SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji...
Transcript of SHERIA YA MADAWA YA KULEVYA - lrct.go.tz · ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji...
1
___
SURA YA 95___
SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA
HARAMU
SHERIA KUU
MPANGILIO WA VIFUNGU
SEHEMU YA 1
MASHARTI YA MWANZO
Kifungu Jina
1. Jina fupi na matumizi
2. Tafsiri
SEHEMU YA II
KUUNDWA KWA TUME YA WIZARA ZINAZOTEGEMEANA YA KURATIBU
UDHIBITI WA MADAWA
3. Wajibu wa Serikali katika kuzuia matumizi mabaya ya dawa.
4. Kuundwa kwa Tume kitaifa ya kuratibu madawa.
5. Kazi za Tume.
6. Ripoti za Tume kupelekwa Bungeni
7. Bajeti ya Tume
8. Kamishna kushiriki katika mikutano ya wizara zinazotegemeana.
9. Kamishna kuandaa maamuzi na kuhakikisha utekelezaji.
10. Tume kutumia fedha kwa matumizi mbalimbali.
SEHEMU YA TATU
MFUKO WA UDHIBITI WA MATUMIZI MABAYA YA MADAWA
11. Kuanzishwa kwa Mfuko
SEHEMU YA IV
UZUIAJI WA UMILIKI NA USAFIRISHAJI WA DAWA NA VITU VYA KULEVYA
NA KULIMA WA MAZAO FULANI
12. Uzuiaji wa kilimo cha mimea na vitu fulani.
13. Uwezo wa Tume kuruhusu, kudhibiti na ulimaji, uzalishaji au uuzaji n.k
wa afyuni,majani ya koka,n.k.
2
14. Madawa ya kulevya hayatashikiliwa.
15. Vizuizi katika kujihusisha na madawa na vitu vya kulevya.
16. Adhabu kwa kumiliki, kununua kutengeneza n.k wa madawa ya kulevya
n.k
17. Adhabu kuhusu umiliki, utumiaji wa madawa na vitu vya kulevya kwa
kiwango kidogo.
18. Adhabu kwa kwenda kinyume na kifungu cha 17.
19. Adhabu kwa ubadhirifu kwa wakulima walioruhusiwa.
20. Adhabu kuhusiana na uvunjaji wa masharti, leseni au kibali.
21. Adhabu kuhusiana na kufadhili vitendo visiyo halali kisheria.
22. Adhabu kuhusiana na kusaidia utendaji kosa chini ya sheria hii.
23. Kujitayarisha kutenda kosa.
24. Adhabu kwa utendaji wa makosa baada ya hukumu ya awali.
25. Adhabu kwa kosa ambalo hakuna adhabu iliyowekwa.
26. Wajibu wa kuthibitisha
27. Makosa yasiyo na dhamana.
28. Makosa yanayotendwa na makampuni.
29. Kuachiliwa kwa watawaliwa kwa lengo la kuwapatia tiba.
SEHEMU YA V
UTARATIBU
30. Matumizi ya Sheria ya Mwenenendo wa Makosa ya Jinai na mabadiliko
muhimu.
31. Utaratibu wa kushikilia pale ukamataji hauwezekani.
32. Jukumu la wamiliki wa ardhi kutoa habari ya mazao yaliyolimwa kinyume
cha sheria .
33. Uwezo wa kushikilia mazao yaliyolimwa kinyume cha sheria.
34. Tume kuelekeza baadhi ya vitu kuangamizwa.
35. Uhusiano wa kauli katika mazingira fulani.
36. Dhana la umiliki wa vitu haramu.
37. Maofisa walioruhuisiwa kushikilia vifaa vilivyokamatwa.
38. Jukumu la maafisa mbalimbali kusaidiana.
39. Ukamataji na ushikiliwaji kuripotiwa katika muda wa saa arobaini na
nane.
40. Adhabu kwa kuingia, kukamata, kushikiliwa kwa nia mbaya n.k..
41. Adhabu dhidi ya maafisa wanaokataa kutenda wajibu wao au kusaidia
watuhumiwa.
42. Uwezo wa kutaifisha vitu n.k kuhusiana na kosa.
43. Utaifishaji kama hakuna mashtaka.
44. Dhana ya kuwa ni nyaraka katika masuala fulani.
45. Uwezo wa afisa aliyeruhusiwa kutaka taarifa.
3
SEHEMU YA VI
UKAMATAJI WA MALI ILYOTOKANA NA AU ILIYOTUMIWA KATIKA
USAFIRISHAJI HARAMU
46. Ukamataji wa mali
47. Kukataza kushikilia mali iliyopatikana isivyo halali.
48. Kamishna kuruhusu uchunguzi au ukaguzi.
49. Wajibu wa kuthibitisha.
50. Malipo badala ya kutaifisha.
51. Rufani.
52. Uwezo wa kuchukua umiliki.
53. Mpangilio kuhusiana na kufautilia, kupata n.k wa mali.
SEHEMU YA VII
MASHARTI YA KAWAIDA
54. Ulinzi kwa kitendo kilichofanyika kwa nia njema.
55. Tume kuangalia mikataba ya kimataifa wakati wa kuandaa kanuni.
56. Mamlaka ya Serikali katika kuanzisha vituo n.k vya utambuzi wa tiba kwa
watawaliwa na kutoa madawa ya kulevya.
57. Kiwango cha mamlaka.
58. Mamlaka ya Tume kutoa maelekezo.
59. Mamlaka ya kukasimu.
60. Mamlaka ya Serikali Kuu kuandaa kanuni.
61. Matumizi ya Sheria ya Ushuru wa Forodha (Uendeshaji na Viwango).
62. Matumizi ya Sheria ya Madawa na Sumu kuzuiwa.
63. Kuokoa nchi na sheria maalumu.
64. Kufuta na kuokoa.
65. (Imefutwa]
66. [Imefutwa]
67. [Marekebisho]
____
MAJEDWALI
____
4
____
SURA YA 95
____
SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA
HARAMU
Sheria ya kuunganisha sheria inazohusiana na madawa ya kulevya, kuweka
masharti ya udhibiti na utendaji unaohusiana na madawa ya kulevya na vitu
vya kulevya; kukamata mali iliyotokana na usafirishaji haramu wa madawa
ya kulevya na vitu vya kulevya; kuzuia usafirishaji haramu wa madawa ya
kulevya na vitu vya kulevya na kutekeleza masharti ya mkataba wa
kimataifa wa madawa ya kulevya na vitu vya kulevya.
[1Januari, 1996]
[Gazeti la serikali
Na. 10 la1996
Sheria Na:
9 ya 1995
9 ya 1996
17 ya 1996
31 ya 1997
9 ya 2002
SEHEMU YA I
MASHARTI YA MWANZO
Jina fupi
na
matumizi
1.-(1) Sheria hii itaitwa Sheria ya Madawa na Uzuiaji wa Usafirishaji
wa Madawa Haramu.
Tafsiri (2) Katika Sheria hii,isipokuwa pale muktadha utakapohitaji
vinginevyo- 31ya 1997
Jedw. "mtawaliwa" maana yake ni mtu ambaye-
(a) akipewa dawa anashindwa kujidhibiti kwa matumizi ya dawa
hiyo;na
(b) akiacha kutumia dawa kuna uwezekano wa mtu huyo kuona
dalili za matatizo ya akili au uchovu wa mwili;
"bangi” maana yake ni sehemu yoyote ya mmea ukiacha mbegu,mmea
uliokomaa, au nyuzinyuzi zinazotokana na mmea wa bangi;
"mafuta ya bangi”" maana yake majimaji yoyote yenye bangi kwa kiwango
chochote;
"mmea wa bangi’" maana yake ni mmea wowote wa bangi kwa jina lolote na
inajumisha sehemu yoyote ya mmea huo;
5
"utomvu wa bangi” maana yake ni utomvu uliotengwa kupata utomvu
usiosafishwa kutokana na mmea wa bangi;
"kemikali tangulizi" maana yake ni kitu kinachotumika mara kwa mara
katika utengenezaji haramu wa madawa ya kulevya au vitu vya
kulevya kama ilivyotafsiriwa katika Ibara ya 12 ya Mkataba wa
Kimataifa Unaopinga Matumizi ya Madawa na Vitu vya Kulevya
vilivyotajwa katika orodha ya 1 na orodha ya 11 kama
inavyoonyeshwa katika jedwali la pili la sheria hii;
"jani la koka’’ maana yake ni-
(a) jani la mmea wa koka isipokuwa jani la kokeini ambalo
kokeini na alkaloidi imeondolewa;
(b) mchanganyiko wowote wenye na usio na kifaa lakini
hautahusisha maandalizi yoyote yenye asilimia zaidi ya 0.1 ya
kokeini;
"mmea wa koka"maana yake ni mmea wa aina yoyote ya “genus
erythroxylon”;
"Tume" maana yake ni Tume ya Wizara Mbalimbali ya Kuratibu Udhibiti wa
Madawa iliyoanzishwa chini ya kifungu cha 4;
"chombo cha uchukuzi" maana yake ni chombo cha uchukuzi cha maelezo
yoyote na kinahusisha ndege,gari au meli;
"mahakama kuhusiana na makosa chini ya vifungu vya 12 na 12(d)” maana
yake ni mahakama ya chini na kuhusiana na makosa chini ya vifungu
vya 16,17,18,20,121,22 na 23 maana yake ni mahakama kuu;
"kulima " inajumuisha kupanda,kusambaza mbegu,,kukopesha au kuvuna;
Sura ya 152
"daktari wa meno" maana yake ni daktari wa meno aliyeruhusiwa na kupewa
leseni ya kuchunguza,kutibu na kutoa tiba kwa magonjwa chini ya
sheria ya madaktari na madaktari wa meno;
"madawa" maana yake ni madawa ya kulevya na vitu vya kulevya
vilivyoainishwa katika Jedwali;
"usafirishaji haramu", kuhusiana na madawa ya kulevya maana yake ni -
(a) kulima jani lolote la koka au kukusanya kiasi chochote cha
koka;
(b) kulima afyumi au mmea wowote wa bangi;
(c) kujihusisha na uzalishaji,utengenezaji,umiliki uuzaji
ununuzi,usafirishaji,utunzaji,usfungaji utumiaji uingizaji
nchini,utoaji nje ya nchi wa madawa na vitu vya kulevya;
(d) kuhusika na utendaji wowote wa madawa au vitu vya kulevya;
(e) kupangisha jengo lolote kwa lengo la kutenda kazi zozote zaidi
ya zile zilizoruhusiwa chini ya sheria au taratibu au amri
yoyote au masharti ya leseni yoyote iliyotolewa na
itajumuisha-
(i) kugharamia moja kwa moja au vinginevyo kwa kazi
yoyote ile iliyotajwa;
(ii) kushiriki katika kuendeleza au kusaidia utendaji wa
kazi yoyote iliyotajwa;na
(iii) kuhodhi watu wanaojihusisha na kazi yoyote
6
iliyotajwa;
"mkataba wa kimataifa" maana yake ni-
(a) ni mkatabaa wa pekee wa madawa ya kulevya ,1961;
(b) Itifaki inayorekebisha kifungu kidogo cha (a)iliyokubaliwa
katika mkutano wa umoja wa mataifa huko Geneva
Machi,1972;
(c) mkataba wa vitu vya kulevya, 1971 uliokubaliwa na mkutano
wa umoja wa maytaifa huko Vienna februari 1971; na
(d) Mkataba wa Umoja wa Mataifa Dhidi ya Usafirishaji Harami
wa Madawa ya Kulevya na Vitu vya Kulevya uliokubaliwa
huko Vienna 19 Desemba,1988; na
(e) mkataba mwingine wowote wa kimataifa au itifaki au hati
nyingine inayorekebisha mkataba wowote wa kimataifa
kuhusiana na madawa au vitu vya kulevya,ambao unaweza
kukubaliwa na Jamhuri ya Muungano baada ya kuanza
kutumika kwa sheria hii;
“kutengeneza” kuhusiana na madawa au vitu vya kulevya inajumuisha-
(a) hatua zote kuondoa uzalishaji amazo madawa au vitu hivyo
vyaweza kupatikana;
(b) kusahihisha madawa hayo au vitu ;
(c) kubadilisha madawa hayo au vitu;na
(d) utayarishaji wa (,usio wa duka la madawa)au kuwapo kwa
dawa hizo au vitu;
"dawa zilizotengenezwa” maana yake ni-
(a) vizalishi vyote vya koka,bangi ya tiba,vizalishi vya afyumi
na mpopi ;
(b) vitu vyovyote vya kulevya au utengenezaji ambao Tume
inaweza,ikitilia maanani taarifa zinazopatikana kuhusiana
na asili au uamuzi kama upo chini ya mkataba wa
kimataifa, kwa notisi katika gazeti la serikali vimesemwa
kutokuwa dawa za kutengeneza;
"daktari wa tiba" maana yake ni tabibu au mpasuaji aliyekubaliwa na kuwa
na leseni ya kuchunguza na kutoa tiba kwa wagonjwa chini ya sheria
ya madaktari na madaktari wa meno; Sura ya 152 "bangi ya tiba” maana yake ni zidua yoyote ya bangi;
"madawa ya kulevya " maana yake ni kitu chochote kilichoainishwa katika
jedwali au chenye viini vilivyoainishwa katika jedwali;
"afyumi" maana yake ni-
(a) juisi iliyoganda ya afyumi mpopi;na
(b) mchanganyiko wowote ulio na au usio na kitu
kisichoinjikwa, cha juisi ya mgando ya afyumi mpopi
lakini haitajumisha matayarisho yoyote yenye zaidi ya
asilimia 0.2 ya morfimi;
"vizalishi vya koka’ maana yake ni-
Sura ya
(a) bangi ya madawa, ambayo imepitia hatua muhimu
kutumika kama dawa kufuatia mahitaji ya Sheria ya
7
219 Madawa na Sumu au madawa mengine yoyote
yaliyoelekezwa na serikali katika unga au vinginevyo au
kilichochanganywa na vitu visivyoinjikwa;
(b) bangi iliyotengenezwa yaani zao lolote la bangi
lililopatikana kwa utendaji ulioandaliwa kubadili bangi
kuwa kitu kinachoweza kuvutwa na mabaki mengine baada
ya bangi kuvutwa;
(c) alkaloidi yaani morfimi,kodeini and chumvi zake;
(d) alkaloidu inayojulikana kama heroini na chumvi zake;na
(e) matayarisho yote yenye zaidi ya asilimia mbili ya mofimi ;
"mofimi mpopi" maana yake ni-
(a) mmea wa aina ya papaver somniferum;na
(b) mmea wa aina ya papaver ambapo bangi au alkaloidi
inaweza kupatikana na ambayo tume inaweza kwa notisi
katika gazeti la serikali ikionyeshwa kuwa afyumi mpopi
kwa madhumuni ya sheria hii;
"mahali " inajumuisha ardhi tupu,majengo chombo cha baharini au ndege;
"jani la mpopi" maana yake ni sehemu zote ukiondoa mbegu za afyumi
mpopi baada ya kuvunwa ama katika hali ya uhalisia au
ilyokatwa,sagwa au unga na kama ni au siyo juisi imetolewa huko;
"kutayarisha", kuhusiana na madawa ya kulevya au vitu vya kulevya maana
yake ni dawa au madawa au vitu hivyo katika hali ya uji au
mchanganyiko ulio na moja au zaidi ya dawa au vitu hivyo;
"uzalishaji" maana yake ni kutenganisha afyumi, jani la mpopi majani ya
mpopi koka au bangi kutoka kwa mimea ambapo imetolewa;
"mmea uliokatazwa" maana yake ni bangi, koka afyumi mpopi na papava
setigerum;
" vitu vya kulevya” maana yake ni vitu vyovyote vya asili au kutengenezwa
au kifaa chochote cha asili au chumvi au matayarisho ya vitu hivyo
au vifaa vilivyojumuishwa katika orodha ya vitu vya kulevya katika
jedwali;
"uza" kunajumuisha kuonyesha au kuomba kununuliwa;
"kutoa" kunajumuisha kusafirisha,kupeleka,kushusha kugawa na pia kuomba
kugawa;
"kusafirisha nje ya Jamhuri ya Muungano" maana yake kutoa ndani ya
Jamhuri ya Muungano na kupeleka nje ya Jamhuri ya Muungano;
"kuingiza ndani ya Jamhuri ya Muungano maana yake ni kuleta ndani ya
Jamhuri ya Muungano kutoka nje ya Jamhuri ya Muungano na
inajumuisha kuleta katika bandari yoyote au kiwanja cha ndege au
mahali popote ndani ya Jamhuri ya Muuungao madawa ya kulevya au
vitu vya kulevya hata kama havijatolewa kutoka chombo cha
baharini, ndega, gari au chombo chochote cha usafirishaji ambacho
kimeubeba;
“Kusafirisha” maana yake ni kutoa toka sehemu moja kwenda kwingine
ndani ya Jamhuri ya Muungano;
"usafirishaji haramu" maana yake ni kuingiza nchini, kusafirisha nje ya
8
nchi,kutengeneza,kununua,mauzo,kutoa,kugawa,kutunza,kutumia,kus
afirisha,kushusha au kugawa kwa mtu yeyote madawa ya kulevya au
vitu vya kulevya au dawa au kitu kinachokuliwa kuwa ni dawa au
kitu cha kulevya na mtu huyo lakini haitajumuisha-
(a) uingizaji au usafirishaji nje wa dawa au kitu chochote cha
kulevya au kumpelekea ombi la kununua kwa niaba ya mtu
yeyote ambaye ana leseni chini ya sheria hii kulingana na
masharti ya leseni;
(b) kutengeneza, kununua, mauzo,kutoa, kugawa, kutumia.
