuwahimiza na kuwawezesha vijana kuhusika kikamilifu katika harakati muhimu za maisha. Ndiposa pana haja ya kuanzisha miradi muafaka ya vijana katika parokia zetu. Hatuna budi kutenga wasaa, maarifa na fedha zinazohitajika kuharakisha kutekelezwa kwa mipango hiyo.
18
Tenda: Maswali ya kutafakari1. Jumuia na jamii kwa jumla zina wajibu gani kwa vijana?2. Vyombo vya habari vina athari na manufaa gani kwa jamii zetu? 3. Mashirika ya kidini yanatekeleza jukumu gani katika kushughulikia changamoto zinazowakabili vijana katika jamii zetu leo?4. Vijana wana nafasi gani kujieleza katika jamii? 5. Je, wazee na vijana wana uhusiano wa aina gani katika uendeshaji wa shughuli na miradi ya jamii?
Kujichunguza1) Je, nimekubali jukumu langu la kuwapeleka watoto wangu kanisani? 2) Je, mimi hushiriki katika meza ya Bwana kila mara?3) Je, nimechangia katika kuimarisha vijana kwenye parokia yetu? 4) Je, nimehimiza mafunzo ya kidini kwa vijana nyumbani mwetu?
19
Juma la TatuK
UH
IFA
DH
I NA
KU
LIN
DA
MA
ZIN
GIR
A
20
Tazama: Simulizi
Msituni mmoja maridadi palikuwa na miti miwili mirefu iliyoitwa Chintu na Pintu. Ilikuwa na marafiki wengi, wakiwemo nyani na ndege. Siku moja, miti na marafikize wakipiga gumzo, Pintu
alimwona mkataji miti akiingia msituni. “Wee, angalieni, mkataji miti anakuja tena msituni!” akasema Pintu kwa
mshangao.“Kimbieni!” Chintu akawaambia wanyama marafiki zao, lakini hakuna
aliyetoroka.Wanyama wakasema: “Ninyi miti mnatupatia chakula, makao, hewa
safi na kulinda maji tunayokunywa. Tunawezaje kuondoka na kuwaacha mikononi mwa maadui?”
Chintu na Pintu wakawaambia: “Sawa basi, jificheni nyuma yetu.”Miti mingi iliyokomaa ilimchanganya mkataji miti. Ghafla, akaona Chintu
na Pintu, miti miwili mikubwa. Huku akitabasamu, akasema: “Wasaa wenu wa kukatwa umewadia.”
Mkataji miti alipokaribi, kundi la nyani, ndege, kuchakuro na swara wakamrukia na kuanza kumshambulia. Simba akasikia kelele za fujo za wanyama wakizima mipango ya mkataji miti na akakakimbia kuchunguza ni nini kilichozidi. Mkataji miti kusikia mngurumo wa mfalme huyo wa mwituni, alichana mbuga kuyanusuru maisha yake. Simba aliwapongeza wanyama hao na kuwahimiza kufanya kadiri walivyoweza kulinda mazingira yao. Chintu na Pintu walishangazwa na jinsi wanyama hao walivyowapenda.
Baadaye, wanyama walianza kujadiliana jinsi ya kukabiliana na tatizo la ardhi kuvamiwa na wanadamu na shida ya uchafuzi wa mazingira. Walikumbushana jinsi walivyowapoteza baadhi ya ndugu na dada zao kufuatia mafuriko ya ghafla yaliyotokana na kubadilishwa kwa mkondo wa Mto Suwa ili kutoa nafasi kwa ujenzi. Viboko na mamba walilalamika kwamba hawakuwa wanazaa na kuzaana tena kutokana na kupungua kwa kiwango cha maji mitoni, huku samaki nao wakifa kwa wingi kutokana na uchafuzi. Vifaru na ndovu walinung’unika kuhusu kuwindwa kiholela kwa sababu ya pembe zao. Wote walikubaliana kuungana na kulinda makao yao.
Waliazimia kwamba Mungu aliumba mazingira kamili lakini shughuli za jamii zilizowazunguka zilikuwa tishio kwa maisha yao, jambo ambalo lingekuwa chanzo cha misukosuko na vurugu, na matokeo yangekuwa ni vifo na kuharibiwa kwa makazi na njia za kujipatia riziki.
21
Amua: Uchunguzi wa hali halisiMazingira ni mambo na hali zote zinazozingira maisha ya mwanadamu, wanyama na mimea. Mazingira hupatia viumbe nafasi ya kustawi na kukua, na yaweza pia kuleta madhara na hasara. Ni mchanganyiko wa hali na mambo mbali mbali ambayo hutegemeana.
Mazingira nchini Kenya yamezongwa na mambo mengi, ikiwa ni pamoja na ustawi wa miji, takataka hasa za viwandani na pia shughuli za kilimo ambazo hutegemea utumiaji wa dawa na kemikali tofauti. Ukataji miti kupindukia umepunguza kiasi cha mbao nchini. Ukataji miti ili kutoa nafasi ya mashamba, kuchoma makaa, kuchimba mawe ya ujenzi, kuvamia maeneo yaliyo kando ya mito na mengine yenye maji maji, na shughuli nyingine za kijamii za kujitafutia mapato, ni tishio kubwa kwa mazingira. Kukatwa ovyo kwa miti na hivyo kupunguza maeneo ya misitu huzidisha mmomonyoko wa udongo, unaongeza kiasi cha matope yanayoingia kwenye mabwawa ya kuhifadhia maji, husababisha mafuriko na huharibu mimea na wanyama. Baadhi ya misitu nchini Kenya ambayo inakumbwa na hatari ya kuharibiwa ni pamoja na Mau, Kakamega na Karura.
Kuna wanyama pori mbali mbali ambao mazingira yao yanakabiliwa na tisho la kuharibiwa na wanadamu na wawindaji haramu. Kwa sasa, idadi ya ndovu na vifaru nchini Kenya inapunguka kwa kasi ya kutia hofu. Shehena zinazonaswa za pembe za ndovu zikisafirishwa kimagendo zinawatia wasiwasi wahifadhi wa wanyama pori.
Karibu maeneo yote ya miji katika Kenya hayana mipango na taratibu za kutosha za kuzoa na kutupa takataka. Kutupa takataka ovyo katika maeneo ya miji na mashambani imekuwa ni kawaida. Matokeo yake ni kuzibwa kwa mito na mabomba ya maji taka, mafuriko, kuharibiwa kwa makao ya familia, magonjwa, maafa na uharibifu wa mali.
MasomoKutoka 17:3-7Warumi 5:1-2.5-8Yohane 4:5-42
Tafakari ya kiroho Somo la kwanza na pia Injili zinatueleza kuhusu maji. Wana wa Israeli waliishi jangwani kwa sababu Mungu aliwapatia maji. Naye Yesu anazungumzia
22
kuhusu aina mpya ya maji, uhai mpya ambao anataka kutupatia. Tunapaswa kutambua na kukiri ukarimu wa Mungu ambaye alitupatia mazingira yetu ili tupate uhai. Tunapoyaharibu mazingira, Mungu huyaona matendo yetu kwa njia sawa na alivyoyaona maisha ya awali ya mwanamke Msamaria. Kwa vile tumepewa roho wa Mungu, hatuna sababu yoyote ya kutodumisha hadhi ya mazingira. Baba Mtakatifu Fransisko katika waraka wake Laudatio Si’ anatuhimiza kujiepusha kuchafua mazingira na pia kujizuia mazoea ya ubadhirifu na kutumia mali ovyo. (LS 20-22)
Tenda: Maswali ya tafakari1. Je, matendo ya wanadamu yanachangiaje katika kuharibu mazingira? 2. Tunapendekeza suluhisho gani kwa tatizo la joto kuongezeka duniani, kuharibiwa kwa tabaka ya ozone, uchafuzi na ukatwaji ovyo wa misitu?3. Uchimbaji migodi una madhara gani kwa mazingira? 4. Je, tukiwa Jumuia, tunashughulikia vipi mazingira? 5. Ni juhudi gani tunazofanya kuhifadhi na kulinda mazingira?
Kujichunguza1) Je, nimefanya juhudi kutafuta mapenzi ya Mungu na uwepo wake katika umaridadi wa maumbile, hali ya ukamilifu wa maisha yangu kama alivyokusudia?2) Je, mimi hutupa takataka wapi na vipi? 3) Je, ni juhudi gani nimefanya kudumisha hadhi ya maumbile kama alivyokusudia Mungu?
23
Juma la nneU
CH
AG
UZI
24
Tazama: Simulizi
Kila baada ya miaka miwili, wanakijiji wa Kwetu Kwema huchagua wawakilishi wao kwenye baraza la kijiji. Lakini wengi wa wajumbe hao hukosa kuhudumu ifaavyo. Mara tu wakichaguliwa, huanza
kuzingatia tu maslahi yao binafsi bila kujali hali ya waliowachagua. Baadhi yao wameanzisha miradi midogo na isiyoweza kufaidi wengi lakini inayotumia pesa nyingi kupita kiasi. Hali hii imeiacha Kwetu Kwema na mzigo mkubwa wa madeni ya pesa ambazo ilikopa kutoka vijiji vingine vilivyoendelea. Imekuwa ni kawaida kwa viongozi kuwahonga wanakijiji ili wawapigie kura. Wengine wamefanya sherehe kubwa za mlo na uhondo. Uchaguzi mwingine unanukia kijijini na baadhi ya wanaotafuta kura wanafanya kama walivyozoea; kuwapa akina mama leso na pakiti za chumvi, sukari au tumbaku wakinuia kuwashawishi kuwapigia kura.
Viongozi wa kidini na wengine wanaoaminika katika jamii walipogundua yaliyokuwa yakitendeka kijijini, wakaazimia kutoa elimu ya haki za kiraia wakinuia kuwapatia wanakijiji uwezo wa kujiamulia ifaavyo wakati wa uchaguzi. Wanakijiji sasa wametambua uwezo wa kura zao na wameapa kuleta mabadiliko kwa kuwachagua viongozi watakaowashirikisha katika harakati za kufikia maamuzi na utekelezwaji wa miradi.
Baadhi ya viongozi wa Kwetu Kwema wamegundua mipango ya wanakijiji na kuanza kufanya njama za kuivuruga. Wengine wao wamewakodisha vijana ili kuwatumia kwa visa vya kihuni vya kuwababaisha wapigaji kura.
Lakini siku ya uchaguzi ilipowadia, viongozi wote wabaya walitemwa; kijiji cha Kwetu Kwema sasa kinao viongozi wanaowashirikisha katika kuandaa mipango ya maendeleo, kushughulikia na kujali maslahi yao ipasavyo katika baraza la kijiji.
Amua: Uchunguzi wa hali halisiUchaguzi ni utaratibu rasmi wa kuamua na unaowawezesha watu binafsi kuchagua wawakilishi wao.
Uchaguzi katika mataifa yanayozingatia demokrasia huwapatia raia walio na umri wa miaka 18 na zaidi nafasi ya kuchagua viongozi wa kisiasa kuwawakilisha wao na kutetea maslahi yao mashinani na kitaifa. Apataye kura nyingi ndiye hutangazwa mshindi.
Nchini Kenya, uchaguzi huwapatia wapigaji kura mamlaka ya:
25
- Kuchagua viongozi ambao watachukua maamuzi kwa niaba yao; - Kushiriki katika kuamua jinsi wanavyotaka kuongozwa; na-Kuibadili serikali yao kwa kuwarudisha wale ambao wamekuwa wakiwawakilisha, hasa waliowatumikia vyema, ama kuchagua wapya kuchukua mahala pa wale ambao huduma na uwakilishi wao hazikuwaridhisha. Wakati wa kampeni za uchaguzi, viongozi na wapigaji kura wanatarajiwa kuhakikisha wanadumisha hali ya kufanya uchaguzi huru, wa haki na amani. Vivyo hivyo, taasisi zilizopewa jukumu la kusimamia na kuendesha uchaguzi zinapaswa kuaminika.Kifungu 38 (2&3) cha Katiba kinalinda haki ya kila mwananchi kujiandikisha kupiga kura, kujiunga na chama chochote cha kisiasa na kushiriki katika uchaguzi huru, wa haki na unaofanyika mara kwa mara.Baadhi ya masuala muhimu ya kikatiba yanayohusiana na uchaguzi ambayo yanapaswa kutiliwa maanani ni:• Anayestahili kusajiliwa kama mpiga kura katika uchaguzi au kura ya maamuzi anapaswa kuwa raia mtu mzima, hajatangazwa kuwa na akili pungwani na hajapatikana na hatia ya uchaguzi katika miaka mitano iliyotangulia (Kifungu 83).• Wagombeaji uchaguzi wote na vyama vyote vya kisiasa wanapaswa kuzingatia kanuni za upigaji kura zilizowekwa (Kifungu 84).• Mtu yeyote ana haki ya kusimama kama mgombeaji wa kujitegemea iwapo yeye si mwanachama wa chama cha kisiasa kilichosajiliwa na hajakuwa mwanachama kwa angalau miezi mitatu kabla ya tarehe ya uchaguzi (Kifungu 85).• Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka inapaswa kuhakikisha kwamba mfumo wa upigaji kura ni rahisi, sahihi na wa kuthibitika, salama, unaowajibika na kuzingatia uwazi (Kifungu 86).• Malalamiko kuhusu uchaguzi yapaswa kuwasilishwa kuzingatia Kifungu 87. Kwenye uchaguzi mkuu, Katiba imetenga nyadhifa sita za viongozi wa kuchaguliwa, nazo ni:• Rais na Naibu Rais• Gavana na naibu wake • Seneta • Mbunge• Mjumbe wa akina mama • Mjumbe wa Bunge la Kaunti (MCA)
26
Masomo 1 Samueli 16:1; 6-7; 10-13Waefeso 5:8-14Yohane 9:1-41
Tafakari ya kiroho Mungu hutuchagulia viongozi wema tukimtii. Ina maana kwamba tunapopiga kura, tunapaswa kujichunguza kikamilifu na kuongozwa na dhamiri zetu. Kama vile Mungu alimwonyesha Samueli mfalme aliyestahili kumpaka mafuta (Samueli 16:1-13), nasi tunapaswa kumwomba Mungu atuongoze kuwachagua viongozi waadilifu watakaohudumu kwa manufaa ya Wakenya wote. Wapigao kura kuzingatia misingi ya kikabila ama tabaka wangali gizani. Mtakatifu Paulo anatuhimiza tusishiriki katika matendo yasiyo na manufaa yatendwayo gizani na badala yake tuyafichue. Hayo twaweza kuyatekeleza kwa kupiga kura. Mara nyingi, huwa tunafungwa macho na mambo ya dunia lakini Kristo alikuja ili kutufungua macho.
