HALMASHAURI YA WILAYA YA...
Transcript of HALMASHAURI YA WILAYA YA...
1
HALMASHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI, 2015-2020 KWA KIPINDI CHA JULAI,2017 HADI DISEMBA , 2017 NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA
ILANI MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
1. HALI YA UCHUMI
20 Kuimarisha ukusanyaji wa mapato kwa kuongeza vyanzo vipya vya mapato na kupanua wigo wa walipa kodi ili kuongeza uwezo wa Serikali wa kugharimia huduma za kijamii na kiuchumi
Kutoa elimu kwa walipa kodi (wafanyabiashara) na wataalamu
Kufunga mifumo ya ukusanyaji mapato ya kielectroniki (LGRCIS) Kubuni vyanzo vipya vya mapato na kuimarisha vyanzo vilivyopo Ujenzi wa mradi wa Kitega Uchumi cha Halmashauri
Elimu ya ushuru wa huduma na kodi mbalimbali kwa wafanyabiashara na WEOs walipatiwa elimu ya jinsi ya kukusanya mapato ya mazao pamoja na vyanzo vya Halmashauri vilivyopo kwenye kata zao. Mpaka sasa jumla ya POS 20 za ukusanyaji mapato zimefungwa na tunatarajia kuongeza POS 10 kwa ajili ya kukusanyia ushuru wa leseni za biashara Tumeongeza wafanyakazi (vibarua) ili kuimarisha ufanisi kwenye ukusanyaji wa mapato Tumeimarisha kikosi kazi cha ukusanyaji mapato kwa kuainisha ipasavyo majukumu ya kila mmoja Mradi huu umekamilika na una vyumba 14 kwa sasa umetangazwa ili
61,450,000
428,960,460
Elimu inaendele kutolewa kwa walipa kodi ili watambue umuhimu wa kulipa na kudai risiti
Zote 36 Boma
2
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Ujenzi wa kituo kipya cha mabasi
kupata mwezekaji atakayeendesha na kuilipa Halmashauri mapato, tangazo lililopo kwa sasa ni la marudio ya tatu na mwisho wa maombi wa maombi ni tarehe 28/02/2018 Mradi huu kwa sasa unaedelezwa kupitia fedha za mapato ya ndani na kazi zitakazoendelea ni kujenga maeneo ya maegesho, kituo cha polisi na mabanda ya kukatia tiketi
443,690,460.00
Nambambo
Kusimamia kwa ufanisi matumizi ya fedha za umma kwa kuzingatia sheria na miongozo ya ununuzi wa umma, ukaguzi na kusimamia mali za Serikali ili Watanzania wote wanufaike na rasilimali zilizopo
Kuimairisha kitengo cha ukaguzi wa ndani kiweze kujitegemea
Kuiwezesha kamati ya ukaguzi wa miradi kufanya kazi kwa ufanisi Kukiwezesha kitengo cha manunuzi kufanya kazi kwa kufata sheria na taratibu za manunuzi
Wakaguzi wamewezeshwa mafunzo ya ukaguzi kwa kuzingatia maeneo hatarishi (Risk Base), uandaaji taarifa na utoaji taarifa za miradi ya maji (MIS) na kuwajengea uwezo taratibu na sheria za manunuzi Kitengo cha manunuzi kinaendelea
Usimamizi wa matumizi ya fedha unazingatiwa kwa kuwashirikisha wakaguzi wa ndani
Uthamini kata zote 36
3
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Kufanya uthamini wa mali za Halmashauri
kufanya kazi zake kwa kufuata misingi ya sheria na taratibu za manunuzi zilizopo Taratibu za kuthaminisha mali za Halmashauri zinaendelea
59,000,000
2. SEKTA ZA UZALISHAJI
KILIMO NA USHIRIKA
22 Kuimarisha upatikanaji wa pembejeo na zana za kilimo ili kuongeza tija na uzalishaji kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia ya kisasa hususan katika kuboresha mifumo ya utoaji wa ruzuku na pembejeo pamoja na kuwaunganisha wakulima na Benki ya Maendeleo ya Kilimo na taasisi nyingine za fedha
Uhamisishaji wa wakulima
binafsi, vyama vya msingi,
taasisi za magereza na J.K.T,
kununua matrekta na zana
zake.
Wilaya ina jumla ya
matrekta 42
yanayomilikiwa na
Taasisi za serikali
na kidini, watu
binafsi, AMCOS na
miradi ya jamii.
Katika kipindi cha
Julai – Disemba
2017 wakulima
wawili wamenunua
matrekta 3
225,000,000 Wakulima
hawa
wanufaika
wa mauzo
ya korosho
kutoka vijiji
vya
Nampemba
na Mandai
Mkotokuyana
na Nambambo
Kusambaza mbegu bora za
mahindi OPV Kg 30200,
Chotara Kg 30200, na
Mpunga SARO Kg 10500 ,
pamoja na mbolea aina ya
Wakulima wamehamasishwa kununua mbegu bora za mahindi kutoka maduka ya pembejeo ambayo
0 Mashamb
a ya
mbegu za
muhogo
yanapatika
Ndomoni,
Mkotokuyan,
KIlimanihew
a, Mnero
Ngongo na
4
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Urea Kg 336000 DAP Kg
336000 kwa wakulima katika
kaya 6720 katika vijiji 84.
yanakaguliwa mara kwa mara. Kwa kutumia
wakulima
wajasiriamali wa
shirika la MEDA
wakulima
wamehamasishwa
kununua mbegu za
muhogo zenye
ukinzani wa
magonjwa aina ya
kiroba. Mashamba
ya mbegu za
muhogo
yanapatikana
kwenye kata za
Ndomoni,
Mkotokuyan,
KIlimanihewa,
Mwandila na
Naipanga.
na kwenye
kata za
Ndomoni,
Mkotokuya
n,
KIlimanihe
wa,
Mwandila
na
Naipanga.
Naipanga.
Lego ni kuwa na vituo vya
mafunzo ya kilimo kwa kila
kata
Wilaya ina vituo
viwili vya mafunzo
ya kilimo kwenye
kata mbili
Kilimarondo na
10,000,000 Kituo hiki
kinatumika
pia kama
maabara ya
mbegu
Kata zenye
vituo ni
Kilimarondo ,
Marambo na
Namatula
5
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Marambo katika
kipindi cha Julai –
Disemba ujenzi wa
kituo kata ya
Namatula umeanza
kwa sasa upo hatua
ya msingi na
ufyatuaji wa
matofali
Kuimarisha kilimo cha umwagiliaji ili kupunguza utegemezi wa mvua kwa kuongeza eneo la umwagiliaji kutoka hekta 461,326 mwaka 2014 hadi 1,000,000 mwaka 2020. Ili kufanikisha hilo, Serikali itafanya mambo yafuatayo
Lengo ni kufikia Ha 720
zinazofaa kuwekewa
miundombinu katika vijiji vya
Matekwe, Mitumbati na Ilolo.
Fedha jumla ya
Tsh.
300,000,000.00
imetengwa na
Wizara kwa ajili ya
ukarabati wa
miundo mbinu ya
umwagiliaji kijiji cha
Mitumbati ambayo
iliharibiwa na
mafuriko.
Shughuliza
upembuzi
yakinifuzitafanywa
na wataalam wa
umwagiliaji kanda
ya kusini kwa
kutumia fedha
300,000,000 Wataalamu
wa
umwagiliaji
kanda ya
kusini
wanatarajiw
a kuanza
shughuli ya
upembuzi
yakinifu na
usanifu
Mitumbati,Mat
ekwe na
Ngunichile
6
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
zilizotengwa na
wizara
(i) uhamasisha wakulima kupitia vyama vyao vya umwagiliaji kuchangia katika ujenzi wa mifereji midogo ya kuingiza maji mashambani na kushiriki katika kutunza mifereji hiyo
Kufanya hamasa katika skimu
za umwagiliaji kwa kupitia
vyama vya umwagiliaji kushiriki
katika utunzaji wa
miundombinu.
Kwa kutumia shirika
la JICA
uhamasishaji wa
kuanza kilimo cha
mpunga shadidi
unatarajia kufanyika
kwenye skimu ya
Matekwe ambapo
jumla ya wakulima
viongozi wa mfano
8 waliochaguliwa
wameandikishwa
kwenye kilimo
hicho.
9,000,000 Wakulima
viongozi 8
wakulima wa
kati 48
wamepata
mafunzo ya
kilimo bora
cha mpunga
msimu wa
2016-17
Matekwe
Kuwafundisha kulima kwa tija na ufanisi kwa kutumia miundombinu iliyopo ikiwa ni pamoja na kulima zaidi ya mara moja kwa mwaka
Kuhamasisha wakulima
kulima mazao yanayotumia
maji mengi kipindi cha masika
na yanayotumia maji
machache (bustani) kipindi cha
kiangazi
Kwakutumia shirika
la Aga khan vikundi
20 vimeanzishwa ili
kupata mafunzo ya
kilimo cha mazao,
zoezi la kupata
wakulima hao
(vijana) lilianza
mwezi Novemba
2017.
15,000,000 Hamasa
inafanyika
na kiasi cha
fedha
kimetengwa
katika bajeti
ya
2018/2019 ili
kukamilisha
miundombin
u ya
umwagiliaji
wa matone
Marambo na
Ruponda
7
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
katika kituo
cha
marambo
kwa lengo la
kujifunza
Kuboresha mfumo wa utafiti wa kilimo nchini ili matokeo ya tafiti hizo yawafikie wakulima kwa kufanya yafuatayo
Mkakati wa Wilaya ni
kuhamasisha wakulima
kutumia mbegu zinazokinzana
na magonjwa na kustahimili
mabadiliko ya tabia ya nchi.
Elimu imetolewa
kipindi cha Julai –
Disemba kwa
wakulima 215
kupitia mradi wa
Care – WWF kwa
ajili ya kilimo cha
mazao
yanayokabiliana na
tabia nchi kwenye
vijiji vya Kiegei B,
Majonanga, Mtua,
Mbondo,
Kilimarondo na
Lipuyu.
10,000,000 Mazao
yanayolim
wa ni
Mahindi,
Muhogo,
Ufuta na
Mbaazi.
Kiegei B,
Majonanga,
Mtua,
Mbondo,
Kilimarondo
na Lipuyu.
(i) Kuzalisha mbegu za mazao mbalimbali kwa kushirikiana na taasisi za umma na binafsi ili
Taasisi za magereza, kituo cha
utafiti mkumba na JKT
hushirikiana na Idara ya kilimo
kuzalisha mbegu za ufuta,
muhogo na korosho.
Katika kipindi cha Julai – Disemba wanakikundi wa kijiji cha Ngunichile walizalisha mbegu tani 6 na kuuza kwa wakala wa mbegu Tanzania (ASA)
Ngunichile
8
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
kutosheleza mahitaji ya uzalishaji wa mbegu bora nchini;
(ii) Kutafiti magonjwa na visumbufu vya mimea vinavyoathiri mazao hasa migomba, mihogo, minazi, mahindi, mpunga, mboga na matunda ili kuongeza tija na uzalishaji wa mazao nchini
Idara kufanya mawasiliano na
kituo cha utafiti Naliendele
mara magonjwa ya mimea na
wadudu waharibifu
wanavyojitokeza.