kusafirisha kutoa au kugawa dawa au kitu chochote cha
kulevya au kumpelekea ombi la kununua kwa niaba ya mtu
yeyote ambaye ana leseni chini ya sheria hii kufuatia masharti
ya leseni;
(c) kuuza au kugawa au kutumia kwa madhumuni ya tiba na
kulingana na masharti ya sheria hii au kutoa ombi kwa tabibu
au daktari wa wanyama mpasuaji au daktari wa meno au mtu
mwingine yeyote mwenye sifa za kufanya hivyo chini ya ya
maelekezo ya tabibu,daktari wa meno au wa wanyama
mpasuaji;
(d) kuuza au kugawa kulingana na masharti ya sheria hii ya dawa
au kitu chochote cha kulevya na mfamasia aliyesajiliwa;
(e) "kutumia" kuhusiana na madawa au vitu vya kulevya maana
yake ni kitu chochote kilichoainishwa katika jedwali au kiini
kingine chenye kuwa na kitu kilichoainishwa katika jedwali
hilo;
SEHEMU YA II
KUUNDWA KWA TUME YA WIZARA MBALIMBALI YA KURATIBU UDHIBITI
WA MADAWA
Jukumu la
Serikali la
kuchukua
hatua za
kuzuia
utumiaji
mbaya wa
dawa
3.-(1) Kufuatana na masharti ya sheria, Serikali itachukua hatua kama
itakavyoona ni muhimu kwa lengo la kuzuia na kupambana na utumiaji
mbaya wa madawa ya kulevya, vitu vya kulevya na usafirishaji haramu
wake.
(2) Hususani na bila kujali ujumla wa masharti ya kifungu kidogo cha
(1),hatua ambazo Serikali inaweza kuchukua chini ya kifungu kidogo cha 1
itajumuisha hatua kuhusiana na yote au mojawapo ya masuala yafuatayo-
(a) uratibu wa matendo ya baadhi ya maafisa na mamlaka chini ya
sheria hii au chini ya sheria nyingine yoyote inayotumika
kuhusiana na utekelezaji wa masharti ya sheria hii na
majukumu chini ya mkataba wa kimataifa;
(b) msaada kwa mamlaka husika katika nchi za nje na mashirika
ya nje husika kwa nia ya kurahisisha uratibu na kitendo cha
pamoja cha kuzuia na kugandamiza usafirishaji haramu wa
9
madawa na vitu vya kulevya;
(c) kutambua, kutibu, kuelimisha, kutunza, kukarabati na
kuwajumuisha katika jamii waathirika;
(d) mambo mengine kama ambavyo serikali itaona muhimu kwa
lengo la kuwa na utekelezaji mzuri wa sheria hii na kuzuia na
kupambana na utumiaji mbaya wa madawa na vitu vya
kulevya na usafirishaji haramu. Kuundwa
kwa tume ya
taifa ya
kuratibu
udhibiti wa
madawa
4.- (1) Rais kwa amri katika gazeti la serikali ataunda Tume ya taifa
ya udhibiti wa dawa ambayo itakuwa na jukumu la kutafsiri, kuendeleza na
kuratibu sera ya Serikali ya udhibiti wa utumiaji mbaya wa dawa na
usafirishaji haramu.
(2) Rais kwa amri katika gazeti la serikali atamteua kamishna kwa
lengo la kutekeleza sera ya Tume na uratibu wa kila siku wa Serikali
kuhusiana na udhibiti wa utumiaji mbaya wa madawa. (3)Kamishna atasaidiwa na sekretariati ambayo itakuwa na wajumbe
wasiozidi kumi na tano watakaochaguliwa na Tume. (4) Sekretariati itamshauri kamishna kuhusiana na mambo ya
utekelezaji wa sheria kama yatakavyopelekewa kwa kamishna na Tume (5) Kamishna ataandikisha maafisa wengine kwa vyeo kama
atakavyoona inafaa. (6) Tume chini ya uenyekiti wa Waziri Mkuu itakuwa na wafuatao_ (a) Waziri anayehusika na masuala ya sheria;
(b) Waziri anayehusika na masuala ya mambo ya ndani; (c) Waziri anayehusika na afya;
(d) Waziri anyehusika na maendeleo ya jamii; (e) Waziri anayehusika na mambo ya nchi za nje;
(f) Waziri anayehusika na fedha; (g) Waziri anayehusika na maendeleeo ya vijana;
(h) Waziri wa nchi (ofisi ya waziri kiongozi-Zanzibar; (i) Waziri anayehusika na utalii Zanzibar;
(j) Waziri wa nchi mipango(Zanzibar); na (k) Wajumbe wengine watendaji katika udhibiti wa matumizi
mabaya ya dawa; (7) Mawaziri wengine wanaweza kuitwa kutumika katika Tume
kutegemea na ajenda na Tume inaweza kumualika mtu mwingine yeyote
kuhudhuria kama itaona muhimu kumualika mtu (8) Tume itakutana angalau mara mbili kwa mwaka katika kikao cha
kawaida na wakati wowote muhimu kwa kikao maalumu. (9) Pale ambapo Waziri Mkuu atashindwa kufanya kazi zake chini ya
sheria hii kwa sababu yoyote ile Waziri anayehusika na mambo ya sheria
ndiye atakuwa mwenyekiti, na asipokuwepo Waziri anayehusika na masuala
ya mambo ya ndani, naye asipokuwepo Waziri anayehusika na afya. Kazi za
Tume
5.-(1) Kazi za Tume zitakuwa ni kutafsiri, kuendeleza na kuratibu
sera ya serikali ya udhibiti wa utumiaji mbaya wa madawa na usafirishaji,
10
haswa katika- (a) kuendeleza na kutekeleza mpango wa kitaifa wa udhibiti wa
dawa; (b) kutekeleza masharti ya mikataba ya kimataifa ya dawana vitu
vya kulevya; (c) kuhuisha na kutohoa sheria na kanuni za udhibiti wa dawa; (d) kuendeleza uzuiaji wa utumiaji mbaya wa dawa na taarifa kwa
umma kwa vijana, familia, maprofesa, waalimu na umma kwa
ujumla kwa kusaidia mipango katika fani ya habari na uzuiaji; (e) kuundwa kwa mfumo wa ukusanyaji wa data na mfumo wa
uchambuzi katika hatua ya kitaifa kuhusu matumizi mabaya ya
dawa na usafirishaji wa dawa; (f) kuendeleza tiba na programu za ukarabati kwa waathirika; (g) kufanya utafiti wa utawaliwa wa dawa; (h) mafunzo ya watu wanaosimamia hatua zinazohusika na
utumiaji mbaya wa dawa na usafirishaji mbaya wa dawa na
wahusika na fedha haramu; (i) kuendeleza na kuhakikisha ushirikiano wa kimataifa; (j) kuhakikisha uratibu na msaada wa shughuli za taasisi zisizo za
kiserikali na vyama vinavyojishughulisha na matumizi mabaya
ya dawa; (2) Tume itahakikisha kwamba mahitaji ya mikataba ya kimataifa
yanatimizwa vizuri na Serikali katika ngazi ya taifa na katika uhusiano wake
na nchi zingine, na vyombo vya kimataifa vinavyosimamaia udhibiti wa
dawa pamoja na utekelezaji katika ngazi ya taifa na ya kimataifa ya vyombo
vya udhibiti wa dawa Ripoti ya
Tume
kuwasilishw
a bungeni
6. Tume itachapisha kila mwaka ripoti inayoelezea hali halisi ya taifa
na maendeleo yake kuhusiana na upatikanaji na uhitaji wa dawa na kuandaa
mapendekezo yanayoweza kuendeleza kupiga vita matumizi mabaya ya
madawa na ripoti hiyo kuwasilishwa Bungeni. Bajeti ya
Tume 7.-(1) Tume itakuwa na bajeti yake yenyewe ya kumsaidia Kamishna
na shughuli zingine maalum, hafla maalum zitakazofanywa na ofisi za umma
na taasisi, pamoja na mashirika, vyama na wahusika binafsi katika jitihada za
udhibiti wa matumizi mabaya ya dawa. (2) Fedha za bajeti ya Tume zitatokana na - (a) kiasi cha fedha kinachotolewa kwa Mfuko na Bunge ; (b) mali na thamani iliyokamatwa kutoka kwa wasafirishaji wa
dawa na kupewa mfuko wa taifa wa udhibiti wa utumiaji
mbaya wa dawa ulioanzishwa chini ya kifungu cha 11; (c) misaada inayotolewa kawa mfuko na ushirikiano wa serikali
mbalimbali na taasisi zisizo za serikali zinazojishughulisha na
jitihada za udhibiti wa dawa. (3) Tume itasimamia ugawaji na utumiaji wa fedha na kamishna na
itasimamia mfuko wa taifa wa matumizi mabaya ya dawa.
11
(4) Pale mali zimetolewa kwa mfuko, Tume itaamua juu ya ugawaji
kwa umma au chombo binafsi kinachosimamia udhibiti wa matumizi mabaya
ya dawa kutegemea asili ya mali na uhitaji wa taasisi husika. Kamishan
kuhusika
katika
mikutano ya
wahusika wa
wizara
mbalimbali.
8. Kamishna atahusika katika mikutano ya wahusika wa Wizara
mbalimbali.
Kamishna
ataandaa
maamuzi na
kuhakikisha
utekelezaji
9. Kamishna ataandaa maamuzi ya Tume na kuhakikisha
yanatekelezwa bila kujali yaliyotangulia,kamishna -
(a) ataiwakilisha Tume katika mamlaka za kimataifa zilizo mahiri
katika masuala ya udhibiti wa dawa ;
(b) atatia moyo na kuratibu shughulli za wizara husika ; (c) atahakikisha mawasiliano yanayofaa na mashirika ya kimataifa
na kuhakikisha au kusaidia usambazaji wa taarifa na data kwa
vyombo mahiri vya kimataifa kama inavyotakiwa na mikataba; Tume
kutumia
fedha kwa
mahitaji
mablimbali
10. Tume itatumia fedha kwa mipango mbalimbali ili kutimiza
mahitaji maalum ya idara za serikali, taasisi za umma, au ofisi za
umma,vyama au wahusika binafsi katika kutekeleza maamuzi yake .
