Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
-
Upload
anonymous-x8qgwff -
Category
Documents
-
view
320 -
download
0
Transcript of Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
1/27
1
MAELEZO YA MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CUF,
MAALIM SEIF SHARIF HAMAD, KWENYE MKUTANO NA
WAANDISHI WA HABARI SERENA HOTEL, DAR ES SALAAM,
TAREHE 11 JANUARI, 2016
KIINI CHA MZOZO WA KIKATIBA NA KISHERIA ZANZIBAR
ULIOTOKANA NA KUFUTWA ISIVYO HALALI KWA UCHAGUZI
MKUU, CHANGAMOTO ZAKE NA NAMNA YA KUUTATUA
N!"! #$%"! W$$%&'(& )$ H$*$+&,
Awali ya yote, naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu
Mtukufu kwa kutujaalia uhai na uzima wa afya na tukaweza kukutana
hapa asubuhi hii ya leo. Tunamshukuru Mwenyezi Mungu pia kwa
kuijaalia nchi yetu kuendelea kubaki katika hali ya amani na utulivu licha
ya changamoto nyingi zinazotukabili. Tunapoona watu wa nchi nyengine,
zikiwemo nchi jirani, wanateseka kwa kukosa amani ndipo tunapozidi
kutambua umuhimu wa neema hii ya amani katika nchi yetu.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aendelee kuibariki nchi yetu na watu
wake na atujaalie hekima na busara katika kuendesha mambo yetu ilituendelee kuitunza neema hii aliyotupa.
Pili, nichukue fursa hii kukushukuruni nyinyi wahariri na waandishi wa
habari kwa kuitikia wito wetu na kuja kutusikiliza. aamini mtatusikiliza
kwa makini, hususan kutokana na uzito wa suala tulilowaitia, na kisha
mtawafikishia !atanzania yale ambayo tumekuja kuwaeleza.
Tumewaita leo hii ili kuzungumzia kwa kina suala la "chaguzi Mkuu wa
#anzibar wa tarehe $% &ktoba, $'(% na matukio yaliyofuata, ikiwemohatua isiyo halali kikatiba na kisheria ya Mwenyekiti wa Tume ya
"chaguzi ya #anzibar )#*+, -echa alum -echa, kudai kwamba amefuta
uchaguzi huo na matokeo yake, mgogoro uliosababishwa na kitendo
hicho haramu, mazungumzo yanayoendelea kutafuta ufumbuzi wa suala
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
2/27
2
hilo, pamoja na njama za kuhujumu jitihada zinazoendelea za kutafuta
ufumbuzi kwa njia ya amani.
aomba mnivumilie wakati nasoma maelezo haya niliyoyaandaa kwani
kwa faida yenu na kwa faida ya !atanzania nimeona kuna haja ya kutoamaelezo ya kina kidogo ili suala hili liweze kufahamika kwa ukamilifu
wake.
1 UTANGULIZI
/itendo cha Mwenyekiti wa Tume ya "chaguzi #anzibar, -echa alum
-echa kutoa tamko lisilo halali kikatiba na kisheria la kuufuta "chaguzi
Mkuu wa #anzibar pamoja na matokeo yake kumeitumbukiza #anzibar
katika mzozo mkubwa wa kikatiba na kisheria. Aidha, kitendo hichokimeifedhehesha sana #anzibar na -amhuri ya Muungano wa Tanzania
mbele ya -umuiya za kikanda na kimataifa. Mzozo huo pia umeiweka
#anzibar katika njia panda sio tu kwa hali ya sasa lakini kwa mustakbala
wake wa baadaye na kuirejesha nyuma sana katika jitihada za kujenga
umoja wa kitaifa unaozingatia misingi ya utawala wa sheria, demokrasia
na mfumo wa utawala bora.
/ubwa zaidi, mzozo huo umeleta fadhaa kubwa sana kwa wananchi wa
mirengu yote ya kisiasa. "chumi na ustawi wa #anzibar nao umeathirikasana. !ananchi wako taaban huku hali ya maisha ikizidi kuwa ngumu na
bidhaa zikipanda bei kwa kasi wakati mzunguko wa fedha ukiwa
umepotea.
/atika hali hii, hapana budi juhudi za kuutatua mzozo huu zikamilishwe
kwa haraka kwa kuzingatia misingi ya kikatiba, kisheria na pia
mustakbala utaowafanya wananchi wa #anzibar waamini kwamba
mfumo uliopo wa kikatiba, kiutawala na kisheria ambao umechukua
muda kuujenga unaweza kufanya kazi na pale penye kasoro unaweza
kuimarishwa hatua kwa hatua kama ambavyo tumekuwa tukifanya kwamiaka kadhaa sasa.
2 YALIYOJITOKEZA KATIKA UCHAGUZI
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
3/27
3
1- H$.& /$ U($"!#&
"chaguzi Mkuu wa #anzibar uliofanyika tarehe $% &ktoba, $'(% kama
zilivyo chaguzi nyengine unakwenda sambamba na "chaguzi Mkuu wa
-amhuri ya Muungano wa Tanzania. +haguzi hizo mbili zinafanyika
katika vituo sawa kwa kutumia utaratibu, ulinzi na usimamizi ulio sawa.
/wa hivyo, siku ya uchaguzi mkuu mwananchi wa #anzibar ndani ya
kituo kimoja anapiga kura tano )% badala ya tatu )0 anazopiga
mwananchi aliyepo Tanzania 1ara. /ura ambayo mwananchi wa
#anzibar anapiga ni2
a /ura ya 3ais wa #anzibar4
b /ura ya Mjumbe wa 1araza la !awakilishi4
c /ura ya 5iwani4
d /ura ya 3ais wa -amhuri ya Muungano wa Tanzania4 nae /ura ya Mbunge
/wa jumla uchaguzi ulifanyika katia njia ya amani, utulivu na bila ya
kutokea vurugu. !aangalizi wa uchaguzi wa ndani na wa nje ya nchi katika
taarifa zao za awali walisifu na kupongeza jinsi uchaguzi ulivyofanyika.
2- K!$%"$#)$ M$34 /$ W$5!*4 )$ B$+$#$ .$ W$)$3&.&'(&
%$ M$&)$%&
/wa mujibu wa heria ya "chaguzi ya #anzibar amba (( ya (678, kama
ilivyo kwa heria ya "chaguzi ya -amhuri ya Muungano wa Tanzania,matokeo ya !ajumbe wa 1araza la !awakilishi na Madiwani unatangazwa
na Msimamizi wa "chaguzi wa -imbo husika )3eturning &fficer. /ifungu
cha 77 cha heria ya "chaguzi kinaeleza kama ifuatavyo2
baada ya matokeo ya uchaguzi kuthibitishwa Msimamizi wa Uchaguzi:
(a)Atamtangaza mgombea aliyepata kura nyingi mshindi hapo hapo;
(b)Atampatia aliyechaguliwa taarifa ya kuchaguliwa kwa maandishi;
(c)Atatuma taarifa ya uchaguzi kwa ume ya Uchaguzi kwa ajili ya
kuchapishwa katika Gazeti rasmi la Serikali.