Ushirikiano wa
kufanya tafiti kwa
kutumia wakulima
unaendelea, katika
kipindi cha Julai –
Disemba utafiti wa
ugonjwa wa
unyaufu wa
mikorosho
unafanyika katika
maeneo ya
Ndomondo, Kipara
Mnero na
Naipanga.
Ndomondo, Kipara Mnero na Naipanga.
Kuandaa mipango ya matumizi bora ya ardhi ya kilimo kwa kuendelea kupima mashamba ya wakulima na kutoa hati miliki za kimila kwa wakulima
Mpango wa wilaya ni kufanya
mpango wa matumizi bora ya
ardhi kwa vijiji vyote.
Jumla ya hatimiliki
350 zimetolewa
zoezi la
utoaji wa
hati miliki
linaendele
a
Mbondo
9
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
wadogo kwa lengo la kuondoa migogoro ya ardhi na kutumia hati hizo kama dhamana ya kupata mikopo
Kuwawezesha wakulima hususan vijana na wanawake kujishughulisha katika kilimo kwa kufanya yafuatayo:-
(i) Kuainisha na kupima maeneo ya ardhi ya kilimo ili kuwawezesha wakulima kujiajiri katika sekta ya kilimo hususan kilimo cha mazao ya mboga mboga, matunda, maua, mbegu za mafuta na nafaka
Mpango wa idara ni
kushirikiana na idara ya
maendeleo ya jamii kutoa
hamasa kwa vijana na
akina mama kuunda
vikundi vya uzalishaji wa
mazao ya kilimo ili kuwa
rahisi kukopesheka
kwenye taasisi za kifedha.
Idara imefanya
tathmini ya vikundi
vya akina mama na
vijana
wanaoshughulika
na kilimo ili kusaidia
upatikanaji wa
mikopo, katika
kipindi cha Jilai –
Disemba, Jumla ya
vikundi vitano
vinavyoshughulika
na kilimo vimepata
mikopo amabavyo
ni Sefa
(Mkutokyana),
10,000,000 Mkutokyana, Kiegei, Mkoka, Nahimba na Mbondo
10
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Tupendane(Kiegei),
Hokoa (Mkoka),
Tuinue Uchumi
(Nahimba) na Kazi
tu (Mbondo)
(ii) Kuimarisha matumizi ya teknolojia zitakazorahisisha kazi ili kuwapunguzia harubu wanawake na vijana katika kilimo.
Ununuzi wa mashine za
kukamua mufuta Wilayani kunajumla
ya mashine saba
(7) Za kukamua
mafuta ya alizeti na
ufuta zinazomilikiwa
na watu binafsi 3 na
vikundi 4. Mashine
zinazomilikiwa na
vikundi
zimewekewa
utaratibu wa
kuhuishwa ilivianze
kufanya kazi
kutekeleza malengo
ya kuongeza
huduma za viwanda
Kuwezesha upatikanaji wa Masoko ya Mazao ya Kilimo kwa kufanya yafuatayo:
(i) KKushirikisha sekta binafsi
Kuhamasisha Vyama vya
Ushirika vya Msingi kujenga Katika kipindi cha
Julai –Disemba
Nangowe
11
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
kujenga miundombinu ya masoko na maghala bora ya kuhifadhia mazao mbalimbali hususan vijijini kwa kutoa elimu na kuondoa vikwazo vya utaratibu wa Stakabadhi ya Mazao Ghalani
Maghala kwa ajili ya kuhifadhia
Mazao ghala moja la
chama cha msingi
Nangowe
limekamilika
(ii) KKuviimarisha na kuviwezesha vyama vya ushirika kuwa na uwezo wa kutafuta masoko ya mazao ya wakulima ya ndani na nje kwa kuweka mfumo madhubuti wa ukusanyaji, uchambuzi na uenezaji wa taarifa za masoko na kutoa elimu juu ya uongezaji thamani na
Kuimarisha mfumo wa
stakabadhi ghalani Mfumo wa
stakabadhi ghalani
umeimarishwa kwa
viongozi wa ngazi
ya mkoa, wilaya na
wadau wa zao la
korosho
kuhamasisha
wakilma kukusanya
korosho, kupanga
kwenye madaraja
na kuziuza kwa
mnada.
0 Ukusanyaji
wa korosho
kwa vituo
vya Tarafa
utapunguza
gharama za
usafirishaji
kwa Mkulima
Tarafa zote
korosho
zitakapo
kusanywa
MIFUGO NA UVUVI
MIFUGO 25 Kuongeza uzalishaji wa
mitamba kwenye mashamba inakozalishwa na kuweka mazingira wezeshi kwa Sekta Binafsi kuendelea kuzalisha mitamba ili kuhamasisha ufugaji wa kisasa
Kuendeleza kituo cha mitamba
F3 Kiasi cha Tsz.
22,840,000/=
zimetengwa kwenye
bajeti ya
20018/2019 kwa
ajili ya kununua
22,840,000/=
12
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
majike 10 na fahali
1 ili kuboresha
huduma zitolewazo
na kituo cha
kuzalishia mitamba
cha Farm 3
Kutenga, kupima na kumilikisha wafugaji maeneo ya ufugaji nchini ili kuongeza maeneo ya ufugaji yaliyopimwa kutoka hekta milioni 1.4 za sasa hadi hekta milioni 5.0 mwaka 2020
Kuhamasisha jamii katika vijiji 16 vilivyofanyiwa mpango wa matumizi bora ya ardhi kulinda maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya mifugo yasitumike kwa matumizi mengine
Wanajamii wanaendelea kuhamasishwa kupitia maafisa ugani katika vijiji viliyofanyiwa mpango wa matumizi bora ya ardhi ambavyo ni Kilimarondo, Matekwe, ndomondo, Makitikiti, Maziwa, Chimbendenga, Mbondo, Namapwia, Kiegei, Nahimba, Ngunichile, Majonanga, Mtua, Namatunu, Likwela, Nakolonji kuendelea kulinda maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ufugaji
Kilimarondo, Matekwe, ndomondo, Makitikiti, Maziwa Chimbendenga, Mbondo, Namapwia, Kiegei, Nahimba, Ngunichile, Majonanga, Mtua, Namatunu, Likwela, Nakolonji
13
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
yasitumike kwa shughuli zingine
Kujenga miundombinu ya mifugo kwa kuongeza idadi ya malambo kutoka 1,378 yaliyopo sasa hadi 2,000; na kujenga mabwawa katika mikoa yenye mifugo mingi. Aidha, vitajengwa visima virefu 300, majosho 50 na kuanzisha minada 164 ya mifugo katika maeneo yote yatakayotengwa kwa ajili ya ufugaji ili kuzuia kuhamahama kwa wafugaji kunakosababisha migogoro
Kuandaa mpango wa kukarabati malambo mabovu yaliyopo na kuchimba mapya kwenye maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ufugaji
Lambo moja jipya limechimbwa na mfugaji mmoja katika eneo lililotengwa kwa ajili ya ufugaji katika kijiji cha Matekwe.
0 Halmashauri bado inatafuta wahisani kwa ajili ya kukarabati malambo mabovu yaliyopo ambayo ni farm IV, Mwenge/Farm one.
Matekwe
Kutoa dhamana kwa vikundi vya wafugaji ili kupata mikopo kwenye asasi za fedha, hususan vijana na wanawake watakaokuwa kwenye vyama vya ushirika vya ufugaji wa ng’ombe, kuku, mbuzi na uzalishaji malisho pamoja na usindikaji wa mazao ya mifugo (nyama, maziwa na ngozi)
Kuviwezesha vikundi 10 vya wafugaji kwa kuwakopesha mtaji wa kuendeleza shughuli zao za ufugaji ili kuongeza uzalishaji na tija
Kuna vikundi ambavyo tayari vimewezeshwa navyo ni rika (Naipingo), Nambambo, wanawake Twaweza (Boma), Nachingwea Livestock Farmers (Boma Mashariki), Upendo (Uhindini), HPI (Ruponda), Kaza Moyo (Mbondo), Kuku ni Mali (Kilimanihewa),
Mpango wa kuwezesha vikundi vingine unaendelea
14
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
umoja (Mtua), ufugaji ng`ombe (Ilolo), ufugaji samaki(Ugawaji), Umoja (Namlingo), kuku (Posta pachani). Bado wanaendelea na shughuli za ufugaji.
Kueneza ufugaji wa mifugo bora kupitia mikopo ya mifugo kwa wafugaji watakaojiunga katika vikundi kupitia miradi ya kopa ng’ombe/mbuzi lipa ng’ombe/mbuzi au kopa ng’ombe/mbuzi lipa maziwa
Kuendelea kuimarisha huduma za ushauri kwenye vijiji 10 vinavyo endesha miradi ya kopa ng’ombe lipa ng’ombe na kopa mbuzi lipa mbuzi ili wazalishe ndama wengi kwa mwaka hatimaye waweze kukupesha watu wengine
Huduma za ushauri zinaendelea kuimarishwa katika vijiji vya Songambele, Mnero miembeni, Kilimanihewa, Ruponda, Namatula, Marambo, Stesheni, Napingo, Mwenge, Mitumbati, wanajamii bado wanafaidika kwa kukopeshwa ndama ambao wamezaliwa.