Tenda: Maswali ya kutafakari1) Je, wewe binafsi unatafuta sifa gani unapomchagua kiongozi?2) Kuna uhusiano gani kati ya uchaguzi na maendeleo? 3) Tukiwa Jumuia, ni miradi gani twaweza kuanzisha ili kulinda vijana wasitumiwe vibaya na kupotoshwa na wanasiasa? 4) Tukiwa Jumuia, twaweza kufanya nini kuhakikisha viongozi wema wanachaguliwa mnamo 2017?
Kujichunguza1) Je, nimechangiaje katika kuwachagua viongozi bora? 2) Je, nimeshiriki kwa njia yoyote katika fujo na kuvunja sheria na kanuni za uchaguzi? 3) Je, niko tayari kwa uchaguzi wa amani? 4) Je, ninaamini kwa dhati kuwa kila Mkenya ana haki ya kuwa raia wa Kenya?
27
Juma la TanoU
KA
BIL
A N
A U
PEN
DEL
EO W
A K
IUK
OO
28
Tazama: Simulizi
Jamii mbili kuu, Tembo inayoshirikisha mbari tatu zinazomiliki nyanda za juu, na Simba inayoleta pamoja mbari mbili zinazoishi kwenye maeneo tambarare, ndizo wenyeji wa Kaunti ya Ubora. Tembo walikuwa wakulima
nao Simba, wafugaji. Wote walichangia katika ustawi na maendeleo ya kaunti yao. Waligawana sawa nyadhifa za uongozi na rasilmali na walikuwa na soko moja kwa wote. Walijivunia mila zao za kitamaduni, imani zao tofauti za kidini na walikuwa tayari kuishi kwa amani na umoja kama kaunti moja ambayo haingegawanywa na yeyote au chochote.
Iliwadia siku ambapo uongozi wa ukoo mkubwa zaidi miongoni mwa Tembo uliona kama kwamba mchango wake kwa ustawi wa kaunti hiyo ulikuwa mkubwa ukilinganishwa na wa mbari nyingine. Ndiposa viongozi wake wakajaribu kubadilisha sera za uongozi kwa manufaa yao pekee. Wakaanza kuweka watu wa jamii yao kwenye kamati muhimu na zenye ushawishi mkubwa, huku wakiwatenga watu wa jamii ya Simba na koo nyingine ndogo za jamii ya Tembo. “Ukoo mdogo katika jamii ya Tembo haufai kwa uongozi nao wana-Simba ni wageni hapa,” baadhi ya watu wa ukoo mkubwa miongoni mwa jamii ya Tembo walisikika wakidai. “Tunawafanyia fadhila kwa kuwashirikisha katika kamati muhimu.”
Kauli hiyo iliwaudhi waliokuwa wachache katika kaunti hiyo. Ubaguzi na ugavi usio wa haki wa rasilmali muhimu, kama vile maji kwa wanyama na malisho, zikafuatia. Ukoo mkubwa wa wana-Tembo ulibadilisha mkondo wa maji na kuyaelekeza mashambani mwao kunyunyuzia mimea na kwa matumizi ya nyumbani. Mashamba ya wana-Simba yalikauka, njaa ikafuatia, magonjwa, umaskini, kufungwa kwa shule, kuangamia kwa biashara na mengineyo. Mifugo wao nao wakaanza kufa na wakaamua kuanza kuvamia mashamba ya wana-Tembo wakitafuta maji na malisho. Uadui baina ya jamii zote mbili ulimea, uhasama ukazuka na hatimaye mapigano yakazuka.
Mbari za Simba ziliungana upya, zikajihami na kujiandaa vilivyo kukabiliana na wanakaunti wenzao wa Tembo, bila kujua kwamba hata wana-Tembo nao walikuwa na mipango sawa. Sungura, wakazi wa jimbo jirani na ambao walikuwa na marafiki miongoni mwa wana-Tembo na wana-Simba, walipofikiwa na habari kuhusu hali ya kutoelewana kati ya jamii hizo mbili, wakatafuta mbinu ya kuleta mapatano, kwani uchumi wao ulitegemea biashara kati yao na Simba na Tembo.
29
Sungura walikutana na viongozi wa Tembo na Simba. Tofauti kati ya jamii hizo mbili zilizikwa baada ya vikao kadha vya mashauriano. Waliapa kutokubali kamwe kutenganishwa kwa misingi ya kikabila au kiukoo. Walishaonja madhara ya migawanyiko na kutambua umuhimu wa ugavi sawa wa mali asili katika kuleta amani na ustawi. Kadhalika, walitambua kuwa umoja ni nguvu.
Amua: Uchunguzi wa hali halisiKenya ina makabila 42 makuu na makundi 114 madogo ya kikabila. Kila kabila lina ada na mila maridadi ambazo huimarisha utamaduni wetu wa kiasili (dibaji ya Katiba). Ukabila na upendeleo wa kiukoo si mambo mageni kwetu na tumeyashuhudia kwa miaka mingi katika maeneo tofauti ya nchi. Serikali ya wakoloni ilitumia ukabila na migawanyiko ya kiukoo kujinufaisha na kuhakikisha Wakenya wamegawanyika zaidi. Migawanyiko hii imetumiwa na wanasiasa kwa manufaa ya kibinafsi. Maovu ya ukabila na upendeleo wa kiukoo yamepenya hadi kwenye kaunti na athari zake zimekuwa ni upendeleo, kutozingatia usawa katika kutoa nafasi za kazi na kugawa rasilmali, na uporaji mkubwa wa mali za umma.
Ndiposa iwapo tunatamani kupiga hatua za maendeleo, hatuna budi kuwachagua viongozi wenye sifa njema kama zinavyofafanuliwa katika Vitabu Takatifu na Katiba, bila kujali asili zao za kikabila. Sifa hizo ni pamoja na maadili ya kitaifa na kanuni za utawala (Kifungu 10); Uongozi na maadili (Sura ya Sita); na usawa na uhuru dhidi ya kubaguliwa (Kifungu 27).
Madhara ya kutozingatia kanuni hizo ni pamoja na kusambaa kwa visa vya ufisadi na rushwa katika serikali za kaunti, upendeleo wa kiukoo, upendeleo wa ndugu na ukabila. Kadhalika, kasumba ya Katiba ya zamani bado haijawatoka baadhi ya wanaoshika nyadhifa za uongozi.
MasomoEzekieli 37:12-14Warumi 8:8-11Yohana 11:1-45
Tafakari ya kiroho Mara nyingi, tumezoea kutafuta maficho katika makabila na mbari zetu. Ni kweli kwamba Mungu ndiye aliyetupatia makabila na pia koo. Hata hivyo,
30
tunapaswa kuipatia roho ya Mungu nafasi ya kuangazia makabila na mbari zetu na hivyo kutuonyesha jinsi tunavyofaa kuishi kama ndugu na dada. Hatufai kamwe kubaguana kwa misingi ya rangi, dini, kabila, lugha au hata tabaka, kwani sote tuliumbwa kwa mfano na sura ya Mungu.
Tenda: Maswali ya kutafakari1. Je, ni nini maana ya ukabila na kupendelea na kulindana kiukoo?2. Je, ukabila na kupendelea na kulindana kiukoo hujitokeza kwa njia gani? Mambo hayo yanawezaje kuzuiliwa?3. Jumuia zinaweza kutekeleza jukumu gani kuzuia au hata kuunga ukabila na upendeleo wa kiukoo?
Kujichunguza1) Je, nimejaribu kujiepusha na ukabila na mazoea ya kupendelea na kulindana kiukoo?2) Je, nimeendeleza mambo yasiyo na asili kuhusu watu wa makabila na koo nyingine? 3) Je, nimewakosea heshima na kuwadharau watu wa makabila na koo nyingine? 4) Je, nimefanya juhudi yoyote kuwasaidia wengine kupiga vita ukabila na mazoea ya kupendelea na kulindana kiukoo?
31
MICHANGO YA KAMPENI YA KWARESIMA YA 2016 (KSHS)Kiambatisho
NAMBARI JIMBO/TAASISI KIASI
1 Archdiocese of Nairobi 3,829,311.80
2 Diocese of Meru 2,215,776.00
3 Diocese of Bungoma 2,172,884.00
4 Archdiocese of Nyeri 1,639,341.00
5 Archdiocese of Kisumu 1,150,000.00
6 Diocese of Eldoret 1,112,920.00
7 Diocese of Nyahururu 1,035,079.00
8 Diocese of Kakamega 1,000,000.00
9 Diocese of Machakos 894,891.00
10 Diocese of Embu 855,361.00
11 Diocese of Murang’a 600,000.00
12 Diocese of Ngong 568,498.00
13 Diocese of Kitui 457,653.00
14 Diocese of Homabay 412,343.00
15 Diocese of Nakuru 399,690.00
16 Diocese of Kitale 372,680.00
17 Archdiocese of Mombasa 330,000.00
18 Diocese of Kericho 318,300.00
19 Military Ordinariate 244,359.00
20 Diocese of Lodwar 236,291.50
21 Diocese of Maralal 175,686.00
22 Diocese of Kisii 130,000.00
23 Diocese of Marsabit 99,045.00
24 Isiolo Vicariate 67,281.00
25 Diocese of Garissa 53,630.00
26 Diocese of Malindi 50,000.00
27 AOSK 30,167.00
28 Administration Police Service 16,000.00
29 St Mathias Mulumba 12,673.00
30 Sisters of Mary Nairobi 4,000.00
Jumla 20,483,860.30
32
JIMBO KUU LA NAIROBIParokia/Taasisi Kiasi
Adam’s Arcade Our Lady of Guadalupe
43,000.00
Baba Dogo Sacred Heart -
Basilica, Holy Family 243,000.00
Buruburu Blessed Sacrament
36,660.00
Buruburu Holy Trinity 15,542.00
Cic Msongari -
Consolata Shrine, Westlands
108,450.00
Dagoretti Sacred Heart Of Jesus
15,143.00
Dandora Holy Cross 75,000.00
Doonholm St. Jude 113,955.00
Eastleigh St Teresa’s 21,625.00
Embakasi Christ The King 33,411.50
Gachie St Stephen -
Gathanga St Joseph 4,000.00
Gatitu Annunciation 2,500.00
Gatundu Martyrs Of Uganda
11,000.00
Gicharani Immaculate Conception
5,675.00
Githiga St John Catholic 6,000.00
Githirioni St Charles Lwanga
6,500.00
Githunguri Holy Family 1,400.00
Githurai Kimbo Christ The King
23,898.50
Ikinu Holy Rosary 11,791.00
Ituuru St Stephen -
Jericho St Joseph 60,467.50
Kagwe Nativityof The Lord
10,653.50
Kahawa St. Joseph Mukasa 84,280.00
Kahawa Sukari St Joseph 65,316.00
Kairi St Stephen -
Kalimoni St Theresa Parish
25,000.00
Kamiti Prison’s Staff Chapel
-
Kambaa Catholic Church 5,620.00
Kamirithu Catholic Church
5,650.00
Kamwangi Parish 5,115.00
Kangemi St. Joseph The Worker
5,313.58
Karen Regina Caelli 41,500.00
Karinga Christ The King 7,671.50
Kariobangi Holy Trinity 65,328.00
Kariobangi South Divine Mercy
19,300.00
Karuri St Martin De Porres
35,000.00
Kasarani Catholic Church 15,307.00
Kayole Divine Word 132,700.00
Kenyatta University Chapel
-
Kereita St Joseph The Worker
-
Kerwa St Joseph Catholic Church
15,150.00
Kiambu Sts. Peter And Paul
55,135.00
Kianguno St. Teresa 10,000.00
Kibera Laini Saba 38,100.00
Kiganjo St Joseph Catholic Church
17,100.00
Kingeero Parish 15,000.00
Kilimambogo Immaculate Conception
6,000.00
33
Kiriko Our Lady Of Fatima
7,500.00
Komothai All Saints 4,300.00
Langata St John The Evangelist
35,625.00
Langata St Michael’s -
Limuru St Francis Of Assisi
-
Limuru St Joseph Parish 10,000.00
Lioki Our Lady Of Victories
19,000.00
Makadara Our Lady Of Visitation
26,000.00
Mang’u St John The Baptist
-
Miguta Holy Spirit Parish -
Muguga Parish -
Mukuru St Mary’s Parish 30,153.00
Munyu St Maria Magdalena
11,767.50
Muthangari St Austin’s -
Mutomo Archangel Gabriel
-
Mutunguru St Joseph’s Parish
-
Ndundu Mary Help of Christians
-
Ngarariga Our Lady of Mt Carmel
7,795.00
Ngenya Parish -
Njiru St Monicah 50,000.00
Parklands St Francis Xavier
50,000.00
Resurrection Garden -
Riara All Saints Parish 15,000.00
Riruta St John the Baptist
25,000.00
Ruai St Joseph Parish
75,680.00
Ruaraka Queen of Apostles
150,000.00
Ruiru St. Francis of Assisi 35,000.00
Ruku Our Lady of the Rosary
-
Shauri Moyo St Joseph & Mary
15,575.00
South B Our Lady Queen of Peace
106,007.00
Spring Valley St Catherine of Siena
41,928.50
St Austins C.I.C. -
