SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA...
Transcript of SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARii YALIYOMO SURA YA...
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU
WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR
RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU
WA HESABU ZA SERIKALI
KWA MAWIZARA YA SERIKALI
YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
KWA MWAKA WA FEDHA
2017/2018
ii
YALIYOMO
SURA YA KWANZA……………………………………………………………………………………………1
1.0 UTANGULIZI................................................................................................................................................... 1
1.1 MAJUKUMU YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ............................................... 1
1.2 UPEO NA MADHUMUNI YA RIPOTI YA UKAGUZI ....................................................................................... 2
1.3 NJIA ZILIZOTUMIKA KATIKA UKAGUZI ....................................................................................................... 3
1.4 UMUHIMU WA UKAGUZI KATIKA KUIMARISHA UTAWALA BORA ............................................................ 4
1.5 MAFANIKIO YALIYOPATIKANA .................................................................................................................. 5
1.6 KAMATI ZA BARAZA LA WAWAKILISHI ...................................................................................................... 6
1.7 SHUKURANI .............................................................................................................................................. 7
SURA YA PILI………………………………………………………………………....……………………….9
2.0 HATI ZA UKAGUZI .......................................................................................................................................... 9
2.1 AINA YA HATI ZA UKAGUZI............................................................................................................................ 9
2.1.1 HATI INAYORIDHISHA ..................................................................................................................... 9
2.1.2 HATI ISIYORIDHISHA ....................................................................................................................... 9
2.1.3 HATI YENYE SHAKA ......................................................................................................................... 9
2.1.4 HATI MBAYA ................................................................................................................................. 10
2.2 HATI ZA UKAGUZI ZILIZOTOLEWA KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 ............................................... 10
SURA YA TATU…………………………………………………………………………………………….…16
3.0 MFUKO MKUU WA HAZINA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA MWAKA WA
FEDHA 2017/2018....................................................................................................................... 16
3.1 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI ................................................................................................ 16
3.1.1 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 .......................... 16
3.1.2 MAPATO YATOKANAYO NA MAKUSANYO YA KODI ...................................................................... 17
3.1.3 UKUSANYAJI WA MAPATO KATIKA WIZARA NA TAASISI ZA SERIKALI .......................................... 17
3.1.4 TAARIFA YA MATUMIZI YA KAZI ZA KAWAIDA .............................................................................. 18
3.1.5 TAARIFA YA MATUMIZI YA KAZI ZA MAENDELEO ......................................................................... 18
3.1.6 TAARIFA YA DENI LA SERIKALI ....................................................................................................... 18
SURA YA NNE………………………………………………………….………………………….…………19
4.0 MAMBO YALIYOBAINIKA KATIKA UKAGUZI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 .................... 19
4.1 UTEKELEZAJI WA HOJA ZA UKAGUZI ULIOPITA WA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 ................................................ 19
4.2 UWASILISHAJI WA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 KWA AJILI YA UKAGUZI ........................... 19
4.3 UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA MWAKA 2017/2018 .......................................................................................... 25
iii
SURA YA TANO………………………………………………………………………………………………29
5.0 MATOKEO YA UKAGUZI KWA MWAKA 2017/2018 ................................................................. 29
5.1 WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ...................................... 29
5.1.1 FUNGU A 01 - OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ................................ 29
5.1.2 FUNGU A 02 – OFISI YA RAIS BARAZA LA MAPINDUZI – BLM ....................................................... 30
5.2 WIZARA YA NCHI (OR) TAWALA ZA MIKOA, SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ............................ 31
5.2.1 FUNGU D 01 - WIZARA YA NCHI (OR) TAWALA ZA MIKOA NA IDARA MAALUM .......................... 31
5.2.2 FUNGU D 02 - JESHI LA KUJENGA UCHUMI (JKU) ....................................................................... 32
5.2.3 FUNGU D 03 – CHUO CHA MAFUNZO .......................................................................................... 33
5.2.4 FUNGU D 04 - KIKOSI MAALUM CHA KUZUIA MAGENDO (KMKM) .............................................. 34
5.2.5 FUNGU D 05 – KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOZI .................................................................... 36
5.2.6 FUNGU D 06 - KIKOSI CHA VALANTIA ........................................................................................... 37
5.2.7 WAKALA WA USAJILI WA MATUKIO YA KIJAMII ........................................................................... 37
5.2.8 FUNGU D 07 – MKOA WA MJINI MAGHARIBI ............................................................................... 38
5.2.9 FUNGU D 08 – MKOA WA KUSINI UNGUJA................................................................................... 39
5.2.10 FUNGU D 09 – MKOA WA KASKAZINI UNGUJA ........................................................................ 40
5.2.11 FUNGU D 10 – MKOA WA KUSINI PEMBA ................................................................................ 41
5.2.12 FUNGU D 11 - MKOA WA KASKAZINI PEMBA .......................................................................... 41
5.2.13 BARAZA LA MANISPAA MJINI .................................................................................................. 42
5.2.14 BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI-A .................................................................................... 43
5.2.15 BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI – B .................................................................................. 45
5.2.16 HALMASHAURI YA WILAYA YA KASKAZINI ‘A’ UNGUJA ........................................................... 46
5.2.17 HALMASHAURI YA WILAYA YA KASKAZINI “B” UNGUJA .......................................................... 47
5.2.18 HALMASHAURI YA WILAYA YA KATI ......................................................................................... 48
5.2.19 HALMASHAURI YA WILAYA YA KUSINI ..................................................................................... 49
5.2.20 BARAZA LA MJI CHAKE-CHAKE ................................................................................................. 50
5.2.21 BARAZA LA MJI MKOANI .......................................................................................................... 50
5.2.22 BARAZA LA MJI WETE ............................................................................................................... 51
5.2.23 HALMASHAURI YA WILAYA YA MICHEWENI ............................................................................ 52
5.3 WIZARA YA NCHI (OR) KATIBA, SHERIA, UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA ............................. 53
5.3.1 FUNGU G 01 - WIZARA YA NCHI (OR) KATIBA, SHERIA, UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA
BORA 53
5.3.2 FUNGU G 02 - MAHKAMA KUU ..................................................................................................... 54
5.3.3 FUNGU G 03 – OFISI YA MWANASHERIA MKUU ........................................................................... 55
5.3.4 FUNGU G 04 – OFISI YA MKURUGENZI WA MASHTAKA ............................................................... 55
5.3.5 FUNGU G 05 – TUME YA KUREKEBISHA SHERIA ........................................................................... 56
5.3.6 FUNGU G 08 - KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA ................................................................. 57
iv
5.3.7 FUNGU G 09 - TUME YA UTUMISHI SERIKALINI ........................................................................... 57
5.3.8 FUNGU G 07- MAMLAKA YA KUZUIA RUSHWA NA UHUJUMU WA UCHUMI ZANZIBAR ............ 58
5.3.9 TUME YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA............................................................................... 58
5.4 WIZARA YA NCHI OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS .......................................................................... 59
5.4.1 FUNGU C 01 - OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS ..................................................................... 59
5.4.2 FUNGU C 02 - BARAZA LA WAWAKILISHI ..................................................................................... 60
5.4.3 FUNGU C 03 - TUME YA UCHAGUZI .............................................................................................. 60
5.4.4 FUNGU C 05 – TUME YA UKIMWI ................................................................................................ 61
5.4.5 FUNGU C 04 - TUME YA KITAIFA YA KURATIBU NA UDHIBITI WA DAWA ZA KULEVYA ................ 62
5.5 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO .......................................................................................................... 62
5.5.1 FUNGU F 01 - WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO ......................................................................... 62
5.5.2 FUNGU F 02 - HESABU ZA HUDUMA ZA MFUKO MKUU WA SERIKALI ........................................ 64
5.5.3 FUNGU F 03 - TUME YA MIPANGO ............................................................................................. 67
5.5.4 OFISI YA MTAKWIMU MKUU WA SERIKALI ................................................................................... 68
5.6 WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI ............................................................................... 69
5.6.1 FUNGU L 01 - WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI .............................................. 69
5.7 WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO ..................................................................................... 70
5.7.1 FUNGU R 01 - WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO .................................................... 70
5.7.2 TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) ......................................................................................... 71
5.7.3 WAKALA WA USAJILI WA BIASHARA NA MALI (BPRA) .................................................................. 72
5.8 WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI ........................................................................................... 73
5.8.1 FUNGU K 01 – WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI ........................................................ 73
5.8.2 BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU ............................................................................................. 74
5.8.3 MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI ZANZIBAR ............................................................................ 74
5.8.4 SHIRIKA LA HUDUMA ZA MAKTABA.............................................................................................. 75
5.8.5 TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA ....................................................................... 76
5.8.6 BARAZA LA MITIHANI .................................................................................................................... 77
5.9 WIZARA YA AFYA..................................................................................................................................... 78
5.9.1 FUNGU H 01 - WIZARA YA AFYA ................................................................................................... 78
5.9.2 FUNGU H 02 - HOSPITALI YA MNAZI MMOJA ............................................................................... 78
5.9.3 WAKALA WA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI .......................................................... 79
5.9.4 WAKALA WA CHAKULA,MADAWA NA VIPODOZI ......................................................................... 80
5.10 WIZARA YA ARDHI, NYUMBA, MAJI NA NISHATI ................................................................................ 81
5.10.1 FUNGU N 01 - WIZARA YA ARDHI, NYUMBA, MAJI NA NISHATI .............................................. 81
5.10.2 BODI YA USAJILI WA WAKANDARASI ....................................................................................... 82
5.10.3 BODI YA USAJILI WASANIFU, WAHANDISI, NA WAKADIRIAJI MAJENGO ................................. 83
5.10.4 BODI YA UHAULISHAJI ARDHI .................................................................................................. 83
5.11 WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ....................................................................... 84
v
5.11.1 FUNGU P 01 - WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI .................................... 84
5.12 WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI, WAZEE , VIJANA, WANAWAKE NA WATOTO .................................... 85
5.12.1 FUNGU NAMBA Q 01 - WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI, WAZEE, VIJANA, WANAWAKE NA
WATOTO 85
5.13 WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO ................................................................... 86
5.13.1 FUNGU NAMBA J 01 - WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO ..................... 86
5.13.2 FUNGU J 02 - KAMISHENI YA UTALII ........................................................................................ 87
1
RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI
KWA MAWIZARA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018
SURA YA KWANZA
1.0 UTANGULIZI
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu anawajibu wa kukagua hesabu zote za Serikali
ya Mapinduzi ya Zanzibar. Ukaguzi huo unafanyika kwa mujibu wa Katiba ya
Zanzibar ya mwaka 1984 Ibara ya 112 . Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi
ya Zanzibar unajumuisha hesabu zote za Serikali kuu, Serikali za Mitaa, Mamlaka na
Taasisi mbali mbali pamoja na Miradi mbali mbali ya maendeleo na baadae kutoa
taarifa ya ukaguzi wa hesabu hizo kwa mujibu wa masharti ya Katiba ya Zanzibar.
Kutokana na mamlaka ya kikatiba Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
anawajibu wa kuhakikisha kwamba fedha zote zinazokusudiwa kutolewa kutoka
Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar matumizi yake
yameidhinishwa kisheria ambapo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
anawajibu wa kuidhinisha matumizi kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar na kufanya Ukaguzi wa hesabu hizo.
1.1 MAJUKUMU YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA
SERIKALI
Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 Ibara ya 112 Mdhibiti na Mkaguzi
Mkuu wa Hesabu za Serikali anawajibika kikatiba kukagua hesabu za Taasisi za
Serikali na baadae kutoa taarifa zake za ukaguzi huo kila mwaka. Taarifa hizo
zitaelezea hali halisi za mapato na matumizi ya fedha kutoka Mfuko Mkuu wa
Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na utekelezaji wa sheria mbali
mbali zikiwemo Sheria za fedha, Sheria za manunuzi na sheria nyenginezo.
Kwa mujibu wa Ibara ya 112 (3) ya Katiba ya Zanzibar 1984, Mdhibiti na Mkaguzi
Mkuu wa Hesabu anawajibika kufanya yafuatayo:-
“a) Kuhakikisha kwamba fedha zote zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu
wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, matumizi yake yameidhinishwa
2
kisheria na iwapo atatosheka kwamba masharti hayo yatatekelezwa ipasavyo basi
ataidhinisha fedha hizo zitolewe.
b) Kuhakikisha kwamba fedha zote ambazo matumizi yake yameidhinishwa
yanatokana na fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ya Mapinduzi
ya Zanzibar au fedha ambazo matumizi yake yameidhinishwa na sheria iliyotungwa
na Baraza la Wawakilishi, na ambazo zimetumika kwa ajili ya shughuli zilizohusika na
matumizi ya fedha hizo na kwamba matumzi hayo yamefanywa kwa kufuata idhini
iliyotolewa kuhusu matumizi hayo; na
c) Angalau mara moja kwa kila mwaka kufanya ukaguzi na kutoa taarifa juu ya
ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hesabu zinazosimamiwa na
watumishi wote wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hesabu za Mahkama zote za
Zanzibar, hesabu za Tume au vyombo vyengine vilivyoanzishwa na Katiba hii na
hesabu zozote zinazohusika na Baraza la Wawakilishi. ”
Ukaguzi wa hesabu umefanywa kwa kuzingatia miongozo na vigezo mbali mbali vya
ukaguzi ili kukidhi matarajio ya wadau wetu na wananchi kwa ujumla. Ofisi ya
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali inaendelea kufanya uchambuzi wa
njia bora zaidi kwa kufanya ukaguzi utakaoleta tija na kuongeza wigo na maeneo
yanayokaguliwa kwa lengo la kuimarisha utendaji na uwajibikaji katika sekta za
umma.
1.2 UPEO NA MADHUMUNI YA RIPOTI YA UKAGUZI
Ripoti hii imekusanya taarifa za ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar yakiwemo Mawizara na Taasisi mbali mbali za Serikali kwa kuzingatia
taarifa za mapato na matumizi ya kawaida, matumizi ya maendeleo pamoja na
michango mbali mbali kutoka kwa Washirika wa Maendeleo, kwa kipindi cha mwaka
ulioishia 30 Juni, 2018.
Ukaguzi ulifanyika kwa mujibu wa viwango vya kitaifa na kimataifa vya Ukaguzi na
kujiridhisha kwamba taarifa zitakazotolewa zitaonyesha sura halisi ili kutoa uhakika
kwamba taarifa za mapato na matumizi zimefuata Sheria, Kanuni na taratibu
zilizopo. Taarifa za hesabu zilizokaguliwa zilijumuisha hesabu za mwisho wa mwaka
pamoja na taarifa mbalimbali zinazohusiana na hesabu hizo.
3
Miongoni mwa taarifa hizo ni kama zifuatazo:-
I. Mizania ya Hesabu
II. Taarifa ya Mapato na Matumizi
III. Taarifa kuhusu mabadiliko ya mtaji
IV. Taarifa ya mtiririko wa fedha
V. Taarifa ya uwiano na bajeti na kiasi halisi cha matumizi
VI. Sera za uhasibu na maelezo ya taarifa za fedha
Mabadiliko ya mifumo ya ukaguzi na uhasibu yanayotokea kwa mujibu wa viwango
vya kitaifa na kimataifa kumepelekea kuwepo na mafanikio makubwa katika
utendaji na uwajibikaji kwenye sekta za umma katika ukusanyaji wa mapato na
matumizi ya rasilimali za umma. Mafanikio hayo yametokana na kuimarika kwa
mfumo wa fedha pamoja na utekelezaji wa Sheria mbalimbali zikiwemo sheria za
fedha, Sheria ya Manunuzi na Ugavi, pamoja na Sheria nyenginezo na kupelekea
kuimarika kwa uwazi na uwajibikaji katika taasisi za Umma pamoja na utekelezaji wa
miradi mbali mbali ya maendeleo na kuleta tija kwa wananchi na kufanikisha lengo
la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuimarisha dhana nzima ya utawala bora.