SEHEMU YA III
MFUKO WA UDHIBITI WA MATUMIZI MABAYA YA MADAWA
Kuanzish
wa kwa
mfuko
11.-(1) Tume itatoa notisi itakayo chapishwa katika gazeti la serikali,
ya kuunda mfuko utakaojulikana kama mfuko wa udhibiti wa matumizi
mabaya ya dawa na utaidhinishiwa-
(a) kiasi cha fedha kilichotolewa na Bunge;
(b) mauzo ya vitu vinavyotokana na mali iliyokamatwa chini ya
sehemu ya VI;
(c) misaada ambayo inaweza kutolewa na mtu yeyote au taasisi
yoyote;
(d) kipato chochote kinachotokana na uwekezaji wa kiasi
kilichoidhinishiwa kwenye mfuko chini ya masharti ya sheria
hii. (2) Mfuko utatumiwa na Tume kugharamia matumizi yaliyofanyika
yanayohusiana na hatua zilizochukuliwa kupambana na usafirishaji haramu
katika au udhibiti wa utumiaji mbaya wa madawa na vitu vya kulevya.
(3) Kamishna ataishauri Tume kuhusu na matumizi ya mfuko
12
SEHEMU YA IV
KATAZO LA UMILIKI NA USAFIRISHAJI WA MADAWA NAVITU VYA
KULEVYA NA ULIMAJI WA MIMEA FULANI
Ukatazo wa ulimaji wa
mimea fulani na vitu
Sheria
Na 31 ya 1997 Jedw.
12. Mtu yeyote-
(a) atakayelima bangi,mmea wakoka au
kukusanya sehemu yoyote ya mmea wa
koka;
(b) atakayelima afyumi mpopi au papaver
setigerum;
(c) anayemiliki, anayeishi au anayeshughulikia
uendeshaji wa jengo lolote , akiruhusu
majengo kutumika kwa ulimaji, ukusanyaji
au uzalishaji wa dawa yoyote iliyotajwa
katika aya ya (a) na (b) ;
(d) atazalisha, atamiliki, atasafirisha, ataingiza
katika Jamhuri ya Muungano, atauza,
atanunua atatumia au kufanya jambo lolote
linalohusiana na jani la mpopi, mmea wa
koka, jani la koka, afyumi iliyotengenezwa,
afyumi mpopi, bangi, dawa iliyotengenezwa
au mchanganyiko wenye dawa
iliyotengenezwa, kitu cha kulevya,dawa ya
kulevya, kitendo hicho au kutotenda huko ni
sawa na uvunjaji wa masharti ya sheria hii
au taratibu au amri chini ya sheria hii,
atatenda kosa na akihukumiwa atatakiwa kulipa faini ya
shilingi milioni moja au mara tatu ya bei ya soko ya mmea
uliokatazwa, kutegemea kilicho kikubwa zaidi, au kifungo
cha muda usiozidi miaka ishirini au kwa vyote faini na
kifungo .
Uwezo wa Tume kuruhusu
na kusimamia ulimaji,
uzalishaji au uuzaji n.k wa
afyumi, majani ya koka
n.k.
13.-(1) Kufuatana na masharti ya kifungu cha
12,Tume inaweza kwa kanuni-
(a) kuruhusu na kusimamia-
(i) ulimaji,au ukusanyaji (kiasi
chochote tu kwa ajili ya Serikali)
ya m mea wa koka,uzalishaji
umiliki,uuzaji,ununuzi, usafirishaji
uingizaji ndani ya Jamhuri ya
Muungano,utumiaji wa majani ya
koka;au
(ii) ulimaji, na (ulimaji huo kwa ajili tu
13
ya serikali ) wa afyumi mpopi; au
(iii) uzalishaji na utengenezaji wa
afyumi na uzalishaji wa jani la
afyum;au
(iv) uuzaji wa afyumi na vizalishi vya
afyumi kutoka katika viwanda vya
Serikali kwa uuzaji nje ya Jamhuri
ya Muungano au kwa wakemia
wazalishaji;au (v) utengenezaji wa madawa ya
kutengeneza (zaidi ya mpopi
uliotengenezwa) lakini
hautajumuisha utengenezaji wa
mpopi wa dawa au maandalizi
yoyote yaliyo na dawa za
kutengeneza kutoka kwenye vifaa
ambavyo mtengenezaji
anaruhusiwa kihalali kumiliki; au (vi) utengenezaji,umiliki,usafirishaji,uu
zaji,ununuzi,utumiaji wa vitu vya
kulevya;au (vii) uingizaji ndani ya Jamhuri ya
Muungano na usafirishaji majini
wa madawa na vitu vya kulevya; (b) kuagiza jambo lingine lolote linalofaa ili
kufanya udhibiti wa serikali juu ya masuala
yaliyoainishwa chini ya aya ya (a) juu . (2) Bila ya kuathiri Mamlaka yaliyotolewa chini
ya kifungu kidogo cha (1), amri inaweza kutolewa na
Tume kuhusu uendeshaji wa leseni, vibali au vinginevyo
uzalishaji, utengenezaji, umiliki, usafirishaji, uingizaji,
upelekajikutoka Jamhuri ya Muungano, uuzaji, utumiaji,
utunzaji, usambazaji, uharibifu au upatikanaji wa dawa
yoyote au kitu cha kulevya. Madawa ya kulevya na vitu
vya kulevya kutokamatwa
14. Bila ya kujali jambo lolote kinyume na
sheria yoyote au mkataba, hakuna dawa ya kulevya, dawa,
kitu cha kulevya au mmea uliokatazwa, haitatakiwa
kushikiliwa na mtu yeyote kwaajili ya upatikanaji wa
fedha yoyote chini ya amri yoyote ya mahakama au
mamlaka yoyote au vinginevyo.
Vizuizi juu ya madawa na
vitu vya kulevya
15. Mtu yeyote wa Jamhuri ya Muungano
asijihusishe na au kuendasha biashara yoyote ya madawa
au vitu vya kulevya vinapatikana nje ya Jamhuri ya
Muungano au kutolewa kwa mtu yeyote nje ya Jamhuri ya
14
Muungano isipokuwa kwa kibali au ruhusa ya Tume na
kwa masharti yanayoweza kuwekwa na Tume.
Adhabu kwa umiliki,
ununuzi, utengenezaji n.k
wa dawa za kulevya n.k.
16.-(1) Mtu yeyote ambaye-
(a) atamiliki au atafanya kitendo chochote
kuhusiana na dawa za kulevya au
mchanganyiko wenye madawa za
yaliyotengenezwa atatenda kosa na
akihukumiwa atatakiwa kulipa faini ya
shilingi milioni kumi au mara tatu ya bei ya
soko ya dawa za kulevya au mchanganyiko
wowote uliyo na dawa za zilizotengenezwa
au kilicho kikubwa zaidi au kifungo cha
maisha au kwa vyote faini na kifungo;
(b) atasafirisha dawa au kitu chochote cha
kulevya au kitu kilichotolewa au
kilichosemwa kuwa ni dawa au kitu cha
kulevya atatenda kosa na akihukumiwa
atatakiwa-
(i) kuhusiana na dawa yoyote au kitu
chochote cha kulevya faini ya shilingi
milioni kumi au mara tatu ya bei ya soko
la dawa au kitu cha kulevya, ambacho ni
kikubwa, na kuongezea hilo, kifungo cha
maisha lakini si kwa wakati wote iwe
pungufu ya miaka ishirini;
(ii) kuhusiana na vitu vyovyote vingine zaidi
ya dawa ya kulevya au kitu cha kulevya
ambacho kilichotolewa au kusemwa kuwa
ni madawa au vitu vya kulevya kwa faini
isiyopungua shilingi milioni moja na
nyongeza ya kifungo cha maisha lakini si
wakati wote itakuwa pungufu ya miaka
ishirini .
(2) mtu yeyote ambaye-
(a) anavuta, ananusa au vinginevyo anatumia
madawa au vitu vyovyote vya kulevya;
(b) bila uhalali na sababu ya kuridhisha
atakutwa katika nyumba yoyote chumba au
mahali kwa lengo la kuvuta, kunusa au
vinginevyo anatumia madawa au vitu vya
kulevya ;
(c) atakuwa anamiliki au yumo au anaendesha
jengo lolote au anasafirisha, anaruhusu
litumiwe kwa lengo la-
(i) kutayarisha afyumi kwa kuvuta au
15
kuuza au kuvuta, kunusa au
vinginevyo kutumia madawa au
vitu vyovyote vya kulevya; au
(ii) kutengeneza,kuzalisha,kuuza au
kuvuta,kunusa au vinginevyo
kutumiwa kwa madawa au vitu
vyovyote vya kulevya; au
(d) ana katika umiliki bomba lolote au chombo
kingine kwa matumizi yanayohusiana na
uvutaji, unusaji au vinginevyo kutumia
afyumi, bangi, heroini au koka au chombo
chochote kilichotumika kuhusiana na
uvutaji, unusaji au vinginevyo kutumia
afyumi, bangi, heroni au koka au chombo
chochote kinachotumika katika kutengeneza
afyumi au dawa nyingine yoyote au kitu cha
kulevya kwa kuvuta ,
atatenda kosa na akihukumiwa atatakiwa kulipa
faini ya shilingi milioni moja au kifungo cha
miaka kumi au vyote faini na kifungo
Adhabu kuhusiana na
umiliki, utumiaji wa kiasi
kidogo cha madawa au
vitu vya kulevya
17.-(1) Mtu yeyote ambaye amekwenda kinyume
na masharti ya sheria hii au taratibu yoyote au amri
iliyotayarishwa chini ya sheria hii, anakuwa na kiasi
kidogo cha dawa au kitu chochote cha kulevya ambacho
kimethibitika kilikuwa kinatakiwa kutumiwa na mtu
binafsi na si kwa kuuza au kugawa,au kutumia dawa au
kitu chochote cha kulevya, atatakiwa bila ya kujali mambo
mengine katika sehemu hii atawajibika -
(a) ikiwa dawa au kitu cha kulevya
iliyomilikiwa au kutumiwa ni kokeini,
mofimi au dawa au kitu kingine chochote
cha kulevya, kilichoainishwa na Tume
katika notisi iliyochapishwa katika gazeti la
Serikali, kutoa faini ya shilingi laki tatu au
kifungo cha miaka kumi au vyote faini na
kifungo;
(b) iwapo dawa au kitu cha kulevya
kinachomilikiwa au kutumiwa ni kile
ambacho hakijaainishwa chini ya aya ya
(a),kutoa faini ya shilingi laki mbili au
kifungo cha kipindi cha miaka saba au vyote
faini na kifungo
(2) kulingana na kifungu kidogo cha (1), “kiasi
kidogo” kwa madhumuni ya kifungu hiki maana yake ni
kiasi chochote ambacho kwa kanuni zilizochapishwa
16
katika gazeti la serikali kimeainishwa na Tume.
(3) Endapo mtu atakutwa anamiliki dawa za
kulevya au vitu vya kulevya, jukumu la kuthibitisha
kwamba ilikuwa ni kwaajili ya matumizi binafsi ya mtu
huyo, na siyo kwa kuuza au kugawa itakuwa kwa mtu
huyo .
Adhabu ya kwenda
kinyume na kifungu cha
17
18. Mtu yeyote ambaye-
(a) anatumia dawa au kitu cha kulevya au
anasababisha au anaruhusu itumike
isipokuwa pale mtu aliyeruhusiwa na tabibu
au daktari wa meno anayefanya kazi yake na
kufuatana na maadili yaliyopo na kiwango
au utaratibu wa kitaalamu; anaruhusu; au
(b) anaongezea dawa au kitu cha kulevya
kwenye chakula au kinywaji bila ya
mtumiaji kufahamu; au
(c) kuuza, kugawa au kupata dawa au kitu cha
kulevya kwa kuonyesha maelezo huku
akijua au akiwa na sababu za kuamini
kwamba maelezo hayo yamegushiwa,
yamepatikana isivyo halali au yametolewa
zaidi ya miezi sita kabla ya kuwasilishwa,
anatenda kosa na akihukumiwa atatakiwa kulipa faini ya
shilingi milioni tano, au kifungo cha miaka thelathini au
vyote faini na kifungo.
Adhabu kwa ubadhirifu wa
wakulima walioruhusiwa
19. Mtu yeyote aliyepewa leseni ya kulima afyumi
mpopi kwa ajili ya serikali,ambaye atafanya uharibifu au
vinginevyo ataharibu visivyo halali afyumi iliyozalishwa
au sehemu yoyote, atatenda kosa na akishtakiwa atatakiwa
kulipa faini ya shilingi milioni tano au kifungo cha miaka
isiyozidi thelathini au vyote, faini na kifungo na
mahakama inaweza kwa sababu zinazotakiwa kurekodiwa
katika hukumu kutoa faini inayozidi shilingi milioni tano
Adhabu kuhusiana na
kuvunja masharti ya leseni
au kibali
20. Pale mwenye leseni, kibali au ruhusa
aliyopewa kufuatana na masharti ya sheria hii na kanuni au
amri zilizotolewa chini ya sheria hii-
(a) anaacha bila sababu ya msingi kuweka
mahesabu au kutoa marejeo kulingana na
sheria hii au taratibu zake ;au
(b) anashindwa kutoa bila sababu ya msingi
kuweka mahesabu au kutoa marejesho
17
kulingana na sheria hii au taratibu
ziliozowekwa;au
(c) anaweka mahesabu au taarifa ambayo ni ya
uongo au ambayo anafahamu au ana sababu
ya kuamini kuwa si sahihi;au
(d) kwa kukusudia na kwa kujua anatenda
kitendo chochote cha kuvunja sharti lolote la
leseni, kibali au ruhusa ambalo adhabu
imewekwa katika sehemu nyingine ya sheria
hii,
anatenda kosa na akihukumiwa atatakiwa kulipa faini ya
shilingi milioni tano au kifungo cha kipindi cha miaka
thelathini au kwa vyote, faini na kifungo.
