SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata...

16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1136 SHAWWAL, IJUMAA , AGOSTI 1-7, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Baraza la Mitihani lakoroga tena Lafuta alama za somo la dini, Kiarabu Shamhuna heshma, Kawambwa atupwa Ni Mfumokristo ndani ya NECTA kazini au? Mtume (saw) ameagiza, “Fanyeni haraka kwenda kuhiji”. Tunahimizwa twende kuhijji tungali vijana ili maisha yetu yadhaminiwe na Allah. Baada ya kupata uwezo ni makosa kuakhirisha kwenda kuhiji. Masahaba, vijana na wazee, walihijji Hijja nyingi sana. Wewe jee? Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Wahi kulipa uitakase mali yako na uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/ 0657606708. (12) KIJANA, UMESHAHIJI? Israel yapata wazimu kuuliwa askari wake 91 Washambulia Misikiti, shule, maji, soko Bora kufa kuliko kudhalilika daima dumu Wasema Wapalestina wakizika maiti MTOTO wa Kipalestina akitoa shahada ndani ya gari la wagonjwa wakati akikimbizwa hospitali baada ya kujeruhiwa kutokana na mashambulizi yanayofanywa na Israel Gaza. PICHANI juu, askari wa Israel wakilia baada ya kuuliwa wenzao. PICHA chini, wanaonekana watoto wawili wa Kipalestina wakiwa wamejeruhiwa vibaya na mabomu ya Israel, mwingine akionekana akilia.

Transcript of SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata...

Page 1: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

ISSN 0856 - 3861 Na. 1136 SHAWWAL, IJUMAA , AGOSTI 1-7, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz

Baraza la Mitihani lakoroga tenaLafuta alama za somo la dini, KiarabuShamhuna heshma, Kawambwa atupwaNi Mfumokristo ndani ya NECTA kazini au?

Mtume (saw) ameagiza, “Fanyeni haraka kwenda kuhiji”. Tunahimizwa twende kuhijji tungali vijana ili maisha yetu yadhaminiwe na Allah. Baada ya kupata uwezo ni makosa kuakhirisha kwenda kuhiji. Masahaba, vijana na wazee, walihijji Hijja nyingi sana. Wewe jee? Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Wahi kulipa uitakase mali yako na uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708.

(12) KIJANA, UMESHAHIJI?

Israel yapata wazimukuuliwa askari wake 91

Washambulia Misikiti, shule, maji, sokoBora kufa kuliko kudhalilika daima dumuWasema Wapalestina wakizika maiti

MTOTO wa Kipalestina akitoa shahada ndani ya gari la wagonjwa wakati akikimbizwa hospitali baada ya kujeruhiwa kutokana na mashambulizi yanayofanywa na Israel Gaza.

PICHANI juu, askari wa Israel wakilia baada ya kuuliwa wenzao. PICHA chini, wanaonekana watoto wawili wa Kipalestina wakiwa wamejeruhiwa vibaya na mabomu ya Israel, mwingine akionekana akilia.

Page 2: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

2 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Makala

M WA L I M U wa n g u mmoja wa Elimu ya V i u m b e ( B i o l o g y ) akiitwa Said nikiwa kidato cha tano, Ndanda High School mwaka 1979, akisomesha na kufafanua sana mada na bado wakatokea watu hawaelewi, alikuwa akisema:

“Nilichobakiza sasa labda nikate kichwa changu niwape maana sina namna nyingine n i l i y o b a k i s h a y a kuwafahamisha.”

B a a d a ya m a k a l a zangu juu ya ISIS wiki iliyopita, watu wawili walinitumia ujumbe ufuatao:

“Sheikh inaelekea unatumiliwa bila kujijua, k a m a u n a v y o s e m a wa l e ( m u j a h i d i n a ) wa n a t u m i l i wa b i l a k u j i j u a a u u n a j u a u n a c h o k i f a n ya . N i kwamba Somalia ni Jihad, Iraq ni Jihad, Nigeria ni Jihad, Afghanistan ni Jihad, tunazo sababu za kutosha hatuuzi maneno.” (0778 201 313)

Wa pili yeye alikuwa na haya ya kusema:

“Kutoa habari fulani kutoka kwenye mtandao a u f u l a n i k a s e m a ama mak a la fu lan i imeandika, sio ushahidi wa kusema watu fulani s i mujahidina. Una wa k a t i m g u m u wa kwenda kuyathibitisha u n a y o a n d i k a a u

Biashara nono kwa Defense & Security Cooperation Agency

jawabu zako mbele ya Mungu ndio zaitakuwa nimesikia BBC ikisema a u n ya r a k a f u l a n i nimesikia zimeandikwa ama makala fulani ya mtu fulani ndio imeandika nami ndio nikasema. Chunga sana una wakati mgumu sana mbele ya Mungu.” (0773 257 171)

Labda niseme kuwa mimi sitakuwa kama mwalimu wangu Saidi ambaye wakati mwingine alikuwa akifadhaika sana na kukata tamaa akiona wanafunzi wake hawamuelewi.

Ta a r i f a z a j u z i Jumatano, kutoka Kano, Nigeria, ziliarifu kuwa m wa n a m k e m m o j a a k i j i t o a m u h a n g a ( s u i c i d e b o m b e r ) , alijilipua na kuuwa watu sita nje ya Chuo kimoja katika mji huo.

I n a a r i f i w a k u w a ilikuwa saa nane na nusu mchana (2:30 pm

-1330 GMT), ambapo m w a n a m k e h u y o alifika katika ubao wa matangazo katika chuo hicho cha ufundi (Kano Polytechnic College), wakiwa wamekusanyika w a n a c h u o w e n g i , akajilipua.

Msemaji wa serikali Mike Omeri, anasema kuwa kutokana na uzito wa bomu alilotumia mjitoa muhanga huyo, liliacha damu na viungo v y a w a l i o k u f a n a majeruhi vikitapakaa.

Inaelezwa kuwa hilo ni tukio la nne kufanywa na Boko Haram wanawake ambapo katika matukio mengine matatu ya awali, wanadaiwa kujilipua wanawake wa ki-Boko Haram na kuuwa watu kadhaa na kuharibu mali.

Ta a r i f a n y i n g i n e zilizotawala vyombo vya habari wiki hii ndani

Inaendelea Uk. 5

WIKI hii Waislamu duniani kote wamesherehekea s iku kuu ya Eid el Fitri, baada ya kukamilisha swaumu ya mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

Kwa wale waliofunga R a m a d h a n i s a l a m a , t u n a c h u k u a f u r s a h i i k u w a p o n g e z a k w a kufanikiwa kutekeleza ibada hii muhimu na nguzo katika Uislamu.

Ama kuhusu kupokelewa au kutopokelewa kwa ibada hiyo ya funga kwa muumini, au iwapo ibada hiyo imekidhi viwango vinavyotakiwa na Allah (sw) au kwa mujibu wa maelekezo ya Mtume (saw), hilo hatuna ujuzi nalo, kipimo anacho mwenyewe Mwenyezi Mungu (sw), ambaye ndiye mwenye kumiliki funga. Kwa hiyo kazi ya kupokea swaumu na kulipa, hilo lipo katika miliki yake.

L a m u h i m u a m b a l o Wa i s l a m u wa n a t a k i wa kulizingatia katika muda wao wote hasa baada ya kuondoka Ramadhani, ni kuendelea kubakia katika ucha Mungu. Kuwa na utii wa hali ya juu kwa Mola wao kama walivyojitahidi kuonyesha wengi wetu katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Hi i ina maana kuwa Mwenyezi Mungu yule yule aliyekuwa akiheshimiwa na kupokea utii mkubwa ndani ya Ramadhan, yupo milele hata baada ya kwisha Ramadhani.

Ibadan a utii kwa Mwenyezi Mungu ni wakati wote katika uhai wa mwandamu hadi anaingia kaburini.

Hi i ina maana kuwa Ramadhani inabakia kuwa ni chuo cha kuwakumbusha Waislamu kila mwaka juu ya wajibu wao wa kumcha Mwenyezi Mungu, hasa wale wanaojisahau kutokana na sifa ya binadamu kughafilika.

“ E n y i M l i o a m i n i ! m m e l a z i m i s h w a kufunga (saumu) kama w a l i v y o l a z i m i s h w a waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Mungu.” (2:183)

M w e z i m t u k u f u w a Ramadhan kwa mwaka huu wa 1435 AH, umeshaondoka. Kama wasemavyo Maulama na Wahadhiri mbalimbali wa Kiislamu, kwamba jambo la muhimu kwetu baada ya kusherehekea sikukuu ya Idd-el-Fitr, ni kujitathmini kwa kiasi gani tunaweza kuendeleza yale mafunzo mema tuliyoyapata ndani ya

Kwa heri Ramadhani karibu Ucha Mungu

Ramadhan.Uzoefu unatuonyesha

kuwa ukianza kufanya tathmini ndogo Misikitini, utagundua kuwa hata wale waliokuwa wakiswali kwa wingi kipindi cha Ramadhan, idadi yao ilianza kupungua m w i s h o n i m w a k u m i la mwisho na muhimu la kuachwa huru na moto.

H i i i n a s i k i t i s h a iwapo kweli mafunzo ya Ramadhani yalikolea kama ilivyokusudiwa. Tufahamu tu kwamba hakuna Mungu wa Ramadhani pekee.

Katika hali ya maisha tuliyo nayo hivi sasa, katika hali ya kuanguka ucha Mungu na maadili katika jamii yetu, ni wazi kwamba Ramadhani imekuwa darasa tosha kwa wengi katika kujenga imani, utu, ustaarabu, heshima na aibu katika maisha yetu ya kila siku.

Waliokuwa wezi, walevi, wazinzi, wafitini, wachawi, waongo nk. watajipamba n a m a t e n d o m e m a n a wataendelea na tabia hiyo hata baada ya kuondoka Ramadhani kwa kuwa, Mungu wa Ramadhan, bado ni yule yule wa kipindi kingine baada ya Ramadhani.

Ni vyema wakajitahidi kutorejea katika hulka mbaya walizokuwa nazo kabla ya Ramadhani, na hapo mfungo utakuwa na maana zaidi kwao.

Wengi wameshuhudia wenyewe j insi imani za Wais lamu wal io wengi z i l ivyonawir i ndani ya mfungo wa Ramadhan. Waliokuwa hawaswali kabla ya Ramadhani, walifurika misikitini muda wote wa swala. Safu za misikiti zilijaa, wengi waliacha uvivu wao wa kuswali, wakajizoeza kuswali kila kipindi ndani ya Ramadhani.

Kama vile haitoshi, wengi walikuwa wakikesha usiku kucha kuswali swala za usiku kama Tahajud, Sunna za haja, Witri nk. Ramadhani imeondoka, Wais lamu w a s i k u b a l i i m a n i n a uchamungu wao kuondoka na Ramadhani. Aliyekuwa akiswali ndani ya Ramadhani, basi na aendelee na utamaduni wa kuswali hata baada ya kuondoka Ramadhani. Hapo atakuwa amefuzu.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu atukubalie funga zetu na atuzidishie imani ya kuendeleza mafunzo mema tuliyoyapata katika mwezi huu mtukufu.

Page 3: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

3 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014Habari

Baraza la Mitihani lakoroga tenaBARAZA la Mitihani Tanzania, l imeibua tena malumbano na Waislamu baada ya kuacha kuingiza alama za masomo ya Maarifa ya Uislamu na Lugha ya K i a r a b u k a t i k a kukokotoa ufaulu wa jumla katika mitihani ya k idato cha s i ta yaliyotangazwa hivi karibuni.

Hata hivyo, wakati Baraza hilo likitupilia kwa mbali alama za vijana wa Kiislamu Bara, halikuthubutu kugusa za watahiniwa kutoka Zanzibar.

A i d h a , w a k a t i K i f a r a n s a n i s o m o la lugha kama ilivyo Kiarabu, lugha hiyo ya Paris, ilihesabiwa wakati alama za watahiniwa wa Kiarabu ziliwekwa kapuni.

Kufuatia hali hiyo, v i k a o k a d h a a v y a viongozi wa taasisi za Kiislamu vimekuwa vikifanyika wiki hii a m b a p o s u a l a h i l o lilikuwa pia moja ya mada kuu katika Baraza la Eid.

Hoja za Waislamu juu ya kutohesabiwa alama za Islamic Knowledge na Arabic katika matokeo ya kidato cha sita, kama zilivyojitokeza katika vikao hivyo ni kuwa i n a w e z e k a n a k u n a n j a m a z a k u ya f u t a masomo hayo na kwa kuanzia kinachofanyika ni kuwakatisha tamaa na kuwavunja moyo wanafunzi wasiyachukue kwa kuona hayapewi uzito katika mitihani.

Katika kuchambua hatua hiyo ya Baraza wanahoji kuwa kama jambo hilo lingekuwa ni kwa masi lahi ya nchi na la kitaalamu, kwa nini washindwe kugusa watahiniwa kutoka Zanzibar wakati Baraza ni hilo hilo moja na mtihani ni huo huo

Na Mwandishi Wetu mmoja.A i d h a w a n a h o j i ,

kama kweli kuna nia n jema kat ika vikao vinavyofanyika baina ya mamlaka husika Bara na Zanzibar katika masuala mbalimbali ya kimuuungano, kwa nini kuwe na vigezo na vipimio tofauti kati ya Bara na Visiwani?

Ingeeleweka kama Zanzibar wangekuwa na Baraza lao na Mitihani yao.

H o j a n y i n g i n e inayotolewa ni kuwa Baraza la Mit ihani , limefanya jambo hilo bila kuzingatia vigezo vyovyote vya kitaalamu w a k a t i l i n a d a i w a kusheheni wataalamu wa elimu na mitihani.

Mfano unato lewa kuwa wakati watahiniwa w a s i o h e s a b i w a n i w a T a n z a n i a B a r a ( T a n g a n y i k a tu) , Watahiniwa wa Zanzibar wao alama zao zimehesabiwa na zao zimepangwa(ranking) bila kujali ni za Bara au Viswani wakati katika kuhesabu grade masomo hayo mawili alama zake hazikuhesabiwa kwa shule za Bara.