/ifungu cha ($0 cha heria ya "chaguzi kinaeleza wazi kuwa uchaguzi wa
Mjumbe wa 1araza la !awakilishi hautahojiwa isipokuwa kwa njia ya /esi
ya "chaguzi mbele ya Mahkama /uu. /ifungu cha ((9 cha heria ya
"chaguzi kinaeleza watu ambao wana haki ya kufungua /esi ya "chaguzi.
Mwenyekiti wa Tume wala Tume yenyewe haimo katika orodha ya
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
4/27
4
wanaoruhusiwa kufungua kesi ya uchaguzi kuhoji matokeo ya uchaguzi
yaliyotangazwa na Msimamizi wa "chaguzi.
7- K!3$&.&3$ 3)$ U($"!#& )$ W$)$3&.&'(& %$ M$&)$%&
:adi kufikia asubuhi ya tarehe $9 &ktoba, matokeo ya majimbo yote %0
ambayo yalifanya uchaguzi wa !ajumbe wa 1araza la !awakilishi
yalitangazwa na !asimamizi wa "chaguzi na kuwapatia shahada za
kuchaguliwa wale wote walioshinda. Aidha, uchaguzi wa madiwani
ulikamilika na kupatiwa shahada katika !adi zote zilizofanya uchaguzi.
/wa maana hiyo, kufikia tarehe $9 &ktoba, uchaguzi wa !ajumbe wa1araza la !awakilishi na Madiwani ulishakamilika. Aidha, uchaguzi wa
!abunge nao ulishakamilika na washindi kukabidhiwa vyeti vyao vya kuwa
wamechaguliwa.
heria ya "chaguzi ya #anzibar, kifungu cha ($0 kimeeleza wazi kwamba
baada ya uchaguzi kukamilika, unaweza kuhojiwa tu kwa njia ya /esi ya
"chaguzi sio vyenginevyo.
8- M$34 /$ U($"!#& )$ R$&' )$ Z$%#&*$+
:adi kufikia tarehe $9 &ktoba, asubuhi kazi ya kuhesabu kura za urais na
kukusanya matokeo katika Majimbo yote ya #anzibar ilishakamilika. heria
ya "chaguzi kifungu cha 8$ kinaelekeza ifuatavyo2
Baada ya kukamilika kuhesabu kura katika vituo vyote vya uchaguzi
katika jimbo (a ikihitajika kazi ya kuhesabu tea kura) !simamizi wa
"chaguzi wa #imbo atawasilisha kwa $ume ya "chaguzi a kwamgombea urais au wakala wake%
a) &dadi ya kura za urais zilizopigwa katika #imbo'
b) &dadi ya kura alizopata kila mgombea'
c ama mgombea urais i mmoja tu idadi ya kura zilizomchagua
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
5/27
5
Baada ya hapo $ume itajumlisha kura zote za "rais kutoka kila #imbo.
heria ya "chaguzi, kifungu cha 8$)$ inaeleza kwamba Tume inaweza,ikiwa itakuwa na sababu za msingi, kabla ya kutangaza matokeo kuagiza
kura katika majimbo au jimbo fulani kuhesabiwa upya.
1aada ya kujumuisha matokeo ya urais kutoka katika Majimbo, heria ya
"chaguzi kifungu cha 8$)0 kinaelekeza kwamba Tume itamtangaza
mshindi.
Tume ilifanya kazi ya kujumlisha matokeo ya "rais kutoka katika Majimbo
kama inavyoagizwa na heria. 1aada ya majumuisho hayo, hakuna pahala
ambapo Tume iliagiza kura zihesabiwe upya kama heria inavyoagiza ikiwakutakuwa na sababu ya kufanya hivyo. 1ila ya shaka kwa vile hakukuwa na
kasoro iliyopelekea haja ya kuhesabiwa upya Tume haikuchukua hatua hiyo.
:adi kufikia tarehe $7 &ktoba, Tume ilishatangaza matokeo ya kura za
"rais kutoka katika majimbo 0(4 na ilishakamilisha kujumlisha matokeo ya
majimbo mengine 6 )ambayo ilikuwa bado haijayatangaza. /wa maana
hiyo, kazi ya kujumlisha na kuhakiki matokeo ya majimbo 8' kati ya
majimbo %8 ilikuwa imeshakamilika. /wa mujibu wa heria ya "chaguzi
kifungu cha 8$)9 Tume inatakiwa itangaze matokeo ndani ya siku 0 tokeasiku ya kupiga kura. :ivyo, tarehe $7 &ktoba ilikuwa ndiyo siku ya mwisho
ambayo Tume ilitakiwa itangaze matokeo ya "rais.
:ata hivyo, majumuisho ya matokeo ya "rais kupitia taarifa ambayo Tume
iliwapatia mawakala wa wagombea au wagombea wenyewe chini ya kifungu
cha 8$)( cha heria ya "chaguzi baada ya kujumuishwa yalikuwa
yanaonyesha kwa ufupi kama ifuatavyo2
MGOMBEA KURA ZA
MGOMBEA
ASILIMIA
DR ALI
MOHAME
D SHEIN
(7$,'(( 89.$7;
MAALIM $'
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
6/27
6
SEIF
SHARIF
HAMAD
=5A5= >A/"3A :A?A?=
060, 0$0
:apa hatukuorodhesha matokeo ya wagombea wengine kwani hakuna hata
mmoja aliyefikisha angalau asilimia ( ya kura zilizopigwa.
7 KUFUTWA KWA UCHAGUZI NA MWENYEKITI WA TUME
1- M)4%4% )$ M)4%/43&& )$ T!4 %$ Y$.&/5&34#$ 3$*.$
/$ K!9!$ U($"!#&
/abla ya Mwenyekiti wa Tume kutoa tamko lake peke yake la kufuta
uchaguzi alionesha dhahiri kuwa alikuwa na ajenda ya siri. /wanza,
alichelewesha kwa makusudi zoezi la kujumuisha matokeo kwa visingizio
mbali mbali ikiwemo kuchelewa kufika kwenye kituo cha majumuisho
kilichokuwepo :oteli ya 1wawani, kuondoka mapema na kusingizia
anaumwa. /wa mfano siku ya tarehe $< &ktoba aliahirisha zoezi hilo kwa
madai ya kuwa na tatizo la sindikizo la damu. iku ya tarehe $7 &ktobaambayo kwa mujibu wa heria ndiyo ilikuwa siku ya mwisho ya kutangaza
matokeo, Mwenyekiti hakuonekana kabisa katika kituo cha kutangaza
matokeo katika :oteli ya 1wawani. 1aada ya !ajumbe waliobaki wa Tume
kuona wanachelewa na siku hiyo ilikuwa ya mwisho, waliamua kwamba
Makamu Mwenyekiti wa Tume, -aji Abdulhakim Ameir =sssa aendelee
kuongoza Tume kukamilisha kazi ya kutangaza matokeo ya "rais kwa vile
kifungu cha ((6)(' cha /atiba ya #anzibar kinaruhusu kufanya hivyo.