St Benedict’s Parish, Thika Road
17,675.00
University of Nairobi St Paul’s Chapel
48,500.00
St Peter Claver’s, Race Course
15,500.00
St Raphael’s Kabete University Chaplaincy
-
Thigio Holy Cross Parish 5,000.00
Thika St.Matthias Mulumba
28,856.50
Thika St Patrick’s Parish -
Ting’ang’a Our Lady of Holy Rosary
20,000.00
Umoja Assumption of Mary
669,280.00
Upperhill Mary Help of Christians
59,286.00
Soweto Catholic Parish 128,225.00
Kenyatta Hospital 6,010.00
Githurai Mother of God Church
77,435.00
Munyu-Ini - St John the Baptist
2,435.00
Waithaka St Charles Lwanga
8,000.00
Kamulu St Vincent De Paul Catholic
26,370.00
34
South C St Catherine of Alexandria
11,275.00
National Youth Service 2,698.00
Kikuyu Catholic Parish 7,800.00
Dagoretti Mary Queen Of Apostles
33,050.00
Zimmerman Blessed Madre Teresa
29,050.00
Mataara St Anne’s Parish 4,000.00
Jkuat St Augustine Catho-lic Chaplaincy
16,600.00
Nyamangara St Peter 2,655.50
Juja Farm St James -
Tassia The Holy Innocents 140,000.00
Kileleshwa, Holy Trinity C 22,050.00
Utawala, Holy Family 79,459.00
Ruai St Peter’s Catholic 50,000.00
Gachege, St. Teresa Of Avila C
3,040.50
Ngoingwa, St Bernadette 25,000.00
Kariokor, St Mary Magdalene
14,401.00
Kwihota, St Peter 27,276.00
Ruiru St Christopher 12,794.50
Ruiru St Lucia -
Rironi, St Andrew’s -
Mihang’o, Mary Immaculate
-
Mchango wa jumla 3,829,311.08
Fungu la KCCB-CJPC 3,829,311.08
JIMBO KUU LA NYERIParokia/Taasisi Kiasi
Cathedral 190,000
Matanya 131,943
Othaya 131,300
Gatarakwa 124,983
Giakaibei 120,200
St Teresa Equator 100,508
Nanyuki 95,757
Tetu 90,000
Kangaita 84,340
Sirima 81,267
St Jude 80,252
Karatina 80,250
Ngandu 79,247
Karima 75,330
Miiri 67,000
Mugunda 62,350
Gathugu 60,913
Gikumbo 60,000
Mwenji 60,000
Kariko 56,792
Doldol 55,002
Naromoru Town 52,000
Irigithathi 51,000
Birithia 50,000
Kaheti 47,875
Giakanja 47,000
Kiganjo 46,300
Endarasha 45,000
Mukurweini 45,000
King’ong’o 44,913
Gititu 43,000
Mweiga 42,600
Wamagana 40,000
35
Kabiruini 39,600
Kiamuiru 37,850
Kagicha 36,500
Karemeno 35,000
Kimondo 35,000
Karangia 32,410
Kahiraini 30,150
Kalalu 30,000
Gikondi 27,670
Munyu 26,698
Kigogoini 26,685
Ithenguri 25,000
Wiyumiririe 24,653
Thegu 23,930
Karuthi 20,000
Giathugu 19,100
Kigumo 14,037
Institutions
Caritas Nyeri 102,200
Blessed Alaman Seminary 42,000
Archbishop Kirima Catholic Academy
30,150
Catholic Action 30,000
St Augustine Catechetical 27,400
Nyeri High 10,000
Mathari Chaplaicy 9,622
Ngandu Girls High 5,000
St Paul Minor Seminary 5,000
Ngobit Boys High 3,161
Felician Sisters 3,000
Consolata Sisters 2,000
Ngobit Girls High 1,936
Catholic Bookshop 15,000
Sr Irene Girls High 1,025
Jumla 3,213,899
Fungu la KCCB-CJPC 1,639,341
JIMBO LA MALINDIParokia/Misheni Kiasi
St Anthony Cathedral 78, 699
St Francis Xavier- Kisumu Ndogo
75, 439
Watamu 64, 532
Msabaha 18, 949
Lango Baya 16, 009
Chakama Mission 1, 333
Mere Mission 8, 678
Gongoni 12, 926
Marafa 15, 074
Tarasaa 11, 440
Wema 23, 649
Witu / Kipini 38, 820
Hongwe 44, 925
Mpeketoni 30, 000
Hindi 46, 050
Baharini 26, 310
Lamu 17, 215
Bishop’s House 6, 050
Jumla 536, 098
Fungu la KCCB-CJPC 50,000
36
JIMBO LA KERICHOParokia/Taasisi KiasiBomet 20,000
Chebangang 50,000
Chebole 5,000
Chemelet 30,000
Chepseon 20,000
Fort-Ternan 7,500
Kabianga 10,000
Kaboloin 6,000
Kapkatet 6,000
Kaplomboi 9,130
Kaplong 50,000
Kebeneti 10,000
Keongo 15,000
Kimugul 8,000
Kipchimchim 48,000
Kipkelion 7,000
Kiptere 13,300
Koiyet 11,000
Litein 32,750
Londiani 24,940
Longisa 7,000
Marinyin 20,000
Matobo 40,000
Mogogosiek 20,000
Mombwo 6,000
Mugango 15,000
Nyagacho 10,000
Ndanai 10,160
Roret 19,750
Sacred Heart Cathedral
10,000
Segemik 10,000
Segutiet 20,000
Siongiroi 10,000
Sotik 39,000
Tegat 18,000
Telanet 16,000
Queen of Angels Kaplomboi
1,070
St Monica Girls High Chebangang
24,000
Jumla 679,630
Fungu lililopewaKCCB-CJPC
318,300
Kiasikilichosalia
361,330
37
JIMBO LA BUNGOMAParokia/Taasisi Kiasi
Amukura 65,000.00
Buhuyi 50,000.00
Bungoma 755,000.00
Busia 150,000.00
Butula 65,000.00
Butunyi 45,000.00
Chakol 80,000.00
Chebukaka 50,000.00
Chelelemuk 50,000.00
Dahiro 56,150.00
Kabula 100,850.00
Kaptalelio 50,000.00
Kibabii 413,526.00
Kibuk 32,000.00
Kimatuni 200,000.00
Kimwanga 75,000.00
Kimilili 64,170.00
Kisoko 76,320.00
Kocholia 30,000.00
Magombe 50,000.00
Misikhu 137,000.00
Mundika 70,000.00
Naitiri 70,000.00
Nangina 120,000.00
Ndalu 55,000.00
Port-Victoria 30,000.00
Sikusi 20,000.00
Sirimba 50,000.00
Sirisia 40,000.00
Tongaren 115,306.00
Webuye 100,000.00
Taasisi
Assumption Sisters-Kibuk Convent
1,100.00
St Mary’s Girls Kibuk 6,350.00
Little Sisters Of St Francis-Kisoko Convent
2,550.00
Legion Of Mary-Bungoma Comitium
5,000.00
St, Veronica Primary Kaimugul
1,000.00
St, Peters Cheromis Primary 1,000.00
St Peters Chptoon Primary 700.00
St Joseph’s Sambocho Primary 500.00
St Monica Kapkuseng Primary 500.00
St Stephen Cheptoror Primary 350.00
St Joseph’s Nomorio Primary 300.00
St Joseph’s Chema Academy 14,745.00
Mukhweya Primary 1,600.00
St Kizito Mukhweya Girls’ 2,840.00
St Augustine Namakhele Primary
500.00
St Stephen Sikusi Secondary 3,550.00
St Patrick’s Kimukung’i Girls Secondary
4,400.00
Kimukung’i Primary 1,500.00
Kisiwa Polytechnic 1,000.00
St Anthony Akobwait Sec 1,000.00
Ketebat Primary 700.00
Kangelemuge Primary 1,000.00
Bishop Sulumeti Girls High 7,182.00
St, Martin Mwari Secondary 3,000.00
St Benard Kakurikit 2,600.00
St Jude Machakha Secondary 2,500.00
St Elizabeth Kabukui Sec 2,000.00
Akobwait Primary 1,250.00
Ataba Aburi Primary 320.00
38
Chelelemuk Girls Primary 600.00
Chelelemuk Boys Primary 700.00
Kaejo Primary 300.00
Katotoi Primary 610.00
Kakurikit Primary 305.00
Kabukui Primary 1,200.00
Kolait Girls Primary School
800.00
Kakoit Primary 300.00
Komiriai Primary 200.00
Kakapel Primary 1,000.00
Machakha Primary 1,000.00
Mwari Primary 2,000.00
St Kizito Murende Secondary 6,725.00
St Mary’s Kibabii High 70,000.00
Cardinal Otunga Girls High 27,580.00
Kibabii Boys Primary 2,500.00
St Mary’s Kibabii Girls Primary
4,655.00
St Paul’s Girls- Miluki 5,000.00
Nangwe Primary 1,400.00
St Bridgit Nangwe Girls 4,100.00
St Joseph’s Nalondo Secondary 3,000.00
Nalondo Primary 1,250.00
St Joseph’s Nalondo Girls Secondary
1,100.00
Pongola DEB 700.00
St Anne’s Mukwa Secondary 3,000.00
Bosio Primary 3,780.00
Chemwa RC Primary 1,765.00
St Rose-Buema Primary 1,000.00
Namikelo Primary 1,000.00
Chebukwa Deb 3,180.00
Mabanga Primary 500.00
Wamalwa Kijana High 6,000.00
Kabubero Primary 1,400.00
Khalaba Primary 1,000.00
Namuninge Primary 750.00
Bwake Primary 650.00
Luuya Primary 455.00
Immaculate Heart Of Mary-Luuya Secondary
5,000.00
St Mary’s High School-Webuye 40,000.00
St Stephen -Lwanya Girls 12,600.00
St Magadeline Kimatuni Primary School
6,600.00
St Magadeline Kimatuni Secondary
4,000.00
St Anthony Mateka Primary 3,050.00
St Anthony Mateka Secondary 6,500.00
St Peter’s Syekumulo Primary 5,000.00
St Peter’s Syekumulo Secondary
2,000.00
St Mary’s Namatotoa Primary 1,500.00
St Mary’s Namatotoa Secondary
4,300.00
St Teresa Tabuti/Sudi Primary 3,000.00
St Anne Nandingwa Primary 2,000.00
St Joseph’s Lumboka Primary 2,000.00
St Joseph’s Lumboka Secondary
2,000.00
St Jude Namanze Primary 800.00
St, Jude Namanze Secondary 2,000.00
St Veronica Masuno Primary 2,000.00
St Veronica Masuno Secondary 300.00
St Stephen Buloosi Primary 1,200.00
St Paul’s Lubunda Primary 1,200.00
St Wilfrida Mulukoba Primary 1,000.00
St John Nakholo Primary 500.00
St Peter’s Centre Academy 500.00
St Monica Chakol Girls’ Secondary
15,100.00
39
St Joseph’s Secondary-Chakol
3,000.00
St John Alupe Secondary
2,500.00
St, Mary’s Otimong Primary 3,000.00
St Charles Otimong Secondary
2,000.00
St Francis Okame Secondary School
1,500.00
St Thomas Chakol Boys Primary
5,500.00
St Teresa Chakol Girls Primary 4,200.00
St Saverio Ongaroi Primary 3,320.00
St Paul’s Olepito Primary 2,490.00
St Festus Ongariana Primary
2,000.00
St Magadeline Angorom Primary
2,100.00
St John Akites Primary 1,500.00
St Paul Okokoru Primary School
1,050.00
St John Bosco Alomodoi Primary
1,040.00
St Karoli Palama Primary 1,000.00
St Anne Okiporo Primary 1,000.00
St, Kalori Goria Primary School
1,000.00
St Francis Alupe Special 500.00
St Jude Okembwa Primary 500.00
Kari-Alupe 2,000.00
St Michael Apatit 2,000.00
St Francis Asinge Secondary 2,000.00
St Anne Bunyala Girls Secondary
6,000.00
St Peters Makunda Secondary 5,000.00
Busakwa Primary 3,600.00
Rugunga Primary 3,700.00
Bumala “B” Secondary 6,500.00
Buhuyi Secondary 3,000.00
Siribo Mixed Secondary 670.00
St Romano’sTingolo Mixed Sec 2,000.00
Chebukaka Girls Secondary 20,000.00
St Joseph’s Khachonge Primary
3,100.00
Our Lady Of Assumption-Khachonge Girls
5,000.00
St Anne Maloho R.C. Secondary
3,000.00
St,Thomas Aquinas - Kitayi Primary
2,375.00
St Bridgid Kitayi Secondary 5,000.00
Cardinal Otunga Sichei Secondary
700.00
Chebukaka Girls Primary 2,210.00
Chebukaka Boys Primary 1,000.00
Our Lady Of Peace-Chebukak 2,000.00
Sichei Primary 1,115.00
Nabeki Primary 350.00
Chesito Secondary 5,300.00
Kongit Secondary 4,000.00
Kongit Primary 2,000.00
Chemoremwo Primary 1,000.00
Chemuses Primary 1,000.00
St Mary’s Amukura Girls High 19,000.00
St Paul’s Amukura High 10,000.00
St James Kwangamor Secondary
5,500.00
Fr, Van Dongen Apokor Secondary
2,300.00
Lupida Primary 1,400.00
St Francis Lupida 1,450.00
St Jude Onyonyur Secondary 1,000.00
St Peters Kochech Primary 4,000.00
40
Kateleyang Primary 500.00
Kaliwa Primary 1,000.00
St Peters Tulienge Primary 500.00
Morukeryong Primary 1,500.00
Igara Primary 230.00
Apokor Special 500.00
Apokor Primary 300.00
Sango Primary 1,000.00
Our Lady Of Mercy-Busia 30,000.00
St Patick’s Busibwabo Secondary School
2,000.00
St Patrick Nanderema Primary 1,000.00
