Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020...

47
www.maendeleobank.co.tz Annual General Meeting Mkutano Mkuu wa Mwaka

Transcript of Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020...

Page 1: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

www.maendeleobank.co.tz

Annual General MeetingMkutano Mkuu wa Mwaka

Page 2: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo
Page 3: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

MKUTANO MKUUWA MWAKA

2020

Our Togetherness

Unified us

Page 4: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

YALIYOMO

1. Dira

2. Dhima

3. Misingi yetu

4. Mawasiliano ya Benki

5. Taarifa ya Mkutano Mkuu wa Sita wa Mwaka

6. Kumbukumbu za Mkutano Mkuu wa Tano wa Mwaka

7. Yatokanayo na kumbukumbu za Mkutano Mkuu wa Nne wa Mwaka

8. Taarifa ya Mwenyekiti wa Bodi

9. Taarifa ya Mkurugenzi Mtendaji

6

6

6

7

9

11

18

33

26

Page 5: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo
Page 6: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 06

DIRA, DHIMA NA MISINGI YETU

Kuwa benki inayoongoza nchini Tanzania ambayo inaendeshwa namahitaji ya wateja pamoja na malipo ya ushindani kwa wanahisa.

Kukuza biashara yetu huku tukiwekeza kwa jamii tunayoihudumia na

kuboresha maisha ya wafanyakazi wetu. Tunajitahidi kutoa huduma

za kifedha zenye ushindani na ubunifu kwa wadau wote na jamii kwa

ujumla.

Uwajibikaji, Kujali jamii inayokuzunguka, Uwezeshaji, Ubunifu,

Uadilifu & Heshima kwa wote.

DIRA YETU

DHIMA YETU

MISINGI YETU

Page 7: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 7

MAWASILIANO YA BENKI

+255 (0)80 075 0089

[email protected]

www.maendeleobank.co.tz

maendeleobankplctz

maendeleobanktz

maendeleobankplc

Makao MakuuMaendeleo Bank PLCLuther House, Sokoine DriveS.L.P 216 Dar es Salaam

Kuwa benki inayoongoza nchini Tanzania ambayo inaendeshwa namahitaji ya wateja pamoja na malipo ya ushindani kwa wanahisa.

Kukuza biashara yetu huku tukiwekeza kwa jamii tunayoihudumia na

kuboresha maisha ya wafanyakazi wetu. Tunajitahidi kutoa huduma

za kifedha zenye ushindani na ubunifu kwa wadau wote na jamii kwa

ujumla.

Uwajibikaji, Kujali jamii inayokuzunguka, Uwezeshaji, Ubunifu,

Uadilifu & Heshima kwa wote.

DIRA YETU

DHIMA YETU

MISINGI YETU

Page 8: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 08

MUHIMU NI KUHAKIKISHA UNAIFAHAMUBIASHARA YAKO ILI KUPATA MAFANIKIO.

+255 677 014 875 +255 677 014 876+255 677 014 877

TUPIGIE:

KWETU MUHIMU SIO

Page 9: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 9

TAARIFA YA MKUTANO MKUU WA SITA WA MWAKA:

Taarifa inatolewa kwamba Mkutano Mkuu wa SITA wa Mwaka wa Wanahisa wa Maendeleo Bank Taarifa inatolewa kwamba Mkutano Mkuu wa SITA wa Mwaka wa Wanahisa wa Maendeleo Bank PLC utafanyika Jumamosi tarehe 27 Juni 2020 kuanzia SAA NNE ASUBUHI na wanahisa watashiriki Mkutano huo kwa njia ya MTANDAO wa Zoom.

Mkutano Mkuu wa mwaka utafanyika kwa njia ya mtandao ili kuepuka uwezekano wa maambukizi ya ugonjwa wa Corona kutokana na idadi kubwa ya Wanahisa wanaotegemewa kuhudhuria na kukosekana kwa Ukumbi mkubwa wenye uwezo wa kukaa kwa kuzingatia taratibu na ushauri wa madaktari unaotaka watu kutokaribiana na kupeana nafasi ili kujikinga dhidi ya maambukizi.

Benki inachukulia kwa makini usalama na afya za Wanahisa Pamoja na wadau wake wote. Benki inaunga mkono jitihada kubwa zinazofanywa na Serikali kupambana na ugonjwa huu hatari wa Corona kwa kufuata taratibu zote za kiafya zinazosisitizwa na wataalamu ikiwemo; kuepuka mikusanyiko na watu kutosongana na kuachiana nafasi angalau mita moja kati ya mtu na mtu.

Agenda za Mkutano:

1. Kufungua Mkutano. 2. Kuridhia Ajenda za Mkutano Mkuu wa Sita wa Mwaka. 3. Azimio Maalum kuidhinisha marekebisho kwenye Katiba ya Benki (MEMARTS) kuruhusu Mkutano Mkuu kufanyika kidijitali. 4. Kupitia na kuthibitisha Kumbukumbu za Mkutano Mkuu wa Tano. 5. Yatokanayo na Mkutano Mkuu wa Tano. 6. Kupokea na Kuridhia Taarifa ya Wakurugenzi. 7. Kupokea Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba 2019. 8. Kupokea na Kuidhinisha Malipo ya Wakurugenzi wa Bodi kwa Mwaka 2020. 9. Kuteua Mkaguzi Huru wa Hesabu kwa Mwaka utakaoishia tarehe 31 Desemba 2020. 10. Kupokea na Kuidhinisha Pendekezo la Gawio. 11. Mengineyo kwa idhini ya Mwenyekiti. 12. Kupendekeza Tarehe ya Mkutano Ujao. 13. Kufunga Mkutano.

MUHIMU NI KUHAKIKISHA UNAIFAHAMUBIASHARA YAKO ILI KUPATA MAFANIKIO.

+255 677 014 875 +255 677 014 876+255 677 014 877

TUPIGIE:

KWETU MUHIMU SIO

Page 10: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 010

MAMBO YA KUZINGATIA:

1. Mwanahisa atakayetaka kushiriki katika Mkutano Mkuu utakaofanyika kwa njia ya mtandao, atatakiwa kuthibitisha ushiriki wake kwa kutoa taarifa kwa katibu wa Kampuni kwa njia ya barua pepe kupitia [email protected] au ujumbe mfupi wa simu/whatsapp namba 0677-500050 kuanzia tarehe 20 Juni 2020 ili kupata maelekezo na kiunganishi cha mkutano.

2. Mwanahisa yeyote anayestahili kushiriki kwenye Mkutano Mkuu au kuteua mwakilishi. Wanahisa wanaotaka kutuma wawakilishi, wanaombwa kujaza fomu ya uwakilishi (proxy) inayopatikana kwenye mtandao wa benki (www.maendeleobank.co.tz). Fomu ya uteuzi itumwe kwa njia ya barua pepe au whatsapp namba 0677500050 siku moja kabla ya Mkutano.

3. Taarifa ya Mwaka 2019 na Makabrasha ya Mkutano yatapatikana kwenye tovuti ya Benki (www.maendeleobank.co.tz) kutanzia tarehe 15 Juni 2020.

4. Mapendekezo ya Wanahisa yatakayojadiliwa katika agenda namba 11wasilishwe kwa Katibu kwa njia ya barua pepe kwenda [email protected] au ujumbe mfupi wa simu/whatsapp namba 0677-500050 kabla ya tarehe 25 Juni 2020 saa kumi jioni.

KWA IDHINI YA BODI

DKT. IBRAHIM MWANGALABA MKURUGENZI MTENDAJI NA KATIBU WA BODI Tarehe 05 Juni, 2020

Page 11: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 11

KUMBUKUMBU ZA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA 5 WA BENKI YA MAENDELEO ULIOFANYIKA 22 JUNI 2019 KATIKA UKUMBI WA MSASANI, DAR ES SALAAM, ULIOANZA SAA 03:30 ASUBUHI.

Wanahisa: 1. United Evangicl Mission (UEM) Uliwakilishwa na Mch. Dkt. Nagaju Muke 2. KKKT – Makao Makuu Iliwakilishwa na Bw. Loata Laizer Mungaya 3. KKKT- Dayosisi ya Mashariki na Pwani Iliwakilishwa na Bw. Godfrey Nkini 4. Wanahisa wengine

Wakurugenzi: 1. Bw. Amulike Ngeliama Mwenyekiti 2. Balozi. Richard Mariki Mkurugenzi 3. Bw. Naftal Nsemwa Mkurugenzi 4. Mch. Dkt. Ernest Kadiva Mkurugenzi 5. Bw. Felix Mlaki Mkurugenzi 6. Bi. Anna Mzinga Mkurugenzi 7. Dkt. Ibrahim Mwangalaba Mkurugenzi Mtendaji na Katibu wa Bodi

Walioomba udhuru: 1. Bi. Dosca Mutabuzi Mkurugenzi

Kamati ya Uteuzi: 1. Bw. Oswald Urassa Mwenyekiti wa Kamati ya Uteuzi 2. Bw. Alatanga Mwabena Mjumbe

Udhuru: 3. Bi. Christina Kilindu Mjumbe 4. Bw. William Mlaki Mjumbe

Wafanyakazi na wageni waalikwa 1. Bw. Peter Tarimo Mkuu wa Kitengo cha Fedha 2. Bw. George Wandwalo Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA & Uendeshaji 3. Bw. Richard Mashiku Mkuu wa Idara ya Rasilimali Watu 4. Bi. Mumi Philip Mkuu wa Idara ya Mikopo 5. Bw. Newton Matthew Kaimu Mkuu wa Ukaguzi wa Ndani wa Hesabu 6. Bw. Anthony A. Kashube Mwakilishi wa CMSA 7. Bi. Adella Kaale Mwakilishi wa CMSA 8. Bw. Gideon Kapange CSDR - DSE 9. Bw. Elibariki Fanuel Ernst & Young 10. Bi. Bahati Sumai Ernst & Young 11. Wakili. James Bwana Bwana Attorneys 12. Bi.AngelaMwageni AfisaSheria 13. Bi. Margaret Msengi Meneja wa Tawi la Luther House 14. Bw. David Mwambije Meneja wa Tawi la Kariakoo 15. Bi. Anneth Mahondo Meneja wa Tawi la Mwenge 16. Bw. Francis Mandala Meneja Uendeshaji 17. Bw. Bella Mushongi Meneja Biashara

Page 12: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 012

18. Bw. Emmanuel Mbeleka Benki ya Maendeleo 19. Bw. Geofrey Materu Benki ya Maendeleo 20. Bw. George Kihongozi Benki ya Maendeleo 21. Bw. Ebenezer Lwiza Benki ya Maendeleo 22. Bw. Wales Mdoe Benki ya Maendeleo 23. Bw. Samwel Dyamo Benki ya Maendeleo 24. Bi. Rose Ndenji Maendeleo Bank Plc 25. Bw. Emmanuel Ahadi Benki ya Maendeleo

Page 13: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 13

Mahudhurio ya Wanahisa wengine

1 AGATHA EUSEBI MWENDA2 AGNES FRANCIS SHEMWETA3 AGNES MARO MOSHA4 AGNES MOSSES MINJA5 AGNES N LEMA6 AGNESS ELIAPENDA NKINI7 AGNESS NKINI ELIPENDA8 AGNESTA STANLEY FIFI9 AHAZ NEEMIA MAHENGE10 AIKA ERIHURUMA MREMA11 AILEENPEACE MUHAMBA KATUNZI12 ALEXANDER ABSALOM DUMA13 ALICE EMMANUEL KITILLA14 ALICE ITUE MOSHY15 ALIKO JANUARY MWALUKASA16 ALLAN MKONYI BARNABAS17 ALLY ISMAIL ALLY18 ALOYCE JOHN KIBIRITI19 AMANI ALBERT SAJILA20 AMBWENE KAHESA KYANDO21 AMETY SWAI22 AMILZIDA PHILIPO KYANDO23 AMINATHA HASSAN MAGNAS24 ANALOISE KAFUKU MAFURU25 ANAMAE PIUS NDOSI26 ANANDE PIUS NDOSI27 ANANIA GURENI 28 ANDERS RICHARD MUTEMBU29 ANDERSON ENOSY MSAMBA30 ANDERSON LEONARD KIPPA31 ANDERSON RISHIAELI MMARI32 ANDOLELYE LABANI MSIGWA33 ANGELINA ANZAAMEN SAWE34 ANGELINA JOHN PAUL35 ANITA SOLOMONI ORIO36 ANITHA BURTON NSEMWA37 ANNA DANIEL LYIMO38 ANNA GODFREY MBALAKELE39 ANNA HATIBU SHEMAHONGE40 ANNA NESTORY SHITIMA41 ANNA-MARIA ALMAS MSAGATI42 ANNAMARIA STEPHANO LUVUBA43 ANNETH MWAKOSYA KENAN44 ANTHONY ALINDE KASHUBE45 APAIKUNDA OSHORAELI NKYA46 ARNOLD SHIKONYI KILEWO47 ASNATH MBAZI MBWAMBO48 ASSERY HAIAMAN MSANGI49 ATUGANILE JAMES MWAKIKONO50 AUGENIA E ALBANO51 AUGUSTINE MARKO SUMARI52 AUSTIN JOSHUA EDWARD