Adhabu kuhusiana na
kufadhili vitendo visivyo
halali
21. Mtu yeyote kwa kujua moja kwa moja au kwa
kuzunguka analipia fedha kitendo chochote
kilichoainishwa katika aya za (a) mpaka (f) ya kifungu cha
16, au anamhifadhi mtu yeyote anaye jishughulisha na
vitendo vilivyotajwa, anatenda kosa na akihukumiwa
atatakiwa kulipa faini ya shilingi milioni tano au kifungo
cha maisha.
Adhabu kuhusiana na
kusaidia utendaji wa
makosa chini ya sheria hii
22. Bila ya kujali kitu kingine chochote katika
sheria nyingine yoyote , mtu yeyote ambaye-
(a) atashirikiana na mtu mwingine yeyote; au
(b) atashawishi, atashauri, atasaidia au ataficha
au kujaribu kuficha kushawishi kushauri,
mtu mwingine yeyote kutenda; au
(c) atasababisha au atajaribu kusababisha
utendaji wa kosa chini ya sheria hii; au
(d) moja kwa moja au kwa kuzunguka
anahusika na utendaji wa kosa chini ya
sheria hii,
anaweza kushitakiwa, kusikilizwa, kuhukumiwa na
kuadhibiwa katika namna zote kama vile alikuwa
mkosaji mkuu.
Kujiandaa au kujaribu
kutenda kosa
23. Ikiwa mtu atajiandaa kutenda au kutotenda kitu
chochote ambacho ni kosa chini ya sehemu hii na
kutokana na mazingira ya jambo inaweza kueleweka
kwamba alikuwa amedhamiria kutenda kosa hilo lakini
akazuiliwa na mazingira bila kupenda kwake, atapewa
adhabu ya kifungo kisichopungua nusu ya kiwango cha
juu cha muda, ambacho angekuwa ameadhibiwa kama
18
angetenda kosa hilo, na pia faini isiyopungua nusu ya
kiwango cha juu ambayo angelipa kama angeadhibiwa,
kama angetenda kosa hilo.
Adhabu kwa kutenda kosa
baada ya hukumu iliyopita
24.-(1) Mtu yeyote atakayehukumiwa kwa makosa
chini ya vifungu vya 16, 17, 20, 21 na 22 kwa kosa la pili
na kila kosa litakalofuata atatakiwa kulipa faini ya shilingi
milioni kumi au kifungo cha maisha.
(2) Pale mtu atahukumiwa na mahakama halali nje
ya Jamhuri ya Muungano chini ya sheria yoyote
inayoendana na vifungu vya 16, 17, 20, 21 na 22,
kulingana na hukumu hiyo, mtu huyo atashughulikiwa na
kifungu kidogo (1) cha kifungu hiki kama vile
amehukumiwa na mahakama ndani ya Jamhuri ya
Muungano.
Adhabu kwa makosa
ambayo adhabu
haijatolewa
25. Mtu yeyote ambaye atakwenda kinyume na
kifungu chochote cha sheria hii au amri au taratibu
zilizoandaliwa au sharti lolote la leseni, kibali au ruhusa
iliyotolewa chini ya sheria hii, ambapo hakuna adhabu
tofauti iliyotolewa chini ya Sehemu hii, akihukumiwa
atatakiwa kulipa faini isiyozidi shilingi milioni tano au
kifungo kisichopungua muda wa miaka thelathini au vyote
faini na kifungo.
Wajibu wa kuthibitisha
sheria Na:31 ya 1997 ; 9
ya 2002 Jedw
26.- (1) Katika shtaka lolote kwa kosa la kuwa na
kumiliki, kujishughulisha na kusafirisha, kuuza, kulima,
kununua, kutumia, kulipia dawa au kitu chochote cha
kulevya na wajibu wa kuthibitisha kwamba dawa au kitu
cha kulevya hicho kilimilikiwa, kilishughulikiwa,
kilisafirishwa, kiliuzwa, kililimwa, kilitumiwa au
kililipiwa kufuatana na sharti la leseni, kibali au ruhusa
iliyotolewa chini ya sheria hii, kanuni, taratibu au amri
zilizoandaliwa chini ya sheria hii, utakuwa kwa mtu
anayeshtakiwa.
(2) Bila ya kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha
(1).itakuwa ni utetezi kwa mtu yeyote aliyeshitakiwa kwa
kosa linalohusu umiliki wa dawa au kitu cha kulevya
iwapo ataithibitisha mahakama na kuiridhisha kwa
kuangalia mazingira ya kesi kwamba umiliki wa dawa au
kitu hicho ulikuwepo bila ufahamu.
Makosa yasiyokuwa na
dhamana sheria na:9 ya
1996 Jedw
Sheria na 9 ya 2002 Jedw.
27.-(1) Afisa polisi anayesimamia kituo cha polisi,
au mahakama ambayo mtuhumiwa ameletwa hatampa
dhamana mtu huyo iwapo-
19
(a) mtu huyo ametuhumiwa kwa kosa linahusu
usafirishaji haramu wa madawa au vitu vya
kulevya lakini kwa kuzingatia mazingira
yote ya kutendwa kwa kosa haikuwa kwa
madumuni ya kusafirisha au kibiashara;
(b) mtu huyo ameshtakiwa kwa kosa
linalohusika na heroini, afyumi mpopi
kokeni, jani la mpopi, mmea wa koka,
majani ya koka, bangi au dawa au kitu
kingine chochote kilichoainishwa katika
jedwali katika sheria hii chenye thamani
iliyothibitishwa na Tume ya taifa ya kuratibu
uthibiti wa madawa isiyozidi shilingi milioni
kumi.
Sura ya 20 (2) Masharti ya kutoa dhamana yaliyoainishwa
katika kifungu cha 148 cha Sheria ya Mwenendo wa
Makosa ya Jinai itatumika sawasawa kwa makosa yote
yenye kupata dhamana chini ya sheria hii.
Makosa ya makampuni 28.-(1) Endapo kosa chini ya sheria hii limetendwa
na kampuni, kila mtu ambaye wakati wa utendaji wa kosa
alikuwa anasimamia kampuni katika biashara
atachukuliwa kuwa ametenda kosa na atatakiwa
kushitakiwa na kuadhibiwa ipasavyo.
(2) Maelezo yoyote yaliyo katika kifungu kidogo
cha (1) hayatampata mtu yeyote aadhibiwe ikiwa
atathibitisha kwamba kosa lilitendwa bila yeye kujua au
alijitahidi kuwa makini kuzuia kosa lisitendeke
(3) Bila kuathiri kifungu kidogo cha (1), pale kosa
lolote chini ya sehemu hii limefanywa na kampuni na
ikathibitika kwamba kosa limefanywa kwa kibali au
limesababishwa na uzembe wa mkurugenzi, katibu au
afisa mwingine wa kampuni itachukuliwa kuwa kampuni
inahitaji kushtakiwa na kuadhibiwa ipasavyo.
Kuachiwa kwa baadhi ya
watawaliwa kwa lengo la
kupatiwa tiba
29.-(1) Pale muathiriwa yeyote atayetiwa hatiani
kwa kosa chini ya kifungu cha 19 na mahakama husika
inaona kwa kuzingatia umri, tabia, wasifa au hali ya
kimwili na kiakili ya mtuhumiwa kwamba ni muhimu
kufanya hivyo bila kuathiri sheria hii au sheria nyingine
yoyote, mahakama inaweza badala ya kumhukumu
kifungo chochote, kwa ridhaa yake aachiliwe ili apate tiba
kutoka hospitali au taasisi inayotambuliwa na Serikali kwa
kuweka dhamana katika fomu iliyoelekezwa na Tume
akiwa na wadhamini au bila ya wadhamini ataelekezwa
kwenda mahakamani na kutoa ripoti katika kipindi
20
kisichozidi miezi mitatu, ripoti inayohusu matokeo ya tiba
yake na wakati huohuo kuacha kutenda kosa lolote chini
ya Sehemu hii.
(2) Pale mtuhumiwa anaposhindwa kutii masharti
ya kuacha kutenda kosa baada ya mtuhumiwa kuachiwa na
mahakama kwenda kupata tiba kufuatana na kifungu
kidogo cha (1), mahakama inaweza kuamuru mtuhumiwa
afike mahakamani ili aweze kuhukumiwa.
SEHEMU YA V
UTARATIBU
Matumizi ya Sheria ya
Mwenendo wa Kesi za
Jinai na mabadiliko
muhimu
30.-(1) Masharti ya sheria yoyote ya Jamhuri ya
Muungano kuhusiana na ukamataji, ukaguzi na madaraka
ya kawaida na wajibu wa uchunguzi wa maafisa polisi,
forodha, na mapato au mtu mwingine yeyote mweneye
uwezo wa kukamata yatatumika katika sheria hii.
(2) Kufuatana na kifungu kidogo cha (1), afisa
yeyote aliyotajwa katika kifungu kidogo cha (1) anaweza
wakati wowote-
(a) kuingia na kukagua jengo lolote ,usafiri au
mahali;
(b) kama anazuiwa, kuvunja mlango wowote au
kuondoa kizuizi chochote katika kuingia
huko;
(c) kukamata madawa au kitu chochote
kinachotengenezwa na vifaa vilivyotumika
katika kutengeneza na kitu chochote au
usafiri ambao yeye ana sababu za kuamini
vimetumika katika kutenda kosa lolote chini
ya sheria hii .
(3) Pale afisa anapochukua taarifa kwa maandishi
chini ya kifungu kidogo cha (2) au anaweka kumbukumbu,
kuamini atatuma nakala yake kwa mkubwa wake wa kazi
(4) Masharti ya kifungu hiki yatatumika kwenye
makosa chini ya sehemu ya IV na kuhusiana na mmea wa
mkoka, afyumi, mpopi au mmea wa bangi na pia kwa
madhumuni haya, marjeo yatafanyika katika vifungu hivyo
kwa madawa au vitu vya kulevya itatafsiriwa kujumuisha
mmea wa mkoko, afyumi mpopi na mmea wa bangi.
Utaratibu wa ukamataji
pale utaifishaji
hauwezekani
31. Pale inapokuwa si rahisi kukamata mali yoyote
ikiwemo mazao ambayo yanatakiwa kutaifishwa chini ya
sheria hii, afisa yeyote aliyeruhusiwa chini ya kifungu cha
30 anaweza kumpa amri mwenye mali au mmiliki wa
mali, kwamba asiondoe, asioondoke au asitumie mali bila
ya kibali cha afisa huyo.
21
Wajibu wa wenye ardhi
kutoa taarifa juu ya mimea
iliyolimwa kinyume cha
sheria
32.Kila mwenye ardhi atatakiwa kutoa taarifa
mapema kwa afisa yeyote wa polisi au afisa yeyote wa
idara zilizotajwa chini ya kifungu cha 30 juu ya afyumi
mpopi, mmea wa bangi au mmea wa mkoka ambao
unaweza kuwa umelimwa kinyume cha sheria kwenye
ardhi yake na kila mwenye ardhi ambaye ameacha kutoa
taarifa hiyo huku akijuwa, atachukuliwa kuwa ametenda
kosa, na akihukumiwa atatakiwa kulipa faini ya shilingi
milioni tano au kifungo cha miaka thelathini.
Uwezo wa kushikilia
mazao yaliyolimwa
kinyume cha sheria
33. Afisa yeyote chini ya sheria hii anaweza
kuamuru kushikiliwa kwa afyumi, mpopi, mmea wa bangi
au mmea wa mkoka ambao yeye anaamini kuwa
umelimwa kinyume cha sheria na anaweza kuamuru hivyo
akijumuisha amri ya kuharibu zao kama atakavyoona
inafaa.
Tume kuelekeza vitu
fulani kuharibiwa
34.-(1) Tume inaweza, ikizingatia hatari ya dawa
au kitu chochote cha kulevya, uwezekano wa kuibiwa,
kubadilishwa, ugumu wa mahali pa zuri pa kutunzia,
nafasi au sababu zingine muhimu kwa notisi iliyotangazwa
chini ya gazeti la serikali kuainisha dawa au kitu cha
kulevya mara zinapokamatwa kuharibiwa na afisa huyo
kwa namna ambayo Tume itaamua mara kwa mara, baada
ya kufuata utaratibu uliainishwa.
(2) Pale dawa au kitu chochote cha kulevya
kinapokamatwa na afisa, afisa huyo atatayarisha ya
madawa au vitu vya kulevya kuelezea kiasi chake,namna
ya ufungaji, alama, namba au taarifa nyingine za utambuzi
wa madawa au vitu hivyo vya kulevya na ufungaji wake,
nchi vilipotokea na taarifa zingine, ama afisa huyo
atakavyoona inafaa chini ya sheria hii na atatuma maombi
kwa hakimu yeyote mwenye mamlaka chini ya sheria hii,
kwa madhumuni ya -
(a) kuthibitisha uhalisia wa orodha
iliyotayarishwa;au
(b) kuchukua mbele ya hakimu,picha za
madawa au vitu na kuthibitisha kama picha
hizo ni halisi; au
(c) kuruhusu kuchukua sampuli za madawa au
vitu mbele ya hakimu na kuthibitishwa
uhalisia wa sampuli zilizochukuliwa .
(3) Pale ombi limefanyika chini ya kifungu kidogo
cha (2) hakimu atalikubali mapema iwezekanavyo ombi
hilo.