St Thomas Aquinas Nanderema Boys
3,500.00
St Mark Bukiri Primary School 1,200.00
St Mark Bukiri Mixed Secondary
4,000.00
St Stephen Bujwang Primary 1,200.00
St Stephen Bujwang Secondary School
2,000.00
Nambale R.c Secondary School 1,100.00
St John Busijo Primary 1,000.00
St Anthony Busijo Secondary 2,100.00
St Kizito Muramba Primary 1,000.00
St Kizito Bukeko Primary 800.00
St Mathews Rumbiye Primary 1,000.00
St Charles Lwanga NamuduruPrimary
1,000.00
St Francis of Assisi -Nabuti Primary
500.00
St Anne’s Kisoko Girls Secondary
50,000.00
St Josephs’ Kisoko Boys 2,050.00
Segero Primary 1,770.00
St Joseph Buyofu Primary 1,500.00
Manyole Primary 1,500.00
Nasira Primary 1,150.00
St Maria Gorreti Kisoko Girls Primary School
1,000.00
Busidibu Primary 1,000.00
Otiri Primary 1,000.00
St Mary Okatekok Primary 1,000.00
St Charles Lwanga Emukhuyu Primary
1,000.00
Khulwanda Primary 1,000.00
Lwanyange Primary 910.00
Khwirare Primary 550.00
Kajoro Primary 500.00
Makongeni Primary 500.00
Mabunge Primary 500.00
Indoli Primary 500.00
Sibembe Primary 500.00
Musokoto Primary 200.00
St Mary Madibo Primary 900.00
St Thomas Aquinas Madende Secondary
25,000.00
St Augustine Nasira Secondary
8,220.00
Nambale Urban Secondary 5,460.00
Fr Simon Sibembe Secondary 4,000.00
St Mary Buyofu Secondary 2,500.00
St Paul Elwanikha Secondary 2,500.00
St Joseph Musokoto Sec sch 1,500.00
St Charles Lwanga Emukhuyu Secondary
1,000.00
St James Madibo Secondary 1,000.00
St Mary Assumpta Mabunge Sec Sch
1,000.00
St,James Academy 1,400.00
Sunshine Academy 1,000.00
St, Philomena Academy 1,000.00
Tangakona Academy 670.00
St Anne Karungu Academy 500.00
41
Rev Joseph Academy 300.00
St Mary’s Secondary-Mwikhupo
1,500.00
St Mary’s Primary-Mwikhupo 800.00
Bishop Atundo Girls Secondary
3,350.00
Tongaren Mixed (DEB) Secondary
1,000.00
St Juliana Secondary-Narati 4,000.00
St Mary’s Primar School-Narati
300.00
St Joseph’s Secondary -Binyenya
1,280.00
St Elizabeth Primary-Binyenya 1,000.00
St Augustine Girls Seconadry-Lukhuna
6,000.00
Bishop Anyolo Secondary-Kakamwe
14,400.00
St Theresa Primary-Kakamwe 2,650.00
St Mary’s Primary -Mabusi 1,710.00
St Paul’s Primary-Mbirira 1,630.00
Maina Pag Primary 2,100.00
St Patricks Naiseri 1,500.00
Gateway Primary 500.00
St Ignatius Esirisia 6,000.00
St Cecelia Nangina Girls High 70,000.00
St Teresa High School-Kimilili 13,250.00
St Jan High School-Kimilili 1,200.00
St Joseph Kamusinde High School-Kimilili
1,020.00
St John Buko High-Kimilili 2,000.00
St John Buko Primary 1,000.00
St John Academy Buko-Kimilili
200.00
St Luke High School-Kimilili 15,000.00
YCS-Moi Girls High School Kamusinga
1,500.00
St Joseph,Kimilili Primary 7,100.00
St Benedict Primary 2,000.00
Our Lady of Lourdes Primary 2,000.00
St John, Kamusinde Primary 500.00
St Anthony, Matili Primary 1,200.00
Farcon Academy-Kimilili 3,000.00
St Ann Royal Academy-Kimilili
1,000.00
St Peter Ojamong 1,670.00
St Alexander, Among’ura Primary
500.00
St John Alupe Primary 500.00
St CatherineNangina Primary
20,000.00
Ganjala Secondary 8,400.00
Mugusa Primary 200.00
Sagania Primary 1,000.00
Wakhungu Secondary 1,500.00
Moodi Awuor Primary 1,500.00
Sugulu Primary 500.00
Sifuyo Primary 500.00
Nangina Mixed Primary 2,000.00
St Phiilip Sibale Primary 1,700.00
WakhunguPrimary 1,000.00
Sichekhe Primary 2,000.00
Sibinga Primary 700.00
Burudi Primary 300.00
Sijowa Primary 1,000.00
Malanga Primary 500.00
Holy Family Misikhu Girls Primary
10,000.00
St Thomas Boys-Misikhu Secondary
11,000.00
St Mary’s Sosio Girls Secondary
22,000.00
Sacred Heart Misikhu Boys Primary
9,000.00
St Teresa-Kabula Secondary 20,000.00
42
St Jude-Syoya Secondary 2,000.00
St Jude-Syoya RC Primary 1,350.00
St Matin’s-Mwibale Secondary 8,000.00
St Paul’s-Siangwe Secondary 1,530.00
St Mary’sSecondary-Mukhuma
3,500.00
St Mary’s- Kamba RC Primary 1,000.00
St Mary’s-Kamba Secondary 1,000.00
St Paul’s-Siangwe RC Primary 200.00
St Teresa’s Sang’alo R.C.Primary
830.00
St Joseph’s-Bulondo RC Primary
1,000.00
St Mary’s-Mukhuma RC Primary
980.00
St Paul’s-Wamunyiri RCPrimary
685.00
St Anthony-Naburereya Secondary
12,000.00
St Anthony-Naburereya RC Primary School
500.00
St Peter’s-Mwiruti Secondary 2,500.00
Masielo RC Primary 1,330.00
Kimwanga RC Primary 2,500.00
Chiliba RC Primary 690.00
Siboti RC Primary 1,310.00
Namaika RC Primay 2,100.00
Tabala RC Primary 500.00
St Francis of Asis-Myanga RC Primary
1,020.00
Libolina Special School 1,150.00
St Jude Nabuyeywe R.C. Primary
1,300.00
Lwanja RC Primary 1,400.00
Siloba RC Primary 1,795.00
Sihilila RC Primary School 1,500.00
Tunya RC Primary School 1,100.00
Bitobo RC Primary 1,525.00
St Monica-Kamurumba RC Primary
1,000.00
Nakalila RC Primary 400.00
Bishop Atundo-Kimaeti Secondary
410.00
Namaika Secondary 1,100.00
St Francis of Assisi Myanga Secondary
1,000.00
St Kizito Mayanja Secondary 14,250.00
Bitobo Secondary 2,000.00
Chiliba Secondary 2,860.00
Machwele Secondary 1,500.00
St Paul-Bunambobi Seondary 300.00
St Peter’s Siboti Secondary 4,000.00
Carmel View Convent/School 15,000.00
St, Jude Napara Secondary 25,200.00
Kimwanga Schools 5,500.00
Kimwanga Schools 3,450.00
St Cecelia Misikhu Girls High 20,000.00
Mchango wa jumla 4,429,919.00
Fungu la KCCB-CJPC 2,172,884.00
43
JIMBO LA MACHAKOSParokia KiasiTala Catholic Parish Projects 333,573.00
St Joseph’s Kyale 217,170.00
St Joseph Mlolongo 155,780.00
CDM Catholic Mission Mbooni Projects
106,000.00
St Charles Lwanga Kinyui Projects
105,000.00
Ikalaasa Parish 90,290.00
St Veronica Syokimau 80,150.00
Catholic Mision Machakos 78,202.00
Catholic Mission Kanzalu 68,400.00
Catholic Diocese Mutituni 64,481.00
Catholic Mission Utangwa 63,150.00
Catholic Mission Matuu 62,536.00
Catholic Mission Kola 56,900.00
Mwala Catholic Mission Projects
55,000.00
St Mary’s Miseleni Catholic Mission
50,000.00
Catholic Mission Mbuani Projects
50,000.00
Catholic Mission Ngunga 50,000.00
Catholic Mission Makindu 48,567.00
Kitwii Catholic Mission 48,025.00
St Mary’s Tala 46,083.00
St Mary’s Kaewa 43,200.00
Catholic Mission Kalawa 40,025.00
Mbuvo Catholic Mission 36,000.00
Catholic Church Mbitini 36,000.00
Catholic Mission Tulimani 35,000.00
Katoloni Catholic Mission 33,000.00
Catholic Mision Kwakathule 32,260.00
Catholic Mission Mitaboni 31,304.00
Catholic Mission Kawethei 30,000.00
Catholic Mission Kithangaini 30,000.00
St Jude Catholic Parish 30,000.00
Catholic Mission Masinga 30,000.00
Catholic Church Nzaikoni 28,859.00
Masii Catholic Mission 28,000.00
Mbiuni Parish 26,690.00
Catholic Mission Kambu 25,960.00
Catholic Mission Kasikeu 25,000.00
St Lucia Catholic Parish Joska
25,000.00
Catholic Mission Muthetheni 25,000.00
Catholic Mission Kathonzweni
25,000.00
Catholic Mission Kilungu 23,200.00
Catholic Mission Matiliku 22,500.00
St Joseph Ndonyo Sabuk 20,200.00
St Paul Kinyambu 20,000.00
Catholic Mission Kangundo 20,000.00
St. John The Apostle Emali 17,340.00
Catholic Mission Kaumoni 17,000.00
Komarock Catholic Parish 15,900.00
Catholic Mission Ekarakara 15,000.00
St Annes Kavatini Catholic Mission
15,000.00
Yathui Parish 13,000.00
Nguluni Catholic Parish 11,930.00
St Camilus Chaplaincy 10,000.00
Catholic Mission Sultan Hamud
8,000.00
Mchango wa jumla 2,684,675.00
Fungu la KCCB-CJPC 894,891.67
44
Parokia/Taasisi KiasiBaricho 65,061.00
Cathedral 36,200.00
Difathas 60,000.00
Donga 5,480.00
Gaichanjiru 30,300.00
Gatanga 40,533.00
Gatura 10,135.00
Gaturi 30,000.00
Gitui 12,000.00
Ichagaki 17,150.00
Ithanga 24,700.00
Kaburugi 11,000.00
Kagumo 59,910.00
Kahatia 7,600.00
Kangaita 35,000.00
Kangari 35,000.00
Karaba 46,620.00
Karumandi 24,760.00
Kenol 34,513.00
Kerugoya 101,770.00
Kiamutugu 38,000.00
Kiangai 162,500.00
Kiangunyi 10,000.00
Kianyaga 45,000.00
Kiriaini 52,600.00
Kitito 17,760.00
Kutus 183,872.00
Makuyu 59,100.00
Maragua 24,680.00
Mariira 73,600.00
Mugoiri 19,000.00
Mukurwe 35,500.00
Mumbi 53,066.00
Muthangari 26,400.00
Mwea 240,657.00
Nguthuru 18,000.00
Piai 49,500.00
Ruchu 45,000.00
Sabasaba 20,000.00
Sagana 20,250.00
Tuthu 27,000.00
Kanyenyeini 47,767.00
Kibingoti 9,300.00
Kagio 21,705.00
Mchango wa jumla 1,987,989.00
Fungu laKCCB-CJPC
600,000.00
JIMBO LA MURANG’A
45
JIMBO LA NAKURUNakuru Deanery Kiasi Christ the King Cathedral 93,248
Holy Cross 80,000
St Joseph the Worker 115,198
Holy Trinity Milimani 105,530
St Monicah Sec 58 90,000
St Daniel Comboni Hekima 30,174
St Francis Kiti 52,410
Prison Chaplaincy 5,050
Lanet DeanerySt Peter’s Lanet Parish 50,000
St Paul’s Wanyororo 50,000
St Peter & Paul Kiptangwanyi
65,000
St John Muguga 60,400
Molo DeanerySt Mary’s Molo 130,000
St Kizito Olenguruone 15,500
St Timothy Total 20,000
St Veronica Keringet 4,000
St John & Paul Kamwaura 30,000
St Monica Mwaragania 6,000
Njoro DeanerySt Joseph Larmuadiac 85,325
St Francis Lare 30,000
St Lwanga Njoro 110,000
Holy Family Mangu 90,700
St Augustine Egerton Chaplaincy
26,050
St Peter’s Elburgon 40,500
Rongai Parish 25,000
Bahati Deanery
St Augustine Bahati 119,600
St John’s Parish-Upper Subukia
70,300
All Saints Kabazi 30,950
St Michael Kiamaina 50,000
St Francis-Lower Subukia 34,000
Koibatek DeanerySt Patrick’s Eldama Ravine 30,000
Holy Cross Mogotio 30,000
Marigat 6,880
Kabarnet DeaneryHoly Family Kipsaraman 15,000
St Peter’s Kaptere 23,150
St Joseph ‘s Kituro 30,000
Mary Mother of God Kabarnet
50,000
Holy Rosary Kerio Valley
St Mary ‘s Tenges
Naivasha DeanerySt Francis Xavier’s Naivasha
94,234
Holy Spirit Gilgil 65,000
St Anthony DCK 50,800
St Stephen Karati 52,000
St Simon & Jude Longonot 110,000
EastPokot DeaneryChurch Nativity Kositei 4,500
TaasisiChrist the King Primary 36,870
JumuiaL.S.O.S.F - St Anthony Convent Nakuru
4,250
46
Bishop’s House 10,000
ASN Upendo Village 2,000
St Mary’s Rurii Clergy House 10,000
Bahati Noviciate 2,000