1.3 NJIA ZILIZOTUMIKA KATIKA UKAGUZI
Katika kufanya ukaguzi wa hesabu za Serikali mbinu na njia mbali mbali za ukaguzi
zilitumika ikiwemo taratibu za ukaguzi zifuatazo: -
1. Kutoa barua za awali za maandalizi ya ukaguzi (Engagement Letter) kwa Taasisi
inayokaguliwa.
2. Kuangalia viashiria vya maeneo hatarishi katika taasisi zinazokaguliwa kwa lengo
la kupata uelewa wa mazingira ya taasisi hiyo ikiwemo mfumo wa udhibiti wa
ndani na kubaini viashiria vitakavyoathiri udhibiti wa ndani pamoja na utendaji
wa taasisi.
3. Kuandaa mikakati ya ukaguzi kuanzia mpango wa awali hadi mpango mkuu wa
ukaguzi (Pre Planning, Strategic Planing and detailed Planning) itakayozingatia
muelekeo na upeo wa ukaguzi ambapo utaonyesha dira na dhamira nzima ya
ukaguzi huo.
4
4. Kufanya kikao cha kuanza kazi za ukaguzi (Entrance Meeting) pamoja na uongozi
wa Taasisi zinazokaguliwa.
5. Kupitia na kuhakiki nyaraka mbali mbali pamoja na kupata taarifa kutoka kwa
wahusika ili kupata uelewa wa kazi za Taasisi zinazokaguliwa.
6. Kutumia njia na mbinu mbali mbali za ukaguzi kama ilivyoainishwa kwenye
muongozo wa ukaguzi (Regularity Audit Manual).
7. Kufanya kikao cha kumaliza ukaguzi (Exit Meeting) na uongozi wa Taasisi
inayokaguliwa baada ya kumaliza ukaguzi ambapo katika kikao hicho hupitia kwa
pamoja hoja zilizojitokeza wakati wa ukaguzi.
8. Kutoa ripoti ya ukaguzi ya awali (Management letter) kwa uongozi wa taasisi
inayokaguliwa itakayoainisha hoja za ukaguzi pamoja na mambo mbalimbali
yaliyobainika wakati wa ukaguzi na kutoa nafasi kwa uongozi kutoa majibu na
vielelezo kuhusiana na ripoti hiyo kwa muda unaotakiwa kwa mujibu wa sheria.
9. Kufuatilia majibu ya hoja za ukaguzi yaliyotolewa katika ripoti ya ukaguzi ya awali
ili kuweza kujiridhisha na majibu ya hoja hizo.
10. Kutoa ripoti ya ukaguzi ya mwisho kwa taasisi zinazokaguliwa inayoonesha hoja
za ukaguzi zilizotolewa katika ripoti ya ukaguzi ya awali ambazo hazikupata
majibu yenye kuridhisha kutokana na hoja zilizotolewa.
11. Kutoa ripoti kuu ya mwaka kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa mujibu wa
Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
1.4 UMUHIMU WA UKAGUZI KATIKA KUIMARISHA UTAWALA BORA
Lengo kuu la kufanya ukaguzi ni kuhakikisha kwamba fedha inayoidhinishwa na
Baraza la Wawakilishi kutoka Mfuko Mkuu wa Serikali kwa mujibu wa sheria
inatumika ipasavyo na kwa malengo yaliyokusudiwa kwa kuleta ufanisi na tija kwa
maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla. Aidha ukaguzi wa hesabu unalenga
kuimarisha uwajibikaji wa matumizi ya rasilimali za umma na kupelekea kuimarika
kwa dhana nzima ya Utawala Bora.
Kuimarika kwa utendaji wa kazi za ukaguzi kunapelekea kuongezeka na kuimarika
kwa uwazi na uwajibikaji katika ukusanyaji wa mapato na matumizi ya fedha na
rasilimali za umma na kuleta tija na ufanisi na kufanikisha kutekeleza malengo
yaliyopangwa na Serikali kwa wakati uliopangwa. Aidha kuimarika kwa utendaji wa
5
kazi za ukaguzi kunapelekea kuimarika kwa hali ya uchumi wa nchi na kufanikiwa
kuimarika kwa hali za wananchi kwa jumla.
Katika kufanikisha malengo ya Serikali ya kuimarisha utawala bora nchini, Ofisi ya
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imejipanga kutekeleza majukumu
yake ya kikatiba kwa kuongeza ufanisi wa kazi pamoja na kuendelea na jitihada zake
za kuwajengea uwezo wafanyakazi kwa kuwapatia mafunzo na mbinu mbali mbali
za ukaguzi ili kwenda sambamba na mabadiliko ya mifumo ya uhasibu na ukaguzi
pamoja na mabadiliko ya kasi ya teknolojia duniani katika masuala ya udhibiti na
ukaguzi wa hesabu za Serikali.
1.5 MAFANIKIO YALIYOPATIKANA
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 kumekuwa na mafanikio makubwa
katika usimamizi wa ukusanyaji mapato pamoja na uwajibikaji katika matumizi ya
rasilimali za umma ukilinganisha na mwaka wa fedha 2016/2017.
Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2016/2017 mapato ya ndani yalikuwa ni shilingi
604.68 bilioni ambapo kumekuwa na ongezeko la mapato ya ndani ya shilingi 627.0
bilioni na kuwa na ongezeko la asilimia 3.7
Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 ukusanyaji wa mapato ya ndani
umeengezeka kwa asilimia 2.15 ambapo makadirio ya makusanyo ya ndani yalikuwa
ni shilingi 613,798,985,000 na mapato halisi kwa kipindi hicho ni shilingi
627,000,000,000 ambazo ni sawa na asilimia 102.15.
Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Serikali ilikadiria mapato ya jumla ya
shilingi 1,087,353,527,000 kutoka vianzio mbali mbali ambapo jumla ya shilingi
913,059,484,000 zilipatikana na kufanya upungufu wa asilimia 16.03 .Upungufu huo
unatokana na sababu mbali mbali ikiwemo kukosekana kwa fedha ambazo
zilitarajiwa kupatikana kwa kipindi hicho.
Uwasilishaji wa taarifa za hesabu za mwisho wa mwaka umeimarika kwa kipindi cha
mwaka wa fedha 2017/2018 ambapo uwasilishaji wa taarifa za hesabu za Serikali
hesabu hizo zimewasilishwa kwa wakati na kupelekea kuanza kwa kazi za ukaguzi
kwa wakati muafaka kwa mujibu wa taratibu za ukaguzi tulizojipangia.
6
Aidha ukaguzi umebaini kwamba ufungaji wa hesabu za mwisho wa mwaka
umeimarika kwa kiasi kikubwa kutokana na mfumo wa udhibiti wa fedha uliopo.
Mafanikio haya yanatokana na uwajibikaji mzuri wa watendaji kwa kufuata sheria na
taratibu zilizopo pamoja na kufuata ushauri na mapendekezo yanayotolewa na Ofisi
ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali juu ya udhibiti mzuri wa mapato
na matumizi ya fedha na rasilimali za Umma.
Jitihada zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika utekelezaji na
ufuatiliaji wa ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali zimesaidia
kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa uwajibikaji katika utendaji wa shughuli za
Serikali na kupelekea kuimarika kwa Utendaji katika taasisi za Serikali.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inachukuwa hatua mbali mbali katika kuimarisha
utawala bora kwa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya
mwaka 1984 na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kutekeleza maoni na ushauri
unaotolewa na kamati za kudumu za Baraza la Wawakilishi ikiwemo Kamati ya
Kudhibiti na Kuchunguza Hesabu za Serikali (PAC).
Mafanikio haya yanatokana na jitihada mbali mbali zinazochukuliwa na Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar katika kuimarisha uwajibikaji na uwazi katika utendaji na
nidhamu katika matumizi ya rasilimali za umma na kupelekea kuongezeka kwa kasi
ya maendeleo nchini kutokana na kuimarika kwa hali ya uchumi na kuleta tija kwa
wananchi wa Zanzibar.
1.6 KAMATI ZA BARAZA LA WAWAKILISHI
Tunatoa shukurani za dhati kwa wenyeviti na wajumbe wa kamati zote za Baraza la
Wawakilishi kwa jitihada zao wanazochukuwa kusimamia uwajibikaji katika
kutekeleza majukumu yao kwa sekta mbali mbali.
Kamati za Baraza la Wawakilishi ni muhimu sana katika kuimarisha uwajibikaji na
kuleta ufanisi katika kufikia malengo ya Serikali iliyojipangia. Kamati hizi zinatoa
mchango mkubwa katika kujenga na kusimamia misingi ya Utawala Bora na
uwajibikaji wa matumizi ya rasilimali za umma.
7
Kutokana na umuhimu mkubwa wa Kamati za Baraza la Wawakilishi, Ofisi imekuwa
ikishirikiana na Kamati hizo katika kufuatilia utekelezaji wa bajeti ya Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na kuhakikisha kwamba taasisi za Serikali
zinatekeleza malengo waliyojipangia kama yalivyoanishwa katika Bajeti
zilizoidhinishwa na Baraza la Wawakilishi.
Aidha Kamati ya Kudhibiti na Kuchunguza Hesabu za Serikali (PAC) inatoa mchango
mkubwa katika kusimamia uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali za umma na
Kamati hii imekuwa ikishirikiana na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu katika
kufuatilia ripoti zake na kutoa ushauri na mapendekezo mbali mbali kwa Serikali kwa
lengo la kuimarisha ufanisi, uwazi na uwajibikaji kwa matumizi ya rasilimali hizo kwa
maendeleo ya wananchi wa Zanzibar.
Shukurani za pekee ziwaendee wenyeviti na wajumbe wa Kamati ya Kudhibiti na
kuchunguza Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Sheria,Utawala Bora na Idara
Maalum pamoja na Kamati ya Bajeti kwa jitihada mbali mbali wanazochukuwa katika
kutoa maelekezo,ushauri na maoni kwa lengo la kuimarisha utendaji wa kazi kwa
Ofisi pamoja na Serikali kwa ujumla.
Maelekezo , ushauri, maoni na michango inayotolewa na Wenyeviti na Wajumbe wa
Kamati zote za Baraza la Wawakilishi yamesaidia kwa kiasi kikubwa kuimarika kwa
uwajibikaji na nidhamu ya matumizi ya rasilimali za umma na kuongezeka kwa
ufanisi na tija katika utekelezaji wa mipango ya Serikali na kupelekea kuimarika kwa
hali ya uchumi wa nchi na wananchi kwa ujumla.
1.7 SHUKURANI
Napenda kutoa shukurani kwa wote waliochangia kwa namna moja au nyengine
kuanzia kazi za ukaguzi, ufuatiliaji wa maeneo mbali mbali yaliyokaguliwa hadi
kukamilika kwa ripoti hii ya ukaguzi ya mwaka 2017/2018.
Nichukue fursa hii kumshukuru na kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein kwa jitihada zake
anazozichukuwa katika kufuatilia Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali kwa lengo la kusimamia uwajibikaji wa matumizi ya rasilimali za umma na
kupelekea kuimarisha utawala bora nchini.
8
Natoa shukurani zangu za dhati kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa jitihada
mbali mbali zinazochukuliwa katika kuimarisha Ofisi hii kiutendaji na watendaji kwa
ujumla. Vile vile napenda kuwapongeza na kuwashukuru wafanyakazi wote wa Ofisi
ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa juhudi zao wanazochukuwa
hadi kufanikisha kukamilika kwa ripoti hii kwa wakati.
Aidha, ninawashukuru viongozi na watendaji wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar na watendaji wa taasisi mbali mbali za Serikali kwa mashirikiano mazuri
wanayotupa wakati wa kutekeleza kazi zetu za ukaguzi.
Kwa mara nyengine tena napenda kuzishukuru Kamati ya Kudhibiti na Kuchunguza
Hesabu za Serikali (PAC),Kamati ya Bajeti na Kamati ya Sheria,Utawala Bora na
Idara Maalum za Baraza la Wawakilishi pamoja na wale wote waliochangia kwa njia
moja au nyengine katika kuleta maendeleo katika Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
wa Hesabu za Serikali.
………………………………...
FATMA MOHAMED SAID
MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI
ZANZIBAR
9
SURA YA PILI
2.0 HATI ZA UKAGUZI
Lengo la kufanya ukaguzi wa mahesabu ya Serikali ni kutoa maoni juu ya mahesabu
hayo kuhusu usahihi wa taarifa za fedha zilizotayarishwa iwapo zimefuata viwango
vya utayarishaji wa taarifa za fedha kitaifa na kimataifa.
Hati za ukaguzi zinatolewa kutokana na matokeo ya ukaguzi uliofanyika ambapo hati
hizo huonesha aina ya hati inayotolewa kulingana na taarifa za hesabu zilizokaguliwa
zenye kuonyesha hali halisi ya hesabu hizo.
2.1 Aina ya Hati za Ukaguzi
Aina tofauti ya hati za ukaguzi zinatolewa kwa mazingira tofauti kulingana na usahihi
wa hesabu zilizokaguliwa. Hati zenyewe ni kama zifuatazo:-
Hati inayoridhisha, Hati isiyoridhisha, Hati yenye mashaka na Hati mbaya.
2.1.1 Hati inayoridhisha
Hati ya aina hii inatolewa pale ambapo ukaguzi umejiridhisha kutokana na kukidhi
viwango vilivyotumika katika uandaaji wa hesabu, usahihi wa taarifa pamoja na
ushahidi uliopatikana wakati wa ukaguzi, na kupelekea kutoa sura sahihi na halisi ya
hesabu hizo.
2.1.2 Hati isiyoridhisha
Hati ya aina hii inatolewa pale ambapo ukaguzi umejiridhisha kwamba taarifa za
hesabu zilizoandaliwa imebainika kuwa zina dosari kubwa na za umuhimu, dosari
ambazo zinaweza kusababisha taarifa za hesabu kupoteza uhalisia wake na hivyo
kutoaminiwa na kupelekea kutokuonyesha sura sahihi na halisi ya hesabu hizo.
2.1.3 Hati yenye shaka
Hati ya aina hii hutolewa baada ya Ukaguzi kujiridhisha kuwa, kulingana na ushahidi
wa kiukaguzi mambo yafuatayo yamejitokeza.
Taarifa za fedha zilizoandaliwa zina dosari kubwa ambazo zinaweza kuathiri hesabu
endapo zikichukuliwa aidha moja baada ya moja au kwa ujumla wake kwenye taarifa
hizo haitoweza kuleta sura sahihi na halisi za hesabu hizo.
10
Pale ambapo ukaguzi umeshindwa kupata taarifa, nyaraka na vielelezo vya kutosha
vitakavyosaidia kufanya ukaguzi na kuweza kutoa maoni ya ukaguzi kwa hesabu
hizo.
Kuwepo kwa kiasi kikubwa cha mapato na matumizi yasiyokua na nyaraka muhimu
na kufanya matumizi bila ya kuwa na kibali halali au matumizi ya mapato ambayo
hayakuidhinishwa kutumika.
