Somo la 5 kwa ajili ya Mei 4, 2019 - fustero.es kwa mara na malalamiko ni dalili za mahusiano...
Transcript of Somo la 5 kwa ajili ya Mei 4, 2019 - fustero.es kwa mara na malalamiko ni dalili za mahusiano...
Somo la 5 kwa ajili ya Mei 4, 2019
Ndoa:
Uamini
Mahusiano
Tabia
Wazazi:
Malezi
Elimu
Kitabu cha Mithali kina utajiri wa ushauri juuya mahusiano.
Hebu tupitie ushauri wa mithali juu yafamilia; mahusiano kati ya wenzi na wazazi nawatoto.
Mtu aliye mtauwa huwa anahifadhi (kamahajafungiwa ndoa) na analinda (kama yumokwenye ndoa) mapenzi yake ya kina kabisa naundani wa unyumba kwa ajili ya ndoa.
Mithali 5 huelezea matokeo machungu yamahusiano haramu ya kingono.
Hivyo, Sulemani anatushauri kufurahia unyumbana wenzi wetu (fg. 15-17), na daima mfurahie “ mke [au mume] wa ujana [wetu] .” (fg. 18).
Hatari ya kupoteza uzima wa milele (fg. 5)
Ukosefu wa kujitoa husababisha uhusiano usiona uhakika (fg. 6)
Inaleta uchungu na kukosa furaha (fg. 11-14)
“Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katikanyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi.” (Mithali 21:9)
Kuishi darini? Kitabu cha Mithali kimejaachuku kama hii (19:24; 27:14) ambayoinatuhimiza kuyataza mahusiano kwaucheshi.
Hali ya ucheshi hurahisisha mawasiliano. Husaidia kushugulikia mambo kwa urahisi. Hata hivyo, ucheshi usitumiwe kuhafifishaau kukwepa mambo mazito.
Mabishano, manung’uniko ya marakwa mara na malalamiko ni dalili za mahusiano mabaya.
Kwa hiyo, mawasiliano ya kweli na yawema ni ufunguo kwa mahusianomazuri ya familia.
“Wala mume au mke hawapaswi
kujaribu kufanya kazi juu ya mwingine
udhibiti wa kiholela. Usijaribu
kulazimisha kila mmoja kukubaliana na
matakwa yako. Huwezi kufanya hivyo na
kuhifadhiana upendo wa kila mmoja.
Kuwa wema,mwenye subira, na
uvumilivu, mwenye busara, na mwenye
heshima. Kwa neema ya Mungu mnaweza
kufanikiwa kufanya kila mmoja awe na
furaha, kama katika ahadi yenu ya ndoa
ulivyoahidi kufanya.”E.G.W. (The Adventist Home, p. 118)
Mithali 31:10-31 ni utenzi. Kila fungu la shairi huanza naherufi ya aphabeti za kiebrania. Shairi hili inaelezeasifa za mke mwema.
Idadi ya sifa za mke bora (au mume) zinaweza onekanazisizotekelezeka kufanyakujisikia vibaya. Wazo kuu siokutimiza orodha hiyo, balikufanya kila kitu vizuri zaidikadri tunavyoweza (Mhubiri9:10; Wakolosai 3:23).
Tunahimizwa kutengenezatabia ya mke huyo:
Anayeaminika
(fg. 11)Wema(fg. 12)
Bidii ya kazi(fg. 15)
Uaminifu(fg. 18)
Huruma(fg. 20)
Anayetegemewa(fg. 25)
Siri ya kutengeneza tabia hizoni kumcha Mungu(fg. 30).
“Kumcha Bwana ni tumaini imara; Watoto wake watakuwana kimbilio.” (Mithali 14:26)
Je; Mithali hufundisha nini kuhusu tabia za wazazi?
Familia kwanza kazi baadaye (15:27)
Kuwa na Subira na tawala hisia (12:16; 15:1)
Kuwaadhibu watoto wako bila matumizimabaya ya mamlaka (16:6)
Kuwa mwaminifu na kumheshimumwenzi wako (5:18)
Mfuate Yesu na uongozwe na Neno la Mungu na upendo wake (30:5)
Wenzi na wazazi wenye hekima hutafuta msaadawa Mungu ili kufanya maamuzi sahihi.
Mti mdogo unahitaji kuvutwa, kutunzwa na kulindwa ili kukuavizuri.
Vivyo hivyo, watoto wanahitaji kuadhibiwa tangu umri mdogokujenga tabia njema (Mithali 19:18).
Kufundisha kwa upendo na Subira visivyo komani siri ya nidhamu isahihishayo na kukomboa, sambamba na kielelezo endelevu.
Dhambi huathiri wotewazazi na Watoto, hivyo ni muhimukutafuta mwongozo nanguvu kutoka kwaMungu ilikuwafundisha Watoto wetu na kuwaelekezakwa kristo.
“Huruma, uvumilivu, na upendo unaohitajika
katika kushughulika na Watoto, vitakuwa
baraka katika kaya yoyote. Wangeweza
kunyoosha na kuzishinda tabia katika wale
wanaohitaji kuwa na furaha zaidi na kupumzika.
Kuwepo kwa mtoto katika nyumba hupendeza na
kutakatisha. Mtoto aliyelelewa katika hofu ya
Bwana ni baraka.
Kujali na upendo kwa watoto walio tegemezi
huondoa ukali kutoka kwa asili zetu, hutufanya
wapole na wenye huruma, na ina ushawishi wa
kuendeleza mambo ya kiungwana ya tabia yetu.”
E.G.W. (The Adventist Home, cp. 23, p. 160)