Evangelising Sisters of Mary-Rongai Convent
2,000
Srs of Mercy Nakuru 3,700
Bspc St Lukes Brs Community
1,500
CCVI Baraka Convent 9,000
Mchango wa jumla 2,357,819
Fungu lililopewa KCCB-CJPC
399,690
Parokia/Taasisi KiasiOur Lady of Mt Camel & St Charles Lwanga Parish-Nkoroi
166,350
Mary Mother of God-Embulbul
153,635
Our Lady of Fatimaparish 147,476 St. Mary’s-Ongata Rongai 135,000 St Peter’s Catholic Church-Narok
118,170
St. Monica-Noonkopir 91,710 St Theresa Of The Child Jesus Parish-Ololkirikirai
90,750
St Lukes-Loitokitok 75,000 Our Lady Of Visitation - Mulot
61,095
Holy Spirit -Kandisi 60,300 St Paul-Namanga 58,332 St Mary’s-Kiserian 49,698 St Joseph Cathedral 45,000 Moyo Mtakatifu wa Yesu - Lolgorien
40,875
St Martin-Sultan Hamud 40,500 St Barnabas Parish- Matasia 38,700 St John the Evangelist-Kajiado
38,249
JIMBO LA NGONGSt Patrick - Entasekera 37,500 St Joseph HBVM-Narok 37,449 St Peter’s-Mashuru 35,775 The Church of Resurrection- Ololulunga
32,048
St Mark- Lemek 30,000 St Paul-Narosura 30,000 Good Shepherd Catholic -Lenkisem
28,200
St Paul’s-Kisaju 26,288 Yesu Empiris Enkare Nkai -Ewuaso Kedong
25,838
St Joseph the Worker Parish- Nairegi Enkare
25,500
St Ann-Kibiko 20,565 Holy Trinity-Abosi 16,200
Christ The King-Kilgoris 11,700 St Augustine-Enoosupukia 10,500 Charles Lwanga-Rombo 9,900 St. Thomas-Magadi 3,300 Mchango wa jumla 1,791,600
Fungu lililopewa KCCB-CJPC
580,100
47
Parokia/Taasisi KiasiHoly Ghost Cathedral 164,160
Changamwe Parish 114,127
St Francis Of AssisiCatholic Church
105,250
Miritini Parish 53,302
Mtopanga Parish 53,258
Tudor Parish 42,000
Kongowea Parish 41,000
St Stevens Catholic Church 35,400
Kiembeni Parish 32,040
Timbwani Parish 30,200
Makupa Parish 30,000
Ukunda Parish 30,000
Parokia/Taasisi KiasiCathedral 249,055.00
Ol Kalou 216,000.00
Ngarua 200,000.00
Oljoro Orok 164,000.00
North Kinangop 150,000.00
Ndaragwa 145,000.00
Manunga 94,500.00
Murungaru 80,500.00
Muhotetu 66,920.00
Ndunyu Njeru 62,000.00
Ngano 50,250.00
Mairo Inya 47,000.00
Pondo 40,000.00
Njabini 39,000.00
Marmanet 37,047.00
Shamata 36,000.00
Dundori 34,000.00
Mutanga 33,150.00
Sipili 32,600.00
Shamanei 32,300.00
Magumu 31,000.00
Geta 30,500.00
Rumuruti 30,000.00
Mukeu 29,800.00
Weru 27,950.00
Igwamiti 24,490.00
Olmoran 18,000.00
Mochongoi 16,000.00
Ngorika 11,690.00
Tumaini 10,200.00
Kanyagia 10,175.00
Maina 10,000.00
Institutions
Sisters of Mary Immaculate –St Teresa Manunga Girls Secondary
4,000
Gatimu Girls Sec-ondary
3,270
Ahiti Institute 1,510
Nyandarua Institute of Science And Technology
1,250
Gatimu Secondary 1,000
Jumla 3,105,236
Fungu lililopewa KCCB-CJPC
1,035,079
JIMBO LA NYAHURURU
JIMBO KUU LA MOMBASA
48
Shanzu Parish 28,100
Chaani Parish 27,092
Kilifi Parish 22,534
Bangladesh Parish 22,500
Mbungoni Parish 21,875
St Pauls Catholic Church Shimba Hills
20,150
Likoni Parish 20,000
Mariakani Parish 17,025
Timbila Parish 16,850
Voi Parish 16,400
Ramisi Parish 15,000
Mgange Dawida Parish 14,680
Giriama Parish 14,250
Mivumoni Parish 13,100
Kikambala Parish 13,000
Mikindani Catholic Church 13,000
Kichakasimba Parish 11,500
Chonyi Parish 10,570
Mgange Nyika Parish 10,200
Taru Parish 10,000
Mwakitau Parish 9,170
Wundanyi Parish 8,200
Bamba Parish 8,000
Migombani Parish 8,000
Kikoneni Parish 7,030
Kitumbi Parish 7,000
Lushangonyi Parish 6,820
Eldoro Parish 6,200
Bura Catholic Parish 5,220
Chumvini Parish 5,000
St Paul’s Catholic Church Taveta Mjini
4,650
Sagalla Parish 4,500
Lungalunga Parish 4,000
Kwale Parish 3,500
Kinango Parish 2,800
Maungu Parish 2,600
St George Chaplaincy- Shimo la Tewa
9,500
Ndavaya Parish 1,000
ShuleSt Claret Primary and Nursery School Kiembeni
35,000
St Joseph Catholic Pri Sch -Ukunda
10,000
Ngombeni Girls High School-Chonyi
2,000
St Susan Nursery and Prima-ry Mgange Dawida
500
All Saints Mrughua Primary 1,320
St Angelo Primary Ukunda 12,340
Our Lady of Star of the Sea Chaplaincy Pwani University
2,000
Congregations
Sisters of St JosephMother House Bura
5,000
Franciscan sisters of st Joseph
1,000
Secular Franciscan order Mombasa
1,500
Sisters of St Joseph Makupa 4,000
Sisters of Sisters Joseph 1,000
Mchango wa jumla 1,247,413
Fungu lililopewa KCCB-CJPC
330,000
49
JIMBO LA GARISSAParokia/Taasisi KiasiCathedral 45,700
Hola 8,000
Mandera 10,080
Bura Tana 12,650
Wajir 17,500
Wenje 3,528
Dadaab Refugee Camp 9,800
Mchango wa jumla 107,258
Fungu lililopewa KCCB-CJPC 53,630
AOSK Shirika/Taasisi Kiasi AOSK Justice and Peace Commission 8,400
Little Sisters of St Francis 4,600
Augustine missionary Sister - Ishiara 8,000
Incarnate Word sisters 10,000
Bungoma AOSK District Unit 3,000
Mchango wa jumla 34,000
Fungu lililopewa KCCB-CJPC 21,667
JIMBO LA ISIOLOParokia/Taasisi KiasiSt Eusebius Parish 12,736
Camp Garba Mission 5,100
Kambi ya juu 5,400
Kiwanjani 10,350
Ngaremara 3,000
Kinna Mission 5,000
Oldonyiro 10,360
Garbatulla Mission 8,320
Merti Mission 6,515
Modogashe -
Kipsing Mission 500
Mchango wa jumla 67,281
Fungu la KCCB-CJPC 67,281
50
JIMBO LA ELDORETParokia/Taasisi KiasiArror Parish 6,370.00
Burnt Forest Parish 15,000.00
Chemnoet Parish 25,000.00
Cheptarit Parish 28,865.00
Chepterit Parish 30,000.00
Chepterwai Parish 12,000.00
Cheptiret Parish 5,000.00
Chesoi Parish 47,800.00
Chesongoch Parish 20,000.00
Embobut Parish 4,960.00
Endo Parish 12,480.00
Emsea Parish 6,100.00
Huruma Parish 142,147.00
Iten Parish 80,000.00
Kaiboi Parish 40,000.00
Kabechei Parish 13,470.00
Kabuliot Parish 13,400.00
Kamwosor Parish 7,480.00
Kapcherop Parish 13,000.00
Kapkemich Parish 24,100.00
Kapkeno Parish 14,385.00
Kapsabet Parish 182,812.00
Kapsoya Parish 113,240.00
Kapsowar Parish 33,000.00
Kaptagat Parish 60,050.00
Kapyemit Parish 50,000.00
Kapkenduiywo Parish 20,380.00
Kimumu Parish 176,438.00
Kipsebwa Parish 19,000.00
Kipngeru Parish 5,720.00
Kobujoi Institutions 9,300.00
Kobujoi Parish 15,000.00
Langas Parish 94,700.00
Lelwak Parish 30,700.00
Majengo Parish 131,423.00
Matunda Parish 25,850.00
Moi U. Chaplaincy 35,505.00
Moiben Parish 23,200.00
Moi’s Bridge Parish 50,215.00
Mokwo Parish 4,000.00
Mosop parish 21,000.00
Nandi Hills Parish 35,670.00
Ndalat Parish 10,200.00
Nerkwo Parish 30,475.00
Ol’Lessos Parish 14,150.00
Ossorongai Parish 52,985.00
Sacred Heart Cathedral 143,000.00
Soy Parish 44,890.00
St Gabriel Chaplaincy 5,440.00
St John XXIII Parish 35,330.00
St Michael Sec School Kapkenduiwo
700.00
Tambach Parish 12,580.00
Tachasis Parish 22,500.00
Tembeleo Parish 24,000.00
Timboroa Parish 8,000.00
Tindinyo Parish 16,000.00
Turbo Parish 30,000.00
Yamumbi Parish 50,000.00
Ziwa Parish 30,000.00
CornelianCarmelite Sisters of the Adorable
5,150.00
Eldoret Prisons Chaplaincy 11,250.00
Mchango wa jumla 2,245,410.00
Fungu la KCCB-CJPC 1,112,920.00
51
JIMBO LA MERUParokia/Taasisi 2016 163,072.33 Cathedral Parish 489,217.00 97,333.33 Laare Parish 292,000.00 83,333.33 Nkubu Parish 250,000.00 66,666.67 Igoji Parish 200,000.00 54,266.67 Chuka Parish 162,800.00 44,630.00 Kangeta Parish 133,890.00 43,880.33 Mikinduri Parish 131,641.00 43,666.67 St. Massimo Parish 131,000.00 41,186.67 Muthambi Parish 123,560.00 40,000.00 Kibirichia Parish 120,000.00 39,150.00 Magundu Parish 117,450.00 38,651.67 Ruiri Parish 115,955.00 37,650.00 Mutuati Parish 112,950.00 37,466.67 Kariene Parish 112,400.00 36,700.00 Kinoro Parish 110,100.00 35,000.00 Maua Parish 105,000.00 35,000.00 Tuuru Parish 105,000.00 34,300.00 Iruma Parish 102,900.00 33,966.67 Riiji Parish 101,900.00 33,533.33 Tigania Parish 100,600.00 33,333.33 Kionyo Parish 100,000.00 32,591.67 Runogone Parish 97,775.00 31,050.00 Timau Parish 93,150.00 30,518.33 Kiirua Parish 91,555.00 30,115.00 Limbine Parish 90,345.00 30,000.00 Gatunga Parish 90,000.00 29,666.67 Amung’enti Parish 89,000.00 25,025.00 Mujwa Parish 75,075.00 23,366.67 Chogoria Parish 70,100.00 23,333.33 Giaki Parish 70,000.00 23,236.67 Mbaranga Parish 69,710.00 21,993.33
52
Nthare Parish 65,980.00 21,840.00 Nkabune Parish 65,520.00 20,783.33 Kajuki Parish 62,350.00 20,000.00 Mpukoni Parish 60,000.00 20,000.00 Munithu Parish 60,000.00 19,680.00 Magumoni Parish 59,040.00 18,678.33 Chaaria Parish 56,035.00 18,605.00 Buuri Parish 55,815.00 16,833.33 Kagaene Parish 50,500.00 16,783.33 Mitunguu Parish 50,350.00 16,733.33 Gatimbi Parish 50,200.00 16,000.00 Kanyakine Parish 48,000.00 15,851.67 Michaka Parish 47,555.00 15,310.00 Athi Parish 45,930.00 14,776.67 Antubetwe Parish 44,330.00 13,825.00 Ndagani (Prop) Parish 41,475.00 13,333.33 Tunyai Parish 40,000.00 12,468.67 Matiri Parish 37,406.00 12,400.00 Igandene Parish 37,200.00 15,000.00 Marimanti Parish 45,000.00 11,666.67 Mikumbune Parish 35,000.00 11,666.67 Mukothima Parish 35,000.00 10,666.67 Kianjai Parish 32,000.00 10,478.33 Kirogine Pro Parish 31,435.00 10,400.00 Kariakomo Parish 31,200.00 10,333.33 Katheri Dem Parish 31,000.00 10,000.00 Chera Parish 30,000.00 10,000.00 Mariani Parish 30,000.00 9,901.67 Nciru Parish 29,705.00 8,741.67 Nchaure Parish 26,225.00 8,666.67 Nthambiro Parish 26,000.00 8,345.00 Charanga Parish 25,035.00 8,333.33 Maraa Parish 25,000.00 5,000.00
53
Kiamuri Parish 15,000.00 3,625.00 Munga Parish 10,875.00 44,759.00 Christ the Savior Meru Prison Chapel 134,277.00
10,330.00 Consolata Hospital Chaplancy Nkubu 30,990.00 10,000.00 Consolata Hospital Nkubu 30,000.00 4,588.33 Kiirua Hospital Chaplaincy 13,765.00 4,000.00 Blessed Virgin Sisters Mutuati 12,000.00 3,605.00 Our Lady of Grace Marimba 10,815.00 2,666.67 Blessed Virgin Sisters Kangeta 8,000.00 1,666.67 Nazareth Sister Generalate 5,000.00 1,666.67 Poor Handmaids of Jesus Formation Centre Novitiate
5,000.00 1,666.67