(4) Bila ya kuathiri chochote kilichopo chini ya
22
Sura ya 6
Sura ya 20
Sheria ya Ushahidi au Sheria ya Mwenendo wa Jinai, kila
mahakama inayosikiliza kosa chini ya sheria hii
itachukulia picha za madawa na vitu vya kulevya na
sampuli zilizochukuliwa chini ya kifungu kidogo cha (2)
na kuthibitishwa na hakimu, kama ushahidi mkuu
kuhusiana na kosa hilo.
Uhusika wa taarifa chini
ya mazingira fulani
35. Taarifa iliyoandaliwa na kusainiwa na mtu
mbele ya afisa yeyote aliyeruhusiwa chini ya kifungu cha
29 kwaajili ya upelelezi wa makosa, wakati wa uchunguzi
au mwenendo wa afisa huyo, itahusika kwa lengo la
kuthibitisha shtaka la kosa chini ya sheria hii,ukweli wa
jambo utakuwa na-
(a) pale mtu aliyetoa taarifa anapofariki au
hapatikani au hawezi utoa ushahidi au
amezuiliwa na mhusika wa upande
mwingine au uwepo wake unakuwa mgumu
bila ya kuchelewa au gharama, chini ya
kulingana na mazingira ya kesi, mahakama
itaona si muhimu ;au
(b) pale mtu aliyeandaa taarifa anapohojiwa
kama shahidi katika kesi iliyo mbele ya
mahakama na mahakama inaona kuwa
kulingana na mazingira ya kesi taarifa
itabidi ipokelewe kama ushahidi kwa
madhumuni ya utendaji wa haki
Dhana ya umiliki wa vitu
haramu
36. Kesi chini ya sheria hii, zitachukuliwa kwamba
mtuhumiwa amendenda kosa mpaka kinyume chake
kithibitike chini ya sehemu ya IV kuhusiana-
(a) na dawa au kitu chochote cha kulevya;
(b) afyumi mpopi yoyote, mmea wa bangi au
mmea wa mkoka unaoota katika ardhi
yoyote aliyolima;
(c) chombo chochote kilichotengenezwa
maalum au kundi la vyombo maalum
vilivyochukuliwa kwa utengenezaji wa dawa
au kitu chochote chea kulevya; au
(d) vifaa vyovyote vilivyopitia mchakato
wowote kwa ajili ya utengenezaji wa dawa
au kitu cha kulevya, au mabaki yoyote
kutokana na dawa au kitu chochote cha
kulevya yaliyotengenezwa, kwa umiliki
ambapo anashindwa kuuelezea vizuri.
Maafisa walioruhusiwa
kusimamia vifaa
37.-(1) Afisa aliyeruhusiwa chini ya kifungu
kidogo cha (2) cha kifungu cha 30 atasimamia na kutunza,
23
vilivyokamatwa vifaa vyote vilivyokamatwa chini ya kifungu cha 30 na
ataruhusu afisa aliyekamata kugonga lakiri katika vifaa
hivyo au kuchukua sampuli kutoka hapo na sampuli zote
zitagongwa lakiri ya afisa huyo na kusubiri amri za
hakimu.
(2) Afisa ambaye atashindwa kutii masharti chini
ya kifungu kidogo cha (1) au akipotea, atatenda kosa na
akihukumiwa atatakiwa kulipa faini ya shilingi milioni
moja au kifungo cha muda wa miaka mitano.
Wajibu wa maafisa
mbalimbali wa kusaidiana
38. Maafisa wote katika idara mbalimbali
zilizotajwa chini ya sheria hii, watatakiwa baada ya
kupewa notisi au ombi kufanywa kushirikiana katika
kutekekeleza masharti ya sheria hii
Ukamataji na ushikiliaji
utolewe taarifa katika
muda wa saa arobaini na
nane
39. Pale mtu yeyote anapokamata au kushikilia
chini ya sheria hii atatakiwa katika saa arobaini na nane
aripoti kuhusu taarifa za ukamataji na ushikiliaji huo kwa
mkuu wake wa kazi.
Adhabu ya kuingia kwa
upekuzi kwa nia mbayaau
ukamataji na ushikiaji,
40.-(1) Afisa yeyote amabaye ameruhusiwa chini
ya sheria hii kufanya lolote-
(a) bila ya sababu za msingi za kuwa na
wasiwasi, anaingia au anatafuta au
anasababisha kuingia au kutafuta kwenye
jengo lolote au mahali; au
(b) kwa nia mbaya na bila umuhimu anakamata
mali ya mtu yeyote kwa kujifanya kuwa
anakamata au anatafuta madawa au vitu
vyovyote vya kulevya au kitu kingine,
kinachotakiwa kutaifishwa chini ya sheria
hii au anakamata nyaraka yoyote au kitu
kinachotakiwa kukamatwa chini ya sheria
hii; au
(c) kwa nia mbaya na bila umuhimu
anamfungia, anafanya upekuzi au
anamkamata mtu yeyote,
anatenda kosa na akihukumiwa atatakiwa kulipa
faini isiyozidi shilingi milioni tano au kifungo cha
muda wa miezi sita.
(2) Mtu yeyote mwenye nia mbaya na makusudi
anatoa taarifa za uongo na kusababisha kukamatwa au
upekuzi ufanyike chini ya sheria hii anatenda kosa na
akihukumiwa anatakiwa kulipa faini isiyozidi shilingi laki
tano au kifungo cha mwaka mmoja au vyote faini na
24
kifungo.
Adhabu dhidi ya maafisa
wanaokataa kutimiza
wajibu au kusaidia
watuhumiwa
41.-(1) Afisa yeyote mwenye wajibu wowote
chini ya sheria-
(a) anayekataa kutimiza wajibu wake labda awe
na sababu halali ya kufanya hivyo; au
(b) anamwangalia mwathirika yeyote au mtu
mwingine yeyote amabye ameshtakiwa na
kosa chini ya sheria hii;
(c) anasaidia kwa kujua au anashiriki katika
kwenda kinyume na sheria hii au taratibu au
amri iliyotolewa,
anatenda kosa na akihukumiwa atatakiwa kulipa
faini isiyozidi shilingi laki tano au kifungo cha
muda wa miaka miwili.
(2) Msemo “afisa” katika kifungu hiki unajumuisha
mtu yeyote aliyeajiriwa katika hospitali au taasisi
inayotambuliwa au kusimamiwa na serikali kwa kutoa tiba
kwa waathirika.
(3) Mahakama haitatambua kosa lolote chini ya
kifungu kidogo cha (10) isipokuwa lalamiko la mandishi
lililofanywa kuhusu adhabu ya Tume.
Uwezo wa kutaifisha vitu
au vifaa,n.k kuhusiana na
kosa
42.-(1) Pale kosa lolote chini ya sehemu ya IV
limetendwa, dawa au kitu cha kulevya, afyumi mkopi,
mmea wa mkoka, mmea wa bangi, vifaa au vyombo
kuhusiana na kosa lililotendwa vitatakiwa kutaifishwa.
(2) Dawa au kitu chochote cha kulevya
kilichozalishwa kihalali, kuletwa au kusafirishwa nje ya
Jamhuri ya Muungano, kutengenezwa kumilikiwa,
kutumiwa, kununuliwa au kuuzwa pamoja na au kwa
kuongezea kwa dawa au kitu ambacho kinatakiwa
kutaifishwa chini ya kifungu kidogo cha (1) na mifuko
yake, vifungashio, vifuniko ambavyo dawa au kitu
chochote cha kulevya, vitu, vyombo vinavyotakiwa
kutaifishwa chini ya kifungu kidogo cha (1) vinapatikana
na vitu vingine vifungashio, vifuniko navyo vitatakiwa
kutaifishwa.
(3) Mali yoyote iliyotumika kuficha dawa au kitu
chochote cha kulevya kinachotakiwa kutaifishwa chini ya
sheria hii navyo vitataifishwa pia.
25
(4) Pale dawa au kitu chochote cha kulevya
kinapouzwa na mtu huku akijua au akiwa na sababu za
kuamini kwamba dawa au kitu hicho kinatakiwa
kutaifishwa, pesa zitokanazo na mauzo yake pia
yatataifishwa.
Utaifishaji kukiwa hakuna
kuhukumiwa
43.- (1) Katika kusikiliza kesi chini ya sheria hii,
ama mtuhumiwa amehukumiwa au ameachiwa ,
mahakama itaamua kama kifaa au kitu kilichokamatwa
chini ya sheria hii kitatakiwa kutaifishwa chini ya kifungu
hiki na iwapo ikiamua hivyo, itaamuru utaifishaji wake
ufanyike ipasavyo.
(2) Pale kifaa au kitu chini ya sheria hii
kinapoonekana kustahili kutaifishwa lakini aliyefanya kosa
hafahamiki au hapatikani, mahakama inaweza kuchunguza
na kuamua kuamuru utaifishwaji ipasavyo.
(3) Amri ya utaifishaji wa kitu au kifaa
haitatolewa-
(a) mpaka uishe mwezi mmoja kuanzia siku ile
ya kukamatwa; au
(b) bila ya kusikilizwa kwa mtu yeyote anayedai
haki ;au
(c) bila ya ushahidi kama upo uliotolewa
kuhusiana na dai .
(4) Iwapo kifaa au kitu mbali na dawa au kitu cha
kulevya, afyumi mpopi, mmea wa mkoka au mmea wa
bangi, kinaweza kuharibika upesi au kwa mtazamo wa
mahakama kwamba uuzaji wake utakuwa kwa faida ya
mwenye mali, inaweza wakati wowote kuamuru iuzwe, na
masharti ya kifungu kidogo hiki yatatumika kwa fedha
zilizotokana na mauzo.
(5) Mtu yeyote anayedai haki yoyote ya mali
ambayo imetaifishwa chini ya sheria hii, anaweza kukata
rufaa Mahakama Kuu dhidi ya amri ya utaifishwaji.
Dhana ya nyaraka katika
kesi fulani
44.Ikiwa nyaraka yoyote -
(a) imetolewa au kutumwa na mtu yeyote au
imekamatwa kutoka kwenye uangalizi au
udhibiti wa mtu yeyote chini ya sheria hii,au
chini ya sheria yoyote;au
(b) imepokelewa kutoka mahali popote nje ya
Jamhuri ya Muungano na imekubaliwa na
26
mamlaka au mtu huyo kwa namna kama
ilivyoelekezwa na Tume,
katika mwenendo wa upepelezi wa kosa lolote chini ya
sheria hii, iwapo nyaraka hiyo itatolewa katika mwenendo
chini ya sheria hii kama ushahidi dhidi yake au mtu
mwingine yeyote ambaye wameshtakiwa naye kwa
pamoja, mahakama itatakiwa-
(i) kuikubali nyaraka katika ushahidi, bila ya
kujali kwamba haijawekwa muhuri
ipasavyo, iwapo nyaraka hiyo inakubalika
katika ushahidi ;
(ii) katika kesi inayoangukia aya ya (a)
itachukuliwa kuwa yaliyomo ni kweli pia,
labda kama kinyume chake kitathibitika.
Uwezo wa afisa
aliyeruhusiwa kuita taarifa
45.-(1) Afisa yeyote ambaye ameruhusiwa chini ya
sheria hii anaweza,wakati wa uchunguzi unaohusiana na
kwenda kinyume na masharti yoyote ya sheria hii-
(a) kutaka taarifa kutoka kwa mtu yeyote kwa
lengo la kujiridhisha mwenyewe iwapo kuna
kwenda kinyume na masharti ya sheria au
taratibu au amri iliyofanywa chini yake;
(b) kumtaka mtu yeyote kutoa au kupeleka
nyaraka yoyote au kitu muhimu au
kinachohusiana na uchunguzi.
(2) Afisa anayetekeleza madaraka yake chini ya
sheria hii au taratibu au amri hatatakiwa kulazimishwa
kusema alipata wapi taarifa yoyote kuhusiana na utendaji
wa kosa lolote.
SEHEMU YA
KUKAMATWA KWA MALI ITOKANAYO AU ILIYOTUMIKA KATIKA
USAFIRISHAJI HARAMU
Ukamataji wa mali
Sura ya 256
46.-(1) Kufuatana na sehemu hii, pale mtu yeyote
anapohukumiwa kwa kosa chini ya sehemu hii, mali yake
wakati wa tarehe ya hukumu au baada ya hapo,
itataifishwa na serikali kufuatana na Sheria ya Matunda
yatokanayo na Uhalifu.
(2) Masharti ya kifungu kidogo cha (1) yatatumika
kwa-
(a) kila mtu ambaye amehukumiwa kwa kosa
chini ya sheria hii;
(b) kila mtu ambaye amehukumiwa kwa kosa
hilohilo na mahakama yenye mamlaka ya
kusikiliza kesi za jinai;
27
(c) kila anayeshirikiana na mtu aliyetajwa chini
ya aya za (a) na (b).
(3) Kwa madhumuni ya sehemu hii, labda
muktadha uhitaji vinginevyo, “ushirika” maana yake ni -
(a) mtu yeyote ambaye amekuwa akisimamia
masuala au kuweka mahesabu ya mtu huyo;
(b) mdhamini wa dhamana pale-
(i) dhamana ilianzishwa na mtu huyo;
au
(ii) thamani ya mali iliyotolewa na mtu
huyo kwa wadhamini inafikia si
chini ya asilimia ishirini ya thamani
ya dhamana hiyo.
(4) Pale afisa aliyeruhusiwa kwa mandishi anaona
mali yoyote ya mtu huyo imeshikwa kwa niaba yake na
mtu mwingine yeyote, afisa huyo ataamuru mtu mwingine
huyo apeleke mali hiyo kwa lengo la kuitaifisha
Kukataza kushika mali
iliyopatikana isivyo halali
47.-(1) Mtu hatatakiwa kuwa na mali iliyopatikana
isivyo halali ama na yeye mwenyewe au kupitia kwa mtu
mwingine kwa niaba yake.