!akati zoezi hilo likiendelea mambo matatu makubwa yalijitokeza2
a /ituo cha 1wawani kilizingirwa na -eshi la "linzi la Tanzania
)-!T# wakitoa amri ya kuzuia kila aliyekuwemo ndani asitoke na
aliyekuwa nje asiingie katika eneo hilo4
b Makamu Mwenyekiti wa Tume ya "chaguzi, -aji Abdulhakim Ameir
=ssa alipewa taarifa ya wito muhimu na mmoja wa watumishi wa
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
7/27
7
Tume na alipotoka nje ya ukumbi wa kikao cha Tume alichukuliwa na
askari Polisi na kupelekwa Makao Makuu ya -eshi la Polisi, /ilimani4
c Televisheni ya hirika la "tangazaji #anzibar )#1+ na redio ya
hirika hilo yalitoa matangazo ya tangazo la Mwenyekiti wa Tumekufuta uchaguzi na matokeo yake4
1aada ya hapo Tume haikuitishwa tena hadi tarehe ( ovemba, $'(%
ambapo Mwenyekiti aliwaarifu !ajumbe wa Tume yafuatayo2
i. /wanza alitangulia kuomba radhi !ajumbe kwa vile baada ya
kukutana na vyombo )bila ya kutaja vyombo gani alilazimika
kusema baadhi ya mambo ya uongo katika taarifa yake na kufuta
uchaguzi ili kuokoa hali4ii. Alitaka !ajumbe wamuunge mkono kwa kitendo alichofanya4
Tarehe ($ ovemba, Mwenyekiti wa Tume alitoa Tangazo rasmi amba (0'
la kufuta uchaguzi )matokeo kupitia @azeti 3asmi la erikali
lililochapishwa tarehe 9 ovemba. :ata hivyo, Tangazo hilo lilikuwa na
kasoro za wazi za kisheria ambazo nitazieleza hapo mbele.
2- U($.$.& )$ M)4%/43&& )$ T!4 3!9!$ U($"!#&
Mbali ya kwamba kitendo cha Mwenyekiti wa Tume kimedhihirika kuwa ni
njama za wazi za kisiasa ambazo zilipangwa na kutekelezwa na Mwenyekiti
wa Tume, vyombo vya ulinzi na viongozi wa kisiasa ambao sasa
wanamtetea, uamuzi wa Mwenyekiti wa Tume kufuta uchaguzi hauna
uhalali wowote kwa sababu zifuatazo2
a "chaguzi ukamilika: "chaguzi wa !ajumbe wa 1araza la
!awakilishi na Madiwani kwa mujibu wa heria ya "chaguzi
ulishakamilika. /wa upande wa uchaguzi wa 3ais naoulishakamilika isipokuwa hatua ya kutangaza matokeo ambayo
nayo kwa mujibu wa sheria ilitakiwa iwe imeshakamilika.
/ama ilichelewa ilicheleweshwa makusudi na Mwenyekiti
katika juhudi zake za kutafuta visingizio vya kuharibu uchaguzi
ili mshindi halali asitangazwe. Tume haina mamlaka ya
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
8/27
8
kuahirisha, kutengua matokeo au kufuta uchaguzi uliokwisha
kamilika. :*3=A >A "+:A@"#= imeeleza wazi mamlaka
ya Tume baada ya kazi ya kuhesabu kura kukamilika. Mamlaka
pekee ni ya kurudia kuhesabu kura kwa majimbo yote au kwa
-imbo moja iwapo itaridhika kwamba ipo sababu ya msingi yakufanya hivyo. /ifungu cha 8$)$ cha heria ya "chaguzi
imeeleza wazi juu ya uwezo huo wa Tume. /uipa mamlaka
Tume kutengua uchaguzi uliokwisha kamilika ni sawa na
kuingilia kazi za mhimili wa Mahkama. :ata Mahkama
yenyewe inafungwa na heria ya "chaguzi. /ifungu cha ($0
kimeeleza watu ambao wanaweza kuhoji matokeo ya uchaguzi
baada ya kutangazwa na 3eturning &fficer. Mwenyekiti wa
Tume au Tume hawamo katika orodha ya wanaoweza kuhoji
uchaguzi baada ya kutangazwa matokeo. Aidha, chini yaheria ya "komo, Mahkama haiwezi kusikiliza tu shauri lolote
lazima izingatie muda unaokubalika kusikiliza shauri4
b !amlaka ya !weyekiti:i wazi kuwa Mwenyekiti alivunja
/atiba. Alikwenda kinyume na kifungu cha ((6)( cha /atiba
na alikiuka kifungu cha ((6)(' cha /atiba juu ya utaratibu wa
Tume kufanya maamuzi kwa kuamua kufuata uchaguzi bila ya
kuitisha kikao cha Tume wala kushauriana na Tume. /ifungu
cha ((6)( cha /atiba ya #anzibar kinaeleza muundo wa Tumeambayo imeshirikisha wadau wakuu wa uchaguzi na watu
wengineo huru. /ifungu cha ((6)(' kinaweka utaratibu wa
Tume kufanya maamuzi na kimeeleza kwa maelezo ya wazi
kama ifuatavyo2
;3&)$%" ($ &3!$% /$ T!4 /$ U($"!#& %&
M)4%/43&& $! M$3$ M)4%/43&& %$ W$5!*4 )$%%4
%$ kila!$!#& )$ T!4 i lazima!!%")4 3% %$
W$5!*4 )$.& )4%"&a kwanza ni suala la 3ais kumaliza
muda wake kikatiba. /atiba ya #anzibar chini ya kifungu cha $7)$
kimeeleza wazi kwamba muda wa 3ais kushikilia wadhifa huo ni miakamitano. /ifungu cha $6 kinaeleza masharti ya kuongeza muda huo wa
miaka mitano ambayo ni magumu na yenye ukomo maalum. :ata hivyo,
washauri wa 3ais kwa kutumia tafsiri isiyo sahihi ya /atiba wamemshauri
kwamba kwa kutumia kifungu cha $7)()a anaweza kuendelea kuwa 3ais
hadi 3ais mpya atapoapishwa. /wa ufupi tunaangalia athari ya tafsiri hiyo2
M&=$3$ /$ K&9!%"! ($ 2>?1-?$-
/ifungu cha $7)()a kinachoruhusu 3ais aendelee mpaka 3aisanayefuata ale kiapo kina mipaka ya wazi katika /atiba. Mpaka wa
kwanza unahusu muda wa "rais. /atiba chini ya kifungu cha $7)$
kimeweka bayana kuwa muda wa "rais ni miaka mitano. :ili ni sharti
mahsusi na ndio maana /atiba haijaruhusu suala la kuongezwa muda wa
miaka % lifanywe kiholela au kwa mlango wa nyuma. /ifungu cha $6
cha /atiba kimeweka bayana sababu na utaratibu wa kuongeza miaka
mitano. ababu hizo ni nzito na muda kuongezwa ni mahsusi. /ifungu
cha $6 kinaeleza2 ikiwa #amhuri ya !uugao wa $azaia imo
katika vita a ikiwa *ais aaoa kuwa i muhimu kuzuia uchaguzi,Baraza la -awakilishi liaweza kwa kupitisha azimio, kuzidisha muda
wa miaka mitao uliotajwa kweye kijiugu cha () cha kiugu cha
/ katika kipidi hadi kipidi lakii hakua kipidi kitachozidi miezi
sita mululizo.