0 Huduma za ushauri zinaendelea kutolewa
Songambele, Mnero miembeni, Kilimanihewa, Ruponda, Namatula, Marambo, Stesheni, Napingo, Mwenge, Mitumbati,
Kuendelea kutoa elimu kwa wafugaji wanaomiliki na watakaomilikishwa ardhi ili kutumia hati zao kama dhamana ya kupata mikopo
Kuhamasisha wafugaji waliopo kwenye vijiji vyenye uhaba wa ardhi kwenda kuomba kumilikishwa ardhi kwenye vijiji vilivyotenga maeneo ya ufugaji ambayo hayana wafugaji kwa
Wafugaji kutoka kwenye maeneo ya mjini na vitongoji vyake wanaendelea kuhamasishwa
Uhamasishaji unaendelea
15
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
kutoka asasi za fedha sasa kwenda kuomba ardhi kwenye maeneo ya ufugaji yaliyotengwa ambayo kwa hivi sasa hawapo wafugaji
Kuendelea kutoa elimu kuhusu matumizi ya teknolojia ya uhamilishaji katika kuboresha koosafu za mifugo nchini kwa kutoa huduma za uhamilishaji kwa wafugaji kwa gharama nafuu kupitia ruzuku itakayowekwa katika mbegu za uhamilishaji
Kupeleka wataalam 2 wa mifugo NAIC Arusha kupata mafunzo ya tekinolojia ya uhamilishaji ili waweze kuitumia kuboresha koosafu za ng’ombe hapa wilayani
Fedha imetengwa kwenye bajeti ya 2017/2018 lakini wataalam hawajaenda kupata mafunzo hayo
Kuendelea kutoa ruzuku ya dawa za kuogesha mifugo kiasi cha lita milioni 1.0 ili kuhakikisha kuwa majosho 2,428 yaliyopo nchini yanatumika kudhibiti kupe na magonjwa wayaenezayo hususan ugonjwa hatari wa Ndigana kali. Aidha, Serikali itatoa ruzuku ya Chanjo ya Ndigana kali (ECF) na kushirikisha sekta binafsi na wadau wengine kufufua majosho 150 na kujenga majosho mapya 200 katika mikoa yenye mifugo mingi
Kushawishi wauza pembejeo binafsi kuingia mikataba ya kuuza dawa za ruzuku za kudhibiti kupe wilayanchingweai
Jumla ya wauza pembejeo binafsi 3 wamehamasishwa kuuza dawa za ruzuku za kuua kupe hapa wilayani
0
Kuhamasisha sekta binafsi
Kuhamasisha wachinjaji wa mifugo waanze kuona
Jumla ya wachinjaji 0 Zoezi la
uhamasishajNachingwea , Nambambo na
16
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
kuanzisha viwanda vya nyama na mazao mengine yatokanayo na mifugo ikiwemo jibini na ngozi hususan katika maeneo yenye mifugo mingi ili kuongeza thamani
umuhimu wa kukausha na kuhifadhi ngozi badala ya kutumiwa kama kitoweo
10 hapa wilayani wanaendelea kuhamasishwa kukausha ngozi badala kutumia kama kitoweo
i linaendelea Ugawaji
Kuitafutia ufumbuzi wa kudumu migogoro ya wakulima na wafugaji
Kupitia kamati za maendeleo za kata, kuzishauri na Kuhamasisha halmashauri za vijiji vilivyofanyiwa mpango wa matumizi bora ya ardhi kuyalinda maeneo yaliyo tengwa kuchungia mifugo au kilimo ili yatumike kwa lengo kusudiwa
Vijiji 16 vya Likwela, Nakalonji, Chimbendenga, Kilimarondo, Namapwia, Mtua, Matekwe, Kiegei, Mbondo, Maziwa, Ngunichile, Nahimba, Namatunu, Majonanga, Ndomondo, Makitikiti, vinaendelea kuhamasishwa kulinda maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya mifugo au kilimo yaendelee kuhifadhiwa kwa lengo husika.
Zoezi la uhamasishaji linaendelea kutekelezwa
Likwela, Nakalonji, Chimbendenga, Kilimarondo, Namapwia, Mtua, Matekwe, Kiegei, Mbondo, Maziwa, Ngunichile, Nahimba, Namatunu, Majonanga, Ndomondo, Makitikiti
UVUVI 26 Kuanzisha na kuimarisha
vikundi na vyama vya ushirika vya wafugaji wa samaki kwa lengo la kukuza
Kutembelea na kufundisha vikundi 6 na watu binafsi juu ya utunzaji wa mabwawa ya samaki
Jumla ya wafugaji 46 wa samaki wametembelewa na kufundishwa
Kazi inaendelea
ya Ruponda, Nachingwea mjini, Nahimba na
17
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
ufugaji wa samaki nchini utunzaji bora wa samaki katika maeneo ya Ruponda, Nachingwea mjini, Nahimba na Majonanga
Majonanga
Kushirikiana na wadau wa ufugaji samaki ili kuongeza uzalishaji wa samaki kwa kujenga mabwawa ya kufugia samaki na kuongeza uzalishaji kutoka tani 10,000 hadi 50,000 kwa mwaka na kupanua wigo wa ajira kwa vijana
Kushirikiana na Halmashauri za vijiji kutafuta wawekezaji watakao wezesha kufanya ukarabati mkubwa wa mabwawa na kupanda vifaranga bora vya samaki
Halmashauri inaendelea kutafuta wawekezaji kwa ajili ya ukarabati mkubwa wa mabwawa ya samaki Mitumbati na Naipingo
0 mchakato wa kutafuta wawekezaji unaendela
Mitumbati na Naipingo
Kuwawezesha wavuvi wadogo wadogo kupata vifaa vya uvuvi kwa bei nafuu
- - 0 - -
Kuhamasisha uchimbaji wa mabwawa na ufugaji wa samaki katika maeneo yenye ukame kwa lengo la kuongeza lishe bora pamoja na kuongeza ajira kwa vijana
Kushawishi vikundi vya vijana na mtu mmoja mmoja kuanzisha ufugaji mdogo mdogo kwenye maeneo yao
Kuna vikundi 5 na wafugaji binafsi 10 katika maeneo ya hapa mjini Nachingwea, Chem chem., Majonanga, Majengo, Mkumba na Ruponda wamehamasika na wanaendelea na ufugaji wa samaki kwenye mabwawa madogo madogo
Uhamasishaji unaendelea
Nachingwea, Chem chem., Majonanga, Majengo, Mkumba na Ruponda
18
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Kuendelea kupambana na uvuvi haramu ili uvuvi uwe endelevu na wenye tija
- - - - -
MALIASILI 31
Kuboresha miundombinu ndani ya Mapori ya Akiba na Vikosi dhidi ya ujangili na kuongeza vitendea kazi vya kisasa kwa ajili ya doria na upelelezi nje na ndani ya maeneo ya hifadhi
Kufanya doria za kudhibiti uvunaji na utumiaji holela wa rasilimmali za maliasil pamoja na kudhibiti kero za wanymapori wakali na waharibifu wa mazao ya wananchi na kuwezesha vitendea kazi na vifaa kuwa katika hali nzuri
Doria zimefanyika katika Tarafa ya Kilimarondo, Mkoka Na Lionja
7,500,000 Kazi imefanyika kwa kiwango cha kuridhisha na matukio ya uvunaji wa mazao ya maliasili yamepungua
Kilimarondo, Mkoka Na Lionja
Kuendelea kutekeleza programu ya ufugaji nyuki ya mwaka 2007-2016 ili kuwajengea uwezo wadau wake kuzifahamu mbinu bora za uzalishaji wa mazao ya nyuki na pia masoko ya asali na nta ya ndani na nje ya nchi
Elimu sahihi juu ya ufugaji nyuki endelevu wenye tija na uhifadhi wa rasilimali za nyuki iwafikie wafugaji nyuki walio kwenye vikundi na binafsi katika vijiji vyenye fursa ya ufugaji nyuki
Elimu imetolewa kwa vikundi vilivyopo katika vijiji vya ngunichile, Ndomoni, Likwera, Namatunu, mkumba, Marambo, Luponda na Mnero Ngongo. Pia elimu imetolewa kwa watu binafsi katika vijiji vya Famu 8, Mapochero, na Litula. Jumla ya asali 460kg zilivunwa na mapato kubaki kwa wanavikundi na
3,200,000 Wananchi wanaendelea kuhamasika katika shughuli za ufugaji nyuki ingawa bado elimu zaid inahitajika kwa vijana kwani wengi wanaojishughulisha ni wazee na akina mama.changamoto kubwa ni mabadiliko ya hali i ya hewa na
ngunichile, Ndomoni, Likwera, Namatunu, mkumba, Marambo, Luponda na Mnero Ngongo
19
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
watu binafsi. uchomaji wa misitu
Kuongeza eneo la kupanda miti kutoka hekta 60,000 mwaka 2015 hadi hekta 130,000 mwaka 2020 na kuhakikisha kwamba mbao zinazovunwa zinatumiwa kwa ajili ya kutengeneza samani na matumizi mengine hapa nchini badala ya kusafirisha magogo nje ya nchi
Kupanda miti 1,500,000 kwa mwaka 2017/2018
Jumla ya miti mchanganyiko 63,300 ikiwemo ya vivuli,mazao n.k imepandwa na watu binafsi katika maeneo mbalimbali ndani ya Wilaya pamoja na taasisi na kazi inaendelea kwa ushauri na usimamizi
VIWANDA NA BIASHARA
33 Mchango wa Sekta ya Viwanda katika Pato la Taifa unaongezeka kutoka asilimia 9.9 mwaka 2013 hadi asilimia 15 ifikapo mwaka 2020
H/W kutenga maeneo ya kutosha kwa ajili ya uwekezaji
Maeneo yalishatengwa kipindi cha nyuma na bado hayajamilikishwa, tatizo ni kukosekana kwa fedha kwa ajili ya ulipiaji fidia kwa wenye maeneo ambapo maeneo hayo ni Stesheni na Bondeni Road
Sekta ya Viwanda inaongeza ajira kufikia asilimia 40 ya ajira zote ifikapo 2020 kwa kuweka kipaumbele cha kujenga viwanda
Kuhakikisha viwanda vidogo hususani vya Uchanaji Fenicha, Usindikaji wa Mafuta, Uchongaji na Viwanda vya Ubanguaji Korosho
Tathimini ya awali kuna jumla ya viwanda vidogo na kati 142 ambapo
0 Kata zote 36
20
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
vinavyotumia malighafi zinazozalishwa hapa nchini kama vile kilimo, mifugo, uvuvi na maliasili. Viwanda hivyo ni pamoja na viwanda vya nguo, sabuni, korosho, matunda n.k
vinapatikana na kutoa ajira vimetoa ajira 760
Kuandaa mikakati thabiti ya kuhamasisha sekta binafsi kuanzisha viwanda vikubwa na vya kati na kuweka utaratibu wa kuvilinda dhidi ya viwanda vya nje
Kuhakikisha kuwa Sekta Binafsi/watu Binafsi wanapata mafunzo ili kuboresha ubora wa bidhaa
Halmashauri ya Wilaya imepeleka wajasiliamali watano katika maonyesho ya Sido kanda ya Mashariki Novemba 2017
860,000 Utekelezaji unaendelea
Kujenga mazingira rafiki yatakayowezesha kupunguza gharama za uwekezaji na uendeshaji wa viwanda
Kuhakikisha kuwa maeneo ya uwekezaji yanapatikana kwa gharama nafuu, kutowepo kwa usumbufu na kupatikana kwa wakati