Kutozingatiwa kwa sheria na kanuni mbali mbali ambapo kunapelekea madhara
makubwa ambayo yanaweza kusababisha kutokutoa sura sahihi na halisi ya hesabu
hizo kwa mfano, kuwa na vitu ambavyo vilitakiwa kuripotiwa kwenye taarifa za
hesabu lakini havikuripotiwa na manunuzi ya vifaa hayakufuata sheria na kanuni za
manunuzi.
Kufanya matumizi ambayo hayakuleta tija kwa taasisi husika.
Kutofanyika kwa usuluhisho wa benki hali inayopelekea kushindwa kupata usahihi
wa salio la fedha mwishoni mwa mwaka wa fedha.
2.1.4 Hati mbaya
Hati hii hutolewa pale ambapo ukaguzi umeshindwa kupata nyaraka na vielelezo vya
kutosha wakati wa ukaguzi ili kuweza kutoa maoni ya ukaguzi kutokana na
mapungufu yaliyojitokeza na kushindwa kugundua mambo ambayo yanaweza
kusababisha madhara makubwa katika Taasisi.
2.2 HATI ZA UKAGUZI ZILIZOTOLEWA KWA MWAKA WA FEDHA
2017/2018
Katika mwaka wa fedha 2017/2018 jumla ya hati za ukaguzi sitini na saba (67)
zimetolewa kwa Mawizara na taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar. Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu
kwa mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za mawizara na taasisi za
Serikali zimeonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na
kimataifa kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni 2018.
11
Kwa hali hiyo mawizara na taasisi za Serikali zimepata hati zinazoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 kama inavyoonekana katika jadweli
lifuatalo:-
Jadweli nambari 1
Nam Fungu Wizara/Taasisi Aina ya Hati iliyotolewa
1 A 01 Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Hati inayoridhisha
2 A 02 Ofisi ya Rais Baraza la Mapinduzi – BLM
Hati inayoridhisha
3 C 01 Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais Hati inayoridhisha
4 C 02 Baraza la Wawakilishi Hati inayoridhisha
5 C 03 Tume ya Uchaguzi Hati inayoridhisha
6 C 04 Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Dawa za kulevya.
Hati inayoridhisha
7 C 05 Tume ya Ukimwi Hati inayoridhisha
8 D 01 Wizara ya Nchi (OR) Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum
Hati inayoridhisha
9 D 02 Jeshi la Kujenga Uchumi – JKU Hati inayoridhisha
10 D 03 Chuo cha Mafunzo Hati inayoridhisha
11 D 04 Kikosi cha KMKM Hati inayoridhisha
12 D 05 Kikosi cha Zimamoto na Uokozi Hati inayoridhisha
12
13 D 06 Kikosi cha Valantia Hati inayoridhisha
14 D 07 Mkoa wa Mjini Magharibi Hati inayoridhisha
15 D 08 Mkoa wa Kusini Unguja Hati inayoridhisha
16 D 09 Mkoa wa Kaskazini Unguja Hati inayoridhisha
17 D 10 Mkoa wa Kusini Pemba Hati inayoridhisha
18 D 11 Mkoa wa Kaskazini Pemba Hati inayoridhisha
19 D 12 Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii
Hati inayoridhisha
20 F 01 Wizara ya Fedha na Mipango Hati inayoridhisha
21 F 02 Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali Hati inayoridhisha
22 F 03 Tume ya Mipango Hati inayoridhisha
23 G 01 Wizara ya Nchi (OR) Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Hati inayoridhisha
24 G 02 Mahkama Kuu Hati inayoridhisha
25 G 03 Afisi ya Mwanasheria Mkuu Hati inayoridhisha
26 G 04 Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Hati inayoridhisha
27 G 05 Tume ya Kurekebisha Sheria Hati inayoridhisha
28 G 07 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi
Hati inayoridhisha
13
29 G 08 Kamisheni ya Utumishi wa Umma Hati inayoridhisha
30 G 09 Tume ya Utumishi Serikalini Hati inayoridhisha
31 H 01 Wizara ya Afya Hati inayoridhisha
32 H 02 Hospitali ya Mnazi Mmoja Hati inayoridhisha
33 J 01 Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo
Hati inayoridhisha
34 J 02 Kamisheni ya Utalii Hati inayoridhisha
35 K 01 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Hati inayoridhisha
36 L 01 Wizara ya Kilimo, Maliasili , Mifugo na Uvuvi
Hati inayoridhisha
37 N 01 Wizara ya Ardhi, Makaazi ,Maji na Nishati
Hati inayoridhisha
38 P 01 Wizara ya Ujenzi Miundombinu, Mawasiliano na Usafirishaji
Hati inayoridhisha
39 Q 01 Wizara ya Kazi,Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto.
Hati inayoridhisha
40 R 01 Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko
Hati inayoridhisha
41 Ruzuku Baraza la Manispaa Mjini Hati inayoridhisha
42 Ruzuku Baraza la Manispaa Magharibi “A” Hati inayoridhisha
43 Ruzuku Baraza la Manispaa Magharibi “B” Hati inayoridhisha
44 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘A’ Hati inayoridhisha
14
45 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘B’ Hati inayoridhisha
46 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kati Hati inayoridhisha
47 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kusini Hati inayoridhisha
48 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni Hati inayoridhisha
49 Ruzuku Baraza la Mji Chake Chake Hati inayoridhisha
50 Ruzuku Baraza la Mji Mkoani Hati inayoridhisha
51 Ruzuku Baraza la Mji Wete Hati inayoridhisha
52 Ruzuku Shirika la Huduma za Maktaba Hati inayoridhisha
53 Ruzuku Mamlaka ya Usafiri Baharini Hati inayoridhisha
54 Ruzuku Mamlaka ya Udhibiti wa Mafuta na Gesi Asilia
Hati inayoridhisha
55 Ruzuku Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar
Hati inayoridhisha
56 Ruzuku Bodi ya Uhaulishaji Ardhi Zanzibar Hati inayoridhisha
57 Ruzuku Bodi ya Usajili Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo
Hati inayoridhisha
58 Ruzuku
Kamati ya Udhibiti wa Ujenzi wa Idara ya Mipango Miji na Vijiji
Hati inayoridhisha
59 Ruzuku
Bodi ya Usajili wa Wakandarasi Hati inayoridhisha
60 Ruzuku Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu Zanzibar
Hati inayoridhisha
15
61 Ruzuku
Wakala wa Serikali wa Huduma za Matrekta na zana za Kilimo
Hati inayoridhisha
62 Ruzuku
Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali Hati inayoridhisha
63 Ruzuku Wakala wa Chakula na Madawa Hati inayoridhisha
64 Ruzuku Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Hati inayoridhisha
65 Ruzuku Baraza la Mitihani Hati inayoridhisha
66 Ruzuku Taasisi ya Viwango Zanzibar Hati inayoridhisha
67 Mfuko Mkuu wa Serikali Hati inayoridhisha
16
SURA YA TATU
MATOKEO YA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI
3.0 MFUKO MKUU WA HAZINA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA
ZANZIBAR KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018
3.1 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI
3.1.1 Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2017/2018
Taarifa ya Mapato
Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 mapato yaliyokadiriwa kukusanywa
ni jumla ya shilingi 1,087,353,527,000. Makadirio hayo yalitarajiwa kutoka katika
vianzio mbali mbali ikiwemo mikopo, misaada ya kibajeti na washirika wa maendeleo
kama inavyoonekana katika jadweli lifuatalo:-
Jadweli nambari 2
Namba Vianzio vya
mapato Makadirio ya
mapato Mapato Halisi
Asilimia (%)
1 Mapato yatokanayo na kodi
613,798,985,000 627,000,000,000 102.15
2 Misaada kutoka kwa washirika wa maendeleo
381,489,000,000 194,410,000,000 50.96
3 Mikopo ya ndani 30,000,000,000 25,735,320,000 85.78
4 Gawio la Mashirika ya Serikali
3,000,000,000 1,544,867,000 51.50
5 Gawio la Benki Kuu (BOT)
3,000,000,000 13,500,000,000 450.00
6 Mapato yatokanayo na mitaji ya Umma
7,225,542,000 1,913,712,000 26.49
7 Mapato Mengineyo 48,840,000,000 48,955,585,000 100.23
Jumla Kuu 1,087,353,527,000 913,059,484,000
17
3.1.2 Mapato yatokanayo na makusanyo ya kodi
Kwa mwaka 2017/2018 Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilikadiria kukusanya jumla
ya shilingi 613,798,985,000 mapato yatokanayo na kodi.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 makusanyo halisi yatokanayo na kodi yalikua ni shilingi
627,000,000,000 ikiwa ni ongezeko la shilingi 13,281,013,000 ambapo ni sawa na
asilimia 2.0 ya ongezeko.
Ukaguzi umebaini kwamba makusanyo yatokanayo na kodi yameongezeka kutoka
shilingi 575,393,243,000 kwa mwaka 2016/2017 hadi kufikia shilingi
627,000,000,000 kwa mwaka 2017/2018 ikiwa ni ongezeko la shilingi
51,606,757,000 sawa na asilimia 9.0 ya ongezeko.
3.1.3 Ukusanyaji wa mapato katika Wizara na Taasisi za Serikali
Kwa kipindi cha mwaka 2017/2018 Wizara na Taasisi mbali mbali za Serikali
zilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 42,800,000,000.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 makusanyo halisi yalikua ni shilingi 48,955,585,000
ambapo ni sawa na asilimia 114 ya makadirio hivyo kuonyesha ongezeko la
makusanyo ya shilingi 6,155,585,000 sawa na asilimia 14 ya ongezeko.
Aidha, ukaguzi umebaini kwamba makusanyo yameongezeka kutoka shilingi
28,651,224,000 kwa mwaka 2016/2017 hadi kufikia shilingi 48,955,585,000 kwa
mwaka 2017/2018 ikiwa ni ongezeko la shilingi 20,304,361,000 sawa na asilimia 71
ya ongezeko.
Kuongezeka kwa makusanyo kumetokana na jitihada mbali mbali zinazochukuliwa na
Serikali katika kuimarisha usimamizi wa ukusanyaji wa mapato.
Taarifa ya Matumizi
Kwa upande wa matumizi Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilitarajia kutumia jumla
ya shilingi 1,087,300,000,000 kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ambapo shilingi
590,700,000,000 kwa kazi za kawaida na shilingi 496,600,000,000 kwa kazi za
maendeleo.
18
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilitumia jumla ya shilingi
933,657,507,000. Kati ya hizo shilingi 610,281,192,000 zilitumika kwa kazi za
kawaida na shilingi 301,496,734,000 kwa kazi za maendeleo.
3.1.4 Taarifa ya matumizi ya kazi za kawaida
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Serikali ilikadiria kutumia kiasi cha
shilingi 590,700,000,000 kwa ajili ya matumizi ya kazi za kawaida kutoka Mfuko
Mkuu wa Hazina ya Serikali ambapo jumla ya shilingi 610,281,192,000 zimetumika
kwa kazi mbali mbali za kawaida sawa na asilimia 103 ya makadirio, ikiwa ni
ongezeko la shilingi 19,581,192,000 sawa na asilimia 3.0 ya makadirio.
3.1.5 Taarifa ya matumizi ya kazi za maendeleo
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Serikali ilikadiria kutumia kiasi cha
shilingi 496,600,000,000 kwa ajili ya matumizi ya kazi za maendeleo kutoka Mfuko
Mkuu wa Hazina ya Serikali ambapo jumla ya shilingi 301,496,734,000 zimetumika
kwa kazi mbali mbali za maendeleo sawa na asilimia 61 ya makadirio.
3.1.6 Taarifa ya Deni la Serikali
Ukaguzi umebaini kwamba deni la Serikali katika kipindi cha mwaka wa fedha
uliyoishia 30 Juni, 2018 limefikia shilingi 311,889,976,440 ambalo linajumuisha deni
la ndani la shilingi 153,462,181,000 na deni la nje la shilingi 158,427,795,440 kama
inavyoonekana hapo chini: -
Jadweli nambari 3
Deni la Serikali
2016/2017 2017/2018 Ongezeko/ Upungufu
Asilimia (%)
(TSH) (TSH) (TSH)
Deni la Ndani
129,700,000,000 153,462,181,000 23,762,181,000 18.00
Deni la Nje
273,600,000,000 158,427,795,440 115,172,204,560 42.00
Jumla 403,300,000,000 311,889,976,440 91,410,023,560 23.00
19
SURA YA NNE
4.0 MAMBO YALIYOBAINIKA KATIKA UKAGUZI KWA MWAKA WA FEDHA
2017/2018
4.1 Utekelezaji wa Hoja za Ukaguzi uliopita wa Mwaka wa Fedha
2016/2017
Katika ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2016/2017 mapendekezo mbali mbali
yalitolewa kutokana na dosari zilizobainika wakati wa ukaguzi, matokeo ya ukaguzi
wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 yameonesha kuchukuliwa kwa hatua
mbali mbali za kurekebisha dosari hizo.
Kutokana na tathmini ya utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa katika hoja za
ukaguzi za mwaka wa fedha 2016/2017 zilizotolewa kwa Wizara mbali mbali
tumebaini kwamba mapendekezo na ushauri uliotolewa umefanyiwa kazi na
kuonesha kuimarika kwa nidhamu ya matumizi ya fedha na rasilimali za umma na
kupelekea kuleta ufanisi katika utekelezaji wa malengo ya Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar.
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali itaendelea kutoa ripoti za
ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na kutoa ushauri na
mapendekezo mbali mbali katika kufuatwa kwa sheria ya Usimamizi wa fedha za
Umma, sheria ya manunuzi na uondoshaji wa mali za Umma pamoja na viwango vya
utayarishaji wa taarifa za hesabu ili kuimarisha uwajibikaji na usimamizi mzuri wa
rasilimali za umma ili kufikia lengo la kuimarisha Utawala bora na kuinua uchumi wa
nchi kwa maslahi ya wananchi wa Zanzibar.
Aidha, tunapongeza juhudi mbali mbali zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar katika kusimamia nidhamu ya matumizi ya fedha na rasilimali za umma na
kupelekea kuimarika kwa utendaji na uwajibikaji katika Taasisi za umma.
4.2 Uwasilishaji wa hesabu za mwisho wa mwaka wa fedha 2017/2018
kwa ajili ya ukaguzi
Kwa mujibu wa kifungu namba 119(1) cha Sheria ya Usimamizi wa Fedha za Umma
Namba 12 ya mwaka 2016, Wizara na Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
20
zinatakiwa zitayarishe na ziwasilishe kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali, hesabu za mwisho wa mwaka ndani ya miezi mitatu baada ya kumalizika
mwaka wa fedha ambapo hesabu hizo zitajumuisha taarifa za mapato na matumizi
ya Taasisi hizo.
Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 imebainika kwamba uwasilishaji wa
taarifa za hesabu za Serikali umeimarika ambapo hesabu hizo zimewasilishwa kwa
wakati kama ifuatavyo:-
Jadweli nambari 4
Nam Fungu Wizara/Taasisi Tarehe iliyowasilishwa kwa ukaguzi
2016/2017 2017/2018
1 A01 Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
26/09/2017 14/09/2018
2 A02 Ofisi ya Rais Baraza la Mapinduzi – BLM
28/09/2017 27/09/2018
3 C01 Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais
27/09/2017 26/09/2018
4 C02 Baraza la Wawakilishi 29/09/2017 25/09/2018
5 C03 Tume ya Uchaguzi 29/09/2017 27/09/2018
6 C04 Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Dawa za kulevya.
29/09/2017 28/09/2018
7 C05 Tume ya Ukimwi 29/09/2017 12/9/2018
8 D01
Wizara ya Nchi (OR) Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum
28/09/2017 28/09/2018
9 D02 Jeshi la Kujenga Uchumi – JKU
29/09/2017 17/09/2018
21
10 D03 Chuo cha Mafunzo 26/09/2017 26/09/2018
11 D04 Kikosi cha KMKM 29/09/2017 28/09/2018
12 D05 Kikosi cha Zimamoto na Uokozi
28/09/2017 27/08/2018
13 D06 Kikosi cha Valantia 28/09/2017 28/09/2018
14 D07 Mkoa wa Mjini Magharibi
26/09/2017 29/08/2018
15 D08 Mkoa wa Kusini Unguja 26/09/2017 2/10/2018
16 D09 Mkoa wa Kaskazini Unguja
29/09/2017 28/09/2018
17 D10 Mkoa wa Kusini Pemba 29/09/2017 28/09/2018
18 D11 Mkoa wa Kaskazini Pemba
28/09/2017 28/09/2018
19 D12 Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii
29/09/2017 22/10/2018
20 F01 Wizara ya Fedha na Mipango
29/09/2017 26/09/2018
21 F02 Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali
22/01/2018 3/12/2018
22 F03 Tume ya Mipango 26/09/2017 28/09/2018
23 G01
Wizara ya Nchi (OR) Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora
29/09/2017 28/09/2018
22
24 G02 Mahkama Kuu 25/09/2017 3/10/2018
25 G03 Afisi ya Mwanasheria Mkuu
28/09/2017 26/09/2018
26 G04 Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka
28/09/2017 1/10/2018
27 G05 Tume ya Kurekebisha Sheria
29/09/2017 27/09/2018
28 G07 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi
29/09/2017 28/09/2018
29 G08 Kamisheni ya Utumishi wa Umma
30/09/2017 18/09/2018
30 G09 Tume ya Utumishi Serikalini
25/09/2017 26/09/2018
31 H01 Wizara ya Afya 29/09/2017 28/09/2018
32 H02 Hospitali ya Mnazi Mmoja
27/09/2017 24/09/2018
33 J01 Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo
28/09/2017 29/09/2018
34 J02 Kamisheni ya Utalii 29/09/2017 28/09/2018
35 K01 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
28/09/2017 27/09/2018
36 L01 Wizara ya Kilimo, Maliasili , Mifugo na Uvuvi
26/09/2017 8/10/2018
37 N01 Wizara ya Ardhi, Makaazi ,Maji na Nishati
29/09/2017 3/10/2018
23
38 P01
Wizara ya Ujenzi Miundombinu, Mawasiliano na Usafirishaji
28/09/2017 21/09/2018
39 Q01
Wizara ya Kazi,Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto.
28/09/2017 28/09/2018
40 R01 Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko
29/09/2017 8/9/2018
41 Ruzuku Baraza la Manispaa Magharibi “A”
28/09/2017 28/09/2018
42
Ruzuku Baraza la Manispaa Magharibi “B”
25/09/2017 26/09/2018
43
Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘A’
6/10/2017 26/09/2018
44
Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘B’
21/09/2017 19/09/2018
45
Ruzuku Halmashauri ya Wilaya ya Kati
29/09/2017 28/09/2018
46 Ruzuku Halmashauri ya Wilaya
ya Kusini 28/09/2017 29/09/2018
47 Ruzuku
Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni
27/09/2017 28/09/2018
48 Ruzuku
Baraza la Mji Chake Chake
2/10/2017 26/09/2018
49 Ruzuku
Baraza la Mji Mkoani 28/09/2017 26/09/2018
50
Ruzuku
Baraza la Mji Wete 29/09/2017 28/09/2018
51
Ruzuku Baraza la Manispaa Mjini
20/12/2017 25/09/2018
52
Ruzuku Shirika la Huduma za Maktaba
29/09/2017 28/09/2018
24
53 Ruzuku Mamlaka ya Usafiri Baharini
29/09/2017 27/09/2018
54 Ruzuku Mamlaka ya Udhibiti wa Mafuta na Gesi asilia (ZPRA)
- 30/10/2018
55
Ruzuku Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar
11/9/2017 20/09/2018
56
Ruzuku Bodi ya Uhaulishaji Ardhi Zanzibar
2/10/2017 1/10/2018
57 Ruzuku
Bodi ya Usajili, Wasanifu, Wahandisi, na Wakadiriaji wa Majengo
- 27/08/2018
58 Ruzuku Kamati ya Udhibiti wa Ujenzi Idara ya Mipango Miji na Vijiji
- 28/09/2018
59 Ruzuku Bodi ya Usajili wa Wakandarasi
28/09/2017 28/09/2018
60 Ruzuku Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu Zanzibar
12/9/2017 28/09/2018
61 Ruzuku Wakala wa Serikali wa Huduma za Matrekta na zana za Kilimo
- 28/09/2018
62 Ruzuku Wakala wa Usajili wa Biashara na Mali (BPRA)
- 17/10/2018
63 Ruzuku Wakala wa Chakula na Madawa (ZFDA)
- 21/11/2018
64 Ruzuku Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali
2/10/2017 28/09/2018
65 Ruzuku Baraza la Mitihani 29/09/2017 28/09/2018
66 Ruzuku Taasisi ya Viwango Zanzibar
27/12/2017 12/11/2018
25
67 Hesabu za Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali
29/09/2017 28/09/2018
4.3 Utekelezaji wa Bajeti kwa Mwaka 2017/2018
Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 umebaini kuimarika
kwa ukusanyaji wa mapato yanayokusanywa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
kupitia vyanzo mbali mbali, pamoja na kuongezeka kwa udhibiti wa matumizi ya
fedha za Serikali na kupelekea kuimarika kwa hali ya uchumi na kuiwezesha Serikali
ya Mapinduzi ya Zanzibar kutekeleza mipango iliyojipangia kwa ufanisi mkubwa.
Hali halisi ya utekelezaji wa bajeti kwa taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
ilikuwa kama ifuatavyo:-
Jadweli nambari 5
NAM
FUNGU
WIZARA/
TAASISI
MAKADIRIO
(SH)
MATUMIZI
HALISI
(SH)
ASILIMIA
ONGEZEKO/
(UPUNGUFU)
1 A 01 Ofisi ya Rais
na Mwenyekiti
wa Baraza la
Mapinduzi
6,634,700,000 6,688,763,181 100.8 54,063,181
2 A 02 Ofisi ya Rais
Baraza la
Mapinduzi –
BLM
1,707,900,000 1,692,825,552 99.12 (15,074,448)
3 C 01 Afisi ya
Makamo wa
Pili wa Rais
10,587,862,440 9,812,483,641 93 (775,378,799)
4 C 02 Baraza la
Wawakilishi
18,661,700,000 18,370,751,511 99 (290,948,489)
5 C 03 Tume ya
Uchaguzi
2,695,500,000 1,689,124,141 63.0 (1,006,375,859)
6 C 04 Tume ya
Kitaifa ya
602,491,663 511,539,228 84.9 (90,952,435)
26
Kuratibu na
Udhibiti wa
Dawa za
kulevya.
7 C 05 Tume ya
Ukimwi
846,800,000 823,651,354 97.3 (23,148,646)
8 D 01 Wizara ya Nchi
(OR) Tawala
za
Mikoa,Serikali
za Mitaa na
Idara Maalum
27,325,200,000 26,436,952,521 87 (888,247,479)
9 D 02 Jeshi la
Kujenga
Uchumi – JKU
20,607,409,126 20,596,574,933 99.9 (10,834,193)
10 D 03 Chuo cha
Mafunzo
14,128,600,000 15,040,959,560 106.5 912,359,560
11 D 04 Kikosi cha
KMKM
26,269,042,650 26,178,116,939 99 (90,925,711)
12 D 05 Kikosi cha
Zimamoto na
Uokozi
7,850,500,000 7,600,195,504 97 250,304,496
13 D 06 Kikosi cha
Valantia
10,188,400,000 11,013,140,628 108 824,740,628
14 D 07 Mkoa wa Mjini
Magharibi
7,756,097,775 7,363,331,053 94.0 (392,766,722)
15 D 08 Mkoa wa
Kusini Unguja
2,817,900,000 2,456,757,683 87.2 (361,142,317)
16 D 09 Mkoa wa
Kaskazini
Unguja
1,341,070,350 1,339,022,100 99.85 (2,048,250)
17 D 10 Mkoa wa
Kusini Pemba
3,682,455,000 3,352,582,000 91.0 (329,873,000)
18 D 11 Mkoa wa
Kaskazini
Pemba
3,496,820,090 3,239,157,771 92.6 (257,662,319)
19 D 12 Wakala wa 3,160,800,000 2,150,790,135 68 (1,010,009,865)
27
Usajili wa
Matukio ya
Kijamii
20 F 01 Wizara ya
Fedha na
Mipango
85,845,248,000 70,691,530,004 82.3 (15,153,717,996)
21 F 02 Huduma za
Mfuko Mkuu
wa Serikali
150,710,000,000 140,163,426,544 93.0 (10,546,573,456)
22 F 03 Tume ya
Mipango
9,430,837,000 5,475,616,341 58.06 (3,955,220,659)
23 G 01 Wizara ya
Katiba,Sheria,
Utumishi wa
Umma na
Utawala Bora
8,359,602,548 7,468,523,373.2 89.34 (891,079,175)
24 G 02 Mahkama Kuu 7,172,000,000 6,576,413,655 92.0 (595,586,345)
25 G 03 Afisi ya
Mwanasheria
Mkuu
1,646,110,000 1,473,234,600.55 89.50 (172,875,399.45)
26 G 04 Afisi ya
Mkurugenzi wa
Mashtaka
2,478,803,180 2,372,872,499 93.63 (105,930,681)
27 G 05 Tume ya
Kurekebisha
Sheria
584,400,000 576,451,840 98.64 (7,948,160)
28 G 07 Mamlaka ya
Kuzuia Rushwa
na Uhujumu
Uchumi
1,334,700,000 1,234,003,046 92.5 100,696,954
29 G 08 Kamisheni ya
Utumishi wa
Umma
940,300,000 818,323,950 87.03 121,976,050
30 G 09 Tume ya
Utumishi
Serikalini
511,800,000 441,000,000 86.1 70,800,000
31 H 01 Wizara ya Afya 72,940,362,000 50,175,548,968.76 69.0 22,764,813,034.76
28
32 H 02 Hospitali ya
Mnazi Mmoja
11,942,111,040 11,292,015,980 94.56 (650,095,060)
33 J 01 Wizara ya
Habari, Utalii,
Utamaduni na
Michezo
17,807,832,000 11,797,188,503 66.24 (6,010,643,497)
34 J 02 Kamisheni ya
Utalii
1,577,800,000 1,407,224,194.6 90.0 (170,575,805.40)
35 K 01 Wizara ya
Elimu na
Mafunzo ya
Amali
186,587,933,200 175,356,766,286 93 (11,231,166,914)
36 L 01 Wizara ya
Kilimo, Maliasili
, Mifugo na
Uvuvi
70,708,964,575 32,284,054,782 46 (38,424,909,793)
37 N 01 Wizara ya
Ardhi, Makaazi
,Maji na
Nishati
47,508,574,000 24,676,890,364 52.0 (22,831,683,636)
38 P 01 Wizara ya
Ujenzi
Miundombinu,
Mawasiliano na
Usafirishaji
190,218,202,000
129,087,549,180
67.86
(61,130,652,819)
39 Q 01 Wizara ya
Kazi,Uwezesha
ji, Wazee,
Vijana,
Wanawake na
Watoto
14,555,740,000
14,010,507,183
96.25
(545,232,817)
40 R 01 Wizara ya
Biashara,
Viwanda na
Masoko
8,460,037,426 6,868,681,908.2 81.2 (1,591,355,511)
29
SURA YA TANO
5.0 MATOKEO YA UKAGUZI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018
Katika ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 imebainika kwamba
mfumo wa uwekaji wa kumbu kumbu na taarifa mbali mbali za hesabu ikiwemo
fedha na rasilimali za umma pamoja na mfumo wa udhibiti wa ndani umekuwa
ukiimarika ingawa kumejitokeza dosari za kiutendaji mbali mbali.
Katika ukaguzi huo kulijitokeza dosari za kiutendaji kwa baadhi ya Wizara na Taasisi
za Serikali ambapo baadhi ya dosari ziliweza kurekebishwa na kupatiwa ufafanuzi
wakati wa ukaguzi, aidha kuna baadhi ya hoja za ukaguzi ambazo hazikuweza
kupatiwa ufafanuzi hadi ukaguzi unakamilika. Matokeo ya ukaguzi huo ni kama
ifuatavyo:-
5.1 WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA
MAPINDUZI
5.1.1 FUNGU A 01 - OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA
MAPINDUZI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi umefanywa kwa kuzingatia Sheria,kanuni,
taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na
kimataifa.
Taarifa ya matumizi
Wizara ya Nchi Ofisi ya Raisi na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ilikadiria kutumia
jumla ya shilingi 5,904,700,000 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na jumla ya shilingi
730,000,000 kwa ajili ya kutekeleza kazi za maendeleo. Hadi kufikia 30 Juni, 2018
jumla ya shillingi 5,966,763,181 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida sawa
na asilimia 101.05, na jumla ya shilingi 722,000,000 ziliingizwa na kutumika kwa kazi
za maendeleo sawa na asilimia 98.90
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais na
30
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018
zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na
kimataifa.
Kwa hali hiyo Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.1.2 FUNGU A 02 – OFISI YA RAIS BARAZA LA MAPINDUZI – BLM
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Ofisi ya Rais Baraza la
Mapinduzi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Kwa mwaka wa fedha unaoishia 2017/2018 Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 1,707,900,000 kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 1,692,825,552 zimeingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 99 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Rais Baraza la Mapinduzi
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Ofisi ya Rais Baraza la Mapinduzi imepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
31
5.2 WIZARA YA NCHI (OR) TAWALA ZA MIKOA, SERIKALI ZA MITAA NA
IDARA MAALUM
5.2.1 FUNGU D 01 - WIZARA YA NCHI (OR) TAWALA ZA MIKOA NA IDARA
MAALUM
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Nchi (OR) Tawala
za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum umefanywa kwa kuzingatia Sheria,
kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya
kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Wizara Nchi (OR) Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum ilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 5,620,800,000 kwa kazi za kawaida, shilingi
20,500,000,000 kwa kazi za maendeleo na shilingi 1,605,000,000 kutoka katika
mfuko wa barabara katika kipindi kinachoishia 30 Juni 2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 4,331,952,521 zimeingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 77 ya makadirio, na shilingi 20,500,000,000
kwa matumizi ya maendeleo sawa na asilimia 100 ya makadirio na shilingi
1,605,000,000 kutoka katika mfuko wa barabara sawa na asilimia 100 ya makadirio.
MATOKEO YA UKAGUZI
5.2.1.1 Kukosekana kwa vielelezo vya matumizi ya fedha za Mfuko wa
Bara Bara shilingi 1,421,579,101.