Mpaka wa pili unaoonesha ni kwa kiasi gani /atiba haitoi mwanya wa
kujiongezea miaka mitano, ni ile ya ukomo wa vipindi viwili vya miaka
mitano chini ya kifungu cha 0')()b. /atika kuonesha jinsi /atiba
ilivyo strictkatika ukomo wa miaka mitano, tafsiri ya miaka mitano chiniya kifungu cha 08)iv imefanywa kwa namna ambayo /atiba inaruhusu
miaka mitano ipungue kuliko kuzidi. /ifungu hicho kinaeleza2 Cbila
kujali masharti ya viugu vya /(0) a 01(2) (b) vya atiba, edapo
mtu aayemuata *ais kwa madaraka atashika kiti cha *ais kwa
kipidi kiachopugua miaka mie ataruhusiwa kugombea aasi ya
*ais mara mbili lakii kama atashika kiti cha *ais kwa muda wa
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
13/27
13
miaka mie au zaidi ataruhusiwa kugombea aasi ya *ais mara
moja tu.
/ama /atiba ingekuwa imelichukulia kipindi cha miaka mitano kwa
wepesi kama alivyotaka kutuaminisha aliyetoa ushauri basi isingechukuashida ya kutafsiri maana ya miaka mitano kwa namna iliyofanywa na
kifungu cha 08)iv.
:ivyo tafsiri yoyote ya /atiba inayotoa mwanya wa kuongeza kipindi
cha "rais cha miaka mitano kwa njia nyepesi, ya kiholela na ya kiujanja,
tafsiri hiyo haiwezi kuwa sahihi. /atika kutafsiri /atiba Profesa +rabe
ametoa angalizo muhimu kwa kusema kuwa2 Cits 3the costitutio4
provisios are ot mere rules o coduct or the guidace o society,
but also commads to be obeyed. &t is ot a e5uatio i mathematicsto be iterpreted by reerece to umbers, it is, i a sese, orgaic6.all
the duties, obligatios, powers, privileges ad rights must be e7ercised
i accordace with the letter o the costitutio. !ore tha that, they
should be e7ercised ad eorced i accordace with the spirit o the
costitutio
M"%"$% )$ T$9'&+& %$ K&9!%"! ($ 2>?2- %$ 2@
"shahidi mwengine wa wazi kuwa tafsiri inayotolewa ya kifungu cha$7)( )a kuwa sio sahihi ipo katika /anuni za tafsiri ya sheria. Moja ya
/anuni za msingi ni kuwa tafsiri yoyote ya sheria au kifungu cha sheria
inayopelekea kufanya kifungu chengine cha sheria kisiwe na maana
(irrele"ant)au kisiwe na haja ya kuwepo (redundant)basi tafsiri hiyo ni
ya kituko (absurd)# a tafsiri yoyote ya kituko basi sio sahihi. Tafsiri
inayotolewa kumruhusu 3ais aendelee inakifanya kifungu cha $7)$
kinachoweka muda wa "rais kuwa miaka mitano kisiwe na maana.
Aidha, inakifanya kifungu cha $6 cha /atiba kinachoeleza sababu na
utaratibu wa kuongeza huo muda wa miaka mitano kisiwe na haja yakuwepo. ?akini pia inafanya mfumo mzima wa kuvunjwa 1araza la
!awakilishi na kuitishwa uchaguzi mkuu ndani ya muda maalum na
muda wa ukomo wa vipindi vya "rais vyote visiwe na maana. /ifungu
cha $7)( )a hakizungumzii muda wa "rais bali kinazungumzia wakati tu
mahsusi ndani ya hiyo miaka mitano ambapo kiti cha 3ais atakabidhiwa
mtu mwengine.
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
14/27
14
/ifungu hicho kinaweza tu kutumika kuongezeka kwa miaka mitano
iwapo itatokea dharura halali kwa mujibu wa sheria )eDigency by
operation of the law kama vile "chaguzi katika jimbo au majimbo fulani
unapotokea kuharibika kwa sababu inayokubalika na ambayo sheriaimeiruhusu Tume kuakhirisha uchaguzi na kuitisha siku nyengine. :ii ni
dharura ambayo sheria imeshaiwekea misingi yake. Au dharura
isiyotazamiwa na inayokubalika )unforeseeable legitimate eDigency.
Mfano mzuri hapa ni pale mgombea anapofariki kabla tu ya uchaguzi au
kabla ya kuapishwa. :izi ni dharura ambazo mifumo yote ya kisheria
inazitambua na hata Mahkama imezitambua.
A($+& #$ T$9'&+& &'&/3!)$ '$(&(&
Tafsiri isiyo sahihi iliyotolewa ina athari kubwa zifuatazo2
$wanza%/atiba haikuweka muda maalumu wa kufanya uchaguzi
uliofutwa katika mazingira yasiyokuwa halali. /isheria uchaguzi
uliofutwa katika mazingira hayo hauitwi kwamba ni uchaguzi
uliofutwa bali ni uchaguzi unaodaiwa umefutwa )purported
nullification of election. /atiba imeweka muda kwa chaguzi
zinazoitishwa kihalali tu ama kwa kuvunjwa 1araza, kufariki
mwenye wadhifa au matokeo kulingana. /wa tafsiri iliyotolewa ina
maana kuwa 3ais aliyepo anaweza kushika wadhifa huo hadi Tume
ya "chaguzi itapoamua kuitisha uchaguzi. /wa vile hakuna ukomo
wala muda maalum uliowekwa ndani ya /atiba wala heria
uchaguzi unaweza kuitishwa hata baada ya mwaka mmoja au miwili
kwa vile hakuna ukomo wa kikatiba wala wa kisheria. Athari ya
jambo hili ni sawa na kuisimamisha sehemu ya /atiba4
&ili%tafsiri hiyo ya /atiba inatoa mwanya kwa 3ais kutosimamia
/atiba kwa kutomchukulia hatua Mjumbe wa Tume aliyekwenda
kinyume na /atiba au sheria iwapo tu Mjumbe huyo amefanya
hivyo kwa manufaa ya 3ais. /ifungu cha ((6)9 )
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
15/27
15
"chaguzi ipo juu ya /atiba na heria za nchi kwa vile 3ais ana hiari
ya kusimamia vifungu vya /atiba vinavyosimamia nidhamu yao.