53 AVELYNA JOSIA NGIMBOWA54 BABAELI JOSIA SARIA55 BALIWA JUSTA KIMBAVALA56 BARICK AMINIUFOO SHOO57 BEATRICE ANTHONY MBILI58 BEATRICE MARANDU59 BENETH FELIX 60 BENJAMIN MWITA KIHOGO61 BENJAMIN TITO SUBAYI62 BLANDINA SEVERINE MHINA63 BRENDA JUBILATE KOMBE64 BRYAN MOSES MUNUO65 BRYSON MAKUNDI ELISANTE66 CAMILA JOSEPH IKWATAKI67 CARREN ASUBISYE MWAISOBE68 CATHERINE ASHERI JILO69 CAVIN NAIMAN NKYA70 CECILIA EFREIM MOSHA 71 CHALTON NELEUS JOSEPH72 CHARLES AMANI KISAGA73 CHARLES BARAKEL MNENEY74 CHARLES JAISON MANGIA75 CHARLES MACHANGE JARELD76 CHARLES MICHAEL MPONDO77 CHRISTINA LUCAS MATERU78 CHRISTOPHER J NGARI79 CLARA JOSEPH SHOO80 COLLINS ASUBISYE MWAISOBE81 COSTANSIA ESTOMIH MAMBALI82 DAN YONA TEMU83 DANIEL JOHN PALANGYO84 DANIEL OBED MASHOTO85 DANIEL WILSON MWAMUZI86 DAUD WILSON MAKALA87 DAVID TIMOTHEO SHUMA88 DEBORA JUMA CHUMI89 DENIS RICHARD MKUNDI90 DENIS SHUKURU KAIZA91 DERICK CHARLES MACHANGE92 DEVOTHA SANGU BRUNO93 DONALD NZAGA WARIOBA94 DORIS SAMWEL KWAYU95 DOSCAW ASSEI VUHAUWA96 DR. AMOS ODEA MWAKILASA97 DUSABE BONIFACE NYALAIRO98 EBENEZER FRANAELI NKYA99 EDDAH FRANSCIS MAHENDE100 EDITH HURBERT MOSHA101 EDITH SEBASTIAN RWEZAURA102 EDWARD JOSEPH MATERU103 EDWARD MGAICHUMA LWAMBANO104 EDWARD PYUZZA NALOMPA105 ELIA NJIRO

106 ELIANSHIMAA AIKAEL KWEKA107 ELIASOLE SAIBULL KELAKI108 ELIDA REUBEN MARO109 ELIDHAMINI JACOB NDEKIMO110 ELIEWAHA IKANAELI YOHANA111 ELIFOSIA ISARIA ALEIKANZADE112 ELIHURUMA MARTIN MSUMARI113 ELIKUNDA HAMIEL KISANGA114 ELIMBINZI ELIARINGA KIMAMBO115 ELINAIKE ELIAWONY MREMI116 ELINARA HERI EPENDO117 ELINEEMA ELINAMINGA NATUI118 ELISARIA CHUWA BRYSON 119 ELIWAJA LAPIA MGORI120 ELIYA WILBERT MUSA121 ELIZA SAIMONI KABELEGE122 ELIZABETH JILAONEKA MUNG’ONG’O123 ELIZABETH KADUMA NGWEMBE124 ELIZABETH PROSPER KAHANGWA125 ELIZABETH RICHALD MSOSO126 ELLY JOSIA MLAY127 ELLY BENJAMIN KIHOGO128 EMIL WILIAMU MLACHA129 EMMA TIMOTHY KIBAGAYA130 EMMANUEL ALLAN MKONY131 EMMANUEL DOGAN SHIJA132 EMMANUEL MANASSEH133 EMMANUEL MATAJA MWAMYA 134 EMMANUEL NDANSHAU SHILE135 EMMANUEL SAMWEL MATONYA136 EMMANUEL TUZIHIRWE MNJOKAVA137 EMMU HERI SANGA138 EMMELINE ALEXANDER MBOYA139 ENDAEL ELIAKIM MDUMA140 ENEDY AINAINY TEMU141 EPENETH KITAMBUKA MAFURU142 ERICK PETER MKOMA143 ESTHER GIBSON TARIMO144 ESTHER CHARLES LYANGA145 ESTHER ELIASA BIRANGO146 ESTHER EMMANUEL MARCO147 ESTHER JEREMIA MWANGA148 ESTHER JOHN SAMANYA149 ESTOMIH LEVI KANYIKA150 ESTOMIH RWAKILOMBA KYANGENYENGA151 ESTOMIHI ELISA MARANDU152 EUNICE ANTHONY MBILI153 EV. ELIUD MZAULA IKWATAKI154 EV. CHRISTER KISHIMBO ALLAN

JINA

Page 14: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 014

155 EVA RICHARD NJALLA156 EVA SEBASTIAN KIMARO157 EVELYN KISAMO158 EZRA MATHEW MAKONDA159 FADHILI S WAHIO160 FARAJA ALLAN MKONY161 FAUSTA RASIEL 162 FAUSTINA BISHANGA ANTHONY163 FAUSTINA REMEN SHOO164 FAUSTINE DIONIZE TULIA165 FAUZIA ALFAYO KIMATH166 FEDILIA EXAUD URASSA167 FELISTA OFORO MALISA 168 FELISTER EMMANUEL SHAO169 FELISTER JOEL MUGANGA170 FELIX NDYANO MWOMBEKI171 FILBERT GODSTONE MASUKI172 FIRYANDIANA YONNA MUNUO173 FLORA JACKSON HUMBO174 FLORENCE WILFRED MUSHI175 FRANCIS KUMBUKA UBWE176 FRANCIS RAPHAEL KIBWANA177 FRANK AMANI LYATUU178 FRANK FESTO MOSHI179 FRANK MWANKINA180 FROLA GODBLESS URONU181 GADSON JULIAS AMANI182 GELITE HAMISI LUKUTA183 GEOFREY DAUDI KUASI184 GEORGE ISRAEL MNYITAFU185 GEORGE MHINA PAUL186 GEORGE PAUL MWAKAJINGA187 GEORGINA JUMANNE MGAHI188 GETRUDE CLEMENT KISANI189 GILBERT ANANIA190 GILLIARD THOMAS MASSAWE191 GLADNESS JOEL NDYAMUKAMA192 GLADSTONE MATHEW MASUE193 GLORY BENJAMIN NG’UNDA194 GLORY LUFINGO SIMON195 GODFREY L NKINI196 GODWIN ERNEST 197 GODWIN JOEL MUNGAYA198 GOLDEN ELLY MASINGA199 GOODLUCK GEOFREY MSHANA200 GORDEN JOEL NGWEMBE201 GOSBERT CHRISTOPHER LUGEMARA202 GOSPEL HUMPHREY MMARI203 GRACE BAYONA KASSEY204 GRACE BENJAMIN NG’UNDA205 GRACE ESTOMIHI MARANDU 206 GRACE SHABANI MDOE207 GRENES GODFREY MATHEW

208 GREYTON NICODEMUS WALUYE209 GROGORY FELIX KISANGA210 GROLY HERI SANGA211 GULAD N OLOTU212 GURISHO ANDREW MWANGA213 GWAKISA GALLEN MWAKYUSA214 GWANTWA ISWASWA MWASUMBI215 HAFSA IMAMU ISMAIL216 HAMAMOLI JOHN MREMA217 HAMBASIA NKELLA MAEDA218 HAMISI ALLY LUKUTA219 HAPPINESS VEHAELI SHEKOLOWA220 HAPPYLIGHT MATEMBA221 HAROLD ALFRELD MOSHI222 HARRIET ADAM LYIMO223 HASSANI HAMISI SALIKO224 HASSANI SELEMAN YUSUPH 225 HELIME SHECHAMBO LIMOTA226 HELLEN SEBASTIAN RWEZAURA227 HELMEGILDA TELESPHORI DONAT228 HERIETH Z. OKOFI229 HERMAN MSHIU HENDRY 230 HESABIA JILAONEKA MWALONYO231 HIGHNESS MESHACK KAIRA232 HILALA DAIMA ZANTI233 HILDA BERICK KAPILA234 HILDA KAPIMO LWEZAURA235 HILDA MOSES KIBWANA236 HILDA NICHOLAUS MKALA237 HOPE CHARLES MNENEY238 HURBERT ELISANTE URIO239 IMANI OSCAR KATANGA240 IMMAKULATA EMILY MREMA241 INGIA CHARLES MDINGI242 IRENE JOHN SIMBA243 IRINE STEPHEN BARUTI244 ISAAC KAHEJA ILOMO245 ISARIA KAWEDI MWENDE246 ISSACK YONA MINDOLO247 JACKSON PONSION KAIGOMU248 JACQULINE SAID SEVURY249 JAMES/ ESTHER ALEONASAA MWANDUMBYA250 JANE JOHN SHADRACK251 JANE JOSEPHAT GEORGE252 JANE VENANCE KILASI253 JANEPHER HERTHOMAS MARANDO254 JANETH ELIAS KALINGA255 JANETH GERSON KAJORO256 JENETH SIPHAS KISANGA257 JESCA RICHARD MKUNDI258 JIMSON JAPHET MLYUKA259 JOANES MUGASHE BYAMUNGU

260 JOEL ELIHUDI MMBAGA261 JOEL GORDEN NGWEMBE262 JOEL GOYAYI263 JOHANNESS GODSON MAKUNDI264 JOHN AUGUSTINO BARUTI265 JOHN ELISA URASSA266 JOHN PAUL MKONO267 JOHNSON KIMAMBO MBEZI268 JONAS ELIKANA SAM269 JONATHAN RICHARD KOMBE270 JONES SOSPETER KYAKARABA271 JOSEPH JOPHACE LWEMBIZA272 JOSEPH SILVESTER TAIRO273 JOSEPHINE DANIEL MNZAVA274 JOSHUA MARTIN MHEMA275 JOYCE JOHN MNYENYE276 JOYCE LEONARD 277 JOYCE MAPUNJO278 JOYCE NGOWI ELIYAWONI279 JOYCE ROGERS MSUYA280 JOYCE SAMSON MWAKINGILI281 JUDITH ANDREA KATANGA282 JUDITH ELIAS SAIBULL283 JUDITH JONATHAN MGAYA284 JULIANA CHRISTOPHER SHINE285 JULIANA EPHATA KIMAMBO286 JULIANA MANASE AKILE287 JULIANI ANTHONY TAIRO288 JULIUS SHESHE289 KASHANGEKI BAMUGIMBA KATEGERE290 KELVIN MANYANGA291 KENETH E TEMBA292 KILUVYA LUTH CHURCH SACCOS293 KISA BURTON MWAKATOBE294 KKKT KONGOWE NAZARETI295 KKKT MAJOHE296 KKKT MTAA WA MWENDAPOLE297 KKKT UNUNIO298 KKKT USHARIKA WA MTONI299 KWAYA YA UINJILISTI KKKT TANDIKA300 LEACKY SANARE TOMITO301 LEBRON ANDERSON MAHOO302 LEORNARD WILFRED MUSHI303 LESLYANA ELIAS SAIBULL304 LETICIA ATHANAS RWEBANGILA 305 LETISIA WILLIAM LUVANDA306 LEZILE JOSAPHAT YUSUPH 307 LIDYA JOHN BAIKI308 LILIAN DAVID SLAA309 LORDEN ELLY NZOGELA310 LOYCE P MTAKI311 LOYCE DAVID IFUGE