Ukaguzi umebaini kuwa katika mwaka wa fedha 2017/2018 Wizara ya Nchi Ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum ilipokea jumla ya shilingi
1,605,000,000 kutoka mfuko wa bara bara kwa ajili ya matengenezo ya barabara za
ndani (Feeder Road) ukaguzi umebaini katika hesabu nambari 021103000697
(feeder Road Account) matumizi halisi yaliofanyika kwa ajili ya kazi za utengezaji wa
bara bara za ndani ni jumla ya shilingi 183,420,899 ukaguzi umeshindwa kukagua
matumizi na vielelezo vya jumla ya shilingi 1,421,579,101 kufanya hivyo ni kwenda
kinyume na Sheria ya Usimamizi wa Fedha za Umma namba 12 ya mwaka 2016,
Maelezo ya matumizi ya fedha hizo yanaonekana katika jadweli;
32
Jadweli namba 6:
JUMLA YA FEDHA ILIYORIPOTIWA KATIKA TAARIFA YA HESABU ZA MWISHO WA MWAKA
MATUMIZI HALISI YALIOPATIKANA KWA UKAGUZI.
TOFAUTI AMBAYO HAIKUPATIKANA KWA UKAGUZI
1,605,000,000.00
183,420,899.00
1,421,579,101.00
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Nchi (OR) Tawala za
Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni,
2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na
kimataifa.
Kwa hali hiyo Wizara ya Nchi (OR) Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara
Maalum imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.2 FUNGU D 02 - JESHI LA KUJENGA UCHUMI (JKU)
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Jeshi la Kujenga Uchumi
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Jeshi la kujenga Uchumi kwa mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa kukusanya
jumla ya shilingi 84,555,000 kupitia vyanzo vyake vya mapato, hadi kufikia 30 Juni
2018 jumla ya shilingi 55,764,100 zilikusanywa ikiwa sawa na asilimia 65 ya
makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Jeshi la kujenga Uchumi kwa mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa kutumia jumla
ya shilingi 19,407,409,126 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi
1,200,000,000 kwa matumizi ya kazi za maendeleo.
Hadi kufikia 30 Juni 2018, jumla ya shilingi 19,396,574,933 zimeingizwa na
kutumika kwa kazi za kawaida ambazo ni sawa na asilimia 99 ya makadirio na jumla
33
ya shilingi 1,200,000,000 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo ambazo
ni sawa na asilimia 100 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Jeshi la Kujenga Uchumi kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Jeshi la Kujenga Uchumi limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.3 FUNGU D 03 – CHUO CHA MAFUNZO
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Chuo cha Mafunzo
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Chuo cha Mafunzo kilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 78,051,000 katika kipindi
cha mwaka 2017/2018, hadi kufikia Juni 2018 Jumla ya shilingi 33,000,000
zilikusanywa sawa na asilimia 42 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Chuo cha Mafunzo kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kilikadiriwa kutumia jumla ya
shilingi 14,128,600,000 kati ya hizo shilingi 12,528,600,000 kwa matumizi ya kazi za
kawaida, na shilingi 1,600,000,000 kwa ajili ya kazi za maendeleo. Hadi kufikia 30
Juni 2018, kiasi cha shilingi 13,453,959,560 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za
kawaida ambazo ni sawa na asilimia 95 ya makadirio na shilingi 1,587,000,000
zilitumika kwa kazi za maendeleo ikiwa sawa na asilimia 99 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Chuo cha Mafunzo kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na
vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
34
Kwa hali hiyo Chuo cha Mafunzo kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.4 FUNGU D 04 - KIKOSI MAALUM CHA KUZUIA MAGENDO (KMKM)
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Kikosi cha KMKM umefanywa kwa
kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana
na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 22,149,042,650 kwa matumizi ya kazi za kawaida, na
jumla ya shilingi 4,120,000,000 kwa kazi za maendeleo, hadi kufikia 30 Juni 2018,
jumla ya shilingi 22,092,436,090 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida
ambazo ni sawa na asilimia 99 ya makadirio na jumla ya shilingi 4,085,680,849
sawa na asilimia 99 ya makadirio.
MATOKEO YA UKAGUZI
5.2.4.1 Dosari katika utayarishaji wa malipo shilingi 1,456,010,000
Ukaguzi umebaini katika hesabu ya matumizi ya maendeleo kikosi Maalum Cha
Kuzuia Magendo kimefanya malipo ya shilingi 1,456,010,000 kwa ajili ya ununuzi wa
vifaa pamoja na gharama za ujenzi wa hospitali ya mama na watoto, dosari
iliyobainika na ukaguzi ni kufanyika kwa malipo ya ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa
njia ya fedha taslimu (Cash Payment) badala ya kutumia hundi zenye jina la
msambazaji wa vifaa husika kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria ya
usimamizi wa fedha za umma sheria nambari 12 ya mwaka 2016, uchambuzi wa
Malipo hayo unaonekana katika jadweli hapo chini.
35
Jadweli namba 7:
Nambari ya Hati ya Malipo
Nambari ya Hundi
Jumla ya fedha
iliyolipwa Alielipwa Maelezo ya Malipo
1/8
TT 132,231,000 KMKM CANTEEN
Ikiwa ni Malipo ya ujenzi wa bweni [hanga] pamoja na kota guard kambi ya kojani pemba
2/8
TT 262,560,000 KMKM CANTEEN
Ikiwa ni malipo kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya ujenzi wa jingo la hospitali la mama na watoto
3/11
TT 85,125,000 KMKM CANTEEN
Ikiwa ni Malipo ya gharama ya ujenzi wa jengo la hospital la mama wajawazito
1/1
TT 174,595,000 KMKM CANTEEN
Ikiwa ni Malipo ya gharama ya ujenzi wa jengo la hospital la mama wajawazito
2/1
TT 225,405,000 KMKM CANTEEN
Ikiwa ni Malipo ya gharama ya ujenzi wa jengo la hospital la mama wajawazito
1/5
TT 342,000,000 KMKM CANTEEN
Ikiwa ni malipo ya gharama za umalizaji wa jengo la mama waja wazito na watoto KMKM
2/5
TT 234,094,000 KMKM CANTEEN
Malipo ya ujenzi wa hanga la kulala maskari kambi ya makombeni Pemba
Jumla 1,456,010,000
36
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kikosi cha Kuzuia Magendo kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Kikosi cha Kuzuia Magendo kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.5 FUNGU D 05 – KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOZI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Kikosi cha Zimamoto na Uokozi
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Kikosi cha Zimamoto na Uokozi kilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 52,034,000
kwa kipindi cha mwaka 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 52,288,300 zilikusanywa na kuingizwa
katika Mfuko Mkuu ambapo sawa na asilimia 100.4 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Kikosi cha Zimamoto na Uokozi kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 7,850,500,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni 2018, kiasi cha shilingi 7,600,195,504 zimeingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida ambazo ni sawa na asilimia 97 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kikosi cha Zimamoto na Uokozi
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Kikosi cha Zimamoto na Uokozi kimepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
37
5.2.6 FUNGU D 06 - KIKOSI CHA VALANTIA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Kikosi cha Valantia umefanywa kwa
kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana
na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Katika mwaka wa fedha 2017/2018 kikosi cha Valantia kilikadiriwa kukusanya jumla
ya shilingi 651,061,248 kutoka vyanzo vyake hadi kufikia Juni 30 Jumla ya shilingi
651,061,248 sawa na asilimia 100 ya makadirio
Taarifa ya Matumizi
Katika mwaka wa fedha 2017/2018 Kikosi cha Valantia kilikadiriwa kutumia jumla ya
shilingi 9,788,400,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida na shilingi 400,000,000 kwa
kazi za maendeleo, hadi kufikia Juni 30 jumla ya shilingi 10,737,265,628 zilipatikana
ikiwa sawa na asilimia 109 ya makadirio na jumla ya shilingi 248,875,000 kwa kazi
za maendeleo ikiwa sawa na asilimia 62 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kikosi cha Valantia kwa mwaka
wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Kikosi cha Valantia kimepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.7 WAKALA WA USAJILI WA MATUKIO YA KIJAMII
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Wakala wa Usajili wa Matukio ya
Kijamii umefanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Katika mwaka wa fedha 2017/2018 Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii
walikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 275,230,000 kutoka vyanzo vyake hadi
kufikia Juni 30 Jumla ya shilingi 240,597,350 sawa na asilimia 87 ya makadirio
38
Taarifa ya Matumizi
Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 2,660,800,000 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi
500,000,000 kwa kazi za maendeleo. Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi
2,105,790,135 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida ambayo ni sawa na
asilimia 96.4 ya makadirio na jumla ya Shilingi 45,000,000 kwa kazi za maendeleo
ikiwa sawa na asilimia 9 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wakala wa Usajili wa Matukio ya
Kijamii kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na
halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii imepata hati inayoridhisha
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.8 FUNGU D 07 – MKOA WA MJINI MAGHARIBI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Mkoa wa Mjini Magharibi
umefanywa kwa kuzingatia sheria,kanuni,taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Mkoa wa Mjini Magharibi ulikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 44,030,000 katika
kipindi cha mwaka 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Mkoa wa Mjini Magharibi ulikusanya jumla ya shilingi
46,053,700 sawa na asilimia 105 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Mkoa wa Mjini Magharibi kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ulikadiriwa kutumia jumla
ya shilingi 2,375,323,060 kwa matumizi ya kazi za kawaida. Aidha Mkoa wa Mjini
Magharibi ulikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 5,380,774,715 ikiwa ni ruzuku kwa
Manispaa za Mkoa wa Mjini Magharibi.
39
Hadi kufikia 30 Juni 2017, kiasi cha shilingi 2,230,541,010 zimeingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 94 ya makadirio. Aidha jumla ya
shilingi 5,132,790,043 zimeingizwa na kutumika ikiwa ni ruzuku kwa Manispaa za
mkoa wa Mjini Magharibi sawa na asilimia 95 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Mjini Magharibi kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Mkoa wa Mjini Magharibi umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.9 FUNGU D 08 – MKOA WA KUSINI UNGUJA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Mkoa wa Kusini Unguja umefanywa
kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika
kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Mkoa wa Kusini Unguja ulikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 13,008,000 katika
kipindi cha mwaka 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Mkoa wa Kusini Unguja ulikusanya jumla ya shilingi
15,825,000 sawa na asilimia 122 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Mkoa wa Kusini Unguja kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ulikadiriwa kutumia jumla
ya shilingi 1,744,500,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida. Aidha Mkoa wa Kusini
Unguja ulikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 1,073,400,000 ikiwa ni ruzuku kwa
Manispaa za Mkoa wa Kusini Unguja.
Hadi kufikia 30 Juni 2018, kiasi cha shilingi 1,426,024,141 zimeingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 82 ya makadirio. Aidha jumla ya
shilingi 958,368,752 zimeingizwa na kutumika ikiwa ni ruzuku kwa Manispaa za
Mkoa wa Kusini Unguja sawa na asilimia 89.3 ya makadirio.
40
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Kusini Unguja kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Mkoa wa Kusini Unguja umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.10 FUNGU D 09 – MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Mkoa wa Kaskazini Unguja
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ulikadiriwa kutumia
jumla ya shilingi 3,062,500,000. Kati ya Hizo shilingi 1,704,400,000 ikwa ni matumizi
ya kazi za kawaida na shilingi 1,358,100,000 ikiwa ni ruzuku.
Hadi kufikia 30 Juni 2018, jumla ya shilingi 2,804,925,475 zimeingizwa na kutumika
sawa na asilimia 91.5 ya makadirio. Kati ya hizo jumla ya shilingi 1,664,357,625
zimeingizwa na kutumika kwa kazi za kawaida na shilingi 1,140,567,850 zimeingizwa
na kutumika ikiwa ni ruzuku.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Mkoa wa Kaskazini Unguja umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
41
5.2.11 FUNGU D 10 – MKOA WA KUSINI PEMBA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Mkoa wa Kusini Pemba umefanywa
kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika
kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya mapato
Mkoa wa Kusini Pemba ulikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 11,708,000 kutoka
katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 8,662,000 zilikusanywa sawa na asilimia
73.98 ya makadirio
Taarifa ya Matumizi
Mkoa wa Kusini Pemba kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa kutumia jumla
ya shilingi 3,682,455,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi
94,100,000 kwa kazi za maendeleo
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 3,352,582,000 ziliingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 91 ya makadirio na shilingi 70,678,000
kwa kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 75.1 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Kusini Pemba kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Mkoa wa Kusini Pemba umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.12 FUNGU D 11 - MKOA WA KASKAZINI PEMBA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Mkoa wa Kaskazini Pemba
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
42
Taarifa ya Matumizi
Mkoa wa kaskazini Pemba kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa kutumia
jumla ya shilingi 3,496,820,090 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi
44,795,000 kwa kazi za maendeleo
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 3,239,157,771 ziliingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 92.6 ya makadirio na shilingi
33,810,000 kwa kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 75.5 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mkoa wa Kaskazini Pemba kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Mkoa wa Kaskazini Pemba umepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni 2018.
5.2.13 BARAZA LA MANISPAA MJINI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Baraza la Manispaa Mjini umefanywa
kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika
kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Baraza la Manispaa la Wilaya ya Mjini lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
6,469,160,843 kati ya hizo jumla ya shilingi 3,535,518,000 ni kutoka katika vyanzo
vya mapato vya Baraza na Jumla ya shilingi 2,933,642,843 ikiwa ni Ruzuku ya
mishahara na ya kazi za kawaida kutoka Serikalini.
Hadi kufikia Juni 2018 jumla ya shilingi 6,959,873,636.19 zilikusanywa sawa na
asilimia 107 ya makadirio, kati ya hizo jumla ya shilingi 3,537,595,623.19 kutoka
vyanzo vya mapato vya baraza na jumla ya shilingi 3,422,278,013 ni ruzuku ya
mishahara na kazi za kawaida kutoka Serikalini sawa na asilimia 117 ya makadirio.
43
Taarifa ya Matumizi
Baraza la Manispaa katika mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa kutumia jumla ya
shilingi 6,469,160,843 kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 6,659,873,636 zilitumika ikiwa sawa na
asilimia 103 ya makadirio.
MATOKEO YA UKAGUZI
5.2.13.1 Kukosekana takwimu za wafanyabiashara wanaolipia leseni za
biashara
Ukaguzi ulifanya tathmini ya vyanzo vya mapato ya baraza la manispaa ili kubaini
idadi halisi ya wanaopaswa kulipa leseni za biashara na idadi halisi ya kilicholipwa.
Ukaguzi umebaini kuwa katika kitengo cha ukusanyaji wa mapato ya leseni ya
biashara na kitengo cha mabango hakukuwa na takwimu sahihi juu ya idadi ya
wanaopaswa kulipa hivyo ukaguzi umeshindwa kujua idadi halisi ya wafanyabiashara
wanaopaswa kulipia leseni za biashara na huduma ya matangazo kupitia mabango.
Kutokuwa na takwimu halisi ya idadi ya wafanyabiashara wanaopaswa kulipia leseni
za biashara na mabango ya matangazo kunaweza kupelekea baraza kutowatambua
wafanyabiashara wanaopaswa kulipia leseni hivyo kulikosesha baraza mapato.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Manispaa Mjini kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Baraza la Manispaa Mjini limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.14 BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI-A
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Baraza la Manispaa Magharibi-A
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
44
Taarifa ya Mapato
Baraza la Manispaa la Wilaya ya Magharibi-A lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
1,566,374,523 kati ya hizo jumla ya shilingi 699,980,000 ni kutoka katika vyanzo
vya mapato vya Baraza na Jumla ya shilingi 866,394,523 ikiwa ni Ruzuku ya
mishahara na ya kazi za kawaida kutoka Serikalini.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 1,640,147,656 zilikusanywa sawa na
asilimia 105 ya makadirio, kati ya hizo Jumla ya shilingi 818,147,381 kutoka vyanzo
vya mapato vya baraza na Jumla ya shilingi 802,000,275 ni ruzuku ya mishahara na
kazi za kawaida kutoka Serikalini na Jumla ya shilingi 20,000,000 ni ruzuku kutoka
katika kitengo cha Udhibiti na Usimamizi wa Ujenzi (DCU).