/ubwa zaidi kuliko yote ni kujiuliza iwapo mwendo huo wa 3ais
hauendani kinyume na masharti ya kifungu cha 0
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
16/27
16
(678, tokea awali ilipotungwa mwaka (678 dhana hizi mbili
zilitenganishwa na ziliwekewa masharti tofauti juu ya uhai wa 1araza.
5hana ya 1araza kuvunjwa na athari zake iliwekwa chini ya kifungu cha
6')( na ile ya 1araza kumaliza muda iliwekwa chini ya kifungu cha 6$sawa na /atiba ilivyo sasa hivi. Tofauti yao ni neno tu ambalo
limetumika4 chini ya Toleo la mwanzo la /atiba neno lililotumika ni
C1araza litapo"un*ikaG na Toleo la $'(' neno linalotumika ni C1araza
litapo"un*waG. Tofauti hii ya maneno ilifanywa na kifungu cha $% cha
heria ya Marekebisho ya /umi ya /atiba, amba $ ya $''$. :ata
hivyo mabadiliko haya ya maneno hayakubadili dhana hizi mbili kwa
namna yoyote ile.
/atiba ya #anzibar imeweka dhana mbili katika uhai wa 1araza. /wanza1araza linavunjwa. Madhumuni ya kuvunjwa ni kutoa fursa ya kuandaa
uchaguzi mkuu. /atiba imetoa siku 6' kufanyika maandalizi ya uchaguzi
hadi 1araza na 3ais mpya kuapishwa. /atika kipindi hicho ndipo
ambapo Mawaziri wanaendelea kuwa Mawaziri. /ifungu cha 87)b
kimetumia maneno ya wazi kwamba nafasi ya !aziri itakuwa wazi2
Ciwapo mjumbe ameacha kuwa mjumbe wa 1araza la !awakilishi kwa
sababu yegie zaidiya kuvujika kwa 1araza hiloG. :ivyo, 1araza
kumalizika muda )lapse or eDpiration of tenure ni wazi haingii katika
dhana ya 1araza kuvunjika )dissolution. 1araza likimalizika mudalinakuwa halipo na ndio maana hata /atiba, kifungu cha 6$)( kimetumia
maneno ;!aisha/$ B$+$#$ .$ W$)$3&.&'(& /$$4%4.4$ 3)$ !$ )$
&$3$ &$%
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
17/27
17
viwili tofauti, ndio maana /atiba ya baadhi ya nchi wameweka bayana
dhana hizi mbili katika suala la kuendelea nafasi ya uwaziri baada ya 1unge
kuvunjwa au kumaliza muda. /atiba ya Hiji kwa mfano, katika kifungu cha
('%)$ inaeleza2 Csub*ect to subsection (+)% appointment of a Ministerterminates if;
(a),
(d) the Minister ceases to be a Member of &arliament
(+) if a Minister ceases to be a Member of &arliament because of the e7piry
or dissolutio o the +ouse o *epresetatives% he or she continues in office
as Minister until the ne-t appointment of a &rime Minister#
/atiba ya #anzibar imeruhusu kwa maneno ya wazi kuwa !aziri aendeleena uwaziri katika kipindi ambacho 1araza limevunjwa tu na sio wakati
ambao 1araza limemaliza muda. /wa hivyo tokea 1araza kumaliza muda
wake tarehe ($ ovemba, #anzibar haina mawaziri. :ata hivyo baadhi ya
waliokuwa mawaziri wamefanywa kama bado ni mawaziri na wanaendelea
kufanya maamuzi makubwa jambo ambalo ni la hatari.
- K!3!)4= B$+$#$ .$ W$)$3&.&'(&
1araza la !awakilishi limemaliza muda tokea tarehe ($ ovemba. :oja
kuhusu suala hili yameelezwa kwa kina katika aya )b hapo juu inayohusu
kutokuwepo mawaziri. Aidha, pika wa 1araza hilo amethibitisha kwamba
1araza halipo ingawa jambo la kushangaza naye amedai yeye na aibu
wake wanaendelea kushika madaraka yao mpaka pika mpya atapoapishwa.
/atiba ya #anzibar imeeleza wazi chini ya kifungu cha %A mgawanyo wa
kazi baina ya mihimili mikuu ya erikali. Miongoni mwa mihimili hiyo ni
1araza la !awakilishi. /azi muhimu ya 1araza ni kuisimamia erikali.
/utokuwepo chombo hicho huku erikali ikiendelea na kazi zake ni jambo
la kuvunja katiba kwa kiasi kikubwa.
2- H5$ /$ K!+!&)$ U($"!#&
:oja ya kurudiwa uchaguzi ambayo imeshikiwa bango na +hama cha
Mapinduzi, #anzibar ni ya kutafuta manufaa ya kisiasa baada ya +hama cha
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
18/27
18
Mapinduzi kushindwa katika uchaguzi. Mbali ya matokeo ya uchaguzi ya
"rais wa #anzibar ambayo yanaonyesha wazi kuwa ++M imeshindwa kwa
kura nyingi sana kwa kiwango na uzoefu wa #anzibar, hata kura za "rais wa
-amhuri ya Muungano kwa upande wa #anzibar zinaonyesha hivyo hivyo nakwa hiyo kuthibitisha kuwa ++M ilipoteza uchaguzi huo. /wa muhtasari
matokeo ya "rais wa Muungano kwa upande wa #anzibar ni kama
yafuatavyo2
MGOMBEA KURA HALALI ASILIMIA
DR JOHN
POMBE
MAGUFULI
(68,0(< 89.%;
EDWARD
NGOYAYE
LOWASSA
$((,'00 %'.%';
=5A5= >A /"3A
:A?A?=
8(
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
19/27
19
/iini cha mzozo uliozushwa katika uchaguzi ni uamuzi batili wa
Mwenyekiti wa Tume. /urejea uchaguzi bila kupatia ufumbuzi juu ya
uhalali wa uamuzi wa Mwenyekiti ni sawa na kuhalalisha kitendo cha
Mwenyekiti na kutoa ruhusa kuwa huko mbele anaweza kufanya tena
kitendo kama hicho au Tume inaweza kufanya kitendo kama hicho. :iini kujenga msingi wa kuwa na chaguzi zisizokwisha na mizozo isiyo na
mwisho. ?azima mipaka ya Mwenyekiti na Tume iwekwe bayana ili
hapo baadaye ijulikane nini ukomo wa mamlaka yao.