Maeneo ya uwekezaji jumla ya hekari 130.2 yameshatengwa na waombaji wanatakiwa kuleta maombi kwa Mkurugenzi kwa ajili ya kupatiwa
0 Utekelezaji unaendelea
Nachingwea Mjini
Kuendeleza kasi ya ujenzi wa viwanda vidogo na vya kati hasa vinavyosindika mazao
Kuhakikisha ushindani na uzalishaji wa Bidhaa bora unapatikana katika Masoko
Halmashauri ya Wilaya Nachingwea imekuwa ikiwaungaisha wajasiliamali na Taasisi mbalimbali zenye kutoa mafunzo ya ujasiliamali na
0 Wajasiliamali na wafanya bishara wamekuwa wakitengeneza, wakiagiza bidhaa zilizo na ubora kwa
Nachingwea Mjini na Vijijini
21
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
uhifadhi bora wa bidhaa kwa lengo la kuibua ushindani wa bidhaa katika soko. Shirika la viwango nchini (TBS) lilitoa elimu ya ubora wa bidhaa kwa kuwahamasisha bidhaa zao ziwe na msimbomilia katika ukumbi wa halmashauri, wajasiliamali 6 waliwezeshwa kushiriki Maonesho ya SIDO kanda ya Mashariki 2017/2018 ambapo walijifunza mambo mbalimbali yenye kuwajenga kiujasiliamali na kuleta ushindani katika soko
matumizi ya Jamii
3. MIUNDOMBINU NA HUDUMA ZA JAMII
ARDHI 37 Utawala wa Ardhi
22
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Kujenga mfumo utakaorahisisha umilikishaji wa ardhi na uhifadhi wa kumbukumbu za ardhi kwa kukamilisha ujenzi wa Mfumo Unganishi wa Kuhifadhi Kumbukumbu za Ardhi (Integrated Land Management Information System)
Kutunza kumbukumbu za umiliki wa viwanja katika mfumo wa kompyuta
Viwanja vinavyomilikiwa vinaendelea kuingizwa katika mfumo wa Kompyuta
0 Zoezi linaendelea
Nachingwea, Ugawaji, Boma, Nambambo, Nangowe, Namatula na Kilimanihewa
Kuzijengea uwezo
Halmashauri za Miji na Wilaya
kwa kuzipatia mafunzo, vifaa, rasilimali fedha na wataalamu ili ziweze kupima
viwanja na mashamba nchini
Kupima viwanja 450 maeneo ya Namatula na Bondeni Road
Kazi ya upimaji viwanja inaendelea kukamilishwa ambapo mpaka sasa viwanja 120 vimepimwa katika kijiji cha Stesheni na Viwanja 1200 Katika kata ya Nangowe
0 Fedha hazijatolewa
Nachingwea na Namatula
Utayarishaji wa Mipango ya
Matumizi Bora ya ardhi nchini
Kuandaa ramani na michoro ya mipango miji katika maeneo yaliyojengwa kiholela na kurejea michoro ya mipango miji kwa maeneo ya zamani
Mchoro Mmoja wa Namatula umeandaliwa bado kuidhinishwa na kusajiliwa na Wizara ya Ardhi katika hatua za Mwisho za matumizi
Kuwapatia wananchi hatimiliki
za kimila 2,500,000 pamoja
na kujenga masjala za ardhi
250 katika ngazi za Wilaya na
Kuandaa hati miliki za kimila 500
Jumla ya hati Miliki 350 zimeandaliwa na kukabidhiwa kwa wananchi
125,000 Mbondo
23
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Vijiji
Kuwapatia wananchi hati
miliki 2,000,000 pamoja na kusajili nyaraka nyingine za kisheria
Kuandaa hati miliki 200na kuzigawa kwa wananchi
Jumla ya hati miliki 55 zimeandaliwa na kugawiwa kwa wananchi wa kata ya Mbondo
0 Wananchi wahamasishwe zaidi juu ya umuhimu wa kumiliki mali zao kwa hati miliki
Mbondo
Mipango Miji na Vijiji
Kukamilisha uandaaji wa
Mipango Kabambe (Master Plans) kwa miji mikuu yote ya
mikoa
Kuandaa ramani na michoro ya mipango miji katika maeneo yaliyojengwa kiholela na kurejea michoro ya mipango miji kwa maeneo ya zamani
Mchoro Mmoja wa Namatula umeandaliwa bado kuidhinishwa na kusajiliwa na Wizara ya Ardhi katika hatua za Mwisho za matumizi
0 Namatula,
3. HUDUMA ZA JAMII
AFYA 50 Kuendeleza utekelezaji wa
Mpango wa Maendeleo wa
Afya ya Msingi (MMAM)
wenye lengo la kuimarisha na kusogeza huduma za afya karibu na wananchi kwa kuhakikisha kwamba:-
(i)
Lengo la kila kijiji
kuwa na Zahanati, Kata kuwa na Kituo cha Afya na Wilaya
Kufanya ujenzi wa Zahanati za Namatumbusi, Mpute, Kipara Mtua, Naipanga, Nangunde na Manunuzi ya samani kwa zahanati za Namatumbusi,Mpute na Kipara Mtua
Ujenzi umekamilika kwa zahanati zote na samani zilinunuliwa
0 Namatumbusi, Mpute, Kipara Mtua, Naipanga, Nangunde
24
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
kuwa na Hospitali linaendelea
kutekelezwa katika maeneo ambayo huduma hizi hazijakamilika
pamoja na kujenga hospitali za wilaya
katika wilaya zote mpya
(ii)
Kuhamasisha sekta
binafsi kuwekeza katika Sekta ya Afya kwa kupitia sera ya ubia baina ya Sekta ya Umma na Binafsi
(PPP)
Halmashauri imeingia Mkataba wa utoaji huduma kwa jamii (PPP), na Hospitali ya Misheni Mnero kwa kuwapatia asilimia 15 ya fedha wa mfuko wa pamoja (Basket Fund) na fedha za CHF 10,000,000
Mgawanyo wa fedha kwa makubaliano ya mkataba wa utoaji huduma umefanyika kama ulivyopangwa
59,000,000
Fedha zimeshatolewa na huduma zinaendelea kutolewa kulingana na makubaliano ya Mkataba
Mnero ngongo
(iii)
Kuajiri wataalamu zaidi wa afya kutoka
ndani na nje ya nchi pamoja na kuboresha mazingira ya kazi kwa lengo la
kuongeza ubora wa
huduma za afya. Aidha, hospitali za wilaya zitaendelea kuimarishwa kwa kuzipatia madaktari,
Kuajiri watumishi 65 wa kada mbalimbali ifikapo Juni 2018
Mpaka kufikia mwezi Disemba 2017 watumishi walioajiriwa kwenye kada ya afya walikuwa 13
Watumishi watakapofika watapangiwa kwenye maeneo yenye upungufu
25
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
wauguzi, dawa na vifaa tiba vya kutosha
(iv)
utoa motisha kwa watumishi ambao
wanafanya kazi katika maeneo yenye
mazingira magumu ili kuwajengea ushawishi wa
kuendelea kutoa huduma za afya katika
maeneo hayo
Motisha kwa Watumishi wa afya waishio katika mazingira magumu kwa Hospitali, Vituo vya Afya zilitengwa katika kasma hizo tajwa
Zoezi la utoaji motisha limefanyika kwa madaktari wapya walioajiriwa kwa kupewa vitanda,magodoro na chakula
Tunaomba fedha ziweze kuongezwa na kutolewa kwa wakati
Vituo vya kutolea hudum ya afya vya serikali
(v)
Kuimarisha
mapambano dhidi ya malaria kwa kufanya yafuatayo
Uhamasishaji wa usafi wa
mazingira katika makazi na
kulala kwenye chandarua kila
siku.
Uhamasishaji
umefanyika katika
maeneo ya Namatula,
Kilimanihewa, Mtua,
Kilimarondo, Mbondo,
Kiegei, Matekwe,
Mkotokuyana, Ugawaji,
Nambambo na Boma
kwa kushirikiana na
wadau wetu wa NAESO
0 Kuhamasish
a jamii
kuhusu
umuhimu wa
kuwahi
katika vituo
vya wa
huduma
mara
wanapohisi
kuwa na
homa na
kumaliza
dozi.
Namatula,
Kilimanihewa,
Mtua,
Kilimarondo,
Mbondo,
Kiegei,
Matekwe,
Mkotokuyana,
Ugawaji,
Nambambo na
Boma
(vi)
Kuwagawia wananchi vyandarua vyenye
viuatilifu 22,360,386
Kugawa vyandarua kwa
wanafunzi wa shule za msingi
za serikali.
Vyandarua viligaiwa
kwa wanafunzi wa
shule zote za msingi
Kata 36
26
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
bila malipo zilizopo katika wilaya
(vii)
Kununua na kusambaza dawa za
malaria katika vituo vyote vya kutolea
huduma nchini
Kuendelea kusambaza dawa
za malaria katika vituo vyote
vya kutolea huduma
Dawa aina ya Alu na
vitendanishi
vilipokelewa na
kusambazwa katika
vituo vya kutolea
huduma.
0 Kuendelea
na mpango
wa
kusambaza
dawa katika
vituo vyote
vya kutolea
huduma.
Kuimarisha upatikanaji wa huduma za dharura na za kawaida kwa wagonjwa kupitia vituo vya huduma za afya hapa nchini. Huduma hizi ni pamoja na magonjwa ya saratani, mishipa ya fahamu, mapafu, figo, huduma za magonjwa ya moyo, upasuaji mbalimbali ikiwamo upasuaji wa mifupa
Ujenzi wa chumba cha upasuaji kituo cha afya Marambo na Naipanga Kutoa huduma ya CECAP na uchunguzi wa saratani ya matiti kwa kina mama
Ujenzi wa chumba cha upasuaji haujafanyika Huduma ya CECAP na saratani ya matiti umefanyika na jumla ya wanawake 627 wamefanyiwa uchunguzi katika hospitali ya wilaya
0 Ujenzi wa chumba cha upasuaji Naipanga bajeti yake ya Tsh. 20,000,000 imetengwa kwa mwaka wa fedha 2017/2018
Hospitali ya wilaya na Naipanga
Kuunganisha hospitali za rufaa za Mikoa na Wilaya na hospitali nyinginezo kwenye
Kuwezesha mfumo wa telemedicine katika hospitali ya wilaya
Mfumo umeshafungwa na unaendelea kufanya kazi
0 Hospitali ya wilaya Nachingwea
27
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
mfumo wa matibabu mtandao (telemedicine)
Kuweka utaratibu utakaowezesha wananchi kuwa na Bima ya Afya ili kumudu gharama za matibabu
Kuhamasisha wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii ili kupunguza gharama za matibabu
Jumla ya kaya 19221 zimejiunga na mfuko wa afya ya jamii
Kuendelea kushirikiana na viongozi ngazi ya jamii kuhamasisha jamii kujiunga mfuko
Zote 36
Kuimarisha upatikanaji wa haki na huduma za makundi
maalumu wakiwemo watu wenye ulemavu wa ngozi
(albinism) na watoto wanaoishi mitaani ikiwa ni pamoja na kuanzisha Kamati za Ulinzi wa
Mtoto katika Halmashauri zote
Kuwatambua watu wote wenye ulemavu wa Ngozi (Albino) katika Kata zote 34, ifikapo Juni 2016.
Watu wenye ulemavu wa Ngozi (Albino) 127 wametambuliwa kutoka kata 15, na Takwimu zinaendelea kupokelewa kutoka Kata 21 zilizobaki na kuingizwa kwenye mfumo wa kutunzia kumbukumbu, ili kuwapatia Mafuta maalum ya Kuzuia mionzi ya Jua kwenye Ngozi, ambayo kwa sasa yapo Ofisi ya Ustawi wa Jamii.