“Haiwezekani kuwa wataalamu walio katika Baraza hilo hawakuiona dosari hiyo au hawajui kanuni za kutahini ila kinachoonekana hapa ni kuwa kuna njama za kuhujumu masomo hayo”, ilisemwa.

K w a u p a n d e mwingine, wakati alama za Somo la Kifaransa limehesabiwa, Kiarabu kimetupwa wakati zote ni lugha za kigeni.

Masomo ya lugha ya Kiarabu na Kifaransa yanatajwa katika Waraka wa E l imu na 1 wa mwaka 2006 na idadi ya vipindi vyake ni sawa na masomo kama historia, jiografia n.k. ambapo yamekuwa yakitahiniwa

katika kiwango cha ‘principal pass’.

Lakini p ia kat ika tahsusi zilizotangazwa katika website ya Wizara ya Elimu Oktoba mwaka 2013, masomo ya Arabic na Islamic Knowledge yamo.

Kwa hiyo, inakuwa v i g u m u k u f a h a m u ni kwa nini NECTA wanayaondoa katika kuhesabu alama wakati Wi z a r a i m e ya we k a katika ‘Combination’.

Katika vikao hivyo vya taasisi za Kiislamu, i l ie lezwa pia kuwa katika barua iliyotolewa na Baraza mwaka jana, ilieleza kuwa mabadiliko haya yangeanza kwa wanafunzi wa kidato cha tano ambao watamaliza mwaka 2015.

H a t a h i v y o , c h a kushangaza Baraza limeanza kwa wanafunzi wa kidato cha sita(2013) bila ya taarifa.

Lakini pia ikasisitizwa kuwa, kufuatia barua hiyo ya Baraza, wadau wa elimu waliiandikia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kueleza kutokuridhika kwao na uamuzi huo.

N a k wa m b a k wa upande wa Visiwani nao

hawakuridhika jambo lililopelekea kufanyika k wa v i k a o k a t i ya Mawaziri wa Elimu wa Zanzibar na Tanzania Bara.

Katika kikao hicho kati ya Waziri, Mheshimiwa Shukuru Kawambwa na Mheshimiwa Ali J u m a S h a m h u n a , ilitolewa taarifa kuwa walikubaliana kuwa utaratibu wa zamani utaendelea.

Nini kimejiri Bara maelekezo ya Wizara kutupiliwa kwa mbali na NECTA huku NECTA hiyo hiyo ikishindwa kuchezea msimamo na maelekezo ya Wizara ya Elimu Zanzibar, hicho bado ni kitendawili japo si kigumu kutegua ikizingatiwa madai ya Wais lamu ya muda m r e f u k u w a k u n a ‘Mfumokristo’ ndani ya NECTA.

Kutokana na muktadha h u u , n d i o m a a n a Waislamu wanakuja na madai kuwa kuna dalili zote kuwa uamuzi huu haukufanywa kwa nia ya kujenga, bali kukomoa Waislamu kwa maana kuwakat i sha tamaa vi jana wa Kiis lamu

wasisome dini yao na pia kuvifanya Vyuo Vikuu vya Kiislamu vinavyotoa kozi katika masomo hayo vikose wanafunzi na hatimaye kufuta kozi hizo.

I t a k u m b u k w a kwamba mapema mwaka jana 2013 mamlaka za elimu na Baraza la Mitihani nchini, walikaa wakiwahusisha Wakristo bila ya Waislamu na kupitisha uamuzi wa kufuta somo la dini.

Jambo hilo lilipigwa na Waislamu ambapo pamoja na hoja nyingine, walihoji ni kwa nini wao h a wa k u s h i r i k i s h wa k a t i k a k u p i t i s h a maamuzi hayo muhimu.

N a h i y o n i k w a kuzingatia kuwa ni muda mfupi tu uliopita Serikali kwa kupitia m a m l a k a z a k e z a elimu ilikuwa imekaa na wadau wa elimu kutoka taasisi za kidini na kutoa maelekezo y a k u t e n g e n e z a mitaala , mihutasari na vitabu kitaalamu i t a k a y o i d h i n i s h w a na mamlaka husika j a m b o a m b a l o Waislamu walikuwa wamelitekeleza.

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa.

Page 4: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

4 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014Makala

Israel yapata wazimu kuuliwa askari wake 91

S I K U W a i s l a m u wakisherehekea Eid el Fitri, Gaza wao walikuwa katika Badri ya aina yake.

Wapiganaji waliojitolea muhanga kuhami nchi yao, watu wao na Taifa lao, wakizamia katika njia za chini ya ardhi w a n a z o t e n g e n e z a k u t o k a n j e ya G a z a kutafuta rizki na mahitaji muhimu, wapigana j i hao waliwaibukia askari wa Israel katika mji wa Nahal Oz na kuuwa askari watano.

Kwa siku hiyo pekee, askari wa Israel waliouliwa walifikia 10.

Japo zipo taarifa tofauti ni askari wangapi wa Israel waliuliwa katika operesheni hiyo, lakini kamanda mmoja wa jeshi la Israel, Colonel Lerner, amekiri kuwa walipata kipigo cha kustukiza na kwamba askari wake watano waliuliwa.

Hayo ni miongoni mwa mashambulizi ya Hamas k u s h a m b u l i a a s k a r i ambapo baadhi ya taarifa zinaarifu kuwa hadi sasa washauwa askari 91 wa Israel.

Kwa mujibu wa taarifa za baadhi ya vyanzo vya habari ndani ya Israel, zaidi ya askari 91 wa nchi hiyo wameuliwa tangu walipovamia Gaza.

Taarifa hiyo ya Jumanne w i k i h i i , i m e s e m a waliouliwa ni pamoja na maafisa wa ngazi za juu wa jeshi la Israel waliokuwa wakiongoza uvamizi na mauwaji Gaza.

Hata hivyo, wakati H a m a s w a k i p e l e k a m a s h a m b u l i z i y a o kupambana na jeshi la I s r a e l , k wa u p a n d e wake Israel imekuwa ikiwashushia hasira zake watoto na wanawake mitaani.

Kwa mujibu wa taarifa za wachunguzi mbalimbali, zaidi ya asilimia 80 ya watu waliouliwa Gaza katika wale 1400 ambao wa s h a u l i wa , n i r a i a wa k a wa i d a , w e n g i wao wakiwa watoto na wanawake.

Kwa upande wa Hamas, inaelezwa kuwa asilimia 95 ya Waisrail waliouliwa na Hamas, ni askari walio kuwa katika mapambano.

P e n g i n e k a t i k a k u o n y e s h a h a s i r a zake na kulipiza kisasi kutokana na kuuwawa askari wake hayo katika uwanja wa mapambano, Israel sasa inashambulia

Na Omar Msangi

na kuangamiza misikiti, shule, visima vya maji, mi tambo ya umeme, masoko na ofisi za umoja wa Mataifa ambapo akina mama na watoto wa Kipalestina hukimbilia kutafuta hifadhi.

M i s i k i t i k a d h a a iliangamizwa, mitambo ya umeme ikalipuliwa na mamia ya watu wakauliwa baada ya nyumba zao kugeuzwa vifusi.

Walishambuilia pia baadhi ya ofisi za Umoja wa Mataifa ambapo watu wengi walikimbilia kupata

hifadhi na kuuwa zaidi ya watu 30.

Katika tukio la juzi lililomuacha afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa, G u n n e s s , a k i a n g u a kilio, Israel ilishambulia Shule inayosimamiwa na Umoja wa Mataifa an kuuwa wanafunzi 17 na akina mama waliokuwa wametafuta h i fadhi katika shule hiyo.

Kutokea hapo, Israel i l i s h a m b u l i a s o k o ambapo watu walifurika kupata mahitaji baada ya milipuko kutulia kwa

muda.H a t a h i v y o , k a m a

ilikuwa chambo, baada ya watu kujaa katika soko hilo, Israel ikashambulia na kuuwa idadi kubwa ya watu.

Taarifa za awali juzi z i l i f a h a m i s h a k u wa zaidi ya Wapalest ina 125 waliuliwa usiku wa kuamkia Jumanne pekee.

Hadi sasa zaidi ya nyumba 5000 (kwa maana ya makazi ya watu) , zimeangamizwa zikiacha mamia ya maelfu ya watu bila ya makazi.

I l i s h a m b u l i wa p i a hospitali Shifa na kuuwa wagonjwa kadhaa huku wengine 10, wanane kati yao wakiwa ni watoto, wakiuliwa katika kambi ya wakimbizi ya al-Shati.

M a s h a m b u l i z i y a Jumanne yalielezwa kuwa kama radi yalivyokuwa yakitikisa Gaza huku mtambo pekee wa umeme ukilipuliwa na kuiacha Gaza kizani na bila ya maji.

Kutokana na hasira za kuuliwa askari wake wengi kiasi hicho, jeshi la Israel mapema wiki hii liliwatangazia Wapalestina wanaoishi Shujaiyya, Zaitoun, Jabaliya, Beit Hanoun, na Beit Lahiya, kuhama kabisa makazi yao.

H a o n i k i a s i c h a watu 400 ,000 ambao h u e n d a m a k a z i ya o yakaangamizwa kabisa.

P a m o j a n a m a a f a hayo makubwa ambayo hayaonyeshi dalili za kukoma kwa siku za karibuni, Wananchi wa Palest ina wamekuwa wakipaza sauti wakisema kuwa bora kufa kuliko kuwa hai wakiwa dhalili katika gereza la kudumu mikononi mwa Wayahudi.

W a k a t i h u o h u o , m a m i l i o n i y a w a t u w a m e e n d e l e a kuandamana katika miji mbalimbali kulani ukatili na mauwaji yanayofanywa na Israel huko Gaza.

Watu zaidi ya 10,000 waliandamana katika jiji la London wakitokea ubalozi wa Israel mtaa wa Kensington hadi Downing Street, ilipo ofisi ya Waziri Mkuu.

M a e l f u w e n g i n e waliandamana pia katika mi j i ya Birmingham, Cardiff na Edinburgh.

N a k o P a r i s , waandamanaji walipuuza k a u l i ya Wa z i r i wa Mambo ya Ndani Bernard C a z e n e u v e , k u p i g a marufuku maandamano ambapo waliandamana mitaani na kushambulia majengo ya Wayahudi yakiwemo Masinagogi ( s y n a g o g u e ) ya o n a maduka yanayomilikiwa na Wayahudi.

"Free Palestine", "Israel is a terror state", "Gaza don't you cry, we will never let you die".

Yalisomeka baadhi ya mabango huku wengine wakileta takbira.

M a h a l i p e n g i n e p a l i p o f a n y i k a maandamano ni pamoja na Dublin, Singapore, Washington DC, San Francisco, Auckland, Singapore na Melbourne.

BAADHI ya wanajeshi wa Israel wakilia baada ya wenzao kadhaa kuuawa katika mapigano yanayoendelea huko Gaza hivi karibuni.

WANANCHI wa Israel wakilia baada ya askari wao kuuliwa huko Gaza katika mapigano yanayoendelea kati ya Israel na Palestina hivi sasa.

Page 5: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

5 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014Habari za Kimataifa

Biashara nono kwa Defense &Security Cooperation Agency

Inatoka Uk. 2na nje ya Nigeria juu ya Boko Haram, zilikuwa zile za madai ya kutekwa mke wa Naibu Waziri Mkuu wa Cameroon. Taarifa zilidai kuwa Boko Haram walivamia ki j i j i cha Kolofata , m a p e m a a l i f a j i r i , alikokuwa mke huyo wa Naibu Waziri Mkuu ambapo walimteka pia Chifu wa eneo hilo na familia yake, na watu wengine kadhaa.

K u n d i l a B o k o Haram hao wakiwa n a s i l a h a n z i t o , wanadaiwa kuvamia makazi ya Ahmadou Ali, wakapambana na kuwashinda walinzi na kisha kumteka mama huyo.

"Ilisikika milio ya risasi iliyoamsha kila aliyelala katika kijiji hicho na ndio baadae ikafahamika kuwa mke wa Naibu Waziri Mkuu, ametekwa”, i l isema taarifa ya mpasha habari Idrissa Moussa, aliye mkazi wa kijiji hicho.

Akaongeza kuwa baada ya kuuwa walizi kadhaa walimvamia pia na kumteka kiongozi wa kijadi wa Kolofata Chifu Seiny Boukar Lamine, m k e w e n a wa t o t o wake. Katika utekaji huo inaelezwa kuwa kaka wa chifu huyo ambaye hakutajwa jina aliuliwa pamoja na watu wengine sita wakiwemo polisi wawili.

Kufuatia utekaji huo, inaelezwa kuwa ndege za kivita za Cameroon zilipelekwa katika eneo hilo kukabiliana na Boko Haram. Hata hivyo, mpaka sasa hakuna taarifa za kupatikana mke huyo wa Naibu Waziri Mkuu wala Chifu na familia yake.

Utekaji nyara huu unafuatia ule uliofanyika awali katika kijiji cha K u m m a b z a , B o r n o ambapo ilifahamishwa kuwa wanawake 63 na wasichana kadhaa walitekwa. Ikadaiwa kuwa baada ya kuondoka na mateka hao, Boko Haram walirudi tena na kuchoma moto kijiji chote ambapo waliuwa watu 30.