Poor Handmaids of Jesus Igoji Convent 5,000.00 1,333.33 St. Ann Nazareth Srs Makutano 4,000.00 1,333.33 Cottolengo Sisters Chaaria 4,000.00 1,000.00 Nazareth Sisters Printing office 3,000.00 1,666.67 BBS St. John of God Tigania 5,000.00 1,000.00 Magundu Parish Frs House 3,000.00 733.33 Nazareth Sisters Bookshop 2,200.00 666.67 Adoration Convent Mujwa 2,000.00 666.67 Consolata Sisters Gitoro 2,000.00 666.67 Cottolengo Sisters Gatunga 2,000.00 666.67 Felician Sisters Ruiri 2,000.00 666.67 Franciscan Clarist Srs Kiirua 2,000.00 666.67 Franciscan Clarist Srs Nkubu 2,000.00 666.67 Gitoro Conference Centre 2,000.00 666.67 Holy Cross Sisters Iruma 2,000.00 666.67 Missionary Srs. of Holly Family Kanya-kine
2,000.00 666.67
Poor Handmaids of Jesus Formation Centre Postulants
2,000.00 666.67
St. Jude Kangeta Prison Chapel 2,000.00 666.67 St. Francis of Assisi Nciru 2,000.00 666.67
54
Apostles of Jesus 2,000.00 500.00 Adoration Sisters Maua 1,500.00 500.00 Nazareth Sisters Matiri Community 1,500.00 500.00 Sisters of the Holy Angels 1,500.00 500.00 St Anthony of Padua Kiirua 1,500.00 333.33 Little Sisters of St Francis - Tigania 1,000.00 333.33 Nazareth Sisters Amungenti 1,000.00
21,666.67 Muthambi Girls High School 65,000.00 19,883.33 Our Lady of Mercy Girls Sec School - Magundu
59,650.00 13,668.33
Chuka Boys Sec School 41,005.00 13,466.67 Allamano Pry School Kangeta 40,400.00 13,333.33 Chuka Girls Sec School 40,000.00 6,666.67 Bishop Lawrence Bessone Primary School Nkabune
20,000.00 6,666.67
Consolata Hospital School of Nursing Nkubu
20,000.00 5,886.67
Mfariji Pry School 17,660.00 3,766.67 Kajuki Sec School 11,300.00 3,333.33 Consolata Primary School 10,000.00 3,333.33 St. Paul Primary 10,000.00 3,333.33 St. Orsola Hospital Staff 10,000.00 2,900.00 Naikurio Primary, Mutuati 8,700.00 2,100.00 St. Joseph’s Sec School Michaka 6,300.00 1,823.33 Naathu High School 5,470.00 1,666.67 Ndumbini Sec Magundu 5,000.00 1,666.67 St. Augustine Ruguta Sec Magundu 5,000.00 1,666.67 Joseph Allamano Boys Sec School 5,000.00 1,550.00 Munga Primary & Sec School 4,650.00 1,100.00 Mutuati Sec School YCS 3,300.00 1,000.00 Kanyuru Day Secondary, Mpukoni 3,000.00 1,000.00 Mpukoni Secondary School 3,000.00 1,000.00
55
Our Lady of Visitation Sec Timau 3,000.00 1,000.00 Mutuati Hospital Staff 3,000.00 933.33 St Elizabeth Primary Iruma 2,800.00 816.67 Aithu Pry School 2,450.00 751.67 Muthambi Pry School 2,255.00 683.33 St Mary Nthaki Sec Antubetwe 2,050.00 666.67 Mfariji Girls Sec School 2,000.00 666.67 St Mary Doleri Pry Antubetwe 2,000.00 666.67 Mbayo Primary Mutuati 2,000.00 666.67 Makuri Girls YCS 2,000.00 573.33 Mutuati Primary School 1,720.00 516.67 Nkuene Boys Sec School 1,550.00 501.67 CCM Township Pry School Meru 1,505.00 500.00 Gachanka Day Sec School 1,500.00 500.00 Kiini Sec Magundu 1,500.00 416.67 St. Mary’s Kalembune Pry Mutuati 1,250.00 400.00 CCM Township Sec School Meru 1,200.00 400.00 Kagongo Gacheke Primary, Magundu 1,200.00 385.00 San Pampuri Primary School, Mutuati 1,155.00 333.33 Irinda Sec School 1,000.00 333.33 Irinda Primary Sch 1,000.00 318.33 Mikuu Primary, Magundu 955.00 266.67 Nkamathi Primary, Mutuati 800.00 266.67 Maatha Primary School, Muthambi 800.00 233.33 Bonventure Mumbuni Sec School 700.00 166.67 Mburanjiru Day Sec YCS, Mutuati 500.00 166.67 Buuri High School YCS 500.00 166.67 Kamwe Primary, Antubetwe 500.00 166.67 CCM Thege Primary School 500.00 166.67 Gachanka Primary School 500.00 161.67 Holy Family Primary, Kiamuri 485.00 116.67 Magundu Primary School 350.00 116.67 Ngukine Primary School, Mutuati 350.00 100.00
56
Mumbuni Pry School 300.00
6,666.67 Mbunge Bonface Gatobu wa Buuri 20,000.00 17,333.33 Florence Kajuju - Mjumbe wa Akina Mama Kaunti ya Meru
52,000.00 6,666.67
Mbunge Rahim Dawood wa Imenti Kaskazini
20,000.00 33,333.33
Rajesh Valji Hirani 100,000.00 16,666.67 Ramesh Hirani - MD Silver Spread Hardware Ltd.
50,000.00 6,666.67
Mbunge Mithika Linturi wa Igembe Kusini
20,000.00 6,666.67
Mbunge Joseph M’eruaki wa Igembe Kaskazini
20,000.00
Jumla 6,523,091.00
Fungu lililopewa KCCB-CJPC 2,174,363.67
57
JIMBO LA LODWARParokia KiasiSt Augustine Parish 108,000.00
Kanamkemer Parish 27,320.00
Nakwamekwi Parish 20,000.00
Kerio Parish 0.00
Kangatosa Parish 2,000.00
Turkwel Parish 6,600.00
Lorugum Parish 11,000.00
Kainuk Parish 15,000.00
Katilu Parish 6,090.00
Lokori Parish 15,500.00
Nakwamoru Parish 5,600.00
Lokichoggio Parish 9,380.00
Kalobeyei Parish 5,300.00
Good Shepherd Kakuma Parish
50,000.00
Holy Cross Kakuma Parish 30,000.00
Lokitaung Parish 12,620.00
Lowarengak Parish 13,000.00
Kaeris Parish 4,500.00
Kaikor Parish 7,200.00
Kataboi Parish 3,000.00
Kalokol Parish 15,000.00
Losajait Parish 9,600.00
Lokichar Parish 35,100.00
Todonyang Parish/Scc 2,000.00
Nariokotomoe Mission 6,238.00
St Michael Parish 30,000.00
Oropoi Parish 4,000.00
Kiasi 454,048.00
Taasisi KiasiKalemnyang Primary 1,000.00
Kacheimeri Primary 2,500.00
Lodwar High 4,200.00
St Kevins Secondary 7,400.00
PAG Secondary 1,500.00
Bishop Mahon Primary 2,000.00
Sisters of Mary of Kakamega Lodwar Convent
6,000.00
Sisters of Mary of Kakamega Kalobeyei Convent
2,000.00
St Monica Lodwar Girls Primary
6,730.00
Loyopo Youth Polytechnic 2,600.00
Comboni Girls Secondary 3,000.00
Turkana Girls Primary 3,000.00
Katilu Girls Secondary 1,000.00
St Bridge Dispensary 200.00
Angarabat Primary 1,000.00
St Marys Primary-Lodwar 1,000.00
Turkana Intergreted Primary-Katilu
2,000.00
St Patrick’s Kanamkemer 2,100.00
Queen of Peace Girl Primary 10,000.00
St Perpetua Nabulon Girls 1,255.00
Kalomegur Primary 1,050.00
Kiasi 61,535.00
Mchango wa jumla 472,583.00
Fungu lililopewa KCCB-CJPC
236,291.50
58
JIMBO LA MALARALParokia
Baragoi 40,000.00 20,000.00 20,000.00
Barsaloi 15,000.00 7,500.00 7,500.00
Lodokejek 13,000.00 6,500.00 6,500.00
Lodungokwe 15,000.00 7,500.00 7,500.00
Sererit 22,247.00 11,123.50 11,123.50
South Horr 35,000.00 17,500.00 17,500.00
Tuum 23,000.00 11,500.00 11,500.00
Wamba - -
Suguta 21,070.00 10,535.00 10,535.00
Sereolipi 84,100.00 42,050.00 42,050.00
Maralal 70,350.00 35,175.00 35,175.00
Morijo - -
Lorroki 12,605.00 6,302.50 6,302.50
Seminary - -
Pastoral Centre - -
Jumla 351,372 175,686 175,686.00
Fungu la KCCB-CJPC
175,686.00
JIMBO LA KAKAMEGAParokia/Taasisi KiasiBumini 14,000.00
Bulimbo 28,480.00
Buyangu 6,000.00
Chekalini 70,000.00
Chamakanga 10,000.00
Chimoi 20,335.00
Emalindi 24,372.00
Ejinja 85,200.00
Eregi 45,000.00
Erusui 16,180.00
Eshisiru 34,150.00
Hambale 22,550.00
Kongoni 22,577.00
Kakamega 115,000.00
Lubao 28,000.00
Lufumbo 10,000.00
Lusumu 10,000.00
Lutaso 34,000.00
Lutonyi 100,250.00
Likuyani 54,765.00
Luanda 58,600.00
Malava 42,150.00
Mukumu 66,500.00
59
JIMBO LA KITALEParokia KiasiChrist the King 107,033.00
Kolongolo 76,000.00
Kipsaina 62,000.00
Chepchoina 54,100.00
Kiminini 51,600.00
Immaculate 40,061.00
Kaplamai 39,300.00
Kaptabuk 38,780.00
Kachibora 38,500.00
Sirende 36,800.00
Endebess 33,500.00
Saboti 30,000.00
Kibomet 18,600.00
Mbara 15,300.00
Makutano 15,000.00
Musoli 20,000.00
Mumias 89,200.00
Mutoma 27,250.00
Mukomari 26,000.00
Mautuma 61,160.00
St Marks 32,880.00
Shibuye 80,000.00
Shikoti 29,250.00
Shiseso 68,603.00
Shitoli 18,000.00
Shirotsa 10,550.00
Mukulusu 19,000.00
Matunda 25,000.00
Amalemba 40,000.00
Bishop STAM 1,250.00
Eregi TTC 2,000.00
MMUST 20,257.00
Mukumu Hospital 4,500.00
Soy 28,000.00
Irenji 10,000.00
Bukaya 3,000
CTC Mumias 3,035
Jumla 1,537,044
Fungu lililopewaKCCB-CJPC
1,000,000
Chepareria 13,300.00
Suwerwa 13,000.00
St Joseph’s 10,000.00
Tartar 10,000.00
Amakuriat 10,000.00
Sina 7,400.00
Ortum 7,320.00
Psigor 7,160.00
Kabichbich 5,430.00
Chepnyal 4,085.00
Kacheliba 0.00
Kapenguria 0.00
St Kizito 0.00
Lomut Parish 0.00
Jumla 744,269.00
Fungu la KCCB-CJPC 372,680.00
60
MILITARY ORDINARIATEParokia AmountSt Peter – 4 BDE 6,491.00
Our Lady Queen of Victory – 3KR
12,350.00
St Michael – 5KR 4,800.00
Our Lady Mother of Mercy – 7KR
18,592.00
St Monica - RTS 10,250.00
St Mathew - 17KR 1,500.00
Sacred Heart of Jesus – 77 Artillery Batallion
1,183.50
St Francis of Assisi – 78 Tank Batallion
3,885.00
St Joseph the Worker – 12 Engineers
2,000.00
St Charles Lwanga – Kahawa Garrison
79,000.00
Our Lady of Holy Rosary – Embakasi Garrison
15,100.00
St Luke - Westcom 3,200.00
St Paul - KMA 2,007.50
Saints Peter and Paul – DHQ CAU
20,000.00
St Augustine - DSC 750.00
St Thomas Aquinas – 30 SF 3,125.00
St Raphael - DFMH 5,300.00
Our Lady of Assumption - MAB
36,450.00
St Ignatius of Loyola - LAB 11,075.00
Our Lady Star of The Sea – KN Mtongwe
4,900.00
Our Lady of Mt Carmel – KN Manda
-
Our Lady of Consolata - SOI -
FOB - Mombasa 2,400.00
Jumla 244,359.00
Fungu la KCCB-CJPC 244,359.00
Parokia Kiasi
Sacred Heart Ang’iya 10,500.00
St Theresa’s Asumbi 21,975.00
St Paul of the Cross Awendo 23,025.00
St Paul’s Cathedral Homa-Bay 130,500.00
St Thomas More Isibania 34,425.00
St Michael, Kadem 46,500.00
St.Theresa’s, Kakrigu 15,000.00
St Gabriel Our Lady of Sorrows, Karungu
22,500.00
St Mathias Mulumba, Kegonga 10,500.00
Our Lady Queen of Martyrs, Kehancha
30,000.00
Our Lady of Immaculate Conception,Kendu Bay
15,083.00
St Mary’s, Mabera 24,495.00
Martyrs of Uganda, Macalder 25,500.00
St Francis of Assisi, Mawego 24,000.00
Star of the Sea, Mbita 48,000.00
St Linus, Mfangano 4,500.00
St Joseph, Migori 61,125.00
St John Mary Vianney, Migori 1,305.00
St. Peter And Paul Cath.parish Ntimaru
22,500.00
St Francis of Assisi, Nyagwethe 12,765.00
St Arnold, Nyalienga 27,000.00
St Mary’s, Nyarongi 6,000.00
Blessed Sacrament, Oriang 28,800.00
St Celestino, Oruba 61,500.00
JIMBO LA HOMA BAY
61
Holy Spirit, Osogo 11,175.00
St Peter’s, Oyugis 78,383.00
Our Lady of Fatima, Rakwaro 8,703.00
St Monica, Rapogi 45,000.00
St Bernadette, Raruowa 22,658.00
St John, Rodi 22,020.00
Emmaus, Rongo 60,300.00
Christ the Good Shepherd, Sindo
1,800