0 Watu walio kwenye makundi maalum wana mahitaji mengi ambayo utekelezaji wake unahitaji rasilimali Fedha za kutosha.
Kata zote 36 za Wilaya ya Nachingwea.
Kukamilisha Sera ya Huduma
za Ustawi wa Jamii pamoja na
Mkakati wake wa Utekelezaji. Aidha, Halmashauri zitahakikisha wazee wanatambuliwa na kupewa
Kufanya zoezi la utambuzi wa Wazee Kutoka katika Vijiji Kata 34 ifikapo Juni 2016.
Jumla ya Wazee kwa Takwimu za Sampuli 7,121 wametambuliwa katika Kata 14, na Takwimu
105,000 Serikali iwapatie wazee Bima ya afya ya Taifa NHIF ili waweze kutibiwa sehemu
Kata 15 za Chiola, Namapwia, Lionja,K/rondo, Mnero ngongo, Matekwe, Naipingo, Naipanga,
28
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
matibabu bure katika hospitali za Serikali
zinaendelea kupokelewa kutoka Kata19 zilizobakia.
Jumla ya Wazee 7000 wamo kwenye mpango wa kulipiwa kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii
(CHF) na Shirika la Bima ya Taifa (NHIF).
Wazee 335 wamepatiwa msamaha wa matibabu
Maombi ya kuwalipia Wazee 7,121 ili kujiunga kwenye mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii yamewasilishwa kwa Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya Nachingwea.
yoyote ndani ya nchi
Mchonda, Marambo, Mtua, Nditi, Kiegei, Ndomoni, Mchonda, Namikango,K/Mtua na Mitumbati
Kuimarisha Huduma ya Afya
29
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
ya Mama na Mtoto kwa kuzingatia vipaumbele vya
Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kwa kufanya yafuatayo:-
Kuzijengea uwezo Hospitali na
Vituo vya Afya ili kutoa
huduma kamili ya Afya ya Uzazi na Mtoto pamoja na upasuaji kwa mama wajawazito
Kuendesha mafunzo mbalimbali yanayohusu afya ya uzazi na mtoto pamoja na upasuaji kwa wamama wajawazito
Mafunzo mbalimbali yamefanyika na yanaendelea kufanyika kwa madaktari
Kuendelea kuhimiza wananchi kuwahi kliniki ya afya ya uzazi na mtoto ili waweze kupata huduma bora kwa wakati
Mafunzo yalitolewa kwa watumishi wa vituo mbalimbali vya kutolea huduma
Kutoa huduma za mkoba (mobile clinic) hasa maeneo ya vijijini
Kufanya zoezi la utoaji wa huduma za afya kwa njia ya mkoba katika vituo 38 vya kutolea huduma za afya
Zoezi limefanyika la kutoa huduma kwa njia mkoba katika vituo 38 za kutolea huduma za afya
3,240,000 Kata zote za Wilaya ya Nachingwea
Kuendelea kutekeleza mpango wa kutokomeza maambukizi mapya ya VVU kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto
Kuhakikisha huduma ya upimaji wa VVU kwa wajawazito na wenza wao na kutoa dawa za kupunguza makali ya VVU kwa waliobainika kuwa na Maambukizi pia kutoa dawa kwa mtoto aliyezaliwa na mama mwenye maambukizi
Tumeweza kupima:- Wajawazito 5961,
kati yao 150 walikua na maambukizi na walipatiwa dawa ya kupunguza makali ya VVU Watoto
waliozaliwa
48,500,000 Kuhimiza wamama wajawazito kuhudhuria kliniki mapema mara wajitambuapo kuwa wajawazito
30
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
na mama wenye maambukizi walikuwa 143 ambao walipatiwa dawa kwaajili ya kuwakinga na VVU na magonjwa nyemelezi na pia walichukuliwa damu kwa ajili ya kupima maambukizi
ELIMU Kuandaa mfumo, muundo na taratibu nyumbufu za kutoa
Elimu ya Awali na Elimumsingi (1+6+4) bila malipo ili kuhakikisha kwamba:-
(i)
Kandikishwaji rika lengwa
la watoto wa darasa la Elimu ya Awali 1unaongezeka kutoka
asilimia 45 mwaka 2015 hadi asilimia 100 mwaka
2020
Kuandikisha rika lengwa la watoto wa darasa la awali 5,896 kwa kipindi cha 2017/2018
Uandikishaji wa watoto darasa la awali umefanyika kwa wanafunzi 4930 sawa asilimia 83.81
0 Zoezi la uandikishaji limekamilika
Kata zote 36
31
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
(ii)
Uandikishwaji rika lengwa la watoto wa
Darasa la Kwanza unaongezeka kutoka asilimia 95 mwaka 2015
hadi asilimia 100 mwaka 2020
Kuandikisha rika lengwa la watoto wa darasa la kwanza 5,101 kwa kipindi cha 2017/2018
Uandikishaji wa watoto wa darasa la kwanza umefaanyika kwa wanafunzi 4803 sawa na asilimia 94.16
0 Zoezi la uandikishaji limekamilika
Kata zote 36
(iii)
Uandikishwaji rika lengwa la Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza
unaongezeka kutoka asilimia 60 mwaka 2015 hadi asilimia 80 mwaka
2020
Kuandikisha asilimia 80 ya wanafunzi wote waliofaulu darasa la saba kujiunga na kidato cha kwanza katika shule za sekondari 27
Kwa mwaka 2018 hadi sasa uandikishaji kidato cha kwanza umefikia asilimia 90.34
0 Zoezi la kuripoti limekamilika
Kata zote 36
Kuhuisha taratibu za kujiunga
na taasisi zinazotoa elimu na
mafunzo katika ngazi mbalimbali kwa kutambua
sifa zinazopatikana katika mifumo na taasisi tofauti ili kuhakikisha kwamba:-
(i) Asilimia 20 ya wahitimu wa Elimumsingi wanaendelea
na masomo katika ngazi za
Sekondari ya Juu na asilimia 80 kuendelea na elimu au mafunzo ya ufundi katika ngazi ya cheti,
Asilimia 80 ya Wahitimu wote wa darasa la saba kwa mwaka 2017/2018 kujiunga na kidato cha kwanza Na asilimi 10 ya Wahitimu wote wa kidato cha nne wanaendelea na masomo katika ngazi ya sekondari ya
Kwa mwaka 2017 ni asilimia 76.87 ya wahitimu wote wa darasa la saba wamejiunga na kidato cha kwanza 2018
Mikakati
naendelea
kuhakikisha
2017
tunafikia
asilimia 10
Kata zote 36
32
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
stashahada au shahada kulingana na sifa, vipaji au
vipawa
juu na asilimia 40 kuendelea na mafunzo mengine
Mwaka 2016 asilimia 7 kidato cha nne waliendelea na kidato cha tano
na zaidi
(i)
Ufaulu wa mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi unaongezeka kutoka
asilimia 57 mwaka 2015 hadi asilimia 90 mwaka
2020 na asilimia ya wanafunzi wanaoendelea na Kidato cha Kwanza kuongezeka kutoka asilimia 55.5 hadi asilimia
100
Asilimia 80 ya Wahitimu wote wa darasa la saba kwa mwaka 2017/2018 kufaulu mtihani wa darasa la saba
Mwaka 2017 asilimia 76.87 ndio waliofaulu mitihani ya darasa la saba
Wanafunzi waliofaulu wameshajiunga na kidato cha I
Kata zote 36
(ii)
Idadi ya wataalamu wenye ujuzi wa juu
wanaongezeka kutoka asilimia 3 hadi asimilia 10
mwaka 2020, ujuzi wa kati kutoka asilimia 13 hadi 30 na ujuzi wa chini kupungua
kutoka asilimia 84 hadi 60
Walimu 22 wamewekwa katika mpango wa masomo kwa mwaka 2017/2018
Jumla ya walimu 5 tayari wamewekwa kwenye mpango wa masomo 2017/2018
Kata zote 36
(i)
Uwiano wa kitabu cha
kiada kwa mwanafunzi katika Elimumsingi unaongezeka kutoka 1:3
Uwiano wa kitabu cha kiada kwa mwanafunzi kuongezeka kutoka 1:4 hadi 1:3 mwaka 2017/2018
Uwiano wa kitabu kwa mwanafunzi wa Darasa i-iv umefikia 1-3,kwa darasa v-vii uwiano bado 1;4
0 Vitabu vimepelekwa mashuleni
Kata zote 36
33
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
mwaka 2015 hadi 1:1 mwaka 2020
(ii)
Asilimia 50 ya fedha za ruzuku ya uendeshaji wa
shule zinatumika kuchapisha na kusambaza
vitabu vya kiada
Kusambaza vitabu vya Kiada kwa shule zote za Msingi.
Vitabu vya kiada kwa madarasa I-IV vimesambazwa
0 Vitabu vimepelekwa mashuleni
Kata zote 36
(iii) Uwiano wa vitabu vya
ziada kwa kila somo kwa mwanafunzi katika
Elimumsingi kuwa 1:10
Uwiano wa vitabu vya ziada kwa kila somo kwa mwanafunzi katika Elimu msingi kuwa 1:10
Uwiano wa vitabu vya ziada kwa somo umefikia 1:10 kwa darasa I-IV
0 Vitabu vimepelekwa mashuleni
Kata zote 36
Kuhuisha miongozo ya
Elimu na Mafunzo ili
kuondoa vikwazo vinavyosababisha mwanafunzi kushindwa kukamilisha
mzunguko wa elimu au mafunzo ili kuhakikisha kwamba:-
(i)
Wasichana wote wa
Elimumsingi wanaoacha shule kwa sababu ya kupata
ujauzito wataendelea na masomo
Kuondoa tatitzo la wasichana kupata ujauzito
Elimu inaendelea kutolewa kuziwa kwa ngoma za unyago wakati wa masomo Kuwachukulia hatua kali wanaowapa ujauzito
0 Elimu rika inaendelea kutolewa ili kujenga uelewa na umuhimu wa elimu kwa wasichana
Kata zote 36
34
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Kuandaa walimu, wakufunzi na
wahadhiri mahiri hususan katika
masomo ya hisabati, lugha, sayansi, teknolojia na ufundi ili
kuhakikisha kwamba:-
(i)
Tatizo la uhaba wa walimu wapato 24,000 wa
masomo ya sayansi na hisabati kwa shule za Sekondari linapungua kwa
kutoa mafunzo kwa walimu 5,000 wa masomo
hayo kila mwaka
Kupokea na kusambaza walimu wa masomo ya sayansi kutoka Serikali kuu mwaka 2017/2018
Walimu 27 wamepokelwa kati ya 30 waliopangwa na wamesambazwa katika shule za sekondari
0 Mara tu walimu wanapowasili husambazwa maeneo yenye upungufu
Kata zote 36
Kuandaa mpango kabambe
wa kuongeza udahili katika taasisi za elimu na mafunzo kwa kuzingatia mahitaji ya
rasilimali watu na ujuzi kwa maendeleo ya Taifa na soko la ajira hususan ujuzi
unaohitajika au kuhusiana na
sekta zinazokua haraka na zinazojitokeza mfano mafuta, gesi na madini ili kuhakikisha kwamba:-
(i)
Kuendelea kusimamia Sera ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya mwaka 2015
Kusimamia matumizi sahihi ya fedha za elimu bure zinazopelekwa mashuleni.