Taarifa nyingine za

wiki hii ni zile zilizoarifu kutoka Bauchi kuwa Boko Haram walilipua dara ja muhimu na kuuwa watu wanane. Kiongozi wa Jimbo la Yobe Malam Garba alinukuliwa akisema kuwa Boko Haram walifanikiwa kuliharibu daraja hilo baada ya kuwazidi nguvu askari waliokuwa wakilinda. H i l o n i d a r a j a l a tano kulipuliwa na k u h a r i b i wa k a b i s a katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

Ziko namna mbili za kuzitazama habari hizi. Kwanza ni kujaaliya kuwa ni za kweli kama zinavyotangazwa na vyombo vya habari. Ukikubali hivyo, sidhani

kuwa inahita j i mtu kuwa na elimu sana ya Dini ya Kiislamu kujua kuwa vitendo kama hivi havikubaliki katika Uislamu na sio njia sahihi ya kuuhuisha Uislamu au kuupigania Uislamu. Kwa hiyo hitimisho utakalofikia ni kuwa Boko Haram hawawezi k u w a W a i s l a m u wa kweli, bali watu wanaotumiwa kufanya uharamia na ushenzi kisha wadai kuwa ni Waislamu ili kuupaka Uislamu matope na kubwa kuwatafut ia sababu maadui wa Uislamu kuwahujumu Waislamu. Na katika mawanda ya kisiasa, ni kama tulivyokwisha kueleza, yote hii ni

kat ika mikakat i ya m a b e b e r u k u l e t a machafuko Niger ia na kutafuta namna ya kuingia na mikakati y a o y a A F R I C O M kama tulivyoshuhudia wakikimbilia kupeleka majeshi na makachero katika lile igizo la “Bring Back Our Girls.”

Namna ya pil i ya kulitizama jambo hili n i k u j a a l i ya k u wa t a a r i f a h i z o n i z a uwongo mtupu. Ni uzushi. Ukisema hivyo, lazima ujiulize pia, nani anatunga habari hizi na kuzisambaza? Nini lengo na kwa n i n i wa n a o n e k a n a wa n a o d a i wa k u wa v i o n g o z i wa B o k o Haram wakidai kuwa

n d i o w a n a o f a n y a mashambulizi hayo na wala hakuna hata taarifa moja inayotoka wakikanusha?

Ukijiuliza maswali haya na mengine, bado utarudia kule kule kuwa Boko Haram ni jinamizi (monster), liwe la kweli au hewa, linalotumiwa kuleta maafa na vurugu Nigeria halikadhalika kuuhujumu Uislamu na Waislamu.

Hayo yakijiri Nigeria, taarifa za juzi Jumatano zinaarifu kuwa ISIS wametoa picha (still na video) wakionyesha j i n s i wa n a v y o u wa wanaoaminiwa kuwa ni ama askari wa serikali au Washia wanaowapinga.

“Shock and terror: Islamic State boasts mass executions in Iraq ( G R A P H I C ) ” , n d i o baadhi ya vichwa vya habari vinavyosema vikiarifu yaliyo katika picha hizo

Video hiyo ya dakika 36 iliyotolewa siku ya Eid na kuwekwa katika mtandao wa ISIS, zaidi ya kuwa inatisha kwa jinsi watu wanavyonyongwa na kuuliwa, inadaiwa kuwa imekusudiwa kupeleka salamu kwa yeyote anayewapinga ISIS kuwa atakabiliana na kifo bila ya huruma. Lakini pia inaonyesha ni kwa kiwango gani ISIS wanafanya kazi ambayo itapandikiza chuki kali dhidi ya Sunni na Shia ambayo itakuwa tabu sana kuizima.

S c r e e n s h o t f r o m

Islamic State videoVideo inaanza kwa

k u o n e k a n a m a g a r i kadhaa ya kijeshi ya wapiganaj i wa ISIS wakiendesha magari yao kwa kasi mitaani huku wakifyatua risasi ovyo na kuuwa watu wapita n j ia . Wanaonekana wakikusanya kundi la vijana ambao baadhi wanalazwa chini na kupigwa risasi mmoja mmoja. Ili kuhakikisha k u w a w a m e k u f a , kamanda anapita tena kuwaongezea risasi.

Baada ya kukamilika zoezi hilo, anapaza sauti kamanda wao

Inaendelea Uk. 6

PICHA juu: Magari ya kijeshi ya Kimarekani yanayotumiwa na ISIS. Picha chini moja ya Misikiti inayodaiwa kulipuliwa na wapiganaji hao.

Page 6: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

6 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014Habari/Tangazo

Ibada idumu baada ya RamadhaniNa Bakari Mwakangwale

W A I S L A M U w a m e t a k i w a kuendelea kumcha Mwenyezi Mungu na kujikurubisha katika t w a a m b a l i m b a l i w a l i z o k u w a wakizifanya ndani ya Mwezi wa Ramadhani, ili wapate faida baada ya ibada ya Ramadhani.

Hayo yamesemwa n a U s t a d h A b u u Akram Hamis Ally, akiwahutubia Waislamu katika khotba ya Ibada ya Swala ya Idd Elfitri, i l iyoswaliwa katika viwanja vya mpira Mail Moja Kibaha, Mkoani Pwani.

Ustadh Abuu amesema k u w a , k u o n d o k a kwa Ramadhani sio mwisho wa kufanya ibada, bali lengo ni kumwacha Muislamu adumu katika ibada mbalimbali ambazo a l ikuwa akiz i fanya akiwa ndani ya mwezi wa Ramadhani.

“Kwa hiyo basi kila Muislamu anapaswa kumuelekea Allah (s w), baada ya hii Ramadhani kujikurubisha katika t wa a , m b a l i m b n a l i a m b a z o a l i k u w a akizifanya ndani ya Mwezi wa Ramadhani kwa kuziendeleza ili apate faida baada ya Mwezi wa Ramadhani kumalizika.” Alisema Ust. Akram.

A l i s e m a , p a m o j a n a u c h a m u n g u a m b a o W a i s l a m u wanatakiwa kudumu uliopatikana katika funga iliyomalizika, bali pia hawana budi kuacha yale ambayo Allah ameharamisha na kutekeleza yale ambayo ameamridha.

A l i s e m a , k i l a Muislamu anapaswa kujiuliza na kujijibu kwamba vipi ataweza kuishi kama alivyokuwa

TANGAZOUnahitajika msaada kwa kijana (Mtoto) wa Kiislamu (miaka 14), aliye mlemavu wa miguu, kuendelezewa eneo lake la ardhi, kwa kiwango ama chumba kimoja au viwili.

Eneo hilo lipo Potea, Kigamboni Jijini Dar es Salaam, alipewa na Muumini mmoja (Mama) wa Kiislamu, toka mwaka 2011, ikiwa ni Sadakatul-jaalia kwa kijana huyo baada ya kumuona.

Mama mzazi wa kijana huyo, hana uwezo wa kuliendeleza eneo hilo. Ikiwa msaada huo utapatikana utaweza kumsaidia kukabiliana na changamoto ya kukidhi malengo yake ya kumpeleka katika masomo ya Dini, Mkoani Tanga.

Kwa maelezo/msaada piga namba:- 0686 82 36 96, 0659 27 16 49.

akiishi ndani ya mwezi wa Ramadhani.

A k i s h e r e h e s h a hadithi, ya Abuudhari, Ust. Akram, alisema kwamba Mtume (s a w) alimuusia kwamba a m c h e A l l a h ( S W ) popote atakapokuwa, na afatize ovu kwa jema kwani hilo jema litafuta ovu, na aishi na watu kwa tabia zilizo njema.

Kufatia hadithi hiyo, Ust. Akram, alisema i fahamike kwamba ibada ya funga, ina lengo la kumfanya mja kuwa karibu na Allah (s w), kwa kumcha na kufungamana na tabia zilizokuwa njema.

Alisema, hiyo ina maana kwamba Taqwa, haipo ndani ya ibada ya Mwezi wa Ramadhani peke yake.

L a k i n i a l i s e m a , u k i j i o n a k w a m b a baada ya kuisha kwa Ramadhani na ukajikuta katika maaswi ambayo Allah ameharamisha,

basi fahamu ya kwamba f u n g a ya k o h a i n a athari yoyote mbele ya mwenyezi Mungu.

“Kwa hiyo wasia

wa kwanza kabisa ni M u i s l a m u k u m c h a Allah (s w) popote pale ulipo, na hili ndio lengo la funga alilotuambia

Mwenyezi Mungu ndani ya Qur an, kwamba t u f u n g e i l i t u p a t e kumcha”, alisema Ust. Akram.

WAUMINI wa Kiislamu wakisikiliza khotba ya Ibada ya Swala ya Idd Elfitri, iliyoswaliwa katika viwanja vya mpira Mail Moja Kibaha, Mkoani Pwani.

Biashara nono kwa Defense & Security Cooperation Agency Inatoka Uk. 5a k i w a a h i d i P e p o w a p i g a n a j i h a o wakifanikiwa kuteka mji wa Samarra, ulio kiasi kilometa 100 kaskazini mwa Baghdad. Scene hi i inamal iz ia kwa kuonyeshwa baadhi ya vijana wakisimamishwa kando ya mto wanapigwa risasi na kutumbukia mtoni. Hayo yakifanyika m p i g a n a j i m m o j a wa I S I S k a s i m a m a na bendera nyeus i iliyoandikwa Laailaaha ila llah Muhamadur r a s u u l u l a a h . A l i p o s i m a m a , kasimama juu ya damu inayotiririka kutokana na watu waliopigwa r i s a s i h a p o n a kutumbukizwa mtoni.

K w a u p a n d e m w i n g i n e , wapiganaj i hao wa I S , wa n a t u h u m i wa k u b o m o a M i s i k i t i pamoja na makaburi ya Washia. Inabomolewa pia Misikiti ya kale ya Wasuni inayodaiwa k u wa ya wa t u wa Sufi. Mfano ni Msikiti wa Mosoul wa tangu miaka ya 1700. Toka zoezi hilo la kubomoa misikiti lianze, misikiti minne ya Wasuni (Sufi) ishabomolewa na sita ya Washia.

Hayo ni kwa uchache. Kama ilivyo kwa Boko Haram, tuzitazame pia taarifa hizi kwa namna mbili. Kwanza tujaaliye kuwa ni za kweli kama zinavyotangazwa na kama ISIS wenyewe wanavyozitoa katika

m i t a n d a o y a o . Ukijaaliya kuwa ni za kweli, sidhani kuwa ipo fat’wah katika Uislamu inayohalalisha mauwaji, fitna na uharibifu huo.

Kama haipo, inabaki kuwa haya ni mambo y a n a y o f a n y w a n a watu ambao hawana lengo la d in i , ba l i

Inaendelea Uk. 7

Page 7: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

7 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014Makala

Biashara nono kwa Defense & Security Cooperation Agency

Inatoka Uk. 6wanatumika kuuchafua Uislamu. Baadhi ya watu walionukuliwa wakitoa maoni yao baada ya kuona picha na video hizo za ISIS wanadir ik i kusema k u wa i wa p o h a ya ndiyo yanayofanywa na Islamic State, basi hakuna sababu kuilaumu Israel kutokana na yale wanayowafanyia Waislamu wa Gaza.

K wa u p a n d e wa pili, ni kusema kuwa taarifa hizo ni uwongo. Ni propaganda tu . Ukisema h ivyo , n i lazima pia ukubali kuwa ISIS wanatumiwa kama chombo cha kuupaka matope Uislamu. Na k wa b a h a t i m b a ya hakuna hata taarifa moja ya ISIS kukanusha hayo wanayodaiwa kufanya zaidi ya kuwa wao ndio wanaonukuliwa wakitoa taarifa hizo katika mitandao.

K w a v y o v y o t e u t a k a v y o z i t i z a m a taarifa hizi za ISIS, utaona kuwa ni za kuungamiza Uislamu na Waislamu.

K a m a a m b a v y o imekuwa ik isemwa mara kwa mara, ni jambo la uhakika kuwa ISIS wanapewa silaha na Marekani/NATO na washirika wao Saudia Arabia na Qatar. Hata magari yao ya kivita na kiraiya wanayoranda n a y o k a t i k a m i j i wa l i y o t e k a , n i ya Kimarekani.

L a k i n i w a k a t i Marekani na washirika wake kat ika NATO wakiifadhili ISIS, kuipa mafunzo, s i laha na fedha, mapema wiki hii Washington imetangaza kuwa itaiuzia serikali ya Iraq makombora mazito kiasi 5,000 (5,000 Hellfire missiles) yenye thamani ya Dola milioni 700 ($700 million deal). Hizi ni fedha nyingi sana. Kama ilivyoripotiwa na maofisa wa serikali ya Marekani mapema wiki hii, ‘deal’ hiyo ya kuiuzia silaha serikali ya Nour al-Maliki, ni ili aweze kukabiliana na wapiganaji wa Kisuni wa ISIS. Ni biashara nono kabisa.

“The proposed sale is the largest yet of the lethal missiles, which the Iraqis fire from AC-208 Cessna Caravan planes and other aircraft. The deal calls for 5,000 AGM-114K/N/R Hellfire missiles and related equipment, parts , training and logistical support worth a total of $700 million. Iraq will use the Hellfire missiles to help improve the Iraq Security Forces' capability to support current on-going ground operations.”

I n a s e m a t a a r i f a ya Shirika la AFP i k i n u k u u t a a r i f a iliyotolewa na Wakala wa masuala ya silaha ujulikanao kwa jina la Defense Security Cooperation Agency kama ilivyotolewa siku ya Jumanne wiki hii.

W a i s l a m u wanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe. Kwa upande mmoja wa n a p i g a n i s h wa , Marekani inafanya biashara ya silaha kama inavyoonekana katika ‘$700 million deal’ hiyo. Lakini kwa upande mwingine, Marekani ikivuna katika biashara hiyo, wanauwana Waislamu k w a W a i s l a m u , wanauwana Waarabu kwa Waarabu!!!, huku kampuni ya silaha ya Marekani US defense giant Lockheed Martin Corporation, ikivuna mapesa.

Na kutokana na chuki, farka na fitna i n a y o p a n d i k i z wa na ISIS kwa kuuwa Washia wasio na hatia na kubomoa misikiti yao, hapana shaka hiyo ni mbegu ya kuzalisha vi ta i takayochukua m u d a m r e f u k a m a al ivyowahi kusema Henry Kissinger.

(Omar Juma Msangi)

Page 8: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

8 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014Makala

TAARIFA za mpasha habari wa Reuters akiwa Houston, anaarifu kuwa meli ya mafuta (tanker United Kalavrvta) kutoka Iraqi Kurdistan, imepata ruhusa ya kutia nanga katika pwani ya Texas kupakua shehena yake ya mafuta Jumapili iliyopita. Taarifa hizo zikafafanua z a i d i k w a k u s e m a k u w a Wa s h i n g t o n , ilikuwa haina mpango wa kuyawekea vikwazo mafuta hayo kutoka kwa Wakurdi wanaotaka kujitenga na Iraq.