- K!54%"$ I$%& /$ W$=&"$ K!+$
"chaguzi ni wa wapiga kura na sio wa vyama au wagombea. ?azima
wapiga kura waridhishwe kuwa uchaguzi ulikuwa na tatizo la kiasi cha
kuufanya matokeo yake yasionyeshe dhamira na uamuzi wa wapiga kura.:adi sasa hakuna mwelekeo unaonyesha kuna ukweli katika tuhuma za
kasoro za uchaguzi. Moja ya madai ya ++M ni kwamba eti Pemba watu
waliopiga kura walikuwa ni zaidi ya walioandikishwa lakini ukweli ni
kwamba takriban watu $6,''' walioandikishwa hawakupiga kura
kisiwani humo. /atika mazungumzo yanayoendelea =kulu, #anzibar
baina ya viongozi, ++M imetakiwa mara kadhaa kuleta ushahidi wa
tuhuma zake kwamba kulikuwa na hujuma lakini imeshindwa kufanya
hivyo. Matamko ya !aangalizi wa "chaguzi na namna tuhuma za
kasoro za uchaguzi zilivyoibuliwa na Mwenyekiti wa Tume haziwezikuwashawishi wapiga kura kwamba kulikuwa na kasoro katika uchaguzi.
:oja ya kurudiwa uchaguzi inaonekana wazi kuwa ni ajenda ya kisiasa
ya chama kilichoshindwa. :ali hii ni sababu tosha ya kuleta fujo iwapo
hatua yoyote ya kurudia uchaguzi itachukuliwa.
- C($%"$ #$ K!!%$ T!4 M=/$ /$ U($"!#&
i dhahiri kuwa uchaguzi wa #anzibar umehujumiwa na Mwenyekiti wa
Tume kwa sababu ya sindikizo la kisiasa. /wa vyovyote vile yeye hafaitena kuendelea kuiongoza Tume hiyo katika kazi yoyote ya Tume
iliyobaki. i lazima akae pembeni.
/urejea uchaguzi ni sawa na kuihukumu Tume nzima kuwa ina makosa
wakati makosa hayo yalifanywa na mtu mmoja tu. :ivyo, kwa vyovyote
vile, kama uchaguzi utarudiwa, haitawezekana kwa Tume iliyopo na
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
20/27
20
ekretarieti kusimamia uchaguzi wa marudio. /ufanya hivyo ni
mgongano mkubwa wa maamuzi kwamba Tume iliyokiri kuharibu
uchaguzi isimamie tena uchaguzi wa marudio. :ivyo, kama Tume na
ekretarieti itabidi iondoke na kuunda Tume na ekretarieti mpya, bado
kutakuwa na changamoto kubwa zaidi ya kuunda Tume mpya yauchaguzi. Miongoni mwa changamoto kubwa ni kama zifuatazo2
& uodolewa -ajumbe waliopo: kwa mujibu wa kifungu cha
((6)9,)
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
21/27
21
sababu ya 1araza kumaliza uhai wake, hawezi kutumia
masharti ya kifungu cha 87)d kwa vile tayari ameshaondokewa
na sifa chini ya kifungu cha 87)b ambayo ni sifa ya lazima
chini ya kifungu cha 06)9 ya kuwa /iongozi wa hughuli za
erikali ndani ya 1araza. :ivyo haitowezekana kuwapata!ajumbe $ wa Tume kutokana na kutokuwepo msingi halali wa
kikatiba wa kuwapata4
&&& !uda wa kujega uwezo wa kiutedaji a wa kitaasisi%:ata
kama changamoto zilizotajwa hapo juu zitapatiwa ufumbuzi,
changamoto kubwa ni ile ya muda utaohitajika kujenga uwezo
wa kiutendaji kwa ekretarieti na wasaidizi wao katika ngazi ya
Mikoa na !ilaya na !ajumbe wa Tume ili waweze kusimamia
uchaguzi kwa ufanisi wa viwango vinavyokubalika.+hangamoto nyengine ni ya muda utaohitajika wa Tume
kuhakiki na kujiridhisha na daftari la wapiga kura ambayo ndio
nyenzo kuu ya uchaguzi. /wa vyovyote vile muda utaohitajika
kwa Tume mpya kujiandaa hadi kufanya uchaguzi mwengine
kwa kiwango cha chini kabisa ni angalau mwaka mmoja. uala
muhimu ni kwamba nchi itawezaje kwenda wakati hakuna
1araza la !awakilishi wala hakuna 1araza la Mapinduzi.
/utokuwepo kwa 1araza la Mapinduzi kwa maana ya mawaziri
kutaathiri sana utendaji kwa vile mawaziri wana mamlakamakubwa ya kisheria chini ya heria mbali mbali kama vile za
fedha hivyo kutokuwepo kwao au uwepo wao usiokuwa halali
kisheria kuna athari kubwa katika utendaji wa erikali.
+hangamoto kubwa zaidi ni suala la bajeti ya erikali ambayo
ni lazima iandaliwe na ipitishwe ndani ya muda maalum.
/wa kuzingatia sababu zote hizo, ni wazi kuwa :oja ya kurudiwa uchaguzi
haina uhalali, haina msingi na ni chachu ya kuiweka nchi katika utawala
usiokuwa halali na kusababisha fadhaa kubwa kwa wananchi. i hoja
ambayo inaweza kuzaa fujo na vurugu katika nchi na kupelekea mzozo
mkubwa zaidi wa kikatiba na kisheria. idhani kama tunataka tuifikishe
huko nchi na tuwafikishe huko wananchi tulioapa kuwatumikia na
kuwalinda.
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
22/27
22
MAZUNGUMZO YANAYOWAHUSISHA WAGOMBEA URAIS
WA CUF NA CCM PAMOJA NA MARAIS WASTAAFU WA
ZANZIBAR
/ufuatia jitihada kubwa nilizozifanya kwa njia ya simu na hatimaye
kufikisha maombi yangu kwa maandishi kumtaka 5k. Ali Mohamed hein
akutane na mimi, hatimaye alikubali na kupendekeza tuwashirikishe
viongozi wengine wastaafu wa #anzibar.
:adi sasa tumeshafanya vikao vinane, cha kwanza kikiwa ni kile cha tarehe
6 ovemba, $'(%.
!engi wenu mmehoji kwa nini nikakubali kushiriki vikao ambavyo niko
peke yangu kutoka +"H wakati ++M wako watano. ilikubali hivyo kwakutumia msingi wa kuwashirikisha Marais wastaafu wa #anzibar lakini pia
nikiamini kwamba tungeongozwa na busara na kuheshimu /atiba na heria
badala ya utashi wa vyama vyetu.
Tokea mazungumzo hayo yaanze, wananchi wengi wamekuwa wakitaka
tuwaeleze kinachoendelea. Mimi binfasi niliamua kubaki kimya kwa
kuheshimu msingi tuliojiwekea kwamba taarifa ya mazungumzo hayo
itolewe kwa pamoja baada ya mazungumzo kukamilika. :ata hivyo,
inasikitisha kuona wakati mimi nikiheshimu hilo na kuwa kimya kipindi
chote hicho, viongozi wenzangu kutoka upande mwengine wamekuwa
wakiliuka hilo na kutoa taarifa ambazo zimekuwa zikiwachanganya
wananchi.
/utokana na mwenendo huo, nimeona kuna haja na mimi kuwaeleza
wananchi ukweli wa kile kinachoendelea.