Matumizi ya fedha za elimu bure yanasimamiwa kikamilifu na
0 Kutumika kanuni nyingine ya kugawa fedha za
Kata zote 36
35
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
ambayo inaifanya elimu ya Msingi hadi Sekondari
kuwa ya lazima na bila ya malipo
yanakaguliwa na mkaguzi wa ndani
elimu bure badala ya idadi ya wanafunzi
MAJI 53 Kuboresha huduma ya maji
vijijini kutoka asilimia 53.4 mwaka 2015 hadi asilimia 70
mwaka 2020 kwa kufanya yafuatayo:-
Kuboresha huduma ya maji vijijini kutoka asilimia 35 mwaka 2015 hadi asilimia 75 mwaka 2020 kwa kufanya yafuatayo:-
Huduma ya maji imeboreshwa vijijini kufikia asilimia 45
0 Hamna fedha iliyoletwa kwaajili ya miradi
(i)
Kuendelea kutekeleza
lengo la kuwapatia wananchi waishio
vijijini huduma ya maji safi, salama na ya
kutosha kama yalivyo Malengo ya Milenia
Kujenga mradi wa mtandao wa bomba katika kijiji cha Marambo na kuchimba visima sitini(60) kupitia shirika la Gain
Uchimbaji kupitia shirika la Gain limechimba visima arobaini (41) kazi bado inaendelea kwa visima 19 vilivyobakia. -Mtandao wa bomba katika kijiji cha Marambo Mkandarasi ameshapatikana,Halmashauri inawasiliana na Wizara ya Maji ili kupata fedha za ujenzi.
0 Katika mradi wa mtandao wa bomba kijiji cha Marambo hakuna fedha iliyoletwa
Libundu,Namkula,Kimawe,Rweje,Rupota,Mkonjela,Nangalimbo,K/mnero,Mitumbati,Chilaile,Kihuwe,Naipingo,Kipara mtua,Farm 17,Mkukwe,Mchonda,Namatumbusi na Nan’gondo.
(ii)
Kujenga vituo vya
kuchotea maji
Kujenga vituo vya kuchotea maji mia mbili(200) vitakavyotoa huduma ya maji mwaka 2015 hadi kufikia mwaka 2020
Ujenzi wa vituo vya kutekea maji Arobaini (41) umefanyika kupitia shirika la GAIN na
0
36
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Halmashauri imejenga vituo 30 katika vijiji vya Mnero miembeni na Nditi
(iii)
Kuhamasisha ujenzi wa miundombinu ya kuvuna maji ya mvua
katika majengo ya Serikali, asasi za
umma na binafsi na nyumba za watu binafsi
Kuhamasisha ujenzi wa miundombinu ya kuvuna maji ya mvua kwa kutunga sheria ndodondogo katika majengo ya Serikali, asasi za umma na binafsi na nyumba za watu binafsi
Tayari sheria ndogondogo zimeshaundwa kwaajili ya uvunaji wa maji kupitia kwenye mapaa yao
0 Kuhamasisha ujenzi wa miundombinu ya kuvuna maji ya mvua unaendelea
Kuboresha huduma ya Maji
Mijini kwa kufanya yafuatayo:-
(i)
Kuongeza upatikanaji wa huduma za maji
katika miji mikuu ya wilaya, miji midogo na maeneo ya miradi
ya Kitaifa kutoka
asilimia 57 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 90 mwaka
2020
Kuongeza mitandao ya bomba kwa zile sehemu ambazo huduma haipatikani
Uongezaji wa mtandao wa bomba Nachingwea mjini kufikia km 5.2 mpaka Juni 2018
45,126,614 Zoezi inaendelea
Kuendelea kuhamasisha
wananchi kuunda Jumuiya za
Kuendelea kuhamasisha
wananchi kuunda Jumuiya za
Jumla ya jumuiya za watumiaji maji 23 zimeundwa na kati ya hizo Jumuiya 21
Jumuiya mbili bado hazijasajiliwa amabazo ni Kipara
Mandai, Nampemba, Farm 8 , Rweje, Lipuyu, Mituguru,
37
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Watumia Maji Vijijini katika
Mabonde yote ya maji nchini
ifikapo mwaka 2020 ili
kuwashirikisha wananchi
kikamilifu katika kupanga,
kujenga, kuendesha na
kumiliki miradi ya maji
Watumia Maji Vijiji (50) katika
wilaya ya Nachingwea ifikapo
mwaka 2020 ili kuwashirikisha
wananchi kikamilifu katika
kupanga, kujenga, kuendesha
na kumiliki miradi ya maji
zimesajiliwa Mtua na Namikango
Litula, Mkoka, Kipara Mtua, Mtua, Mbondo, Majonanga, Chiola A, Chiola B, Marambo, Nditi, Mnero Mimbeni, Ruponda, Mandawa, Ndomoni, Mkotokuyana, Ikungu na Namikango
5. UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI
57 Kuhakikisha kuwa shughuli
zote zenye mwelekeo wa
ushirika zinapewa msukumo stahiki kwa kuhamasisha na kusimamia kwa nguvu
uanzishaji wa vikundi vya ushirika kama vile SACCOS na VICOBA; Vyama vya
Mazao,
Ufugaji na Uvuvi hasa ikizingatiwa kuwa ushirika ndiyo silaha kuu ya wanyonge na nguzo kuu ya ujenzi wa
Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea
Kuhamasisha uundaji wa Vikundi vya ujasiriamali na VICOBA 554 ifikapo June 2016
Jumla ya vikundi 1020 vimeundwa na vina katiba na vimesajiriwa pia vikundi 43 vimepatiwa mkopo wa Tsh 86,000,000 kwa mwaka wa fedha 2017/2018 na ukopeshaji unaendelea kwa awamu ya pili.
86,000,000 Iwapo fedha itapatikana kutoka mapato ya ndani ukopeshaji utaendelea sambamba na ufuatiliaji wa marejesho
Kata 36
Kuweka mfumo wa
kuvitambua, kuvisajili na
kuviwezesha vikundi vyote
vyenye mwelekeo wa ushirika
Kusajili Vikundi vya ujasiriamali na VICOBA 554 ifikapo June 2018
Jumla ya vikundi 250 vimesajiliwa na usajili bado unaendelea
0 Kata Zote 36
38
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
na ujasiriamali
Kuwawezesha wananchi
kiuchumi kwa kuhakikisha kwamba fursa ya mikopo kwa ajili ya mitaji inapatikana bila
ya urasimu na kwa masharti nafuu na kuwafikia wananchi
wengi mijini na vijijini
Asilimia 10 ya mapato ya Halmashauri kutolewa kwa vikundi vya vijana na wanawake ifikapo Juni 2018
Jumla ya Tsh.86,000,000 kutoka mapato ya ndani zimekopeshwa kwa makundi tajwa na utaratibu wa ukopeshaji unaendelea
86,000,000 Utoaji wa mikopo unaendelea kulingana na upatikanaji wa mapato ya ndani
Kusaidia wafanyabiashara
wadogo kwa kufanya
yafuatayo:-
(i)
Kutenga maeneo mahsusi katika kila
Halmashauri kwa ajili ya biashara ndogo ndogo
Kuhakikisha maeneo yanatengwa kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo
Upimaji wa maeneo ya masoko kwa ajili ya wafanyabishara wadogo unaendelea kufanyika
0 Upimaji, Ugawaji na Ujenzi wa Maeneo ya Bishara usimamiwe na utekelezwe kwa haraka ili kuleta tija kwa wafanya biashara wadogo.
Kilimanihewa Nachingwea Mjini
58 URASIMISHAJI MALI ZA
WANYONGE
Kuongeza kasi ya utambuzi, usajili na umiliki
wa ardhi pamoja na kuendeleza urasimishaji wa
Kurasimisha mashamba 2500 na kuandaa hati miliki za kimila
Hati 350 za kimila zimegawiwa na zoezi linaendelea
0 Mbondo, Nakalonji, Nahimba na Namatunu
39
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
rasilimali za wananchi, kuwashirikisha na
kuwawezesha kutumia rasilimali zao kama dhamana ya kupata mitaji
60 KUWAWEZESHA VIJANA
KUJIAJIRI
Kuhakikisha Halmashauri
zote nchini zinaanzisha
vituo maalumu ili kuwawezesha vijana kupata
sehemu ya kujifunza kwa vitendo shughuli mbalimbali za
ujasiriamali na kupata taarifa mbalimbali za maendeleo
Halmashauri ilitenga vituo maalum vya kuwawezesha vijana kupata sehemu ya kujifunza kwa vitendo hadi kufikia June,2018
Maeneo matatu yamejengwa kwa shughuli husika,maeneo ayo ni Ngunichile,Kilimarondo,Mkotokuyana na eneo la Utafiti
Kilimarondo,Mkotokuyana,Ngunichile na Boma
Kuwawezesha vijana
wanaohitimu Vyuo Vikuu na
Vyuo vya Kati kufanya kazi kwa kujitolea katika asasi mbalimbali kwa lengo la
kuwapatia uzoefu na maadili ya
kazi ili waweze kuajirika au kujiajiri wenyewe
Uhamasishaji wa vijana wanaohitimu vyuo vikuu kufanyika ifikapo June 2016
Uhamasishaji umefanyika kwa kata 34 na asasi 4 za NAESO,NAPAU,FARAJA COMMUNITY DEVELOPMENT na NASODE zimeweza kuajiri vijana waliohitimu elimu ya juu
Kata zote 36 za halmashauri ya wilaya ya Nachingwea
6. MAENEO MENGINE MUHIMU
145 UTAWALA BORA,
DEMOKRASIA NA UWAJIBIKAJI
Kuendeleza jitihada za kukuza, kulinda na kuhifadhi Haki za Binadamu na
Utawala wa Sheria katika ngazi
zote za uongozi
Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea imeendelea kutekeleza mfumo wa ugatuaji wa madaraka kwa wananchi ambapo inaamini Serikali za Mitaa kama chombo cha
Halimashauri ya Wilaya ya Nachingwea imeendelea kuzifuata na
Elimu imeendelea kutolewa kwa kutumia miongozo, Sheria, na
40
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Wananchi kipo kiliundwa, huendeshwa, husimamiwa na kuwajibika kwa wananchi wenyewe na kupelelekea kuwa na sauti katika maamuzi mbalimbali kuhusu maendeleo yao.
kuzitekeleza Sheria mama, Sheria ndogo pamoja na Sera ili kuwezesha Jinsia zote zinapewa fursa sawa kushiriki kikamilifu katika masuala ya siasa, uchumi na utawala katika nchi yao.
sera mbali mbali kuhakikisha haki za binadamu na utawala bora vinazingatiwa, Mfano Sera ya maendeleo ya jamii ya halmashauri ya wilaya ya Nachingwea inasisitiza kuheshimu haki za binadamu na usawa wa jinsia ambapo Elimu hii hutolewa kwenye vikao ngazi zote.