Taarifa ya Matumizi
Baraza la Manispaa ya magharibi-A katika mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 1,397,054,523 hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi
1,458,364,481 zilitumika ikiwa sawa na asilimia 104 ya makadirio.
MATOKEO YA UKAGUZI
5.2.14.1 Kukosekana takwimu za wafanyabiashara wanaolipia leseni za
biashara
Ukaguzi ulifanya tathmini ya vyanzo vya mapato ya baraza la manispaa ya magharibi
‘A’ ili kubaini idadi ya wafanyabiashara wanaopaswa kulipa kodi na idadi halisi ya
kilicholipwa,Ukaguzi umebaini kuwa hakukuwa na takwimu sahihi juu ya idadi ya
wanaopaswa kulipa hivyo ukaguzi umeshindwa kujua idadi halisi ya wafanyabiashara
wanaopaswa kulipia leseni za biashara na huduma ya matangazo kupitia mabango.
Kutokuwa na takwimu halisi ya idadi ya wafanyabiashara wanaopaswa kulipia leseni
za biashara na mabango ya matangazo kunaweza kupelekea baraza kutowatambua
wafanyabiashara wanaopaswa kulipia leseni hivyo kulikoseha baraza mapato.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Manispaa Magharibi-A
45
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Baraza la Manispaa Magharibi-A limepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.15 BARAZA LA MANISPAA MAGHARIBI – B
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Baraza la Manispaa Magharibi - B
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Baraza la Manispaa la Wilaya ya Magharibi ‘B’ lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
2,509,958,605 kati ya hizo jumla ya shilingi 1,480,000,000 ni kutoka katika vyanzo
vya mapato vya Baraza na Jumla ya shilingi 984,958,605 ikiwa ni Ruzuku ya
mishahara na ya kazi za kawaida kutoka Serikalini.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 2,298,534,312 zilikusanywa sawa na
asilimia 92 ya makadirio, kati ya hizo jumla shilingi 1,390,476,302 sawa na asilimia
94 ya makadirio na jumla ya shilingi 908,058,010 sawa na asilimia 92 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Baraza la Manispaa ya magharibi B katika mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 2,509,958,605.
Hadi kufikia Juni 30 2018 jumla ya shilingi 2,427,477,723 zilitumika ikiwa sawa na
asilimia 97 ya makadirio.
MATOKEO YA UKAGUZI
5.2.15.1 Kukosekana takwimu za wafanyabiashara wanaolipia leseni za
biashara
Ukaguzi ulifanya tathmini ya vyanzo vya mapato ya baraza la manispaa ya magharibi
‘B’ ili kubaini idadi ya wafanyabiashara wanaopaswa kulipa kodi na idadi halisi ya
kilicholipwa,Ukaguzi umebaini kuwa hakukuwa na takwimu sahihi juu ya idadi ya
wanaopaswa kulipa hivyo ukaguzi umeshindwa kujua idadi halisi ya wafanyabiashara
46
wanaopaswa kulipia leseni za biashara na pamoja na takwimu ya vyanzo vyengine
vya mapato.
Kutokuwa na takwimu halisi ya idadi ya wafanyabiashara wanaopaswa kulipia leseni
za biashara kunaweza kupelekea baraza kutowatambua wafanyabiashara
wanaopaswa kulipia leseni hivyo kulikoseha baraza mapato.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Manispaa Magharibi - B
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Baraza la Manispaa Magharibi-B limepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.16 HALMASHAURI YA WILAYA YA KASKAZINI ‘A’ UNGUJA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka 2017/2018 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini
‘A’ Unguja umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja ilikadiriwa kukusanya jumla ya
shilingi 505,500,000 kutoka katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni 2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 699,307,178 zilikusanywa sawa na
asilimia 138 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja kwa mwaka wa fedha 2017/2018
ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 545,500,750 kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 528,372,031 zimetumika kwa kazi za
kawaida ambazo sawa na asilimia 97 ya makadirio.
47
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya
Kaskazini ‘A’ Unguja kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura
sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘A’ Unguja imepata hati
inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.17 HALMASHAURI YA WILAYA YA KASKAZINI “B” UNGUJA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Halmashauri ya Wilaya ya
Kaskazini ‘B’ Unguja umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo
vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja ilikadiriwa kukusanya jumla ya
shilingi 1,136,113,071 kati ya hizo shilingi 746,509,000 kutoka katika vianzio vyake
mbalimbali na shilingi 389,523,071 ni ruzuku kutoka Serikalini.
Hadi kufikia Juni 2018 jumla ya shilingi 1,463,600,076 ikiwa sawa na asilimia 129 ya
makadirio, kati ya hizo shilingi 1,023,154,676 ikiwa ni makusanyo kutokana na
vianzio vya ndani na shilingi 440,445,400 ikiwa ni ruzuku kutoka Serikalini.
Taarifa ya Matumizi
Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini “B” kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 341,932,180 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi
256,592,820 kwa kazi za maendeleo.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 322,293,085 zimetumika kwa kazi za
kawaida sawa na asilimia 94 ya makadirio na shilingi 321,074,632 kwa kazi za
maendeleo sawa na asilimia 125 ya makadirio.
Maoni ya ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya
48
Kaskazini ‘B’ Unguja kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura
sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini ‘B’ Unguja imepata hati
inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.18 HALMASHAURI YA WILAYA YA KATI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Halmashauri ya Wilaya ya
Kati umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Halmashauri ya Wilaya ya Kati Unguja ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
500,000,000 kutoka katika vyanzo vyake vya mapato na ilikadiriwa kuingiziwa
shilingi 611,263,925 ikiwa ni ruzuku kutoka Serikalini.
Hadi kufikia Juni 30 Halmashauri ya Wilaya ya Kati ilikusanya Jumla ya shilingi
667,184,457 kutoka katika vyanzo vyake ikiwa sawa na asilimia 133 ya makadirio
aidha iliingiziwa jumla ya shilingi 420,476,782 ikiwa sawa na asilimia 68 pamoja na
shilingi 10,000,000 kutoka katika kamati ya Udhibiti na Usimamizi wa Ujenzi (DCU)
kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 2018.
Taarifa ya Matumizi
Halmashauri ya Wilaya ya Kati ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 1,111,263,925
kwa kazi za kawaida kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 2018.
Hadi kufikia Juni 2018 Jumla ya shilingi 1,059,921,182 zimetumika kwa kazi za
kawaida ambazo sawa na asilimia 95 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya Kati
Unguja kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na
halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
49
Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Kati imepata hati inayoridhisha kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.19 HALMASHAURI YA WILAYA YA KUSINI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Halmashauri ya Wilaya ya
Kusini umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Halmashauri ya Wilaya ya Kusini ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 369,198,550
kutoka katika vyanzo vyake mbali mbali mapato.
Hadi kufikia Juni 30 Halmashauri ya Wilaya ya Kusini ilikusanya jumla ya shilingi
488,313,205 kutoka katika vyanzo vyake sawa na asilimia 132 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Halmashauri ya Wilaya ya Kusini ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 816,327,100
kwa kazi za kawaida kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 2018.
Hadi kufikia Juni 2018 jumla ya shilingi 664,891,183 zimetumika kwa kazi za kawaida
ambazo sawa na asilimia 81 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya Kusini
Unguja kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na
halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Kusini imepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
50
5.2.20 BARAZA LA MJI CHAKE-CHAKE
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Baraza la Mji la Chake-
Chake umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Baraza la mji Chake Chake lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 390,000,000
kutoka katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 440,228,787 zilikusanywa sawa na
asilimia 112.88 ya makadirio
Taarifa ya Matumizi
Baraza la mji Chake Chake kwa mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa kutumia
jumla ya shilingi 1,272,622,900 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi
3,300,000 kwa kazi za maendeleo
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 1,464,165,515 ziliingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 115 ya makadirio na shilingi 3,186,000
kwa kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 96.5 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Mji Chake Chake kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Baraza la Mji Chake Chake limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.21 BARAZA LA MJI MKOANI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Baraza la Mji Mkoani
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
51
Taarifa ya Mapato
Baraza la mji Mkoani lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 230,000,000 kutoka
katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 295,034,898.26 zilikusanywa sawa na
asilimia 128.28 ya makadirio
Taarifa ya Matumizi
Baraza la mji Mkoani kwa mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa kutumia jumla ya
shilingi 1,178,216,117.73 matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya shilingi
175,300,000 kwa kazi za maendeleo
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 1,120,009,160.98 ziliingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 95.1 ya makadirio na shilingi
205,519,200 kwa kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 117.2 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Mji Mkoani kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na
vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Baraza la Mji Mkoani limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.22 BARAZA LA MJI WETE
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Baraza la Mji Wete
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Baraza la Mji Wete lilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 250,000,000 kutoka katika
vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 257,108,143 zilikusanywa sawa na
asilimia 103 ya makadirio
52
Taarifa ya Matumizi
Baraza la Mji Wete kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa kutumia jumla ya
shilingi 100,000,000 kwa matumizi ya kazi za maendeleo na shilingi 600,000,000
ilikadiriwa kwa ajili ya matumizi ya kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 73,000,000 ziliingizwa na kutumika kwa
kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 73 ya makadirio na shilingi
1,173,920,252 kwa kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 195.65 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Mji Wete kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na
vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Baraza la Mji Wete limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2018.
5.2.23 HALMASHAURI YA WILAYA YA MICHEWENI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Halmashauri ya Wilaya ya
Micheweni umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni ulikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
170,000,000 kutoka katika vianzio vyake mbali mbali kwa mwaka wa fedha
2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 185,348,155.19 zilikusanywa sawa na
asilimia 109.03 ya makadirio
Taarifa ya Matumizi
Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 660,048,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida na jumla ya
shilingi 249,200,000 kwa kazi za maendeleo.
53
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 606,581,039 ziliingizwa na kutumika kwa
kazi za kawaida ikiwa ni sawa na asilimia 91.8 ya makadirio na shilingi
228,566,380.80 kwa kazi za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 71.7 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya
Micheweni kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na
halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni imepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.3 WIZARA YA NCHI (OR) KATIBA, SHERIA, UTUMISHI WA UMMA NA
UTAWALA BORA
5.3.1 FUNGU G 01 - WIZARA YA NCHI (OR) KATIBA, SHERIA, UTUMISHI
WA UMMA NA UTAWALA BORA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Nchi (OR) Katiba,
Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora umefanywa kwa kuzingatia
Sheria,kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango
vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Wizara ya Nchi (OR) Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora ilikadiriwa
kukusanya jumla ya shillingi 453,600,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha
2017/2018. Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi
1,016,744,611 sawa na asilimia 224.2 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Wizara ya Nchi (OR) Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora iliidhinishiwa
kutumia jumla ya shillingi 8,359,602,548. Kati ya hizo jumla ya shilingi
8,279,602,548 kwa kazi za kawaida na jumla ya shillingi 80,000,000 kwa kazi za
maendeleo.
54
Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 kiasi cha shillingi 7,468,523,373.2 zimeingizwa na
kutumika sawa na asilimia 89.3 ya makadirio. Kati ya hizo jumla ya shilingi
7,388,523,373.20 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 98 ya makadirio na shilingi
80,000,000 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 100
ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Nchi(OR) Katiba,
Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mwaka wa fedha unaoishia 30
Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa
na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wizara ya Nchi (OR) Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala
Bora imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.3.2 FUNGU G 02 - MAHKAMA KUU
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Mahkama Kuu umefanywa
kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika
kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Mahakama Kuu ya Zanzibar katika mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa
kukusanya Jumla ya shilingi 500,000,000 ya mapato.
Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Mahkama Kuu ya Zanzibar ilikukusanya Jumla ya
shilingi 499,030,891 sawa na asilimia 99.81 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Mahakama Kuu ya Zanzibar
ilikadiriwa kutumia Jumla ya shillingi 7,966,592,780 kwa matumizi ya kawaida na
shillingi 900,000,000 kwa kazi za maendeleo.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Jumla ya shillingi 6,575,444,546 ziliingizwa na kutumika
kwa matumizi ya kawaida sawa na asilimia 82.5 ya makadirio na jumla ya shillingi
500,000,000 zilitumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 56 ya makadirio.
55
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mahkama Kuu kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Mahkama Kuu imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2018.
5.3.3 FUNGU G 03 – OFISI YA MWANASHERIA MKUU
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar
ilikadiriwa kutumia jumla ya shilling 1,646,110,000 kwa matumizi ya kawaida.
Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar imeingiziwa na
kutumia Jumla ya shillingi 1,473,234,600 kwa matumizi ya kawaida sawa na asilimia
90 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Ofisi ya Mwanasheria Mkuu imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.3.4 FUNGU G 04 – OFISI YA MKURUGENZI WA MASHTAKA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Ofisi ya Mkurugenzi wa
Mashtaka umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
56
Taarifa ya Matumizi
Katika kipindi cha mwaka fedha 2017/2018 Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka
ilikadiriwa kutumia jumla ya shillingi 2,534,403,180 kwa matumizi ya kawaida.
Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliingiziwa na
kutumia jumla ya shillingi 2,372,872,499 kwa matumizi ya kazi za kawaida sawa na
asilimia 90 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka imepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.3.5 FUNGU G 05 – TUME YA KUREKEBISHA SHERIA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Kurekebisha
Sheria umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Tume ya Kurekebisha Sheria
ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 612,042,169 kwa matumizi ya kawaida.
Hadi kufikia Juni 30 Juni 2018 Tume ya Kurekebisha Sheria imeingiziwa na kutumia
jumla ya shilingi 576,451,840 sawa na asilimia 94.2 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Kurekebisha Sheria kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Tume ya Kurekebisha Sheria imepata hati inayoridhisha kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
57
5.3.6 FUNGU G 08 - KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Kamisheni ya Utumishi wa
Umma umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Kamisheni ya Utumishi wa Umma
ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 940,300,000 kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni 2017/2018 Kamisheni ya Utumishi ya Umma imepokea na
kutumia jumla ya shilingi 818,323,950 sawa na asilimia 87 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kamisheni ya Utumishi wa Umma
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Kamisheni ya Utumishi wa Umma imepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.3.7 FUNGU G 09 - TUME YA UTUMISHI SERIKALINI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Utumishi Serikalini
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Katika kipindi cha fedha 2017/2018 Tume ya Utumishi Serikalini ilikadiriwa kutumia
jumla ya shilingi 511,800,000 kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Tume ya Utumishi Serikalini ilingiziwa na kutumia
jumla shillingi 441,000,000 sawa na asilimia 86.12 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Utumishi Serikalini kwa
58
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Tume ya Utumishi Serikalini imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.3.8 FUNGU G 07- MAMLAKA YA KUZUIA RUSHWA NA UHUJUMU WA
UCHUMI ZANZIBAR
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Mamlaka ya kuzuia Rushwa
na Uhujumu wa Uchumi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na
vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na
Uhujumu wa Uchumi ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 1,334,700,000 kwa kazi za
kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi
imepokea na kutumia jumla ya shilingi 1,234,003,046 sawa na asilimia 92.5 ya
makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu ya Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na
Uhujumu Uchumi kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura
sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi imepata hati
inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.3.9 TUME YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Maadili ya
Viongozi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
59
Taarifa ya matumizi.