St Joseph, Tonga 7,800
St Martin De Porres - Ulanda 27,750
InstitutionsAsumbi Girls National High 27,000
St Mary’s Girls, Mabera 3,465
St John’s MinorSeminary, Rakwaro
4,310
St. Mary Gorrety Dede High Sch. Rakwaro
7,000
Franciscan Sisters of St Joseph, Asumbi (Mother House)
-
YCS Sori Secondary, Karungu -
Okayo Secondary, Karungu -
St Joseph Alendo Secondary, Karungu
-
Fr Joseph Otati Secondary, Karungu
-
St Josephine Bakhita Girls, Nyalienga
3,000
St Gabriel Mirogi Pre-Unity School
500
YC Sisters, Okok Mixed Secondary Mirogi
1,000
Uganda Martyrs Mirogi Primary School
1,000
St Joseph Mukasa Mirogi Girls High
13,850
St Augustine Mirogi Boys’ High School
15,110
St Paul Nyamanga Secondary, Mirogi
1,500
Nyabera Girls’ School, Sindo 1,000
Moi Girls Secondary, Sindo 3,000
Franciscan Sisters of Immacu-late Conception, Kehancha
-
St Teresa Girls Secondary, Kehancha
-
St Ambrose Mixed Secondary, Homa Bay
2,500
St Albert Ulanda Girls’ High 14,135
Our Lady of Mercy Ringa Boys High, Oriang
20,000
St Paul Ageng’a Secondary, Macalder
1,800
St Gaemma Girls Secondary, Macalder
1,700
St Gorrety Mikei High, Macalder
700
St Anne’s Ojwando Secondary Kendu Bay
9,350
St Mary’s Nyangau Secondary, Rongo
1,850
St Peter’s Ofwanga Secondary, Rongo
3,000
Minyenga Secondary, Rongo 1,370
St Joseph Tuk Jowi Girls Secondary, Rongo
2,150
St Benedict Parochial Primary School - Migori
5,340
St Martha’s Girls Secondary, Homa Bay
2,000
St Joseph’s Tonga Boys Secondary
10,000
St Gabriel’s Gwassi Girls,Tonga 5,000
Jumla 1,155,716
Fungu lililopewa KCCB-CJPC
412,343
62
JIMBO KUU LA KISUMUParokia/Taasisi Mchango
wa jumla wa Parokia
Fungu la Parokia
Afisi ya Jimbo ya Hazina na Usimamizi
Milimani 148,840.00 37,210.00 111,630.00
St Paul’s 126,547.00 31,637.00 94,910.00
Kibuye 88,000.00 22,000.00 80,000.00
Nanga 86,667.00 21,667.00 66,000.00
Nyamasaria 74,120.00 18,530.00 65,000.00
Ojolla 68,400.00 17,100.00 55,590.00
Rang`Ala 66,667.00 16,667.00 51,300.00
Riwo 60,000.00 15,000.00 50,000.00
Ahero 60,000.00 15,000.00 50,000.00
Lwak 53,827.00 13,457.00 47,020.00
Holy Cross 48,000.00 12,000.00 45,000.00
Ugunja 46,667.00 11,667.00 40,370.00
Katito 43,573.00 10,893.00 36,000.00
St John XXIII 40,000.00 10,000.00 35,000.00
Muhoroni 40,000.00 10,000.00 35,000.00
Yala 40,000.00 10,000.00 35,000.00
Bolo 40,000.00 10,000.00 32,680.00
Sega 37,440.00 9,360.00 30,000.00
Sigomere 34,667.00 8,667.00 30,000.00
St Pantaleon 33,333.00 8,333.00 30,000.00
Nduru 28,667.00 7,167.00 30,000.00
Bondo 39,840.00 7,000.00 29,880.00
Raliew 26,667.00 6,667.00 29,870.00
Uradi 26,667.00 6,667.00 26,000.00
Nyamonye 24,000.00 6,000.00 25,000.00
Koru 22,667.00 5,667.00 21,500.00
Nyabondo 22,667.00 5,667.00 21,000.00
Mbaga 21,733.00 5,433.00 20,000.00
Reru 20,667.00 5,167.00 20,000.00
Nyang’oma 20,667.00 5,167.00 18,000.00
63
Masogo 16,000.00 4,000.00 17,000.00
Yogo 15,666.00 3,916.00 17,000.00
Awasi 14,000.00 3,500.00 17,000.00
Ukwala 21,733.00 5,433.00 16,300.00
Chiga 46,667.00 11,667.00 15,500.00
Madiany 106,667.00 26,667.00 15,000.00
Aluor 16,000.00 4,000.00 12,000.00
Magadi 20,000.00 5,000.00 12,000.00
Obambo 15,667.00 3,917.00 11,750.00
Nyagondo 46,667.00 11,667.00 10,500.00
Barkorwa - - -
Jumla ndogo 1,810,057.00 449,557.00 1,405,800.00
Taasisi Afisi ya Hazina na Usimamizi ya Jimbo
Fungu lathuluthi mbili
St Mary’s Lwak Girls’ Secondary 36,000.00 24,000.00
Bishop Okoth Mbaga Girls Sec 22,000.00 14,667.00
Maseno University Chaplaincy 17,000.00 11,333.00
Aluor Girls’ Secondary 15,000.00 10,000.00
St Theresa’s Girls, Kibuye 13,750.00 9,167.00
Mbaga Girls Boarding Primary 13,450.00 8,967.00
Nyabondo Medical Training College 10,000.00 6,667.00
Nyabondo Hospital 10,000.00 6,667.00
Rangala Girls Secondary 10,000.00 6,667.00
Archbishop’s Residence 10,000.00 6,667.00
Lwak Convent-FSSA 9,000.00 6,000.00
Molphy-K Youth Group-Milimani Parish
8,300.00 5,533.00
Adok-St Monica’s Hospital 7,700.00 5,133.00
Koru Mission Hospital 7,000.00 4,667.00
St Elizabeth Lwak Hospital 6,800.00 4,533.00
Ukweli Pastoral Staff and St Francis Convent-Fssa
6,750.00 4,500.00
Kuap-Pand Pieri Staff Members 6,700.00 4,467.00
64
St Vincent Raliew Secondary 6,220.00 4,147.00
Archbishop Okoth Girls Secondary School Ojola
5,990.00 3,993.00
Rangala Boys Secondary 5,000.00 3,333.00
Lwak Girls Boarding Primary 5,000.00 3,333.00
San Damiano Novitiate -FSSA 5,000.00 3,333.00
St Elizabeth Girls Boarding Primary 5,000.00 3,333.00
Franciscan Sisters of St Anna-AssisiCommunity
4,000.00 2,667.00
St Patric’s Segere Secondary 3,550.00 2,367.00
St Alloys Ojola Primary 3,010.00 2,007.00
St Francis Nyamonge Primary 3,000.00 2,000.00
Aluor Sisters Convent-FSA 3,000.00 2,000.00
St Antony Institute Lwak 3,000.00 2,000.00
St Theresa’s Kibuye Convent-FSJ 2,900.00 1,933.00
St Anne’s Sega Mission Hospital 2,750.00 1,833.00
Sega Girl’s Boarding Primary School 2,600.00 1,733.00
St Edward Masamra Secondary 2,500.00 1,667.00
St Theresa Girls Priimary 2,260.00 1,507.00
St Aloyce Secondary 2,180.00 1,453.00
St Mary Magdaline Orphanege -FSJ 2,000.00 1,333.00
St Antony Bolo Secondary, Kajimbo 2,000.00 1,333.00
Blessed Virgin Sisters Community 2,000.00 1,333.00
Aluor Girls Primary 2,000.00 1,333.00
Sisters of Mary, Ojola Convent 2,000.00 1,333.00
Nyabondo School for the Disable 2,000.00 1,333.00
Our Lady Queen of Peace Convent-FSSJ
2,000.00 1,333.00
Rang’ala Mission Hospital 1,950.00 1,300.00
Kagumo Primary 1,600.00 1,067.00
Fathers House-Uradi Parish 1,600.00 1,067.00
Katito Polytechnique College 1,580.00 1,053.00
St Mary’s Mayenya Primary 1,500.00 1,000.00
Sisters of Mary,St Elizabeth Community
1,500.00 1,000.00
St Hannah School 1,500.00 1,000.00
65
St Paul’s Kanyakwar Primary 1,500.00 1,000.00
Blessed Virgin Sisters Nursery 1,400.00 933.00
Kisumu Girls High 1,200.00 800.00
St John Bosco Mawembe Kodero 1,110.00 740.00
Rang’ala Convent-Fsj 1,100.00 733.00
Ragen Mill Hill Primary 1,000.00 667.00
St Fredrick Ligusa 1,000.00 667.00
Siwar Secondary 1,000.00 667.00
Bothers of Our Lady of P.H-Bukna Novitiate
1,000.00 667.00
Awasi Sisters Convent-FSSA 1,000.00 667.00
St John’s Lwala Mixed Secondary 850.00 567.00
St Peter’s Burkamwana Primary 780.00 520.00
Anduro Primary 500.00 333.00
Brothers of Our Lady Of P.H-ChigaCommunity
500.00 333.00
Cornelius Ramula Secondary 500.00 333.00
Daughters of the Holy Spirit (Student, Sister)
500.00 333.00
Nyambiro Primary 500.00 333.00
St Elizabeth Mary Secondary 500.00 333.00
The Ark Preparatory School 360.00 240.00
Wenwa Primary 340.00 227.00
St Aloyce Primary 330.00 220.00
Consolata Training Polytechnique 300.00 200.00
Kobeto Primary 300.00 200.00
Jumla 319,210.00
Jumla kuu 212,805.00
Mchango wa parokia 1,810,057.00
Mchango wa taasisi 319,210.00
Jumla kuu 2,129,267.00
Fungu lililopewa KCCB na: Parokia za Jimbo 937,195.00
Taasisis za Jimbo 212,805.00
Fungu la jumla lililopewa KCCB-CJPC
1,150,000.00
66
JIMBO LA EMBU Parokia/Taasisi KiasiSt Joseph Mukasa Mbiruri 235,178.00
Our Lady of Assumption Embu
228,636.00
Holy Family Nguviu 224,105.00
St Francis of Assis Nthagaiya 217,897.00
Sacred Heart Kyeni 211,048.00
St Joseph Kianjokoma 205,903.00
St Paul’s Kevote Parish 150,526.00
St Francis Xavier Siakago 137,051.00
St Thomas Moore Kairuri 131,250.00
Our Lady of Consolata Iriamurai
127,215.00
St Theresa’s Kithimu 122,830.00
St Peter & Paul Cathedral 110,399.00
St Paul’s Makima 90,000.00
Mary Mother of God Karu-rumo
86,291.00
Good Shepherd Ishiara 85,891.00
St Lawrence Munyori 54,595.00
Sacred Heart Karaba Wango 47,254.00
St Anthony of Padua Mutuobare
36,470.00
St John the Baptist Kirie 29,670.00
Christ the King Kathunguri 27,242.00
Holy Trinity Gwakaithe 6,630.00
Jumla 2,566,081.00
Taasisi
Felician Sisters - Embu 5,000.00
Don Bosco Girls Secondary, Embu
5,000.00
St Ursula Boarding, Nguviu 5,421.00
St Angelas Nguviu Girls 3,901.00
St John Karumiri Primary 1,606.00
St John Chrisytom Muvandori Secondary, Nguviu
1,464.00
Gicherori Primary, Nguviu 1,585.00
St Joseph Ndunda Primary, Nguviu
2,508.00
Karau Primary, Nguviu 4,590.00
St Benedict Mixed Secondary Karau, Nguviu
3,405.00
Starlight Academy, Nguviu 665.00
Kathuniri Primary, Nguviu 1,245.00
St Joseph the Worker Second-ary Kathuniri, Nguviu
2,300.00
St Hellen Karimari Primary, Nguviu
2,350.00
St Alponse Sec. School, Nguviu
1,095.00
St Mary Gorreti Kamuratha Academy, Nguviu
515.00
Rugumu Primary, Nguviu 1,330.00
Queen Of Wisdom Primary, Nguviu
615.00
YCS Kagumori Secondary, Nguviu
185.00
Holy Family Primary, Nguviu 1,995.00
Nguviu Boys High 5,355.00
St Francis Primary, Nguviu 815.00
Muvandori Primary, Nguviu 1,410.00
YCS Kathakwa Secondary - Nguviu
1,000.00
Our Lady Queen of Wisdom Mariari Girls, Mutuobare
5,100.00
St Augustine Mariari Primary, Mutuobare
285.00
Kiambere Complex Secondary, Mutuobare
500.00
Rutumbi Primary, Mutuobare 670.00
Karura Primary, Mutuobare 1,260.00
67
Gatete Primary, Mutuobare 1,275.00
Ntharawe Primary, Mutuobare 240.00
St Kizito Primary, Mutuobare 550.00
Clergy Mutuobare 1,050.00
Mother Angelina Academy, Kithimu
4,200.00
Nembure Junior Academy, Kithimu
2,600.00
Nembure Primary 1,385.00
St Theresa’s Girls Secondary, Kithimu
58,320.00
Karurumo Primary 1,485.00
Kandete Primary, Karurumo 770.00
St Barnabas Primary School - Karurumo
1,440.00
Kaveti Primary, Karurumo 948.00
St Jude Karurumo Secondary 110.00
Clergy Karurumo 1,110.00
St Monica Girls Secondary, Ishiara
21,000.00
Sacred Heart Kyeni Girls 7,413.00
Sacred Heart Boarding Primary, Kyeni
7,131.00
St Lukes Rukuriri Primary, Kyeni
2,932.00
Rukuriri Primary, Kyeni 2,407.00
St Mary’s Parochial Primary, Kyeni
2,007.00
St Michael Kiangungi Primary, Kyeni
1,530.00
YCS S.A Kyeni Secondary 1,345.00
YCS Fidenza School Of Nursing Kyeni
1,370.00
YCS Kiangungi Sec. School, Kyeni
1,070.00