Uuzaji huu wa mafuta kutoka eneo la Wakurdi b i l a ya u d h i b i t i wa serikali kuu ya Baghdad, umewezeshwa na harakati za ISIS mbao wameteka s e h e m u k u b w a y a Iraq na kuwapa nafasi Wakurdi nao kujitangazia uhuru wao. Japo Waziri Mkuu Nur a l -Mal ik i ametishia kushitaki katika mahakama za kimataifa, juu ya biashara hiyo haramu baina ya Texas na Wakudi wa Iraq, lakini haielekei kuwa atafanikiwa kwa lolote.

Hayo yaki j i r i huko Iraq, tunaambiwa kuwa nako Libya, lile eneo la utajiri mkubwa wa mafuta, J i m b o l a C y r e n a i c a ,

Hii ni vita ya mafuta, gesiWapiganaji ISIS, WaislamuWachora mipango mabeberu

Na Omar Msangi

limetangaza kujitenga na serikali kuu ya Tripol, na kuunda Baraza lake la uongozi likiongozwa

na Ahmed al-Senussi wa Beghazi yalipoanzia machafuko ya kumuondoa Ghadaf f i . Inaar i f iwa

kuwa wajumbe wapatao 3 , 0 0 0 wa k i wa k i l i s h a makundi mbalimbali ya kijamii, kisiasa na kidini,

wa l i k u t a n a B e g h a z i wakapitisha Azimio la kuwa na serikali yao pamoja na kumteua al-Senussi.

K u t a n g a z w a k w a serikali ya Cyrenaica, ni katika mkakati wa kuwa na Libya iliyo gawika katika nchi tatu, dhaifu zenye mamlaka ya ndani ambazo ni Cyrenaica, Fezzan na Tripolitania. Makundi ya wapiganaji wenye silaha na wananchi wa Cyrenaica, tayari wameitangazia dunia kuwa wafanya b i a s h a r a wa m a f u t a waje kuchukua mafuta wakiwa wamedhibi t i b a n d a r i m u h i m u z a k u s a f i r i s h i a m a f u t a . Wameapa kupambana na askari wa serikali ambao watajaribu kuzuiya meli kuingia kama serikali ya Tripol ilivyotangaza kuwa haitaruhusu meli kwenda kuchukua mafuta huko bila ya kibali chake au bila ya bishara hiyo kupitia serikalini, Tripol.

Ukiacha h i lo , h iv i sasa hali si shwari kwa ujumla ambapo makundi m b a l i m b a l i y e n y e s i l a h a ya n a p a m b a n a yenyewe kwa yenyewe. Ma k un di y o t e ha ya , awali yaliunganishwa na Marekani na NATO, kupigana bega kwa bega katika lengo la kumng’oa

U K I S I K I L I Z A t a a r i f a k a t i k a vyombo vya habari v i n a v y o t e g e m e wa , unachoambiwa ni kuwa Somalia kuna magaidi wa A l - S h a b a b n a kwamba magaidi hawa ni hatari kwa usalama wa Kanda hii ya Afrika ya Mashariki, Pembe ya Afrika, Marekani na dunia nzima. Haya ndiyo tunayoambiwa kila uchao.

Na baada ya kutokea m a s h a m b u l z i i y a kigaidi Kampala na Westgate Shopping Mall, Nairobi, ambapo t u l i a m b i w a k u w a wahusika ni al –Shabab, s a s a i m e p a t i k a n a sababu. Ikijumuishwa na yale matukio ya kutekwa meli, sasa kila nchi inatakiwa kuunga mkono juhudi na vita dhidi ya al –Shabab.

Hata hivyo, yapo m a m b o m u h i m u ambayo hayasemwi.

Wanahitaji chakula, amaniSIO bunduki na wapiganaji

Al-Shabab, TFG, KDF, adui yao mmoja

Na Mwandishi Wetu Kwanza ni kuwa al Shabab kwa asili yake sio taasisi ya kigaidi. Machafuko, mauwaji na mtafaruku wote uliopo Somalia hivi leo na yanayounganishwa na hayo nje ya Somalia, m u a s i s i w a k e n i Marekani. Marekani n d i y o i l i y o a s i s i machafuko haya kwa k u t o k u t a k a k wa k e kuona nchi hiyo inatulia.

N i A m e r i k a iliyoisaidia Ethiopia kuvamia Somalia mwaka 2006 kuondoa serikali ya Umoja wa Mahakama za Kiislamu ambayo ilikuwa imefanikiwa kurejesha amani katika nchi hiyo baada ya kubaki katika hali ya machafuko na mauwaji kwa zaidi ya miaka 15. Ni kutokana na uvamizi huo na kisha kuweka serikali iliyoonekana k a m a k i b a r a k a wa mabeberu, vijana wa Somalia walishika silaha

Inaendelea Uk. 9

Inaendelea Uk. 9

RAIS wa Syria, Dkt. Assad akiwa katika sala ya Eid nchini mwake.

BAADHI ya watoto wa Somalia wanaokabiliwa na balaa la njaa kufuatia mapigano yanayoendelea ndani ya nchi hiyo.

Page 9: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

9 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014Makala

Hii ni vita ya mafuta, gesiInatoka Uk. 8G h a d h a f i . B a a d a ya k u m a l i z a k a z i , s a s a yamebaki yanaparurana yenyewe kwa yenyewe na kufanya hali ya wananchi wa Libya kuwa ngumu.

K w a m u j i b u w a taarifa za vyombo vya habar i mapema wiki hii, mapambano makali ya l i t o k e a T r i p o l n a Beghazi, hali iliyopelekea kuuliwa kwa mamia ya watu na Balozi za Ulaya kuwatangazia raia wake kuondoka.

Katika mapigano ya makundi yanayoshindana kudhibit i uwanja wa ndege wa Libya, watu 47 waliuliwa na kufanyika u h a r i b i f u m k u b w a . Akielezea uharibifu huo, katika hali ya kuwa na masikito na majonzi, Waziri wa Uchukuzi wa Libya, Abdelkader Mohammed Ahmed, alisema kuwa w a n a m g a m b o w a Kiislamu kutoka Misrata walifanya shambulio la kushtukiza katika uwanja h u o w a k i p a m b a n a n a w a n a m g a m b o wengine kutoka Zintan. Katika shambulio hilo, wanamgambo hao kutoka

Misrata, walilipua ndege ya abiria, aina ya Airbus A330, iliyo na thamani ya Dola 113 (a $113 million passenger jet).

Ndege hiyo ya Shirika l a N d e g e , A f r i q i ya h Airways, linalomilikiwa na serikali ya Libya, ilikuwa imesimama katika njia ya

kurukia."This was the pride of the

Libyan fleet. This airplane used to fly to South Africa, Bangladesh and China."

Al isema Abde lkader Mohammed, akiongea na waandishi wa habari.

Sheikh Suleiman Amran Kilemile na Sheikh Ahmed Jongo watalikumbuka dege hili ambalo niliwahi kusafiri nalo pamoja na Masheikh hawa kutoka Entebe hadi Djamena (Chad) na kurudi Entebe, kuhudhuria hafla moja ya Kiislamu ambapo kiongozi wa L i b ya M u a m m a r Gadhafi alitoa Khutba ya Ijumaa na kuswalisha mael fu ya Wais lamu kutoka nchi mbalimbali duniani.

Katika Benghazi, mji wa pili kwa ukubwa, n a m j i a m b a o n i n a k u m b u k u m b u n a o kutokana na kuhudhuria makongamano kadhaa ya Kiislamu yaliyokuwa yakifanywa na Islamic Call Society; mapigano makali bado yanaendelea baina ya makundi ya Kiislamu na wanajeshi wati i fu kwa Generali Khalifa Hif ter . Wananchi wa Benghazi ambako ndipo kuliko anzia machafuko ya kumng’oa Ghaddafi, wanayaona makundi

Wanahitaji chakula, amanisio bunduki na wapiganaji

Inatoka Uk. 8kutaka majeshi yote ya nje yaondoke, waachie wananchi wa Somalia w e n y e w e w a a m u e hatma ya nchi yao.

K wa h a k i k a h i l i n i j a m b o a m b a l o l i n g e f a n y w a n a watu wa nchi yeyote wanaojitambua na kujali utu na uhuru wao. Kwa hiyo, mpaka hapo unaweza kusema, al –Shabab kushika bunduki kupambana haijawa ugaidi, labda kama utawaita magaidi kama Marekani walivyomuita Nelson Mandela na ANC, kuwa ni magaidi, lakini ikimfanya Jonas Savimbi na RENAMO, rafiki!.

Kama anavyosema mwandishi Margaret Kimberley, “Al-Shabaab exists because of the terror the United States brought to Somalia.”

K i s h a a n a o n g e z a a k i s e m a k u w a , “Americans may live in ignorance but the rest of the world knows better. The United States first brought death to Somalia and is responsible for creating even more of it.”

Kwamba kama ni matatizo Somalia, basi yamepandikizwa na Marekani kwani ndiyo i l i y o a n z a m a u wa j i Somalia, na inaendelea kusababisha mauwaji z a i d i . H a t a k a m a Wamarekani watajifanya hamnazo juu ya ukweli huo, lakini ulimwengu unajua.

Lakini swali la msingi ni: Je, kwanini Marekani inafanya yote haya?

Kama tulivyotangulia kueleza, kinachodaiwa n a k u p i g i wa d e b e ni kuwa Marekani , AMISOM, KDF (jeshi l a K e n y a ) w a p o Somalia, kupambana na magaidi, al-Shabab. Kisichosemwa ni kuwa hata huko kuingia KDF, na kuivamia Somalia mwaka 2011, ni jambo l i l i p a n g w a k a b l a kutimiza malengo ya mabeberu na kwamba madai kuwa al-Shabab waliingia Kenya na kuteka watalii ilikuwa kisingizio tu.

K w a m u j i b u w a taarifa za WikiLeaks cables, inaelezwa kuwa mipango na mikakati

Inaendelea Uk. 11Inaendelea Uk. 11

Inaendelea Uk. 11BAADHI ya wakazi wa Somalia wakiwa katika hali ngumu kufuatia vita vinavyoendelea nchini humo hivi karibuni.

RAIS wa Marekani, Barrack Obama (kulia) na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau.

Page 10: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

10 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014Makala

Julai 24, 2014 (Mtandao wa Kupashana Habari na ‘Truthdig’)

“Kuna njia moja tu iliyonyooka, nayo ni kuutafuta ukweli na kufuatilia kwa juhudi.” - George Washington

K a m a I s r a e l itang’ang’ania, kama Wa s e r b wa B o s n i a walivyofanya Sarajevo, kutumia silaha za vita ya viwanda dhidi ya mkusanyiko wa raia wasio na ulinzi, basi mkusanyiko huo wa watu una haki ya kujilinda chini ya kifungu cha 51 cha kanuni za Umoja wa Mataifa. Jumuia ya kimataifa itabidi ama i ingil ie kati kuzuia mashambulizi ya Israel na kuondoa vizuizi dhidi ya Gaza au itambue haki ya Wapalestina kutumia silaha kujilinda.

Hakuna taifa, na ni pamoja na lolote katika n c h i z a K i i s l a m u , inayoonekana kuwa t a y a r i k u i n g i l i a kuwalinda Wapalestina. H a k u n a c h o m b o c h a k i m a t a i f a , ikiwa ni pamoja na Umoja wa Matai fa , kinachoonekana kiko tayari au kina uwezo wa kuiwekea shinikizo Israel kupitia vikwazo kuendana na kanuni za sheria za kimataifa. Na jinsi jumuia ya kimataifa inavyozidi kushindwa kuchukua hatua zozote, n d i y o m a c h a f u k o yanashika kasi zaidi.

Israel haina haki ya kuangusha mabomu y a k i l o 2 0 0 0 z a c h e m b e z a c h u m a z a k u s a m b a r a t i s h a ( m a j e n g o , miundombinu) ukanda wa Gaza. Haina haki ya kuibamiza Gaza na mizinga mizito na makombora ya kutupwa kutoka boti za kivita. Haina haki ya kuingiza a s k a r i w a m i g u u wenye silaha za deraya au kulenga hospitali, mashule na misikiti, pamoja na mifumo ya maji na umeme ya Gaza. Haina haki ya kuwaondoa zaidi ya watu 100,000 kutoka nyumbani kwao. Ukaliaji wote, ambako Israel imeshikilia udhibiti

Hii ni JihadChagua jinsi ya kufa leo kuliko…Kuishi katika udhalili ufe taratibuUmeporwa utu, umebakisha nini?

Na Chris Hedges

kamili wa bahari, anga na mipaka ya Gaza ni kinyume cha sheria.

Utumiaji wa silaha, hata pale unapokuwa ni kwa ajili ya kujilinda, ni laana. Inawapa nguvu wasiojali na kuwaadhibu wasio na hatia. Inaacha nyuma makovu ya hisia na majeraha mwilini.

L a k i n i , k a m a nilivyojifunza Sarajevo k a t i k a v i t a v y a Bosnia vya miaka ya 1990, majeshi yenye nia ya kuwateketeza yanapowashambulia bila kupumua, na pale h a k u n a a n a y e k u j a kuwasaidia , lazima mjisaidie wenyewe. W a k a t i S a r a j e v o ikiwa inapigwa kwa makombora 2,000 kwa siku na ikizingirwa na washambuliaji wa kushtukiza wa bunduki nzito wakati wa kiangazi mwaka 1995, hakuna yeyote kati ya wa-Bosnia waliokuwa wakipata taabu aliyezungumza n a m i a l i y e s e m a wanataka kukabiliana na hali hiyo kwa njia za

amani. Hakuna aliyeona uzuiaji wa silaha wa Umoja wa Mataifa kwa serikali ya Bosnia kuwa una mantiki. kutokana na mtiririko wa risasi za waviziaji na mabomu ya milimita 90 yakirushwa na vifaru, na ya milimia 155 ya mizinga, yakiwa yanalipuka usiku na mchana mjini Sarajevo.