Page 15: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 15

312 LOYCE JOHN MKUMBO313 LUCAS NOAH KINUKE314 LUCY PETER MSHANGA315 LUFUNYO ZACHARIA NG’UMI316 LUICE MNENEY CHARLES317 LULU GORDEN NGWEMBE318 LUSAJO AKIMU MWAIPOPO319 LUZARO MDANGANYA MASEGESE320 MACRINA HERMAN MSHANGA321 MAGDALENA SAID 322 MAGOMENI LUTHERAN CHURCH323 MAGRETH BIOCK MAHENGE324 MAGRETH SIMPASA MWETA325 MAMERTHA GABRIEL JOSIAH326 MANASE O META327 MARCELINA PAUL MSUYA328 MARGARETH CYRIL MWAIMU329 MARIA EZRA KISANGA330 MARIA PAULO NGALYA331 MARIA PETER MAHUVE332 MARK THOMAS CHAULA333 MARTHA ELIFURAHA MTALE334 MARTHA JOHN HAULE335 MARTI LYIMO ZAKARIA336 MARTIN JONAS MMARI337 MARTIN SAMEJI JOSHUA338 MARY ANAMRINGI MARO339 MARY AUGUSTINO MREMA340 MARY ELIATOSHA341 MARY EUGENE MMARI342 MARY KIMODYA MHAYAYA343 MARY REGNALD LYIMO344 MASTIDIA HOPE JOHN RUKANGULA345 MATHIAS IRENGERO CHAWA346 MCH. JOB MWAISAKA 347 MERCYLINE PETER SHIO348 MICHAEL ELIA NJIRO349 MICHAEL CHARLES BENELA350 MICHAEL THADEO MBEGA351 MIKAU PENIELI MSUYA352 MIKE JESUSA MALLEWO353 MISSANGA HUSSEIN MUJA354 MOSES AMULIKE MWIPWAPWA355 MOSES AZAEL MURO356 MOSES JONAS LUMBAGALA357 MSIFUNI ELINILIA SWAI358 MTAA WA ULONGONI359 MTATIRO MGAYA MASIRIKALE360 MUGISHA RUTAIHWA KILIBA361 MWAKA SILAS MBEYE362 MWASU IBRAHIM MKUYA363 NAGHUHIWA AGGREY

MSONGOLE364 NAMTERO JOHN MAJALIWA365 NDEKUSURA PALLANGYO 366 NDENI ANANDE SHOO367 NEEMA A MTAMBO368 NEEMA EZEKIEL KALINGA369 NEEMA JESSE MOSHY370 NELLY LYIMO371 NELSON FITINA MARANDO372 NELSON PAUL MONYO373 NGIANAEL PAUL MINJA374 NGOMOI NGEREZA LAIZER375 NICHOLAUS PETER MUELLA376 NIMWINDAEL PAULO MNUBI377 NISAMEHE AJUAYE KINGH’OMELLA378 NITIKE ANDONGWISYE NGAILO379 NKUMBU DAVID NGANDO380 NORAH WILLIAM MUSHI381 NZICKU JOHN382 OMEGA ANAEL NGUMUO383 ONESMO M MJUU384 OSCAR LABANSON RAPHAEL385 OSCAR MSAMI SWAI386 OSCAR RODINGTON NYIRENDA387 PATRICK ZENICE SIMON388 PAULINE PAUL RWEZAURA389 PETER BETHUEL MSHANGA390 PETER NTANDU MISANGA391 PETRO MICHAEL HHERA392 PHANE MATHEW KIRUMBI393 PRAYGOD ELIMRINGI MLAY394 PRAYGOD JUBLANT MUSHI395 PRISCA ARNOLD MATOYO396 PRISCA RAMADHANI CHANKICHA397 RABIAN JOSSEW MASAWE398 RACHEL K MASISILA399 RACHEL SAMSON MADINDA400 RAHABU ASAGILE KASEGHE401 RAHMA MAX MASSAWE402 RAPHAEL AHADIEL SENDORO403 RAPHAEL MNDOLWA SAID 404 RAYMOND ISRAEL MWATI405 REBECA NATHANIEL MVUNGI406 REBECA RENATUS MARANDO407 REUBEN JAIROS MWAMBIJE408 REV.ABRAHAM KILENGA KILINDO409 REV.DANIEL ABIA MBOWE410 REV.EMMANUEL MTIGILE KIGOLA411 REV. ISMAIL MWIPILE412 RHODA SEBASTIAN RWEZAURA

413 ROBERT MATHAU MBEZI414 ROSE EMMANUEL MEAGIE415 ROSE FRUMIN MROSO416 ROSE KABISSA MWAKAJINGA417 ROSE M LUAMBA418 ROSE MATHIAS CHAULA419 ROSE MDUMA SAMUEL 420 ROSE SIMON LYIMO421 ROSEMARY MASENHA NGUBESI 422 ROSEMARY MUNISI MICHAEL423 RUBEN ONASAA SWAI424 RUTH AIWIMA MAMMBA425 SADIKI ELIA NYANGE426 SAFRONIA GODSON NGURE427 SALOME DAVID MLILO428 SALOME HATI MWASENGA429 SALOME IBRAHIM MWANGALABA430 SALOME P ASSEY431 SALOME THEOFLO KILEO432 SAMWEL FREDRICK KIMARO433 SARAH AIDA NYUMILE434 SARAH ISSA MUNGE435 SARAH MARTIN MUNA436 SARAH MURRO NJAU437 SARAH SILICCA MWAKABINGA438 SELESTINA NEOPHITUI MEGABE439 SELINA LONAY NADO440 SELINA SAID WOISO441 SEVERINA KWIRINI SHIRIMA442 SHUKURU ELIAS MTAMBO443 SIFUNI YOAKI KAGUO444 SILAH SIMON MWINAMI445 SILVESTER DANIEL 446 SIMON GORDEN NGWEMBE447 SIMONI AMON MWAGUKO448 SIMONI ONAUFOO URASSA449 SION LOAKAKI SEVERRE450 SOPHIA KASAMBALA451 SOPHINA WILFRED MBATA452 SRACE YESSAYA HIZZA453 STANLEY N LUBAGUNYA454 STELLA SAMWEL MUNISI455 STEPHANO ALEX MMBUGHU456 STEPHEN LAIZER KAISER457 TAFUTENI RASHID MBUGUNI458 TAIMISY DAUDI SANGA459 TAKWISTA HAMIS MKALAVA460 TEDDY JOSEPH KIMATARE461 TIMOTHY NOBERT KIRWAY462 TUMAINI MCHOMVU SHABANI463 TUMPE EMMANUEL MANDILE 464 TUMSIFU ROBERT 465 TUMTUKUZE JOHN GONDO466 TWAHA MWANGA

Page 16: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 016

467 ULINGETA MBAMBA468 VENANCE DEUSDEDIT MTAMWEGA469 VERONICA ALOYCE MALLYA470 VERONICA PHANUEL SHANI471 VERONICA SIJAONA472 VICKY RUTH MGENI473 VICTOR O MACHA474 VICTORIA GABRIEL PYUZA475 VIOLET ELIAS KAFULAMA476 VIVIAN ISMAIL MKORA477 VULIUS SHESHE SHESHE478 WABABA JUMUIYA MASAKA479 WARANGE MAGAMBO MARUNGU480 WELLU SAMWEL SIRRA481 WILFRED W MASSAWE482 WILLIAM KIHIGWA483 WILLY LWINUKA KLONA484 WITNESS FRANK MALLE485 WOITARA SHIKEENGUNDEN NDESEVA486 YOENI MMARI487 YONA KILLAGANE488 YONAVOTA JOEL NGUMUO489 YUSTA FABIAN MAUNDA490 ZACHARIA JEREMIAH ANDERSON 491 ZACHARIA JILAONEKA NG’UMI492 ZERAH RAJABU MZIRAY493 ZULFA SELEMAN KAKOMBE

BaadayaTANGAZOkutolewakwaWanahisawotenakufikiaakidiiliyohitajika,mkutanouliitishwa.Lakini, kabla ya mkutano huo, Wanahisa walipata semina kuhusu fursa za mikopo zinazopatikana kwa ajili ya biashara na viwanda. Semina hiyo ilitolewa na Bwana Oswald Urassa kutoka Tanzania MortgageRefinanceCoLtd.(TMRC).

1. UFUNGUZI WA MKUTANO

Mkutano ulifunguliwa na Mwenyekiti saa 4:42 asubuhi na kufuatiwa na sala iliyoongozwa na Mchungaji Ismail Mwipile.

Page 17: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 17

2. KUPITISHWA KWA AJENDA

Zifuatazo zilipendekezwa kuwa ajenda za mkutano:

1. Kufungua Mkutano 2. Kupokea na Kupitisha Ajenda za Mkutano Mkuu wa Tano. 3. Kupitia na Kuthibitisha kumbukumbu za Mkutano Mkuu wa Nne. 4. Yatokanayo na Mkutano Mkuu wa Nne. 5. Taarifa ya Wakurugenzi kwa Mwaka ulioishia 31 Desemba 2018. 6. Taarifa ya ya Mkaguzi wa Nje na Taarifa za Ukaguzi wa Taarifa za Fedha kwa Mwaka Ulioishia tarehe 31 Desemba 2018. 7. Kupokea na Kuidhinisha Posho za Wakurugenzi kwa mwaka 2019 8. Kupokea Mapendekezo na Kuidhinisha Uteuzi wa Mkaguzi wa Nje kwa Mwaka Utakaoishia tarehe 31 Desemba 2019 9. Kupokea na kuidhinisha pendekezo la Gawio 10. Marekebisho ya Katiba ya Benki (MEMARTS) 11. Uteuzi wa Bodi ya Wakurugenzi 12. Mengineyo 13. Tarehe ya Mkutano Mkuu Ujao. 14. Kufunga Mkutano

Baada ya kupitia ajenda zilizopendekezwa, Wanahisa walipitisha ajenda kama zilivyoainishwa.

3. KUPITIA NA KUTHIBITISHA KUMBUKUMBU ZA MKUTANO MKUU WA NNE ULIOFANYIKA TAREHE 23 JUNI 2018

Muhtasari wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Nne uliofanyika tarehe 23 Juni 2018 ulisomwa na kuthibitishwa kuwa ni kumbukumbu sahihi za Mkutano Mkuu huo na kusainiwa na Mwenyekiti.

Page 18: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 018

4. YATOKANAYO NA KUMBUKUMBU ZA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA NNE ULIOFANYIKA TAREHE 23 JUNI 2018.

Jambo Agenda ya Agizo/Azimio Utekelezaji

1

4

2 6

3 7

4 8

5 9

6 10

Wanahisa wliitaka benki kuendelea kutoa mchango kwenye jamii na kutumia nafasi hiyo kutangaza shughuli za benki kwa umma.

Kwa miaka yote ya kuwapo kwake, Benki imekuwa ikitoa misaada kwa jamii inayoizungu-ka, mwaka 2018 benki ilichangia damu katika benki ya damu salama ya Taifa na ununuzi wa vifaa vya kupikia kwa ajili ya kituo cha Diako-nia cha Mtoni. Katika matukio yote benki iliji-tangaza kupitia vyombo vya habari.

Ada ya mwaka ya Mwenyekiti na Wajumbe wengine wa Bodi haitabadilika.

Ada za Wakurugenzi hazijabadilishwa.

Mkutano Mkuu uliazimia kwamba Ernst and Young ateuliwe kuwa Mkaguzi wa Nje kwa ajili ya Kuhakiki Hesabu na Mfumo wa Teknolojia ya Mawasiliano wa Benki kwa mwaka unaoishia tarehe 31 Desemba 2018 kwa gharama ya TZS milioni 58, kabla kodi ya ongezeko la thamani

Ernst & Young walipewa kazi hiyo kwa gharama ya TZS milioni 58, kabla ya kodi ya ongezeko la thamani.

Wanahisa walipitisha azimio la kulipa gawio kwa njia ya hisa.

Gawio lililipwa kwa njia ya hisa kama ilivyoamuliwa.

Uteuzi wa Kamati ya Uteuzi na maandalizi ya uchaguzi wa Bodi mpya kwenye Mkutano Mkuu wa Tano.

