AN-NUUR 1129.pdf

17
ISSN 0856 - 3861 Na. 1129 SHAABAN 1435, I JUMAA , JUNI 13-19, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz facebook: annuurpaper [email protected] Masheikh T anzania tieni vi chwa maji Kikosi cha mauwaji hakitaishia Mombassa Ni kitendawili tata kinawakabili Waislamu… Walipe kisasi au watizame wakimalizwa MOMBASA MKAKATI wa kuwaua Masheikh nchini Kenya umeshika kasi. Safari hii ameuliwa kwa kupigwa risasi Mwen yeki ti wa  Ju mu ia ya Ma im am u na Wahubiri nchini Kenya (CIPK) Sheikh Mohammed Idris katika kitongoji cha Likoni, Mombasa. Sheikh mwingine auliwa Kenya Ni Mwenyekiti wa Maimamu SHEIKH Mohammed Idris Kwa mu jib u wa mta nda o wa standardmedia.co.ke, Sheikh Idris Mohammed ameuawa k wa kupigwa risasi na watu wasiofahamika Alfajir ya saa 11: 00 ya kuamkia  Ju ma nn e ya wi ki hi i, wakati alipokuwa anaelekea katika Msikiti wa Swalihina, ulioko Inaendelea Uk. 4 Uk. 8 Soko lateketea kwa moto Dar Zimamoto wahamishia nguvu TBL BAJETI ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/2015 imewasilishwa jana jioni Bungeni na Waziri wa Fedha Bi. Saada Mkuya, ambapo safari hii, serikali imedhamiria kubana matumizi yake Bajeti 2014-2014: Mishahara juu Misamaha ya kodi yakoma Matumizi ya serikali yabanwa Na Shaban Rajab na kukusanya kodi kwa wafanyabiashara wakubwa. Akiwasilisha bajeti yake mbele ya Bunge hilo mjini Dodoma jana, Bi. Mkuya alisema bajeti ya safari hii, serikali imepunguza misamaha ya kodi ya Soma Uk. 16 Inaendelea Uk. 2 BAADHI ya wafanyabiashara wa soko la Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salaam wakitizama namna mali zao zilivyoteketea kwa moto baada ya soko hilo kuungua  juzi usiku. WAZIRI wa Fedha, Saada Salima Mkuya. UNAJUA KUWA KUFANYA UMRA KATIKA MWEZI WA RAMADHANI NI SAWA NA KUHIJI NA MTUME (SAW)? PIA AMESEMA MTUME (SAW) , “MWENYE KUJA KUNIZURU BAADA YA MAUTI YANGU NI KAMA ALIYENITEMBELEA WAKATI WA UHAI WANGU”. KARIBU AHLU SUNNA WALJAMAA TUKAMZURU MTUME (SAW) NA KUFANYA UMRA KATIKA MWEZI WA RAMADHANI, TUNAKWENDA KATIKATI YA RAMADHANI NA KURUDI SIKUKUU KWA GHARAMA ZA DOLA 2,300. WAHI, VISA MWISHO TAREHE 18 SHAABAN. OFISI YETU IPO KARIAKOO, MTAA WA LUMUMBA KATIKA JENGO LA SABA JENERAL, GHOROFA YA TATU, AU WASILIANA NA 0777 462 022, 0655462022, 0765462022, 0682462022. SAFARI YA UMRA 

Transcript of AN-NUUR 1129.pdf

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1129 SHAABAN 1435, IJUMAA , JUNI 13-19, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz facebook: [email protected]

    Masheikh Tanzania tieni vichwa majKikosi cha mauwaji hakitaishia Mombass

    Ni kitendawili tata kinawakabili WaislamuWalipe kisasi au watizame wakimalizwa

    MOMBASAMKAKATI wa kuwauaMasheikh nchini Kenyaumeshika kasi.

    Safari hii ameuliwakwa kupigwa risasiM w e n y e k i t i w a

    Ju muia ya Maimam una Wahubiri nchiniKenya (CIPK) SheikhMohammed Idris katikakitongoji cha Likoni,Mombasa.

    Sheikh mwingine auliwa KenyNi Mwenyekiti wa Maimamu

    SHEIKH Mohammed

    K w a m u j i b uw a m t a n d a o w astandardmedia.co.ke,Sheikh Idris Mohammeda m e u a w a k w akupigwa risasi na watuwasiofahamika Alfajirya saa 11: 00 ya kuamkia

    Jumanne ya wiki hi i,w a k a t i a l i p o k u w aanaelekea katika Msikitiwa Swalihina, ulioko

    Inaendelea Uk. 4

    Uk

    Soko lateketea kwa moto DarZimamoto wahamishia nguvu TBL

    BAJETI ya serikali kwamwaka wa fedha 2014/2015i m e w a s i l i s h w a j a n ajioni Bungeni na Waziriw a F e d h a B i . S a a d aMkuya, ambapo safarihii, serikali imedhamiriakubana matumizi yake

    Bajeti 2014-2014:

    Mishahara juuMisamaha ya kodi yakomaMatumizi ya serikali yabanwa

    Na Shaban Rajab na kukusanya kodi kwawafanyabiashara wakubwa.

    Akiwasilisha bajeti yakembele ya Bunge hilo mjiniDodoma jana, Bi. Mkuyaalisema bajeti ya safarihii, serikali imepunguzamisamah a ya ko d i ya

    Soma Uk. 16

    Inaendelea Uk. 2

    BAADHI ya wafanyabiashara wa soko la Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salwakitizama namna mali zao zilivyoteketea kwa moto baada ya soko hilo kuujuzi usiku.

    WAZIRI wa Fedha, Saada Salima Mkuya.

    UNAJUA KUWA KUFANYA UMRA KAMWEZI WA RAMADHANI NI SAWA NA KNA MTUME (SAW)? PIA AMESEMA MT(SAW), MWENYE KUJA KUNIZURU BAADMAUTI YANGU NI KAMA ALIYENITEMBWAKATI WA UHAI WANGU. KARIBU ASUNNA WALJAMAA TUKAMZURU MT(SAW) NA KUFANYA UMRA KATIKA MWA RAMADHANI, TUNAKWENDA KATIYA RAMADHANI NA KURUDI SIKUKUU GHARAMA ZA DOLA 2,300. WAHI,

    VISA MWISHO TAREHE 18 SHAABAN. YETU IPO KARIAKOO, MTAA WA LUMUKATIKA JENGO LA SABA JENERAL, GHOR

    YA TATU, AU WASILIANA NA 0777 4620655462022, 0765462022, 0682462022.

    SAFARI YA UMRA

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    2/16

    2 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19,

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Osi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    HIVI sasa Bunge la Bajetikwa aji l i ya mwakaw a f e d h a 2 0 1 4 / 2 0 1 5linaendelea na vikaovyake mjini Dodoma.

    W a k a t i w a b u n g ewakiendela na vikaovya kujadili na hatimayekupitisha makadirio yamapato na matumizi yaserikali kwa mwaka wafedha unaoanzia JulaiMosi, wananchi nao kwaupande wao wanasubirikwa hamu kujua hatma yamaisha yao kwa kipindikijacho cha mwaka wa

    fedha kulingana na bajetihiyo.Kwa mujibu wa taarifa

    iliyotolewa na serikalikupitia Waziri wa FedhaSaada Mkuya, ni kuwabaj eti ya mwa ka huuitakuwa ya kiasi cha trilioni19.6. Katika fedha hizo,trilioni 14.2 zitakuwa nikwa ajili ya matumizi natrilioni 5.4 zitakuwa nikwa ajili ya shughuli zamaendeleo.

    Kwa maana hiyo bajetiya mwaka huu itakuwana ongezeko la trilioni1.4 ikilinganishwa na ileya mwaka jana ambayoilikuwa ya kiasi cha 18.2.

    W a k a t i h u o h u o ,s er i k a l i i meb a i n i s h akwamba itaongeza vyanzombalimbali vya mapatoil i kutimiza malengoyake ikiwa ni pamoja nakudhibiti misamaha yakodi.

    Wakati tukisubiri bajetihiyo, tayari amesikikaNaibu Waziri wa FedhaBw. Mwigulu LameckNchemba, akisema kuwaserikali imelenga kuzibamianya ya wakwepakodi kwa kupunguza aukuondoa kabisa misamaha

    ya kodi.Bw. Nchemba alisemakuwa serikali imekuwai k i t e g e m e a z a i d iwafanyabiashara wadogona wafanyakazi kwakuwa hawana mwanyawa kukwepa kodi, wakatiwafanyabiashara wakubwawamekuwa wakikwepakodi.

    Alibainisha kwambas e r i k a l i s a f a r i h i iitadhibiti ukwepaji kodiili kuwapunguzia mzigowafanyabiashara wadogo,ambao hawana namna ya

    Tunahitaji bajeti ya Watanzaniakukwepa na wafanyakazikupunguziwa mzogo wakodi kwenye kipato chaoili kuwapunguzia gharamaza maisha.

    Al isema misamahaya kodi itakaotolewa naserikali kuendana nahuduma za kijamii nakwamba, itawekwa kwakufuata utaratibu wakisheria na si kiholela.

    Pamoja na ser ika l ikuweka wazi hali ya bajetiyake, ikieleza imeongezak i w a n g o c h a f e d h atrilioni 1.4 kama ilivyodai

    na kuahidi kuwabanawakwepa kodi wakubwa ilikuongeza mapato na kuletanafuu kwa wachuuzi nawafanyakazi, bado tunamashaka na utekelezwajiwa kauli hizi.

    Ikumbukwe tu kwambahata ile bajeti ya mwakajana ya kiasi cha trilioni 18.2,sehemu kubwa ya fedhakatika hizo zilizotakiwak w en d a m a w i z a r a n ikwa ajili ya kutekelezwamiradi ya maendeleo,hazikutolewa hadi sasa namiradi ikakwama.

    Uzoefu umeonyeshakuwa fedha zinazotengwakwa ajili ya shughuli zamaendeleo zimekuwan i k i d o g o s a n a n ahazipatikani kwa wakati,hasa zile zinazohitaji utashiwa wahisani kwanza.

    Itakumbukwa kuwahata Kamati ya Bungeya Bajeti, mwaka janailiishauri serikali juu yatatizo sugu la misamahaholela ya kodi sambambat a t i z o l a u k w ep w a j iwa kodi hususan kwawafanyabiashara wakubwan a k u i t a k a s e r i k a l ikuchukua hatua. Lakinibado tulishuhudia tatizo

    hilo likidhiri zaidi haditunaingia mwaka huu wabajeti.

    Tunakumbuka katikaba je ti zi li zo pi a, Wazir iMkuu Mizengo Pinda,aliliahidi Bunge kuwaserikali itabana matumiziyake hasa kwa kudhibitiu n u n u z i w a m a g a r imapya ya kifahari yaserikali maarufu kamamashangingi pamojana matumizi mabaya yamagari hayo.

    Hakuishia hapo, WaziriMkuu Pinda alituahidikuwa atadhibiti vikao

    vya chai yaani semina,makongamano na warsha,a m b a v y o v i m e k u w azikitumia fedha nyingi zaserikali pasipokuonekana tijailiyokusudiwa. Alikwendambali zaidi aliposema kuwahata kukiwa kuna ulazima wakufanyika vikao hivyo, basikibali kitatolewana osi yake!

    Pamoja na Kauli ya WaziriMkuu, tulistaajabu kuonamashangingi yameendeleakumwagwa zaidi kutoka STJsasa yamekia STL. Nyingizikionekana kuegeshwaMakanisani siku za Jumapili,bar, na sites siku ambazo si zakazi. Vikao chai vimeendelea

    kuwa business as usual.Tunakumbushia yote haya

    kutokana na uzoefu wa miakailiyopita. Katika Bajeti zamiaka iliyopita kwa mfano,jicho la serikali limeendeleakutua kwenye vileo, sigara,vinywaji baridi, wafanyakazina wachuuzi nk. huku maeneomuhimu kama aliyoyatajaBw. Mwigulu yakifumbiwamacho.

    Ni ushauri wetu kwambakatika bajeti ya mwaka huuwa fedha, Wabunge wetuambao ndio wawakilishiwa wananchi, wahakikishek w a m b a u s h a u r i w a owalioutoa kwa serikali

    kupitia Kamati yao ya unatekelezwa barabara

    T u s e m e t u k w aWatanzania wamechona mambo ya busineusual. Wanahitaji bajetiinayoakisi maisha yakila siku. Wanahitaji ya watanzaia, sio bajvigogo.

    H a w a h i t a j i b ainayotegemea mapawafanyakazi, soda na sW abun ge wah akikwanaibana serikali na kwafanyabiashara waknao wanalipa kodi stna kuwaondolea mzigowatanzaia ambao wengni wachuuzi na makabw

    Shura ya Imamu (TZ)inawatangaziWaislamu Itkaf itkaayofanyika Jumapihii tarehe 15/06/2014)Masjid Mtamban

    Kinondoni, Dar es Salaam.Njoo ujikurubishe kwa Allah (s.w.) na tareh16/06/2014itakuwa kesi ya Sheikh PondMahakama Kuu Dar es Salaam.

    Shime Waislamu tunatakiwa tujitokeze kwwingi.

