Post on 23-Jan-2021
Magonjwa ya Akili ni Nini na husababishwa na Nini?• Magonjwayaakilinimatatizoya
ubongoambayohumfanyamtukuwanahisia,fikiranamatendotofautinayaleyanayotarajiwanajamii na kushindwa kukabiliananachangamotozamaisha.
• Magonjwa ya akili yanawezakusababishwa na sababu zakibaiologiaaukisaikolojia;
Sababu za kibiologia• Kurithi vinasaba kutoka kwa
wazazi.• Magonjwayamudamrefukama
degedege,malaria kali, UKIMWInk
• Matumiziyadawazakulevya
Sababu za kisaikolojia• Majanga, ubakaji, uvamizi, ajali,
utekaji nyara, kukosa elimu,kukosaajirank
• Kufiwa,kutengana,talaka,ugoni,kufungwa
• Kufukuzwakazi,kukosamishahara,kustaafukazink.
• Kutokufanya vizuri kwenyemasomo na Kufukuzwa chuo/shule
• Matatizoyanayowaathiriwatoto
kisaikolojia8 Kunyanyaswakingono8 Kupigwanakutengwa8 Kutothaminiwa8 Kutokupatamatunzostahiki
Dalili za Magonjwa ya Akili ni Zipi?Magonjwa ya akili yapo ya ainanyingi na dalili zake zinatofautianakatiyaugonjwamojanamwingine.
Dalili za Kihisia• Kusikia sauti ambazo watu
wenginehawazisikii• Kuona vitu ambavyo watu
wenginehawavioni• Kuhisikufuatiliwanawatu• Wivuuliopitiliza• Kuhisi mawazo yake
yanajulikana na watu wengineau yanazungumzwa kwenyevyombovyahabari
• Kuhisi kuwa mtu anatumiamawazo yake kufanya mamboFulani
• Kuhisi harufu ambayo watuwenginehawaisikii
• Kuhisi maisha hayana thamaninakuonaborakufakulikokuishi
Dalili za Kimwili • Kukosafurahaaukuwanafuraha
kupitakiasi• Kuwa na wasiwasi au woga
kupitakiasi• Kupunguzakuongeaaukuongea
kupitakiasi• Hasirazaharakanakufikiahatua
ya kudhuru watu au kuharibuvitu.
• Kuwanamsongowamawazo• Kujitenga na watu na kupenda
kukaamwenyewemudamwingi• Kutokuwanaariyakufanyakazi
aukufanyakazinyingikwawakatimmojabilayakuzikamilisha
• Kutokuonyeshahisiayoyoteusonimwake[furahaauhuzuni]
• Kutokujijali usafi na muonekanowake
• Mwilikukosanguvuaukuhisimwiliunanguvusanakupitakiasi
• Kukosa usingizi au kulala usingizisanakupitakiasi
• Kukosahamuyakulaaukuwanahamusanayakula
• Kutokutulia (kuhamanika) aukutuliasehemumojamudamrefubilayakujisogeza
• Maumivu sehemu mbalimbaliza mwili ambayo vipimo vyahospitalihavionyeshitatizololotelakimwili.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:Kituo cha Afya-Chuo Kikuu cha DSM
Simu: 2410500–8 Ext. 2006Direct: 2410014
Barua pepe: healthcentre@udsm.ac.tzWebsite: http://www.udsm.ac.tz
Dalili za Kiakili • Kukosaumakiniwashughulizake
zakilasiku• Kusahaukwaharakaaukupoteza
kumbukumbu• Kukosauwezowakupambanua
mambokwamitazamotofauti• Kutokujali• Kuwanaimanizisizozakawaida
kamavile;8 KuwamtumaarufuauNabii8 Kupokea taarifa kutoka
kwenye redio au mitandaoyasimu
8 Imaniyakuwasiliananawatumaarufu
8 Kuamini kuwa na nguvu yaziadakutokanjeyamwili
8 Imani kuwa kuna watuwanamfuatilia/ wanatakakumdhuru
• Mawazo yake hayana mtiririkounaoeleweka.
Matibabu ya Magonjwa ya AkiliMatibabu ya magonjwa ya akilihutoafautiana kati ya ugonjwammojanamwingine• Elimu kwa jamii kuhusiana na
magonjwa ya akili ni kitu chamuhibu sana katika kuzuiakujirudiaaukupataugonjwawa
akili,juuyamatibabunamsaadaanaohitajimgonjwailikuendeleanamaishayakeyakilasiku.
• Kupatiwa uchunguzi mapemaili apatiwe tiba sahihi na yamapema
• Tiba ya kisaikolojia (kujitambuaaliko, anapotaka kuwa nakuamua kufanya mabadilikokwa kutegemea uwezo wakemwenyewe
• Tiba kimwili kutumia dawa zahospitali
• Matibabu kwenye nyumba zaupatajinafuu(SoberHouses)
• Ushirikiano kati ya mgonjwafamilia na wataalamu wa tibahuletamafanikiomakubwasanakatikamatibabu.
• Kutokutumiamadawayakulevyaikiwanipamojanavilevi
• Patamudamrefuwakupumzika• Fanyamazoezi• Usijitengenajamii• Kujibidisha kwenye shughuli za
kuletakipato