St Mary Gorret Rukuriri Secondary, Kyeni
1,028.00
Gakwegori Primary, Kyeni 650.00
Gakwegori Secondary, Kyeni 465.00
YCS Kathari Secondary, Kyeni 395.00
YCS St Agnes Kiaganari Secondary, Kyeni
360.00
Plains View Academy Kathageri Primary, Kyeni
355.00
Kiaragana Primary 350.00
Rukuriri Tea Factory Staff 300.00
Njeruri Primary, Kyeni 165.00
YCS ACK Kathanjuri Secondary, Kyeni
155.00
YCS St Anthony Kivuria Secondary, Kyeni
100.00
Felician Sisters, Kyeni 3,500.00
Clergy Sacred Heart Kyeni 3,800.00
YCS St Matthews Kamweli Secondary, Karaba Wango
2,460.00
Iriaitune Primary, Karaba Wango
2,300.00
Kamweli Primary, Karaba Wango
1,055.00
Kikumini Primary, Karaba Wango
1,108.00
Wakalya Primary School Teachers, Karaba Wango
1,200.00
Wakalya Primary, Karaba Wango
600.00
CCM Gitaraka Primary School Teachers, Karaba Wango
155.00
CCM Gitaraka Primary, Karaba Wango
155.00
CU Winpride Secondary, Karaba Wango
568.00
YCS Winpride Secondary, Karaba Wango
661.00
Wachoro Boys Secondary Staff, Karaba Wango
750.00
Wachoro Boys Secondary, Karaba Wango
1,643.00
68
Makutano Primary Staff, Karaba Wango
1,346.00
Makutano Primary, Karaba Wango
1,997.00
St Mary’s Primary, Karaba Wango
3,960.00
St Mary’s Primary Staff, Karaba Wango
1,000.00
Iriaitune Mixed Day SecStaff, Karaba Wango
795.00
Iriaitune Mixed Day Secondary, Karaba Wango
581.00
F.A. Masaku’s FamilyIriaitune, Karaba Wango
1,750.00
Consolata Girls Secondary Gitaraka, Karaba Wango
1,176.00
Consolata Girls Secondary Gitaraka Sfaff
2,261.00
Kikumini Secondary, Karabawango
530.00
Karuku Primary, Karaba Wango
2,540.00
Makawani Primary, Karaba Wango
120.00
Makawani Primary School Staff, Karaba Wango
15.00
Consolata Girls Iriamurai 3,315.00
Kabuguri Secondary,Iriamurai
800.00
YCS Gichiche Secondary, Mbiruri
524.00
Subrina Academy, Mbiruri 540.00
Clergy Mbiruri Parish 6,000.00
Mwenendega Primary, Mbiruri
750.00
Kubukubu Boarding Primary, Mbiruri
8,419.00
Gitare Primary, Mbiruri 1,800.00
Gitare Secondary, Mbiruri 3,891.00
ACK St Marks Karue, Kevote 500.00
St Joseph Kiandari Primary, Kevote
1,518.00
St Joseph Kiandari Primary School Staff, Kevote
2,350.00
Consolata Primary, Kevote 692.00
Consolata Primary School Staff, Kevote
600.00
ACK St Catherine Keruri Primary, Kevote
2,138.00
ACK St Philip’s Pri. Sch. Makengi, Kevote
2,017.00
Mt Kenya View Academy Makengi, Kevote
1,571.00
St Michael Primary, Kevote 4,320.00
St Michael Pri. Sch . Staff, Kevote
1,600.00
St Paul Parochial Primary, Kevote
3,088.00
St Paul Parochial Pri. Sch. Staff, Kevote
1,350.00
St Francis Ngoire Pri. School, Kevote
1,000.00
St Francis Ngoire Pri Sch. Staff - Teachers
7,000.00
Kinthithe Primary, Karurumo 75.00
Kituneni Primary, Karaba Wango
450.00
Gategi Girls Secondary, Karaba Wango
1,700.00
Clergy Kathunguri Parish 2,000.00
Kegonge Secondary, Kathunguri
574.00
Mother Mary Secondary, Kathunguri
155.00
St John’s Secondary, Kathunguri
215.00
St Joseph Primary, Kathunguri 600.00
St Bakita Siakago Girls 1,717.00
69
Nduuri Primary, Mbiruri 170.00
Munyutu Primary, Mbiruri 922.00
St Francis Kanja Secondary, Mbiruri
710.00
Up-County Security - Mbiruri 500.00
Our Lady of Annunciation Primary, Mbiruri
565.00
Moi High Mbiruri High School
3,215.00
Muragari Secondary, Mbiruri 250.00
Gicheiche Primary Mbiruri 1,100.00
YCS Nduuri Secondary, Mbiruri
470.00
St Joseph Primary, Kianjokoma
6,235.00
St John’s Gaikama Boarding Primary, Kianjokoma
1,000.00
St John The Fisher Secondary, Kianjokoma
1,301.00
St John the Fisher Primary, Kianjokoma
1,500.00
Mugui Secondary, Kianjokoma
655.00
Mugui Primary, Kianjokoma 3,187.00
Irangi Primary, Kianjokoma 330.00
Clergy Kianjokoma Parish 3,350.00
St Paul High, Kevote 25,948.00
St Paul High School Staff, Kevote
3,670.00
Consolata Girls Secondary, Kevote
7,777.00
St Joseph of Tarbes Schools, Kevote
8,450.00
Nguire Secondary, Kevote 1,575.00
Ngoire Secondary School Staff, Kevote
400.00
St Michael Secondary, Kevote 2,100.00
St Michael Sec School Staff, Kevote
450.00
St Peter’s Boarding Primary, Ishiara
7,000.00
St Michael Kyeniri Secondary, Ishiara
3,075.00
Clerry House Karurina 7,382.00
Augustinian Missionary Sisters, Ishiara
4,000.00
St Mary’s Munyori Primary 2,570.00
St. Mary’s Kangeta Primary, Munyori
1,055.00
Munyori Primary 1,010.00
Kangeta Primary 640.00
St Peter’s Munyori Secondary 640.00
St Mary’ Gataka Secondary, Munyori
250.00
St Clare Girl’s Sec Kangeta, Munyori
640.00
Itabua Secondary, Cathderal 820.00
Embu Shepherd Academy, Cathedral
2,195.00
J.N. Mwonge Primary, Cathedral
785.00
Kihumbu Primary, Cathedral 1,490.00
Saints Peter & Paul School, Cathedral
717.00
Carlo Liviero Community 5,000.00
Mbarwari Primary, Kirie 2,800.00
Kirie Primary 1,400.00
St John’s Kirie Secondary, Kirie
1,275.00
Dan Feathers’s Academy, Kirie 1,200.00
Nguthi Primary, Kirie 1,000.00
Kirigo Secondary, Kirie 910.00
St Elizabeth Parochial Primary, Kirie
515.00
Clergy Kairuri Parish 2,300.00
Sisters Of Mary Immaculate, Kairuri
1,500.00
70
YCS ACK Kamviu Secondary, Kairuri
965.00
Our Lady of Consolation Kairuri Primary
1,500.00
St Ambrose Primary Keria, Kairuri
2,100.00
St Tarcisius Primary, Kairuri 1,200.00
St Marks Ttc Kigari, Kairuri 1,385.00
Clergy Nthagaiya Parish 4,700.00
Kavuru Primary, Nthagaiya 825.00
Gatinda Primary, Nthagaiya 1,630.00
S. Jerome Ugweri Secondary, Nthagaiya
980.00
St Mary’s Kigaa Secondary, Nthagaiya
1,710.00
St Catherine Nthagaiya Girls 1,645.00
Kigaa Primary, Nthagaiya 870.00
Kathambaiconi Primary, Nthagaiya
260.00
Nthagaiya Dispensary 1,035.00
Gathatha Primary, Gwakaithe 2,500.00
St John XXIII Secondary, Gwakaithe
1,990.00
Arch Angeles Kanyweri Secondary, Gwakaithe
600.00
Clergy Gwakaithe Parish 1,000.00
St Emilio Primary Kithungururu
5,030.00
Our Lady of Assumption Primary, Embu
4,450.00
Kirimari Secondary, Embu 700.00
YCS Kangaru Boys’ High, Embu
1,659.00
YCS St Michael Secondary, Embu
6,416.00
YCS Isaack Walton Inn College, Embu
1,095.00
YCS Gatoori Secondary, Embu
1,755.00
YCS DEB Kangaru Secondary, Embu
1,035.00
Sisters of St Joseph of Tarbes Embu
1,500.00
Little Servant of Sacred Heart, Embu Children Home
2,700.00
Gatoori Primary, Embu 1,060.00
Gituri Secondary, Embu 2,107.00
Clergy Embu Parish 5,260.00
Kune Secondary School - Siakago
1,700.00
Kune Primary School - Siakago
815.00
St Augustine Teachers College Ishiara
9,060.00
Jumla 493,712.00
Fungu lililopewa KCCB-CJPC
855,361.00
JIMBO LA KISIIParokia/Taasisi Kiasi
St Charles Lwanga Cathedral Parish -
Our Lady of Assumption Nyamagwa Parish -
Immaculate conception Nyabururu Parish -
Our Lady of the Most Holy Rosary Sengera Parish -
Holy Family Gekano Parish -
St Andrews Kagwa Nyansiongo Parish -
71
JIMBO LA MARSABITParokia/Taasisi Kiasi
Marsabit Cathedral 20,165.00
Sololo 14,000.00
Moyale 12,200.00
Dirib Gombo 10,000.00
BP Cavallera Girls Sec School. 9,580.00
Dukana 8,500.00
Karare 8,000.00
Kargi 6,000.00
Laisamis 5,000.00
Kalacha Pastoral Zone 3,600.00
Maikona 2,000.00
Jumla 99,045.00
Fungu lililopewa KCCB-CJPC 99,045.00
St Andrew’s Kagwa Suneka Parish -
St Theresa Nyangusu Parish -
Our Lady of Perpetual Ichuni Parish -
Our Lady of victory Kisii Town parish -
St Ann Ogembo Parish -
Our lady of Mercy Kebirigo Parish -
St Theresa Manga Parish -
Blessed virgin Mary Tabaka Parish -
St Simon and Jude Rangenyo Parish -
St Thomas Etago Parish -
St Peters Magwagwa Parish -
St Joseph’s Nyamira Parish -
Fungu lililopewa KCCB-CJPC 130,000.00
72
JIMBO LA KITUIParokia/Taasisi Namba ya
risitiNamba ya hundi
Kiasi
Migwani 21174 653 32,000
Kabati 21204 , 21179 Taslimu 73,387
Kavisuni 21158 , 21220 Taslimu 34,106
Kyuso 21170 758 16,400
Ikanga 21206 2678 29,000
Mutune 21163 1136 31,571
Kamuwongo 21165 Taslimu 10,040
Nuu 21169 470 14,000
Kiio 21172 Taslimu 10,280
Nguni 21184 625 4,000
Nguutani 21171 Taslimu 54,286
Mutomo 21166 1252 62,315
Mwingi 21208 2116 25,862
Kimangao
Muthale 21175 Taslimu 43,400
Mulutu 21167 1367 22,360
Boma 21164 ,21188 2710 ,2778 120,500
Mbitini 2115, 21162 Taslimu 10,465
Ikutha
Miambani 21205 Taslimu 20,000
Zombe 21159 Taslimu 30,000
Mutito 21173 Taslimu 20,000
Museve 21176 275 32,000
Endau 21157 Taslimu 4,300
Mbondoni 21161 Taslimu 17,100
Kanyangi 21207 Taslimu 63,920
Jumla 781,292
TaasisiMatinyani Boys 21151 Taslimu 7,000
Good Shepherd Academy 21151 Taslimu 7,014
73
St Francis Boarding P. Kamuwongo 21155 Taslimu 6,000
Ycs Malalani Secondary 21156 Taslimu 1,000
St Francis Of Asisi Secondary School 21160 Taslimu 3,160
Ikanga Boys Y.c.s 21209 Taslimu 1,840
St Augustine Secretariat 21168 Taslimu 28,600
St Mary’s Mutito Girls 21177 Taslimu 3,510
St Josephine Bakhita Primary School 21178 401 10,000
Mutito Boys High 21181 470 43,000
St Theresa’s Ukasi Girls Secondary school 21182 Taslimu 7,000
Broadway Girls’ Mwingi 21185 Taslimu 2,800
St John’s Kwa Mulungu Secondary School 21191 556 12,000
St Gabriel’s Boarding Primary School 21192 2279 18,400
St Patrick Boarding Pri. Kyuso 21180 223 14,000
Co-operative Bank of Kenya 21193 3128 10,000
St Angela’s Secondary 21194 Taslimu 36,450
St Michael’s Primary 21190 4715 104,240
Jumla 316,014
Mchango wote wa parokia na taasisi 1,097,306
74
Sala ya Amani Ee Bwana unifanye niwe chombo cha amani yako,
Palipo na chuki nilete upendoPalipo na makosa nilete msamaha
Palipo na shaka nilete imaniPasipo na matumaini nilete tumaini
Palipo na giza nilete mwangaPalipo na huzuni nilete furaha.
Ee Bwana unijalie nitamani sana:Kufariji kuliko kufarijiwa
Kufahamu kuliko kufahamiwaKupenda kuliko kupendwa
Kwa kuwa:Ni katika kutoa ndipo tunapokea
Ni katika kusamehe ndipo tunaposamehewaNi katika kifo ndipo tunazaliwa katika uzima wa milele. Amina.
- Sala ya Mtakatifu Fransisko wa Assisi, mwanzilishi wa Kundi la Franciscan aliyezaliwa Assisi, Umbria, nchini Italia, mnamo 1181