    AMIR ITIKAF

    SHURA YA MAIMAMU TZ

    ITKAF MASJID MTAMBANI

    Mishahara juuInatoka Uk. 1

    ongezeko la thamani (VAT)na kwamba, tayari serikaliimeshawasilisha muswada

    wa marekebisho ya sheriaya misahama ya kodi 2014bungeni.

    Waziri Mkuya amesemakuwa muswada wa sheriaya usimamizi wa kodi wamwaka 2014 utawasilishwakabla ya kumalizika mwaka2014.

    Kuf uat ia h atua h iyoya serikali ya kupunguzamisamaha ya kodi ya ongezekola th aman i , misamah aiatakayotolewa italengakatika huduma za kijamiizaidi, pale itakapoonekanakuna umuhimu wa kufanyahivyo.

    Waziri Mkuya aliongezakuwa kuanzia sasa, serikali

    itakuwa inatoa taarifa zamisamaha ya kodi kilarobo ya mwaka, ikiwa ni

    pamoja na kuwataja wotewaliosamehewa na sababu yakusamehewa.

    Aidha alisema taarifaya kina ya misamaha hiyo

    itawasilishwa bungeni kilamwaka.

    Serikali pia imesema kuwainakusudia kuwasilishabungeni muswada wa shria yabajeti, ili kudhibiti ubadhirifuwa fedha za umma.

    Akiendelea kutoa ndondooza bajeti yake, Waziri Mkuyaalisema kuwa mishahara yawafanyakazi katika mwakahuu nayo itaongezwa.

    Kwa upande mwingine,b a j e t i ya m wa k a h u uimebainisha wazi kwambakuanzia sasa, machapishombalimbali katika taasisi naidara mbalimbali za serikali,kama vile kalenda, vitabu,vijarida nk. vitatolewa na Osi

    ya Waziri Mkuu pekee, tofautina siku za nyuma ambapokila idara au taasisi ilikuwa

    inajichapia machapishoHatua hiyo bila s

    ni kuhakikisha kwaserikali inabana mat

    yake, ili kuondoa maya ubadhirifu na uuliokuwa ukifanyika kmwanya huo.

    Aidha Bi. Mkuya alserikali iko mbioni kuanmfumo wa kielectrwa kudhibiti ununumatumizi ya mafuimagari ya serikali.

    Pia alisema kuanzia ya mwaka huu, hataasisi itakayotumia myanayotokana na madbila idhini ya Katibu MHazina.

    Hata hivyo, wanatanwanasubiri kwa hamu kutekelezwa wa baje

    mwaka huu, wakifahkuwa kusema ni jambona utendaji ni jambo jin

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    3/16

    3 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, Habari

    Sheikh Mushi mfano wa kuigwaKIFO cha Sheikh AmanMushi, kimewakumbushaWaislamu kadhia yamauwaji ya Waislamuk a t i k a M s i k i t i w aMwembechai sambambana sakata la Mabucha ya

    Nguruwe, Jijini Dar esSalaam.Akimzungumzia Sheikh

    Mushi aliyekuwa Katibuwa Kamati ya KusimamiaHaki za Waislamu, SheikhRajabu Katimba, alisemamara baada ya taarifa zakifo cha Sheikh Mushi,Waislamu wamekuwaw a k i r e j e a s a k a t a l amabucha ya nguruwena mauaji ya WaislamuMwembechai.

    Alisema, hali hiyo imejirimiongoni mwa Waislamu,kutokana na Marhumu

    Sheikh Mushi, kuwa mstariwa mbele katika kadhiahizo akipinga dhulma zaSerikali dhidi ya Waislamunchini.

    Sheikh Katimba ambayekwa sasa ni kiongozim w a n d a m i z i k a t i k aJu mu iy a na Taa si si zaKiislamu, alisema mbaliya matukio hayo makuuya kukumbukwa nchini,pia Sheikh Mushi, alikuwamshiriki wa harakatimbalimbali za Waislamun c h i n i mp a k a ma u t iyanamkuta.

    W a i s l a m uwatamkumbuka MzeeMushi, katika harakatim b a l i m b a l i h u s a n isakata la Mabucha yaNguruwe, maua j i yaWaislamu Mwembechaina hivi karibuni sualala kuishinikiza serikalikuingiza kipengele chaDini katika sensa ya watuna makazi . Al isemaSheikh Katimba.

    A l i s e m a k a t i k akadhia ya mauaji yaWaislamu Mwembechai,yanayodaiwa kufanywa na

    Polisi Jijini Dar es Salaam,Sheikh Mushi, alikuwa nimmoja wa wahanga wakadhia hiyo, kutokana naju hu di zake za ku te teaWaislamu.

    W e n g i w a k a w awamefungul iwa kes ikwamba kwa namna mojaama nyinge walihubiri kwakusema Yesu si Mungu,Yesu hakufa, makosaambayo yaliwafanya akinaMzee Mushi na Waislamuwengine kukaa mahabusukwa zaidi ya miezi mitano

    bi la dhamana, lakin ibaadaye wote waliachiwahuru kwa maelezo kwambahawana hatia. AlisemaSheikh Katimba.

    Ukikumbushia sakata lasensa, baada ya Waislamukuona kuna umuhimu wakipengele cha dini kuwemokatika dodoso, mmojawa aliyekuwa msitari wambele kuishinikiza serikaliiweke kipengele hichomuhimu, alikuwa ni MzeeMushi, akishirikiana nawenzake na kubakia katikamsimamo mmoja.

    Alisema, Waislamuwanatakiwa kujifunzamambo mengi kutoka kwaMzee Mushi, kutokana

    na msimamo wake katikakusimamia maslahi yaWaislamu wakati akiwahai, kwani aliadi, Marhumal ikuwa ni k iongozi

    Muislamu aliyejitolea malina nafsi yake kwa ajili yaWaislamu na Uislamu.

    Alisema katika uhaiw a k e , M z e e M u s h i ,ameweza kutoa nyumbayake iliyopo mtaa waMchikichi na Lumumba,K a r i a k o o , J i j i n i D a res Salaam, kwa ajili yashughuli za kiosi za Al-Malid.

    Mbali ya hiyo, pia alitoanyumba nyingine ambayoinatumika kwa kupangishaili kiasi kitakachopatikana

    hapo, kiweze kufanyiashughuli za harakati zaKiislamu ndani ya Taasisiya Al-Malid.

    Aidha Sheikh Katimba,

    alisema katika uhai wakeSheikh Mushi, ametoaardhi maeneo ya MbeziJogoo, akitaka pajengwechochote kwa ajili yamaendeleo ya Waislamuna Uislamu.

    A l i s ema a n a p en d ak u t u m i a f u r s a h i y okutoa wito kwa wadauwa Kiislamu kuhakikishak w a m b a i l e a r d h ii l iyoto lewa na MzeeMushi, inaendelezwa kwamaana ya kujengwa shule,ili kuandaa vijana wa

    Kiislamu katika elimuAl-Marhumu Sh

    Mushi, ametajwa kni kiongozi wa Kiisaliyejali shida za Waiswenzake, kwani alikkuguswa na tatizMuislamu yoyote hakionyesha uchu

    kwa dini yake mapopote pale al ipoinahujumiwa al iktayari kupambana hali na mali kuhakihaki inapatikna.

    Al-Marhumu Mni mmoja wa waasisTaasisi ya mihadhara yMalid, iliyosajiliwa m1992.

    Kupitia Al-Malidi,ya uongozi wa ShM u s h i , i m e f a n i kkuingiza maelfu ya katika Uislamu Tanzna Afrika Mashariki

    ujumla.Mbali ya kuwa mdh

    na Mwenyekiti waMalid, pia Sheikh Mkutokana na kujitolekujituma kwake kkuwatumikia Waislamekuwa mdhaminBaraza Kuu la JumuiTaasisi za Kiislamu (T

    Katika Msikiti wa TTemeke, Mzee Malikuwa ni mdhampia alikuwa ni kionwa Taasisi ya shulNurulyakin.

    Mzee Mushi, ali

    kuugua mwaka muliopita, akisumbuliwugonjwa wa kisukari, baadae ilibainika kuwana tatizo la saratani.

    Awali, kwa markwanza alikwenda nIndia kwa matibabu, alirudi kwa mara ya pbaada hapo wiki iliyalikuwa safarini akitena kwa mara ya tatuajili ya muendelezo whiyo.

    Hata hivyo, alipDubai akielekea Indiailibadilika na hatim

    umauti ulimkuta, kikukilicho muathiri ilikumaradhi ya saratani.

    Mzee Mushi amezmkoani Kirimanjaro, kWilaya ya Hai Kaskmazishi yaliongozwAmir wa Baraza KuJu mui ya na Taa sisKiislamu.

    Mzee Amani Muameacha wajane wna watoto wanne na wyatima kadhaa aliokakiwalea nyumbani kwakati wa uhai wake

    AL-MARHUUM Sheikh Aman Mushi.

    Na Bakari Mwakangwale

    Alijitoa, akatoa na mali zake kuujenga Uislamu

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    4/16

    4 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, Habari

    Sheikh mwingine auliwa KenyaInatoka Uk. 1

    takribani mita 50 kutokanyumbani kwake kwaajili ya swala ya Subhi.

    K u u a w a S h e i k hM o h a m m e d ,kumewashtua wenyejiw e n g i w a m j i w aMombasa, hasa wakiwa

    na yakini kwambaSheikh huyo katikamaisha yake mjini humohakuwahi kuwa mtuanayeweza kuhusishwana ugaidi.

    A l i k u w a m t ua n a y e h e s h i m i k aMombasa hata palea l i p o t o f a u t i a n an a m s i m a m o w akihafidhina kiimani,wote walimheshimu,h a t u d h a n i k a m w ekwamba wanaoitwavijana wa siasa kaliwanahusika.

    Kwanini walisubiriw a m u u e w a k a t ianakwenda kuswali?S i a s a k a l i h a w e z ikufanya hivyo. Nikinyume kabisa nasharia za Kiislamu ,aliandika Bw. Ahmed.

    H a t a h i v y omashuhuda wa tukiohilo walidai kuwa Sheikhhiyo aliuliwa wakatiakikaribia nyumbanikwake.

    AL-MARHUUM Sheikh Mohammed Idris.

    Mwili wa Sheikh Idrisumehifadhiwa katikahospitali ya Pandya.

    Sheikh Idris aliwahik u w a M w e n y e k i t iMsikiti wa Sakina mjiniMombasa.

    Baada ya kutokeamtafaruku wa kiuongozi,aliachia madaraka na

    kuchukuliwa na vijana.Kama il ivyokuwa

    k a t i k a m a u a j i y aMasheikh wengine sikuza hivi karibuni, akinaSheikh Aboud Rogo,Ismail Rogo, SheikhMakaburi na SheikhSamir Khan, polisi tayariwameanza kujihami nakuwarushia mashaka nahisia wanaowaita siasakali huku wakijaribu

    kujiweka pembeni nashutuma.Mkuu wa Upelelezi

    wa Mombasa (CID) Bw.Henry Ondieki, alisemakuwa watuhumiwawal iom uua Sheik hIdris , wal ikuwa niw a t u w a l i o k u w awakimfahamu vyema.

    Haya ni mauaj ina tunayachunguzakwasababu inaonekanakuwa waliomshambuliawal imfuat i l i a k wamuda kabla kumuua,alinukuliwa akisema

    Bw. Ondieki.Aidha Pol is i haowamedai kuwa wauajiwameleta hofu mjiniMombasa.

    Bw. Ondieki amesemamiezi kadhaa iliyopitaaliuita mkutano wavijana wa Msikiti waSakina kama mkutanowa jihadi.

    " T u n a f a h a m uvijana wa siasa kaliwalijikusanya kwa ajiliya mkutano wa jihadiwakiwa na malengo

    mabaya kwa nchi," hiini kauli ambayo polisiwamedai kumnukuuSheikh Idris kabla ya kifochake.

    Ofisa huyo wa Polisiamedai kuwa kiongozihuyo wa dini aliwatakaPolisi kukabiliana na vijanahao wa Kiislamu siasa kaliwanaosababisha vurugukwa jina la Uislamu mjiniMombasa. Kwamba hiloliliwachukiza sana vijanawengi ambao walimuitaSheikh huyo kuwa nimsaliti.

    Bw. Ondieki anasemak u w a S h e i k h I d r i salipinga kile alichokiita"mafundisho ya Jihad"k w a m b a y a l i k u w ayakitafsiriwa tofauti navijana.

    Sheikh Idris marazote ameitaka serikalikuwakamata wafadhilina wanaohuburi siasa kalikwa kuwatumia vijanawasiokuwa na hat iakwa maslahi yao binafsi,akisema Uislamu ni diniya amani na haifundishi

    vurugu.U k i a c h a S h e i k h

    aliyeuliwa wiki iliyopita,Sheikh Idris anakuwakiongiozi wa Kiislamumaarufu wa nne kuuliwakwa risasi mjini Mombasatangu mwaka 2012.

    M a s h e i k h w o t ewaliouliwa walikuwawakishutumiwa na serikalikuwa wana uhusiano navikundi vya kigaidi vyaal-Qaeda pamoja na kilecha al-Shabab cha Somalia.