Wanahisa waliazimia kwamba mabadiliko ya Waraka wa Benki yanayopendekezwa yaletwe kwenye Mkutano Mkuu ujao baada ya kufunga zoezi la toleo la hisa.

Mabadiliko ya waraka wa Benki yatajadiliwa kwenye Mkutano Mkuu wa 5.

Kamati ya Uteuzi imeteuliwa na inaendelea na uteuzi wa Wanahisa watakaopigiwa kura kuwa wajumbe wa Bodi katika Mkutano Mkuu wa Tano.

Page 19: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 19

5. TAARIFA YA WAKURUGENZI KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 31 DESEMBA 2018 Mwenyekiti wa Bodi na Mkurugenzi Mtendaji waliwasilisha Taarifa ya Utendaji wa Benki kwa mwaka uliomalizikia tarehe 31 Desemba 2018. Maendeleo chanya ya benki yalioanishwa na ukuaji wa mtaji wa hisa, mali, mapato ya riba na faida.

Ilitolewa taarifa kuwa mtaji wa hisa wa benki umekua kutoka wastani wa TZS bilioni 4.5 mwaka 2013 hadi TZS bilioni 12.4 mwisho wa 2018 kama mtaji wa hisa uliolipwa. Kwa hivyo jumla ya Mtaji wa Hisa zilizolipiwa umekua kutoka TZS bilioni 11.2 mwaka 2017 hadi TZS bilioni 13.7 mwisho wa 2018; ambao ulikuwa ni ukuaji wa asilimia 22.5%.

Ilitolewa taarifa zaidi kwamba katika kipindi cha mwaka 2018, rasilimali za benki zilikua kutoka TZS 65.0 bilioni mwaka 2017 hadi TZS bilioni 66.5 mwaka 2018 ambayo ni ukuaji wa asilimia 2.4%. Zaidiyahayo,wanahisawalitaarifiwakuwamaendeleoyabenkiyalikuwamazurikwakuzingatiamuktadha wa uendeshaji, ambapo faida ya TZS milioni 783 baada ya kodi ilirekodiwa ikilinganishwa na TZS milioni 969 zilizopatikana katika mwaka uliopita. Pia ilitolewa taarifa kwamba mapato yatokanayo na riba yalikuwa, kwa ongezeko la asilimia 9.5 kutoka TZS bilioni 8.4 mwaka 2017 hadi TZS bilioni 9.2 mwaka 2018. Hili lilisababishwa na ukuaji wa mikopo kutoka TZS bilioni 36 mwaka 2017 hadi TZS bilioni 41.8 mwaka 2018.

WanahisawalitaarifiwakwambakatikakipindihichobenkiiliendeleakuuzakwaUmmaHisamilioni17.6kwaTZS600kilamojakwamadhumuniyakuongezamtajiilikufikiakiwangochachinichamtaji kinachotakiwa na Benki Kuu ya Tanzania kwa benki ya biashara. Benki iliweza kukusanya jumlayaTZSbilioni5.2kutokahisamilioni8.6kufikiatarehe31Desemba2018.Ndiomaanamtajiutokanao na hisa wa benki umekua kutoka ule wa awali wa TZS bilioni 4.5 mwaka 2013 hadi TZS bilioni 12.4 kama mtaji wa hisa uliolipwa.

Wanahisa walitaarifiwa zaidi kwamba kama ilivyo katika shughuli nyingi za biashara, benkiimekumbananamazingiramagumuyaliodhihirishwanaukuajimdogowabiashara,ulipwajihafifuwa mikopo uliopelekea ongezeko la Mikopo chechefu, na punguzo la amana kwa asilimia 7, kutoka TZS bilioni 51.7 mwaka 2017 hadi TZS bilioni 48.1 mwaka 2018. Changamoto za ukwasi zimeathiri benki nyingi na kusababisha kupungua kwa upanuzi/uongezwaji wa mikopo kwa wateja. Hali hii iliathiri wateja na kusababisha Mikopo isiyofanya vizuri kuongezeka.

Ilitaarifiwakuwalichayachangamotohizo,benkihiyoilipatafaidayaTZSmilioni793kwamwaka2018; kwa hivyo hii iliifanya benki kwa mara ya pili kutangaza gawio la pesa la TZS 17. Ilielezwa zaidi kwamba Benki imeweza kupata faida hii kutokana na timu ya wafanyakazi wake kufanya kazi kwa kujitoa na kuwa na ufanisi; pamoja na aina ya upekee ya umiliki wa benki na wateja wake. Benki imedhamiria kuendesha shughuli zake za kiutendaji kwa ufanisi na katika namna enelevu ili kuhakikisha ongezeko la gawio kila mwaka. Ni matamanio ya Benki kukua na kuwa benki kubwa, yenye mtandao wa matawi nchi nzima, na hii inasababishwa na shauku ya wadau mbalimbali nchini kuelezea hamu yao ya kuona Benki ikifungua matawi au bidhaa zinazoweza kukidhi nchi nzima.

Ilitaarifiwakuwamwaka2018,benkiilikuwanamatawimatatupamojanamfumowahudumayabenki kupitia mtandao wa simu. Benki pia iliboresha Mfumo wake ili kuongeza ufanisi. Kwa hivyo mfumo wa benki umeboreshwa sana na benki ilikuwa inaanzisha huduma ya kisasa ya Wakala wa Benki.Wanahisawalitaarifiwazaidikwambabenki ilianzishahudumazabima ili kukidhimahitajimbalimbali ya wateja wake. Wanahisa walielezwa kwamba huduma zinazotolewa ni pamoja na huduma za bima ya maisha na bima zisizo za maisha.

WanahisawalitaarifiwakwambakufuatiamalengoyakimkakatiyaBenkiyamwaka2018,nguzombili

Page 20: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 020

zilibainishwa na kutumika, ambayo ni; nguzo ya kwanza; uboreshaji wa mikopo, ambapo msisitizo ulikuwa kuimarisha ufuatiliaji wa mkopo, usimamizi wa dhamana na michakato ya ukusanyaji mikopo; uimarishaji wa usimamizi wa mali na urejeshaji; na maboresho katika uchambuzi wa mkopo. Nguzo ya pili kuwa; uboreshaji wa huduma kwa wateja ambapo Benki ilifanikiwa kutoa huduma ya ulipaji wa kodi (‘Tax Banking’) na uanzishwaji wa Huduma za Western Union katika matawi yote matatu.

Mkurugenzi Mtendaji alisisitiza kuhusu mwelekeo wa Benki kwa mwaka 2019 ambapo benki ina mpango wa kufanikisha lengo lake la kimkakati. Ilielezwa kuwa lengo lake la kimkakati ni kuongeza uwingiwamiamalakwenyematawiyakematatunakuanzishahudumayawakalawaBenkiifikapoJuni 2019. Ilibainishwa kwamba benki imeweka mikakati ya kuboresha mchakato wa usimamizi wa mikopo, kwa lengo la kupunguza kiwango cha Mikopo isiyofanya vizuri kufikia kiwangokinachokubalika kisheria, hii itapelekea ongezeko la faida kwa benki na kuwahakikishia Wanahisa wetu mapato endelevu na kuimarisha nafasi ya benki katika soko la fedha.

Ilielezwa zaidi kuwa benki ina mipango ifuatayo kwa mwaka 2019:

• Uzinduzi wa Mradi wa Wakala wa benki. • UkusanyajiwaamanakufikiaTZSBilioni80ifikapo31Desemba2019. • KuongezaUkopeshajiilimikopokwawatejaifikieTZS.Bilioni59. • KukuzajumlayamalizabenkikufikiaTZS84Bilioni. • KupatafaidayaTZSbilioni1.2ifikapomwishowamwakawakifedha 31 Desemba 2019.

Pia ilielezwa kuwa Benki ina sera ya kutoa mchango kwa kijamii ambapo Benki itachangia huduma za afya, maswala ya mazingira na misaada ya kibinadamu. Hivyo ilielezwa kwamba benki imetoa michango kadhaa kwa kijamii ikiwemo; uchangiaji wa vifaa vya kupikia kwa Kituo cha Dayosisi ya Mtoni na uchangiaji wa damu kwa Benki ya Taifa ya Damu Salama. Azimio: Wanahisa walipokea, walijadili na kupitisha taarifa ya Wakurugenzi kama ilivyowasilishwa na Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji. Hata hivyo waliibua hitaji la benki kuboresha huduma kwa wateja kupitia uanzishaji wa huduma za kidijitali ili kupunguza foleni ndani ya benki.

6. TAARIFA YA MKAGUZI WA NJE WA HESABU ZA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 31 DESEMBA 2018

Taarifa za hesabu za mwaka uliomalizika Desemba 31, 2018 ziliwasilishwa kwa Wanahisa na Mkaguzi wa nje wa hesabu (Ernst & Young).

Ilielezwa kuwa ukaguzi ulifanywa kwa mujibu wa Viwango vya Kimataifa vya ukaguzi na kwa mujibu wa Sheria ya Taasisi za Fedha na Kibenki ya mwaka 2006 na Sheria za Taasisi za Fedha na Kibenki (Mkaguzi wa Nje wa Hesabu), 2014. Kwa hivyo Ilielezwa kuwa Benki imezingatia Sheria ya Taasisi zaFedhanakibenkiya2006nakanunizake,nakwahivyoilipokearipotisafiyaukaguzi.

Azimio: Wanahisa walipokea, walijadili na kupitisha ripoti hiyo na Taarifa za hesabu kwa mwaka uliomalizika tarehe 31 Desemba 2018.

7. KUPOKEA NA KUIDHINISHA POSHO ZA WAKURUGENZI KWA MWAKA 2019 Ajenda iliwasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji ambaye alisema kwamba utendaji mzuri wa benki hiyo ni matokeo ya jitihada za Wakurugenzi ambao hutoa maelekezo na miongozo kwa uongozi mara kwa mara. Ilitolewa taarifa kwamba ada ya mwaka ya Wakurugenzi na posho ya Mkutano haitabadilika.

Page 21: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 21

Azimio: Wanahisa WALITAMBUA kazi nzuri na mchango wa Wakurugenzi kwa Benki na waliidhinishia malipo hayo kutobadilika kama ilivyoombwa.

8. UTEUZI WA MKAGUZI WA NJE KWA MWAKA ULIOISHIA 31 DESEMBA 2019

WanahisawaliarifiwakuwakwamujibuwaSheriayaukaguzihuruwaTaasisizafedhanabenkiya mwaka 2008); kila benki au Taasisi ya Fedha inalazimika kuteua Mkaguzi huru wa hesabu na TEHAMAkilamwaka.Kwahivyoiliarifiwakwambakampunisitazaukaguzizilikuwazimewasilishamaombi yao na Ernst & Young iliteuliwa baada ya kutimiza vigezo vilivyowekwa, ambavyo ni: • Uwezo wa kampuni - ukubwa ya kampuni ya ukaguzi • Rekodi za zamani - Orodha ya wateja waliohudumiwa • Uzoefu katika ukaguzi wa mifumo ya TEHAMA • Kampuni iliyoorodheshwa katika orodha ya wakaguzi waliodhibitishwa na BOT.

Ilipendekezwa kuwa Ernst & Young apitishwe kwa mara ya tatu kama Mkaguzi wa nje wa hesabu za Benki kwa mwaka wa fedha unaoishia Desemba 31, 2019 kwa gharama ya TZS milioni 65 kabla ya kodi ya ongezeko la thamani.

Azimio: Kwa hiyo, iliazimiwa kwamba Ernst and Young wateuliwe kama Mkaguzi wa nje wa hesabu na TEHAMA wa benki kwa mwaka unaoishia Desemba 31, 2019 kwa ada ya TZS milioni 65, kabla ya kodi ya ongezeko la thamani.