Sura ya 256
(2) Pale mtu yeyote anaposhika mali yoyote
iliyopatikana isivyo halali kinyume na kifungu kidogo cha
(1), mali hiyo itataifishwa kwa Tume kulingana na sehemu
ya IV ya Sheria ya Matunda yatokanayo na Uhalifu.
(3) Mali haitataifishwa chini ya sehemu hii ikiwa
mali hiyo ilikuwa ya mtu ambaye sheria hii imetumika
kabla ya kipindi cha miaka mitatu kutoka tarehe ambayo
alishtakiwa kwa kosa linalohusiana na usafirishaji haramu.
Kamishna kuruhusu
upelelezi au upimaji
48.-(1) Tume inaweza kumruhusu afisa yeyote au
kundi la watu kwa amri au kuelekeza afisa huyo akipata
taarifa kwamba mtu yeyote ambaye sehemu hii inamhusu
ameshtakiwa kwa kosa ama limefanyika ndani ya Jamhuri
ya Muungano au nje, aendelee kuchukua hatua zote
muhimu za kutafuta na kutambua mali yoyote
iliyopatikana isivyo halali.
(2) Pale afisa anayefanya upelelezi au uchunguzi
chini ya kifungu kidogo cha (1) anapokuwa na sababu za
kuamini kwamba mali yoyote inayohusiana na uchunguzi
au upelelezi unaofanyika ni mali iliyopotikana isivyo
halali na kuna uwezekano wa mali hiyo kufichwa,
kuhamishwa au kushughulikiwa kwa namna ambayo
itavuruga mwenendo wowote wa kutaifisha mali hiyo
chini ya sehemu hii, anaweza kuamuru utaifishwaji wa
28
mali na pale ambapo haiwezekani kuitaifisha anaweza
kuamuru mali hiyo isihamishwe au isishughulikiwe
vinginevyo bila ya kibali cha afisa anayetoa amri hiyo au
ya mamlaka halali na nakala ya amri hiyo itatumwa kwa
mtu anayehusika.
(3) Iwapo mali yoyote iliyotajwa chini ya kifungu
kidogo cha (4) inahamishwa kwa namna yoyote, uhamisho
huo utakuwa batili ikiwa mali imetaifishwa na Tume.
(4) Afisa anayefanya upepelelezi anaweza kumwita
mtu katika kipindi cha siku thelathini kuelezea chimbuko
la kipato au mali, namna alivyopata mali hizo na kutoa
sababu kwanini mali zote au mojawapo ya mali hizo
zisitangazwe kuwa zimepatikana isivyo halali na
kutaifishwa na Tume.
(5) Iwapo mtu aliyedhurika hajatokea mbele ya
afisa aliyeruhusiwa kuelezea kesi yake katika kipindi
kilichowekwa, afisa huyo ataendelea kuweka
kumbukumbu kwa msingi wa ushahidi ulioko mbele yake.
Wajibu wa kuthibitisha
49. Katika mwenendo wowote chini ya sehemu hii,
wajibu wa kuthibisha kwamba mali yoyote haijapatikana
isivyo halali itakuwa kwa mtu aliyeathirika.
Malipo badala ya
kutaifishwa
50. Pale afisa aliyeruhusiwa anatangaza kwamba
mali yoyote inayotegemewa kutaifishwa na Tume na
kwamba ni sehemu ya kiini cha mali iliyopatikana kwa
njia haramu haijaweza kuthibitishwa na kumridhisha afisa
aliyeruhusiwa, afisa huyo atatoa amri inayotoa uchaguzi
kwa mtu anayetakiwa kuathirika kulipa kiasi cha fedha
ambacho ni sawa na thamani ya soko ya sehemu hiyo
badala ya kutaifishwa.
Rufani
51. Mtu yeyote asiyeridhika na uamuzi wowote wa
afisa aliyeruhusiwa anaweza ndani ya siku thelathini
kutoka siku ya uamuzi huo kukata rufani ya Mahakama
Kuu.
Uwezo wa kumiliki 52.-(1) Pale mali yoyote imetajwa kuwa
imetaifishwa na Tume au mtu aliyeathirika anashindwa
kulipa kiasi hicho cha fedha afisa aliye ruhusiwa anaweza
kuamuru mtu aliyeathirika au mtu mwingine yeyote
mwenye mali hiyo kuiachia au kutoa umiliki wake.
(2) Mtu yeyote anayekataa au kushindwa kutii amri
iliyotolewa chini ya kifungu kidogo cha (1) anatenda kosa
na Tume inaweza kuchukua mali yake na kwa ajili hiyo
inaweza kutumia nguvu inayostahili .
29
Makubaliano kuhusiana na
ufuatiliaji,upatikanaji,n.k
wa mali
53.-(1) Serikali ya Jamhuri ya Mungano inaweza
kuingia katika makubaliano-
(a) na serikali ya nchi yoyote na kuweka
masharti ya upatikanaji na ukabidhianaji
wa mali kwa Serikali ya Jamhuri ya
Muungano, wa mali yoyote iliyotaifishwa
na iko katika nchi ile au kwa kuifuatilia na
kuitunza mali yoyote katika nchi ile
iliyomo ikimilikiwa au kuwa chini ya
udhibiti wa mtu yeyote ambaye anayo au
anashukiwa kuwa ametenda kosa chini ya
sheria hii; au
(b) kwa kubadilishana na serikali ya nchi
yoyote kuhusiana na upatikanaji na
ukabidhianaji wa mali kwa serikali ya nchi
hiyo wa mali yoyote ndani ya Jamhuri ya
Muungano, ambayo imetaifishwa na au
imetwaliwa na Tume ya nchi hiyo
kutokana na kosa la mtu yeyote chini ya
sheria kama hiyo ya nchi hiyo, au kwa
kuwa na au kutunza mali yoyote ndani ya
Jamhuri ya Muungano iliyomilikiwa au
kudhibitiwa na mtu yeyote anayeshukiwa
kutenda kosa chini ya sheria kama hiyo.
Sura ya 254
(2) Kitu chochote katika kifungu kidogo cha (1)
cha kifungu hiki hakitatafsiriwa kama kuzuia kupatiwa au
kupatikanaakwa msaada katika masuala ya jinai
vinginevyo zaidi ya kama ilivyoonyeshwa chini ya Sheria
ya Msaada katika Masuala ya Jinai.
SEHEMU YA VII
MASHARTI YA JUMLA
Ulinzi kwa vitendo
vilivyofanywa kwa nia
nzuri
54. Shauri, mashtaka au mwenendo
hautachukuliwa dhidi ya Tume au afisa wa serikali au mtu
mwingine yeyote anayetekeleza madaraka au kazi yoyote
au anayetekeleza wajibu wowote kwa nia njema au
inayotarajia kufanyika chini ya sheria hii, taratibu yoyote
au amri iliyotolewa chini ya sheria hii.
Tume kuzingatia mikataba
ya kimataifa wakati wa
kuanadaa taratibu.
55. Pale Tume inapopewa mamlaka ya kuandaa
taratibu, inaweza, wakati wa kuandaa taratibu kuzingatia
masharti ya Mkataba wa Madawa ya Kulevya, 1961,
Itifaki ya 1972 iliyorekebisha mkataba huo na Mkataba wa
Vitu vya Kulevya, Mkataba wa Umoja wa Mataifa dhidi
30
ya Usafirishaji Haramu wa Madawa na Vitu vya Kulevya
uliokubaliwa 19 Desemba,1988, na masharti ya mkataba
mwingine wowote unaohusiana na madawa au vitu vya
kulevya ambao Jamhuri ya Muungano ni mhusika.
Mamlaka ya Serikali
kuanzisha vituo vya
utambuzi,tiba, n.k kwa
waathirika na upatikanaji
wa madawa ya kulevya
56.-(1) Serikali inaweza kwa utashi wake
kuanzisha vutuo vingi kama itakavyoona inafaa vya
utambuzi, tiba, elimu, matunzo, urekebishaji wa
waathirika na kwa upatikanaji, kulingana na masharti na
kwa namna itakavyoelekezwa na Tume wa dawa au kitu
chochote cha kulevya kwa waathirika walioandikishwa na
serikali na kwa wengine pale ambapo upatikanaji huo ni
muhimu kwa tiba.
(2) Tume inaweza kuandaa taratibu zinazoendana
na sheria hii kuhusu uanzishwaji, utunzaji, uteuzi, na
usimamizi, upatikanaji wa madawa na vitu vya kulevya
kutoka katika vituo vilivyotajwa chini ya kifungu kidogo
cha (1) na kwa uteuzi, mafunzo, uwezo, wajibu na watu
watakaofanya kazi katika vituo hivyo.
Kiwango cha mamlaka 57. Mahakama ya kesi za madai
haitakayoshughulikia shauri au mwenendo dhidi ya
uamuzi wowote uliofanywa au amri iliyopitishwa na afisa
yeyote au mamlaka chini ya sheria hii au taratibu
zilizoandaliwa chini ya sheria hii juu ya mojawapo ya
masuala yafuatayo, yaani-
(a) kushikilia, kukataa au kufuta leseni yoyote ya
ulimaji wa afyumi mpopi;
(b) upimaji,uchunguzi na ukadiriaji kulingana na
ubora wa mpopi na makato yoyote au ongezeko
kwa bei ya kawaida iliyowekwa kulingana na
uchunguzi huo;
(c) Utaifishwaji wa mipopi iliyokutwa
imechanganywa na kitu kingine.
Mamlaka ya Tume kutoa
maelekezo
58. Tume inaweza kutoa maelekezo kama
itakavyoona muhimu kwa idara yoyote ya serikali
kuhusiana na utekelezaji wa masharti ya sheria hii, na
kwamba idara hiyo itatii maelekezo hayo.
Mamlaka ya kukaimisha 59. Tume inaweza, kwa notisi katika gazeti la
serikali, kukaimisha kulingana na masharti na kikomo
kama itakavyoonyeshwa kwenye notisi, mamlaka na kazi
hizo (isipokuwa ya kuandaa kanuni) kama itakavyoona
muhimu au lazima, kwa mamlaka nyingine au kwa
kamishna dhidi ya madawa.
31
Mamlaka ya Serikali Kuu
kuandaa taratibu
60.-(1) Kufuatia masharti mengine ya Sheria hii,
Tume inaweza, kwa notisi katika gazeti la serikali,
kuandaa taratibu za utekelezaji wa malengo ya sheria hii.
(2) Bila ya kuathiri ujumla wa mamlaka haya,
taratibu hizo zinaweza kushughulikia mambo yote au
mojawapo ya masuala haya, yaani-
(a) namna ambayo asilimia katika suala la
matayarisho ya majimaji yanaweza
kukokotolewa;
(b) aina ya dhamana itakayotolewa ili kuachiwa
kwa mtu mzima aliyetiwa hatiani kwaajili ya
tiba chini ya kifungu kidogo cha(1) cha kifungu
cha 40 na dhamana kutolewa na mfungwa
kabla ya kuachiwa kwake chini ya kifungu
kidogo cha (2) cha kifungu hicho;
(c) mamlaka au mtu ambaye, na kwa namna
ambayo nyaraka imepokelewa kutoka mahali
popote nje ya Jamhuri ya Muungano
itathibitika;
(d) namna ambayo na masharti kufuatia mali
zilizokamatwa na zilizotaifishwa
zitakavyasimamiwa;
(e) kuachiwa kwa vitu au vifaa vilivyotaifishwa
chini ya sheria hii;
(f) kuchukuwa sampuli na kuzipima na uchunguzi
wa sampuli hizo;
(g) zawadi itakayotolewa kwa maafisa, watoa
habari na watu wengine;
(h) masharti na namna ambavyo madawa na vitu
vya kulevya vinaweza kutolewa kama tiba kwa
waathirika waliosajiliwa na Serikali na kwa
wengine kulingana na masharti ya sheria hii;
(i) Jambo lingine lolote ambalo ni la kuelekezwa
au linaweza kuelekezwa.
Kutumika kwa Sheria ya
Forodha(Usimamizi na
Ushuru),Sura ya 403
61.-(1) Makatazo yote na vizuizi vilivyowekwa na,
au chini ya sheria hii juu ya vitu vinavyoingizwa katika
Jamhuri ya Muungano, vitu vinavyouzwa kutoka Jamhuri
ya Muungano na kusafirishwa kwa madawa na vitu vya
kulevya itachukuliwa kuwa ni makatazo na vizuizi
viliyowekwa na, au chini ya Sheria ya Forodha
(Usimamizi na Ushuru) na masharti ya sheria hiyo
yatatumika ipasavyo.
(2) Pale kitendo chochote kinapokuwa ni kosa
linaloadhibiwa chini ya Sheria ya Forodha (Usimamizi na
32
Sura ya 403
Ushuru) na chini ya sheria hii, hakuna kitu katika sheria ile
au katika kifungu hiki kitazuia mtuhumiwa kuadhibiwa
chini ya sheria hii.
Utumiikaji wa Sheria ya
Madawa na Sumu
kuzuiwa, Sura ya 219
62. Masharti ya sheria hii au taratibu chini ya
sheria hii zitakuwa ni nyongeza na sio ya kupuuza Sheria
ya Madawa na Sumu au taratibu zilizoandaliwa chini hiyo.
Kutumika wa sheria
63. Katika sheria hii au taratibu zake hakuna kitu
kitaathiri uhalali wa sheria yoyote inayotumika, au taratibu
yoyote chini yake ambayo inaweka vizuizi au kutoa
adhabu ambayo haijawekwa chini ya sheria hii au kuweka
vizuizi au kutoa adhabu kubwa kuliko kizuizi kama hicho
kilichotolewa na au adhabu inayotolewa chini ya sheria hii
kwa ulimaji wa bangi, au utumiaji wa, usafirishaji wa
dawa au kitu cha kulevya ndani ya Jamhuri ya Muungano.