    Sehemu kubwa ya Jamiiya Kiislamu nchini humo

    imekuwa iki ihusserikali ya Kenya kiko nyuma ya mahaya, jambo ambalozote serikali imekikikanusha kuhukwake.

    L i n a l o w a s h a n gwengi ni kwamba pana mauaji ya Masheik

    kupamba moto, hadhakuna mtu aliyebakuhusika na mauji t a n g u M a s h ek h walipoanza kuuliwa

    Sheikh Mohamed Ahmed, alizaliwa kmji wa Kandala, nSomalia mwaka 1957

    Alipata elimu yakmsingi hadi kidatosita Hawl wadaag SSomalia ambapo baalijunga na shahadmasomo ya Kiislamu yBachelor Islamic Stukatika chuo cha AmeI s l a m i c U n i v e r sBaadae alifanya shaya uzamili ya elimKiislamu UniversiSouth Africa.

    M w a k a 1 9 7 7 h1992 alifanya kazi kNyanja za kiuongozkidini na Utawala kmakampuni kadhaa nSaudi Arabia.

    Amefanya kazuhasibu na ubohn a O f i s a U t u m iAmekuwa mfasiri Kikwenda KiingerezMeneja utawala kmashirika kadhaa.

    Mwaka 1983 h1995 alikuwa ripm w a n d i s h i k agazeti la Annadwa DNewspaper, MakSaudi Arabia (ArDaily) na Arabic N(Daily English)

    Mwaka 1978 hsasa aliendelea kuu f a h a m u z a i d iDa,wa, akisaka ekwa Ulamaa na MMkuu wa Saudi Ar

    V i t a balivyochapisha: SBin Baz. wasifu mkwa kiarabu, DiasProblem kwa Kiso

    We and Abassykwa Kisomal i , Spud Harvest ( MiQaraar) kuhusu vitawenyewe kwa wenySomalia kwa KiarMalaysia Developm Kwa Kisomali,Miracles of SadaKwa Kiarabu,The DTrip - Somalia to Eu

    Pia kazi zake nyzipo kwenye mfumAudio na Video.

    Inalillah wainnaRaajiuun.

    AL-MARHUUM Sheikh Samir Khan.

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    5/16

    5 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, Habari za Kimataifa/Tangazo

    CAIRORAIS Abdel-Fattah elSisi, amefanya sherehe zakuchukua rasmi madarakakama Rais mpya wa Misrikatika Ikulu ya Iihadiya yamjini Cairo.

    Al Sisi ambaye hapo kablaalikuwa Mkuu Jeshi waMisri, ametia saini hati yakupokea madaraka kutokakwa Rais wa muda wa nchihiyo Adly Mansour, Jumapiliwiki iliyopita.

    V yo mbo vya h abar ivya Misri viliripoti kuwa,viongozi wasiopungua 45wa mataifa ya Kiarabu nakimataifa walihudhuria

    sherehe hizo.M i o n g o n i m w aviongozi wa ngazi za juuwaliohudhuria sherehe hizoni Wafalme wa Bahrain naJordan, Amir wa Kuwait nawarithi wa viti vya ufalmewa Saudi Arabia na Umojawa Falme za Kiarabu.

    A l- S is i a l iap is h waJumapil i kuwa Rais mpyawa Misri katika Mahakamaya Katiba jijini Cairo chiniya ulinzi mkali , hukumaandamano makubwaya wanaomuunga mkonowa Rais aliyepinduliwa naje sh i, Muha mmad Mo rs iyakichukua nafasi katikamaeneo mbalimbali ya Misri.

    Anakuwa Rais wa nanewa Misri tangu kupinduliwakwa ufalme nchini humomwaka 1953, ukiwa nimwaka mmoja baada yamapinduzi ya kijeshi kutokeanchini humo.

    Mbali na Mursi na raiawawili wengine waliotumikianyadhifa za Urais wa muda,Marais wengine wote waMisri wametokana na jeshi.

    Mizinga 21 ilimlaki Al-Sisiwakati alipowasili katikakasri la Rais, lilioko kwenyeeneo la watu wenye maishaya juu la Heliopolis mjiniCairo baada ya kuapishwakwake, ambapo alikaguwagwaride la kijeshi kwa

    heshima yake.Akihutubia wageni wakekatika kasri la Iihadiya, Al-Sisi alitoa wito wa kuwepokwa umoja na kukomeshwamachafuko ya miaka mitatutangu kuangushwa utawalawa Bw. Hosni Mubarakmwaka 2011.

    Rais Al-Sisi alij ipatiaushindi mkubwa katikaUchaguzi wa Rais uliofanyikamwezi uliopita, kwa kupataasilimia 97 ya kura kutokanana asilimia 47.45 ya watuwaliojitokeza kupiga kura.

    Uchaguzi huo wa sikutatu uliingia dosari nyingikutokana na hatua zisizo zakawaida zilizochukuliwa na

    Al Sisi afanya sherehe za kuchukua rasmi madarakWananchi wasubiri kuona atakavyotawala

    Wanafunzi Azkhar wafungwa

    RAIS Abdel-Fatah el Sisi.

    serikali, za kuwalazimishawatu kujitokeza kupiga kuraikiwa ni pamoja na kuwatishakuwa wale watakaobakiamajumbani watatozwa faini,kuongeza siku moja ya kupigakura na kutoa usari wa burewa treni na wa mabasi iliwatu warudi kwenye maeneowalikozaliwa kupiga kurazao.

    U c h a g u z i h u o p i ailifanyika wakati kukiwana udhibiti mkubwa wauhuru katika kipindi chamiezi kumi na moja tangualipopinduliwa Dkt. Morsi.

    W a k a t i w o t e h u ou m e s h u h u d i w a

    ukandamizaj i mkubwawa wafuasi wa Udugu waKiislamu huku mamia yawafuasi wake wakiuliwakatika mapambano na vikosivya usalama.Wafuasi waMorsi walisusia uchaguzihuo.

    Bw. Ibrahim Mahlab,ambaye n d iye W azir iMkuu wa nchi hiyo kwasasa, ataendelea kushikilian af as i yake h ad i pa leutakapofanyika uchaguziwa Bunge unaotazamiwak u f a n y i k a b a a d a y akuidhinishwa katiba mpyaya Misri.

    Wachambuzi wa masualaya siasa za Misri wa hofu

    kwamba kwa mamlakaaliyo nayo sasa Rais Al- Sisi,atatumia mamlaka yakekuwaumiza wananchi hasawapinzani.

    H i v i s a s a W a m i s r iwanatarajia kuwa serikaliyake itakabiliwa na halimbaya siku za usoni.

    I m e e l e z w a k u w aWamisri wanasubiri kuonakama Al Sisi ataipelekeaMisri katika mkondo wademokrasia au itakuwa kamawanavyosema wapinzaniwake, kuwa ataunda utawalawa kiimla wenye kutawalakwa mkono wa chuma nakuwakandamiza wapinzani.

    Wakati Al- Sisi akiapishwa

    na kuchukua madaraka yakuingoza Misri, Wanachuo 82wa Chuo Kikuu cha Kiislamucha al-Azhar nchini Misri,wamehukumiwa kifungocha miaka mitano jela kwakosa la kushiriki katikamaandamano dhidi yaserikali ya nchi hiyo.

    Wanafunzi hao waliotiwam b a r o n i w a k a t i w amaandamano dhidi yaserikali Disemba mwakajana na Januari mwaka huukatika chuo kikuu hicho chaKiislamu, wametakiwa piakulipa faini ya Paundi lakimoja za Misri.

    Hivi karibuni pia watu 112walihukumiwa kifungo cha

    mwaka mmoja jela kwa kilekilichotajwa kuwa ni kufanyavitendo vya ukatili katikamaandamano ya Januari 25dhidi ya serikali ya Cairo.

    T a n g u k u u z u l i w amadarakani aliyekuwa Raiswa nchi hiyo Muhammad

    Morsi mwaka uliopita, ChuoKikuu hicho cha Kiislamucha al-Azhar, kimegeukakuwa uwanja wa machafukokati ya askari wa usalama nawanachuo.

    Mwezi Februari, serikaliyampito ya Misri ilitoa idhini

    ya askari wa usalama kukatika vyuo vya nchkwa lengo la kudhibitna kuwataka wakuvyuo kuwafukuza wanwanaoendesha au kuskatika maandamano dhserikali. (irib.ir)

    RAIS Barack Obama waMarekani amesema kuwaubabe na matumizi makubwaya silaha nchini huko nimambo yanayomsumbuasana katika uongozi wake.

    Kwa mujibu wa mtandaowa irib.ir, Rais Obamaamen ukul iwa akisemakuwa, kushindwa kudhibitivitendo vya kimabavu vya

    utumiaji silaha nchini humoni jambo ambalo limekuwalikimsumbua katika kipindicha uongozi wake na kwambamaafa hayo yanamtia hofu.

    Aliongeza kuwa kitendocha jamii ya Marekanikushindwa kuonyeshaazma ya kuchukua baadhiya hatua za kimsingi zakuziondoa silaha mikononimwa raia, ambao wanawezakusababisha maafa makubwasana ni suala linalosumbuiasana kichwa chake.

    Rais Obama alifafanuakuwa Marekani ni nchi pekeeiliyoendelea duniani, ambayoinakabiliwa na vitendo hivyo

    Obama ashtushwa na kukithiri matumizi ya silaha Marek

    vya mabavu vya utumiajisilaha na kwamba, matukiohayo yamekuwa yakitokeanchini humo mara moja kwawiki.

    Amesema hakuna sehemunyingine yoyote dunianiinayojiri vitendo kama hivyozaidi ya Marekani.

    R a is B arack Oba m e y a s e m a h a y om a c h a c h e b a a d am w a n a u m e m maliyekuwa na silaha kumwanafunzi katika moja ya elimu ya juu Oregon hivi karibuni.

    Rais Barack Obama.

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    6/16

    6 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, Makala

    MOMBASAS er i k a l i y a K en y a

    i m e k a m a t a s h e h e n akubwa ya pembe zandovu zipatazo 228 mjiniMombasa.

    Idara ya Forodha mjiniMombasa, wamekamatashehena ya pembe hizozilizokuwa zikisarishwakutoka nchini Ugandakuelekea Malaysia baraAsia.

    Katika shehena hiyo yapembe za ndovu, pembe114 zilipatikana katikabohari moja inayotumiwana kampuni ya uchukuzi.

    Naibu Kamishna waIdara ya Forodha nchiniKenya, John Changole,amesema mafurushi sabiniya pembe hizo yalikuwa

    yamefungashwa kamas h e h e n a y a s a m a k iw a l i o k a u s h w a n astakabadhi ya kuzisarishashehena hiyo ikionyeshakuwa ni samaki.

    Habari zaidi zinaelezak w a mb a W a l a n g u z iwa pembe h izo , p iawalikuwa wamebebasamaki waliokuwa naharufu mbaya, ambayoh u w a c h u k i z a M b w amaalum wa uchunguzi,kulingana na msemajiwa shirika la ulinzi wawanyapori nchini Kenya,Paul Udoto.

    Pembe za ndovu zinasoko kubwa sana baraniAsia, ambako hutumiwakutengenezea vitu vyaurembo.

    S er i k a l i y a K en y ailiharamisha biashara zapembe za ndovu tangumwaka 1989. Lakini katikamiaka ya hivi karibunikumekuwa na ongezekokubwa la uwindaji haramuwa ndovu.

    Bw. Udoto al isemastakabadhi kuhusu pembehizo zilionyesha kuwa

    zilikuwa zilisafirishwakutoka Uganda kwa gariJuni 12 mwaka huu.

    B a a d a e g a r i h i l oliliegeshwa katika kituokimoja cha mafuta mjiniMombasa, kilichopo eneola kibiashara ambakom z i g o u l i p a k u l i w akuingizwa bandarini.

    Hata hivyo Bw. Udotoalisema thamani ya pembehizo bado haijabainika.

    Wakati hali ikiwa hivyo,Shir ika la Wanyamapori Kenya limesemamsako unaendelea dhidi

    Shehena ya Pembe za ndovu 228 yakamatwa Keny

    ya wamiliki wa pembehizo, kuhu ikielezwakuwa mshukiwa mmojaalikamatwa katika tukiohilo.

    K u k a m a t w a k w ashehena hiyo kubwa ya

    meno ya ndovu kunaakisimadai ya uta f i t i wamashirika yanayopiganiakusitishwa uuzaji wapembe za ndovu, kuwabandari za MombasaKenya, Togo na Dar Salaam

    T a n z a n i a z i mek u w azikitumika kusafirishapembe za ndovu kutokak o t e b a r a n i A f r i k akuelekea bara Asia.

    Mahitaji makubwa yapembe za ndovu na bidhaa

    zitokanazo na penchini China na maya Mashariki ya mndio yanaochochea mya tembo katika mbuhifadhi mbalimbali bAfrika.

    BAADHI ya familia zaabiria waliokuwemokatika ndege ya MalaysiaMH370 i l iyotoweka,wameanza kampeni yakuchanga dola milioni

    5 ili kumzawadia mtuyeyote a takayeteguakitendawili cha kutowekandege hiyo miezi mitatuiliyopita.