9. KUPOKEA NA KUIDHINISHA PENDEKEZO LA GAWIO

ILITAARIFIWA kuwa Benki imeweza kuboresha utendaji wake na imeweza kupata faida kwa mwaka 2018; kwa hivyo imeruhusiwa kutangaza gawio kwa Wanahisa wake waliosajiliwa. Benki imetengeneza faida ya TZS milioni 793 baada ya kutoa kodi zote na hasara na; sera inaruhusu asilimia 50 ya faida hiyo kulipwa kama gawio kwa Wanahisa. ILIARIFIWA ZAIDI kuwa gawio lililopendekezwa kwa kila hisa lilikuwa TZS 17 na kwamba litakuwa tayari kwa malipo tarehe 30 Agosti, 2019. Mwenyekiti aliwasihi Wanahisa kufungua akaunti benki ili gawio lao lilipwe kupitia huko. Kwa hivyo Mwenyekiti alitoa pendekezo la gawio kwa Wanahisa la TZS 17 kwa kila hisa kwaajili ya kuidhinishwa. Wanahisa walikubaliana na pendekezo la gawio lakini walipendelea gawio la hisa badala ya gawio la pesa.

Azimio: Iliazimiwa kuwa gawio la TZS 17 kwa kila hisa moja kulipwa kwa njia ya hati / hisa.

10. MAREKEBISHO YA KATIBA YA BENKI (MEMARTS)

ILITAARIFIWA kuwa tangu Benki ya Maendeleo isajiliwe kupitia MEMARTS kwa mujibu wa Sheria ya Makampuni No.12 ya 2002. Kwahiyo, mabadiliko yoyote yanapaswa kufuata sheria hii. Sheria ya Makampuni inaeleza kwamba MEMARTS zinaweza kubadilishwa kwa azimio maalum ili kuiwezesha kampunikuendeleanashughulizakekwaufanisizaidinakufikialengolakekuukwanamnampyaau iliyoboreshwa.

Page 22: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 022

Hivyo, mapendekezo yafuatayo yaliwasilishwa kwaajili ya kuidhinishwa na Wanahisa:

Kifungu cha 58 (4) kinapaswa kusomeka kama ifuatavyo.

Kwa madhumuni ya Ibara ya 58 (3) hapo juu, “kundi” linaainishwa kama ifuatavyo: i) Mwekezaji wa kimkakati / mwekezaji wa Kampuni ii) Mwanahisa anayemiliki angalau 10% ya mtaji wa hisa wa Kampuni uliolipwa iii) Wanahisa watakaochagua wawakilishi kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka.

Marekebisho haya yatasaidia katika utekelezaji mzuri wa Kifungu cha 58 (3) ambacho kinasemama kwamba Kanisa ndiye mwanzilishi wa Benki.

Kifungu cha 58 (5) kifungu kipya kinapaswa kuongezwa ili kusomeka kama ifuatavyo:

Katika Mkutano Mkuu wa Mwaka kila baada ya miaka mitatu, theluthi moja ya Wakurugenzi watastaafu. Wakurugenzi wanaopaswa kustaafu ni wale ambao wamekuwakwenyeutumishi/o fisikwamudamrefuzaidiyawengine.

Nafasi ya Mkurugenzi anayestaafu itachukuliwa na Mkurugenzi mpya atakayechaguliwa na Mwanahisa au Wanahisa. Idadi kuu ya wakurugenzi haitapungua kutokana na sababu ya kustaafu. Mkurugenzi hatastaafu hadi uteuzi wa atakayechukua nafasi yake utakapothibitishwa na Benki Kuu ya Tanzania.

Marekebisho haya ni kuhakikisha mwendelezo wa utendaji mzuri wa Bodi, na hivyo kuzuia uwezekano wa Bodi nzima kustaafu kwa wakati mmoja na kusababisha athari ya uendeshaji wa Benki.

Kifungu cha 58 (6) kifungu kipya kinapaswa kuongezwa ili kusomeka kama ifuatavyo: Uteuzi wa Wakurugenzi utafuatiwa na idhini ya Benki Kuu ya Tanzania, na utakamilika mara tu baada ya kupata idhini ya Benki Kuu ya Tanzania. Mkurugenzi aliyeteuliwa atakuwa na jukumu la kuhakikisha kwamba anampa Katibu taarifa au hati yoyote itakayoombwa na Benki Kuu ya Tanzania ili kuiwezesha Benki Kuu ya Tanzania kushughulikia ombi la kumthibitisha.

Marekebisho haya ni kuhakikisha kuwa Wakurugenzi wote wanaoteuliwa wanapata idhini kufuatia mujibu ya kisheria.

Kifungu cha 58 (7) kifungu kipya kinapaswa kuongezwa ili kusomeka kama ifuatavyo.

Ikiwa kwa sababu yoyote ile, Benki Kuu ya Tanzania haitaidhinisha uteuzi wa Mkurugenzi, uteuzi wa Mkurugenzi huyo utakuwa umetenguliwa na taarifa za mgombea wa pili kwa nafasi ya Ukurugenzi utawasilishwa kwa Benki Kuu ya Tanzania kwaajili ya kuidhinishwa.

Marekebisho haya ni kuhakikisha kuwa Wakurugenzi wote wanaoteuliwa wanapata idhini kulingana na mujibu wa kisheria.

Azimio: Wanahisa WALIIDHINISHA mapendekezo ya marekebisho ya Katiba ya Benki (MEMARTS).

Page 23: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 23

Jina la Mgombea Kura alizopata

Bw. Martin Mmari

291

Bw. William Kihigwa 94

Bw. Yona Killagane 34

Prof. Ulingeta Mbamba 217

Bi. Joyce Mapunjo 375

Dkt. Emmanuel Manasseh 194

11. UTEUZI WA BODI YA WAKURUGENZI

Mwenyekiti aliwasilisha kwa Wanahisa kwamba Kifungu cha 58 cha Vifungu vya Sheria vya Benki kinaeleza kwamba Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wanahisa utateua Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni. Mwenyekiti aliwajulisha Wanahisa kuwa, kwa kuwa uchaguzi wa Bodi ya Wakurugenzi upo kila baada ya miaka mitatu, ni wakati muafaka wa uchaguzi kufanyika ili kuchagua wajumbe wa Bodi mpya kwa kipindi kipya. Mwenyekiti aliarifu zaidi Wanahisa kwamba, wanachama watatu (3) wa Bodi walipaswa kustaafu na wanachama watatu (3) kuchaguliwa katika Mkutano Mkuu wa 5.

Mwenyekiti aliripoti kwa Wanahisa kwamba, katika kuendesha mchakato huu kulikuwa na Kamati huru ya Uteuzi ambayo ilitangaza nafasi hizo katika vyombo vya habari, wakafanya uchambuzi na kuwafanyia usaili wagombea wa nafasi hizo tatu za Ukurugenzi.

Kamati ya Uteuzi iliwasilisha majina sita (6) kwa Bodi kwaajili ya kuwasilisha kwa Wanahisa ili kuwapigia kura katika Mkutano Mkuu wa Mwaka ili kujaza nafasi hizo tatu (3). Kila mgombea alipewa dakika mbili (2) kujieleza/kujitambulisha kwa kifupi kwa Wanahisa kabla ya uchaguzi. Majina ya wagombea sita (6) yalikuwa kama ifuatavyo:

1. Bw. Martin Mmari, 2. Bw. William Kihigwa, 3. Bw. Yona Killagane, 4. Prof. Ulingeta Mbamba, 5. Bi. Joyce Mapunjo 6. Dkt. Emmanuel Manasseh

Mwenyekiti alimualika mshauri wa masuala ya sheria wa benki, Wakili James Bwana kutoka Kampuni ya Mawakili ya Bwana, kutoa ufafanuzi kuhusu taratibu za uchaguzi; ambapo Bw. James Bwana alifafanua kwamba MEMARTS imeelekeza njia mbili za kupiga kura ambazo ni kwa kuonyesha mkono au kupiga kura ya siri. Mwenyekiti aliwataka Wanahisa kuamua kuhusu namna ya upigaji kura ambayo wangependelea kutumia na Wanahisa waliamua kupiga kura kwa kuonyesha mkono.

Wanahisa walitumia haki yao ya kupiga kura kwa kuonyesha mkono na matokeo yalikuwa kama ifuatavyo.

Page 24: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 024

Kutokana na matokeo hayo hapo juu Wakurugenzi wapya walioteuliwa walikuwa Bi Joyce Mapunjo, Bwana Martin Mmari na Prof. Ulingeta Mbamba. Hata hivyo, Bodi iliwajulisha Wanahisa kwamba ikitokea jina la Mkurugenzi lililopendekezwa halitadhibitishwa na Benki Kuu ya Tanzania au uteuzi huo ukishindikana, mgombea wa pili atapelekwa Benki Kuu kwa ajili ya kuthibitishwa. Mwenyekiti pia aliwajulisha Wanahisa kuwa KKKT – Dayosisi ya Mashariki na Pwani imemteua Mchungaji Wilbroad Mastai kuwa mwakilishi wao kwenye Bodi.

Mwenyekiti aliwashukuru Wanahisa wote kwa kushiriki katika uchaguzi na aliwashukuru washiriki wote walioshiriki katika mchakato wote.

12. MENGINEYO

Mwenyekiti alimwalika Mkurugenzi Mtendaji kuwasilisha ajenda moja ya mengineyo kwa Wanahisa.

Mkurugenzi Mtendaji aliwataarifu Wanahisa kuwa Benki ilikuwa bado inaendelea kuuza hisa kwa sababulengolinalohitajikalaTZSBilioni10badohalijafikiwakwabenkikuwabenkiyakibiashara.Uuzaji wa hisa zilizolipiwa kwa wakati huo zilikuwa na thamani ya TZS Bilioni 5.2 kwa hiyo hisa za thamani ya TZS Bilioni 4.8 zilikuwa bado zinahitajika kununuliwa ili kukidhi kuwa benki ya kitaifa na hivyo kuwa na uwezo wa kufungua matawi nchi nzima. Kwa hivyo Mkurugenzi Mtendaji aliwasihi Wanahisa kununua na kuongeza hisa zaidi kwa bei ya TZS 600 na kwamba tarehe ya mwisho ya zoezi hili ilikuwa 31 Oktoba 2019.

13. TAREHE YA MKUTANO MKUU UJAO

Iliamuliwa kwamba Mkutano Mkuu wa 6 utafanyika Juni 2020. Tarehe na ukumbi itaamuliwa na Bodi na itatangazwa kwa Wanahisa kwa wakati muafaka.

14. KUFUNGA MKUTANO

Mwenyekiti aliwashukuru Wanahisa kwa kushiriki na kwa michango yao katika mkutano na aliwahimiza washiriki wote kuandika mapendekezo na maoni yao ili yafanyiwe kazi.

Mkutano ulifungwa saa 9:41 alasiri baada ya sala kutoka kwa Mchungaji Wilbroad Mastai.

…………………………… ………………………… MWENYEKITI KATIBU Tarehe: 27/6/2020 Tarehe 27/6/2020

Page 25: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 25

YATOKANAYO NA KUMBUKUMBU ZA MKUTANO MKUU WA TANO ULIOFANYIKA TAREHE 22 JUNI 2019.

Na. Agenda Na. Maagizo/Maazimio Utekelezaji

1 5

2 7

3 8

4 9

5 10

Wanahisa walielezea kuwa Benki inapaswa kuzingatia uboreshaji wa huduma kwa wateja kwa kuanzisha huduma za dijitali ili kupunguza foleni ndani ya benki.

Benki imeanzisha huduma ya wakala wa benki kama moja ya njia za benki kutoa huduma kidijitali na pia kuboresha huduma ikiwemo kupunguza foleni.

Ada za Mwaka za Wakurugenzi na Mwenyekiti hazijabadilishwa.

Ada za Wakurugenzi hazijabadilishwa.

Wanahisa waliazimia kwamba Ernst and Young ateuliwe kuwa Mkaguzi wa Nje kwa ajili ya Kuhakiki Hesabu na Mfumo wa Teknolojia ya Mawasiliano wa Benki kwa mwaka unaoishia tarehe 31 Desemba 2019 kwa gharama ya TZS milioni 65, ikiwa ni bila ya kodi ya ongezeko la thamani.

Ernst & Young walipewa kazi hiyo kwa gharama ya TZS milioni 65, kabla ya kodi ya ongezeko la thamani.

Wanahisa waliazimia kwamba gawio la TZS 17 kwa kila hisa lifanyike na ya kwamba gawio hilo liwekezwe tena kwenye Benki ili liwe kama nyongeza kwa kila Mwanahisa kwenye hisa zake

Wanahisa waliidhinisha mapendekezo ya kurekebisha Katiba ya Benki (MEMARTS).