Wabosnia walikuwa, k a m a w a l i v y o Wa p a l e s t i n a e n e o la Gaza, kuj i tahidi k u p i t i s h a s i l a h a ndogo ndogo kupitia mahandaki ya s i r i . Maadui zao, Waserb - kama walivyo Waisraeli katika mgogoro wa sasa - walikuwa wakati wote wamepania kulipua m a h a n d a k i h a y o . Vikosi vya Wabosnia m j i n i S a r a j e v o , wakiwa na silaha zao dhaifu, walifanya kila waliloweza kulinda n j ia za mahandaki kuzunguka mji huo. Na ndiyo ilivyo eneo la Gaza. Mashambulio mfululizo ya angani y a N AT O w a k a t i

wa kipupwe mwaka 1995 yalizuia maeneo yaliyokuwa yameshikwa na Wabosnia kutekwa na vikosi vya Waserb vilivyokuwa vinasonga mbele. Wapalest ina hawawezi kutazamia uingiliaji kati wa aina hii.

Idadi ya waliokufa G a z a k u t o k a n a n a d h o r u b a y a mashambulio ya Israel imefikia 650 (sasa zaidi ya 1300), na takriban asilimia 80 kati yao ni raia wa kawaida. Idadi ya Wapalestina waliojeruhiwa inazidi 4 , 0 0 0 n a s e h e m u isiyo ndogo ya hao ni watoto. Ni katika ngazi gani ambako idadi ya waliouawa n a w a l i o j e r u h i w a i n a r u h u s u h a l i ya kujilinda? Hadi kufikia 5,000 au 10 ,000 au labda 20,000? Ni katika hatua gani ambako Wapalestina wanakuwa na haki ya kawaida tu ya kulinda familia zao na nyumba zao?

Ibara ya 51 (ya kanuni

za Umoja wa Mataifa) haijibu maswali haya. Lakini Mahakama ya Kimataifa ya The Hague ilijibu katika kesi ya Nicaragua dhidi ya Marekani. Mahakama i l iamua katika kesi hiyo kuwa lazima nchi ishambuliwe kwanza kabla haijaitisha haki ya k e ya k u j i l i n d a . M a e l e z o k u h u s u shambulio la silaha, pamoja na kuwa ni ‘kitendo cha majeshi ya nchi katika hal i ya kawaida yakipita mpaka wa kimataifa.” ni pamoja na kupeleka au kuwezesha makundi ya wanamgambo, askari wa kukodiwa au wapiganaji wasio sehemu ya jeshi lolote ambao wanafanya vitendo vya utumiaji nguvu dhidi ya dola nyingine. Mahakama iliafiki kuwa nchi iliyo chini ya mashambulio i n a h i t a j i k w a n z a kuomba msaada wa nje kabla haijaingia katika hatua ya kutumia nguvu kujilinda. Kwa mujibu wa Ibara ya 51 (ya Kanuni za Umoja wa Mataifa), haki ya nchi ya kujilinda inafikia tamati pale Baraza la Usalama linapofikia mahitaji yaliyotajwa chini ya ibara hiyo kwa “kuchukua hatua za lazima kuhakikisha a m a n i n a u s a l a m a kimataifa.”

K u s h i n d w a k w a jumuia ya kimataifa k u c h u k u a h a t u a zozote kumewaacha Wapalestina bila chaguo lolote. Marekani, tangu Israel iundwe mwaka 1948, imetumia kura ya turufu dhidi ya maazimio zadi ya 40 yaliyokuwa yakitaka kuzuia dhamira ya Israel ya kukalia maeneo ya Wapales t ina na kutumia nguvu dhidi yao. Na imepuuzia maazimio machache yaliyopitishwa yenye nia ya kulinda haki za Wapalestina, kwa mfano Azimio la Baraza la Usalama namba 465, lililopitishwa mwaka 1980.

A z i m i o n a m b a 465 liliainisha kuwa “Mkataba wa Nne wa

Inaendelea Uk. 12

KIJANA wa Kipalestina Akitoa Shahada kusubiri kifo baada ya kupigwa risasi na majeshi ya Israel.

Page 11: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

11 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014Makala

Hii ni vita ya mafuta, gesiInatoka Uk. 9ya Ki is lamu ambayo yanajumuisha wapiganaji kutoka nje ya Libya, kuwa wanataka kuwapora nafasi ya kujitawala wenyewe kama walivyotaka. Wao wanakumbuka mamlaka yao waliyokuwa nayo wakati wa mfalme Idris aliyepinduliwa na Gadhafi. Hawakuwa na agenda ya Dola ya Kiislamu.

Mapigano ya Jumamosi na Jumapili, Benghazi, yalishuhudia watu 36 wakiuliwa, wengi wao wakiwa raia. Taarifa ya serikali inaarifu kuwa zaidi ya watu 150 wamepoteza maisha katika mapigano ya wiki mbili, Tripol na Benghazi.

H i v i s a s a L i b y a inashuhudia machafuko m a k u b w a y a k i a c h a mamia ya watu wasio na hatia wakiuliwa huku serikali ikishindwa kabisa kuyadhibit i makundi yenye silaha.

Kinachojidhihirisha ni kuwa makundi haya y a l i k u s a n y w a , k i l a moja l ikiwa na lengo lake, wapo mujahidina walioona wamepata fursa ya kumng’oa Ghaddafi

wasimamishe Kitabu na Sunnah, wapo waliodhani kwa kutumia nguvu za N AT O n a Pe n t a g o n , w a t a p a t a f u r s a y a kurejesha ufalme wao, ndio hao wa Benghazi ambao sasa wameunda Baraza lao la uongozi chini ya el Sanussi. Wapo pia walioangalia kushika madaraka ya serikali ya Libya na walikuwepo pia mamluki waliopigana kwa sababu ya kupata pesa. Wote hawa, mlipaji wao Marekani/NATO aliwajua na alijua kuwa mwisho wa yote, watabaki kuparurana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu tangu hapo hawakuwa na lengo moja. Kilichofanikiwa ni mpango wa Atlantic Council na akina George Soros.

Ni wazi kuwa katika h a l i y a m v u r u g a n o iliyopo Libya hivi sasa, huwezi kuwa na serikali madhubuti yenye kauli na uwezo wa kudhibiti rasilimali yake ya mafuta. Ishakuwa kama Congo,

beberu anaingia anafadhili kikundi cha wapiganaji, kinateka eneo anachota mali bila ya udhibiti wa serikali kuu. Collateral damage? Wananchi.

ISIS na mustakbali wa Iraq

L a b d a k w a h a y o machache sasa tutizame Iraq inakoelekea hivi sasa.

“Shiite militia display jihadist bodies in Iraq city”, hiki ni kichwa cha habari i l iyokuwa imetawala vyombo vingi vya Habari Mashariki ya Kati na vya kimataifa, mwishoni mwa wiki iliyopita.

Habari hiyo ilifahamisha kuwa wanamgambo wa Kishia wanaounga mkono serikali ya Iraq, waliburura mitaani maiti kadhaa za wapiganaji wa ISIS na wengine kuwatundika katika madaraja na miti.

Waandishi wa habari walioshuhudia tukio hilo wal i fahamisha kuwa hayo yalifanyika katika mji wa Baqouba, ulio

kiasi kilometa 60 kutoka B a g h d a d . B a q o u b a , ni miongoni mwa miji ambayo bado ipo mikononi mwa jeshi la serikali, ukiwa umezungukwa na vijiji ambavyo tayari vishakamatwa na ISIS; huku kukiwa kumeibuka makundi ya wapiganaji wa kujitolea wa Kishia, wakiwa tayari kukabiliana na wapiganaji wa Kisuni-ISIS.

Katika mapambano ya kutaka kuutwaa mji huo, watu kadhaa wameuliwa wakiwemo wapiganaji wa ISIS ambao maiti zao ndio zilibururwa mitaani na wanamgambo wa Kishia wanaolinda mji huo baada jeshi la serikali kuelemewa. Picha zi l izopigwa na mwandishi wa Shirika la habari la AFP zinaonyesha baadhi ya maiti zikiwa hazina vichwa.

Kuibuka kwa wapiganaji wa kujitolea wa Kishia kukabi l iana na IS IS , kunafuatia wito uliotolewa na serikali pamoja na

taasis i za ki jamii na kidini za Kishia, kufuatia matukio ya mauwaji ya kikat i l i yanayodaiwa kufanywa na wapiganaji wa ISIS dhidi wa Wasia au yeyote anayewapinga. Hadi sasa maelfu ya vijana na watu wazima, Mashia washajisajili katika vikosi na kuingia kambini kupata mafunzo ya msingi.

“Hezbollah foils rebels' a t t e m p t t o r e c a p t u r e strategic hill”, hicho ni kichwa kingine cha habari kikifahamisha kuwa sasa vita ya ISIS inakaribia kuingia katika ukurasa mpya iwapo Hizbullah watalazimika kushika silaha.

Awal i ya l i r ipot iwa mapigano makali kati ya wapiganaji wa Hezbollah na Nusra Front. Taarifa za vyombo vya habari z inafahamisha kuwa wapiganaji wa ISIS na wale wa Nusra Front, wapatao 4 ,000 wamej ichimbia ka t ika mi l ima j i ran i n a L e b a n o n j a m b o linaloelezwa kuhatarisha usalama wa nchi hiyo. H e z b o l l a h , i m e a p a kupambana na wapiganaji hao hadi kuwatokomeza

Wanahitaji chakula, amanisio bunduki na wapiganaji

Inatoka Uk. 9ya kuitumia Kenya k u v a m i a S o m a l i a ilishawekwa na State Department, kiasi miaka miwili kabla ya uvamizi. Na kwamba nchi hiyo hivi sasa inatumika kama mlango wa AFRICOM Kuingia eneo hili la Mashariki ya Afrika na Maziwa Makuu. Kama ilivyoandikwa katika gazeti la Kenya, Daily Nation la Desemba 17 , 2010 , chochote kilichosemwa juu ya utekaji nyara watalii kwamba ndio sababu, i l i k u w a n g o n j e r a t u k wa n i m p a n g o ulikuwepo ukisubiri kisingizio.

Inaelezwa kuwa moja ya sababu za uvamizi h u o n i k u t e k e l e z a mpango uliopewa jina “Jubaland Initiative”. Kama ilivyo kule Iraq kwamba mabeberu na Mazayuni wanataka kuigawa katika nchi tatu, ya Wasuni, Washia na Wakurdi, nayo Somalia inatakiwa kugawanywa katika vinchi vidogo vidogo,- : Puntland, Somaliland, na South C e n t r a l S o m a l i a . Kilicho mvunguni wa

mpango huo na yote yanayofanyika Somalia, ni masilahi ya kiuchumi au tuseme masilahi ya kibeberu, na kwa hiyo utakuta kwamba hata

Kenya na KDF yake wanatumiwa tu kama wapiganaji wa Proxy War.

Kuanzia Ghuba ya Aden (Gulf of Aden) na

ukanda wote wa Pwani ya Somalia, kunaaminika k u wa n a m a s i l a h i makubwa ya kiuchumi kwa makampuni ya kibeberu halikadhalika

eneo la kistratejia pia. Ndio maana Marekani h a i k u t a k a k u o n a Somalia inaongozwa na Umoja wa Mahakama za Kiislamu ambao haitaweza kuwatumia kama vibaraka wake.

La kuzingatia hapa ni kuwa kama ilivyo kwa Congo (DRC) , makampuni ya kibeberu yanavuna na kupora mali kirahisi inapokuwa n c h i i p o k a t i k a machafuko na hakuna serikali madhubuti wala umoja wa wananchi wanaoshikamana kama wazalendo wa kutetea masi lahi yao kama nchi. Kwa hiyo, japo Kenya inaona kuwa nayo inaweza kuwa na masilahi katika mgogoro wa Somal ia , lak ini ukweli wa mambao ni kuwa inatumika tu na mwisho wa yote manufaa yatakuwa kwa makampuni ya kibeberu ya Marekani na wenzao wa Ulaya, ambao hivi s a s a wa n a s i m a m i a uandikaji wa Katiba mpya-kwa jina la “A new Somali Constitution”, ambayo rasmi itaigawa Somalia katika vinchi

Inaendelea Uk. 13

Inaendelea Uk. 13

HAWA ni watoto wa Kisomali, hawa ni Waislamu, ulimwengu wa Kiislamu unawasaidiaje? Soma Ukurasa wa 8.

Page 12: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

12 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 201412 MAKALA/Mashairi

Hii ni JihadInatoka Uk. 10

Geneva kuhusiana na kulindwa kwa raia wa kawaida katika maeneo ya vita, wa Agosti 12 1949 linaendana na hali ya maeneo ya wakazi wa Kiarabu yaliyotekwa na Israel tangu 1967, ikiwa ni pamoja na Yerusalemu.” Azimio hilo liliendelea kuionya Israel kuwa “hatua zote zinazochukuliwa n a I s r a e l k u b a d i l i m a z i n g i r a h a l i s i , mpangio wa makazi na idadi ya watu , mifumo ya kitaasisi au hadhi ya kiutawala ya maeneo ya Kipalestina au mengine ya Kiarabu yanayokaliwa tangu 1967, ikiwa ni pamoja na Yerusalemu, au sehemu yake yoyote, hayana uthabiti wa kisheria na kuwa sera ya Israel na inachokifanya kupeleka baadhi ya wakazi wake na wahamiaji wapya katika maeneo haya ni ukiukwaji wa wazi wa Mkataba wa Nne wa Geneva kuhusiana na kulindwa kwa rais wakati wa vita na pia ni uzuiaji hatarishi wa kufikia amani pana, ya haki na inayodumu katika Mashariki ya Kati.”