    Familia hizo zimesemakuwa, kampeni h iyoi t a f a n y w a k u p i t i amatandao wa kukusanyafed h a , l en g o l i k i w ani kuwashawishi watukutokeza kutoa taarifazaidi kuhusu ndege hiyo.

    N d e g e h i y oa i n a y a B o e i n g 7 7 7iliyotengenezwa Marekani,i n a a m i n i k a k u w ailianguka katika Bahari ya

    Hindi lakini uchunguzimkubwa uliofanyika,haukuonyesha dal i l izozote wala mabaki yandege hiyo, jambo ambalol i m e w a p a w a s i w a s imkubwa familia wa abiriawaliokuwa katika ndegehiyo.

    Australia ambayo nimoja ya nchi zilizoongozakatika kuitafuta ndege hiyokatika pwani ya Masharikiya nchi hiyo, pamojana Malaysia zimeahidikuendelea kuitafuta ndegehiyo.

    Wakati ndege hiyo

    Atakayefchua ilipo Mayalsia Air Line kupewa zawainatoweka, ilikuwa naabiria wapatao 240 wengiwao wakiwa ni ra iawa China. Inaaminikakwamba ndege h iyoilianguka baharini baada

    ya kutoweka kwenye rada.H a t a h i v y o h i v ikaribuni Waziri Mkuu wazamani wa Malaysia Dkt.Mahathir Mohammad,alisema Shirika la Kijasusila Marekani CIA linachamaelezo muhimu kuhusuhatima ya ndege hiyo.

    K a t i k a t a a r i f aaliyochapisha kwenyeweblogu yake siku yaJumapil i, Dkt. MahathirMohammad alisema CIAna Shirika la Marekanila Boeing lililotengenezandege hiyo, kwa pamojawanacha maelezo kuhusu

    kutoweka kwake.Aidha Dkt. Mahathiralieleza kushangazwakwake na vyombo vikubwavya habari duniani ,kushindwa kufuatilia kwakina kadhia ya ndege hiyo.

    Dkt. Mahathir alisemakuna uwezekano mkubwakwamba CIA iliiongozandege hiyo kwenda mbalina kuiweka katika mfumowa kujiendesha yenyewekisha ikatua eneo la siri naalama zake za MalaysianAirlines kuondolewa.

    Ndege hiyo ilitowekaMachi 8 mwaka huu,

    ikiwa na mamia ya abiriai l ipokuwa inaelekeaBeijing, China kutokaKuala Lumpur Malaysia.

    Tangu wakati huo hadisasa ndege hiyo ya kisasa

    aina ya Boeing 777-2haijaonekana na hataarifa zozote mahalilicha ya juhudi za kuitkwa kutumia teknolokisasa kufanyika.

    Al Arabyia NewsKWA mara ya kwanzakatika historia, ibaday a K i i s l a m u n akisomo cha Qurankimesikika VaticanJumapil, zikiwa ni

    ji t ihada za PapaFrancis kujar ibukuleta amani katiy a W a i s r a e l n aWapalestina.

    Papa Francis alitoamwaliko kwa Rais waIsrael, Shimon Peresna Rais wa Mamlakaya Palestina MahmoudAbbas, baada yakufanya ziara wikiiliyopita katika nchiza Jordan, Israel,Mamlaka ya Palestina.

    Kwa mara ya kwanza katikahistoria Quran yasomwa Vatic

    Katika mkutwao Rais Abbas, Pna Papa Franciswalipangwa kuwviongozi wa dinKiyahudi, KikristKiislamu

    Maofisa wa HSee walisema km k u t a n o hhautakuwa na ageza kisiasa zaidhaja ya kupatikamani kati ya Isna Palestina.

    Vat ican i l iahkuonyesha moja moja mjumuiko duniani kote.

    Hata hivyo tuhilo litaonyeshwakifupi .

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    7/16

    7 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, Tangazo

    The University College of Education invites qualied applicants to apply for rst degree courses in the following specializations:Bachelor of Science.

    1. Computer Science 2. Information TechnologyBachelor of Science with Education.

    1. Physics & Mathematics 2. Chemistry & Biology 3. Physics & Chemistry

    4. Computer Science & Mathematic 5.Chemistry & Mathematics 6. Biology &Geography7. Information Communication Technology

    Bachelor of Arts with Education. 1. English & Kiswahili 2. English & Geography 3. English & History 4. English & Islamic Studies 5. Arabic & Kiswahili 6. Arabic & English 7.Arabic & Geography 8.Arabic & History 9. Arabic& Islamic Studies 10. Kiswahili & Geography 11. Kiswahili & History12. Kiswahili & Islamic Studies 13. Islamic Studies & Geography14. Islamic Studies & History15. History & Geography 16. Counseling and Psychology.

    ADMISSION REQUIREMENTS:Applicants should:-

    1. have at least, a m inimum of two principal passes at Tanzania Advanced Certicate of Secondary Education (ACSE) in the appropriate subjects or equivalent qualications;2. Be a full time student.

    FEES

    Tuition

    1,800,000/= (1200US $) per annum

    Physics & Mathematics

    Chemistry & Biology

    Physics & ChemistryChemistry & Mathematics

    Biology & Geography

    1,500,000/= (1000US $)

    Computer Science & Mathematics

    Information Communication Technology

    Computer Science

    Information Technology

    English & Geography

    Kiswahili & Geography

    Arabic & Geography

    Arabic & History

    Kiswahili & History

    Islamic Studies & History

    English & History

    Islamic Studies & Geography

    History & Geography

    Counseling and Psychology.

    1,300,000/= (870 US $) per annum

    Arabic & Kiswahili

    Arabic & English

    Arabic & Islamic Studies

    English & Islamic Studies

    English & Kiswahili

    Kiswahili & Islamic Studies

    Accommodation 180,000/= (120 US $) per annum

    Graduation 30,000/= (20 US $)

    Students Union 10,000/= ( 7 US $)

    Computer services 40,000/= (27 US $) per annum

    Registration 40,000/= (27 US $)

    Medical Care 30,000/= (20 US $)

    Application Form 25,000/= (17 US $)

    Meals 1800,000/= (1200US $) Optional

    Stationeries 200,000/= (134 US $) OptionalThe College reserves the rights to change these fees at any time.

    Application forms are obtained from: University College of Education- Website: www.ucez.ac.tz Academic Ofce, University College of Education Zanzibar at Chukwani

    P.O. Box 1933 Zanzibar Mobile: 0773774838 OR 0772912181 Email: [email protected] forms are also available from the following ofces;- Africa Muslims Agency, MabaoniChake Chake Pemba: Tel: 024-2452337 Africa Muslims Agency, Tabata - Dar es Salaam: Tel: 022-2807843

    UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION ZANZIBARINTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA KHARTOUM

    STUDENTS ADMISSION 2014/2015

    RE-ADVERTISED

    Application fee should be paid through the following account numbers:-(i) The peoples Bank of Zanzibar (Islamic Banking Division) Account No. 5112010000

    Mwanakwerekwe, Zanzibar(ii) Barclays Bank Account No. 003 4000387 Zanzibar Branch.

    All completed forms tog ether with payment receipts should b e returned to the Academic University College of Education Zanzibar.

    N.B: All Applicants intending to pursue Bachelor of Arts with Education in Arabic or Islamic Swith another combination and those did not obtain at least grade D in English at OCerticate will be required to attend language prociency test.

    The deadline for receiving and returning applications forms will be two wafter the Form Six results.

    For further information please contact:

    Mobile: 0776463405E.mail:[email protected]

    OrVisit the main campus at Chukwani, West District, Unguja,

    kilometers from the new House of Representatives Building.

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    8/16

    8 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, Makala

    Masheikh Tanzania tieni vichwa majKWA mara nyingine,w a tu w a s io ju l ik a n awamemuuwa Sheikhmwingine nchini Kenya.

    Mara hii aliyeuliwa niSheikh Sheikh MohamedI d r i s a l i y e k u w aMwenyekiti wa Baraza laMaimamu. Sheikh Idrisaliuliwa kwa kupigwarisasi alfajiri akitokakuswali swalat Fajirkatika msikiti uliokojirani na nyumbani kwakemjini Mombasa. SheikhIdris anakuwa Sheikh wanne kuuliwa Mombasa.Wengine waliouliwakama yeye ni SheikAboud Rogo Mohammedaliyeuliwa Agosti 2012,Sheik Ibrahim Ismael

    (Oktoba 2013) na SheikhS h e i k h A b u b a k a rSheriff alias Makaburi,aliyeuliwa Aprili mwakahuu 2014.

    Kiasi wiki mbil i tuz i l i z o p i t a , k i o n g o z imaarufu wa Kiislamu,S h e i k h A b d i r a s h i dMohamed Jelani, nayealiuliwa kwa kupigwarisasi katika mji wa Garisa,Kaskazini Mashariki mwaKenya usiku wa Jumapili.

    Sheikh Jelani aliuawamajira ya saa 2:45 usiku,zikiwa zimepita saa 24tu tangu kuuliwa mtu

    mmoja na wengine wannekujeruhiwa vibaya katikashambulio la gurunetimjini humo.

    Mtandao wa gazeti laThe Standard la Kenya,ulimnukuu Kamanda waPolisi Garissa, CharlesKinyua, akisema kuwaS h e i k h A b d i r a s h i d ,alipigwa risasi kadhaa nawatu wasiojulikana zikiwani mita chache kutokaMsikiti wa Khalifa uliopojirani na Hospitali Kuu yaGarissa, akiwa ametokakatika swala ya Isha.

    Kamanda huyo wa polisialisema muuaji wa Sheikhhuyo bado hajafahamika.

    K a m a k a w a i d a ,inadaiwa kuwa hataSheikh Idris ameuliwa nawatu wasiojulikana nakwamba Polisi wanafanyauchunguzi. Hata hivyotoka kuuliwa kwa SheikhRogo, hakuna uchunguziwa polisi uliokamilikan a k u s e m a n i n a n iwanahusika na mauwajihayo.

    Lakini wakati vyombovya dola vikija na kauliza kuhusika kwa watuwasiofahamika, wananchi

    Na Omar Msangi

    wa Kenya wamekuwawakiituhumu serikalikuhusika na mauwaji hayokupitia kikosi chake chakupambana na ugaidi-Anti-Terror Police Unit(ATPU).

    Akizungumzia mauwajiya Sheikh Aboud Rogo naSheikh Ibrahim Ismail,kabla ya mwenyewekufikwa na maafa hayohayo, Sheikh AbubakarS h e r i f f M a k a b u r i

    Kwa upande mwinginealisema kuwa maadhaliATPU wanapewa mafunzona kutumwa kazi kupitiampango wa Marekani naIsrael, basi wanaopasakulaumiwa ni Marekani naserikali ya Kenya iliyotoakibali kwa raia wakekuuliwa.

    WHO killed ROGOand WHY, taarifa mojailiyochapishwa na TheKenyan DAILY POST

    Intel l igence Services(NSIS), imeiambia TheKenyan DAILY POST kuwaSheikh Rogo aliuliwa kwasababu anatoa mahubiriyanayohatarisha masilahiya ubeberu wa MarekaniAfrika Mashariki.

    Kwa maneno yake TheKenyan DAILY POST,lilisema:

    A credible source fromthe National SecurityIntel l igence Services

    Paradise Hotel, Mominayomilikiwa na kamya Israel . Ni kashambulio hilo ilidpia kuwa kulifanjaribio la kuidungua nya abiria ya Israel ikMombasa kwendaAviv. Katika shamhilo la Kikambala, PrHotel, watu 15 waliuw a k i w emo W a i swawili.

    K u t o k a n a

    alikuwa akisema kuwawahusika wa mauwaji yaMasheikh na WaslamuKenya ni Anti Terror PoliceUnit kwa kisingizio chaugaidi.

    ATPU walikuwa hapa,kwa nini walikimbia?Kwa nini wanatuuwa,wakati hatujauwa mtu?Polisi wanauwa Waislamuwasiokuwa na hatia.Alisema Makaburi sikualiyouliwa Sheikh IbrahimIsmaili.

    katika mtandao ilihoji.Katika maelezo yakeikasema kuwa zipo taarifakuwa Sheikh Aboud Rogowas killed by Americanspy agency CIA with thehelp of elite Israeli spiesfrom the Mossad over hisinvolvement in terrorismactivities in Mombasa.

    Likitaja chanzo chakecha habari, The KenyanDAILY POST, likasemakuwa a credible sourcefrom the National Security

    ( N S I S ) w h o l e a k e dinformation to the DAILYPOST, the radical Islamiccler ic who has beenpreaching against Americaand Jews imperialism inthe world, was gunneddown on Monday in orderto protect America andIsraels interest in EasternAfrica.

    Sheikh Rogo alikamtwamwaka 2002 akituhumiwakuhusika na kulipuliwakwa hoteli ya kitalii-

    kukosekana kwa ushwa kumuhusisha ShRogo na shambulioaliachiwa huru.