Gawio lililipwa kwa njia ya hisa kama ilivyoamuliwa. Vyeti vya umiliki wa hisa mpya vitakuwa tayari mara baada tu ya zoezi la uuzaji hisa litakapofungwa.

Marekebisho ya Katiba ya Benki (MEMARTS) yalifanyika na kuandikishwa BRELA kama ilivyoidhinishwa.

Page 26: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 026

TAARIFA YA MWENYEKITI WA BODI

Utangulizi:

Kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi, nachukua fursa hii kuwakaribisha wote kwenye Mkutano Mkuu wa Sita wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo. Tunaposherehekea mwaka wetu wa sita tangu tuanze uendeshaji, napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wanahisa wetu wote, wateja wetu, wasimamizi na wadau wengine ambao wamekuwa wakishirikiana nasi wakati wote katika safari hii. Benki ya Maendeleo kwa miaka sita (6) ya uwepo wake imeshuhudia ukuaji wa rasilimali za benki, amana za wateja, uendeshaji na faida.

Kufikiasasabenki imefunguamatawi3 jijiniDaressalaamnamawakala72.Mizaniayahesabuya Benki imekua kutoka TZS bilioni 4.5 mwaka 2013 hadi TZS bilioni 76.1 mwaka 2019. Jumla ya amana za wateja zimekua kutoka TZS bilioni 3.02 mwaka 2013 hadi TZS bilioni 54.6 mwisho wa mwaka 2019. Kiwango cha mikopo kimekua kutoka TZS bilioni 1.34 kwa mwaka 2013 hadi TZS bilioni 47.97 mwisho wa mwaka 2019. Mtaji wa Benki umekua kutoka TZS bilioni 4.5 mwaka 2013 hadiTZS.bilioni13.67ilipofikamwaka2019.InapaswakuzingatiakwambaBenkiimewezakulipagawio la hisa kwa wanahisa jumla ya TZS bilioni 0.31 mwaka 2017 na TZS bilioni 0.39 kwa mwaka 2018.

Mwaka 2019 Benki ilisherehekea mafanikio makubwa ya kuanzisha huduma ya Wakala wa Benki (Agency Banking), hivyo kuongeza ubora na kutanua wigo wa utoaji wa huduma kwa wateja. Ni matumaini yangu ya dhati kuwa juhudi hizi zitasababisha kuongezeka kwa amana za wateja, mapato, ukopeshaji na hivyo kupanua wigo wa mali za Benki. Benki ya Maendeleo inaendelea kuiishi kauli mbiu yake ya “pamoja katika maendeleo” katika kujiendesha na kutoa huduma za kibenki, na tunajivunia mchango wa Benki katika maendeleo ya Tanzania na maisha ya Watanzania kwa ujumla.

Hali ya Uchumi na Masoko 2019

Nchi ilishudia kushuka kwa ukuaji wa uchumi mwaka 2019. Ukuaji wa Pato la Taifa ulipungua hadi asilimia 6.9 ikilinganishwa na asilimia 7.0 mwaka 2018. Hali hii ya uchumi imeathiri shughuli za sekta ya benki pia. (Sekta ya huduma ndiyo ilichangia kiasi kikubwa kwenye Pato la Taifa (39.3%). Uwekezaji binafsi ulichangia kwa kiasi kikubwa kwa upande wa mahitaji (asilimia 63.9). Sekta ya nje ilizuia ukuaji wa uchumi (licha ya kuporomoka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania ), kwa sababu ya uagizaji mkubwa wa bidhaa kwa mwaka 2019 ukilinganisha na mwaka 2018. Ongezeko hilolilitokananakuongezekakwauagizajiwavifaavyausafirishaji,vifaavyaujenzi,malighafizaviwandani, na bidhaa za mafuta kwa miradi mikubwa ya uwekezaji wa umma, kama vile Reli ya mwendokasi/Standard Gauge

Mfumuko wa bei ulipungua kwa wastani wa 3.4% mwaka 2019 kutoka 3.6% mwaka 2018 kutokana na upatikanaji mzuri wa chakula; ambapo lilikuwa lengo la muda mrefu la sera ya uchumi wa nchi. Benki Kuu ya Tanzania ilidumisha sera ya fedha inayolenga ukuzaji wa mikopo kwa sekta binafsi na shughuli za uchumi. Kwa ujumla hali ya ukwasi katika mfumo wa benki imebaki juu sanjari na msimamo wa sera ya fedha. Viwango vya riba viliongezeka hadi asilimia 4 Desemba 2019 ikilinganishwa na asilimia 3 Desemba 2018. Ijapokuwa, viwango vya riba za mikopo vimebaki juu kutokana na tahadhari kubwa ya ulipwaji. Zaidi ya hayo, kulikuwa na maboresho katika ukopeshaji kwa sekta binafsi na za umma na ubora wa mikopo katika sekta ya kibenki. Wastani wa kiwango cha mikopo chechefu katika sekta umepungua hadi asilimia 10.70 Desemba 2019 ikilinganishwa na asilimia 11.21 Desemba 2018. Kuhusu maswala ya fedha za kigeni, Shilingi ya Tanzania ilishuka thamani dhidi ya Dola kutoka 2,250 Desemba 2018 hadi 2,300 Desemba 2019.

Page 27: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 27

“”

TAARIFA YA MWENYEKITI WA BODI

Page 28: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 028

Mafanikio Yaliyofikiwa Mwaka 2019

Licha ya hali ya uchumi na masoko kuwa kama iliyoelezwa hapo juu, Benki ilipata faida baada ya kodi ya TZS 231.1 milioni. Faida hii ni ya chini kuliko ile iliyorekodiwa mwaka uliopita kwa sababu yaupanuziwabenki kulifikia sokonautumiajiwaViwangovyaKimataifa vyaRipoti zaKifedhaambavyo vinahitaji utambuzi wa mkopo chechefu kuanzia tarehe mkopo unapotolewa. Tumefanikiwa kukusanyamtajiunaofikiaTZS.Bilioni13.67ilipofikamwishowamwaka2019nakubakizakiwangokidogo cha TZS.Bilioni 1.33 ambayo tunategemea kukipata mwaka 2020.

Changamoto Zilizopitiwa mwaka 2019

Changamoto kubwa kwa mwaka 2019 ilikuwa kupungua kwa mapato yatokanayo na riba kutokana na kushuka kwa viwango vya riba katika soko la fedha, wakati huo huo, gharama ya kupata amana zikiwa juu. Changamoto nyingine ilikuwa kushuka kwa uchumi ambao uliathiri ukopeshaji, ukusanyaji wa amana na ubora wa mikopo, hii yote ilipelekea kuongezeka kwa kiwango za mikopo chechefu na hivyo kupelekea kupungua kwa mtaji wetu.

Hali ya Uchumi na Sekta ya Benki kwa Mwaka 2020

Kulingana na Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB), matarajio ya ukuaji wa uchumi wa nchi utakuwa mzuri. Ukuaji wa uchumi unakadiriwa kuwa 6.4% mwaka 2020 na 6.6% mwaka 2021 iwapo kutakua na hali ya hewa nzuri, usimamizi mzuri wa fedha, na utekelezaji wa mageuzi ya kuboresha mazingira ya biashara.

Uchumi unatarajiwa kukua kwa 6.4% mwaka 2020, kutokana na matumizi makubwa ya miundombinu (2019:6.7%);Mfumukowabeiunakadiriwakuwawastaniwa5%hadikufikiamwishowamwaka.Kwa kuongezea, Benki Kuu ya Tanzania hivi karibuni ilipunguza kiwango cha riba kwa mabenki kutoka 7% hadi 5% kwa lengo la kuimarisha ukwasi katika mabenki. Benki inaendelea kutekeleza mikakati yakuwafikiawatuambaohawatumiihudumazakibenkikatikauchumiwetu.Mtazamonampangowa Benki ya Maendeleo kwa Mwaka 2020 hadi 2021 ni kuendelea kuwa taasisi inayotoa huduma za kibenki kwa watu binafsi na wafanyabiashara wadogo na wa kati, kwa lengo la kuhakikisha kuwa, mtandao wake unakua kuendana na sekta ya benki inavyojiendesha.

Kama ilivyoripotiwa sana, ugonjwa wa COVID 19 unaendelea kuathiri nchi na biashara ulimwenguni. Kwa kiasi kikubwa COVID -19 itaathiri mikopo na benki imeanza mchakato wa kuongeza muda wa malipo kwa wakopaji ili kupunguza athari za COVID 19.

Matokeo ya kazi zetu za mwaka 2017 na 2018 yaliiwezesha benki kutangaza gawio. Ijapokuwa tumetengeneza faida mwaka 2019, hatupendekezi gawio kwa sababu tunahitaji kuimarisha mtaji wa benki kwani tupo katikati ya lengo la kutimiza kiwango cha chini cha mtaji kinachotakiwa ili tupate sifa ya kuwa benki ya kitaifa.

Page 29: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 29

Makabrasha ya Mkutano Mkuu wa Mwaka

Makabrasha ya Mkutano Mkuu wa Mwaka, ambayo yametolewa kwa Wanahisa, ni pamoja na Ripoti ya Wakurugenzi na Taarifa za Fedha za Benki kwa mwaka uliomalizika 31 Desemba, 2019. Dhumuni ni kuwezesha wanahisa kuchambua taarifa katika kutimiza malengo ya benki na kuleta mafanikio endelevu.

Asante

Amulike NgeliamaMwenyekiti wa Bodi

Page 30: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 030

WASIFU WA BODI YA WAKURUGENZI

WAKURUGENZI WANAOENDELEA

Bw. Amulike Ngeliama (Mwenyekiti)

Bi. Anna Mzinga

Bi. Dosca Mutabuzi(Makamu Mwenyekiti)

Bw. Naftal Nsemwa

Dkt. Ibrahim Mwangalaba(Mkurugenzi mtendaji na Katibuwa Bodi)

Page 31: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 31

WAKURUGENZI WANAOENDELEA

Dkt. Emmanuel Manasseh Prof. Ulingeta MbambaBi. Joyce Mapunjo

Mch. Wilbroad Mastai

WAKURUGENZI WAPYA

Page 32: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 032

WAKURUGENZI WASTAAFU

Bw. Felix Mlaki Balozi Richard Mariki Mch. Dkt. Ernest Kadiva

Page 33: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 33

TAARIFA YA MKURUGENZI MTENDAJI

Utangulizi

Ninafurahi kuwasilisha kwenu taarifa hii ya utendaji wa Benki kwa mwaka uliomalizikia tarehe 31 Desemba, 2019.

Benki yetu imeendelea kukua vizuri kifedha ambapo tumeshuhudia sekta ya kibenki ikizidi kuimarika kufuatia wimbi lililoitikisa sekta hii mwaka jana. Hali hii imetokana na jitihada mbalimali zinazofanywa na Benki Kuu ya Tanzania. Vile vile, sekta ya fedha ilipata changamoto zilizotokana na mabadiliko katika miongozo na kanuni za kimataifa za uendeshaji na utayarishaji wa mahesabu, ambapo ilishuhudia mwaka wa pili wa utekelezaji kamili wa viwango vya kuripoti kwa ‘International Financial Reporting Standard 9 (IFRS9). IFRS9 ilileta mabadiliko makubwa katika namna ya kuripoti na hivyo kuathiri faida ya benki. Ijapokuwa, tunaamini kuwa wakati benki itakapokuwa imeuzoea mfumo kikamilifu, kutakuwa na ongezeko la ubora wa mikopo utakaopelekea kuwa na mapato thabiti na faida.

Kipimo chetu cha utendaji wa benki kinajumuisha maswala ya kifedha na yasiyo ya kifedha, kama vile kuboresha huduma hususani kwa wateja binafsi na wafanyabiashara wadogo na wa kati. Mafanikio ya Benki kwa mwaka huu yameathiriwa na hali ya kiuchumi kiujumla ambapo, tulipata ongezeko la mikopo chechefu ambayo mwishowe iliathiri kiwango chetu cha faida. Hata hivyo, tulishuhudia ukuaji mkubwa katika mizania ya hesabu yetu kutoka Tzs. Bilioni 66.52 mwaka 2018 hadi Tzs. Bilioni 76.13 ambazo zinaonyesha uimara wa hali ya kifedha wa benki yetu.