3ais -ohn Pombe Magufuli amefanya kazi kubwa ya kututia moyo ili
tukamilishe mazungumzo hayo kwa ufanisi na kwa kuzingatia matakwa ya
/atiba na heria. Alikutana na mimi na baadaye akakutana na 5k. Ali
Mohamed hein. :ata hivyo, inasikitisha kwamba hata yeye 3ais Magufuli
hakuachwa kufitinishwa na wananchi wa #anzibar pale 1alozi eif Ali =ddi
alipodai hadharani kwamba eti Mheshimiwa 3ais wa -amhuri ya Muungano
wa Tanzania katutaka turudi #anzibar tukakamilishe taratibu za kurudia
uchaguzi, jambo ambalo si kweli.
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
23/27
23
"kweli ni kwamba katika vikao hivyo vinane bado 5k. Ali Mohamed hein
na 1alozi eif Ali =ddi wananIganIgania kurudia uchaguzi huku wakimtetea
kwa nguvu zote -echa alum -echa, na mimi nimesisitiza haja ya kuheshimu
matakwa ya kikatiba na kisheria na maamuzi ya wananchi wa #anzibarwaliyoyafanya tarehe $% &ktoba, $'(% katika uchaguzi ambao waangalizi
wote wa ndani na nje na hata Mwenyekiti wa Tume ya "chaguzi ya
#anzibar walisema kwamba ulikuwa huru, wa haki na uliofanyika katika hali
ya amani.
/wa hakika hadi jana, ukiangalia tovuti ya Tume ya "chaguzi ya #anzibar
utaona taarifa zinazosema kwamba uchaguzi hadi hatua ya kuhesabu kura
ulifanyika kwa utulivu nchi nzima.
/utokana na kutofikia muafaka pamoja, tulikubaliana kuandaa taarifa ya
pamoja ambayo ilielezwa kwamba ingeandaliwa na /atibu wa vikao hivyo
lakini sasa ni zaidi ya wiki mbili, hakuna kikao kilichoitishwa. imeandika
barua kuhimiza kikao cha kupokea taarifa hiyo na kuipitisha lakini bado 5k.
hein anasema wanahitaji muda.
i wazi kwamba 5k. Ali Mohamed hein hakuwa na nia njema katika
mazungumzo haya na amepoteza sifa ya kuongoza vikao hivyo.
6 NJAMA ZA CHINI KWA CHINI ZA KUHUJUMU UTAFUTAJI
WA UFUMBUZI WA HAKI
!akati 5k. Ali Mohamed hein akikwepa kwa makusudi kuitisha kikao cha
kupokea taarifa ya mazungumzo hayo, tumegundua kwamba lengo halisi ni
kuisindikiza Tume ya "chaguzi ya #anzibar kutangaza tarehe ya uchaguzi
wa marudio ili baadaye itolewe hoja kwamba suala hilo limeshaamuliwa.
Tunazo taarifa za uhakika kwamba Tume ya "chaguzi ya #anzibar
imetakiwa kukutana tarehe (8 -anuari, $'(9 kwa lengo la kutangaza tareheya uchaguzi wa marudio ambao unatajwa kuwa umepangwa ufanyike tarehe
$7 Hebruari, $'(9.
Taarifa hizo zinaeleza kwamba lengo la hatua hiyo ni kukwamisha juhudi
zinazofanywa na 3ais wa -amhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
24/27
24
5k. -ohn Pombe Magufuli, za kutaka kuona ufumbuzi wa haki na
unaozingatia matakwa ya kikatiba na kisheria unapatikana.
Tukiruhusu hatua hiyo maana yake ni kuwaruhusu kikundi cha watuwachache wanaotumia nafasi zao kujifaidisha kibinafsi na bila ya kujali
maslahi mapana ya nchi na watu wake na wasiojali amani na utulivu wan chi
kututumbukiza katika balaa kubwa sana.
:ivi tunavyozungumza wananchi wa #anzibar wako taaban na
wamekumbwa na fadhaa baada ya kushuhudia maamuzi yao waliyoyafanya
tarehe $% &ktoba, $'(% kupitia uchaguzi huru, wa haki na wa wazi yakiwa
yanakanyagwa. !amesubiri kiasi cha kutosha kwa sababu sisi viongozi wao
tunaojali amani ya nchi tumewataka wasubiri. asa umefika wakati
uvumilivu na subira zao zinafikia kikomo. !anahitaji kuona "1=3A zao
zinazaa :A/=.
i vyema tukaweka wazi wazi hapa kwamba kurudiwa uchaguzi sio
suluhisho na HAKUKUBALIKI. /wani kama nilivyoonesha, hakuna hoja
wala msingi wa kikatiba na kisheria wa uchaguzi kurudiwa.
NAMNA BORA YA KUTATUA MZOZO ULIOPO
/utokana na maelezo ya hapo juu, ni dhahiri kwamba mzozo huu wa
kikatiba na kisiasa ambao umetokana na hujuma zilizofanywa katika
uchaguzi wa #anzibar haukuwa wa lazima na unaweza kutatuliwa kwa
haraka kama utakuwepo utashi na utayari wa dhati wa kisiasa na wa
kiuongozi ambao unazingatia maslahi mapana na endelevu ya #anzibar na
ya -amhuri ya Muungano wa Tanzania. =li kufikia utatuzi huo wa haraka na
unaozingatia na kuheshimu /atiba na sheria ziliopo na misingi ya utawala
bora njia zifuatazo ndizo zitakazotukwamua hapa tulipokwama2
( =li kulinda misingi ya /atiba ya #anzibar inayoelekeza utaratibu waTume ya "chaguzi ya #anzibar kufanya maamuzi kama inavyoelezwa na
kifungu cha ((6)( na )(' na ili kujenga uhalali na heshima ya Tume
katika kutekeleza kazi zake, ni lazima Mwenyekiti wa Tume ya "chaguzi
ya #anzibar atakiwe kukaa pembeni kwa kujiuzulu au kusimamishwa
kazi hiyo kwa vile amefanya makosa makubwa yafuatayo2
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
25/27
25
a. >eye kama Mwenyekiti wa Tume hakuwa na mamlaka ya kufanya
uamuzi kwa jambo lolote linalohusu Tume bila ya kupitia vikao
halali vya Tume kinyume na maelekezo ya wazi ya kifungu cha
((6)(' cha /atiba ya #anzibar4
b. Akiwa Mwenyekiti wa Tume ametoa Tangazo amba (0' katika
@azeti 3asmi la erikali linalodaiwa kuwa ni uamuzi wa Tume la
kufuta matokeo ya uchaguzi huku akijua kwamba Tume ya
"chaguzi haikufanya kikao tarehe $7 &ktoba kupitisha uamuzi
huo4
c. Akiwa Mwenyekiti wa Tume ametoa tangazo la kufuta uchaguzi
huku akijua kwamba hana mamlaka ya kufanya hivyo na akijua pia
kwamba hata Tume ya "chaguzi haina mamlaka ya kufanya hivyo4