    Taarifa za kiuchunzinaonyesha kuwa baada ya shambu lKikambala, makacw a M o s s a d w a lMombasa wakitaushahidi wa kuwahuWaislamu na shamhilo wakiwaunganismtandao wa Al Qaid

    Inaendelea

    SHEIKH Ponda. SHEIKH Kundecha. Maalim Bassaleh. SHEIKH Mohamed

    AL-RHUUM Aboud Rogo AL-RHUUM Ibrahim 'Rogo' AL-RHUUM 'Makaburi'. AL-RHUUM Samir

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    9/16

    9 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, Makala

    Masheikh Tanzania tieni vichwa majInatoka Uk. 8

    Kwa mujibu wa makalana uchambuzi wa GordonThomas (10 / 12 / 2004)aliyoipa anuwani ya:Mossad - The WorldsMost Efficient KillingM a c h i n e , a n a s e m akuwa kazi i l iyokuwaimewapeleka makacherowa Mossad Mombasabaada ya tukio la Kikambalani moja tu: kuwatafuta nakuwauwa wahusika watukio hilo. Hata hivyozipo taarifa na uchambuzimw i n g i u n a o n y es h akuwa kilichodaiwa kuwani shambulio la kigaidiKikambala pamoja nakile kilichodaiwa kuwani jaribio la kuidunguaBoeing 757 ya ArkiaAirlines, yalikuwa mambo

    ya kupanga ili kupatakisingizio cha kuanzishainayoitwa vita ya ugaidiKenya na Afrika Masharikikwa ujumla. Soma: MossadBombs Paradise Hotelin Mombasa-The preciseanatomy of an aack thatonly looked like it wastargeted on Jews.

    Hivi karibuni BBCwametoa makala juu yaile operesheni iliyopewajina la Operation Cynide.Katika makala hiyo-BBCVideo Documentary-HowIsrael commied the coldblooded mu rder of US

    sailors, inaelezwa jinsindege za kijeshi za Israelzilivyoshambulia meli yakijeshi ya Marekani USSLiberty, June 8, 1967 ili ipatekuwasingizia Waarabu nakuipa kisingizio Marekanikuwapiga Waarabu. Katikashambulio hilo la kupanga,wanajeshi 34 wa Marekaniwaliuliwa na wenginezaidi ya 170 kujeruhiwa.Tazama pia Leaving theUSS Liberty Crew Behindil iyoandikwa na RayMcGovern.

    Hil i ni moja tu yamatukio yanayothibitisha

    kwamba mashambuliokama haya yanayodaiwa yakigaidi, wenyewe wanaitaFalse Flag Terror Aackshufanya kupangwa ilikupata sababu.

    The Salvador OptionH i v i s a s a k a t i k a

    Iraq na Pakistan, kilau c h a o k u n a r i p o t i w amashambulizi ya kigaidib a i na ya Wa su n i n aWashia. Shia wanalipuana kuuwa Sunni naSunni nao halikadhalikahufanya hivyo katika kilekinachoonekana kamamachafuko ya kidini

    baina ya makundi hayomawili. Lakini hali hiyokwa Iraq haikuwepo kablaya Marekani kuvamianchi hiyo. Haikuwepopia Pakistan kabla yaMusharraf kutumiwakatika iliyoitwa vita dhidiya ugaidi.

    Hii ni kuonyesha kuwambegu hii ya machafuko

    imefanya kupandikizawa.W a k a t i M a r e k a n iilipotaka kuivuruga Iraqbaada ya uvamizi ilianzishaoperesheni iliyoitwa TheSalvador Optionkwamujibu wa taarifa ya jaridala Newsweek (2005), huuulikuwa ni mpango wakuunda kikosi cha wauwajiwa Kishia (assassinations qu a d s ) n a k u w a p amafunzo na maelekezoya kuuwa viongozi waKisuni. Huo ulikuwa niutaratibu wa uhakikakwamba kwa muda mfupiwatakuwa wamefanikiwakuingiza nchi hiyo katikamauwaji na machafukoyasiyo na mwisho. MaanaShia wakiuwa Sunni, watuwa Sunni nao watauwaShia kulipiza kisasi. Ndiyohali inayoendelea Iraq naPakistan.

    Mpango huo umeitwaThe Salvador Optionkwani ndio uliotumikaEl Salvador katika miakaya 1980s wakati wa RaisRonald Reagan katikakukabiliana na vikundivya wananchi wazalendow a l i o o n ek a n a k u w akikwazo kwa masilahi ya

    Marekani katika nchi zaAmerika ya Kusini.

    Kwa mujibu wa makalaya mwandishi Al lanNairn katika makalayake Behind the DeathSquads (1984), mamiakwa maelfu ya watu wasiona hatia waliuliwa nadeath squads ambavyoviliundwa na kuwezeshwa

    na CIA katika El Salvador,Honduras, Nicaragua,G u a t e m a l a n a n c h inyingine za Amerika yaKusini.

    Kuna kila sababu yakuwa na wasiwasi kuwahuenda vikundi kamah i v y o v y a m a u w a j ivishaundwa kwa Kenyaambayo inadaiwa kuwai mec h a g u l i w a k u w amlango wa kuingil iaAfricom Afrika Masharikina pia mlango wa kuingizavita dhidi ya ugaidi.

    Kama hivyo ndivyo,kinachotarajiwa katikamauwaji haya ni kuwaitafika mahali Waislamuwatasema, tumechoka,s a s a b a s i k w a n i n ituendelee kuuliwa bilaya kosa. Watafanya lolotewanaloweza kufanya,kama ni kulipua vituo vyapolisi au shabaha zozoteza kiserikali. Wanawezapia kushambulia shabahaza taasisi za Kikristo.Ikitokea hivyo, vikosivya uuwaji vilivyopewamafunzo (ATPU) navyovitazidisha makali vikidaikupambana na magaidi,hali itakwenda mpaka

    itakuwa ni mchafukoge.Machafuko yasiyokoma.Na hilo ndilo linalotakiwa.Kenya na Afrika Masharikiiwe kama Iraq na Nigeria.Hiki ni kitendawili tatakwa Waislamu.

    Lakini kukamatwak w a r a i a w a I s r a e l ,Jabareen Ahmed, na mtuanayeshukiwa kuwa nimshirika wake, Mohamed

    Salim, mwenye uraiawa Morocco, wakidaiwakuwa ni wakufunzi waAl Shabab, nayo inatoaujumbe mwingine. Wawilihao walikamatwa Februari25 baada ya polisi kupokeataarifa kwamba walikuwaw a n a p a n g a k u fa n y amashambulizi ya kigaidinchini humo. Kwa mujibuwa taarifa za gazeti la DailyNation la Kenya, watu haowalifunguliwa mashitakaAlhamisi Juni 5. Polisiwamedai watuhumiwahao walikutwa na ushahidiwa vifaa kadhaa vyakompyuta, mikanda yavideo na picha, yakiwemo

    m a e l e z o y a n a m n aya kuunda na kulipuamabomu na video zam a f u n z o y a k i j e s h iz i n a z o h i s i w a k u w azilirekodiwa Somalia.W a t u h u m i w a w o t ewawili walishitakiwa kwakuwa wanachama wa al-Shabaab na kuhusishwana mashitaka menginekadhaa yanayohusiana naugaidi.

    Ilielezwa kwamba hivikaribuni, Ahmed na Salimwalikiri kosa la kuingiaK en y a k i n y u me c h asheria na walihukumiwamwaka mmoja jela kilammoja . Kes i zao za

    ugaidi zinazowakzimepangwa kuendJuni 18.

    Japo MahakamKenya imewafungmashitaka kwa madkuwa ni wafuasi wShabab walioingia Kkutafuta wafuasi, linabidi tulitizame namna nyingine. Hh a w a w e z i k u w a

    Shabab wa kweli. Hwatakuwa ni kamakachero wanaotumkuwaghilibu vijanKiislamu kuwa kuna Somalia na kuwawaende huko au wavitendo vya kigaidi nmwao kama namnkupigania haki za Uisau kufanya Jihad. Hndio wale makacherkufanya entrapmili kitisho cha ugkiendelee kudumishwkutoa fursa kwa mabkuja na kuweka mipyao ya kutuzongkutuzinga na mitayao ya kikacherokijeshi kupitia AfriTunatakiwa tujihadnao.

    La kuzingatia hakuwa maadhali Kenmlango tu wa kuinlakini mkakati ni AMashariki , basi tkuwa ya MombasGarissa yanakujayanaweza kuja katikailiyokwisha kujitokemadai ya kuuliwa viowa Kikristo na kuchomoto makanisa. Lmatokeo yatakuwayale.

    SHEIKH Farid Hadd SHEIKH Azzan Hamdan

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    10/16

    10 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, MAKALA

    M W E N Y E Z I M u n g uMtukufu ameiteremshaQur'an kwa Mtume wakeMuhammad (saw), i l i

    kuwaongoza wanadamukutoka kwenye ukafiri,u j a h i l i n a u p o t o v u .M w e n y e z i M u n g uanasema, "Hiki ni Kitabutulichokiteremsha kwakoili uwatoe watu katika gizauwapeleke kwenye nuru,kwa idhini ya Mola wao,uwafikishe katika njia yayule Mwenye kushindaMwenye kusifiwa (Nayeni Mwenyezi Mungu)Qur(14:1).

    Kitabu cha MwenyeziMungu kina visa vingi vyaManabii waliotangulia namataifa yao. Vingi kati yavisa hivyo vina maelezo yakina na wazi kuhusu jinsimataifa mengi yaliyotanguliayalivyoangamizwa kwa

    s a b a b u y a k u m p i n g aM w e n y e z i M u n g u n akuwakana Mitume wake.

    Miongoni mwa Manabiih a o n i Y u s u p h ( a s ) ,ambaye ana kisa kirefukinachosisimua, ambachokimesimuliwa kwa Ummawa Muhammad (saw) kupitiaQur'an Tukufu.

    Makala hii inajaribukuangalia kwa ufupi maishaya Nabii Yusuph (as); lengola visa vya Mitume katikaQur'an, umuhimu wa visahivyo leo, na mafunzotunayoweza kuchota kwenyevisa hivyo; kama watu binafsina kama Umma. Makalaitazingatia zaidi maeneomuhimu ya kisa cha NabiiYusuph (as).

    Lengo na umuhimu wavisa vya Manabii:

    Kabla hatujaingia ndanikatika maisha ya NabiiYusuph, ni muhimu sanakutafakari na kuangaliam a d h u m u n i h a s a y asimulizi kama hizo kuwekwandani ya Qur'an. Visa vyaManabii siyo ngano tu zak u f i k i r i k a . M w e n y e z iMungu hakuvibainisha kwaMuhammad (saw) kamataarifa isiyo na umuhimuwowote.

    Bila shaka, kwa sababuya kuwa Umma wa mwisho,kushindwa kwetu kuzingatiakwa usahihi malengo hasaya visa hivi, kutatupelekakubaya na kutufanya kuwamiongoni mwa wale wajinga.

    M w e n y e z i M u n g u

    amesimulia matukio mazitoyaliyotokea maelfu ya miakailiyopita kwa Muhammad(saw), ili sisi kama Ummatuweze kuchota mafunzo.Hakun a mm o ja wetu ,hata Mtume mwenyewe,angeweza kufahamu kisahiki cha Nabii Yusuph (as),kama Mwenyezi Munguasingetusimulia:

    "Hizi ni katika habariza siri tulizokufunulia.."Qur(12:102)

    Ufunuo kama huo,unatoamafunzo na ukumbusho kwaUmma kubaki katika njia yahaki,kuhusiana na maisha yahapa duniani na kukwepa

    Kisa cha Nabii Yusuph - Lengo na umuhimu wake leSaid Rajab

    maangamizi ya mataifayaliyopita. Hadithi hizi zaMitume zina umuhimumkubwa sana katika maishaya leo. Ukiacha maendeleo yaSayansi na Teknolojia, asili yamaisha ya binadamu inabakikuwa ile ile.

    B i n a d a m u w a l e owanatenda maovu kamayale yaliyotendwa na watuwa mataifa yaliyopita. KamaUmma leo utashindwakuwaondoa watu kutokakwenye giza la Kufru,ba si Umma hu o uwe nahakika kwamba unasubiri

    maangamizi kama ya mataifayaliyotangulia.

    Unabii wa Yusuph (as):Maisha ya Nabii Yusuphndani ya Qur'an Tukufu ni kisakirefu sana kinachosisimua.Ni kisa kinachobainisha sifa,ambazo ni chachu muhimuya mafanikio katika maishaya hapa duniani na keshoAkhera, ikiwa ni pamojana kuonyesha tabia yabinadamu ya kurushia nalawama, ambayo hatimayake huwaletea maafa waowenyewe.

    Hadithi hizi za Manabiizinahusisha pia udhaifu wakibinadamu kama wivu,chuki, kuj iona, uongo,

    udadisi, ukatili, kijicho,hofu, pamoja na sifa njemaza kibinadamu kama subira,uaminifu, ushujaa, uadilifu,mapenzi na huruma.

    Nasaba ya Nabii Yusuphni ya Mitume. Alikuwa nimtoto wa Nabii Yaqub(as),babu yake alikuwa MtumeIshaq (as) na babu yake mkuualikuwa Nabii Ibrahim (as).Kwa hiyo, haikuwa jambola kushangaza kwa babayake, wakati alipofunuliwakwamba Yusuph (as) alikuwaanaandaliwa kuwa Mtumewa Mwenyezi Mungu.