Ningependa kuwashukuru Wanahisa, wateja na wadau wote kwa kutuunga mkono na kutuwezesha kutoa huduma zenye ubora zaidi. Bado tuna nia ya dhati ya kuimarisha thamani ya wanahisa na jamii kwa ujumla na tutaendelea kujikitika katika uvumbuzi wa kiteknolojia ili kuboresha uendeshaji wa shughuli zetu za biashara.

Mazingira ya Uendeshaji

Mazingira ya uendeshaji kwa mwaka 2019 yalisukumwa na mabadiliko ya kiteknolojia na ongezeko la ushindani, hususan, kutoka kwa makampuni ya simu, Fintechs, Taasisi ndogo ndogo za fedha na taasisi za fedha zisizo za kibenki. Kutokana na ushindani ulioongezeka, tumetengeneza na kuanzisha huduma za kidijitali ili kuhakikisha kuwa wateja wetu wanapata fursa ya kutumia njia mbadala kufanya miamala yao ya kibenki. Mwaka huo huo, tulizindua huduma ya Wakala wa benki, tumeboresha huduma za uwekaji amana na utoaji mikopo kwa njia ya mtandao wa simu (Timiza Vicoba) na kuboresha huduma ya benki kwa njia ya simu ya mkononi (MB Mobile Banking).

Katika mwaka wa fedha 2019 Serikali ilijikita katika miradi ya miundombinu kwa lengo la kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi. Benki Kuu ya Tanzania iliendelea kutekeleza sera ya usimamizi wa fedha katika kipindi chote cha mwaka, na kupelekea kuimarika kwa ukwasi katika sekta ya fedha nchini. Ili kuhimiza zaidi dhamira yao ya kuboresha ukuaji wa mikopo ya sekta kibinafsi, Benki Kuu ya Tanzania iliendelea kutoa punguzo la riba cha asilimia 7 kwa mabenki ambapo ilianza tangu 2018. Hatua zingine ni pamoja na upatikanaji wa mikopo kwa mabenki na shughuli za ubadilishwaji wa fedha za kigeni. Tunatarajia ongezeko la mikopo kwa sekta binafsi utaboreka zaidi kutokana na; sera ya kifedha zilizopo, uboreshaji wa mazingira ya biashara na hatua za ziada zilizoletwa na Benki Kuu ya Tanzania kupunguza Mikopo chechefu.

Page 34: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 034

Kutokana na hatua zilizochukuliwa na Benki Kuu ya Tanzania, mikopo kwenda sekta binafsi umekuwa hadi 7.6% mpaka Desemba 2019 ikilinganishwa na 4.9% iliyorekodiwa Desemba 2018. Katika kipindi hicho, viwango vya riba vilipungua kutoka wastani wa 17.8% hadi 16.7%, kupungua kwa kiasi hicho kunaonyesha jinsi gani viwango vya riba za benki vinavyopungua taratibu ikilinganishwa na sera ya fedha inavyoelekeza. Hii ni kutokana na ugumu uliopo katika ulipwaji wa mikopo pamoja na kanzidata ya vitambulisho vya Taifa ambavyo vinaleta changamoto ya ulipwaji wa mikopo kwa wakati. Katika kipindi hicho, Mamlaka ya Udhibiti wa Bima ya Tanzania (TIRA) ilianzisha sera ya Bancassurance ambayo ilibadilisha namna za uendeshaji wa biashara ya bima nchini. Benki ya Maendeleo kama moja wapo ya wakala wa bima ilijikuta ikiathiriwa na mabadiliko ambayo yalizuia mauzo ya bima katikavituo/ofisizilizoponjeyamatawiyaBenki.OfisizauuzajibimazilifunguliwakatikaMakanisaya KKKT - DMP na Dayosisi za KKKT mbalimbali nchini. Kutokana na hatua hiyo, benki ililazimika kufungaofisi7nakupelekeakuporomokakwaukuajiwabiasharahiyoambayo ilikuwa imeanzakuonyesha matumaini. Hivi sasa tupo kwenye mazungumzo na mamlaka ili iruhusu benki kufungua tena vituo ili viweze kutoa huduma kwa Watanzania wenye uhitaji nchini kote.

Mabadiliko chanya katika sekta ya kibenki yalionekana 2019, ambapo sekta ilizidi kuimarika na kupata ongezeko la faida katika kipindi chote cha mwaka. Kiwango cha mikopo chechefu katika sekta kilipungua kutoka 10.4% Desemba 2018 hadi 9.4% Desemba 2019. Kupungua huko ni matokeo ya juhudi kubwa ya Benki Kuu ya Tanzania katika kuhakikisha kwamba mikopo isiyofanya vizuri inabaki kwenye kiwango kisichozidi 5%. Katika juhudi za kutimiza lengo hili, Benki Kuu ya Tanzania iliendelea kutekeleza mikakati ya kuhakikisha kwamba benki zote zinawasilisha taarifa kwenye Credit Reference Bureaus na benki zenye viwango vikubwa vya mikopo chechefu zinawasilisha mikakati ya jinsi ya kukabiliana na hali hiyo.

Benki ya Maendeleo ilikuwa na mtaji wa kutosha na Kiwango cha msingi cha Ufanisi wa Urari wa 19% Desemba 2019, juu ya kiwango kinachotakiwa kisheria cha 12.5%, wakati Kiwango cha urari cha Mali katika kipindi hicho hicho kilikuwa 29%, juu ya kiwango kinachotakiwa kisheria cha 20%. Hatua Mhimu za kimkakati

Benkiinaendeleanajuhudizakukuzamtajiilikufikiakiwangochamtajikinachohitajikakisheriakwaajili ya kupata leseni ya kitaifa ambayo tumeazimia kutimiza mwaka 2020. Kwa kipindi kilichoishia Desemba 31, 2019, benki iliweza kukusanya bilioni 5.4 kupitia uuzaji wa hisa kwa Umma uliozinduliwa mwaka 2017. Benki iko kwenye majadiliano na wawekezaji kadhaa ambao wameonyesha nia ya kuwekeza katika benki yetu. Mipango hii itawezesha benki kuwa benki ya kitaifa na kuweza kuendesha shughuli zake katika mikoa mbalimbali nchini.

Katika kipindi cha mwaka wa mapitio, benki imefanikiwa kuzindua huduma za wakala wa benki, ambapo mpaka sasa ina wakala 72 katika maeneo tofauti ya mikoa ya Dar es Salaam na Pwani. Jitihada hizi zimepelekea kufikisha huduma karibu nawateja; hivyo kupelekea kuongezeka kwaamana (14%), ukuaji wa mikopo (15%) na ukuaji wa rasilimali wa (14%). Benki imejidhatiti katika kuimarisha biashara katika matawi yaliyopo kufuatia ongezeko la wateja na mali kama ilivyoonyeshwa hapo juu.

Benki iliweza kuboresha huduma ya Timiza Vikoba iliyoanzishwa tangu mwaka 2017 kwa lengo la kutoa huduma za fedha kwa Watanzania wote bila kujali umbali wao kutoka matawi ya benki yalipo. Hatua hii iliwezeshwa na FSDT ambayo ilitoa msaada wa kifedha wa Dola 95,000 ili kukuza huduma

Page 35: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 35

Page 36: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 036

hii kupitia matangazo kwa lengo la kukuza uelewa kwa umma. Zoezi hilo liliathiriwa sana na janga la Covid - 19 ambalo limebadilisha namna ya utendaji kazi. Kufuatia juhudi zinazofanywa na Serikali kushughulikia janga hilo, tunatarajia kuanza tena kampeni hiyo hivi karibuni.

Katika mwaka huu, Benki kwa mara ya pili ilipata tuzo la heshima kutoka Soko la hisa la Dar es salaam (DSE) kama Kampuni Bora iliyoorodheshwa Soko la Hisa yaani ‘Best Listed Company under Enterprise Growth Market segment’. Hii inadhihirisha dhamira yetu yakuwa benki bora hapa nchini.

Matokeo ya Kiutendaji

Matokeo ya utendaji ya Benki yalikuwa mazuri kwa kuzingatia muktadha wa uendeshaji mwaka huo. Benki ilipata faida kabla ya kodi ya TZS milioni 430 ikilinganishwa na TZS milioni 680 zilizorekodiwa mwaka uliopita. Mapato ya riba yalipungua kwa 5% kwa mwaka kutoka TZS bilioni 9.34 zilizokusanywa mwaka 2018 hadi TZS bilioni 8.8 mwaka 2019. Mbaya zaidi, gharama ya riba iliongezeka kwa 13% kutoka TZS bilioni 3.2 mwaka 2018 hadi TZS bilioni 3.6 zinazoathiri msingi wa chini, yaani faida. Ongezeko la gharama ya riba ilitokana na changamoto za ukwasi na hivyo kutumia amana za gharama kubwa kuwezesha benki kuendeleza shughuli zake ikiwa ni pamoja na kukopesha.

Mapato yasiyokuwa ya riba yanayotokana na malipo ya huduma, mapato ya ubadilishaji wa fedha zakigeninamapatokutokabenkikiganjaninaATMyalifikiaTZSmilioni1,494ikilinganishwanaTZS milioni 1,124 mwaka 2018 ikirekodi ongezeko la asilimia 33. Mikopo ilikua kwa 15% mwaka 2019hadikufikiaTZSbilioni47.9(UkilinganishanaTZSbilioni41.8mwaka2018).

Faida baada ya kodi ilipungua kutoka TZS milioni 793 mwaka 2018 hadi TZS milioni 231 kutokana na hasara iliyotokana na mikopo chechefu, kupungua kwa mapato ya riba na kuongezeka kwa gharama ya riba za amana za muda maalum. Yote haya yalitokana na mabadiliko katika hali ya uchumi ulioathiri biashara za wateja wengi wa mikopo ambao walishindwa kulipa mikopo yao. Hii ilisababisha kuongezeka kwa Mikopo chechefu kutoka karibu 4.3% hadi 6.2% mwaka 2019, ambapo kwa wastani kiwango cha mikopo chechefu katika soko la fedha ni 10.4%. Benki ilichukua hatua kadhaa za kuboresha usimamizi wa mikopo ambapo tunatarajia zitasaidia kuimarisha usimamizi wa mikopo ndani ya Benki.

Amana za wateja ziliongezeka kwa 14% kutoka TZS bilioni 48.1 mwaka 2018 hadi TZS bilioni 54.6 mwishoni mwa Desemba 2019. Ambapo 40% ya amana zilichangiwa na akaunti za hundi na akaunti za akiba.

Huduma za Wakala wa Bima katika Benki ya Maendeleo ulioanzishwa mwezi Aprili 2014 umechangia mapato ya TZS milioni 185.1 ukilinganisha na TZS. Milioni 122.7 ilizochangia mwaka uliopita.

Pamoja na kubuni njia mbadala ya kuongeza mapato, benki iliendelea kudhibiti gharama zake za uendeshaji kwa mwaka, ambazo zilipungua kwa 1%, kutoka TZS milioni 5,694 mwaka 2018 hadi TZS milioni 5,643 mwaka 2019. Kupungua huko kulichangiwa na hatua thabiti zilizochukuliwa kusimamia kikamilifu gharama za uendeshaji na kuboresha ufanisi katika utendaji wa Benki.

Mpango Mkakati kwa mwaka 2020

Mwaka 2019 ulikuwa mwaka wa tatu wa utekelezwaji wa mpango mkakati wa biashara wa miaka 5(2017-2021).Wakatiwautekelezajiwamkakati,lengokuunikukuzarasilimalizaBenkikufikiaTzs.bilioni134.0ifikapomwaka2021,hukutukizingatiakiwangochachinichafaidajuuyarasilimlicha asilimia 2 kwa kujikita zaidi katika matumizi ya teknolojia na njia mbadala za kibenki.

Page 37: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 37

Kuendesha shughuli za kibenki kidijitali inabaki kuwa moja ya mkakati wetu mkuu wa kiutendaji kwa mwaka 2020. Benki itaboresha huduma za Wakala wa Benki kwa kutumia mfumo wa KKKT nchi nzima. Tutaendelea kuboresha huduma zetu kwa njia ya Simu ya mkononi yaani MB Mobile kwa kuwarahisishia wateja wetu kupata huduma za kibenki popote walipo. Kwa sasa Benki inafanya majaribio ya mfumo wa ukusanyaji wa Sadaka kwa njia ya kidijitali kwenye Sharika KKKT – Dayosisi ya Mashariki na Pwani kabla ya kujumuisha Dayosisi zote na makanisa mengine.