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Tume ya Maadili ya Viongozi wa
Umma ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 474,865,000 kwa matumizi ya kawaida
na jumla ya shilingi 25,135,000 na kwa kazi za maendeleo.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Tume ya Maadili Viongozi imeingiziwa na kutumia jumla
ya shilingi 389,363,192 sawa na asilimia 82 ya makadirio, na jumla ya shilingi
25,135,000 kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 100 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Maadili ya Viongozi kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Tume ya Maadili ya Viongozi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.4 WIZARA YA NCHI OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS
5.4.1 FUNGU C 01 - OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Ofisi ya Makamo wa Pili wa
Rais umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 32,521,000
katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 13,815,000 zilikusanywa sawa na asilimia
42 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais kwa mwaka wa fedha 2017/2018 lilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 10,587,862,440 kwa matumizi ya kazi za kawaida na
maendeleo.
60
Hadi kufikia 30 Juni 2018, jumla ya shilingi 9,812,483,641 zimeingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida na maendeleo ambazo ni sawa na asilimia 93 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais imepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.4.2 FUNGU C 02 - BARAZA LA WAWAKILISHI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Baraza la Wawakilishi
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Baraza la Wawakilishi lilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 18,661,700,000 kwa kazi
za kawaida.
Hadi kufikia Juni 2018 Jumla ya shilingi 18,370,751,511 zimeingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 98 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Wawakilishi kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na
vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Baraza la Wawakilishi limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.4.3 FUNGU C 03 - TUME YA UCHAGUZI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Uchaguzi
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
61
Taarifa ya Matumizi
Katika mwaka wa fedha 2017/2018, Tume ya Uchaguzi ilikadiriwa kutumia jumla ya
shilingi 2,695,500,000 kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 1,689,124,141 zimeingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 63 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Uchaguzi kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na
vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Tume ya Uchaguzi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2018.
5.4.4 FUNGU C 05 – TUME YA UKIMWI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Ukimwi
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Katika mwaka wa fedha 2017/2018, Tume ya Ukimwi ilikadiriwa kutumia jumla ya
shilingi 846,800,000 kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 823,651,354 zilitumika kwa kazi za
kawaida sawa na asilimia 97 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Ukimwi kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Tume ya Ukimwi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2018.
62
5.4.5 FUNGU C 04 - TUME YA KITAIFA YA KURATIBU NA UDHIBITI WA
DAWA ZA KULEVYA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Kitaifa ya Kuratibu
na Udhibiti wa Dawa za Kulevya umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu
na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Dawa za Kulevya kwa mwaka wa fedha
2017/2018 ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 602,491,663 kwa matumizi ya
kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 511,539,228 zimeingizwa na kutumika
kwa kazi matumizi ya kazi za kawaida sawa na asilimia 84.9 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na
Udhibiti wa Dawa za Kulevya kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018
zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na
kimataifa.
Kwa hali hiyo Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Dawa za Kulevya imepata
hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.5 WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO
5.5.1 FUNGU F 01 - WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Fedha na
Mipango umefanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Wizara ya Fedha na mipango kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa kukusanya
jumla ya shilingi 1,044,413,527,000 kutoka katika vyanzo vyake vya kodi na
visivyokuwa vya kodi.
63
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 875,669,135,400 zimekusanywa kutoka
vyanzo mbali mbali vya kodi na visivyokuwa vya kodi sawa na asilimia 83.5 ya
makadirio. Mchanganuo wa makusanyo ni kama inavyoonekana hapo chini:-
Jadweli namba 8:
Chanzo cha Mapato Makadirio
2017/2018 Tsh.
Milioni
Makusanyo
Halisi
2017/2018
Asilimia Ya
Makusanyo
Bodi ya Mapato (ZRB) 347,289,592,000 346,875,657,136 99.9
Mamlaka ya Mapato
(TRA)
258,723,935,000 255,949,366,000
98.9
Gawio la Mashirika 3,000,000,000 1,775,957,892.30 59.2
Gawio la BOT 3,000,000,000 13,500,000,000 450
Mapato yasiyokuwa ya
Kodi
22,400,000,000 36,948,983,285.86
164.9
Mikopo ya Ndani 30,000,000,000 20,000,000,000 66.7
Mapato kutoka kwa
washirika wa
Maendeleo
380,000,000,000 196,992,000,000
51.8
Jumla 1,044,413,527,000 872,041,964,314
Taarifa ya Matumizi
Katika mwaka wa Fedha 2017/2018 Wizara ya Fedha na Mipango iliidhinishwa
kutumia shilingi 18,519,838,000 kwa matumizi ya kawaida, shilingi 10,210,000,000
kwa kazi za maendeleo ikiwa ni mchango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na
shilingi 27,853,510,000 kwa kazi za maendeleo ikiwa ni mchango wa washirika wa
maendeleo na shilingi 29,263,900,000 ikiwa ni ruzuku kwa taasisi mbali mbali
zilizopo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango.
64
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 16,208,578,130 zimeingizwa na
kutumika kwa ajili ya matumizi ya kawaida sawa na asilimia 87.5 , shilingi
5,453,975,382 zimeingizwa na kutumika sawa na asilimia 53 ya makadirio kwa kazi
za maendeleo ikiwa ni mchango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, aidha jumla
ya shilingi 19,578,598,508 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo ikiwa ni
mchango wa washirika wa maendeleo sawa na asilimia 70 ya makadirio na shilingi
29,450,377,981 ikiwa ni ruzuku sawa na asilimia 100.6 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Fedha na Mipango
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wizara ya Fedha na Mipango imepata hati inayoridhisha kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.5.2 FUNGU F 02 - HESABU ZA HUDUMA ZA MFUKO MKUU WA SERIKALI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa hesabu za Huduma za
Mfuko Mkuu wa Serikali umefanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na
vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Katika mwaka wa Fedha 2017/2018 Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali iliidhinishwa
kutumia shilingi 150,710,000,000 kwa ajili ya utoaji wa huduma mbali mbali za
Mfuko Mkuu zikiwemo ulipaji wa Kiinua Mgongo, Pencheni na malipo ya huduma za
hati fungani.
Hadi kufikia Juni, 2018 jumla ya shilingi 140,163,426,544 zimeingizwa na kutumika
kwa ajili ya matumizi ya huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali sawa na asilimia 93 ya
makadirio.
65
Aidha Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali ulikuwa na salio la shilingi 706,935,242
mwanzoni mwa mwaka wa fedha 2017/2018 katika hesabu yake ya Amana (Public
Debt Deposit Account) ambazo zilitumika kwa malipo ya Viinua Mgongo na matumizi
mengine maalum ya Serikali. Hadi kufikia Juni, 2018 hesabu hii ya Amana na ilikuwa
bakaa ya shilingi 1,591,510,592.
MATOKEO YA UKAGUZI
5.5.2.1 Malipo yaliyofanywa na Hazina kutokana na adhabu ya kuchelewa
kulipa madeni kwa muda mrefu USD 200,120
Katika mwaka wa fedha 2017/2018, Ukaguzi umebani kuwa hesabu ya huduma za
mfuko mkuu wa Serikali imefanya malipo kupitia hati nambari PV 16/02/2018 yenye
thamani ya USD 200,120.00 aliyolipwa Hassan & Sons kutokana na kuchelewesha
malipo na malimbikizo ya madeni inayodaiwa Serikali kwa muda mrefu.
Aidha ukaguzi haukuweza kupatiwa mkataba baina ya kampuni ya Hassans & Sons
na Serikali ili kuweza kujiridhisha kuwepo kwa adhabu inayotokana na ucheleweshaji
wa malipo hayo.
Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria ya Usimamizi wa Fedha za Umma
namba 12 ya mwaka 2016.
5.5.2.2 Malipo ya kiinua mgongo yaliyolipwa mara mbili shilingi
264,814,265
Ukaguzi umebaini kufanyika kwa malipo ya kiinua mgongo ambayo yamelipwa mara
mbili kwa watumishi waliofariki, ambapo malipo hayo yalifanyika mwaka wa fedha
2017/2018 na yamerudiwa mwaka wa fedha 2018/2019.
Kufanya hivyo ni kwenda kinyume na sheria ya usimamizi wa fedha za umma namba
12 ya mwaka 2016, uchambuzi wa malipo hayo kama unaonekana katika jadweli;
66
Jadweli namba 9:
Namba Nambari ya Hati
ya Malipo
Tarehe ya
Malipo
Alielipwa Kiasi cha
Fedha
Maelezo
1. F02PVI700000331 25/8/2017 MAREHEMU
CHUM
HASSAN
CHUM
87,243,666 Ikiwa ni
malipo ya
kiinua
mgongo
2. F02PV1800000278 23/8/2018 MAREHEMU
CHUM
HASSAN
CHUM
87,243,667 Ikiwa ni
malipo ya
kiinua
mgongo
3. F02PV1700000435 13/9/2017 MAREHEMU
AMOUR
MOHD ALI
22,147,466 Ikiwa ni
malipo ya
kiinua
mgongo
4. F02PV1800000279 23/8/2018 MAREHEMU
AMOUR
MOHD ALI
22,147,466 Ikiwa ni
malipo ya
kiinua
mgongo
5. F02PVI700000332 25/8/2017 MAREHEMU
KHAMIS
OMAR ALI
23,016,000 Ikiwa ni
malipo ya
kiinua
mgongo
6. F02PV1800000279 23/8/2018 MAREHEMU
KHAMIS
OMAR ALI
23,016,000 Ikiwa ni
malipo ya
kiinua
mgongo
Jumla 264,814,265
67
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Huduma za Mfuko Mkuu wa
Serikali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na
halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo hesabu za Huduma za Mfuko Mkuu wa Serikali zimepata hati
inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.5.3 FUNGU F 03 - TUME YA MIPANGO
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Tume ya Mipango
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Katika mwaka wa Fedha 2017/2018 Tume ya Mipango ilikadiriwa kutumia shilingi
2,483,200,000 kwa matumizi ya kawaida na shilingi 4,731,237,000 kwa kazi za
maendeleo na shilingi 2,216,400,000 ikiwa ni Ruzuku.
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 2,187,284,431 zimeingizwa na kutumika
kwa ajili ya matumizi ya kawaida sawa na asilimia 88 ya makadirio na shilingi
1,192,292,500 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia
25.2 ya makadirio na shilingi 2,096,039,410 zimeingiziwa na kutumika ikiwa ni
ruzuku sawa na asilimia 94.57 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu Tume ya Mipango kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Tume ya Mipango imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2018.
68
5.5.4 OFISI YA MTAKWIMU MKUU WA SERIKALI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa
Serikali umefanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
5,437,594,436 kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kutoka vyanzo vyake vya kodi na
visivokuwa vya kodi.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 2,624,619,610 zilikusanywa ambazo ni
sawa na asilimia 48.3 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa
kupata jumla ya shilingi 2,216,400,000 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi
500,000,000 kwa kazi za maendeleo.
Hadi kufikia Juni 2018 Ofisi imeingiziwa jumla ya shilingi 2,096,039,410 kwa kazi za
kawaida sawa na asilimia 94.6 ya fedha zilizoidhinishwa na shilingi 495,000,000 kwa
kazi za maendeleo sawa na asilimia 99 ya makadirio yaliyoidhinishwa.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa
Serikali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na
halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali imepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
69
5.6 WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI
5.6.1 FUNGU L 01 - WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Kilimo, Maliasili,
Mifugo na Uvuvi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya
ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
4,930,197,000 katika kipindi cha mwaka 2017/2018 kutokana na vyanzo vyake vya
mapato.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 9,293,567,574 sawa na
asilimia 188.5 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2017/2018
ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 23,804,997,580 kwa kazi za kawaida na shilingi
2,754,427,000 kwa kazi za maendeleo.
Hadi kufikia 30 Juni 2018, kiasi cha shilingi 23,147,656,950 zimeingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida ambapo ni sawa na asilimia 97.2 ya makadirio na jumla ya
shilingi 1,449,600,000 kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 53 ya makadirio.
MATOKEO YA UKAGUZI
5.6.1.1 Kukosekana kwa mikataba ya ulinzi shilingi 9,600,000
Ukaguzi umebaini uwepo wa askari 32 ambao walitumika Kulinda viwanjwa vya
maonyesho Dole kwa thamani ya shilingi 9,600,000 kwa muda wa siku 30, lakini
hadi ukaguzi unamalizika hatukuweza kupatiwa mkataba wa ulinzi baina ya walinzi
na Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi ili kuweza kujiridhisha thamani halisi
ya malipo hayo na muda halisi ya ulinzi huo.
Kufanya malipo bila ya kuwepo vielelezo vinavyohusikana na malipo hayo ni kwenda
kinyume na sheria ya fedha nambari 12 ya mwaka 2016.
Malipo yenyewe ni kama ifuatavyo:-
70
Jadweli namba 10:
Hati
Namba
Hundi
Namba
Thamani Alielipwa Maelezo
82/8 - 9,600,000 K/MKUU Fedha zinazotolewa ikiwa ni
awamu ya kwanza ya malipo ya
walinzi 32 wanaolinda katika
viwanja vya maonyesho Dole.
Jumla 9,600,000
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo
na Uvuvi kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na
halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi imepata hati inayoridhisha
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.7 WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO
5.7.1 FUNGU R 01 - WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Biashara,
Viwanda na Masoko umefanywa kwa kuzingatia Sheria,kanuni, taratibu na vigezo
vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
455,000,000.00 kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia juni 2018 Wizara ilifanikiwa kukusanya jumla ya shilingi
1,016,744,611.00 sawa na asilimia 223.00 ya makadirio.
71
Taarifa ya Matumizi
Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 7,275,461,762 kwa matumizi ya kazi za kawaida na shilingi
1,184,575,664 kwa matumizi ya kazi za maendeleo.
Hadi kufikia tarehe 30 juni 2018 Wizara ilifanikiwa kupokea jumla ya shilingi
5,743,222,852 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 79 ya makadirio na shilingi
1,125,459,055 kwa kazi za Maendeleo sawa na asilimia 95 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Biashara Viwanda na
Masoko kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na
halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko imepata hati inayoridhisha
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.7.2 TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS)
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Taasisi ya Viwango Zanzibar
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
3,110,384,198 kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Taasisi hii ilifanikiwa kukusanya jumla ya shilingi
2,181,402,699.30 sawa na asilimia 70 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 5,695,251,648 kwa matumizi ya kazi za kawaida.
Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Taasisi ya Viwango ilifanikiwa kupokea na kutumia
jumla ya shilingi 2,395,811,374.96 sawa na asilimia 42.07 ya makadirio.
72
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Taasisi ya Viwango Zanzibar kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Taasisi ya Viwango Zanzibar imepata hati inayoridhisha kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.7.3 WAKALA WA USAJILI WA BIASHARA NA MALI (BPRA)
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wakala wa Usajili wa
Biashara na Mali (BPRA) umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na
vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Wakala wa usajili wa Biashara na Mali ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
295,000,000.00 kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Taasisi hii imefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi
427,233,613.00 sawa na asilimia 145 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Wakala wa usajili wa Biashara na Mali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 223,500,000.00 kwa matumizi ya kazi za kawaida.
Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Taasisi ilifanikiwa kupokea na kutumia jumla ya
shilingi 183,390,000.00 kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 82 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wakala wa usajili wa Biashara na
Mali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wakala wa usajili wa Biashara na Mali imepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
73
5.8 WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
5.8.1 FUNGU K 01 – WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo
ya Amali umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
143,093,000 katika kipindi cha mwaka 2017/2018.