    Kisa cha Nabii Yusuph( a s ) , k i n a a n z a k w a

    Bishara ya Utume wake,kisha kinaingia kwenyemlolongo wa mitihani namateso mazito na hatimayekinaisha kwa mafanikio nautukufu, ambapo Yusuph(as) anakuwa mtawala nchiniMisri. Hadithi inaanziakwenye ndoto inayomhusuyeye mwenyewe na kuishiakwenye tafsiri ya ndoto hiyo.

    Njama za kumpotezaYusuph (as): Yusuph (as),ambaye ndiye aliyekuwakipenzi cha baba yake, aliotandoto kwamba nyota kumina moja, jua na mwezi vyote

    vilikuwa vikimsujudia.Alimsimulia baba yakekuhusu ndoto hii, ambapoYaqub (as) alitambua maramoja kwamba hii ilikuwa niishara ya Mwenyezi Mungukuhusu Unabii wa Yusuph(as).

    Mzee Yaqub (as) alimuonyakijana wake asiwaambiendugu zake kuhusu ndotohiyo, kwa sababu alihofiaingezidi kuleta wivu nahusuda kutoka kwa ndugu,ambao tangu awali walikuwawakimuonea kijicho Yusuph( as ) , ambaye a l ikuwaakipendwa sana na baba yao.

    Ndugu zake Yusuph (as),walikuwa wakimchukia

    sana kwa sababu ya kulekupendwa kwake na baba yao.Walihisi Yusuph (as) alikuwaakiwapora mapenzi ya babayao. Hawakujali kabisakwamba tabia na mwenendomwema wa Yusuph (as),ndizo zilizokuwa sababu zamapenzi haya ya kina kutokakwa baba yao.

    Kwa hiyo ndugu zakehao wakafanya njama yakumpoteza Yusuph (as),ili waweze kupata waomapenzi yote ya baba yao.Kwa udanganyifu mkubwa,wal im ch ukua Y usuph(as) kwenda naye mbalina wakamtosa kisimani

    na kumwacha peke yake.Waliporudi nyumbani,wakamd an gan ya babayao kwamba Yusuph (as)ameliwa na mbwa mwitu wajangwani na wakampa kanzuyake, ambayo waliilowekakwenye damu ya kondoo.

    Baada ya kupokea habarihizi za kusikitisha kuhusukijana wake aliyempendazaidi, Mzee Yaqub (as)hakuwaamini watoto wakewale. Mwenyezi Munguanatoa somo kubwa sana kwaUmma wetu kupitia majibuya Yaqub (as):

    "Wakaja na kanzu yakeina damu ya uwongo.Akasema: "Bali nafsi zenuzimekushawishini kutendakitendo. Lakini subira ninjema; na Mwenyezi Mungundiye wa kuombwa msaadakwa haya mnayoyaeleza"Qur(12:18)

    Katika hasara kubwakama hiyo, Mtume waMwenyezi Mungu Yaqub(as) ametuonyesha jinsi yakukabiliana na hali hiyo.Mzee Yaqub (as) hakukatatam aa ya msaad a waMwenyezi Mungu, walahakulalamika kutokana najanga zito lililomka. Badalayake, alifanya subira hukuakiomba hifadhi na msaadawa Mwenyezi Mungu.

    Bila shaka kuna mafunzomakubwa kwetu kutokakwenye kipande hiki chahadithi kutoka Surat Yusuph.Mwenyezi Mungu anasema;"Na Mwenyezi Mungu niMjuzi wa wanayoyatenda"Qur(12:19).

    M w e n y e z i M u n g uMtukufu alikuwa anafahamukwa kina kila kilichokuwakinatokea na angewezakuwazuia wale waovuwasimdhuru Yusuph (as).Hata hivyo, kutokana nahekima na busara yakekubwa, aliacha hilo litokee iliuamuzi wake wa kumfanyaYusuph (as) kuwa mtu

    mkubwa, uweze kukwa wakati aliopanga.

    M w e n y e z i M uMtukufu aliwapa wahwale mud a mf upili hatimaye Yusuph

    afanikiwe na awe na majuu ya taifa lake, na swale ndugu zake.

    Mafunzo tunayopatTumeshuhudia umwmkubwa wa d amWaislamu kila kondunia. Kuanzia AfAsia, Mashariki ya KUlaya.Tumeshuhudia nMisri dikteta aking'okwa gharama ya damWaislamu, lakini juziameingia madarakani dmwingine, kupitia uchwa kiini macho.

    N c h i n i Y e mtumeshuhudia Waisw a k i a n g a m i z w a makombora ya ndege k

    visingizio vya ugaidi. SoWaislamu wanauawasiku bila makosa yoyoteAfghanistan na Palemauaji ya Waislamu kvisingizio vya ugaidi mtindo wa maisha. Najir ani zet u Kenya, il iMkenya safi, basi lauach e Uis lamu wkinyume chake, utauakupitia visingizio!

    Lakini pamoja na yotesi kwamba Mwenyezi Mhafahamu kinachotokmadhila yanayowawaja wake wema wanaS h e r i a y a k e i s i mhapa duniani. Bila sMwenyezi Mungu anamuda tu hawa madhwaendeleze udhalimulakini mwisho wake ataushindi waja wake wkatika muda aliopangaMadhalimu watasaamri tu! Mwenyezi Matawapa ushindi Waiskama alivyowapa usNabi i Y usuph ( asMuhammad (saw).

    K a t i k a k i p i n d i Da'awah ya Muham(saw) kule Makkah, ya vitimbi vya Maqudhidi ya Waislamu wa Mwenyezi Mungu Mtalimpa ushindi Mtumedhidi ya Maquraysakawaweka Maqurayshya mamlaka ya Uislam

    Kwa h iyo h ata Waislamu hawanaisipokuwa kuwa na sn a u v u m i l i v u k amitihani mizito na mmakubwa wanayoLazima waendeleze juza kusimamisha diMwenyezi Mungu kardhi. Siyo kukata tna kuleta visingiziokukwepa wajibu.

    Juh udi za kwe li knjia ya Mwenyezi Mutii kwa Sheria ya MweMungu, tawaqqal na sni mambo muhimu sanushindi wa Waislamu(Itaendelea)

    Wanafunzi wa Madrasa Imania Mambo Mgati, Mtae Lushoto, wakiwatoea kwenye shereheza Maulid yalifanyika katika kitongoji cha Kukai hivi karibuni.

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    11/16

    11AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, Makala

    WIKI iliyopita serekaliy e t u y a J a m h u r iy a M u u n g a n o w aT a n z a n ia , im e w a p auraia wakimbizi waKisomali wenye asili yaKibantu 1,514 waliokuwawanaishi Chogo, Wilayaya Handeni, Tanga. Nijambo la kupongezwana huo ndio ubinaadamuhaswa, tuwasaidie wenyematatizo kwa hali namali.

    Wasomali wamekuwakatika vita kwa takribanmiongo miwili sasa, ni vita

    visivyoisha, wakiuwanawao kwa wao na baadhiya siku wakipigana namajeshi ya AMISOM,kutoka Uganda, Kenya namataifa mengine ya AfrikaMashariki.

    Lakini wanajeshi wotehao wakisaidiwa na droneza Kimarekani badohawajaweza kuzima vitaila kinachoonekana nikuzidisha mgogogro huo,tena wanaonekana kanakwamba wanachocheamoto na wala si kuuzimakama kusudio lao, ikwa ni

    kweli wana kusudio hilo.Wakati sisi tunatoa

    v i t a m b u l i s h o k w aW a s o ma l i w en z et u ,Kenya wanawafukuza nakuwarudisha Mogadishuna Kismayo, ni kwamadai ya visa vya Ugaidiwanavyowashutumu,kwamba mabomu namiripuko yanayotokeamara kwa mara Mombasna Nairobi, basi serekaliya Kenya inasema hao niWasomali.

    T u n a e l ez w a k u w a

    Roho za Wasomali zisije geuzwa kafar

    Na Rashid Abdallah

    Pol is i nchin i Kenyaw a m e t u h u m i w akuwabaka na kuwazuiliak i h o l e l a t a k r i b a nwakimbizi 1,000, hukuwakijidai kupambana naugaidi.

    Kwa mujibu wa shirika lakutetea haki za binadamula Human Rights Watch,pol i s i kutoka v ikosivinne waliwadhulumuwakimbizi wa Kisomalina wa Ethiopia pamoja nawatu wengine waliokuwawanatafuta hifadhi nchiniKenya katika mtaa waEastleigh, mjini Nairobikati ya Novemba naJanurai mwaka jana.

    W a l i o s h u h u d i a

    vitendo hivyo pamojana wakimbizi wenyewe,waliambia shirika la HRW,kuwa polisi wa kikosi chaGSU, wa kupambana naghasia, polisi wa kawaidana wale wa utawala pamojana maafisa wa ujasusi,walifanya vitendo hivyo.

    Inasemekana kuwaw a l i w a d h u l u m u ,kuwabaka, kuwapora, k u w a c h a p a n akuwakamata wakimbizik i h o l e l a n a k i s h ak u w a z u i l i a k a t i k a

    mazingira ya kinyama.M o h a m m e d A l i

    mtayarishaji wa makalaya Jicho Pevu kutokaruninga ya KTN hukoKenya. Katika ukurasawake wa facebook aliulizahivi; Alshabab hawajawahik u d a i k u h u s i k a n amiripuko inayoendeleasasa tangu lile la WestGate Mall, nani anauwaWakenya wenzetu?

    M o h a m m e d n imwandishi mchunguzi,tena anapaswa kupewahongera mno na kamautaziangalia makala zakekupitia KTN au Youtobebasi utakubaliana nami ,kuwa ni kweli anauza

    roho katika kuchunguzamambo mbali mbali nchiniKenya.

    Kama umemfahamua n a k u s u d i a k u s emaAlshabab kawaida yaowakifanya tukio hudaikuhusika kama lile laWestigate inasemekanawalidai kuhusika i lasijui kama walidai waokwel i au kuna watuw a l i w a s a i d i a k u d a ihilo, sasa tangu litokeeshambulio la WestigaeMuhammed anasema

    Alshabab hawajadaikuhusika na mashambulioy a n a y o en d e l ea s a s aMombasa na Nairobi,

    akamaliza kwa kuulizas u a l i n a n i a n a u w aWakenya wenziwao?

    Serekali zetu zinakuwazinatumia njia haramukujipatia misaada kutokak w a m a b e b e r u w aKimagharibi. Unaposikiab o m u l i m e r i p u k amtaani Mombasa, huwainawezekana kuwa hatasi Alsabab wala nani,yanafanywa hayo i l iipatikane sababu ya mtuFulani kuzuliwa kahusikamwisho auwawe.

    Kinachofuata wataitav y o mb o v y a h a b a r iw a s e m e w a m e u w agaidi au wanaweza piakusema ameuliwa na mtuasiyejuulika, hapo tayarisababu ya posho kutokaserekali ya Bwana Obamaimeshapatikana. Ndiomaana wanauwa raia waowanaripua mabomu iliwapate misaada mingizaidi ya kupambana naugaidi huku ikiwanufaishawao na wasio na hatiawakiuwawa.

    N a i s h u k u r u s a n a

    serekali yetu kwa kuwapaw e n y e d h i k i f a r a j alakini cha msingi na chakuzingatia Wasomali haoambao sasa ni Watanzaniawasijekuwa ndio roho zaozikawa ndio kafara ya sisikupata misaada mingizaidi kama wafanyavyoKenya sasa.

    N a t u s i j e k u w atunafanya mambo yetusisi kisha tukawazuliaw a o i l i i p a t i k a n esababu ya kuwauwaa m a k u w a f u k u z a ,tumewakaribisha kamab i n a a d a mu we n z e t u

    wenye matatizo yatupasasasa tuwasaidie kwelikweli. Wameshakuwasasa ni Watanzania nasi Wasomali tena hivyokusiwe na ubaguzi dhidiyao.

    Matatizo yao Wasomalin i matat izo ambayonchi yeyote yanawezakutokea sasa cha msingi nikuwasaidia, tusione rahavile watoto na akina Mamawakifa kwa sababu ya njaana ukame au wakifa kwasababu ya risasi zisizona macho, risasi ambazo

    zimshindi l iwa nya AK47 na binaadmwenye akili timlakini mwisho wa

    anawapiga risasi wna wanwake.Vita havina m

    lakini tunao ongozatuna macho, tusiikatika vita na kukuuwa watoto, piganYule mbabe mwenambaye naye ana AKvile, usitoe machuyako kwa watoto wawasio juwa hi l i wlile. Huo ni ukosefhuruma.

    Unapombaka Mwa Kisomali, vuta pkuwa yuel ni mke wadada wa mtu, shanga

    mtu pia ni bibi wa ingekuwa mzazi wakondio anafanyiwa hungejisikiaje? Ni ama karaha, basi ikiwkaraha usiwafanyie Mza watu vitendo ambw e w e M a m a yhutofurahi akifanyUsifurahi tu kumfamtu wewe je vikifankwako itakuwaje?

    Karibuni Watanzwapya ndani ya Tanil iyojaa ki la ainrasilimali lakini wanwake wengi wao wann d a n i y a u ma s i

    uliopiti l iza, karitugawane umasiwa nchi hii. Masavigogo wakinufaikwanyonge wakiendkudhali l iki . Karitugawane umasiwenye nchi wanajkuwa nchi yao ni tajiri utajiri huo hauwoneisipokuwa kwa wachtu walioshikilia usukakuiyendesha nchi yavile wapendavyo wawatakako wao.