Israel, kama dola inayokalia Palestina kwa mabavu, inakiuka kwa dhahiri Ibara ya III ya Mkataba wa Geneva kuhusu kulindwa kwa raia wa kawaida wakati wa vita. Mkataba huu unatoa viwango vya msingi vya ulinzi wa raia katika mgogoro ambao siyo wa kimataifa k wa u p a n a wa k e . Ibara ya 3(1) inasema kuwa wote ambao hawachukui nafas i kamili katika mapigano, laz ima watendewe kibinadamu, pasipo ubaguzi, bila kujali tofauti zao za rangi, jamii, dini au kipato. Ibara hiyo inakataza vitendo ambavyo mara nyingi hufanyiwa wasio wa p i g a n a j i k a t i k a maeneo ya vita, ikiwa ni pamoja na kuuawa,

k u k a t w a v i u n g o , kutendewa jeuri na kuteswa. Inakataza kuteka nyara pamoja na kutolewa adhabu mahakamani ambazo hazijapitia mtiririko halisi wa kisheria. Ibara ya 3(2) inatoa wajibu wa kuwaangalia wagonjwa na waliojeruhiwa.

Israel siyo tu imevunja vipengere vya Ibara ya III, lakini imefikia kiwango cha kuu cha mandhari ya kuwa dola inayochokoza kama inavyoanishwa na Ibara ya 51. Lakini kwa Israel, kama ilivyo kwa Marekani, sheria z a k i m a t a i f a z i n a umuhimu mdogo sana. Marekani i l ipuuzia hukumu ya mahakama ya kimataifa katika shauri la Nicaragua dhidi ya Marekani, na pamoja na Israel, haikubali uwezo wa kisheria wa mahakama hiyo. Haina umuhimu n i W a p a l e s t i n a wangapi wameuawa au kujeruhiwa, ni nyumba ngapi za Wapalestina z i m e b o m o l e w a , umaskini unakithiri kiasi gani Gaza au Ukingo wa Magharibi wa Jordan, ni miaka m i n g a p i G a z a imezingirwa au ni makazi mapya mangapi yanainuliwa katika eneo la Wapalestina. Israel, kwa ulinzi wa Marekani , inaweza kutenda itakavyo.

K u r a ya k u u n g a mkono bila kura ya kupinga mashambulio ya Israel katika Gaza, u s a m b a z wa j i h a d i k u k i n a i s h a k w a propaganda ya Israel na vyombo vya habari na urudiaji kila mara wa utawala wa Obama wa vidakizo vya misimamo ya serikali ya Israel vimegeuza Marekani kuwa washangiliaj i wakuu wa uhal i fu wa kivita wa Israel. Tunafadhili na kukinga uhalifu huo kwa dola bilioni 3.1 kila mwaka katika misaada ya kijeshi kwa Israel. Tunahusika

na mauaji . Hakuna yeyote katika mfumo wa utawala Marekani, i k i w a n i p a m o j a na seneta mpenda maendeleo zaidi, Bernie Sanders, anayethubutu k u p i n g a n a n a w a s h i k a d a u w a uungwaji mkono Israel. Na kwa vile tunakataa k u f a n ya l o l o t e i l i amani na haki viweze kuwepo, tusishangae kwanini Wapalestina wanaendesha harakati za silaha za kujitetea.

W a p a l e s t i n a watakataa, kwa muda mrefu inavyowezekana, makubaliano yoyote ya kuacha mapigano ambayo hayajumuishi kuondolewa uzingirwa wa Gaza na Israel . Wamepoteza matumaini k u w a s e r i k a l i z a n j e z i t a w a o k o a . Wanajua kuwa hatma ya o i k o m i k o n o n i mwao. Mapambano ya l i y o i n u k a G a z a n i k i t e n d o c h a mshikamano na dunia inayowazunguka, nje ya kuta zao. Ni jaribio la kuainisha, licha ya kuelemewa vibaya na mazingira ya kinyama, u t u n a u we z o wa kujizatiti wa watu wa Palestina.

Ni machache sana katika maisha ambayo Wa p a l e s t i n a wa n a uwezo wa kuchagua, ila wanaweza kuchagua j i n s i ya k u f a . N a Wapalestina wengi, hasa vijana walioko katika mtego wa magheto yanayolundika watu ambako hawana kazi au heshima, watadiriki kukiangalia kifo usoni kukataa kifo cha taratibu, kinachodhalilisha, cha ukaliwaji kwa mabavu.

Siwezi kuwalaumu.

(Mwandishi wa makala “The Palestinians’ Right to Self-Defense” ni Chris Hedges, Mfasiri kwa Kiswahili Anil Kija. Chris anaandikia majarida ya Christian S c i e n c e M o n i t o r , National Public Radio, Dallas Morning News na New York Times.)

(itaendelea)

Bismillahir Rabuka, Al-hayu ya JaliaNdiwe wewe mhusika, uhai kutupangiaKuwepo na kutoweka, umevipanga sawiaUhai kaumba Allah, na kifo ajua Allah

Kifo kikikamilika, hakuna wa kuzuiaHata tuwe hekaheka, muda hautokawiaZirail atafika, roho zetu kuzitoaUhai kaumba Allah, na kifo ajua Allah

Uhai hautotoka, wa mtu nawaambiaSababu ukaziweka, Fulani namchukiaHuyu akishaondoka, raha nitajipatiaUhai kaumba Allah, na kifo ajua Allah

Kifo cha mtu kufika, ni siri yake RabiaHaitopita dakika, na wala kuchachamaaNdugu wakidhoofika, Allah hatoangaliaUhai kaumba Allah, na kifo ajua Allah

Hata kama wapendeka, katika hii duniaRoho hawatoishika, watabaki wanaliaMioyo itadundika, baadae itapoaUhai kaumba Allah, na kifo ajua Allah

Vyeo tunajibandika, kwenye sifa ya kuuaNi muhali kwa hakika, hadi apende JaliaTwafurahi na kucheka, huyo atatanguliaUhai kaumba Allah, na kifo ajua Allaha

Duniani kuondoka, si lazima kuuguaWaweza ukaanguka, na kifo kikakujiaKaburini ukafika, bila ya kutegemeaUhai kaumba Allah na kifo ajua Allah

Zainab IddMwanza

Uhai na kifo

Ewe ndugu Mhariri, naja kwako gazetiniBara Pwani na Bahari, waja tuna mtihaniTuchukue tahadhari, ni msiba dunianiWapi aya na hadithi

Hadithi zi wapi aya, mila zao kuwa diniZimetokea Ulaya, Asia na MarekaniMitume wakatujia, wakitangaza imaniWapi aya na hadithi

Sisemi nimetafiti, aula hatuhabuniUlaya wamezatiti, kila nchi ina diniTukapewa mashuruti, ushoga na CameronWapia aya na hadithi

Mitume ulimwenguni, hawatoki kwao kwaniAloleta Jailani, kutukumbusha imaniWakafanya Firauni waungu ulimwenguniWapia aya na hadithi

Ela wapo watetezi, baina ya IkhiwaniKwetu utunzi ni kazi, wale walioaminiZama zao hata hizi, mema tuamrisheniWapia aya na hadithi

Kilichotusibu nini, Afrika IkhiwaniTunashindwa kubaini, mbinu zao wakoloniLeo wapo Kilindini, Mombasa Kenya JamaniWapi aya na hadithi

Katikati Afrika, wauane kulikoniKabila moja hakika, kosa lao kuaminiImani yao kufika, iwe yetu sisi kwaniWapia aya ana hadithi

Hoja imekamilika, Dini ni yake MananiMuumba wa kila rika, Hata na hao DarwinTena haina mipaka, baina ya IkhiwaniWapia aya na hadithi

M.S.R. (Mrambowa) 0713616313

Mila zao dini yetu?

Page 13: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

13 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014

Hii ni vita ya mafuta, gesiInatoka Uk. 9lau watajaribu kuingia Lebanon.

Hali hii inaashiria kuwa kutakuwa na umwagikaji mkubwa wa damu lau m a m b o y a t a a c h w a kwenda yalivyo hivi sasa. Na ni vigumu kutabiri mshindi kati ya ISIS na Hizbullah na wapiganaji wengine wa Kishia ambo nao wataitakidi kuwa wanapigana Jihad.

Agenda ni kuigawa Iraq, Syria

Katika makala yangu ya wiki iliyopita niligusia ule mkutano wa Istanbul-Atlantic Council Energy Summit. Ninachotaka kuangalia hapa, ni nini uhusiano wa mkutano h u u n a i l e a g e n d a mashuhuri ya “Regional Balkanization” ambayo ndiyo inayoitafuna Libya, Iraq halikadhalika Burma na Syria. Inaeleka pia kuitia Msumbuji hivi sasa katika machafuko kufuatia ‘kufufuka’ upya ile RENAMO ya zamani ya Alfonso Dhlakama.

Mtandao wa Christof

Lehmann (nsnbc) na magazet i ya Uturuki likiwemo Aydinlik Daily, yaliarifu kuwa mkutano wa At l a n t i c C o u n c i l

ul iofanyika Istanbul , tarehe 22 – 23 November, 2013, ndio ulikamilisha mipango ya harakati za ISIS katika Iraq hivi sasa. Ikaelezwa kuwa “The

U.S. Think-Tank” hiyo ilihudhuriwa na Waziri wa Nishati wa Marekani (U.S. Secretary of Energy), Ernest Moniz, Waziri wa Mambo ya Nje wa Zamani

wa Marekani Madeleine Albright, Brent Scowcroft, na rais wa Atlantic Council P r e s i d e n t F r e d e r i c k Kempe.

R a i s w a U t u r u k i , Abdullah Gül, alialikwa k a m a m g e n i r a s m i kufungua mkutano huo na kuwaachia wenyewe kujadili mambo yao.

Kutokana na taarifa y a A y d i n l i k D a i l y , i k i m n u k u u r a i s w a Atlantic Council, Frederick Kempe, mkutano huo ulikuwa sawa na ule wa Berlin wakati wa kuigawa Afrika katika makoloni halikadhalika sawa na matukio ya 1918 na 1945 yanayowakil isha vita ya kugombania kupora mali na nchi. Na katika mikakati hii, Uturuki kama mwanachama wa NATO na nchi ya Kiislamu, na k u p a k a n a k wa k e n a Syria, imepewa umuhimu mkubwa.

I n a e l e z w a p i a agenda kuu ilikuwa ni kutafakari namna ya utekelezaji wa agenda

Wanahitaji chakula, amanisio bunduki na wapiganaji

Inatoka Uk. 9v i t a t u : P u n t l a n d , Somaliland, na South Central Somalia.

K a ma i l i v y o wa h i k u e l e z w a m w a k a 1993 na gazeti la Los Angeles Times, utafutaji na uvunaji wa mafuta na gesi katika Somalia ulikuwa tayari mikononi mwa makampuni ya Marekani. Los Angeles Times, likiandika wakati h u o , b a d o m a f u t a yalikuwa hayajaanza kuchimbwa bali ilikuwa katika hatua za utafiti. Habari hiyo ikiandikwa na mwandishi Mark Fineman, ilifichua kuwa makampuni yaliyokuwa yamemilikishwa zaidi y a t h e l u t h i m b i l i ya rasilimali hiyo ya S o m a l i a , ya l i k u wa ni Conoco, Amoco, Chevron na Phillips.

Kuangushwa kwa Rais Mohamed Siad Barre na nchi hiyo kuangukia mikononi mwa makomunis t i , haikufanya Marekani kuyasahau masilahi hayo. Na yanayofanyika S o m a l i a l e o , n i kuhakikisha uvunaji na uporaji ‘salama’ bila ya kikwazo cha serikali madhubuti au kutia

mguu Mchina. K a m a i l i v y o wa h i

kusema taarifa moja ya Al jazeerah:“U.S. military intervention and destabilization in Somalia has been an ongoing situation for decades following the discovery of a “valley of oil” underneath Somalia.”

Haya ndiyo malengo. TFG, AMISOM, KDF n a h a t a a l - S h a b a b kuendelea kupigana na TFG, wote, watakuwa wanatumikia masilahi haya kila mmoja kwa namna yake.

Ukitizama mambo y a n a v y o k w e n d a h i v i s a s a , u k i a c h a vurugu wanazofanya mabeberu na vibaraka wao ndani ya Somalia, mabeberu wanatumia p i a p r o p a g a n d a waliyokwisha ipiga k wa m b a a l - S h a b a b ni magaidi , kupata m a n u f a a m e n g i n e . Vitendo vya mauwaji na

kigaidi vinapandikizwa katika nchi za Afrika Mashariki na kusemwa k u w a w a n a o f a n y a hivyo ni al-Shabab. Z i n a o n e k a n a p i a harakati za kupandikiza al-Shabab katika nchi hizo kupitia mlango wa Jihad. Kwamba wapo watu unaoweza kusema k u wa n i “ a g e n t s ” , wanafanya kazi ya kushawishi Waislamu kwenda kuungana na kupigana bega kwa b e g a n a Wa i s l a m u wenzao wanaopigana Jihad, Somalia. Kupitia mlango huu, mabeberu wanatimiza pia malengo yao ya kuzivuruga na nchi nyingine za Afrika Mashariki . Na kwa bahati mbaya, somo hili linaonekana kuwa gumu kidogo kwa baadhi ya Waislamu.

K u l e S o m a l i a wanaopigana ni jeshi la serikali (TFG) likisaidiwa na AMISOM (wanajeshi

k u t o k a U g a n d a , B u r u n d i , K e n y a , Rwanda n.k) dhidi ya al Shabab. Wapo pia Ahlu Sunna Wal Jamaa ambao nao wapo dhidi ya al-Shabab.

TFG wanaosaidiwa n a m a b e b e r u , s i o kuwa wanapendwa au wanasaidiwa kwa masilahi ya Wasomali, w a n a s a i d i w a i l i kupatikane mamlaka itakayoweza kutumikia masilahi ya mabeberu au vinginevyo, machafuko yaendelee daima dumu kama Congo. AMISOM nao ni hivyo hivyo. Kwa hiyo ukitizama hesabu z i l ivyokaa , w a n a o u w a n a n i Wasomali, ni Waislamu, ni Waafrika (Wasomali na Wakenya, Waganda na Watutsi/Wahutu), lakini mwisho wa yote, faida ni ya mabeberu.