148 SERIKALI ZA MITAA
Kuendelea kuzifanyia mapitio
Sheria zote zinazohusiana na
Serikali za Mitaa na Mamlaka ya Tawala za Mikoa ili
kuharakisha mchakato wa kugatua madaraka kwa lengo la kuziwezesha kutoa
Halmashauri imeendedelea kuhuisha Sheria ndogo zilizopo na kuibua sheria ndogo ndogo mpya ili kwenda na wakati kwa lengo la kuimarisha ukusanyaji wa mapato ili Halmashauri iwe na uwezo wa kutoa huduma stahiki kwa wananchi wake.
Sheria zilizo huishwa na kuibuliwa ili kuwezesha Halmashauri kuongeza mapato na kuwa na uwezo wa kuwahudumia wananchi wake ni pamoja na Sheria ya;
Elimu imeendelea kutolewa kupitia katika vikao mbili mbali, matangazo mbali mbali ili kuwapa
Maeneo yote ya kata katika Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea
41
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
huduma bora zaidi kutoka ngazi ya Kitongoji/Kijiji hadi
Kata
i) Udhibiti wa yombo vya usafiri ii) Udhibiti wa taka ngumu iii) Ushuru wa Mazao iv)Ushuru wa uvunaji wa maji ya mvua v) Ushuru wa huduma vi)Ushuru wa kodi ya majengo vii)Ushuru wa mabango na matangazo; Viii)Hifadhi ya Mazingira ix) Matumizi ya Barabara na ujenzi Mjini pamoja na x) Ada na ushuru.
fursa wananchi kuwa na uelewa kuwezesha kuzitumia Sheria hizo na kuziona kuwa nirafiki kwa maendeleo ya jamii.
Kuendelea kuzijengea uwezo
Serikali za Vijiji kwa kuzipatia
raslimali watu na fedha ili ziweze kupanga na
kusimamia kwa ukamilifu miradi yao ya maendeleo
Katika mwaka wa fedha 2017/2018 Halmashauri ya Wilaya iliandaa bajeti ya maombi ya Watumishi wa kada mbalimbali na kuwasilisha OR- Utumishi.
Katika mwaka wa fedha 2017/2018 jumla ya watendaji wa vijiji 10 , wauguzi 6 na matabibu 3 waliajiriwa .
Halmashauri inasubiri kupatiwa watumishi wa kada mbalimbali sawa na idhini ya nafasi zilizotolewa.
Maeneo yote ya kata katika Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea
Kuimarisha ubora na
upatikanaji wa huduma za kijamii hususan afya, elimu,
maji na miundombinu ya
Katika mwaka wa fedha 2017/2018 Halmashauri ya Wilaya iliandaa bajeti ya maombi ya Watumishi wa kada mbalimbali na kuwasilisha OR-
Halmashauri inasubiri kupatiwa watumishi wa kada
Maeneo yote ya kata katika Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea
42
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
kiuchumi katika Halmashauri zote nchini pamoja na
kuongeza idadi ya wataalamu wa fani mbalimbali
Utumishi. mbalimbali sawa na idhini ya nafasi zilizotolewa.
Kuendelea kuchukua hatua kali za kinidhamu na kisheria dhidi ya watendaji wa Halmashauri
za wilaya watakaobainika kuhusika na vitendo vya
ubadhirifu na wizi wa mali ya umma pamoja na matumizi mabaya ya madaraka
Halmashauri imeendelea kuchukua hatua kuimarisha nidhamu kwa watendaji wake pale inapo bainika kukiuka maadili ya Utumishi wa umma katika maeneo ya kazi na kuleta imani dhidi ya Serikali yao.
Halmashauri ya Wilaya kupitia vikao vya kazi vinavyoendeshwa na idara mbalimbali katika maeneo ya kazi watumishi wamekuwa wakielimishwa kuzingatia maadili ya Utumishi wa Umma na pale inapo bainika mtumishi wa Umma anakiuka na kwenda kinyume na maadili ya utumishi wa umma kupitia kamati ya nidhamu ya Halmashauri anachukuliwa hatua za kinidhamu.
Elimu pamoja na maelekezo mbali mbali vimeendelea kutolewa ili kujenga nidhamu kwa watumishi wa umma katika sehemu za kazi.
Maeneo yote katika kata za Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea
153 KUJENGA UWEZO WA
KUKABILI MAJANGA
Kusimamia kikamilifu
Utekelezaji wa Sheria mpya
ya Kukabiliana na Maafa
katika ngazi zote kuanzia Taifa hadi Vijijini
Uundaji wa Kamati ya maafa ya wilaya
Kamati ya maafa ya wilaya imeundwa kutoka idara 4 (Kilimo,maji,afya, mazingira) na Mratibu amepata mafunzo ya kukabiliana na maafa yaliyofanyika Lindi
0
43
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
MAPAMBANO DHIDI YA
VVU/UKIMWI
Kupunguza au kuondokana kabisa na utegemezi wa
wafadhili kwa kuanzisha Mfuko Maalumu wa UKIMWI (AIDS Trust Fund) ukiwa na lengo la
kuongeza rasilimali kwa ajili ya kuboresha huduma za UKIMWI
zinazotolewa
Kuweka mpango wa kutekeleza baadhi ya kazi za mapambano dhidi ya UKIMWI kwa kutumia fedha za mapato ya ndani.
Jumla ya shilingi 10,000,000 zimetengwa katika bajeti ya mwaka 2017/2018 kutoka mapato ya ndani kwa kazi ya mapambano dhidi ya UKIMWI kwa ajili ya kutoa elimu
10,000,000
Kufanya jitihada za kupunguza
kasi ya maambukizi katika jamii kutoka asilimia 5.1 mwaka 2015 hadi asilimia 3.0
ifikapo 2020
Kusaidia kuwalipia huduma ya afya ,msaada wa kielimu, chakula na lishe kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi ifikapo juni 2016.
Zoezi la kuwabaini watoto wanaoishi katika mazingira magumu ambao wameingia kidato cha kwanza Januari 2018 limefanyika katika kata 17
,
Kuimarisha huduma za elimu
ya UKIMWI kwa njia ya mawasiliano baina ya wanafamilia, watu mashuhuri, programu za mahali pa kazi na
viongozi wa dini
Kufanya mkutano na kamati za UKIMWI za kata (WMAC) juu ya kuhamasisha kubadili tabia ya mawasiliano juu ya mikakati ya maambukizi ya VVU katika kata 18 katika Wilaya.
Mafunzo yamefanyika katika kata za Nachingwea, Boma na Mnaro Miembeni kwa lengo la kujenga uwezo wa kamati
940,000 Kazi imefanyika na inaendelea kwa kata 15 zilizobaki
Nachingwea, Boma na Mnaro Miembeni
159 UTAMADUNI
Kuhamasisha na kuimarisha
ushiriki wa Sekta Binafsi katika
Uwezeshaji wa Miundombinu ya Kiutamaduni ikiwemo ya Tasnia ya Filamu, Michezo,
Kusajili vikundi vitano vya kiutamaduni vya filamu,muziki na ubunifu ili kulinda kazi zao kufikia Juni 2016
Mpaka sasa kikundi kimoja kimeshakamilisha usajili wake na vingine vinaendelea na mchakato wa usajili
Uhamasishaji unaendelea
Ikungu
44
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
Sanaa ya Muziki na Ubunifu kwa lengo kulinda haki na
Maslahi ya Makundi hayo
161 MICHEZO
Kujenga na kuimarisha
miundombinu ya michezo nchini
Kutenga maeneo ya wazi kwa ajili ya viwanja mbalimbali vya michezo
Mpaka sasa maeneo matano ya wazi yameshatengwa kwa ajili ya viwanja vya michezo
Hamasa inaendelea kwa maeneo ya pembezoni
Namatula
Kupanua wigo wa vyanzo
endelevu vya fedha za
uendeshaji na ugharamiaji wa Maendeleo ya Michezo hapa nchini kwa kuanzisha Bahati Nasibu ya Michezo
Kuhamasisha wadau mbalimbali wa michezo ili waweze kufungua kituo cha bahati nasibu ya michezo
Mpaka sasa jumla ya maeneo sita tayari yamefungua vituo vya bahati nasibu
Hamasa inaendelea
Nachingwea
Kuhamasisha na kusisimua
Maendeleo ya Michezo katika ngazi zote hapa nchini kwa
kuendeleza matamasha ya Michezo kuanzia ngazi za Vijiji, Kata, Wilaya, Mkoa hadi
Taifa
Kufanya matamasha mawili ya michezo mbalimbali ifikapo Juni mwaka 2016
Tamasha moja limefanyika lililohusisha michezo mbalimbali
Matamasha mengine madogo madogo yanafanyika kila jumamosi ya pili ya kila mwezi
Nachingwea
Kuweka vivutio vya kuwavutia
wawekezaji na washiriki wengine kuwekeza na
kugharamia shughuli mbalimbali za michezo nchini
Kuandaa maeneo ya wazi kwa ajili ya kuwekeza shughuli mbalimbali za michezo
Maeneo ya wazi yametengwa ili kuwekeza katika shughuli mbalimbali za michezo
Maeneo zaidi yatatengwa katika vijiji vilivyo katika mpango wa matumizi bora ya ardhi
Nachingwea ,mbondo.