    H a t u p e n d i k uBinaadamu akidha

    na kuonewa bila sandio h iv i tuna jak u s e m a p a l e p euwezo napo. Tanzhaiko vibaya saana kamani, hali bado ni skwa kiasi ni tofauLibya, Misr, Somh i v y o t u k i w a kWatanzania kwa patuilinde amani ya yetu, sio uungwana wukiwa ndio wa mwk u t a k a k u i t o w eamani, naamini serhaitokuwelewa.

    WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Mhe. Chikawe.

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    12/16

    12 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, Mashairi/Habari

    Wito nakutoleeni, wa tamasha la kidini,Wito ukukieni, mijini na vijijini,Wito uitikieni, wa Bara na Visiwani,Tukongamane kazini, Shenge Juu Visiwani.

    Wito adhimu wa dini, watuhitaji kazini,Wito ujenzi kiini, wa kituo cha kidini,Wito tuuthaminini, wa kuendeleza dini,

    Tukongamane kazini, Shenge Juu Visiwani.

    Wito wazi wabaini, azma yetu nchini,Wito yetu kuthamini, maendeleo ya dini,Wito tusijeukhini, tutabaki kuwa chini,Tukongamane kazini, Shenge Juu Visiwani.

    Wito umeshabaini, kikuu chake kiini,Wito sikuze jamani, ni thamaniya kazini,Wito nisaidieni, kuueneza nchini,Tukongamane kazini, Shenge Juu Visiwani.

    Wito uzingatieni, wa tamasha Visiwani,Wito uharakieni, kwa ustawi wa dini,Wito wakusubirini, Shenge Juu Visiwani,Tukongamane kazini, Shenge Juu Visiwani.

    Wito wangu ukingoni, nimeka nabaini,Wito lengole bayani, kunusuru yetu dini,Wito huu pokeeni, kwa kuja Shenge kazini,

    Shime nyote karibuni, tukongamane kazini.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    WITO WA TAMASHA SHENGE JUU-PEMBA

    Kwa mwenye pevu nadhari,hakosi kutia shaka,Kwa Kenya yanayojiri, kwa dola kutohusika,Kwa la angavu basari, sahali kumalizika,Kama si wake mkono, itujuze WAUWAJI !

    Mauko ya maamiri, wa dini yakithirika,Si laili si nahari, yazidi kasi kushika,Dola tuli 'mestakiri, hakuna linofanyika,Kama si wake mkono, itujuze WAUAJI !

    Kila siku yatughuri, UCHUNGUZI kufanyika,Kwa kutamka dhahiri, wauwaji kuwasaka,Tumechoka mahubiri, MATOKEO twayataka,Kama si wake mkono, itujuze WAUAJI !

    Muhali hilo kukiri, kushindwa wataumbuka,Mifano japo kathiri, michache 'taimulika,Ung'amue yao siri, nawe upate zinduka,Kama si wake mkono, itujuze WAUAJI !

    Mauaji ahamari, kwa wale wanokumbuka,Si mengine ya SAMIRI, ya mwanzo kuripotika,Kuhoji ninakariri, ni nani walohusika,Kama si wake mkono, itujuze WAUWAJI !

    ROGO alistajiri, kwao akabeulika,Sabaashara dhahiri, risasi 'wakamtwika',Falau si yao siri, ni nani walohusika,Kama si wake mkono, itujuze WAUWAJI !

    Kadhalika 'MAKABURI', kila mara nakumbuka,Yake kwa dola indhari, ya mauko kumka,Kama si yao ghururi, ni nani walohusika,Kama si wake mkono, itujuze WAUWAJI !

    Kwa kweli ni tahayuri, na butwaa kwa hakika,Kwa CHUNGUZI midirari, za dola zinofanyika,MATOKEOYE dahari, kushindwa kubainika,Kama si wake mkono, itujuze WAUWAJI !

    Naweka hapa wadiri, ni nudhumu si waraka,Kikoa tutafakari, Kenya yanayowaka,Kwa dini wahidi mbari, wao nasi kwa hakika,Kama si wake mkono, WAUWAJI kina nani?

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    Mauaji ya Mashekhe Kenya

    (kuna mkono wa dola?)

    Soko la Mchikichini lateketea kwa moto DInatoka Uk. 16

    mchana, licha ya kuwasoko hilo lipo takribanmita mia moja kutokaOsi ya Mkuu wa mkoa

    wa Dar es salaam naMkuu wa Wilaya yaIlala.

    Aidha hadi jana saatano asubuhi, hakunakauli yeyote ya serikaliiliyokuwa imetolewakuhusu ajali hiyo.

    Baadhi ya waliopotezamali katika soko hilowamesema maishayao sasa yatakuwamagumu, ikizingatiwakwamba sehemu kubwaya mitaji yao ni mikopoya mabenki taasisi

    nyingine za fedha zakukopeshana.

    Wengine walisemakuwa kipato chao chakujikimu sasa itakuwa

    vig um u k uk ipata ,huku baadhi wakiwazakuhusu majukumuyakifamilia hususan adaza watoto wao paleshule zitakapokuwazimefunguliwa Julaina wengine wakiwa namashaka juu ya hatmaya makazi yao kufuatiakukabiliwa na kodiza nyumba baada yamwezi huu.

    H a t a h i v y owafanyabiashara haowameonyesha wasiwasi

    mkubwa na mashkuhusu chanzo m o t o h u o , hikizingatiwa juhhafu zilizochuku

    kuuzima moto huo hviongozi wakishinkuonyesha ushirikkwa wafanyabiashao hata baada ya t

    Bidhaa zilizotekkatika janga la mhuo ni mabalo ya za mitumba, ngukushonwa, vitamviatu vya mitummik anda , mabvioski vya mama vyote thamani y

    bado haijafahamik

    Maalim Seif atoa tahadhari kombla dunia na Ramadhani

    Inatoka Uk. 16nyengine, Maalim Seifamewatanabahishavijana kuwa makini na

    mashindano ya kombela dunia yanayotarajiwakuanza tarehe 12 mwezihuu nchini Brazil, kwak u t o p o t e z a m u d amwingi kushughulikiamashindano hayo, nakuacha shughuli zaokijamii ikiwa ni pamojana kufanya ibada zausiku katika mwezimtukufu wa Ramadhan.

    Nay e Wazi r i waHabari, Utamaduni,Utalii na Michezo Mhe.Said Al i Mbarouk,alisema mradi wa jengo

    hilo ni miongoni mwamikakati ya Wizara hiyokatika kukuza michezonchini.

    A l i s e m a k w ak u s h i r i k i a n an a w a s h i r i k aw a m a e n d e l e o ,w a n a k u s u d i a p i akuufanyia matengenezouwanja wa michezowa Gombani Pembakwa kuweka TATAN iliuweze kutumika kwamichezo ya riadha.

    A i d h a a l i s e m a

    serikali inakusudiak u j e n g a b w a w akubwa la kuongelea(swimming pool), ilil iweze kuwasaidiav i j a n a w a n a o t a k akushiriki mchezo huo,kuwawezesha kushirikimichezo ya Olimpikiduniani.

    Ba loz i wa Japannchini Tanzania MasakiOkada, amesema iwapov i j a n a w a P e m b awatafanikiwa kuingia

    katika michezoOlimpiki ya Kimanchini Japan mw2020, osi yake inakuwadhamini vihao.

    Kwa upande wR a i s w a h e s hwa mchezo wa jZanzibar Bw. ShOk a , ametoa wkwa vijana wa Pekujiunga na mchwa Judo ili kuendemafanikio yaliyokwpatikana.

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzib

    Maalim Seif Sharif Hamad.

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    13/16

    13 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, Makala

    " A F R I C O M i t a t o amafunzo kwa kikosimaalum cha walengas h a b a h a w a j e s h il a N i g e r i a k a t i k akupambana na ugaidi.

    V I K O S I m a a l u mvya jeshi la Marekanisiku zote vimekuwa nivya wauaji wa kisiasa,mara ny ing i za idivikiamrishwa chini yakivuli cha Shirika laUjasuai la Marekani,C I A . M p a n g o w aPhoenix wakati wa vita

    vya Vietnam, ambaouliuwa watu kati ya26,000 na 41,000 nakufanyia mateso wengiwengine, ulikuwa niuhalifu wa kivita waCIA na vikosi maalum.Kuanzia mwaka 1974hadi miaka ya 1980,CIA na mkono wakewa Vikosi Maalumwalitoa msaada wakiufundi na silaha kwawauaji wa OperesheniKondor, vikundi vyawauaji vilivyokuwav i n a e n d e s h w a n a

    m k u s a n y i k o w as er ik a l i za k i j es hihuko Argentina, Chile,Uruguay, Paraguay,B o l i v i a n a B r a z i l ,v i n a v y o a m i n i w av i l i f a n y a m a u a j itakriban 60,000. Sheehaninaelekea alihusikak at ik a Operes heniKondor na sehemuyake ya Amerika ya Kati,Operesheni Charly, naamefikia ngazi ya juuya taaluma ya kuuakwa sababu za kisiasa,kuanzia hapo. Kamaanafurahi na kuonaalikuwa sahihi kufuatanana matukio baraniAfrika, inamaanishakuwa vikosi vya wauajiv i l i v y o f u n z w a n aMarekani viko tayarikusambazwa katikaeneo hili la dunia.

    Hakuna maswali kuwaObama anapenda sanashughuli za OperesheniMaalum, kwani mauajiya vikundi vidogoyanayofanywa na wauajiwaliokubuhu usiku wa

    Boko Haram ni faraja kwa ubeberu Afrika-Marekani yaanza mafunzo ya vikundi vya wauajiNa Glen Ford

    manane hayafanani navita - na yanawezekana,ikipasa, kuelezwa kuwayalifanywa na 'magaidi'( w e n g i n e ) . H a t ahivyo historia, ya hivikaribuni, imeonyeshakuwa Marekani inawezak u f a n y a u n y a m awowote Afr ik a naisipate matatizo yoyote.

    Uvamizi wa Ethiopiamwaka 2006 nchiniSomalia , ukipigwatafu na vikosi vyaM a r e k a n i a r d h i n i ,angani na baharini,ulisababisbha kutokeak w a j a n g a k u b w azaidi la kibinadamu

    barani Af rika wakatihuo, "hali ikiwa mbayazaidi ya Darfur." kwamujibu wa waangaliziwa Umoja wa Mataifa,ambako walikufa mamiaya maelfu. Marekani

    b a a d a y e i k a z u i a

    kupeleka chakula ilikuwaangamiza kwanjaa wapiganaji wa AlShabaab nchini humo,na kusababisha vifovingi zaidi vya watu.

    Lakini raia wengi waMarekani hawashtushwina uhalifu huu wa hakiza binadamu Weusiduniani. Mshirika waMarekani, Ethiopiaanafanya mauaji yak i m b a r i d h i d i y ar a i a w a K i s o m a l ikatika jimbo lake la

    Ogaden bila kuhofiana mamlaka yoyote,na kupiga marufukuwaandishi wa habariwa nchi za nje kufikahuko. Marais Clinton,Bush na Obama - kilammoja wao akisaidiwana Balozi Susan Rice -kwa pamoja wameuaraia wa Kongo milioni

    sita tangu mwaka 1996.Mauaji makubwa zaidiya kimbari tangu VitaVikuu vya Pili yalikuwani matokeo ya kupangway a m p a r a g a n y i k ou l i o t u p w a k w aKongo, yenye utajirimkubwa wa madini navibaraka wa Marekani,majirani Rwanda naUganda. Paul Kagame,kiongozi wa sasa waRwanda, a l i tunguandege ambako maraiswawili walikuwamohumo, mwaka 1994,

    akasababisha mauajiya halaiki ambayoy a l i m w i n g i z am a d a r a k a n i , n akuipelekesha Congo

    jirani njia ya kwendaje ha na mu . Ma re ka niinamtukuza Kagamekama shujaa, licha yakuwa dikiteta huyowa kikabila Mtutsianapeleka vikundi vyawauaji kote dunianikuwazima wale ambaowanampinga.

    "Marekani haitaulizwa

    lolote hata ingefanyamauaji ya aina gani

    barani Afrka."Kiongozi wa Uganda

    Y o w e r i M u s e v e n i ,rafiki wa Marekanitangu enzi za RonaldReagan, alifanya mauajiy a k i m b a r i d h i d iya wapinzani wakekutoka kabila la Acholi,

    a k a w a t u p a k a t i k amakambi ya mateso.Joseph Kon y alikuwammoja wa Waacholihao, inaelekea akaingiakatika hali ya ukichaa.K o n y s i y o h a t a r ikwa Uganda au nchinyingine yoyote katikaeneo hilo kwa miakakadhaa, lakini RaisObama alitumia madaiya kuonekana kwa

    baadhi ya makundi yakeya wapiganaji kupelekam a k o m a n d o o 1 0 0

    Jamhuri ya Kidemokrasi

    ya Kongo, Uganda,Rwanda, Jamhuri yaAfrika ya Kati na SudanKusini. Mwezi uliopita(Aprili) Obama alipelekaaskari wengine 150 nandege nne Afrika yaKati, akidai tena kuwaKony alikuwa amejichauelekeo huo.

