SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI
-
Upload
injili-leo -
Category
Documents
-
view
420 -
download
12
description
Transcript of SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI
![Page 1: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/1.jpg)
Siku ya Kuzuia Ukatili Ulimwenguni
(End it Now Day)
“Ukatili Nyumbani”
04/21/23
Kuzuia ukatili ulimwenguni
1
![Page 2: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/2.jpg)
Utangulizi
Kamati ya mwisho wa mwaka ya Septemba 26, 2001, ilipitisha kuongezea siku ya msisitizo wa kuzuia na kutokomeza ukatili katika kalenda ya kanisa ya sabato maalum ulimwenguni mwote.
Idara hushirikiana na idara ya Kaya na Familia, Afya, Idara ya huduma za watoto , Idara ya Vijana, Elimu na chama cha Wachungaji.
Psalm 11:5 / Zaburi 11:5
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni2
![Page 3: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/3.jpg)
Somo letu
Somo hili haliwapi furaha wasomaji wote, imedhihirika kuwa ukatili ni jambo nyeti sana kujifunza juu yake hasa wakristo waadventista wa sabato.
Ukatili kwa namna yoyote huumiza mwili wa kristo kupitia mlengwa, mtendaji na kanisa pia kwani huliachia machungu, na washiriki wake.
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni3
![Page 4: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/4.jpg)
Lengo kuu
Litawapa nafasi (kanisa mahalia) kupata kulizungumzia na kulielimisha kanisa na uongozi wake.
Pia kuwafanya waanga wakubwa wa ukatili kujua kuwa kanisa linajali washiriki wake.
Matthew 5:38-39
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni4
![Page 5: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/5.jpg)
Ukatili kwa Wanawake
Kuna habari zimetapakaa pote katika Redio, TV, na mitandao, habari nyingi za:
• kuwatorosha wanawake/ wasichana wadogo,
•kufanywa Malaya kwa nguvu
•Ukeketaji wasichana (Tohara kwa wasichana)
•ndoa za kulazimishwa katika umuri mdogo wa utoto
Hebrews 10:30
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni5
![Page 6: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/6.jpg)
Ukatili kwa Wanawake
matumizi ya nguvu
kulazimishwa kutoa mimba
ubakaji
vipigo na mengine mengi sana.
Proverbs 3:31
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni6
![Page 7: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/7.jpg)
Jiunge nasi kusema “HAPANA”
Kwa ajili ya ukatili ufanywao kwa wanawake na watoto;
•HAPANA kwa aina yoyote ya ukatili
•HAPANA hatutakaa kivivu kutofanya lolote
•HAPANA dunia tunayoishi inahitaji watoto wa Mungu watakaompenda
MUNGU yeye pekee awezaye kuponya machungu yao.
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni7
![Page 8: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/8.jpg)
Swali?
UKO TAYARI?
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni8
![Page 9: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/9.jpg)
Aina za ukatili nyumbani
Tutajifunza matamko yaliyotolewa na kanisa letu la SDA dhidi ya ukatili (Church Statement) ikiwa ni;
•Kwa maneno
•Kimwili
•Kihisia
•Kingono
•Au kutelekeza
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni9
![Page 10: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/10.jpg)
Wapi na Nani?
Haya hufanywa na mtu/watu dhidi ya mwingine
katika familia ya waliooana, wanaohusiana,
wanaoishi pamoja/wanaoishi mbali mbali au
walioachana.
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni10
![Page 11: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/11.jpg)
Wapi na Nani?
Utafiti wa kimataifa wa hivi karibuni unaonyesha
kuwa ukatili katika familia ni tatizo la
kiulimwengu. Hutokea wakati watu wa umuri
wote, utaifa ngazi yoyote ya uchumi, familia ya
aina yoyote, dini au misingi ya upagani, utafiti
unafanana mijini na vijijini.
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni11
![Page 12: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/12.jpg)
Ukatili kwa njia mbalimbali
Kimwili Yawezatokea kwa mwenzi mmojawapo kufanyiwa ukatili kimwili kwa:
•Kipigo
•Kukatwakatwa
•Kuunguzwa
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni12
![Page 13: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/13.jpg)
Ukatili kwa njia mbalimbali
Kihisia
Ukatili huu huambatana na;
• Vitisho kwa maneno
•Hasira kali
•Kubadilika tabia na mwenendo madai ya kufanya kila kitu sahihi yaweza kuwa udhalilishaji kwa njia ya kashfa inayomwondolea mtu heshima na utu wake.
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni13
![Page 14: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/14.jpg)
Ukatili kwa njia mbalimbali
Ngono za maharamu (ndugu na ndugu) ambazo ni kinyume cha taratibu watoto wadogo
Wazazi/walezi kuwatelekeza watoto wao hivyo kusababisha kuumia au madhara kwao
Utumiaji nguvu kwa wazee kimwili, kiakili, kingono, kimatamshi, kuwanyima mahitaji, kuwafanyia ukatili kimatibabu/kutowahudumia
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni14
![Page 15: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/15.jpg)
Jukumu letu
Kuwajali wale wahanga wa ukatili wa nyumbani na kuitikia kwa mahitaji yao.
Kusikiliza na kukubali kuwahudumia wanaoteseka, kuwapenda na kuwathamini
Kuzungumzia upotevu wa haki na ukatili katika jamii ya waumini na katika jamii kwa ujumla.
Kuwatambua na kuwafanyia ushauri nasaha wahanga na watendaji ukatili kupitia wataalam wa kanisa.
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni15
![Page 16: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/16.jpg)
Jukumu letu
Kuelimisha washiriki na jamii ubaya wa ukali nyumbani.
Imarisha vifungo vya familia (mume/mke na watoto) kupitia Idara ya Kaya na Familia.
Kutafiti ili kujua chanzo cha ukatili katika familia
Zuia mzunguko wa ukatili katika familia. Tambua vidokezo vya hatari.
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni16
![Page 17: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/17.jpg)
Jukumu letu
Ishi na kutumia maishani maneno yafundishayo katika Biblia kwa ajili ya Unyumba/Familia yenye furaha.
Dhamiria kuleta furaha nyumbani na kuwa tayari kuzungumza pamoja hitilafu inapotokea na kupatana.
Kumbuka kutolizungumzia tatizo la ukatili ni kukubaliana na maovu yote wanayotendewa wanawake
Romans 12:19
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni17
![Page 18: SIKU YA KUZUIA UKATILI ULIMWENGUNI](https://reader031.fdocument.pub/reader031/viewer/2022012309/563dbb50550346aa9aac187c/html5/thumbnails/18.jpg)
Key point
Tukiishi nuruni tutaangaza gizani mahali penye ukatili kati yetu. Lazima tujaliane sisi kwa sisi hata kama inaonekana ni rahisi kutohusika.
Psalm 11:5 / Zaburi 11:5; 1Timothy3:3; Psalms 140:1
The Lord tests the righteous, but his soul hates the wicked and the one who loves violence
04/21/23 Kuzuia ukatili ulimwenguni18