Hadi kufikia Juni 2018 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 75,660,600 sawa na
asilimia 52.9 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali iliidhinishiwa kutumia jumla ya Shilingi
142,109,957,200 kwa kazi za kawaida na jumla ya shilingi 44,477,976,000 kwa kazi
za maendeleo.
Hadi kufikia Juni 30, jumla ya shilingi 141,325,365,359 zilitumika kwa kazi za
kawaida sawa na asilimia 99.4 ya makadirio na jumla ya shilling 34,031,400,927
zilitumika kwa kazi za maendeleo ikiwa ni mchango wa serikali na kutoka kwa
washirika wa maendeleo sawa na asilimia 76.5 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya
Amali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali imepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
74
5.8.2 BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya
Juu umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
1,601,845,000 katika kipindi cha mwaka 2017/2018 kutoka katika makusanyo yake
ya ndani na jumla ya shilingi 10,203,700,000 ikiwa ni ruzuku kutoka serikalini.
Hadi kufikia Juni 2018 Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ilikusanya jumla ya shilingi
1,659,241,941 sawa na asilimia 103 ya makadirio kutoka katika makusanyo yake ya
ndani na jumla shilingi 10,193,241,096 ikiwa ni ruzuku kutoka serikalini sawa na
asilimia 99 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 10,203,700,000
kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni, 2017 jumla ya shilingi 7,528,515,518 ziliingizwa na kutumika
sawa na asilimia 73 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu imepata hati inayoridhisha kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.8.3 MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI ZANZIBAR
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Mamlaka ya Mafunzo ya
Amali Zanzibar umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya
ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
75
Taarifa ya Mapato
Mamlaka ya Mafunzo ya Amali ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 26,400,000
katika kipindi cha mwaka 2017/2018.
Hadi kufikia Juni 2018 jumla ya shilingi 22,322,340 zilikusanywa sawa na asilimia 84
ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Mamlaka ya Mafunzo ya Amali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa kutumia
jumla ya shilingi 5,497,300,000 kwa matumizi ya kazi za kawaida.
Hadi kufikia Juni 30 jumla ya shilingi 5,137,777,612 zilitumika ikiwa sawa na asilimia
93 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Mamlaka ya Mafunzo ya Amali
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Mamlaka ya Mafunzo ya Amali imepata hati inayoridhisha kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.8.4 SHIRIKA LA HUDUMA ZA MAKTABA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Shirika la Huduma za
Maktaba umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Matumizi
Shirika la Huduma za Maktaba ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 469,400,000 kwa
kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shillingi 505,601,855 ziliingizwa na kutumika
sawa na asilimia 107 ya makadirio.
76
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Shirika la Huduma za Maktaba
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Shirika la Huduma za Maktaba limepata hati inayoridhisha kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.8.5 TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Taasisi ya Karume ya
Sayansi na Teknolojia umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo
vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia ilikadiriwa kukusanya jumla ya Shilingi
395,000,000 katika kipindi cha mwaka 2017/2018.
Hadi kufikia Juni 2018 Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknologia ilikusanya jumla
ya shilingi 258,344,006 sawa na asilimia 65 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknologia iliidhinishiwa kutumia jumla ya shilingi
1,348,600,000 kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shillingi 1, 470,039,440 ziliingizwa na kutumika
ikiwa sawa na asilimia 109 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Taasisi ya Karume ya Sayansi na
Teknolojia kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na
halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia imepata hati inayoridhisha
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
77
5.8.6 BARAZA LA MITIHANI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Baraza la Mitihani
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Baraza la Mitihani kilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 137,601,300 katika kipindi
cha mwaka 2017/18.
Hadi kufikia Juni 2018 Jumla ya shilingi 90,316,300 zilikusanywa sawa na asilimia 65
ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Baraza la Mitihani kwa mwaka wa fedha 2017/2018 kilikadiriwa kutumia jumla ya
shilingi 4,598,400,000 kwa matumizi ya kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni 2018, kiasi cha shilingi 4,513,886,801 zimeingizwa na kutumika
kwa matumizi ya kawaida sawa na asilimia 98 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Baraza la Mitihani kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na
vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Baraza la Mitihani limepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2018.
78
5.9 WIZARA YA AFYA
5.9.1 FUNGU H 01 - WIZARA YA AFYA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Afya umefanywa
kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika
kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Wizara ya Afya ilikadiriwa kukusanya jumla ya shillingi 221,143,000 katika kipindi
cha mwaka wa fedha 2017/2018. Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 Wizara
imekusanya jumla ya shillingi 179,635,700 sawa na asilimia 81 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Wizara ya Afya ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 37,511,462,000 kwa matumizi ya
kazi za kawaida na jumla ya shilingi 35,428,900,000 kwa kazi za maendeleo.
Hadi kufikia tarehe 30 Juni, 2018 jumla ya shillingi 37,963,068,766 ziliingizwa na
kutumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 101.20 ya makadirio na shilingi
12,212,480,202 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia
34.47 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Afya kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo
vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wizara ya Afya imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2018.
5.9.2 FUNGU H 02 - HOSPITALI YA MNAZI MMOJA
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Hospitali ya Mnazi Mmoja
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
79
Taarifa ya Mapato
Hospitali ya Mnazi Mmoja ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilling 258,799,395 kwa
kipindi cha mwaka 2017/2018. Hadi kufikia 30 Juni 2018 Hospitali ya Mnazi Mmoja
imekusanya jumla ya shillingi 200,958,145 sawa na asilimia 77.65 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Hospitali ya Mnazi Mmoja ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 11,939,111,040 kwa
kazi za kawaida na jumla ya shilingi 3,000,000 kwa kazi za maendeleo.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shillingi 11,290,015,980 ziliingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 95 ya makadirio, aidha jumla ya shilingi
2,900,000 ziliingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 96.67 ya
makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Hospitali ya Mnazi Mmoja kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana
na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Hospitali ya Mnazi Mmoja imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa
fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.9.3 WAKALA WA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wakala wa Maabara ya
Mkemia Mkuu wa Serikali umefanywa kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na
vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ya Zanzibar, ilikadiria kukusanya
jumla ya shillingi 82,423,600 kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia Juni 2018 Mkemia alipokea jumla ya shillingi 99,285,709. Ukusanyaji
huo ni sawa na asilimia 120 ya makadirio hayo.
80
Taarifa ya Matumizi
Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ilikadiria kutumia jumla ya shilingi 495,823,600
kwa kazi za kawaida na shilingi 1,868,595,250 kwa kazi za mendeleo.
Hadi kufikia Juni 2018 Mkemia aliingiziwa na kutumia jumla ya shilingi 490,328,715
kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 98.89 ya makadirio, na shilingi 1,080,315,348
kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 57.81 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wakala wa Maabara ya Mkemia
Mkuu wa Serikali kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura
sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imepata hati
inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.9.4 WAKALA WA CHAKULA,MADAWA NA VIPODOZI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wakala wa Chakula,Madawa
na Vipodozi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya
ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Wakala wa Chakula, Madawa na Vipodozi wa Serikali ya Zanzibar, ilikadiria
kukusanya jumla ya shillingi 582,014,000 kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wakala alikusanya jumla ya shillingi 594,143,029 sawa na
asilimia 102.08 ya makadirio
Taarifa ya Matumizi.
Wakala wa Chakula, Madawa na Vipodozi wa Serikali ilikadiria kutumia jumla ya
shilingi 116,833,050 kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wakala alipokea na kutumia jumla ya shilingi 749,694,381
sawa na asilimia 641.68 ya makadirio.
81
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wakala wa Chakula, Madawa na
Vipodozi kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na
halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wakala wa Chakula, Madawa na Vipodozi imepata hati inayoridhisha
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.10 WIZARA YA ARDHI, NYUMBA, MAJI NA NISHATI
5.10.1 FUNGU N 01 - WIZARA YA ARDHI, NYUMBA, MAJI NA NISHATI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba,
Maji na Nishati umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya
ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
10,035,000,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 8,456,000,000 sawa na
asilimia 84.3 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati kwa mwaka wa fedha 2017/2018
ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 10,565,138,000 kwa kazi za kawaida na jumla ya
shilingi 4,582,000,000 kwa kazi za maendeleo.
Hadi kufikia 30 Juni 2018, jumla ya shilingi 8,097,632,077.96 zimeingizwa na
kutumika kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 76.6 ya makadirio, na shilingi
3,610,765,781.15 zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia
79 ya makadirio.
82
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na
Nishati kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na
halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati imepata hati inayoridhisha
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.10.2 BODI YA USAJILI WA WAKANDARASI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Bodi ya Usajili wa
Wakandarasi umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya
ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Bodi ya Usajili Wakandarasi ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 510,144,000
katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia Juni 2018 jumla ya shilingi 512,924,010.20 zilikusanywa ambazo ni sawa
na asilimia 100.54 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Bodi ya Usajili ya Wakandarasi ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 433,175,745 kwa
matumizi ya kazi za kawaida kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 411,130,338 ziliingizwa na kutumika
ambazo ni sawa na asilimia 94.91 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Bodi ya Usajili wa Wakandarasi
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Bodi ya Usajili wa Wakandarasi imepata hati inayoridhisha kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
83
5.10.3 BODI YA USAJILI WASANIFU, WAHANDISI, NA WAKADIRIAJI
MAJENGO
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Bodi ya Usajili Wasanifu,
Wahandisi na Wakadiriaji Majengo umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni,
taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na
kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Bodi ya Usajili Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo ilikadiriwa kukusanya
jumla ya shilingi 266,000,000 katika kipindi cha mwaka 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 Bodi ya Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo
ilikusanya jumla ya shilingi 268,421,103 sawa na asilimia 101 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Bodi ya Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo kwa mwaka wa fedha
2017/2018 ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 406,425,000 kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 266,740,781 ziliingizwa na kutumika kwa
kazi za kawaida sawa na asilimia 66 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Bodi ya Usajili Wasanifu,
Wahandisi na Wakadiriaji Majengo kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018
zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na
kimataifa.
Kwa hali hiyo Bodi ya Usajili Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo imepata
hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.10.4 BODI YA UHAULISHAJI ARDHI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Bodi ya Uhaulishaji Ardhi
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
84
Taarifa ya Mapato
Bodi ya Uhaulishaji wa Ardhi Zanzibar ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
1,256,880,000 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 kupitia vianzio tofauti
vya mapato.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 mapato halisi yaliyokusanywa ni shilingi 1,303,125,499
sawa na asilimia 104 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Bodi ya Uhaulishaji Ardhi Zanzibar kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa
kutumia jumla ya shilingi 1,249,808,750 kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2018 jumla ya shilingi 1,282,755,766.96 zimetumika kwa
kazi za kawaida sawa na asilimia 103 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Bodi ya Uhaulishaji Ardhi Zanzibar
kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi
kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Bodi ya Uhaulishaji ardhi Zanzibar imepata hati inayoridhisha kwa
mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.11 WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI
5.11.1 FUNGU P 01 - WIZARA YA UJENZI, MAWASILIANO NA
USAFIRISHAJI
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Ujenzi,
Mawasiliano na Usafirishaji umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na
vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi
2,883,970,000 katika kipindi cha mwaka 2017/2018.
85
Hadi kufikia Juni 2018 Wizara ilikusanya jumla ya shilingi 2,526,684,207 sawa na
asilimia 87.61 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji iliidhinishiwa kutumia jumla ya shilingi
9,220,800,000 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na na shilingi 44,230,000,000 kwa
ajili ya matumizi ya maendeleo kwa ajili ya utekelezaji wa kazi zilizoainishwa katika
program za Wizara.
Hadi kufikia Juni 2018, jumla ya shilingi 8,626,503,578 zimeingizwa na kutumika kwa
kazi za kawaida sawa na asilimia 93.6 ya makadirio, na shilingi 40,730,000,000
zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 92.1 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na
Usafirishaji kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na
halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji imepata hati
inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.12 WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI, WAZEE , VIJANA, WANAWAKE NA
WATOTO
5.12.1 FUNGU NAMBA Q 01 - WIZARA YA KAZI, UWEZESHAJI,
WAZEE, VIJANA, WANAWAKE NA WATOTO
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji,
Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni,
taratibu na vigezo vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na
kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Katika kipindi cha mwaka 2017/2018 Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake
na Watoto ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 891,078,000 kutoka katika vyanzo
vyake vya mapato mbali mbali vya Wizara. Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wizara
86
ilifanikiwa kukusanya jumla ya shilingi 799,955,190 sawa na asilimia 89.77 ya
makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Katika kipindi cha mwaka 2017/2018 Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake
na Watoto ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi 13,580,068,000 zilipangwa kwa kazi
za kawaida na shilingi 975,572,000 kwa kazi za maendeleo.
Hadi kufikia 30 Juni 2018 Wizara imeingiziwa jumla ya shilingi 13,204,124,043.88
kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 97.23 ya makadirio na shilingi 806,383,140
kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 83 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Kazi, Uwezeshaji,
Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018
zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na
kimataifa.
Kwa hali hiyo Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto
imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.13 WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO
5.13.1 FUNGU NAMBA J 01 - WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI,
UTALII NA MICHEZO
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Wizara ya Habari,
Utamaduni, Utalii na Michezo umefanywa kwa kuzingatia misingi, taratibu na vigezo
vya ukaguzi vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo ilikadiriwa kukusanya jumla ya
shilingi 468,303,000 kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 340,312,239 zimekusanywa na kutumiwa
sawa na asilimia 73 ya makadirio
87
Taarifa ya Matumizi
Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo ilikadiriwa kutumia jumla ya shilingi
6,189,732,000 kwa kazi za kawaida na shilingi 7,097,500,000 kwa kazi za
maendeleo.
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 5,900,760,237 zimeingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 95 ya makadirio na shillingi 1,500,000,000
zimeingizwa na kutumika kwa kazi za maendeleo sawa na asilimia 21 ya makadirio.
Maoni ya Ukaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Wizara ya Habari, Utamaduni,
Utalii na Michezo kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura
sahihi na halisi kufuatana na vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo imepata hati
inayoridhisha kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018.
5.13.2 FUNGU J 02 - KAMISHENI YA UTALII
Ukaguzi wa hesabu za mwaka wa fedha 2017/2018 kwa Kamisheni ya Utalii
umefanywa kwa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na vigezo vya ukaguzi
vilivyokubalika kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.
Taarifa ya Mapato
Kamisheni ya Utalii ilikadiriwa kukusanya jumla ya shilingi 4,000,000,000 katika
kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018.
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 Kamisheni ya Utalii imekusanya jumla ya shilingi
2,819,274,925.02 sawa na asilimia 70.5 ya makadirio.
Taarifa ya Matumizi
Kamisheni ya Utalii kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ilikadiriwa kutumia jumla ya
shilingi 1,577,800,000 kwa kazi za kawaida.
Hadi kufikia 30 Juni, 2018 jumla ya shilingi 1,407,224,194.6 ziliingizwa na kutumika
kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 89.2 ya makadirio.
88
Maoni ya Mkaguzi
Kutokana na ukaguzi uliofanyika kupitia vitabu na kumbukumbu za hesabu kwa
mujibu wa sheria na kanuni za ukaguzi, hesabu za Kamisheni ya Utalii kwa mwaka
wa fedha unaoishia 30 Juni, 2018 zinaonesha sura sahihi na halisi kufuatana na
vigezo vilivyowekwa kitaifa na kimataifa.
Kwa hali hiyo Kamisheni ya Utalii imepata hati inayoridhisha kwa mwaka wa fedha
unaoishia 30 Juni, 2018.
89