    Hali halisi ni kuwaaskari wa Marekaniwalipelekwa karibu nampaka wa Sudan Kusini,ambayo Marekani naIsrael wameiyumbisha

    kwa miaka mingi kjuhusi za kuitengnchi kubwa zaidSudan. Sudani Ku

    i k a w a n c h i hlakini haiko thabs iyo ta i fa i la elenye mafuta amlinamezewa matMarekani. Makummaelfu wengine ku h a k i k a w a t a kk a t i k a m a p i gSudan Kusini, ilWamarekani wachwatakaoilaumu nchkwa hilo.

    Kama maua j iCongo yanavyoonymaeneo makubwwatu katika bar

    A f r i k a y a n a wkusafishwa as ibmtu bila watu nza Magharibi kuschochote . V ik uvya wauaji ambaMarekani inafunchini Nigeria, NMauretania na Mna vile ambavyo k ar ibuni v i tak uvinafuatilia walennchini CameroonB e n i n , h a w a k uwanawawinda tu BHaram. Vikundi

    wauaji kwa hulka vinavuruga utangamkatika nchi; vinainsumu katika mazinya kisiasa na kijkiasi cha kuharikabisa, kama ambraia wa nchi za Amya Kati katika mya 1980 wanavyowkushuhudia.

    Na bado hiyo nnjia ambayo Marei n a i p e n d a z akatika dunia ya w

    W a z u n g u . N d iambavyo Wamarewanafanya, pale watnchi hizo wanaposerikali 'ifanye choc(kwa mfano kuhsuala la kutekwa wasichana wa snchini Nigeria).

    ( G l e n F o r dmhariri wa jaridBlack Agenda Ren a a n a p a t i kkatika Glen.FoBlackAgendaRepcom)

    RAIS Yoweri Museven wa Uganda (kushoto) na Rais Barack Obama wa Marekani.

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    14/16

    14AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, Makala/Tangazo

    Viongozi wote wa Kamati ngazi ya Mkoa na Wilaya mnaalikwa kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa Kituo cha KiislaShenge Juu Pemba litakalofanyika kuanzia tarehe 13 20 Juni, 2014.

    Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwa wingi. Wasio na wasaa wa kuhudhuria wachangie fedha na vifaa vya ujeTukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanya biashara na Allah (s.w) kwa mafanikio ya hapa duniani na malipoPepo Quran (61:10-13)

    Muhimu: Kwa kupitia Tanga nauli ya kwenda na kurudi kwa usafiri wa ndege ni-. Tsh 180,000/= (0715 894111/0787 8941 Kwa kupitia Dar es Salaam nauli ni Tshs. 98,000/- kwenda na kurudi.(Kwa meli) Kuripoti Dar es Salam ni tar10/06/2014 0654 064215/0689 665045. Kila msafri awe na kitambulisho.

    Wabillah Tawfiiq

    AMIR- TAIFA

    KAMATI YA KUENDELEZA UISLAMU TANZANIA

    TAMASHA LA KITAIFA, SHENGE JUU PEMBA13 20 JUNI , 2014

    SERIKALI ya Zanzibarimesema itaendelea

    kuthamini misaadai n a y o t o l e w a n aSerikali ya Misri katikakuendeleza na kukuzauchumi wa Zanzibar.

    Hayo yameelezwan a M a k a m u w aKwanza wa Rais waZanzibar, Maalim SeifSharif Hamad, ofisinik wak e Mig ombaniw a k a t i a l i p o k u w aa k i z u n g u m z a n a

    balozi mdogo wa Misrianayemaliza muda wakBw. Walid Ismail.

    Maalim seif alisemas e r i k a l i y a M i s r ii m e k u w a m s t a r iwa mbele kuisaidiaZanzibar katika nyanjambalimbali za kiuchumina ustawi wa jamii,zikiwemo elimu, afyana kilimo.

    Balozi wa Misri katika Zanzibar amaliza mudNa Mwandishi Maalum,

    ZbarA i d h a a m e s i f u

    mchango wa balozihuyo katika kipindichake cha utumishikwa kufanya mambomengi mazuri ambayoyanahitaji kuendelezwana mwenzake atachukuanafasi yake hapa nchini.

    Alisema mbali nabalozi huyo kumalizam u d a w a k e w autumishi hapa nchini,

    bado anay o fu rsa nakuchangia maendeleoy a Z a n z i b a r k w akuwa balozi mzuri wakuitangaza Zanzibar njeya nchi, ikiwa ni pamojana kuwahamasisha

    wawekezaji na wataliik u j a k u i t e m b e l e aZanzibar.

    Aidha Maalim Seifpia alitumia fursa hiyokuipongeza Misri kwakufanikisha uchaguziwa Rais na kuelezea

    matumaini yake kuwawananchi wa nchi hiyowataishi kwa amani nausalama.

    Naye balozi mdogowa Misri anayemalizamuda wake wa utumishihapa nchini Walid Ismail,a l is i f ia ushir ikianoalioupata kutoka kwaviongozi na wananchiwa Zanzibar katikakutekeleza majukumuyake ya kibalozi.

    Alisema Zanzibarni kituo kizuri chakufanyia kazi kutokanana ukarimu wa watuwake, pamoja na kuwepoamani na usalama kwawakati wote.

    Balozi Ismail aliahidikuwa akiwa nje yaZanzibar, ataendeleakuthamini mafanikioaliyoyapata ikiwa nipamoja na kuimarikakwa uhusiano kati yaZanzibar na Misri.

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa ZanzibaMaalim Seif Sharif Hamad.

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    15/16

    15 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, Tangazo

    ISLAMIC PROPAGATION CENTREP.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

    MAFUNZO MAALUM YA UALIMU TARAJALI NGAZI YA STASHAHADA KWA KIDATO CHA NNE MASOMO YA

    SAYANSI/HISABATI NA ENGLISH:MUDA MIAKA 3

    1. UTANGULIZIMafunzo haya yatatolewa katika vyuo vya Ualimu Kirinjiko Islamic Same na Ubungo Islamic Dar kuanzia Julai, 2014. Miaka miwili ya mwanzo y

    kidato cha tano na sita mwanafunzi atasoma tahasusi (combination) ya masomo matatu, mawili kati ya yaliyotajwa hapa chini na somo la taUalimu (Education).

    Baada ya matokeo ya kidato cha sita na kufaulu, mwalimu tarajali atarejea chuoni mwaka wa tatu kukamilisha mafunzo ya Ualimu katika mbinu za ufundishaji, mazoezi ya kufundisha kwa vitendo (BTP) na kuhitimu mafunzo yake kwa kufanya mtihani wa stashahda ya Ualimu (NEC

    2. SIFA ZA MUOMBAJIKwa mujibu wa waraka wa Elimu na.1 wa 2014 wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, muombaji awe amehitimu kidato cha nne na awe na credit MBILI (2) (yaani A,B+

    C) katika masomo ya sayansi (yaani Physics,Chemistry na Biology), Basic Mathematics na English Language3. Mwisho wa kurejesha fomu za maombi ni tarehe 18/6/2014.

    Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

    Arusha - Osi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni - 0763 282 371/ 0784 406 610.

    Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418 - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075

    Tanga - Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani 0715 894111/0789 410914- Uongofu Bookshop: - 0784 982525/

    - Korogwe: SHEMEA SHOP 0754 690007 - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533 Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685

    - Osi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Ruji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770.

    Musoma - Osi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05, -0784721015/0765024623 Kagera - Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe karibu na osi za TRA. - 0688 479 667 Shinyanga - Masele com: Osi za NSSF Shinyanga Mjini mkabala na bank ya CRDB - 0752180426

    - Kahama osi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930

    Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556 - Osi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin 0655144474.

    Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380

    Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086

    Singida - Osi ya Islamic Ed. Panel karibu na Nuru snack Hotel 0714285465/0784 928039

    Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575 - Osi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0764 469870/0789 174902

    Kigoma - Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224. - Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860.

    - Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802.

    Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663.

    Mtwara - Amana Islamic S.S 0715 465158/0787 231007.

    Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113- Mkuzo Islamic High School. 0716 791113

    Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209

    - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209

    Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073

    Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566

    Iringa - Madrastun Najah: 0714 522 122

    Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331

    Unguja - Madrasatul Fallah: 0777125074- Maa - Osi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627

    4. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha.

    USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

    MKURUGENZI

    WABILLAH TAWFIIQ

  • 5/24/2018 AN-NUUR 1129.pdf

    16/16

    16 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 16 MAKALA

    Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

    AN-NUUR16 SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014

    SomaGazeti la AN-NNUR

    kila Ijumaa

    IWAPO vyama vyamichezo vitafanyakampeni maalumuz a k u w a s h a w i s h ivijana kujiunga namichezo ya Judo naKarati, hamasa iliyoposasa itaongezeka nakupelekea kuimarika

    kwa michezo hiyo.Hayo yameelezwa

    n a M a k a m u w aKwanza wa Rais waZanzibar, Maalim SeifSharif Hamad, wakatiakizindua jengo la judolililopo mkabala nauwanja wa GombaniChake Chake Pemba.

    Alisema Zanzibarimek uwa ik i ta jwasana katika mchezowa judo kwa nchi zaAfrika ya Masharikina kati na kwamba,kukamilika kwa jengohilo kutaamsha ari namori kwa vijana waZanzibar na kuwezakuviletea sifa zaidivisiwa hivyo.

    Makamu huyo waRais alisema matarajioya Ser ikal i kat ikam i c h e z o h i y o , n ikupatikana mabadilikomakubwa ya michezoitakayorejesha heshimaya Zanzibar katikakanda ya Kusini mwa

    jangwa la Sahara.Al iong eza k uwa

    mbali ya kujenga afyana ukakamavu kwavijana sekta ya michezopia inaweza kuchangiamaendeleo ya sektaya utalii, kutoa ajirakwa vijana na hatimayek u s a i d i a k u k u z auchumi kwa wananchina taifa kwa ujumla.

    Alisema lengo kuu laserikali kuunda Wizaraya Habari, Utamaduni,Utalii na Michezo, nikujaribu kuunganishasekta zilizomo katika

    Maalim Seif atoa tahadhari kombe la dunia na RamadhaAzindua jengo la judo, karate PembaBalozi kudhamini vijana Olimpiki

    Na Mwandishi Wetu,Zbar

    w i z a r a h i y o k w akufanya kazi pamoja nakuleta mafanikio zaidi.

    Maalim Seif alielezea

    kuridhishwa kwake naumahiri unaooneshwana vijana wa michezo ya

    judo na karate Kisiwani

    Pemba na kwamba,kutokana na umahiriwalio nao, vijana haowanaweza kushindana

    katika michezokimataifa na kuwkuibuka na ushmkubwa.

    Alifahamisha kkukua kwa michez

    judo na karate Zanzkutachukua nailiyokuwepo ya wwengi kujishughun a m i c h e z o hwatak apok uwauhakika wa ushw a k a t i w a c h ew a Z a n z i bw a t a k a p o s h i rkatika mashindankimataifa.

    Aliupongeza Ubw a J a p a n n c hpamoja na chama

    Jud o Zan zib ar kufanikisha ujenzipamoja na vifaamichezo ambavyopamoja vimegharshilingi milioni tano (500 milion).

    A m e w a s i s i tw a n a m i c h ekuungana ili kumaendeleo zaidi ksekta ya michezo nc

    K a t i k a h a

    MOTO umeunguzana kuteketeza kabisasoko la wachuuzi wanguo za mitumba laMchikichini, IlalaJijini Dar es Salaam.

    T a a r i f a k u t o k ak w a m m o j a w aw a f a n y a b i a s h a r aaanayefanya shughulizake za ushonaji katikasoko, amesema motohuo umezuka majira

    Soko la Mchikichini lateketea kwa motZimamoto wahamishia nguvu TBL

    Na A. Msengakamba ya saa nne usiku wakuamkia Alhamisi.

    Shuhuda mwinginealisema kuwa mara

    baada ya ku bainikamoto huo, wasamariawema waliwaita askariwa zima moto, ambaomakao makuu yapotakriban kilometa mbilikutoka mahali sokolililipo.

    Hata hivyo taarifaza mashuhuda haozinaeleza kuwa askari

    walipofika eneo latukio, walishindwak uzim a moto huona kuegesha magariyao pembeni, hukuwakionekana kuchukuazaidi tahadhari motousije kuhamia eneo lakiwanda cha bia chaTBL, kilichopo jirani nasokmo hilo.

    Shuhusa Amina JumaMasanyika, ambayeni fundi cherehenianayefanya shughuli

    zake ndani ya shilo, alisema kwa kmoto huo u l izusiku, umeteketezkitu sokoni haphakuna mfanyabiasaliyefanikiwa kuomali yake.

    Hata hivyo, jalililowashtua wni kwamba, taulipozuka moto

    Jumatano siku, hakiongozi yeyoteserikali aliyeka entukio hadi ilipoka

    Inaendelea U

    Inaendelea U

    Wanafunzi wa Madrasa Imania Mambo Mgati, Mtae Lushoto, wakiwatoea kwenye shereheza Maulid yalifanyika katika kitongoji cha Kukai hivi karibuni.