Kulinda maeneo
Kuhakikisha maeneo yote Maeneo yote Hamasa Nachingwea
45
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
yaliyotengwa kwa ajili ya michezo na burudani kwa
kushirikiana na makundi ya wanamichezo, jamii na mamlaka nyingine zilizopo
yaliyotengwa kwa ajili ya michezo yanalindwa
yaliyohifadhiwa kwa ajili ya michezo yamelindwa kwa kushirikiana na idara ya ardhi na uongozi wa vijiji
inaendelea kutolewa kwaa makundi mbalimbali ya jamii
Kwa kushirikiana na Sekta
Binafsi, kuanzisha Kituo cha Kuendeleza Vipaji vya
Wanamichezo Mahiri na kutumika kama kituo cha maandalizi ya wanamichezo
wanaoiwakilisha Tanzania katika michezo ya Kimataifa
(Olympic village)
Kuwa na vituo vya kuendeleza vipaji vya michezo ya mpira wa miguu na mpira wa wavu kufikia Juni 2018
Kwa kushirikiana na watu binafsi tumeweza kuanzisha kituo kimoja cha mpira wa miguu cha Nachingwea Soccer Academy
Maandalizi yanaendelea kukamilisha kituo cha mpira wa wavu
Nachingwea
Kuendelea kufundisha
wataalam wa michezo na kuhakikisha wanapatikana
katika ngazi zote
Kuwa na kozi mbalimbali ili kupata wataalam wa michezo anwai
kozi mbili za michezo za mpira wa miguu na mpira wa wavu zimefanyika kwa kipindi cha septemba-novemba 2017
Maandalizi ya kuendesha kozi ya waendesha baiskel yanaendelea
Kuendeleza shughuli za
michezo mashuleni ili kuibua
vipaji vya michezo mbalimbali
nchini
Kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali kuandaa miundo mbinu rafiki ya michezo mashuleni
Mafunzo ya kuandaa miundombinu ya michezo mashuleni yamefanyika
Mafunzo yamefanyika
Kata zote 36
162 TASNIA YA SANAA
Kuweka mikakati ya
kuhakikisha kuwa Sekta ya
Filamu inakuwa na bidhaa zenye ubora, wataalamu wenye weledi na
Kuhamasisha vikundi vinavyojihusisha na utengenezaji wa filam ili kuwa na hakimiliki ya kazi zao
Jumla ya vikundi viwili vya utengenezaji filamu vipo kwenye mchakato wa kupata hati miliki na kimoja tayari kimeshakamilisha usajili
uhamasishaji unaendelea
Nachingwea
46
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
kuondokana na uharamia wa bidhaa za filamu
ambacho ni Kusini Sanaa Group
Kuhakiksha kazi za wasanii
zinalindwa ili zisighushiwe wala kuibiwa
Kushirikiana na wasanii ili kuhakikisha wanapata hakimiliki ya kazi zao
Kufanya uhamasishaji kwa makundi mbalimbali ya wasanii
Uhamasishaji unaendelea kwa mandi zaidi ya wasanii
Nachingwea
Kuhakikisha wasanii wanapata
maslahi wanayostahili kutokana na kazi zao kwa kuboresha mazingira ya
kisheria
Kuhamasisha na kutambua vipaji vya vijana katika nyaja mbalimbali
Vikundi 10 vimetambuliwa katika ngazi ya Wilaya
Uhamasishaji unaendelea
KUENDELEZA MAKUNDI
MAALUM
164 WAZEE
Kuhakikisha wazee
wanatambuliwa na kupatiwa
huduma za matibabu bila malipo
Kutambua wazee zaidi ya miaka 60 katika Kata zote 34 ifikapo Juni 2018
Jumla ya Wazee kwa wapatao 7000 wametambuliwa kutoka katika kata 15 kati ya kata 36
Hakuna gharama iliyotumika
Kuwatambua wazee yatakiwa uende sambamba na mipangi maalum mara baada ya utambuzi ambayo itakuwa endelevu
Kata zote 36 za Wilaya ya Nachingwea.
166 WATU WENYE ULEMAVU
Walemavu wote nchini
wanaendelea kutambuliwa na kulindwa na vitendo vinavyoshusha utu vikiwemo
Kufanya utambuzi wa Walemavu Katika Kata zote 34.
Jumla ya Walemavu 635 wametambuliwa linaendelea
Hakuna gharama iliyotumika
Kuwatambua walemavu yatakiwa uende sambamba
Kata zote 36 za Wilaya ya Nachingwea.
47
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
ubaguzi, uonevu, ukatili na mila potofu
na mipangi maalum mara baada ya utambuzi ambayo itakuwa endelevu
167 WANAWAKE
Kupata haki ya kulindwa
dhidi ya ubaguzi, udhalilishaji, dhuluma,
unyanyasaji, ukatili wa kijinsia na mila potofu
Kutoa elimu kwa wananchi ili kutoa taarifa ya vitendo vyovyote vya udhalilishaji, unyanyasaji, ukatili wa kijinsia na mila potofu kwa kuzingatia miongozo.
Wilaya imeendelea kutoa elimu kwa wananchi ili kutoa taarifa ya vitendo vyovyote vya udhalilishaji, unyanyasaji, ukatili wa kijinsia na mila potofu kwa kuzingatia miongozo ili wahusika wachukuliwe hatua za kisheria.
Elimu itaendelea kutolewa kwa wananchi
Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea na ngazi zote za Halmashauri
Kuhakikisha kuwa ajira za
wanawake zinalindwa wakati wa ujauzito na pale
wanapojifungua
Miongozo mbalimbali inayoongoza ajira za watumishi kuendelea kuzingatiwa mahala pa kazi.
Miongozo mbalimbali inayoongoza ajira za watumishi imeendelea kuzingatiwa mahala pa kazi.
Kuzingatia miongozo ya ajira mara zote wakati wa ajira
Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea na ngazi zote za Halmashauri
168 WATOTO
Kuhakisha watoto
wanalindwa dhidi ya
uonevu, ukatili, udhalilishaji, utumikishwaji na mila potofu
Kuwatambua watoto wanaishi kwenye mazingira hatarishi 600 ifikapo Juni 2018.
Mpaka sasa jumla ya kata nne zimepitiwa kwenye utambuzi na kata zilizobaki utambuzi unaendelea
Rasilimali Fedha zaidi zahitajika kwa ajili ya watu wa makundi maalum kutokana na
48
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
kuwa na shida nyingi ambazo utatuzi wake wahitaji Fedha.
169 VIJANA
Kuendelea kuwashirikisha
vijana kwa kuwapa nafasi za maamuzi katika ngazi zote
kutegemeana na sifa, weledi na uadilifu
Kuwawezesha vijana kushiriki kikamilifu katika ngazi mbalimbali
Elimu mbalimbali za uongozi zinatolewa kwa vijana kupitia vikundi na semina mbalimbali mfano mafunzo ya Veta kwa madereva pikipiki na wafyatuaji tofari
0 Elimu inaendelea kutolewa
Nachingwea
Kuendelea kutoa elimu kwa
vijana kwa kuwatumia wadau mbalimbali ili kuwajenga na kuwa wazalendo na
kuepukana na vishawishi vitakavyowaharibia malengo
yao ya baadaye
Kuwajengea uwezo wa kujitegemea na kujiandaa na maisha kwa kuwapa mafunzo ya ujasiliamali
Jumla ya vijana 60 walijengewa uwezo kwa kuwapatia semina ya ujasiliamali
17,500,00 Kuendelea kuhamasisha vijana katika suala zima la kujitegemea ili kuepuka vishawishi vitakavyowaharibia malengo yao
Kata zote 36
Kuvitambua na kuviendeleza
vipaji vya vijana katika
nyanja za michezo, sanaa,
elimu, ubunifu na uongozi
Kuhamasisha na kutambua vipaji vya vijana katika nyaja mbalimbali
Vikundi mbalimbali vya vijana vimeendelea kuhamasishwa katika Nyanja za sanaa kama ngoma (Naipanga Cultural group, utoaji elimu ya rushwa na Uongozi na ubunifu(Chamabona-umoja wa waendesha pikipiki, Kiumana-
Naipanga,Nachingwea, ugawaji na Mbondo
49
NA SEKTA/SERA IBARA MALENGO/MAELEZO YA ILANI
MPANGO WA UTEKELEZAJI 2017 /2018
UTEKELEZAJI JULAI-DISEMBA 2017/2018
GHARAMA MAONI/ MAELEZO
KATA/ MTAA
wafyatuaji tofari, Mshikamano- mafundi selemala na Kazamoyo – wafugaji wa kuku wa kienyeji)
170 Fedha haijatolewa WAFANYAKAZI
Kuhakikisha kwamba
mfanyakazi atalipwa kima cha chini cha mshahara kinachokidhi mahitaji muhimu
ya maisha kwa kuzingatia uwezo wa kiuchumi wa Taifa
Halmashauri kuendelea kuzingatia miongozo inayotolewa na ofisi Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma kuhusu malipo ya kima cha chini kwa watumishi wa umma.
Halmashauri kuendelea kuzingatia miongozo inayotolewa na ofisi Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma kuhusu malipo ya kima cha chini kwa watumishi wa umma.
Kuendelea kuzingatia usalama wawafanyakazi mahala pakazi
Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea na ngazi zote za Halmashauri
Kuboresha na kulinda afya na
usalama wa wafanyakazi wakiwa sehemu za kazi
Kuendelea kulinda usalama wa wafanyakazi kwa kuzingatia sheria na taratibu za kazi kwa kuboresha mazingira ya kazi.
Halmashauri imeendelea kulinda usalama wa wafanyakazi kwa kuzingatia sheria na taratibu za kazi kwa kuboresha mazingira ya kazi.
Kuendelea kuzingatia usalama wawafanyakazi mahala pakazi
Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea na ngazi zote za Halmashauri
Kuweka utaratibu wa
kupunguza pengo la mapato kati ya wafanyakazi wa ngazi
ya chini na juu
Halmashauri kuendelea kuzingatia miongozo inayotolewa na ofisi Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma kuhusu malipo mishahara na malupulupu ya watumishi.
Halmashauri kuendelea kuzingatia miongozo inayotolewa na ofisi Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma kuhusu malipo mishahara na malupulupu ya watumishi.
Kuzingatia miongozo inayoongoza vipato vya wafanyakazi
Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea na ngazi zote za Halmashauri
50
MCHANGO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO
JINA LA MRADI KIASI TOLEWA MAELEZO Uchangiaji wa ujenzi wa zahanati Nalengwe 2000000 Kazi inaendelea Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa mawili Mpiruka B 2000000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa Likongowele 2000000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa zahanati Chiumbati Shuleni 1,500,000 Kazi inaendelea
Kuchangia ujenzi wa kituo cha Afya Mandai 2000000 Kazi inaendelea Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa Kipara Mtua 1000000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa darasa Mpiruka A 1000000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa darasa shule ya msingi Nammanja 1,500,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa choo S/M Ruponda 1000000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa ofisi Mkumba 1000000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa ofisi Matangini 1000000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa kisima S/S Nachingwea 1000000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa vyoo S/M Mapinduzi 1000000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa kambi ya elimu ya sekondari kuboresha elimu S/S Kipaumbele
1000000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa S/M Litula 2,000,000 Kazi inaendelea
Ujenzi wa miundombinu ya hostel S/S Nditi 1,500,000 Miundombinu ya vitanda na Magodoro imekamilika
Uchangiaji wa ujenzi wa zahanati Chiumbati Miembeni 1,500,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa ofisi ya kata Ugawaji 1,500,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa zahanati Nammanja Nditi 2,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa zahanati Chingunduli Chiola 2,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa zahanati Nakalonji Mbondo 2,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa darasa Naulingo Lionja 1,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa Namikango 1,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa darasa Mkatapori Mchonda 1,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa Kihuwe Naipingo 2,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa darasa Mtimbo Chiola 1,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa madarasa Kaloleni Nachingwea 2,000,000 Kazi inaendelea
51
Uchangiaji wa ujenzi wa darasa Maziwa Mitumbati 2,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa ofisi Majonanga Matekwe 2,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa ofisi Namatunu Kilimarondo 2,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa choo Ruponda 1,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa mradi wa maji Namikango 2,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa ujenzi wa barabara Marambo 3,000,000 Kazi inaendelea
Uchangiaji wa Ujenzi wa zahanati Kijiji cha Mchangani 500,000 Kazi inaendelea