Benki imeweka mpango wa kufanya maboresho katika matawi yake utakaowawezesha wafanyakazi wa benki kutoa huduma bora za kibenki ili kuleta ushindani katika soko. Uongozi umeazimia kuongeza usimamizi wa mikopo kulingana na mkakati mpya uliopitishwa na Bodi.

Changamoto zilizotukabili mwaka 2019 hazitarajiwi kumalizika mwaka 2020; changamoto kubwa ni zile zinazosababishwa na janga la COVID -19 ambalo liliathiri uchumi wa dunia na Nchi yetu kwa ujumla. Athari zinazotarajiwa kwa biashara ni pamoja na kuongezeka kwa mikopo chechefu kwa sababu ya wateja kuathirika katika biashara (biashara zilizo athirika ni kama vile utalii, kilimo, viwanda,usafirishaji,ujenzi,n.k)ambapowanawezakushindwakulipamikopoyaokiufanisikutokanana kuporomoka au kuanguka kwa biashara zao.

Hata hivyo, marekebisho mengi yanayotakiwa ili kukabiliana na hali mpya ya uchumi yamefanyika; na benki iko katika muundo mzuri wa kutekeleza mkakati wa ufanisi wa utendaji mwaka 2020. Mkakati huu unakusudia kuongeza idadi ya miamala katika matawi 3 ya benki na wakala 72 wa benki (wakala wanatarajiwa kuongezeka hadi 200 kabla ya mwisho wa mwaka); pamoja na njia zingine za dijitali kwa lengo la kuongeza mapato yetu kwa kiasi kikubwa. Pia, mikakati ya Benki inakusudia kuboresha usimamizi wa mikopo chechefu kwa lengo la kupunguza kiwango cha mikopo chechefu kufikia asilimia5 ifikapomwishowa2020;na kufikiauwianowa80%wamapatonamatumizi. Hatua zote hizi zitachukuliwa ili kuhakikisha Wanahisa wetu wanapata gawio endelevu na kuongeza nafasi ya benki katika soko la fedha.

SHUKRANI

Nachukua nafasi hii kwa mara nyingine tena, kuitambua na kuishukuru kwa dhati Bodi ya Wakurugenzi kwa kujitoa kwao, na kwa miongozo na ushauri kwa Menejimenti ya Benki. Pia ninawashukuru Wakurugenzi wastaafu ambao ni Balozi Richard Mariki, Bwana Felix Mlaki na Mchungaji Dkt. Ernest Kadiva kwa utumishi wao mzuri tangu kuanzishwa kwa benki. Pamoja na Wakurugenzi wanaoendelea, tutakuwa na deni kwao kwa mchango wao mkubwa wa utumishi uliotukuka. Kwakweli, haiwezekani kuzungumzia mafanikio ya Benki kuanzia ilipoanzishwa mwaka 2013 bila kuwataja Wakurugenzi waanzilishi. Ilikuwa ni upendeleo kuwa nao kama wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi kwa miaka sita mfululizo.

Ninashukuru Menejimenti na wafanyikazi wenzangu wote kwa kujitoa na kuifanya Benki iendelee kutambulika sokoni kama benki shindani katika kipindi chote. Napenda kuwashukuru Wanahisa wetu, wateja, Serikali, mamlaka za usimamizi na wadau wengine wote kwa mchango wao mkubwa katika kipindi chote cha mwaka 2019.

Dr. Ibrahim MwangalabaMkurugenzi Mtendaji

Page 38: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 038

Huduma za kibenki mtaani kwako.

Uwezo wa kufanya miamala

masaa 24 siku 7 za wiki.

Huduma za kimtandao za kutunza na kukopa

kupitia simu yako ya mkononi

Page 39: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 39

Huduma za kibenki mtaani kwako.

Uwezo wa kufanya miamala

masaa 24 siku 7 za wiki.

Huduma za kimtandao za kutunza na kukopa

kupitia simu yako ya mkononi

15,000

20,000

25,000

30,000

35,000

2018 2019

Kuongezeka kwa Wateja

Mwaka

Wate

ja

27,

00

0W

ate

ja

34

,00

0W

ate

ja

Kuongezeka kwa Amana

14%Kukua

2019

Page 40: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 040

UONGOZI WA BENKI

Bw. Peter Tarimo

Mkuu wa Idara ya Fedha

Dkt. Ibrahim Mwangalaba

Mkurugenzi Mtendaji

Bw. George WandwaloMkuu wa Idara ya

Uendeshaji na Teknohama

Bi. Mumi Philip

Mkuu wa Idara ya mikopo

Bw. Richard Mashiku

Mkuu wa Idara ya

Rasilimali Watu

Bw. Newton Mathew

Kaimu Mkuu wa Idara ya Ukaguzi wa Ndani

Page 41: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 41

Katikamwaka2019,BenkiimewezakufikishajumlayamtajiwaWanahisawaTzs.bilioni13.67ambapo jumla ya hisa 23,951,664 zimeuzwa kwa wanahisa mbalimbali. Hisa hizi zimetolewa kama ifuatavyo:

MTAJI WA BENKI

Jina la Mwanahisa

Idadi ya Hisa

% ya jumlaya hisa

Umoja wa Misheni ya Uinjilishaji 2,980,326 12%

Taasisi za KKKT DMP 2,750,161 11%

KKKT DMP 1,435,407 6%Makampuni na SACCOS 874,134 4%

1%

KKKT Fao la kustaafuKanisa la Kiinjili la Kilutheri

1,175,734 5%

Wengine 335,000

61%14,400,902 Total 23,951,664 100%

Page 42: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 042

KATIBU WA KAMPUNI

Katibu wa Benki kwa tarehe 31 Desemba 2019 alikuwa Dkt. Ibrahim Mwangalaba ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki.

UTAWALA WA KAMPUNI

Benki ya Maendeleo PLC inachukulia utawala wa kampuni kama ufunguo utakaopelekea utendaji endelevu wa benki. Kwa kuzingatia hili, Bodi ya Wakurugenzi iliendelea kuimarisha mfumo wa utawala wa kampuni kwa kupitia sera za benki. Sera za Bodi na sera za benki zilipitiwa na kupitishwa katika kipindi hicho.

Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji • Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji ni tofauti, majukumu yao yameainishwa wazi. Mwenyekiti ana jukumu la kuongoza Bodi na kuhakikisha ufanisi wake.

• Mkurugenzi Mtendaji anawajibika katika utekelezaji wa mikakati, mipango na sera za Benki na shughuli za kila siku za Benki, akisaidiwa na uongozi wa benki na kamati za utendaji ambazo anaziongoza.

MUUNDO WA BODI Bodi ina Wakurugenzi tisa (9) ikiwa ni pamoja na Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti. Wajumbe wa Bodi huteuliwa na Wanahisa kupitia kura (anayepata kura nyingi) na kuthibitishwa na Benki Kuu ya Tanzania. Mikutano ya Bodi

Katika kipindi kilichoisha Desemba 31, 2019 Bodi ilifanya mikutano nane ambayo ilijadili sera za Benki, utendaji wa Benki na bajeti ya mwaka 2020 ya Benki.

Page 43: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 43

Mikutano ya Bodi

Jina Cheo Jumla yaMikutanoiliyofanyika

Mikutanoaliyohudhuria

Bw. Amulike Ngeliama Mwenyekiti 8 8

Bi. Dosca Mutabuzi Makamu Mwenyekiti 8 4

Balozi Richard Mariki Mkurugenzi 8 8

Bw. Naftal Nsemwa Mkurugenzi 8 7

Mch. Dkt. Ernest Kadiva Mkurugenzi 8 6

Bw. Felix Mlaki Mkurugenzi 8 8

Bi. Anna Mzinga Mkurugenzi 8 3

Prof. Ulingeta Mbamba Mkurugenzi 8 2

Bi. Joyce Mapunjo Mkurugenzi 8 2

Dkt. Emmanuel Manasseh Mkurugenzi 8 1

Mch. Wilbroad Mastai Mkurugenzi 8 1

Dkt. Ibrahim Mwangalaba Mkurugenzi Mtendaji Mkurugenzi Mtendaji 8 8

Hadhi ya ujumbe

Anaendelea

Anaendelea

Anaendelea

Anaendelea

Amestaafu

Amestaafu

Amestaafu

Mpya

Mpya

Mpya

Mpya

NB: Uongozi wa Benki bado wanawasiliana na Benki Kuu ya Tanzania kukamilisha kupata uthibitisho wa Wakurugenzi wapya.

Page 44: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 044

KAMATI ZA BODI Tarehe 31 Desemba 2019, Bodi ilikuwa na Kamati mbili ambazo ni Kamati ya Ukaguzi wa hesabu na Kamati ya Mikopo. Shughuli za Kamati zinasimamiwa na sera za Kamati husika zilizoidhinishwa na Bodi.

Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu

Wakaguzi wa nje wa hesabu walialikwa na walihudhuria mikutano ya Kamati kwa ajili ya kuwasilisha mpango wao wa ukaguzi wa hesabu kwa mwaka uliomalizika 31 Desemba 2019. Mkurugenzi Mtendaji na Menejiment yake hudhuria mikutano yote ya Kamati kama waalikwa.

Mikutano ya Kamati ya Bodi ya Ukaguzi wa Hesabu

Jina Cheo Jumla yaMikutanoiliyofanyika

Mikutanoaliyohudhuria

Bw. Naftal Nsemwa Mwenyekiti 8 8

Bw. Felix Mlaki Mkurugenzi 8 8

Bi. Anna Mzinga Mkurugenzi 8 4

Kamati ya Mikopo Kamati ilikuwa na mikutano nane kwa mwaka. Mkurugenzi Mtendaji na Mkuu wa Idara ya Mikopo walishiriki katika mikutano yote kama waalikwa.

Jina Cheo Jumla yaMikutanoiliyofanyika

Mikutanoaliyohudhuria

Balozi. Richard Mariki Mwenyekiti 8 8

Bw. Naftal Nsemwa Mkurugenzi 8 7

Bi. Dosca Mutabuzi Mkurugenzi 8 4

Page 45: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 45

Dumisha tabasamu la familiakwa kulipia king’amuzi na MB Mobile

Page 46: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 046

Uwajibikaji wa Benki Katika Jamii

Maendeleo Benki inaamini kwa dhati kwamba kuwajibika kwa jamii inayotuzunguka ni jambo la msingikuijengeaBenkimazingiraRafikiyakushirikiananawadauwote.Tangiakuanzishwakwake,Maendeleo Benki imekuwa mstari wa mbele kusaidia jamii inayotuzunguka kwa kutoa misaada mbalimbali ya kibanadamu. Benki haiamini katika kuandika hundi tu, bali pia kujumuika na kufanya kazi katika jamii ili kuleta mabadiliko chanya na endelevu. Mwaka 2019 wafanyakazi wa Benki walishirikikufanyausafikatikahospitaliyaAmanaPamojanakutoamsaadawakifaakadhaavyakufanyiausafi.NiheshimakwetukushirikiPamojakatikashughulizakijamii.

Mkurugenzi Mtendaji Dkt. Ibrahim Mwangalaba akiwa na mmoja wa waandishi wa habari katikahospitaliyarufaayaAMANAwakatiwalipoendakufanyausafihospitalinihapoikiwani sehemu ya uwajibikaji kwa jamii.

Page 47: Annual General Meeting - Maendeleo 2020 IN S… · plc utafanyika jumamosi tarehe 27 juni 2020 kuanzia saa nne asubuhi na wanahisa watashiriki ... daud wilson makala david timotheo

M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 M k u t a n o M k u u w a M w a k a 2 0 2 0 47

Wafanyakazi wa Maendeleo Bank wakiwa katika zoezi la kufanya usafi katika mazingirayanayozunguka hospitali ya rufaa ya AMANA iliyopo Jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya uwajibikaji kwa jamii.

Mganga Mkuu wa Hospitali ya rufaa ya AMANA Dkt. Amani Malima na viongozi wa hospitali hiyo wakiwapamojanawafanyakaziwaMaendeleoBankbaadayakufanyausafiwamajengonamazingirakishakukabithivifaavyakufanyiausafitarehe10Septemba2019.