d. Akiwa Mwenyekiti wa Tume amesema uongo hadharani ili
kuhalalisha kitendo chake cha kutoa tamko la kufuta uchaguzi
kama alivyokiri yeye mwenyewe katika kikao cha Tume cha tarehe
( ovemba, $'(%4
Mambo yote haya ni ukiukaji wa /atiba, heria na Maadili ya dhamana
aliyokabidhiwa4
$ Tume ya "chaguzi ya #anzibar chini ya Makamu Mwenyekiti naMakamishna waliobaki wamalizie kutangaza matokeo ya "rais kwa
majimbo 6 ambayo yalishahakikiwa na kumalizia kuhakiki matokeo ya
"rais kwa majimbo (8 yaliyobaki na kutangaza matokeo. :atimaye
wamtangaze mshindi wa "rais wa #anzibar. :atua hii ni halali na sahihi
chini ya kifungu cha ((6)(' cha /atiba ya #anzibar. Aidha, chini ya
kifungu cha 8$)9 cha heria ya "chaguzi, hatua hiyo ni halali kwa vile
kifungu hicho kinataka matokeo ya "rais yatangazwe ndani ya siku 0
ama ikiwa kutakuwa na matatizo basi ndani ya siku 0 baada ya matatizo
haya kutatuliwa4
0 /wa kuwa suala hili ni kubwa na limeathiri taswira ya nchi yetu mbele
ya jumuiya ya kimataifa kwa kiasi kikubwa, na hasa kwa vile 3ais wa
-amhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa 5k. -ohn Pombe
Magufuli, wakati alipozungumza na waandishi wa habari baada ya
kukutana na mimi =kulu 5ar es alaam alisisitiza haja ya kukamilisha
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
26/27
26
mazungumzo na kulipatia ufumbuzi wa haraka, tunaona wakati umefika
yeye mwenyewe aongoze juhudi zenye lengo la kufanikisha hatua
zilizopendekezwa hapo juu4
8 "ongozi wa juu wa yama vya +"H na ++M ufanye mazungumzo yaharaka ya kukamilisha taratibu za kuunda erikali ya "moja wa /itaifa
#anzibar chini ya mshindi wa uchaguzi wa "rais wa #anzibar aliyepewa
ridhaa na !azanzibari kupitia uchaguzi mkuu wa tarehe $% &ktoba,
$'(%. /upitia vikao hivyo, kama kuna mambo yoyote yanayohitaji
kujadiliwa na kupata muafaka juu ya uundwaji wa erikali hiyo
yajadiliwe na kupata muafaka4
% Mambo yoyote yanayohitaji kurekebishwa katika mfumo wa uchaguzi
wa #anzibar ili kuondoa kasoro ziliopo kwa nia ya kuimarisha mfumohuo kwa ajili ya chaguzi zozote za baadaye ni vyema yakawekewa muda
maalum wa kujadiliwa na kupata muafaka.
HITIMISHO
#anzibar imepita katika siasa za dhoruba na machafuko kwa zaidi ya miaka %'.
5horuba na machafuko hayo yalifikia hadi kugharimu maisha ya watu. i kwa
sababu ya kuchoshwa na siasa za aina hiyo na migogoro isiyokwisha ndiyomaana mwaka $''6, mimi na 3ais mstaafu wa #anzibar, 5k. Amani /arume,
tulichukua maamuzi ya kijasiri ya kuleta MARIDHIANOambayo yaliituliza
#anzibar. /ila mmoja wetu ni shahidi kwamba kwa miaka sita iliyopita -amhuri
ya Muungano wa Tanzania ilipumua kujibu hoja zisizokwisha kuhusu hali ya
kisiasa #anzibar na badala yake tukawa tunapongezwa kwa kuleta maridhiano
na kuanzisha muundo wa erikali ya "moja wa /itaifa. :atukutegemea
kwamba baada ya kazi ile kubwa, sasa kutazuka kikundi cha viongozi
waliopewa dhamana ya kuwaunganisha watu wafanye kazi ya kuyabomoa
Maridhiano yetu na kuturudisha kwa nguvu kule tulikotoka. !atu hawahawapaswi kupewa nafasi kufanikisha dhamira yao hiyo ovu. a !azanzibari
hawatowapa nafasi hiyo. i kwa sababu hiyo tumeamua kuzungumza na
!atanzania na kuwajuvya haya ili kuzuia nchi yetu isivurugwe na kurudishwa
tulikotoka.
-
7/23/2019 Hotuba Ya Maalim Seif - January 9 2016
27/27
27
Tunaamini kwamba ufumbuzi wa mgogoro uliopo lazima uzingatie /atiba,
heria na misingi ya utawala bora. Mapendekezo yaliyotolewa hapo juu ndio
njia pekee ya kuutatua mzozo huo kwa kuzingatia misingi iliyotajwa. "tatuzi
wowote nje ya hapo utakuwa ni wa nguvu na wa utashi wa kisiasa ambaohautaleta ufumbuzi endelevu na badala yake unaweza kuwa sababu ya mzozo
mkubwa ambao hautaweza kutatuliwa kwa miaka mingi ijayo. Tumuombe
Mwenyezi Mungu tusifike huko.
Mimi na wenzangu tumefanya kazi ya ziada kuwatuliza wananchi wa #anzibar
na kuwataka watoe nafasi kwa mazungumzo yanayoendelea huku
kuwahakikishia kwamba suluhisho lolote litakalofikiwa litaheshimu maamuzi
yao ya kidemokrasia waliyoyafanya tarehe $% &ktoba, $'(%. Tumefanya hivyo
kwa kutambua wajibu wetu kama viongozi kuhakikisha kwamba #anzibar na-amhuri ya Muungano wa Tanzania inabaki kuwa salama. i bahati mbaya sana
kwamba wengine wanauchukulia uungwana na ustaarabu wetu kwamba labda
ni dalili ya udhaifu na wanadhani labda wanaweza kutuburuza. /wa hilo,
nawaambia wazi kwamba !AA:A". ataka niwahakikishie kwamba sisi si
dhaifu ila tunaongozwa na uzalendo na mapenzi kwa nchi yetu na wananchi
wenzetu. ?akini uzalendo huo huo na mapenzi hayo hayo kwa nchi yetu na
wananchi wenzetu yanatutaka tusimame kuitetea na kuilinda /atiba na heria
za nchi yetu, haki za raia na maamuzi yao ya kidemokrasia.
#anzibar kuna tatizo kubwa ambalo halipaswi kuendelea kupuuzwa. !akati
umefika kwa mamlaka zinazohusika kutokwepa wajibu wao kwa wananchi wa
#anzibar.
Mimi na wenzangu, kama viongozi twenye dhamana kwa wananchi wa
#anzibar ambao walitupa ridhaa yao, tunawahakikishia kwamba tutakuwa
tayari kushirikiana nao kuitetea haki yao na maamuzi yao ya kidemokrasia kwa
nguvu zetu zote.
awashukuru kwa uvumilivu wenu na kwa kunisikiliza.
Ahsanteni sana.