Kufuta na kutumika
64. –(1) [Inafuta Sura ya 134 na 95]
(2) Bila ya kujali kufutwa huko, kitu chochote
kitakachofanyika au kitendo chochote kitakachotendwa au
kuchukuliwa kimetendeka au kufanyika chini ya sheria
zozote zilizofutwa na kifungu kidogo cha (1), ilimradi
havipingani na masharti ya sheria hii, vitachukuliwa kuwa
vimefanyika chini ya masharti yanayofanana ya sheria hii.
Imefuta
65. [Imefutwa na Sheria Na, 31 ya 1997 Jedw.]
Imefuta
66. [Imefutwa na Sheria Na.13 ya 1984]
Kurekebisha Sura ya 256
67. [Imerekebisha Sheria ya Mapato
Yatokanayo na Jinai]
33
______
Sheria Na.31 ya 1997 Jedw. JEDWALI LA KWANZA
Na 9 ya 2002 Jedw.. _____
ORODHA YA MADAWA YALIYOWEKWA KATIKA JEDWALI LA MKATABA
WA MADAWA YA KULEVYA, 1961
___
(Kifungu cha 23 (3))
___
Acetorphine (3-O-acetyltetrahydro- 7α-(1-hydroxy-1-methylbutyl)-6,14-endoetheno-oripavine)
Acetyl-alpha-methylfentanyl (N-[1-(a-methylphenethyl)-4-piperidyl]acetanilide)
Acetylmethadol (3-acetoxy-6-dimethylamino-4,4-diphenylheptane)
Alfentanil (N-[1-[2-(4-ethyl-4,5-dihydro-5-oxo-1H-tetrazol-1-yl)ethyl]-4-(methoxymethyl)-4-
piperidiny]-N-phenylpropanamide
Allylprodine (3-allyl-1-methyl-4-phenyl-4-propionoxypiperidine)
Alphacetylmethadol (alpha-3-acetoxy-6-dimethylamino-4,4-diphenylheptane)
Alphameprodine (alpha-3-ethyl-1-methyl-4-phenyl-4-propionoxypiperidine)
Alphamethadol (alpha-6-dimethylamino-4,4-diphenyl-3-heptanol)
Alpha-methylfentanyl (N-[1(a-methylphenethyl)-4-piperidyl]propionanilide)
Alpha-methylthiofentanyl (N-[1-[1-methyl-2-(2-thienyl)ethyl]-4-piperidyl]propionanilide)
Alphaprodine (alpha-1,3-dimethyl-4-phenyl-4-propionoxypiperidine)
Anileridine (1-para-aminophenethyl-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)
Benzethidine (1-(2-benzyloxyethyl)-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)
Benzylmorphine (benzylmorphine)
Betacetylmethadol (beta-3-acetoxy-6-dimethylamino-4,4-diphenylheptane)
Beta-hydroxyfentanyl (N-[1-(beta-hydroxyphenethyl)-4-piperidyl]propionanilide)
Beta-hydroxy-3-methylfentantyl (N-[1-(beta-hydroxyphenethyl)-3-methyl-4-
piperidyl]propionanilide)
Betameprodine (beta-3-ethyl-1-methyl-4-phenyl-4-propionoxypiperidine)
Betamethadol (beta-6-dimethylamino-4,4-diphenyl-3-heptanol)
Betaprodine (beta-1,3-dimethyl-4-phenyl-4-propionoxypiperidine)
Bezitramide (1-(3-cyano-3,3-diphenylpropyl)-4-(2-oxo-3-propionyl-1-benzimidazolinyl)-
piperidine)
Cannabis (Indian Hemp) and cannabis resin (resin of Indian Hemp)
Catha edulis (khat)
Clonitazene (2-para-chlorbenzyl-1-diethylaminoethyl-5-nitrobenzimidazole)
Coca Leaf
Cocaine (methyl ester of benzoylecgonine)
Codoxime (dihydrocodeinone-6-carboxymethyloxime)
Jani la mpopi limeingia katika hatua ya alkaloidi pale vitu hivyo vinapatikana katika biashara.)
Desomorphine (dihydrodeoxymorphine)
Dextromoramide ((+)-4-[2-methyl-4-oxo-3,3-diphenyl-4-(1-pyrrolidinyl)butyl)-morpholine)
Diampromide (N-[2-(methylphenethylamino)-propyl]propionanilide)
Diethylthiambutene (diethylamino-1,1-di-(2-thienyl)-1-butene)
Difenoxin (1-(3-cyano-3,3-diphenylpropyl)-4-phenylisonipecotic acid)
Dihydromorphine
34
Dimenoxadol (2-dimethylaminoethyl-1-ethoxy-1,1-diphenylacetate)
Dimepheptanol (6-dimethylamino-4,4-diphenyl-3-heptanol)
Dimethylthiambutene (dimethylamino-1,1-di-(2-thienyl)-1-butene)
Dioxaphetyl butyrate (ethyl-4-morpholino-2,2-diphenylbutyrate)
Diphenoxylate (1-(3-cyano-3,3-diphenylpropyl)-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)
Dipipanone (4,4-diphenyl-6-piperidine-3-heptanone)
Drotebanol (3,4-dimethoxy-17-methylmorphinan-6ß,14-diol)
Ecgonine, its esters and derivatives, which are convertible to ecgonise and cocaine
Ethylmethylthiambutene (3-ethylmethylamino-1,1-di-(2-thienyl)-1-butene)
Etonitazene (1-diethylaminoethyl-2-para-ethoxybenzyl-5-nitrobenzimidazole)
Etorphine (tetrahydro-7α-(1-hydroxy-1-methylbutyl)-6,14-endoetheno-oripavine)
Etoxeridine (1-[2-(2-hydroxyethoxy)-ethyl]-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)
Fentanyl (1-phenethyl-4-N-propionylanilinopiperidine)
Furethidine (1-(2-tetrahydrofurfuryloxyethyl)-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)
Heroin (diacetylmorphine)
Hydrocodone (dihydrocodeinone)
Hydromorphinol (14-hydroxydihydromorphine)
Hydroxypethidine (4-meta-hydroxyphenyl-1-methylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)
Isomethadone (6-dimethylamino-5-methyl-4,4-diphenyl-3-hexanone)
Ketobemidone (4-meta-hydroxyphenyl-1-methyl-4-propionylpiperidine)
Levomethorphan ((-)-3-methoxy-N-methylmorphinan)
Levomoramide ((-)-4-[2-methyl-4-oxo-3,3-diphenyl-4-(1-pyrrolidinyl)-butyl]morpholine)
Levophenacylmorphan ((-)-3-hydroxy-N-phenacylmorphinan)
Levorphanol ((-)-3-hydroxy-N-methylmorphinan)
Metazocine (2'-hydroxy-2,5,9-trimethyl-6,7-benzomorphan)
Methadone (6-dimethylamino-4,4-diphenyl-3-heptanone)
Methadone intermediate (4-cyano-2-dimethylamino-4,4-diphenylbutane)
Methyldesorphine (6-methyl-delta-6-deoxymorphine)
Methyldihydromorphine (6-methyldihydromorphine)
35
3-methylfentanyl (N-(3-methyl-1-phenethyl-4-piperidyl)propionanilide)
3-methylthiofentanyl (N-[3-methyl-1-[2-(2-thienyl)ethyl]-4-piperidyl]propionanilide)
Metopon (5-methyldihydromorphinone)
Mirungi
Moramide intermediate (2-methyl-3-morpholino-1,1-diphenylpropane carboxylic acid)
Morpheridine (1-(2-morpholinoethyl)-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)
Morphine
Morphine methobromide and other pentavalent nitrogen morphine derivatives, including in
particular the morphine-N-oxide derivatives, one of which is Codeine-N-oxide
Morphine-N-Oxide
MPPP (1-methyl-4-phenyl-4-piperidinol propionate ester)
Myrophine (myristylbenzylmorphine)
Nicomorphine (3,6-dinicotinylmorphine)
Noracymethadol ((±)-alpha-3-acetoxy-6-methylamino-4,4-diphenylheptane)
Norlevorphenol ((-)-3-hydroxymorphinan)
Normethadone (dimethylamino-4,4-diphenyl-3-hexanone)
Normorphine (demethylmorphine) or (N-demethylated morphine)
Norpipanone (4,4-diphenyl-6-piperidino-3-hexanone)
Oxycodone (hydroxydihydrocodeinone)
Oxymorphone (14-hydroxydihydromorphinone)
Para-fluorofentanyl (4'-fluoro-N-(1-phenethyl-4-piperidyl)propionanilide)
PEPAP (1-phenethyl-4-phenyl-4-piperidinol acetate ester)
Pethidine (1-methyl-phenylpiperidine-1-carboxylic acid ethyl ester)
Pethidine intermediate A (4-cyano-1-methyl-4-phenylpiperidine)
Pethidine intermediate B (4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)
Pethidine intermediate C (1-methyl-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid)
Phenadoxone (6-morpholino-4,4-diphenyl-3-heptanone)
Phenampromide (N-(1-methyl-2-piperidinoethyl)-propionanilide)
Phenazocine (2'-hydroxy-5,9-dimethyl-2-phenethyl-6,7-benzomorphan)
36
Phenomorphan (3-hydroxy-N-phenethylmorphinan)
Phenoperidine (1-(3-hydroxy-3-phenylpropyl)-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)
Piminodine (4-phenyl-1-(3-phenylaminopropyl)-piperidine-4-carboxylic acid ethyl ester)
Piritramide (1-(3-cyano-3,3-diphenylpropyl)-4-(1-piperidino)-piperidine-4-carboxylic acid amide)
Proheptazine (1,3-dimethyl-4-phenyl-4-propionoxyazacycloheptane)
Properidine (1-methyl-4-phenylpiperidine-4-carboxylic acid isopropyl ester)
Racemethorphan ((±)-3-methoxy-N-methylmorphinan)
Racemoramide ((±)-4-[2-methyl-4-oxo-3,3-diphenyl-4-(1-pyrrolidinyl)-butyl]-morpholine)
Racemorphan ((±)-3-hydroxy-N-methylmorphinan)
Sufentanil (N-[4-(methoxymethyl)-1-[2-(2-thienyl)-ethyl]-4-piperidyl]propionanilide)
Thebacon (acetyldihydrocodeinone)
Thebaine
Thiofentanyl (N-(1-[2-(2-thienyl)ethyl]-4-piperidyl]propionanilide)
Tilidine ((±)-ethyl-trans-2-(dimethylamino)-1-phenyl-3-cyclohexene-1-carboxylate)
Trimeperidine (1,2,5-trimethyl-4-phenyl-4-propionoxypiperidine); and
Hizo “isomers”, mpaka ziondolewe katika orodha ya madawa katika jedwali hili popote
zitakapokuwa “isomers hizo ” kuna uwezekano wa kuwa ndani ya kemikali hiyo iliyoundwa
maalumu;
hizo“esters” na “ethers”, labda mpaka ziwemo katika jedwali lingine,la madawa katika jedwali
hili pale zinapokuwepo hizo “esters au ethers “inawezekana;
chumvi za madawa yaliyoorodheshwa katika jedwali hili,ikiwemo chumvi za ” esters’, “ethers’ na
“isomers “ kama zilivyoonyeshwa hapo juu popote kunapokuwepo chumvi hizo inawezekana.
ORODHA YA MADAWA YA KULEVYA YALIYOMO KATIKA JEDWALI LA II LA
MKATABA WA MADAWA Y AKULEVYA, 1961
Acetyldihydrocodeine
Codeine (3-methylmorphine)
Dextropropoxyphene (α -(+)-4-dimethylamino-1,2-diphenyl-3-methyl-2-butanol propionate)
Dihydrocodeine
Ethylmorphine (3-ethylmorphine)
Nicocodine (6-nicotinylcodeine)
37
Nicodicodine (6-nicotinyldihydrocodeine)
Norcodeine (N-demethylcodeine)
Pholcodeine (morphinylethylmorphine)
Propiram (N-(1-methyl-2-piperidinoethyl)-N-2-pyridylpropionamide)
“ isomers” Labda zikiondolewa mahsusi katika madawa chini ya jedwali hili popote palipo na
isomers kuna uwezekano ndani ya kemikali iliyoundwa maalumu;
Chumvi za madawa yaliyoorodheshwa katika jedwali hili, ukijumuisha chumvi za “isomers” kama
zilivyoonyeshwa juu popote kunapokuwepo na chumvi hizo kuna uwezekano.
ORODHA YA VITU VYA KULEVYA VILIVYOJUMUISHWA KATIKA JEDWALI LA I
LA MKATABA WA VITU VYA KULEVYA, 1971
Kumbukumbu: majina yaliyoko katika herufi kubwa katika kolamu ya upande wa kushoto ni
majina ya kimataifa. .Majina mengine yametolewa pale ambapo hakuna jina la kimataifa
limeshauriwa au pale majina ya kawaida yametumika kwenye vitu hivyo chini ya udhibiti wa
kimataifa kuna chumvi za vitu vilivyoorodheshwa katika jedwali hili, popote panapokuwepo
chumvi hizo kuna uwezekano.