Kat ika mazingira k a m a h a y a n d i o t u n a s e m a , p a m o j a

na haki na uhala l i wal iokuwa nao a l -Shabab kushika silaha kulinda nchi yao, lakini mahesabu yamebadilika sana. Wanachotakiwa ni kutizama upya namna ya kwenda na mgogoro huo kwa masilahi ya Wasomalia. Ni wakati kwa Wasomali kukaa kitako na kujitizama kama Wasomal i na wamtizame adui yao, sio adui wa al-Shabab. B e b e r u a l i ye o n d o a serikali ya Umoja wa Mahakama za Kiislamu, sio adui wa al-Shabab, ni adui wa Wasomali. TFG, sio adui wa al-Shabab, anatumiwa tu kuivuruga Somalia. Kwa jicho la kisiasa unaweza kuutizama mgogoro wa Somalia kati ya TFG na al-Shabab, kama ule wa CUF na CCM, Zanzibar. Hakuna namna ambayo Zanzibar itafanikiwa katika yale inayodai kama nchi, na kama dola kwa masilahi ya wananchi wa Zanzibar, iwapo haitasimama na kujitizama kama Zanzibar, s io kama CCM/CUF au wana-Kisonge vs Pemba.

Inaendelea Uk. 14

Inaendelea Uk. 14

MOJA ya Misikiti inayodaiwa kubomolewa na ISIS nchini Iraq.

Page 14: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

14 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014

Hii ni vita ya mafuta, gesiInatoka Uk. 13

ya kuzisambarat i sha na kuzigawa mapande m a p a n d e n c h i z a I r a q n a S y r i a k w a kuwatumia Waislamu. Kutokana na mpango huo ulivyofanya kazi katika kuisambaratisha na kuigawa Yugoslavia ya zamani ya Tito katika vinchi vidogo vidogo v i s i v y o n a n g u v u , ndio maana mpango huo ukaitwa, Regional “Balcanization” Plans (nchi zilizokuwa chini ya Poland na Urusi, zinaitwa nchi za Balcan). Na kuwepo kwa Madeleine Albright, ni katika kutoa uzoefu wake kwa sababu wakati wa k u i s a m b a r a t i s h a Yugos lav ia , a l ikuwa kinara wa mpango ule wa “ B a l k a n i z a t i o n ” o f Y u g o s l a v i a a n d Czechoslovakia, ambapo alitarajiwa kuonyesha n a m n a y a k u f a n y a “Balkanization” of Syria, Iraq, Turkey na Iran.

Yaliyojiri katika kikao cha Istanbul, yanafahamisha kuwa ISIS wanafanya kazi ya kutekeleza mpango wa Marekani uliopewa j i n a “ G r e a t e r M i d d l e East Pro j ec t” , ambao uliandaliwa na Wizara ya

Ulinzi (Pentagon) mwaka 1996 kupitia wakala wake RAND Corporation.

“Project” inaelekeza kugawanywa kwa Syria, Iraq na Uturuki katika vitaifa vidogo vidogo, likiwemo taifa la Wakurdi ambao baadhi wapo Iraq na baadhi Uturuki. Ndio hao hivi sasa wanaruhusiwa kuuza mafuta Texas ili wapate kujiimarisha.

Lengo ni mafuta

Muhimu zaidi kwa mkutano wa Istanbul, ni kuwepo kwa George Soros, ambaye anatajwa kuwa ndiye aliyeufadhili mkutano huo. Inaeleza taarifa moja ikitoa indhari kuwa maadhali mkutano huo ulifadhiliwa na tajiri la k imatai fa , “mult i -billionaire, globalist and self-proclaimed philanthropist George Soros”, kilichokuwa kik i tara j iwa kutokea katika mkutano huo ni balaa tupu.

Popote pa le z i l ipo v u r u g u , y a k i w e m o makundi ya kigaidi na

hata yanayojiita ya Jihad, basi ukichunguza utakuta kuna ama, madini, mafuta, gesi au rasilimali nyingine ambazo matajiri hawa wa kilimwengu wanayahitaji na moja ya milango yao ya kuingia na kupora ni kuzivuruga serikali na nchi husika. Inatajwa kwa mfano kuwa, katika M y a n m a r , a m b a p o Waislamu wanauliwa k a t i k a k i wa n g o c h a kutisha, Soros anafadhili makundi mengi zikiwemo taasisi za umoja wa mataifa (UN agencies), makundi ya Kijihad, na hata jeshi na Usalama wa taifa, lakini mwisho wa yote haya kazi yake ni moja tu: Destabilizing Myanmar.

J i m b o l a R a k h i n e , katika Myanmar, ambalo linakaliwa na Waislamu, linatajwa kuwa na utajiri m k u b wa wa m a f u t a na gesi kuliko sehemu yoyote katika eneo hilo la Asia. Sehemu kubwa ya mafuta na gesi ya Rakhine hupelekwa China na nyingine India. Na hilo ndilo eneo lisilokoma

machafuko, Waislamu wakiliuwa ovyo.

(Tazama: Social Injustice in Bangladesh, The US-Manufacturing of Islamist Terrorism, Abuse of the Rohingya for the Subversion of Myanmar and the Strategic Encirclement of China. )

Inaelezwa pia kuwa jicho la Transatlantic Council, sasa limetua Msumbiji na ipo katika hatari ya kurejea katika vita baada ya miaka 22 ya amani. Kwa sababu gani? Kutokana na ugunduzi uliofanyika hivi karibuni, Msumbiji inakaribia kuwa moja ya nchi kuu zinazozalisha na kuuza makaa ya mawe na gesi duniani. Kwa upande wa gesi, inatajwa kuwa itakuwa ndiyo nchi ya pili duniani kwa kuzalisha nishati hiyo baada ya Qatar. Kwa hiyo, macho ya mabeberu yanatizama fungu lao.

Msumbiji imekuja na mpango ambapo serikali itahakikisha kuwa mali asili hiyo itawanufaisha wananchi wake huku wawekezaji nao wakipata

faida yao. Hata hivyo, mpango huo unaonekana kutotakiwa na mabeberu na sasa RENAMO ya vita inataka kufufuka upya na kuanza fujo. Renamo ilianza kufufua jeshi lake na kuanza kutoa mafunzo kwa wapiganaji wapya mwaka 2012 . Kat ika jumla ya madai makuu y a R E N A M O k a m a yalivyotajwa na rais wake Alfonso Dhlakama, ni mambo mawili: kupewa nafasi zaidi katika serikali na katika jeshi. Pili, kupewa fungu nono katika mapato yatokanayo na gesi.

Wakikumbuka makovu ya vita, wananchi wa Msumbiji wanamtaka Rais wa nchi hiyo, Armando Guebuza na kiongozi wa R e n a m o A l f o n s o Dhlakama, kukaa pamoja k u z u n g u m z a k u l i k o kusubiri nchi ikarejea tena katika vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Hata hivyo wachambuzi wanasema kuwa kuibuka k w a R E N A M O n a kitisho chake cha kurejea msituni, ni ishara tosha kuwa: “Western globalist players and transnational corporations, as well as

Wanahitaji chakula, amanisio bunduki na wapiganaji

Inatoka Uk. 13Kama kuna la kusaidia

k u t o k a j u m u i y a y a kimataifa, wakiwemo Waislamu kutoka nchi na miji mbalimbali (Arusha, Mwanza, Tanga, Unguja n.k), ni kutafuta namna ya kufikisha ujumbe kwa Wasomali , wasimame kama Waislamu na kama Wasomali, kwa kujua kuwa adui yao ni mmoja.

H a t u a z o z o t e z a kushabikia al-Shabab, zaidi ya kuwa hazitaweza kuwapa nafuu yoyote Wasomali, na kutatua matatizo yao, zinafungua mlango mwingine wa mabeberu kusambaza vurugu, mauwaj i na machafuko katika nchi zetu, na wala isitarajiwe kuwa machafuko hayo yatasaidia lolote katika kuupeleka mbele Uislamu zaidi ya kuungamiza. Kenya, na hasa Mombasa, hal i s i shwari . Watu w a n a u l i w a o v y o , wakiwemo Masheikh mashuhuri. Kisingizio ama ni kupambana na al-Shabab au utaambiwa ni al-Shabab wameuwa. Kwa anayeamini kuwa al-Shabab ni Mujahidina, h a w e z i k u a m i n i n a kukubali kuwa wanaweza kufanya yale yaliyofanyika

Westgate au haya ya kuvamia watu mitaani, hotelini na kuwauwa ovyo bila ya sababu. Lakini unaona maadui wanavyotumia mauwaji hayo kupandikiza kitisho na kualika usaidizi zaidi kutoka nje kukabiliana na al-Shabab. Yote hiyo, ni mikakati ya kuleta machafuko kwa kutumia kisingizio cha ugaidi wa al-Shabab. Kwa hiyo, kila ambapo (agents) wa mabeberu watafanikiwa kupandikiza f ikra za kuwa na vikundi vya ki-al Shabab, itarajiwe kuwa yale ya Westgate, Kampala na Mombasa, yatafanyika na haraka haraka itadaiwa kuwa hao ni al-Shabab wa eneo hilo, na hiyo itatosha kufanya hujuma dhidi ya Waislamu/nchi.

Watu wa Sierra Leone kupitia taasisi ya The Pan-Afrikan Community

Movement (PACM) , ambayo inajumuisha v i j a n a , w a n a f u n z i , wanawake na wafanya kazi wa ajira rasmi na zisizo rasmi, mijini na vijijini, wametoa kauli nzur i sana dhid i ya mpango wa serikali yao kutaka kupeleka jeshi Somalia.

Wamemwambia Rais wa nchi hiyo, Ernest Bai Koroma kuwa kupeleka a s k a r i S o m a l i a , n i kutumikia masi lahi y a m a b e b e r u n a kuzidi kuwaangamzia Wasomali.

PA C M i n a s e m a : “imperialist forces are behind the deployment of African soldiers in Somalia. In this respect, we oppose the use of Africans fighting Africans, an old imperialist strategy in Africa.”

PACM wakifafanua zaidi wanasema kuwa kupeleka wapigana j i

Somalia, (iwe unasimama upande wa serikali au al-Shabab), ni kutumbukia tu katika mpango wa mabeberu wa kuivuruga S o m a l i a n a k u z i d i kuwaletea maafa wananchi wa Somalia ambao tangu hapo wameshateseka sana kwa mauwaji, njaa, m a r a d h i n a k u k o s a makazi.

Wanamalizia ripoti yao wakisema kuwa kupeleka jeshi Somalia ni kusaidia tu Proxy War ya Marekani kupata masilahi yake ya kibeberru, yakiwemo mafuta, lakini pia kazi watakayofanya askari h a o n i Wa a f r i k a kuuwana wenyewe kwa wenyewe (Africans killing other Africans.) Na kama utaingia kwa upande wa al-Shabab ukisema unapigana kama Muislamu, bado matokeo ya takuwa Waislamu kuuwana

wenyewe kwa wenyewe.PACM, wanamalizia

waraka wao kwa Rais K o r o m a w a k i s e m a , kwamba, kama suala ni kuwasaidia Wasomali, serikali itafute njia za a m a n i , n a k w a m b a matat izo ya Somal ia yatatatuliwa na Wasomali wenyewe. Kama ambavyo waliweza kuleta amani c h i n i ya U m o j a wa Mahakama za Kiislamu, wanaweza pia kurejesha amani hivi sasa wao wenyewe.

Suala linaweza kuwa je, wakivamiwa tena kama Ethiopia ilivyotumiwa kuondoa serikal i ya Mahakama za Kiislamu, suala hapa ni nchi zetu kukataa kuwa vibaraka wa kutumiwa ovyo kuzidhuru nchi zao. Lakini wananchi nao na wanaharakati kumjua adui yao. Wasishikiane panga na mitutu ya bunduki kutoana roho k a m a A h l u S u n n a W a l J a m a a / T F G , wanavyofanya dhidi ya al-Shabab, wakati wote (al-Shabab na TFG/ASWJ) adui yao ni mmoja.

Inaendelea Uk. 15

Page 15: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

15 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014

Hii ni vita ya mafuta, gesiInatoka Uk. 14Western intelligence service”, wapo nyuma yake.

Hali ni hiyo hiyo Nepal, nchi ambayo pamoja na kuwa na dini zaidi ya 300 na makundi ya kijamii-103 (ethnic groups), lakini kwa karne na karne wameishi kwa amani, hivi sasa wanashikiana bunduki na kulipuana kwa mabomu baada ya kuingia- Soros funded Framework Team.

K a t i k a h a l i y a k u k a n g a n y a k a m a inavyowakanganya baadhi ya Waislamu katika suala la Jihad Syria na Iraq, kule Nepal, kwa kuzingatia kuwa kuna makabila mengi huku mengine yakionekana dhalili na yenye kubaguliwa, NGOs zilizosaidiwa na kufanya kazi na “Framework Team” ikiongozwa na Ian Martin, ilikuja na mkakati wa kuwataka wanyonge wasimame kudai haki sawa katika ardhi na fursa nyingine. Katika hali kama hiyo, mtu hawezi kuhisi kwamba hilo ni jambo baya. Lakini ndio hilo hilo ambalo limeilipua Nepal, hivi si shwari tena kama ilivyokuwa awali.

Na pengine la kutaja hapa ni kuwa huyu Ian Martin na “Framework Team” yake, ndiye huyo

h u y o a l i ye k a m i l i s h a mpango wa kuigawa Bosnia Herzegovina na sasa Cyreneica, Libya. Kama tulivyotangulia kueleza, Cyrenaica ni Jimbo katika Libya ambalo lina utajiri mkubwa wa m a f u t a a m b a l o s a s a linapigania kujitenga na lishatangaza serikali yake.

M p a n g o w a U N -Framework Team, umeleta pia vurugu kubwa Guyana, Ecuador, Mauritania, the Maldives, Gambia,

Ghana, Nigeria, Guinea-Bissau, Sierra Leone, Sudan, Lesotho, Kenya, Zimbabwe, Yemen, na Fiji. Nchi zote hizi hiv sasa zinakabiliwa na migogoro mikubwa ama ya kikabila, kikanda au kidini.

Wa k a t i m w i n g i n e mambo haya yanakuwa magumu kufahamika na hata kukabiliana nayo kwa sababu wakati serikali z i l i takiwa kusimama kwa aji l i ya masilahi ya nchi na watu wake,

n a z o h u g e u k a k u wa vibaraka wa kuwatumikia mabeberu. Katika kuipiga Afghanistan na hata kuitia katika machafuko Pakistan yenyewe, alitumika sana Rais Pervez Musharaf.

I n a r i p o t i wa k u wa wakati vurugu katika Jimbo la Rakhine katika Burma zinajitokeza kama za Wais lamu na ma-Budha, lakini Idara ya Usalama ya Bangladesh- Directorate General o f Forces Intelligence (DGFI

Bangladesh) na wahaakati wa Kiislamu wa nchi hiyo, Harkat-ul-Jihad-al-Islam (HuJI), wanadaiwa kuwa wamekuwa wakitumiwa kuleta maafa na vurugu katika nchi hiyo.

Baadhi ya mashambulizi hudaiwa kuandal iwa na kupangwa ndani ya Bangladesh na Harkat-ul-Jihad-al-Islam (HuJI) w a k i s h i r i k i a n a n a R o h i n g ya S o l i d a r i t y O r g a n i z a t i o n . W o t e hao wakiwa na kambi zinazosimamiwa na DGFI. Hii maana yake ni kuwa Idara ya Usalama ya Bangladesh na Harkat-ul-Jihad-al-Islam, hutumiwa na mabeberu kuleta vurugu Rohingya ili kuvuruga mradi wa bomba la gesi katika kanda hiyo, mradi ambao unaonekana kuwa na manufaa na China na kuiweka kando Marekani na NATO.

Lakusikitisha ni kuwa kama ambavyo Waislamu wa Afghanistan na Pakistan wanateseka kutokana na ukibaraka wa wenzao akina Musharraf, ndivyo ambavyo Waislamu wa B u r m a wa t a e n d e l e a kuteseka kutokana na mipango ya Harkat -u l - J i h a d - a l - I s l a m ya Bangladesh inayopelekwa Rohingya.

MOJA ya majeruhi wa jeshi la Israel akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa na makombora ya Wapalestina.

Israel sawa Boko Haram magaidi katili wa kiduniaInatoka Uk. 16tu lakini lengo ni kuchukua ardhi ya Wapalestina na kuwapumbaza wale ambao sio Waislamu kuwa hili haliwahusu.

Dr. Lwaitama, alisema wanaadamu wanaoangalia kinachotokea Mashariki ya Kati, kuna swali la kujiuliza kwamba inakuwaje watu takr ibani 700 na za idi wanauliwa, lakini dunia na wapambanaji wa haki duniani hawachukui hatua yoyote kwa wanaotenda dhulma na unyama huo.

“Pamoja na unyama huo kwa Wapalestina, lakini dunia inatetea Wazayuni wanaolipua Mahospitali, majumba ya watu. Katika hali hii Dunia inaona sawa tu, lakini ni watu hawa hawa ambao wanajidai eti kufanya juhudi kuhusu watoto waliochukuliwa na kikundi kinachojiita Boko Haram”. Alisema Dr. Lwaitama.

N a y e M a a l i m A l l y Bassaleh amesema kuwa I s r a e l n d i o m a g a i d i wakubwa duniani kutokana na umwagaj i wa damu inayofanya kwa watu wasio na hatia katika Taifa la Palestina.

Aidha, akizungumza

katika maandamano hayo na mkutano uliofanyika katika viwanja vya Masjid Ghadir, Kigogo Jijini Dar es Salaam, Ijumaa ya wiki iliyopita, alilaani hatua ya Umoja wa Mataifa na taasisi zake mbalimbali pamoja na nchi zinazoifadhili Israel kwa kufumbia macho ukatili huo.

Maalim Ally Bassaleh amesema vitendo vya Israil, vinaonyesha kuwa hawa ndio magaidi wakubwa duniani.

Maalim Bassaleh, alisema katika ulimwengu wa sasa kunachorwa na kuaminishwa katika fikra za walimwengu k u wa e t i U i s l a m u n a Muislamu ndio magaidi na wamwagaji wa damu.

A l i s e m a , h i z o n i p r o p a g a n d a a m b a z o zinatengenezwa na watu wenye malengo yao maalum ama kwa Waislamu, Uislamu au kwa Mataifa ya Kiislamu, kwani haziendani na uhalisia wa propaganda hizo.

Alisema, propaganda hizo haziendani na usemi wa Kiingereza unaosema k w a m b a ‘ v i t e n d o huzungumza kwa sauti kubwa kushinda maneno’, hivyo akasema madai ya ugaidi dhidi ya Waislamu

yapo katika maneno tu lakini Waisrail, wao wanatenda vitendo.

“ K w a u n y a m a wanaoufanya Israil, ni wazi kuwa hawa ndio magaidi, ndio madhwalimu na wao ndio wamwagaji damu kwa kiwango kikubwa bila kujali watoto na vikongwe katika Taifa hilo la Palestina, lakini wale wapambanaji wa ugaidi hili hawalioni.” Alisema Maalim Bassaleh.

Kutokana na hali hiyo, Maalim Bassaleh, alisema suala hi lo l is iangal iwe kuwa ni la Waislamu, bali ifahamike kuwa ile ni dhulma kwa binaadamu hivyo kila mpenda amani Duniani hana budi kunyanyua sauti yake isikike kwamba utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya unyama.

M a a l i m u B a s s a l e h , alionyesha kushangazwa na kauli ya kiongozi mmoja wa dola kubwa kabisa Ul imwenguni , a l iyedai kuwa Waisrail wana haki ya kujitetea, kwamba unyama wanaoufanya upo katika sura ya kujitetea.

Akahoji, hapo wanajitetea kwa namna gani, ikiwa mtu anakuvamia katika nyumba

yako, kisha ukapambana naye utasemaje kwamba unajitetea wakati wewe umevamia.

Alisema, isitoshe hali hiyo imekuwa ikiendelea mpaka sasa (Ijumaa iliyopita) raia wa Kipalestina waliouwawa wameshafikia zaidi ya 800, miongoni mwa hao, alisema wamo watoto, wanawake kwa vikongwe, lakini alisema Israil, wanalalamika kuwa askari wake zaidi ya 20, wameuwawa.

“Hao tunao ambaiwa wanajitetea wanadai askari wake 20, wameuwawa lakini Wapalestina wanaouwawa ni watoto wanawake na watu wazima, hii ni dhulma iliyo wazi na ni lazima tuipinge.” Alisema Maalim Bassaleh.

Alisema, wanaoonewa n i Wapales t ina , l ak in i dhulma hiyo inamgusa kila Muislamu kwa maana maeneo yanayoshambuliwa ni maeneo matukufu, kwa kuwa kuna Masjid Aqswa, (Qudus Sharif ) ambayo Mwenyezi Mungu anasema ni nyumba ya Waislamu ya ibada.

H a t a h i v y o M a a l i m Bassaleh, alisema, mbali ya kuwa maeneo hayo ni

matukufu kwa Waislamu, i fahamike kuwa lakini pia Wapalestina hao ni wanaadamu miongoni mwao pia wamo Wakristo ambao nao wanauwawa bila sababu yoyote.

K w a u p a n d e w a k e Bi. Maisara Ally, alisema Dunia bila amani haiwezi kuwa ni mahala salama pa kuishi, hivyo wanalaani mauaji ya Wapalestina, na ukandamizaji unaoendelea huku sauti za na vilio vyao havisikiki.

“Suala hili ni la kila mpenda amani kwani ambaye hatetei wanyonge, ni wazi kwamba hana dini wala hana imani, si kwa Wapalestina tu, bali ni mahali popote ambapo pana ukandamizaji, mwanaadamu anapaswa kusimama atetee wanyonge”. Alisema Bi. Maisara.

Alisema, kiu ya mpenda amani yoyote ni kuona dunia inakuwa mahali pa amani na si mwenye nguvu amkandamize mwingine huku akilindwa na wengine.

Naye Sheikh Mumtaza, alisema wameandamana k u l a a n i k w a y a l e yanayoendelea Gaza, kwani wengi wanauwawa ni wale wasiokuwa na hatia.

Page 16: SHAWWAL, IJUMAA BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Israel yapata …docshare04.docshare.tips/files/23566/235661559.pdf · 2017. 2. 26. · uzito katika mitihani. Katika kuchambua hatua hiyo

16 AN-NUURSHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 201416 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.

AN-NUUR16 SHAWWAL 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 1-7, 2014

Soma gazeti la

AN-NUUR kila Ijumaa

U F A F A N U Z I umetolewa kuhusu n a m n a n u s r a y a Allah inavyowafikia Waislamu na kwamba inafuatana na vitendo na subra.

U f a f a n u z i h u o umepatikana katika khutba ya Eidul Fitri iliyoswaliwa kwenye viwanja vya Tangamano jijini Tanga Jumatatu ya wiki hii.

Mtoaji khutba hiyo alikuwa ni Naibu Mudiir wa taasisi ya Ansaar Sunna ya jijini hapa, Sheikh Salim Bafaadhil.

Sheikh Salim alianza kwa kufafanua sharti muhimu la kupatikana kwa nusra hiyo kwamba ni kushikamana na ibada na matendo mema bila ukomo wa muda na mazingira.

A l i s e m a , h a l i ilivyobadilika duniani s a s a k u w a l e n g a Waislamu, kumekuwa n a m a s wa l i m e n g i m i o n g o n i m w a waumini wakiona kama kwamba nusra ya Allah inachelewa.

A k a s e m a , h a t a Waislamu wakati wa Mtume (s.s.w) waliwahi kuelemewa na dhiki na kupelekea kuwa na mawazo kama hayo ndipo Allah Subhaanahu Wataala akateremsha kauli i l iyo kwenye surat Muhammad (47:7), ikisema:

“Enyi ml io amini ! M k i m n u s u r u M w e n y e z i M u n g u naye atakunusuruni na a ta i th ib i t i sha miguu yenu.”

Hata hivyo Sheikh Salim akasema kwa hali ya Waislamu wa leo, nusra kwao itakuwa iko mbali kwani matendo yao mema na ibada

Nusra ya Allah haitaki harakaNa Mwandishi wetu,

Tangahavina mwendeleo huku wakiwa na pupa ya kutaka nusra.

” A n g a l i a a l f a j i r i ya leo tu , mis ik i t i imekuwa mahame, safu hata mbili hazikujaa tofauti na ilivyokuwa Ramadhani” alisema Sheikh huyo.

Kwa upande wake Mudi i r wa Ansaar Sunna, Tanga, Sheikh Salim Barhiyaan akitoa salamu zake za Idi, uwanjani hapo, aligusia hali ya Waislamu Gaza.

Akasema, hawawezi kuswali Idi viwanjani na kusherehekea kutokana na kupigwa mfululizo na Mayahudi.

Akaongezea kwa kusema kuwa, pamoja na kwamba Wapalestina wamezungukwa na Waislamu wenzao wa mataifa ya Kiarabu, lakini hawana msaada wowote wanaoupata

ukiondoa ule utokao kwa Mola wao.

Zaidi ni kuwa wako v i j ana wamej i to lea kushir ik i j ihadi ya kuwatetea wenzao, lakini mataifa hayo ndiyo yanayowauwa m a r a w a n a p o f i k a mipakani.

Nchi hizo zimejaza masilaha ya kila aina lakini hakuna hata risasi moja wanayoifyatua dhidi ya Mayahudi kuwatetea Waislamu wenzao. Zimekaa kimya hata kwa kukemea tu dhulma hizo .

Pamoja na ugumu huo, Sheikh Barahiyani akasema kuwa vijana wa Kipalestina sasa wameweza kutengeneza maroketi ambayo yana uwezo wa kupiga mpaka Te l Av i v k i n y u m e na zamani ambapo ya l i k u wa h a ya z i d i kilomita 30.

NAIBU Mudiir wa taasisi ya Ansaar Sunna ya jijini hapa, Sheikh Salim Bafaadhil.

ISRAEL imetajwa kuwa taifa la kigaidi kwa vitendo na pia wauwaji katili sawa na Boko Harama.

Hayo yamebainishwa na wazungumzaji kadhaa k a t i k a m a a n d a m a n o ya l i y o f a n y i k a I j u m a a iliyopita kulaani mauwaji ya kinyama yanayofanywa na Israel kwa wananchi wa Gaza.

Akizungumza katika kilele cha maandamano hayo, Dr. Azaveli Lwaitama, alisema wanachokifanya Israil, hakina tofauti na matendo wanayoyafanywa na kikundi cha Boko Haram, cha nchini Nigeria.

Alisema, ul imwengu u m e s h u h u d i a M a t a f a makubwa wakijifanya wana uchungu na kuguswa na watoto wanaodaiwa kutekwa na kikundi hicho, na kutoa ushirikiano lakini alidai mataifa hayo yamekosa uchungu kwa watoto wa Kipalestina, wanaouwawa na Israil.

“Yani hawa wanajifanya wana uchungu, na hawa watoto waliotekwa na Boko

Israel sawa Boko Haram magaidi katili wa kiduniaNa Bakari Mwakangwale

Haram, lakini wanakosa h u r u m a k w a w a t o t o wa K i p a l e s t i n a , I s r a e l wanachokifanya hakina tofauti yoyote na hao jamaa wa Nigeria. Serikali ya Israel, ina watu wenye mawazo ya

ajabu kabisa.Ni Serikali ambayo haina

tofauti na hawa Boko Haram, ambao wanafikiri kwamba wanachoamini wao ndio sahihi.” Alisema Dr. Lwaitama.

Alisema, kwa wale ambao sio Waislamu (kama yeye) hawana budi kukemea na kuwapa moyo kwa sababu wanayoyafanya inaweza ikawa Uislamu ni kisingizo

Inaendelea Uk. 15

WANAWAKE wa Kiislamu wakishiriki katika maandamano ya kulaani mauwaji ya kinyama yanayofanywa na Israel kwa wananchi wa Gaza Ijumaa iliyopita jijini Dar es Salaam..