Majina ya kimataifa INN Mengine
Majina mengine
BROLAMFETAMINE DOB (±)-4-bromo-2,5-dimethoxy-a
methylphenethylamine
CATHINONE (-)-(S)-2-aminopropiophenone
DET 3-[2-(diethylamino)ethyl]indole
DMA (±)-2,5-dimethoxy-α-
methylphenethylamine
DMHP 3-(1,2-dimethylheptyl)-7,8,9,10-
tetrahydro-6,6,9-trimethyl-H-
dibenzo[b,d]pyran-1-ol
DMT 3-[2-(dimethylamino)ethyl]indole
DOET (±)-4-ethyl-2,5-dimethoxy- α -
phenethylamine
ETICYCLIDINE
(+)-LYSERGINE PCE N-ethyl-1-phenylcyclohexylamine
LSD, LSD-25 9,10-didehydro-
N,N- diethyl- 6-methylergoline
MDMA (±)-N, α -dimethyl-3,4-(methylene-
dioxy)phenethylamine
mescaline 3,4,5-trimethoxyphenethylamine
4-methylaminorex (±)-cis-2-amino-4-methyl-5-
phenyl-2-oxazoline
MMDA 2-methoxy-a-methyl-4,5-
(methylenedioxy)phenethylamine
N-ethyl MDA (±)-N ethyl-a-methyl-3,4-
(methylenedioxy)phenethylamine
38
N-hydroxy MDA (±)-N-[ α -methyl-3,4-
methylenedioxy
phenethyl]hydroxylamine
parahexyl 3-hexyl-7,8,9,10-tetrahydro-6,6,9-
trimethyl-6H-dibenzo[b,d]pyran-1-
ol
PMA p-methoxy-amethylphenethylamine
PSILOCYBINE psilocine
psilotsin 3-[2-(dimethylamino)ethyl]indol-4-
ol
3-[2-(dimethylamino)ethyl]indol-4-
ol dihydrogen phosphate
POLICYCLIDINE PHP, PCPY 1-(1-phenylcyclohexyl)pyrrolidine
STP, DOM 2,5-dimethoxy- α,4-
dimethylphenethylamine
TENAMFETAMINE MDA α -methyl-3,4-thylenedioxy)phenethylamine
TENOCYCLIDINE TCP 1-[1-(2-thienyl)cyclohexyl]piperidine
tetrahydrocannabinol, the following isomers and their
stereochemical variants:
7,8,9,10-tetrahydro-6,6,9-trimethyl-3-
pentyl-6H-dibenzo[b,d] pyran-1-ol
(9R,10aR)-8,9,10,10a-tetrahydro-6,6,9-
trimethyl-3-pentyl-6H-dibenzo[b,d]pyran-1-
ol
(6aR,9R,10aR)-6a,9,10,10a-tetrahydro-
6,6,9-trimethyl-3-pentyl-
6H-dibenzo[b,d]pyran-1-ol
(6aR,10aR)-6a,7,10,10a-tetrahydro-6,6,9-
trimethyl-3-pentyl-6H-
dibenzo[b,d]pyran-1-ol
6a,7,8,9-tetrahydro-6,6,9-trimethyl-3-pentyl-
6H-dibenzo[b,d]
pyran-1-ol
(6aR,10aR)-6a,7,8,9,10,10a-hexahydro-6,6-
dimethyl-9-methylene 3-pentyl-6H-
dibenzo[b,d] pyran-1-ol
TMA (±)-3,4,5-trimethoxy- α -
methylphenethylamine.
ORODHA YA VITU VYA KULEVYA VILIVYOJUMUISHWA KATIKA JEDWALI LA II
KATIKA MKATABA WA VITU VYA KULEVYA,1971
Majina ya kimataifaINN Mengine
Majina mengine
AMFETAMINE amphetamine (±)-α -methylphenethylamine
DEXAMFETAMINE
FENETHYLLINE dexamphetamine (+)-α -methylphenethylamine
7-[2-[( α -methylphenethyl)amino]
ethyl]theophylline
39
LEVAMFETAMINE levamphetamine
Levometham
phetamine (-)-(R)- α -methylphenethylamine
(-)-N, α -dimethylphenethylamine
MECLOQUALONE 3-(o-chlorophenyl)-2-methyl-4(3H)-
quinazolinone METHAMFETA-
MINE methamphetamine (+)-(S)-N, α -dimethylphenethylamine
METHAMFETA
MINE
RACEMATE methamphetamine racemate (±)-N, α -dimethylphenethylamine
METHAQUALONE Mandrax 2-methyl-3-o-tolyl-4(3H)-
quinazolinone
METHYLPHENIDATE Methyl α -phenyl-2-piperidine
racetate
PHENCYCLIDINE PCP 1-(1-phenylcyclohexyl)piperidine
PHENMETRAZINE 3-methyl-2-phenylmorpholine
SECOBARBITAL 5-allyl-5-(1-methylbutyl)barbituric
acid
delta-9-tetrahydro- (6a R, 10aR)-6a,7,8,10a-tetrahydro-6,6,9-
cannabinol and its trimethyl-3-pentyl -6H-dibenzo[b,d]
stereo chemical pyran-1-ol
variants
ORODHA YA VITU VYA KULEVYA KATIKA JEDWALI LA III LA MKATABA WA
VITU VYA KULEVYA, 1971
Jina la kimataifa Majina mengine
jina la kemikali
AMOBARBITAL 5-ethyl-5-isopentylbarbituric acid
BUPRENORPHINE 21-cyclopropyl-7- α [(S)-1-hydroxy-1,2,2-
trimethylpropyl]-6,14-
Endo-ethano-6, 7,8,14-tetrahydro-oripavine
BUTALBITAL 5-allyl-5-isobutylbarbituric acid
CATHINE (+)-(R)-a-[(R)-1-aminoethyl] benzyl alcohol
CYCLOBARBITAL 5-(1-cyclohexen-1-yl)-5-ethylbarbituric acid
GLUTETHIMIDE 2-ethyl-2-phenylglutarimide
PENTAZOCINE (2R,6R,11R)-1,2,3,4,5,6-hexahydro-6,11-
dimethyl-3-(3-methyl-2-butenyl)-2,6-
methano-3-benzazocin-8-ol
PENTOBARBITAL 5-ethyl-5-(1-methylbutyl) barbituric acid
ORODHA YA VITU VYA KULEVYA VILIVYOMO KATIKA JEDWALI LA IV
KATIKA MKATABA WA VITU VYA KULEVYA,1971
Jina ya kimataifa
Majina mengine jina la kemikali
ALLOBARBITAL 5,5-diallylbarbituric acid
ALPRAZOLAM 8-chloro-1-methyl-6-phenyl-4H-s-
triazolo[4,3-a][1,4] benzodiazepine
40
AMFERPRAMONE 2-(diethylamino) propiophenone
BARBITAL 5,5-diethylbarbituric acid
BENZFETAMI benzphetamine N-benzyl-N,a- dimethylphenethylamine
BROMAZEPAM 7-bromo-1,3-dihydro-5-(2-pyridyl)-2H-1,4-
benzodiazepin-2-one
BUTOBARBITAL butobarbital 5-butyl-5-ethylbarbituric acid
7-chloro-1,3,-dihydro-3-hydroxy-1- methyl-
5-phenyl-2H-1,4-benzodiazepin-
2-one dimethylcarbamate (ester)
CAMAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-3-hydroxy-1-methyl-
5-phenyl-2H-1,4-
benzodiazepin-2-one dimethylcarbamate
(ester)
CHLORDIA-
ZEPOXIDE 7-chloro-2-(methylamino)-5-phenyl-3H-1,4-
benzodiazepin-4-oxide
CLOBAZAM 7-chloro-1-methyl-5-phenyl-1H-1,5-
benzodiazepin-2,4(3H,5H)-dione
CLONAZEPAM 5-(o-chlorophenyl)-1,3-dihydro-7-nitro-2H-
1,4-benzodiazepin-2-one
CLORAZEPATE 7-chloro-2,3-dihydro-2-oxo-5-phenyl-1H-
1,4-benzodiazepine-3-carboxylic acid
CLOTIAZEPAM 5-(o-chlorophenyl)-7-ethyl-1,3-dihydro-1-
methyl-2H-thieno[2,3-e]-1,4-diazepin-2-one
CLOXAZOLAM 10-chloro-11b-(o-chlorophenyl)-2,3,7,11b-
tetrahydro-oxazolo-[3,2-[1,4]benzodiazepin-
6(5H)-one
DELORAZEPAM 7-chloro-5-(o-chlorophenyl)-1,3-dihydro-
2H-1,4- benzodiazepin-2-one
DIAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-1-methyl-5-phenyl-
2H-1,4-benzodiazepin-2-one
ESTAZOLAM 8-chloro-6-phenyl-4H-s-triazolo[4,3-
a][1,4]benzodiazepine
ETHCHLORVYNOL 1-chloro-3-ethyl-1-penten-4-yn-3-ol
ETHINAMATE ETHYL 1-ethynylcyclohexanol carbamate ethyl 7
LOFLAZEPATE -chloro-5-(o-fluorophenyl)-2,3-dihydro-2-
oxo-1H-1,4-benzodiazepine-3-carboxylate
ETILAMFETAMINE N-ethylamphetamine N-ethyl-a-methylphenethylamine
FENCAMFAMIN N-ethyl-3-phenyl-2-norbornanamine
FENPROPOREX (+-)-3-[(a-methylphenethyl)amino]
propionitrile
FLUDIAZEPAM 7-chloro-5-(o-fluorophenyl)-1,3-dihydro-
1-methyl-2H-1,4-benzodiazepin-2-one
41
FLURAZEPAM 7-chloro-1-[2-(diethylamino)ethyl]-5-(o-
fluorophenyl)-1,3-dihydro-2H-1,4-
benzodiazepin-2- one
HALAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-5-phenyl-1-(2,2,2-
trifluoroethyl)-2H-1,4-benzodiazepin-2-one
HALOXAZOLAM 10-bromo-11b-(o-fluorophenyl)-2,3,7,11b-
tetrahydro-oxazolo-[3,2-d]
[1,4]benzodiazepin-6(5H)-one
KETAZOLAM 11-chloro-8,12b-dihydro-2,8-dimethyl-12b-
phenyl-4H-[1,3]
oxazino[3,2-d][1,4]benzodiazepine-4,7(6H)-
dione
LEFETAMINESPA (-)-N,N-dimethyl-1,2-diphenylethylamine-6-
LOPRAZOLAM (o-chlorophenyl)-2,4-dihydro-2-[(4-methyl-
1-piperazinyl) methylene]-8-nitro-1H-
imidazo[1,2-a][1,4]benzodiazepin-1-one
LORAZEPAM 7-chloro-5-(o-chlorophenyl)-1,3-dihydro-3-
hydroxy-2H-1,4-benzodiazepin-2-one
LORMETAZEPAM 7-chloro-5-(o-chlorophenyl)-1,3-dihydro-3-
hydroxy-1-methyl-2H-1,4-benzodiazepin-2-
one
MAZINDOL 5-(p-chlorophenyl)-2,5-dihydro-3H-
imidazo[2, 1- a)isoindol-5-ol
MEDAZEPAM 7-chloro-2,3-dihydro-1-methyl-5-phenyl-
1H-1,4-benzodiazepine
MEFENOREX N-(3-chloropropyl)-a-methylphenethylamine
MEPROBAMATE 2-methyl-2-propyl-1,3-propanediol-
dicarbamate
METHYLPHENO-
BARBITAL 5-ethyl-1-methyl-5-phenylbarbituric acid
METHYPRYLON 3,3-diethyl-5-methyl-2,4-piperidine-dione
MIDAZOLAM 8-chloro-6-(o-fluorophenyl)-1-methyl-4H-
imidazo[1,5-a][1,4]benzodiazepine
NIMETAZEPAM 1,3-dihydro-1-methyl-7-nitro-5-phenyl-2H-
1,4-benzodiazepin-2-one
NITRAZEPAM 1,3-dihydro-7-nitro-5-phenyI-2H-1,4-
benzodiazepin-2-one
NORDAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-5-phenyl-2H-1,4-
benzodiazepin-2-one
OXAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-3-hydroxy-5-phenyl-
2H-1,4-benzodiazepin-2-one
OXAZOLAM 10-chloro-2,3,7,11b-tetrahydro-2-methyl-
11b-phenyloxazolo[3,2-
d][1,4]benzodiazepin-6(5H)-one
42
PEMOLINE 2-amino-5-phenyl-2-oxazolin-4-one± 2-
amino-5-phenyl-4-oxazolidinone)
PHENDIMETRA-
ZINE (+)-(2S,3S)-3,4-dimethyl-2-
phenylmorpholine
PHENOBARBITAL 5-ethyl-5-phenylbarbituric acid
PHENTERMINE a,a-dimethylphenethylamine
PINAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-5-phenyl-1-(2-
propynyl)-2H-1.4-benzo-diazepin-2-one
PIPRADOL a,a-diphenyl-2-piperidinemethanol
PRAZEPAM 7-chloro-1-(cyclopylmethyl)-1,3-dihydro-5-
phenyl-2H-1,4-benzodiazepin-2-one
PROPYLHEXE-
DRINE N,a-dimethylcyclohexane ethylamine
PYROVALERONE 4'-methyl-2-( 1-pyrrolidinyl)valerophenone
SECBUTABARBITAL 5-sec-butyl-5-ethylbarbituric acid
TEMAZEPAM 7-chloro-1,3-dihydro-3-hydroxy-1-methyl-
5-phenyl-2H-1,4-benzodiazepin-2-one
TETRAZEPAM 7-chloro-5-(1-cyclohexen-1-yl)-1,3dihydro-
1-methyl-2H-1,4-benzodiazepin-2-one
TRIAZOLAM 8-chloro-6-(o-chlorophenyl)-1-methyl-4H-s-
triazolo[4,3-a]
[1,4]benzodiazepine
VINYLBITAL 5-(1-methylbutyl)-5-vinylbarbituric acid
____
JEDWALI LA PILI
_____
Sheria Na . 31
ya 1997 Jedw..
ORODHA YA I ORODHA YA II
Ephedrine Acetic anhydride
Ergometrine Acetone
Ergotamine Anthranilic acid
Lysergic acid Ethyl ether
1-phenyl-2-propanone Phertylacetic acid
Pseudoephedrine Piperidine
_____
JEDWALI LA TATU
____
MIMEA ILIYOKATAZWA
(Kifungu cha 2(1))
____
43
1. Bangi
2. msitu wa mkoka .
3. afyumi mpopi.
4. Papaver setigerum.